Hongera sana anko tunafurahi sana .Na hii ni kwa bidii na uaminifu wako tunakujua toka tulipokua wote kinondoni Jack bar hongera sana tunazidi kukuombea kwa Mungu uwe na afya njema wewe pamoja na familia yako .ameen
Dah..natamani ningekuwa mimi.hakika najisikia faraja sana nnapoona jeshi kama hivi😥.hongera sana lieutenant colonel kwa kazi nzuri hadi kuwa brigadier.
Hakika niko happy sana,,,,kuona nchi yangu iko na amani,,,mungu ibariki tanzania,,,,mbariki Raisi wetu DR.JOHN POMBE MAGUFURI ninakutakia maisha marefu raisi wetu,,,ili nizidi kuyaona matunda...
"AROOO huyu kuanzia reo umvishe vyeo begani"... Tangu 9 december tisa kenda sitini na moja hakuna commandr in chief alietoa hii oda wazi wazi kwenye kipaza sauti.... CHUMA was the Best of them All....GOAT....Tutakukumbuka sanaa Ngosha...the best thing ever happend to us...
Hakika MAGUFULI alikuwa mtetezi wa Africa wala siyo TANZANIA peke yake,nani Kama JPM tena jamani, MUNGU atuchagulie mwengine Kama MAGU 😭😭😭😭😭😭😭😭 Pumzika kwa Amani Raisi wetu kipenzi cha Watanzania
Ukweli utabaki kuwa ukweli... Nchi imepata pigo kubwa...kwa kifo Cha JPM... Pamoja na mapungufu yake ya kibinadamu kwa mema ya kuijenga nchi vizazi vingi vitamkumbuka.... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
Nalipenda sana jeshi langu pendwa JWTZ halijawahi kusindwa JPM baba nakuomba sana wape tenda zote za ujenzi hasa hasa hii wizara ya ujenzi iwe chini ya jeshi letu pendwa JWTZ
2:33 tangu tupate uhuru hakuna raisi alietoa order mbele ya CDF wazi wazi kama chuma.. hiki kilikuwa chuma kweli kweli aiseeh... "AROO huyu atakuwa brigedia generali kuanzia leo"😀😀😀 magufuli the undisputed..R.I.P mzee.
Namjua huyu Bwana, alikuwa CO wetu JKT Ruvu 2014. Ni mtu wa kauli njema anayetoa motisha pale unapomfurahisha. Hivi vyeo nilimwona ana umahiri wa kuviteka. (nachomekea: kiasi flani nilisi hapatani na Maja Msila)
Bibilia inasema utatolewa kwenye mavumbi na kwenda kula na matajiri...hongera sana
Mzee ulikuw vzur sana
Wakati wa Mungu ndo wakati sahihi, kila jambo na wakati wake..
Commandant wangu wa ruvu...he deserves it!
Hongera sana anko tunafurahi sana .Na hii ni kwa bidii na uaminifu wako tunakujua toka tulipokua wote kinondoni Jack bar hongera sana tunazidi kukuombea kwa Mungu uwe na afya njema wewe pamoja na familia yako .ameen
As a Kenyan,I really proud of you Rais ; ulikua mwafrika halisi. Rip Sir
Thanks for such kinda thoughts i love you bro
Huwa nampenda sanaa rais wetu, ana apreciate effortnza watu. Big up JPM for your appreciation to others effort. Mungu akubariki sanaaa
Safi sana Muheshimiwa Rais..... Mimi ACT Ila kwa jinsi upendo na uzalendo wa Rais nimempa asilimia 💯 na kura yangu nitaiweka kwako .
Dah..natamani ningekuwa mimi.hakika najisikia faraja sana nnapoona jeshi kama hivi😥.hongera sana lieutenant colonel kwa kazi nzuri hadi kuwa brigadier.
Leo ungekuwa mfu visit hapo
Hongera mzee wangu mungu akubariki katika utendaji wako wa kazi appreciate magufuli appreciate Charles mbuge
Nakukumbuka sana CO wangu Wa pale 832 KJ. Papaa Mbughe
Mungu azidi kukulinda siku zote Rais wetu jpm hakika kabisa una hofu ya Mungu DAIMA Aksante sana
Huyu Afande ni kiongoz mzur sana namkumbuka sana KJ 832 RUVU 2015
Kabisa RIP Mbuge alikuwa mtu mwema sana Kifo chake kimenigusa sana 2015 danger Coy nlikuwa
Safi sanaa rais wetu
Hakuna kuchelewesha mda mtu akifanya vizur unampandisha cheo hapo hapo
Nakukubali rais wnguu
#magufuli
Xxzakibogo
hongera sana siku zote Mungu huwa hamtupi mja wake pia bila kusahau vijana wa kujitolea op kikwete na op magufuli mlioshiri Mungu yupo pamonya nanyi
😢😢😢Daah hatunaye tena Charles Mbuge
Maguful R.I.P lakin bado kwenye mioyo yetu wazalendo tunakukumbuka daima
Dah! Jamaa alikua anapenda kuchapa Kaz magu sio sifa❤
R.i.p kamanda mbuge....
Jamaa ata Ruvu JKT alitulaza macho Hatariii
Kwel tunae lais nampenda sana lais wetu waawamu ya 5 Mungu amlinde sana
Mungu akutangulie sana mjomba jpm
I like the leadership of H.E President John Pombe Magufuli
Yeah ndo huyooo jombaaa..dah..malipo ni hapa hapaa duniani..hilo lilikuwa jembe la RUVU JKT..832..
hongera
hakuna haja ya kwa waganga we chapa kazi tu mungu atakuona maana mungu hamtupi mja wake,
All African nations are proud of your work Sir, RIP- Magufuli
OP JPM 201.... Big up sana kamanda wanguu
832 conk 2014
Hongera sanaa Mbuge
daaaa Jembe la 832Kj Kanal Mbuge daaaa namkubal sana Hongeraa
Kama mkono Wa MUNGU Uko juu Yako Lazima tutoboze life Daah l like to solder from my bottom of my heart
Hakika niko happy sana,,,,kuona nchi yangu iko na amani,,,mungu ibariki tanzania,,,,mbariki Raisi wetu DR.JOHN POMBE MAGUFURI ninakutakia maisha marefu raisi wetu,,,ili nizidi kuyaona matunda...
Tutazid kukuenz rais wetu kipenz magufur😢🙏🙏🙏
azam mpo vizuri picha zenu ingekuwa tbc tungeona ukungu to
"AROOO huyu kuanzia reo umvishe vyeo begani"... Tangu 9 december tisa kenda sitini na moja hakuna commandr in chief alietoa hii oda wazi wazi kwenye kipaza sauti.... CHUMA was the Best of them All....GOAT....Tutakukumbuka sanaa Ngosha...the best thing ever happend to us...
Operation Magufuli 832KJ ruvu...2016
Victor Ungani aaah nmekubal mzee victor hyu jamaaa atarii...anastahili hana mchezo!!
Fire 2016
Hapo ujakosea kabisa jpm hats cc tuliopitia kwKe tunamjua mbuge
Nimependa salute yako
saluti hatar san hiyo
Magu jamani duuu mungu aiweke roho yako peponi ameni
😢😢😢😢😢 kaka yetu Charles mbuge umeenda 😢😢😢😢
this is our presedent that needed in our country
RIP😭😭😭😭 Dr président MAGUFULI
rais magufuli mungu akuweke mahali pazuri
Sio mungu ,andika na tumia MUNGU au Mungu ukianza na herufi kubwa kumpa utofauti na miungu mingine
Jw toka kitimtim cha kagera limebaki kua jeshi bora....na askari wake wana nidhamu mpaka raha
This is real president rip jembeeee
I jus cried every time i see the speech of my Father JPM
U cry but am very pained coz I was loose that position 4 no reason
Hakika MAGUFULI alikuwa mtetezi wa Africa wala siyo TANZANIA peke yake,nani Kama JPM tena jamani, MUNGU atuchagulie mwengine Kama MAGU 😭😭😭😭😭😭😭😭 Pumzika kwa Amani Raisi wetu kipenzi cha Watanzania
😭😭so painful
I love y'll
😂😂😂...mkuu..haya bana...😂😂😂@@salumkigoya5891
Ruvu jkt 832 alikuwa CO yuko peace sana Mbuge
Hatari sana op miaka 50 ya jkt ndo tulikuwa wa kwanza kuapa kwake
Ruvu 832 kj , Co yupo vizuri
😭😭😭😭😭😭😭😭😭JPM Nchi inaangamia huku baba kwann uliondoka kabla hujaifikisha TZ kaanani
Nan anamkubali JPM kama mimi anatumiaaa akili nyingi xanaa
MTU MWENYE AKILI AKIKAA MAHALI, LAZIMA KUWE NA MABADILIKO.
JPM ANAONGOZA NCHI KWA KUTUMIA AKILI, NA HIYO ILITAKIWA SANA
Msikilize vzr alafu sema akili iko wap km siyo upendeleo!
Safi watu wachapa kazi wapande vyeo..........wengine watambue hawahitaji waganga
That was great
We will live in our heart.... forever..❤❤
RIP our 2nd father of the nation...
Dar, hakika
Hizi zama zilikua tamu sanaaaa
Rest in piece father we always loves u
Mungu ana sababu katika kila hatua yako
Ukweli utabaki kuwa ukweli... Nchi imepata pigo kubwa...kwa kifo Cha JPM... Pamoja na mapungufu yake ya kibinadamu kwa mema ya kuijenga nchi vizazi vingi vitamkumbuka.... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
Good salute
Nalipenda sana jeshi langu pendwa JWTZ halijawahi kusindwa JPM baba nakuomba sana wape tenda zote za ujenzi hasa hasa hii wizara ya ujenzi iwe chini ya jeshi letu pendwa JWTZ
Mzee ilikuwa inaonekana kama wew hatuwezi kuwa nawewe milele muache Mungu aitwe Mungu.
R.I.P JPM Mbuge lazima amkumbuke JPM daima kwa aliyomfanyia
Raïs mupendwa😢😢😢😢
,yaani hapa mh JPM nakufurahia.kwa maamuzi yako ya moja kwa mojq
Good job
Who's here today 12th of October? May their soul rest in peace Brigadier general MBUGE & Hon. JPM
Na Brigadier nae alishakufa?
Yes.Juzi tu@@saidmfaume8448
832KJ 2014,, CO wangu huyo aisee hongera zake, kwa kweli anastahili, ni jembe Sana
Namkubal sn mbuge kanifungia manzunzo rwamkoma 822 butiama
Apa ndipo kiabakari ilianza kuwa vizuri mbuge na siro mmechangia sana kuikuza
R I P Mr president😭😭😭 ulionyesha upendo kwa wote tutakukumbuka daima
Kipindi hicho, nchi inaenda bila tozo 😢
Dah hapa tulikuwa na Rais
Who watch it mar 26 2021 at the funeral of our late president😍😍😍
Puzka kwa aman mzee wetu
RIP MAGUFULI
RIP GEN. MBUGE
🥹🙏🏼🕊️
hogera sana rais wetu rais wa watu wanyonge
Ame fariki leo hii daah😢
Dunia mapito. Brigadia hayupo nasi tena.
Duuu hatari mbuge umekuwa Brig Gen!!!! waliokuwa wanakupiga vita kama alivyosema mh Rais sasa kimyaaaaaaaaaaa
Khadija Omary
Kwani na huko kuna majungu?
Mie mwendo tu utasema mwendo kasi la express kivukoni-kimara
Anastahili
CO 832KJ RUVU nambaako ninayo takupigia kukupongeza
Tofauti ni gaani kati ya JKt N jwtz
Ni mwaka jana tu ulituaga mkuu ukaamxhwa ukaenda makao makuu ya jkt leo ukoo juuu kileleenii
Sillo imebak zamu yako mkuu nawe onesha kwa mkuu kua jeshi la poris kua munaweza
Rip dah jenerali mbuge
Rest in Peace father
Respect to Sir President Sir JPM
Nakumbuka alitulaza usiku kujenga jukwaa la uwanja wa Mabatini
Safii magu upo vyemaaa
Tupate wapi tena Mtu kama huyu😭😭
ninapo kumbuka raisi magufuli amekufa nalia sana mtu rhoo safi dunia msima
2:33 tangu tupate uhuru hakuna raisi alietoa order mbele ya CDF wazi wazi kama chuma.. hiki kilikuwa chuma kweli kweli aiseeh... "AROO huyu atakuwa brigedia generali kuanzia leo"😀😀😀 magufuli the undisputed..R.I.P mzee.
hadi nimesisimka na huo nwendo wa haraka
Jamani Azam tv mbona kimya. Hivi ni lini mtaanza kutuonesha /kurusha taarifa ya habari LIVE?
Anastahili saaana huyu jamaaa kiukweli nilikuwa nae ruvu jkt ni mtu wa kazi saaana
Mahamud Mhawi 👏👏👏👏he deserves
Hanaga makuu shimbwela tuu
KWELI MAGUFURI WW RAIS SITAIKI NA NIKWELI RAIS TULIE KUWA TUNAKUITAJIA UWE KAMA WW NAKUPENDA SANA MHESHIMIWA JPK
Alikuwa anawatia moyo majeshi sana....
Namjua huyu Bwana, alikuwa CO wetu JKT Ruvu 2014. Ni mtu wa kauli njema anayetoa motisha pale unapomfurahisha. Hivi vyeo nilimwona ana umahiri wa kuviteka. (nachomekea: kiasi flani nilisi hapatani na Maja Msila)
😁😁
Tulioangalia 2024 tukutane apaa😢😢
Inchi ilikuwa na muelekeo ilasasahivi nacokiona kwahuyu mama wapi kabisa
Mzee tupo njiani
Hongera uncle Mbuge