VITASA | Nasibu Ramadhan vs Juma Choki | Dar Boxing Derby 29/06/2024
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 มิ.ย. 2024
- Knock Down raundi ya saba imempa ushindi wa pointi Juma Choki dhidi ya Nasibu Ramadhan katika pambano kuu (main card) la Usiku wa Vitasa Dar Boxing Derby kwenye viwanja vya Posta , Kijitonyama, Dar es Salaam.
- กีฬา
Daaaa awa wote nindugu zangu nawapenda sana choki nasibu najifunza kitu kwaho
Nimefurahi sana aisee
Nanukuu"Ili uwe mkubwa lazima upigane na wakubwa"Samahani brother Ibrahim class you are next.
Nassib alipoteza umakini (concentration) akaanza kushangilia kabla ya mechi kuisha. Choki alikuwa na nidhamu ya mchezo na muda wote alizingatia game plan yake.
Bila knockdown nasibu alikuwa ameshinda hili fight. Ila chok aliweza kum counter vizuri round ya saba
Sasa ndo ishatokea kwahyo hajashinda
Nakukubali sana choki hujawahi kuniangusha
Choki alifanya vizuri, Ila Nasibu alikuwa mzuri sana. Nice ile knckdown tu . na sana uwanja ulikuwa unateleza kwa kiasi fulani.
Hiyo knockdown ni hatari, nadhani nasib alihis knockdown ya pili last round angereact ndo maana akaamua amalize pambano bila kujali kilichotokea. Akili kubwa kwa bondia... It was a clinical fight,🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Yaan ukihesabu laung kalubia 5-6 chok kaongoza lichaya hata ya nokdawn nasibu kapigwa vizuri2
Nasibu alikua vizur Tu Ila kuanguka ndio kume mpa ushindi juma
Pambano lilikuwa kali sana na tume enjoy,NASIBU NA JUMA CHOKI WOTE WA KALI ILA LAZIMA TUPATE namba 1 na 2,hatimaye JUMA CHOKI AMEKUWA CHAMPION👑👑 kitu ambacho binafsi kime nifurahisha sana JUMA CHOKI KUWA CHAMPION😂😂😂.Watangazaji wetu wa ngumi miyeyusho sana wana msifia NASIBU kila kitu kazi ya choki hawaioni sasa hao wote ni watanzania mnahalibu sana yani.
Juma choking anajuaa sanaa me ni moja ya fan wakee
kweli hii ni derb, maana ngumi zimechomoka balaa 💥💥💥💥
Champion choki #26
Choki best boxer up coming hongera yke sana kwa usugu alionesha mabondia wengine hawatamgusa,mkongwe shoo kaielewa ya dogo kaweza kumuonyesha
Nimejikuta machozi yananitoka congratulation 👏👏juma choki
Choki aliscore Sana hata ile knock down Choki hakutaka tu kumdhalilisha nasib maana alivyodondoshwa aliamka anayumba Kama kuku mwenyekideri
Nasibu talented sana, Choki aliotea tu, bado sana kwa jamaa
Hapo siwezi kubashili wote wakali ❤
Oya mwanangu choki💪🙌
Dah Lkn watangazaji Kama mngefurahi zaidi naseb angeshinda .. 😂😂😂
Kuna mmoja naseeb akipiga anasema safiii.. Mara nice... Ila knock down 😁😁😁
Nasibu amedhulumiwa na alistahili kushinda hili pambano kwa maana kila round inajitegemea na Nasib ameongoza round zote hata hiyo ya Saba Kama sio kuangushwa pia alikua anaongoa. Sasa vipi aliyeongoza round Saba apigwe na aliyeongoza round moja? Turudi nyuma kidogo, ktk mechi ya Kiduku na Dullah Mbabe. Kiduku aliangushwa round ya kwanza na akaongoza round zilizofuata na akawa bingwa!! Sasa hizi Sheria Ni tofauti au Ni maamuzi ya chuki?
ina maana nock down ina pont kubwa sna lakin tukiangalia round sote nasib aliscoo sana lakin wote ni mabondia wazur najivuna kuona vijana wetu wanapafom vizur nazani watafanya haya nje ya Tanzania pia inshallah mungu awasaidie kufka katika malengo yao
Sijapata Kuona wakali wenye kila kitu kama hawa daah Kwa kweli nimeona boxing tamu sana
Choki ni king off the ring siku zote habahatishi
Watangaziji mume mchambua nasibu au ngumi msiwe wasenge Kuna za mama zenu nasibu nasibu kapigwa sasa😊 11:22
😊
Nasib ni kamzidi sana juma choki kwa kila kila kitu. Nasibu is more technical than juma na nasib ana hands speed kubwa kuliko juma na nasib ana counter nzuri zaidi kuliko juma. Nasib is more skilled than juma. Knockdown to nasib imekuja kibahati tu. From 1st to 6th round nasib dominated the fight. Huu ndio ukweli
Nasibu fundi zaidi ya choki ila Kwa Jana one mistake one goli Tunaomba rirudiwe chapu.
yote kw yote nassibu n bondia mzur sana mkongwe anaesumbua kizaz kipya ongera broo👍👍👍
Sasa Naseeb wamtaka Ibrahim class Kisha hao wa chini wanakushinda
Duuuuh hiii gem ni dangerous 🔥 🔥🔥🔥
mgumi kali sana sioo wa kina mandonga nikukumbatiana tuuuu apa ni ngumiii jiwe tuu mpakaa mwishoo🔥🔥🔥🔥
Hii ni fighting bora kuliko hao wakina mwakinyo sijui twaha... Wanakumbatianakumbatiana tu, hawa wauni wanatupa mawe tu
mwakinyo kaingiaje kwenye kukumbatia ni mchezo wa twaha mwakinyo foot steps zinatembea na kujilinda na anacount fuatili ngumi
@@jumanneally3303 sijamtaja pekeake, nimetaja mabondia wawili wanaofahamika kuwakilisha wengine. Na maana yangu ni kwamba kuna watu wanashawishi mtu afuatilie ngumi si wao tu. Hata yeye amesema hapo hakutegemea kuona watu wengi hivyo. Hatuwezi kuwapa kichwa watu wawili tu kilasiku
huyu juma choki ni bondia mzuri sana kama atapata watu wakumfundisha vizuri atakuja kuwa nembo ya taifa .
Umri umri
@@GibsonNtamamilo sema umri ndio tatizo
Choki ndo King kwenye boxing 🇹🇿 kwa sasa
Unaumwa mavi kweli yaan Choki ndio king kwenye boxing nchin,🇹🇿, 😂😂😂,, je uliwah kumfuatilia yule Mnyarukolo wa Iringa,, mweny kisauti nyembamba,, Wanamuita MAWE.. 🤣🤣🤣
@@AyubuMuhanga wewe ni mpumbavu nadhani
Wanamichezo hupunguza sana umri lkn Naseeb kimichezo tayari ni mtu mzima.Nasibu tunaemjua asingeweza kupoteza kwa bondia aliecheza kwa kiwango kile.Yote kwa yote Nidhamu yake na Heshima inatulazimu tuendelee kumpenda nakusimama nae hata apigwe mara mia.
Huyo mchanganyaji picha wa Azam tv hayupo sawa
Bwanga,juma,ton, nimefurai sana
Choki kiukweli anajua sana, Kila round alikuabors
Aibu sanaa michambuzi yote ilikuwa inamsifia mno naseeb
Ni kawaida yao hawa ni team kiduku team class na timu kidunda,mfaume pia yan wakipigana hawa watu wenywe wanawasifia tu wapo upande wao
Kweli kaka imepata aibu
Haswaa yule wa wasafi George job alimponda sana chokii
Kama si choki kumuangusha nasibu bas ao watangazaji ad majaji ushindi wange mpa nasibu wakati tangu pambano lina anza choki anachukua pwenti nyingi kila round
Nimegundua kuna wakati hata wachambuzi wa ngumi nao kama wale wanaochambua simba na yanga,mnazidisha mpenzi wa upande mmoja.
hii ndio fight 🔥🔥🔥
Nasibub kaigwa kwa raund moja
Awa jamaa wanavipaji sana🙏🙏
Ngumi nzuri
dah wote wanangu na mmecheza vzur ila choki amestail ushind👑👑
Nasibu unajua Brooo
nyinyi wachambuzi waongo kazi msifia mtu mmoja mnabondia wenu mtu anachezea makonde amsemi kapigwa sasa
Yani wachambuz wapo kishabik siy kuchambua ngumi haipendez ila kikumbw kila mtu anaona kilichopo ulingon chok yup juuuuu
Daaaa nasibu alikua anashinda
Mmemdhukumu nasibu
Woteniwazurisana❤❤❤❤
Bondia ukiendekeza sana chini kiwango chako lazima kishuke
Kazi na umri🤓
Amezowea kuwakosowa wenzake haya ni mapinduzi anayoyaweza ni clace TU.
Nawibu kapigwa ngumi nyingi sana
Kiukweli nimeinjoi sana
Hii fight naomba irudiwe
Kilimponza Nasseb Alimdharau Mpinzani Wake Na Ilo Ndo Kosa Kubwa , Akapunguza Umaskini Wa Kujilinda
Nilikuwa sijui kitakachootokea kwahii fight maana ni moto
Kaz kaz ni shidaaa
Jamaa mko vzr
Hii game inahitaji revenge ya haraka mno ili choki athibitishe kama kweli ni mshindi isingekuwa ile knock down round ya saba nasibu alikuwa anaongoza kqa kila hali choki kabahatisha ili kusiwe na maneno pambano lirudiweapema tu.
Kabahatisha wapi wakati kampiga wote tumeona tuwe wakweli ngumi ni mchezo wa makosa choki katumia nafas aliyoipata haijulishi nasib alkua akiongoza kwa round nying
Hawa jamaa wote washindi nimewakubali sana sio yule muimba taarabu wa Tanga😂😂😂
Mwakinyo na Twaha bado sana kwa hawa jamaa
Choki kiboko inabidi ucheze na class
Class anaogopa
Wewe class abari nyingine wewe
Class afikii uwezo wa choki .pia choki akipata muekezaji wa pesa mzuri atasumbua sana ndani ya nchi mbaka majuu ana style kama Davis USA
Wote mabondia wazr izo ndio ngum
wachambuzi waongo waongo chupli chupli amsemi ukweli nassib anapigwa panchi nyingi amsemi mna watu wenu
nasibu bondia mzr ila UTOPOLO wamemtia nuksi kusema et watamshangilia na wapo upande wke ndo maana akapoteza 😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Uyuu mtangazaji ameumia san😢
Jamn tuwapongez hao wote wanaume🎉🎉🎉🎉😅😅😅😅
Mabondia wa mologolo wajfunze ngumi apa kiukweli tu bila majungu, yan uwez kuacha kununua kifurush au bando
Nasibu kashinda huu mchezo 100%
Mabigwa wamekutana
Ujuu mtangazaji anatim yake apa😂😂
Hizi ndio ngumi sasa
Round ya 6 ndio imekuponzaa Nasibu....uwezi kutoa bikra kama ulivyosema
Ila juma choki ni mwakinyo wa pl kiukwl yn inxhort role modal wake ni mwakinyo
we nawe usifananishe uchafu wako na choki xa mwakinyo anajuwa nn wakati kwa twaha anamhogopa bondia wako mzaaa changa za tanga hko
Ila juma choki apewe maua yake
Hizi ndo ngumi sasa za kutufikisha tunapopataka kwenye boxing ya tz
Nasibu amejitahid
ila mmmmh nasibu angemuangusha maramoja TU juma choki kama yeye alivyo angushwa majaji wangembeba nasibu ila ndo ivyo Tena aikuwezakana but juma choki anajua sana Mimi namkubali sana choki king of the ring fundi sana huyu dogo big up God bless u
Juma choki kuanzia round ya tano alitulia na kupunguza miheuko ya mashabiki…pambano zuri.. huyo Nassib ana umri gani sijui?
31naseeb choki 27 sikosei
@@careemissa2502 ok
Borà apigwe kinamwaju wanyamaze kushangilia
Nasib kashinda, mi sio mshabiki wa yoyote apo ila napenda boxing.
Jamani nasibu naye kashaanza kuchoka mmmmh mke wake kama namuona vile anavyolia
Nasibu wangu jamani imekuwaje
Nyi3 ndio mnaa mmaliza
Hahahah
@@abubakarjumakhamisi370