Simba 4-2 Asante Kotoko | Highlights | Mechi ya Kirafiki 28/08/2022

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2022
  • Magoli mawili kutoka kwa Clatous Chama, na mengine kutoka kwa Moses Phiri na Pape Sakho yameipa
    Simba SC imepata ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Asante Kotoko ya Ghana katika mchezo wake wa kwanza wa kirafiki kati ya miwili itakayocheza nchini Sudan.
    Katika ushindi wa leo Simba imepata magoli yake kupitia kwa Augustine Okrah dakika ya 19, Pape Sakho dakika ya 26 na Clatous Chama aliyefunga mawili dakika ya 42 kwa penati na dakika ya 55
    Magoli mawili ya Asante Kotoko katika mchezo huo yamefungwa na Stephen Mukwala dakika ya 9 na Stephen Amankona kwa mkwaju wa penati dakika ya 79.
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 111

  • @RashidKhan-zq2hy
    @RashidKhan-zq2hy ปีที่แล้ว +23

    Adhana Maa Shaa Allah alhamdulillah rabbil aalamiin uisilam raha

  • @allymtungunyu2425
    @allymtungunyu2425 ปีที่แล้ว +4

    Chama hafai kabisa du huyu jamaa anajua sana mwache tu

  • @peterjohn7613
    @peterjohn7613 ปีที่แล้ว +6

    Simba nawakumbusha kumwacha Onyango nje mnafanya makosa makubwa, Onyango ni beki bora sana kuliko hao waliopo

  • @tmagoti
    @tmagoti ปีที่แล้ว +3

    Wanangu SIMBAAAAAAAAA🦁🦁🦁🦁 NguvuMoja

  • @lillaahilhamdutv5383
    @lillaahilhamdutv5383 ปีที่แล้ว +3

    Adhana maa shaa Allah

  • @deusmanyenye5190
    @deusmanyenye5190 ปีที่แล้ว +6

    Huyu jamaa Mohamed Quattara ni mzito sana. Hana speed na wala huwezi mlinganisha na Onyango.
    Kwa huyu jamaa akina Mayele watampita sana na Yanga itaifunga Simba Mpaka basi

    • @allymtungunyu2425
      @allymtungunyu2425 ปีที่แล้ว

      Wewe bwana acha kutaja utopolo hapa nawe hao utopolo hata watufunge mara 100 hamna la maana huyo mayele mbona kacheza na ruvu hakupata gori usilinganishe na mech za kichawi huzi za utopolo na kolo hizo mech sio kipimo cha timu kuwa mzuri au sio mzuri mech zao madudu meeengi mara huyu anapitia mlango huu huyu hataki kupita hapa mda unaokuja utamjua nani bora kimataifa

    • @mzeewajambo8293
      @mzeewajambo8293 ปีที่แล้ว

      Rejea ile mechi ya ngao
      Tumefungwa Magoli rahisi Kupitia Kati Kati
      Kwangu me outtara anachomxidi onyango ni kupiga Pasi tu

  • @athanasevaristmahega7488
    @athanasevaristmahega7488 ปีที่แล้ว +1

    Mpira safi kabisa hongera simba

  • @deusmanyenye5190
    @deusmanyenye5190 ปีที่แล้ว +5

    Bao la kwanza walilofunga Asante Kotoko ni Sababu ya Uzito wa Quattara. Hapo Onyango asingepitwa kizembe namna hiyo

  • @edgarcruzee5223
    @edgarcruzee5223 ปีที่แล้ว +4

    Victor na Mzungu awana viwango bado Sana no 6 anazunguka tup

  • @zuberikupaza1184
    @zuberikupaza1184 ปีที่แล้ว +3

    Mabeki wa Kati wa simba wanahitaji msasa wa kutosha jmn mana hizi through balls zinapita bila kupingwa mfano zile zilizo mfikia mayele na hili goli la kwanza la Asante Kotoko.

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 ปีที่แล้ว +1

    Hongera Simba kwa ushindi ila kuna mahali panavuja na panahitaji marekebisho ya haraka sana.

    • @amriamraan2612
      @amriamraan2612 ปีที่แล้ว

      Wapi?

    • @malugukushaha6764
      @malugukushaha6764 ปีที่แล้ว

      @@amriamraan2612 wanavuja sehemu ya kujilinda na kupelekea mabeki kuchoropokwa haraka na wapinzani hasa upande wa kulia.

  • @janaakimu6171
    @janaakimu6171 ปีที่แล้ว +2

    Mimi Ni #SIMBA Damu ila daghhhhh I'm still need #ONYANGO😭😭😭😭

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 ปีที่แล้ว +2

    SIMBA NGUVU MOJA 💪💪💪

  • @Othman496
    @Othman496 ปีที่แล้ว +3

    Pascal kabombe jitahidi kwenda na muvument ya mpira sio unasikika tu kwenye matukio nauwataje wacheji: sio anaweka ndani kele wanaondosha ndonn sasa

  • @sulemaanmarika7087
    @sulemaanmarika7087 ปีที่แล้ว +1

    Dah Adhan hiyoo! Watu wanaitwa kwenye kher lakin maskio yamewekwa pamba

  • @mzeewajambo8293
    @mzeewajambo8293 ปีที่แล้ว +3

    Huyu Outtara Sijui Kama Atatusaidia Simba
    Me naona hana Uwezo wa kukaba wa kumshinda onyango
    Ila sababu ni mchezaji wa kocha atacheza tu na ametucost na ameendelea kutucost
    Kama bado hajawa fiti tunaomba kocha amtumie onyango Kwanza
    Tumefungwa Magoli Mawili na Yanga Kw Kupitia Kati Kati Kama hilo goli la asante kotoko
    Hawezi one v one pia ni mzito yani akipitwa tu ni balaa

    • @sngrafx
      @sngrafx ปีที่แล้ว +1

      Hujui mpira Wewee kaa kimya

  • @abdisalim7900
    @abdisalim7900 ปีที่แล้ว

    Nakubaliana PETER JOHN kumweka ONYANGO mda mwingi nikujichimbia kaburi

  • @deusmanyenye5190
    @deusmanyenye5190 ปีที่แล้ว +3

    Quattalla ovyo sana. Siyo baki mbishi kama Onyango na Baka. Anakata tamaa mapema sana

  • @ramadhanikatumbati8386
    @ramadhanikatumbati8386 ปีที่แล้ว +3

    Sakho kiukweli Yuko vzuli

  • @grederoperater7970
    @grederoperater7970 ปีที่แล้ว +1

    Masha Allah 🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @StarDugs
    @StarDugs ปีที่แล้ว +2

    Ivi Azam mnajua highlights nyinyi

  • @charlesally6028
    @charlesally6028 ปีที่แล้ว +1

    Beki ya simba inafanya makosa mengi hawako makini🙏

  • @saidmfaume1282
    @saidmfaume1282 ปีที่แล้ว +2

    Simba kwenye kujilinda ni hovyo kabisa kama hawakurekebisha itawagharimu sana hasa kimataifa.

  • @stevesayoni7455
    @stevesayoni7455 ปีที่แล้ว

    Hatali

  • @hilaryngonyani6750
    @hilaryngonyani6750 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mukwala kumbeh ndo uyu basi hatariii

  • @isackphilip4051
    @isackphilip4051 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah

  • @pepchallanga3626
    @pepchallanga3626 ปีที่แล้ว +2

    Chama ni KDB wa bongo

  • @CyimSky
    @CyimSky ปีที่แล้ว +2

    Gocha inaonekana ameweza kutambua udhaifu wa sako sasa anaanza kufanya maamuzi yanayoweza kuzaa matunda

  • @edgarcruzee5223
    @edgarcruzee5223 ปีที่แล้ว +1

    Mwl Mzungu ajui Mbio na kutafuta mipila tafadhari Sana Mwl

    • @mzeewajambo8293
      @mzeewajambo8293 ปีที่แล้ว

      Mzungu hamna kitu sema kocha hawezi kukuelewa maana ni mchezaji wake

    • @mzeewajambo8293
      @mzeewajambo8293 ปีที่แล้ว

      Mzungu hamna kitu sema kocha hawezi kukuelewa maana ni mchezaji wake

  • @gabrielaniseti1537
    @gabrielaniseti1537 ปีที่แล้ว +1

    Triplex CSS CCC,
    Umeshakuwa Mtanzania kabisa

  • @edgarcruzee5223
    @edgarcruzee5223 ปีที่แล้ว +1

    Mwl Uwe Makini na Matora na Bocco na Mkude waondoke Alaka Sana sio watu wema

  • @worshipperstalk
    @worshipperstalk ปีที่แล้ว +1

    🔥🔥🔥

  • @amirlehao8945
    @amirlehao8945 ปีที่แล้ว +2

    Inonga anaanza kuvuja saana

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 ปีที่แล้ว +2

    Chama umefanya upuuuzi wa khali ya juuu sijawahi ona kwani lazima kumpa mtu mkono

  • @zubedaramadhani1289
    @zubedaramadhani1289 ปีที่แล้ว +3

    Kocha asipoangalia hao ma bek tutafungwa sana kwann asimchezeshe onyango na mmoja kati ya hao?

    • @mzeewajambo8293
      @mzeewajambo8293 ปีที่แล้ว

      Outtara hamna kitu kabisa sema tu ni chaguo la kocha
      Hawezi kumuweka benchi onyango

    • @mzeewajambo8293
      @mzeewajambo8293 ปีที่แล้ว

      Outtara hamna kitu kabisa sema tu ni chaguo la kocha
      Hawezi kumuweka benchi onyango

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 ปีที่แล้ว +1

    Hii tim haina kocha tutasubir sana kuona burudani ya simba

  • @daddynamombas3898
    @daddynamombas3898 ปีที่แล้ว +1

    Ngoja tuone nadhan kocha anajua anachokifanya kikifaulu tutafurahi kikifeli kitamghalimu so ngoja tuone muda utaongea kikubwa dua kwa viongozi,kocha na wachezaji.

  • @Mr_Ben255
    @Mr_Ben255 ปีที่แล้ว +1

    🦁🦁👍👍🔥🔥

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 ปีที่แล้ว +1

    Huyu Outtara mzitoo

  • @eliyamloy3490
    @eliyamloy3490 ปีที่แล้ว +1

    Yan mpira ndio tumejua katikati Kwenye namba 6 hakuna kama Kanoute

  • @klangeniustz5767
    @klangeniustz5767 ปีที่แล้ว +1

    Hello habari wanachama wa simba naombeni saport ya kusikiliza bila kusahau kusubscribe andika klan genius song sawa

  • @amiltonmichael5377
    @amiltonmichael5377 ปีที่แล้ว +1

    Simba ni chama
    Simba ni inonga

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 ปีที่แล้ว

    🔥🔥

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 ปีที่แล้ว +1

    Hili li chama linajuwa ila alichokifanya ninkibaya sana

  • @nkoydavid9658
    @nkoydavid9658 ปีที่แล้ว +1

    Inonga na Outtar kwa nn wanakuwa mstar Mmoja ?

  • @denisekenwhite7766
    @denisekenwhite7766 ปีที่แล้ว

    Good pre season for Asante kotoko

  • @cat-kr1ro
    @cat-kr1ro ปีที่แล้ว +1

    This defender quatarra was very poor.. So tired

  • @leeobite5657
    @leeobite5657 ปีที่แล้ว +1

    Adhana inaadhiniwa lkn chaajabu mpira unaendelea tyu...mbona Allah Aheshimiw?

  • @mohamedisalumu5135
    @mohamedisalumu5135 ปีที่แล้ว +1

    Yani Bado tunauzembe wa beki kutegeana sijui utaisha lini mana otatar kma onyango tu

  • @mbwizax87
    @mbwizax87 ปีที่แล้ว

    Sakho kafungisha goal la kwanza kwasababu ya misifa yake

  • @ramadhanirajabu8932
    @ramadhanirajabu8932 ปีที่แล้ว

    Sijamuelewa msudani kbx mzito xan

  • @salihalash4111
    @salihalash4111 ปีที่แล้ว +2

    I dont think you will see beautiful stadiums like this in tanzania
    Only in Sudan

    • @mduda_i
      @mduda_i ปีที่แล้ว

      we have the most beautiful stadium in east and central africa, do your research 😂 you will be ashamed

    • @salihalash4111
      @salihalash4111 ปีที่แล้ว

      @@mduda_ihahahahh which stadium you even have? A club like simba dint even hve private stadium and fir 10 years they talking about mo arena which is fantasy

    • @issackntacho710
      @issackntacho710 ปีที่แล้ว

      Hahahaaaa,,,,is that a beautiful stadium that makes you be proud of?,,, come in Tanzania there are so many best stdiums

    • @mokaamohammed2441
      @mokaamohammed2441 ปีที่แล้ว +1

      don't worry about this comment this from Al mreekh fans they are always trouble makers between Al hilal and other teams we are from the same land mama Africa

    • @Abasiyacity
      @Abasiyacity ปีที่แล้ว +2

      Sudans biggest stadium is still under construction, this just Alhilal stadium 🏟🔥

  • @shafiismaily9223
    @shafiismaily9223 ปีที่แล้ว

    Kwenye ule ugomvi chama kamkanyaga kwa makusudi mkono wa mchezaji wa Asante kotoko.

  • @jumamwarabu9307
    @jumamwarabu9307 ปีที่แล้ว

    Kweli time shinda LAKINI leo HAKUNA kiwangu chochote

  • @nyaganyaga3876
    @nyaganyaga3876 ปีที่แล้ว

    Mwalimu ni mtaalam anajua ila onyango na inonga wanacheza vizuri Sana kuliko huyu outtar. Mzungu naye mmm acha tuendelee kumwona.

  • @madukaj.j.6999
    @madukaj.j.6999 ปีที่แล้ว +1

    Ouattara hapo nado hafai

  • @djibrilsaidikagambaje97
    @djibrilsaidikagambaje97 ปีที่แล้ว

    Imenikumbusha chama alichomfanyia nchimbi

  • @africaendlesscruising
    @africaendlesscruising ปีที่แล้ว

    Hii ni Asante Kotoko gani?

  • @Shijajohn5084
    @Shijajohn5084 ปีที่แล้ว +1

    Huyu outara atafutiwe namba nyingine cio hyo ya beki wa mwisho hawezi kabsa kufanya maamuzi.

    • @binaljabirmshihirzanzibar8369
      @binaljabirmshihirzanzibar8369 ปีที่แล้ว +1

      Upo sahihi maneno yako maana mtu wa mwisho ikishaa hana mamuz ya faster

    • @thomasabelmwakipesile5280
      @thomasabelmwakipesile5280 ปีที่แล้ว

      Hata mechi na Yanga nilimshangaa amemwona mayele yuko mbele yake akamkimbia ili acheze offside bila kuangalia mabeki wengine wapo kwenye position gani! Kwa ujumla yule jamaa hana uwezo wa kumweka benchi beki yoyote kati ya Inonga na Onyango! Sema ni mchezaji wa kocha!

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 ปีที่แล้ว

    Onyango n beki kuliko waliopo

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 ปีที่แล้ว

    Inonga n mchezaji

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 ปีที่แล้ว

    Huyo chama kumbe sio mstàrabu hata kidogo. Mtu anakataa kukubali samahani yako kisha u amkanyaga mkono kwa makusudi. Ovyoooooooooo.

    • @yohanamchekwa1803
      @yohanamchekwa1803 ปีที่แล้ว

      ndo ulicho kiona wewe?

    • @alimohammedomar3412
      @alimohammedomar3412 ปีที่แล้ว

      @@yohanamchekwa1803 . Ndiyo nimeona hicho kwani mpira ni uadui? Wewe hukukiona?

    • @Saidkhel
      @Saidkhel ปีที่แล้ว

      Andamana

    • @Saidkhel
      @Saidkhel ปีที่แล้ว

      Kumbe mnafuatilia simba nyie utopolo

    • @NellyWaKidato
      @NellyWaKidato ปีที่แล้ว

      @@Saidkhel kumanyoko Shoga Wewe 🖕🖕🖕🖕

  • @wajawemaonlineTv
    @wajawemaonlineTv ปีที่แล้ว

    th-cam.com/video/CZX_KvtwUBc/w-d-xo.html
    USISAHAU JAMBO HILI KUHUSIANA NA TOBA
    MZUNGUMZAJI SHEIKH ABDUL RAUFU AL MUNAAWI

  • @jamalhatibu777
    @jamalhatibu777 ปีที่แล้ว +2

    Hii ni mechi ya kirafki ya kimataifa lengo kubwa ni wachezaji kujiweka fiti na mwalimu kupata nafasi kuona matatizo yako wapi, kwa mchezaji profesional kama chama kuonesha vitendo ambavyo si vya kiungwana vinamuondolea hadhi yakuitwa mchezaji wa kimataifa, kuna sababu gani ya kumkanyaga makusudi mchezaji aliedondoka chini kwa sababu tuu kakataa kunyanyuka? shame on you.

    • @Saidkhel
      @Saidkhel ปีที่แล้ว

      Tuliza kinyeo

    • @beriasmasanga6859
      @beriasmasanga6859 ปีที่แล้ว

      ONYANGO ARUDISHWE HARAKA KABLA YA HU YU KOCHA KUTUAIBISHA, SI KOCHA

    • @beriasmasanga6859
      @beriasmasanga6859 ปีที่แล้ว

      Kama onyango ni mzee mbona yeye kocha pia mzee?

    • @yusuphabsaid8151
      @yusuphabsaid8151 ปีที่แล้ว

      Sasa na yeye kwa nn agome kunyanyuka bora alivyomkanyaga akome

  • @RashidKhan-zq2hy
    @RashidKhan-zq2hy ปีที่แล้ว +7

    Adhana Maa Shaa Allah alhamdulillah rabbil aalamiin uisilam raha

    • @benjaminchakwe9815
      @benjaminchakwe9815 ปีที่แล้ว

      Acha ushamba wewe uislam na ukristro wte ni MUNGU 1 tu Acha kuleta udini wewe

  • @isackphilip4051
    @isackphilip4051 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah

  • @pepchallanga3626
    @pepchallanga3626 ปีที่แล้ว +1

    Chama ni KDB wa bongo

  • @sophiahussein8858
    @sophiahussein8858 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah