VITASA | Nasibu Ramadhan vs Juma Choki | Dar Boxing Derby 29/06/2024

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 มิ.ย. 2024
  • Knock Down raundi ya saba imempa ushindi wa pointi Juma Choki dhidi ya Nasibu Ramadhan katika pambano kuu (main card) la Usiku wa Vitasa Dar Boxing Derby kwenye viwanja vya Posta , Kijitonyama, Dar es Salaam.
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 109

  • @philipomapundaa6801
    @philipomapundaa6801 วันที่ผ่านมา +2

    Daaaa awa wote nindugu zangu nawapenda sana choki nasibu najifunza kitu kwaho

  • @GeorgeMihambo-mo4gx
    @GeorgeMihambo-mo4gx วันที่ผ่านมา +4

    Nimefurahi sana aisee

  • @andrewmmassy5204
    @andrewmmassy5204 วันที่ผ่านมา +1

    Nanukuu"Ili uwe mkubwa lazima upigane na wakubwa"Samahani brother Ibrahim class you are next.

  • @aaroneu07
    @aaroneu07 วันที่ผ่านมา +2

    Nassib alipoteza umakini (concentration) akaanza kushangilia kabla ya mechi kuisha. Choki alikuwa na nidhamu ya mchezo na muda wote alizingatia game plan yake.

  • @quswaisizya7197
    @quswaisizya7197 วันที่ผ่านมา +8

    Bila knockdown nasibu alikuwa ameshinda hili fight. Ila chok aliweza kum counter vizuri round ya saba

    • @allymagari
      @allymagari วันที่ผ่านมา

      Sasa ndo ishatokea kwahyo hajashinda

  • @NelsonKayinga
    @NelsonKayinga วันที่ผ่านมา +1

    Nakukubali sana choki hujawahi kuniangusha

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud3634 18 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Choki alifanya vizuri, Ila Nasibu alikuwa mzuri sana. Nice ile knckdown tu . na sana uwanja ulikuwa unateleza kwa kiasi fulani.

  • @JustineNyome-j1g
    @JustineNyome-j1g วันที่ผ่านมา +1

    Hiyo knockdown ni hatari, nadhani nasib alihis knockdown ya pili last round angereact ndo maana akaamua amalize pambano bila kujali kilichotokea. Akili kubwa kwa bondia... It was a clinical fight,🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Ybsgibsondaniely
    @Ybsgibsondaniely วันที่ผ่านมา +1

    Yaan ukihesabu laung kalubia 5-6 chok kaongoza lichaya hata ya nokdawn nasibu kapigwa vizuri2

  • @FatimaFati-pu4lb
    @FatimaFati-pu4lb วันที่ผ่านมา +1

    Nasibu alikua vizur Tu Ila kuanguka ndio kume mpa ushindi juma

  • @samunasary1449
    @samunasary1449 วันที่ผ่านมา +1

    Pambano lilikuwa kali sana na tume enjoy,NASIBU NA JUMA CHOKI WOTE WA KALI ILA LAZIMA TUPATE namba 1 na 2,hatimaye JUMA CHOKI AMEKUWA CHAMPION👑👑 kitu ambacho binafsi kime nifurahisha sana JUMA CHOKI KUWA CHAMPION😂😂😂.Watangazaji wetu wa ngumi miyeyusho sana wana msifia NASIBU kila kitu kazi ya choki hawaioni sasa hao wote ni watanzania mnahalibu sana yani.

  • @JamesReuben-gt8up
    @JamesReuben-gt8up 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Juma choking anajuaa sanaa me ni moja ya fan wakee

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 20 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    kweli hii ni derb, maana ngumi zimechomoka balaa 💥💥💥💥

  • @dattyjeremiah5877
    @dattyjeremiah5877 วันที่ผ่านมา +2

    Champion choki #26

  • @ShokiRamadhani-qq3ds
    @ShokiRamadhani-qq3ds วันที่ผ่านมา

    Choki best boxer up coming hongera yke sana kwa usugu alionesha mabondia wengine hawatamgusa,mkongwe shoo kaielewa ya dogo kaweza kumuonyesha

  • @user-rf7ib6rl2p
    @user-rf7ib6rl2p วันที่ผ่านมา

    Nimejikuta machozi yananitoka congratulation 👏👏juma choki

  • @samweljumanne-wo2pu
    @samweljumanne-wo2pu 18 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Choki aliscore Sana hata ile knock down Choki hakutaka tu kumdhalilisha nasib maana alivyodondoshwa aliamka anayumba Kama kuku mwenyekideri

  • @joelgeorge9985
    @joelgeorge9985 วันที่ผ่านมา

    Nasibu talented sana, Choki aliotea tu, bado sana kwa jamaa

  • @user-ul6cs6kk7v
    @user-ul6cs6kk7v วันที่ผ่านมา

    Hapo siwezi kubashili wote wakali ❤

  • @SaidiMkome-qq7hy
    @SaidiMkome-qq7hy วันที่ผ่านมา +3

    Oya mwanangu choki💪🙌

  • @JohnsonDickson-ry6hz
    @JohnsonDickson-ry6hz วันที่ผ่านมา +1

    Dah Lkn watangazaji Kama mngefurahi zaidi naseb angeshinda .. 😂😂😂
    Kuna mmoja naseeb akipiga anasema safiii.. Mara nice... Ila knock down 😁😁😁

  • @wazirisaid8326
    @wazirisaid8326 วันที่ผ่านมา +1

    Nasibu amedhulumiwa na alistahili kushinda hili pambano kwa maana kila round inajitegemea na Nasib ameongoza round zote hata hiyo ya Saba Kama sio kuangushwa pia alikua anaongoa. Sasa vipi aliyeongoza round Saba apigwe na aliyeongoza round moja? Turudi nyuma kidogo, ktk mechi ya Kiduku na Dullah Mbabe. Kiduku aliangushwa round ya kwanza na akaongoza round zilizofuata na akawa bingwa!! Sasa hizi Sheria Ni tofauti au Ni maamuzi ya chuki?

  • @jokha-rp5pu
    @jokha-rp5pu วันที่ผ่านมา

    ina maana nock down ina pont kubwa sna lakin tukiangalia round sote nasib aliscoo sana lakin wote ni mabondia wazur najivuna kuona vijana wetu wanapafom vizur nazani watafanya haya nje ya Tanzania pia inshallah mungu awasaidie kufka katika malengo yao

  • @mr.performance2533
    @mr.performance2533 วันที่ผ่านมา

    Sijapata Kuona wakali wenye kila kitu kama hawa daah Kwa kweli nimeona boxing tamu sana

  • @giftprosper2355
    @giftprosper2355 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Choki ni king off the ring siku zote habahatishi

  • @DavisMajor-sb2oz
    @DavisMajor-sb2oz 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Watangaziji mume mchambua nasibu au ngumi msiwe wasenge Kuna za mama zenu nasibu nasibu kapigwa sasa😊 11:22
    😊

  • @mnanasuly2585
    @mnanasuly2585 วันที่ผ่านมา

    Nasib ni kamzidi sana juma choki kwa kila kila kitu. Nasibu is more technical than juma na nasib ana hands speed kubwa kuliko juma na nasib ana counter nzuri zaidi kuliko juma. Nasib is more skilled than juma. Knockdown to nasib imekuja kibahati tu. From 1st to 6th round nasib dominated the fight. Huu ndio ukweli

  • @MosesKilumile
    @MosesKilumile วันที่ผ่านมา

    Nasibu fundi zaidi ya choki ila Kwa Jana one mistake one goli Tunaomba rirudiwe chapu.

  • @user-sk2cr8pm1e
    @user-sk2cr8pm1e 2 วันที่ผ่านมา

    yote kw yote nassibu n bondia mzur sana mkongwe anaesumbua kizaz kipya ongera broo👍👍👍

  • @mwaramially2651
    @mwaramially2651 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Sasa Naseeb wamtaka Ibrahim class Kisha hao wa chini wanakushinda

  • @silvanokepher6441
    @silvanokepher6441 วันที่ผ่านมา

    Duuuuh hiii gem ni dangerous 🔥 🔥🔥🔥

  • @JamesJoramu
    @JamesJoramu วันที่ผ่านมา

    mgumi kali sana sioo wa kina mandonga nikukumbatiana tuuuu apa ni ngumiii jiwe tuu mpakaa mwishoo🔥🔥🔥🔥

  • @barakayesaya5000
    @barakayesaya5000 18 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Hii ni fighting bora kuliko hao wakina mwakinyo sijui twaha... Wanakumbatianakumbatiana tu, hawa wauni wanatupa mawe tu

    • @jumanneally3303
      @jumanneally3303 16 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      mwakinyo kaingiaje kwenye kukumbatia ni mchezo wa twaha mwakinyo foot steps zinatembea na kujilinda na anacount fuatili ngumi

    • @barakayesaya5000
      @barakayesaya5000 16 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@jumanneally3303 sijamtaja pekeake, nimetaja mabondia wawili wanaofahamika kuwakilisha wengine. Na maana yangu ni kwamba kuna watu wanashawishi mtu afuatilie ngumi si wao tu. Hata yeye amesema hapo hakutegemea kuona watu wengi hivyo. Hatuwezi kuwapa kichwa watu wawili tu kilasiku

  • @greysonmandai132
    @greysonmandai132 วันที่ผ่านมา +1

    huyu juma choki ni bondia mzuri sana kama atapata watu wakumfundisha vizuri atakuja kuwa nembo ya taifa .

  • @msemakweli243
    @msemakweli243 วันที่ผ่านมา +1

    Choki ndo King kwenye boxing 🇹🇿 kwa sasa

    • @AyubuMuhanga
      @AyubuMuhanga 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Unaumwa mavi kweli yaan Choki ndio king kwenye boxing nchin,🇹🇿, 😂😂😂,, je uliwah kumfuatilia yule Mnyarukolo wa Iringa,, mweny kisauti nyembamba,, Wanamuita MAWE.. 🤣🤣🤣

    • @msemakweli243
      @msemakweli243 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@AyubuMuhanga wewe ni mpumbavu nadhani

  • @user-ms1xg1fp4v
    @user-ms1xg1fp4v วันที่ผ่านมา

    Wanamichezo hupunguza sana umri lkn Naseeb kimichezo tayari ni mtu mzima.Nasibu tunaemjua asingeweza kupoteza kwa bondia aliecheza kwa kiwango kile.Yote kwa yote Nidhamu yake na Heshima inatulazimu tuendelee kumpenda nakusimama nae hata apigwe mara mia.

  • @nas_2761
    @nas_2761 วันที่ผ่านมา

    Huyo mchanganyaji picha wa Azam tv hayupo sawa

  • @SiwaMudrick-ny3cc
    @SiwaMudrick-ny3cc 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Bwanga,juma,ton, nimefurai sana

  • @user-ex7bh1np4t
    @user-ex7bh1np4t วันที่ผ่านมา

    Choki kiukweli anajua sana, Kila round alikuabors

  • @fadhilisanga3679
    @fadhilisanga3679 วันที่ผ่านมา +3

    Aibu sanaa michambuzi yote ilikuwa inamsifia mno naseeb

    • @Alexismadimo
      @Alexismadimo วันที่ผ่านมา

      Ni kawaida yao hawa ni team kiduku team class na timu kidunda,mfaume pia yan wakipigana hawa watu wenywe wanawasifia tu wapo upande wao

    • @Bakari-dr1if
      @Bakari-dr1if วันที่ผ่านมา

      Kweli kaka imepata aibu

    • @JamesReuben-gt8up
      @JamesReuben-gt8up 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Haswaa yule wa wasafi George job alimponda sana chokii

    • @daudiraphaeli2928
      @daudiraphaeli2928 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Kama si choki kumuangusha nasibu bas ao watangazaji ad majaji ushindi wange mpa nasibu wakati tangu pambano lina anza choki anachukua pwenti nyingi kila round

  • @NkondokayaJoe
    @NkondokayaJoe วันที่ผ่านมา

    Nimegundua kuna wakati hata wachambuzi wa ngumi nao kama wale wanaochambua simba na yanga,mnazidisha mpenzi wa upande mmoja.

  • @hassankistaokazungu2707
    @hassankistaokazungu2707 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    hii ndio fight 🔥🔥🔥

  • @TomasIsdor
    @TomasIsdor วันที่ผ่านมา +1

    Nasibub kaigwa kwa raund moja

  • @ASALABOY
    @ASALABOY 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Awa jamaa wanavipaji sana🙏🙏

  • @abelmwakipesile9868
    @abelmwakipesile9868 วันที่ผ่านมา

    Ngumi nzuri

  • @user-sk2cr8pm1e
    @user-sk2cr8pm1e 2 วันที่ผ่านมา

    dah wote wanangu na mmecheza vzur ila choki amestail ushind👑👑

  • @EmmanuelEmmanuel-b5w
    @EmmanuelEmmanuel-b5w วันที่ผ่านมา

    Nasibu unajua Brooo

  • @jumanneally3303
    @jumanneally3303 16 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    nyinyi wachambuzi waongo kazi msifia mtu mmoja mnabondia wenu mtu anachezea makonde amsemi kapigwa sasa

  • @AugustinoMateru
    @AugustinoMateru วันที่ผ่านมา

    Yani wachambuz wapo kishabik siy kuchambua ngumi haipendez ila kikumbw kila mtu anaona kilichopo ulingon chok yup juuuuu

  • @FatimaFati-pu4lb
    @FatimaFati-pu4lb วันที่ผ่านมา

    Daaaa nasibu alikua anashinda

  • @AshaMwamba
    @AshaMwamba วันที่ผ่านมา

    Mmemdhukumu nasibu

  • @SelemaniKidundo
    @SelemaniKidundo วันที่ผ่านมา +1

    Woteniwazurisana❤❤❤❤

  • @user-uq3dq7sr3l
    @user-uq3dq7sr3l วันที่ผ่านมา

    Bondia ukiendekeza sana chini kiwango chako lazima kishuke

    • @Clex-f5s
      @Clex-f5s วันที่ผ่านมา

      Kazi na umri🤓

  • @AsiaNgoleka
    @AsiaNgoleka วันที่ผ่านมา

    Amezowea kuwakosowa wenzake haya ni mapinduzi anayoyaweza ni clace TU.

  • @gavethhans5242
    @gavethhans5242 วันที่ผ่านมา

    Nawibu kapigwa ngumi nyingi sana

  • @ONEdreamfilmtz
    @ONEdreamfilmtz วันที่ผ่านมา

    Kiukweli nimeinjoi sana

  • @user-hy3en6vk5f
    @user-hy3en6vk5f วันที่ผ่านมา

    Hii fight naomba irudiwe

  • @clemenceleonard1089
    @clemenceleonard1089 วันที่ผ่านมา

    Kilimponza Nasseb Alimdharau Mpinzani Wake Na Ilo Ndo Kosa Kubwa , Akapunguza Umaskini Wa Kujilinda

  • @saidyusuph-g3x
    @saidyusuph-g3x วันที่ผ่านมา

    Nilikuwa sijui kitakachootokea kwahii fight maana ni moto

  • @user-dz7wq2ql3p
    @user-dz7wq2ql3p วันที่ผ่านมา

    Kaz kaz ni shidaaa

  • @shebanishebe7866
    @shebanishebe7866 วันที่ผ่านมา

    Jamaa mko vzr

  • @abdallahussi2978
    @abdallahussi2978 วันที่ผ่านมา

    Hii game inahitaji revenge ya haraka mno ili choki athibitishe kama kweli ni mshindi isingekuwa ile knock down round ya saba nasibu alikuwa anaongoza kqa kila hali choki kabahatisha ili kusiwe na maneno pambano lirudiweapema tu.

    • @ramajuma1071
      @ramajuma1071 วันที่ผ่านมา

      Kabahatisha wapi wakati kampiga wote tumeona tuwe wakweli ngumi ni mchezo wa makosa choki katumia nafas aliyoipata haijulishi nasib alkua akiongoza kwa round nying

  • @shabanimkange3512
    @shabanimkange3512 วันที่ผ่านมา

    Hawa jamaa wote washindi nimewakubali sana sio yule muimba taarabu wa Tanga😂😂😂

  • @abdulsintoro5797
    @abdulsintoro5797 วันที่ผ่านมา

    Mwakinyo na Twaha bado sana kwa hawa jamaa

  • @odingamawe
    @odingamawe วันที่ผ่านมา +1

    Choki kiboko inabidi ucheze na class

    • @MoosaMzinga
      @MoosaMzinga วันที่ผ่านมา +1

      Class anaogopa

    • @Hope-ok9dy
      @Hope-ok9dy วันที่ผ่านมา

      Wewe class abari nyingine wewe

    • @yoramnhayo6099
      @yoramnhayo6099 วันที่ผ่านมา

      Class afikii uwezo wa choki .pia choki akipata muekezaji wa pesa mzuri atasumbua sana ndani ya nchi mbaka majuu ana style kama Davis USA

  • @SaidDilunga-q6e
    @SaidDilunga-q6e วันที่ผ่านมา

    Wote mabondia wazr izo ndio ngum

  • @jumanneally3303
    @jumanneally3303 16 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    wachambuzi waongo waongo chupli chupli amsemi ukweli nassib anapigwa panchi nyingi amsemi mna watu wenu

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 2 วันที่ผ่านมา +1

    nasibu bondia mzr ila UTOPOLO wamemtia nuksi kusema et watamshangilia na wapo upande wke ndo maana akapoteza 😂😂

  • @user-wq4us6nm8b
    @user-wq4us6nm8b วันที่ผ่านมา

    Uyuu mtangazaji ameumia san😢

  • @JovitusJames-gy4rk
    @JovitusJames-gy4rk 22 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Jamn tuwapongez hao wote wanaume🎉🎉🎉🎉😅😅😅😅

  • @user-ei9xd4qs7o
    @user-ei9xd4qs7o วันที่ผ่านมา

    Mabondia wa mologolo wajfunze ngumi apa kiukweli tu bila majungu, yan uwez kuacha kununua kifurush au bando

  • @hasheemabby2583
    @hasheemabby2583 วันที่ผ่านมา

    Nasibu kashinda huu mchezo 100%

  • @SamwelMshana-x3l
    @SamwelMshana-x3l วันที่ผ่านมา

    Mabigwa wamekutana

  • @user-wq4us6nm8b
    @user-wq4us6nm8b วันที่ผ่านมา

    Ujuu mtangazaji anatim yake apa😂😂

  • @ndolimanaamani9106
    @ndolimanaamani9106 วันที่ผ่านมา

    Hizi ndio ngumi sasa

  • @MoosaMzinga
    @MoosaMzinga วันที่ผ่านมา +1

    Round ya 6 ndio imekuponzaa Nasibu....uwezi kutoa bikra kama ulivyosema

  • @user-mm3nr8fv5o
    @user-mm3nr8fv5o วันที่ผ่านมา

    Ila juma choki ni mwakinyo wa pl kiukwl yn inxhort role modal wake ni mwakinyo

    • @user-cn8zp3ly7f
      @user-cn8zp3ly7f 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      we nawe usifananishe uchafu wako na choki xa mwakinyo anajuwa nn wakati kwa twaha anamhogopa bondia wako mzaaa changa za tanga hko

  • @SubiraBushiri
    @SubiraBushiri วันที่ผ่านมา

    Ila juma choki apewe maua yake

  • @BrianKazaula-so3zf
    @BrianKazaula-so3zf วันที่ผ่านมา +1

    Hizi ndo ngumi sasa za kutufikisha tunapopataka kwenye boxing ya tz

  • @AshaMwamba
    @AshaMwamba วันที่ผ่านมา

    Nasibu amejitahid

  • @user-uq3dq7sr3l
    @user-uq3dq7sr3l วันที่ผ่านมา +1

    ila mmmmh nasibu angemuangusha maramoja TU juma choki kama yeye alivyo angushwa majaji wangembeba nasibu ila ndo ivyo Tena aikuwezakana but juma choki anajua sana Mimi namkubali sana choki king of the ring fundi sana huyu dogo big up God bless u

  • @chayomgonja3131
    @chayomgonja3131 วันที่ผ่านมา

    Juma choki kuanzia round ya tano alitulia na kupunguza miheuko ya mashabiki…pambano zuri.. huyo Nassib ana umri gani sijui?

    • @careemissa2502
      @careemissa2502 วันที่ผ่านมา

      31naseeb choki 27 sikosei

    • @chayomgonja3131
      @chayomgonja3131 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@careemissa2502 ok

  • @hajjymohamedy-qk4ow
    @hajjymohamedy-qk4ow วันที่ผ่านมา

    Borà apigwe kinamwaju wanyamaze kushangilia

  • @felixngaiza3078
    @felixngaiza3078 วันที่ผ่านมา

    Nasib kashinda, mi sio mshabiki wa yoyote apo ila napenda boxing.

  • @user-uq3dq7sr3l
    @user-uq3dq7sr3l วันที่ผ่านมา

    Jamani nasibu naye kashaanza kuchoka mmmmh mke wake kama namuona vile anavyolia

  • @MamuJuakali
    @MamuJuakali วันที่ผ่านมา

    Nasibu wangu jamani imekuwaje

    • @abubakarjumakhamisi370
      @abubakarjumakhamisi370 วันที่ผ่านมา

      Nyi3 ndio mnaa mmaliza

    • @Ahsamc
      @Ahsamc วันที่ผ่านมา

      Hahahah
      ​@@abubakarjumakhamisi370