Rais alivyompandisha cheo Kanali Charles Mbuge kuwa Brigedia Jenerali

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 ม.ค. 2025

ความคิดเห็น • 202

  • @hesbonmusili9855
    @hesbonmusili9855 3 ปีที่แล้ว +10

    Bibilia inasema utatolewa kwenye mavumbi na kwenda kula na matajiri...hongera sana

  • @RamadhaniJuma-h2l
    @RamadhaniJuma-h2l 10 หลายเดือนก่อน +7

    Mzee ulikuw vzur sana

  • @salumramadhani5566
    @salumramadhani5566 3 ปีที่แล้ว +20

    Wakati wa Mungu ndo wakati sahihi, kila jambo na wakati wake..

  • @luganoshaban3948
    @luganoshaban3948 5 ปีที่แล้ว +48

    Commandant wangu wa ruvu...he deserves it!

  • @hussmuya5246
    @hussmuya5246 5 ปีที่แล้ว +9

    Hongera sana anko tunafurahi sana .Na hii ni kwa bidii na uaminifu wako tunakujua toka tulipokua wote kinondoni Jack bar hongera sana tunazidi kukuombea kwa Mungu uwe na afya njema wewe pamoja na familia yako .ameen

  • @njerithiongo7901
    @njerithiongo7901 2 ปีที่แล้ว +27

    As a Kenyan,I really proud of you Rais ; ulikua mwafrika halisi. Rip Sir

    • @abdultaddy2729
      @abdultaddy2729 2 ปีที่แล้ว +3

      Thanks for such kinda thoughts i love you bro

  • @lucassabida5471
    @lucassabida5471 4 ปีที่แล้ว +14

    Huwa nampenda sanaa rais wetu, ana apreciate effortnza watu. Big up JPM for your appreciation to others effort. Mungu akubariki sanaaa

  • @almendhiryable
    @almendhiryable 4 ปีที่แล้ว +6

    Safi sana Muheshimiwa Rais..... Mimi ACT Ila kwa jinsi upendo na uzalendo wa Rais nimempa asilimia 💯 na kura yangu nitaiweka kwako .

  • @medardkajuna1159
    @medardkajuna1159 5 ปีที่แล้ว +7

    Dah..natamani ningekuwa mimi.hakika najisikia faraja sana nnapoona jeshi kama hivi😥.hongera sana lieutenant colonel kwa kazi nzuri hadi kuwa brigadier.

  • @yasinkulendea1860
    @yasinkulendea1860 5 ปีที่แล้ว +1

    Hongera mzee wangu mungu akubariki katika utendaji wako wa kazi appreciate magufuli appreciate Charles mbuge

  • @venancemwamfise7510
    @venancemwamfise7510 5 ปีที่แล้ว +13

    Nakukumbuka sana CO wangu Wa pale 832 KJ. Papaa Mbughe

  • @charlesotwalo9335
    @charlesotwalo9335 4 ปีที่แล้ว +5

    Mungu azidi kukulinda siku zote Rais wetu jpm hakika kabisa una hofu ya Mungu DAIMA Aksante sana

  • @patrickchibuga2911
    @patrickchibuga2911 5 ปีที่แล้ว +11

    Huyu Afande ni kiongoz mzur sana namkumbuka sana KJ 832 RUVU 2015

    • @ProfitonlyIQ
      @ProfitonlyIQ 3 หลายเดือนก่อน

      Kabisa RIP Mbuge alikuwa mtu mwema sana Kifo chake kimenigusa sana 2015 danger Coy nlikuwa

  • @hamoudsalum9064
    @hamoudsalum9064 5 ปีที่แล้ว +5

    Safi sanaa rais wetu
    Hakuna kuchelewesha mda mtu akifanya vizur unampandisha cheo hapo hapo
    Nakukubali rais wnguu
    #magufuli

  • @aluinaalex9504
    @aluinaalex9504 5 ปีที่แล้ว +3

    hongera sana siku zote Mungu huwa hamtupi mja wake pia bila kusahau vijana wa kujitolea op kikwete na op magufuli mlioshiri Mungu yupo pamonya nanyi

  • @alfredcharles8029
    @alfredcharles8029 3 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢Daah hatunaye tena Charles Mbuge

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 3 ปีที่แล้ว +14

    Maguful R.I.P lakin bado kwenye mioyo yetu wazalendo tunakukumbuka daima

  • @OmarOmar-gq5tk
    @OmarOmar-gq5tk ปีที่แล้ว

    Dah! Jamaa alikua anapenda kuchapa Kaz magu sio sifa❤

  • @hajimsisi3095
    @hajimsisi3095 3 หลายเดือนก่อน +3

    R.i.p kamanda mbuge....

  • @esromkanubho4738
    @esromkanubho4738 5 ปีที่แล้ว +25

    Jamaa ata Ruvu JKT alitulaza macho Hatariii

    • @yakoboigoko6645
      @yakoboigoko6645 5 ปีที่แล้ว +2

      Kwel tunae lais nampenda sana lais wetu waawamu ya 5 Mungu amlinde sana

  • @emmanuelonjiro3565
    @emmanuelonjiro3565 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akutangulie sana mjomba jpm

  • @mrchairtv1704
    @mrchairtv1704 4 ปีที่แล้ว +1

    I like the leadership of H.E President John Pombe Magufuli

  • @million.onlinetv659
    @million.onlinetv659 5 ปีที่แล้ว +41

    Yeah ndo huyooo jombaaa..dah..malipo ni hapa hapaa duniani..hilo lilikuwa jembe la RUVU JKT..832..

  • @ayubuakim783
    @ayubuakim783 5 ปีที่แล้ว +35

    hakuna haja ya kwa waganga we chapa kazi tu mungu atakuona maana mungu hamtupi mja wake,

  • @editchakoma1113
    @editchakoma1113 2 ปีที่แล้ว +2

    All African nations are proud of your work Sir, RIP- Magufuli

  • @yohanessomiyon8047
    @yohanessomiyon8047 5 ปีที่แล้ว +2

    OP JPM 201.... Big up sana kamanda wanguu

  • @focustryphone5435
    @focustryphone5435 5 ปีที่แล้ว +3

    daaaa Jembe la 832Kj Kanal Mbuge daaaa namkubal sana Hongeraa

  • @elizabethmziray3868
    @elizabethmziray3868 5 ปีที่แล้ว +4

    Kama mkono Wa MUNGU Uko juu Yako Lazima tutoboze life Daah l like to solder from my bottom of my heart

  • @lufitetv7120
    @lufitetv7120 5 ปีที่แล้ว +9

    Hakika niko happy sana,,,,kuona nchi yangu iko na amani,,,mungu ibariki tanzania,,,,mbariki Raisi wetu DR.JOHN POMBE MAGUFURI ninakutakia maisha marefu raisi wetu,,,ili nizidi kuyaona matunda...

  • @LaurentMatigili
    @LaurentMatigili 10 หลายเดือนก่อน

    Tutazid kukuenz rais wetu kipenz magufur😢🙏🙏🙏

  • @famysalum2740
    @famysalum2740 5 ปีที่แล้ว

    azam mpo vizuri picha zenu ingekuwa tbc tungeona ukungu to

  • @dalali_professionalwa_dodo8330
    @dalali_professionalwa_dodo8330 11 หลายเดือนก่อน

    "AROOO huyu kuanzia reo umvishe vyeo begani"... Tangu 9 december tisa kenda sitini na moja hakuna commandr in chief alietoa hii oda wazi wazi kwenye kipaza sauti.... CHUMA was the Best of them All....GOAT....Tutakukumbuka sanaa Ngosha...the best thing ever happend to us...

  • @victorungani2810
    @victorungani2810 5 ปีที่แล้ว +23

    Operation Magufuli 832KJ ruvu...2016

    • @onesmomkanga7664
      @onesmomkanga7664 5 ปีที่แล้ว +1

      Victor Ungani aaah nmekubal mzee victor hyu jamaaa atarii...anastahili hana mchezo!!

    • @salumnkamia706
      @salumnkamia706 5 ปีที่แล้ว +1

      Fire 2016

  • @kekemagori4732
    @kekemagori4732 5 ปีที่แล้ว +5

    Hapo ujakosea kabisa jpm hats cc tuliopitia kwKe tunamjua mbuge

  • @nassoromzenga866
    @nassoromzenga866 5 ปีที่แล้ว +2

    Nimependa salute yako

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 3 ปีที่แล้ว

    Magu jamani duuu mungu aiweke roho yako peponi ameni

  • @LoyceChacha-x4c
    @LoyceChacha-x4c 3 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢😢😢 kaka yetu Charles mbuge umeenda 😢😢😢😢

  • @kondegangmjexh7563
    @kondegangmjexh7563 4 ปีที่แล้ว +1

    this is our presedent that needed in our country

  • @maximenella8957
    @maximenella8957 3 ปีที่แล้ว +8

    RIP😭😭😭😭 Dr président MAGUFULI

  • @petercosta1317
    @petercosta1317 3 ปีที่แล้ว +1

    rais magufuli mungu akuweke mahali pazuri

    • @richardtungaraza7509
      @richardtungaraza7509 3 ปีที่แล้ว

      Sio mungu ,andika na tumia MUNGU au Mungu ukianza na herufi kubwa kumpa utofauti na miungu mingine

  • @clausemsemwa3704
    @clausemsemwa3704 5 ปีที่แล้ว +21

    Jw toka kitimtim cha kagera limebaki kua jeshi bora....na askari wake wana nidhamu mpaka raha

  • @dairahally5471
    @dairahally5471 2 ปีที่แล้ว +1

    This is real president rip jembeeee

  • @sagreymduda6569
    @sagreymduda6569 3 ปีที่แล้ว +34

    I jus cried every time i see the speech of my Father JPM

    • @salumkigoya5891
      @salumkigoya5891 3 ปีที่แล้ว

      U cry but am very pained coz I was loose that position 4 no reason

    • @jessicarasigu2220
      @jessicarasigu2220 3 ปีที่แล้ว +1

      Hakika MAGUFULI alikuwa mtetezi wa Africa wala siyo TANZANIA peke yake,nani Kama JPM tena jamani, MUNGU atuchagulie mwengine Kama MAGU 😭😭😭😭😭😭😭😭 Pumzika kwa Amani Raisi wetu kipenzi cha Watanzania

    • @jisamjoseph4558
      @jisamjoseph4558 3 ปีที่แล้ว

      😭😭so painful

    • @abdultaddy2729
      @abdultaddy2729 2 ปีที่แล้ว

      I love y'll

    • @ElinaSamwel-x5h
      @ElinaSamwel-x5h 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂...mkuu..haya bana...😂😂😂​@@salumkigoya5891

  • @mdashomwamba679
    @mdashomwamba679 5 ปีที่แล้ว +13

    Ruvu jkt 832 alikuwa CO yuko peace sana Mbuge

    • @Secondborn_
      @Secondborn_ 10 หลายเดือนก่อน

      Hatari sana op miaka 50 ya jkt ndo tulikuwa wa kwanza kuapa kwake

  • @chozachoza3318
    @chozachoza3318 5 ปีที่แล้ว +1

    Ruvu 832 kj , Co yupo vizuri

  • @eliyahango4278
    @eliyahango4278 3 ปีที่แล้ว +2

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭JPM Nchi inaangamia huku baba kwann uliondoka kabla hujaifikisha TZ kaanani

  • @goldgod9963
    @goldgod9963 5 ปีที่แล้ว +8

    Nan anamkubali JPM kama mimi anatumiaaa akili nyingi xanaa

  • @unitytzdar9553
    @unitytzdar9553 5 ปีที่แล้ว +17

    MTU MWENYE AKILI AKIKAA MAHALI, LAZIMA KUWE NA MABADILIKO.
    JPM ANAONGOZA NCHI KWA KUTUMIA AKILI, NA HIYO ILITAKIWA SANA

    • @lukandotv8101
      @lukandotv8101 3 ปีที่แล้ว

      Msikilize vzr alafu sema akili iko wap km siyo upendeleo!

  • @clausemsemwa3704
    @clausemsemwa3704 5 ปีที่แล้ว +12

    Safi watu wachapa kazi wapande vyeo..........wengine watambue hawahitaji waganga

  • @issashekh4726
    @issashekh4726 5 หลายเดือนก่อน

    That was great

  • @josephatsebastian9848
    @josephatsebastian9848 10 หลายเดือนก่อน

    We will live in our heart.... forever..❤❤
    RIP our 2nd father of the nation...

  • @fedrickmaganga2693
    @fedrickmaganga2693 2 ปีที่แล้ว

    Dar, hakika

  • @HilaliKapanda
    @HilaliKapanda 3 หลายเดือนก่อน

    Hizi zama zilikua tamu sanaaaa

  • @augustinewilliam709
    @augustinewilliam709 2 ปีที่แล้ว +5

    Rest in piece father we always loves u

  • @zagadat1129
    @zagadat1129 10 หลายเดือนก่อน

    Mungu ana sababu katika kila hatua yako

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 2 ปีที่แล้ว +1

    Ukweli utabaki kuwa ukweli... Nchi imepata pigo kubwa...kwa kifo Cha JPM... Pamoja na mapungufu yake ya kibinadamu kwa mema ya kuijenga nchi vizazi vingi vitamkumbuka.... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz

  • @iddikimia4951
    @iddikimia4951 3 ปีที่แล้ว

    Good salute

  • @papayatnzania1005
    @papayatnzania1005 5 ปีที่แล้ว +7

    Nalipenda sana jeshi langu pendwa JWTZ halijawahi kusindwa JPM baba nakuomba sana wape tenda zote za ujenzi hasa hasa hii wizara ya ujenzi iwe chini ya jeshi letu pendwa JWTZ

  • @richardburengengwa6998
    @richardburengengwa6998 3 ปีที่แล้ว

    Mzee ilikuwa inaonekana kama wew hatuwezi kuwa nawewe milele muache Mungu aitwe Mungu.

  • @dalaliamanidar3004
    @dalaliamanidar3004 3 ปีที่แล้ว +2

    R.I.P JPM Mbuge lazima amkumbuke JPM daima kwa aliyomfanyia

  • @kaesarka3243
    @kaesarka3243 ปีที่แล้ว

    Raïs mupendwa😢😢😢😢

  • @hashimabdallah673
    @hashimabdallah673 4 ปีที่แล้ว

    ,yaani hapa mh JPM nakufurahia.kwa maamuzi yako ya moja kwa mojq

  • @emmanuelmwandu.3126
    @emmanuelmwandu.3126 8 หลายเดือนก่อน

    Good job

  • @aggreysallah6905
    @aggreysallah6905 3 หลายเดือนก่อน +2

    Who's here today 12th of October? May their soul rest in peace Brigadier general MBUGE & Hon. JPM

    • @saidmfaume8448
      @saidmfaume8448 3 หลายเดือนก่อน

      Na Brigadier nae alishakufa?

    • @Noooonat-o5s
      @Noooonat-o5s 3 หลายเดือนก่อน

      Yes.Juzi tu​@@saidmfaume8448

  • @emmanuelmweruka815
    @emmanuelmweruka815 5 ปีที่แล้ว +2

    832KJ 2014,, CO wangu huyo aisee hongera zake, kwa kweli anastahili, ni jembe Sana

  • @hamadiiddi3861
    @hamadiiddi3861 3 ปีที่แล้ว +2

    Namkubal sn mbuge kanifungia manzunzo rwamkoma 822 butiama

  • @Isackmanyonyi
    @Isackmanyonyi 3 หลายเดือนก่อน

    Apa ndipo kiabakari ilianza kuwa vizuri mbuge na siro mmechangia sana kuikuza

  • @rayaluizcameron2594
    @rayaluizcameron2594 3 ปีที่แล้ว +4

    R I P Mr president😭😭😭 ulionyesha upendo kwa wote tutakukumbuka daima

  • @michaelassam5789
    @michaelassam5789 3 ปีที่แล้ว +2

    Kipindi hicho, nchi inaenda bila tozo 😢

  • @salymkitumbika8644
    @salymkitumbika8644 3 ปีที่แล้ว

    Dah hapa tulikuwa na Rais

  • @rayaluizcameron2594
    @rayaluizcameron2594 3 ปีที่แล้ว +2

    Who watch it mar 26 2021 at the funeral of our late president😍😍😍

  • @qasammawa5310
    @qasammawa5310 3 ปีที่แล้ว

    Puzka kwa aman mzee wetu

  • @EltonMmari
    @EltonMmari 5 วันที่ผ่านมา

    RIP MAGUFULI
    RIP GEN. MBUGE
    🥹🙏🏼🕊️

  • @wankabanestory532
    @wankabanestory532 5 ปีที่แล้ว

    hogera sana rais wetu rais wa watu wanyonge

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 3 หลายเดือนก่อน

    Ame fariki leo hii daah😢

  • @ericapingi8354
    @ericapingi8354 3 หลายเดือนก่อน

    Dunia mapito. Brigadia hayupo nasi tena.

  • @khadijaomary2427
    @khadijaomary2427 5 ปีที่แล้ว +1

    Duuu hatari mbuge umekuwa Brig Gen!!!! waliokuwa wanakupiga vita kama alivyosema mh Rais sasa kimyaaaaaaaaaaa

    • @mbutomustapha7063
      @mbutomustapha7063 5 ปีที่แล้ว

      Khadija Omary
      Kwani na huko kuna majungu?

  • @ramanhoibrahim3383
    @ramanhoibrahim3383 5 ปีที่แล้ว +2

    Mie mwendo tu utasema mwendo kasi la express kivukoni-kimara

  • @osybethmbangule7652
    @osybethmbangule7652 5 ปีที่แล้ว +3

    Anastahili

  • @saidiyusufu1203
    @saidiyusufu1203 5 ปีที่แล้ว +9

    CO 832KJ RUVU nambaako ninayo takupigia kukupongeza

    • @oxyrio1224
      @oxyrio1224 3 ปีที่แล้ว

      Tofauti ni gaani kati ya JKt N jwtz

  • @makiadiongala5345
    @makiadiongala5345 5 ปีที่แล้ว +4

    Ni mwaka jana tu ulituaga mkuu ukaamxhwa ukaenda makao makuu ya jkt leo ukoo juuu kileleenii

  • @moimashole992
    @moimashole992 5 ปีที่แล้ว +8

    Sillo imebak zamu yako mkuu nawe onesha kwa mkuu kua jeshi la poris kua munaweza

  • @victorguapo7827
    @victorguapo7827 3 หลายเดือนก่อน

    Rip dah jenerali mbuge

  • @iddikimia4951
    @iddikimia4951 3 ปีที่แล้ว +12

    Rest in Peace father

  • @inderjitlall4972
    @inderjitlall4972 5 ปีที่แล้ว

    Respect to Sir President Sir JPM

  • @edwardnambo1857
    @edwardnambo1857 4 ปีที่แล้ว +1

    Nakumbuka alitulaza usiku kujenga jukwaa la uwanja wa Mabatini

  • @tozzaalexandar4905
    @tozzaalexandar4905 5 ปีที่แล้ว

    Safii magu upo vyemaaa

  • @jefrineliaselias691
    @jefrineliaselias691 2 ปีที่แล้ว

    Tupate wapi tena Mtu kama huyu😭😭

  • @dominiclokuremusic5178
    @dominiclokuremusic5178 3 ปีที่แล้ว

    ninapo kumbuka raisi magufuli amekufa nalia sana mtu rhoo safi dunia msima

  • @dalali_professionalwa_dodo8330
    @dalali_professionalwa_dodo8330 2 ปีที่แล้ว

    2:33 tangu tupate uhuru hakuna raisi alietoa order mbele ya CDF wazi wazi kama chuma.. hiki kilikuwa chuma kweli kweli aiseeh... "AROO huyu atakuwa brigedia generali kuanzia leo"😀😀😀 magufuli the undisputed..R.I.P mzee.

  • @reyjosee9390
    @reyjosee9390 5 ปีที่แล้ว +2

    hadi nimesisimka na huo nwendo wa haraka

  • @sangjr8219
    @sangjr8219 5 ปีที่แล้ว +1

    Jamani Azam tv mbona kimya. Hivi ni lini mtaanza kutuonesha /kurusha taarifa ya habari LIVE?

  • @mahamudmhawi2731
    @mahamudmhawi2731 5 ปีที่แล้ว +3

    Anastahili saaana huyu jamaaa kiukweli nilikuwa nae ruvu jkt ni mtu wa kazi saaana

  • @wazirikhamisi4828
    @wazirikhamisi4828 4 ปีที่แล้ว

    KWELI MAGUFURI WW RAIS SITAIKI NA NIKWELI RAIS TULIE KUWA TUNAKUITAJIA UWE KAMA WW NAKUPENDA SANA MHESHIMIWA JPK

  • @samwellwiza1098
    @samwellwiza1098 2 ปีที่แล้ว

    Alikuwa anawatia moyo majeshi sana....

  • @manubei3574
    @manubei3574 4 ปีที่แล้ว +2

    Namjua huyu Bwana, alikuwa CO wetu JKT Ruvu 2014. Ni mtu wa kauli njema anayetoa motisha pale unapomfurahisha. Hivi vyeo nilimwona ana umahiri wa kuviteka. (nachomekea: kiasi flani nilisi hapatani na Maja Msila)

  • @ChidyMbinga
    @ChidyMbinga 10 หลายเดือนก่อน

    Tulioangalia 2024 tukutane apaa😢😢

  • @nduwimanaelyse1982
    @nduwimanaelyse1982 3 ปีที่แล้ว

    Inchi ilikuwa na muelekeo ilasasahivi nacokiona kwahuyu mama wapi kabisa

  • @ChristopherWise-b3x
    @ChristopherWise-b3x 3 หลายเดือนก่อน

    Mzee tupo njiani

  • @georgedamas7097
    @georgedamas7097 5 ปีที่แล้ว

    Hongera uncle Mbuge