Kagere, Ajibu wakosa penati Simba ikiitoa Stand United kwa penati 2-3 Kombe la Shirikisho
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 24 ก.พ. 2020
- STAND UNITED 1-1 SIMBA SC (PEN: 2-3) - ASFC 25/02/2020.
Tazama magoli yote na mikwaju ya penati.
Wekundu wa Msimbazi Simba SC wamefanikiwa kutinga robo fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC) baada ya kuichapa Stand United penati 3-2 kufuatia sare ya bao 1-1 ndani ya dakika 90.
Katika mchezo huo uliopigwa kwenye Uwanja wa Kambarage Shinyanga, Simba wametangulia kufunga kwa penati ya Hassan Dilunga, na Stand kusawazisha kwa bao la Miraji Salehe.
Tazama Vodacom Premier League, taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz - กีฬา
Naipenda sana Simba
Kama umeona kipa wa stendi akiktaa hai ya dilunga like apa
Daah chama langu Leo Mnabahati sanaa Mlikuwa mnazinguwa bila chenga yan mistake ndogo ndogo sio zakuzarau zifanyieni kazi
Mi HD nampenda sana yuko makini😍😍😍😍
Hadi Chura walikua wakiishangilia Stend sasa Simba kesho tushangilie timu pinzani ya Chura fc
Kagere asiwe anapewa penati,anaboa sana
nimeona mashabik wa saresare mauwa fc kweny jukwaa la stand united
Kagere wanamuonea kumpatie apige penati bado kaathirika na penati aliyokosa wiki iliyopita.
Unajua mpira
Labda ameforce kuwepo kwenye orodha ya wapigaji
Ila Kagere tunakupenda 😍😍😍😍
asa gerson fraga anacheza nn jaman uyo m brazil bado hatujapata kiungo mkabaj mwingine kama mkude
Jamani kagere amekuaje SKU hiz
Kagere acpige tena penat
Simba baba lao,ila Kagere pumzka kupga penalt mpaka utakapobadili staili yako ya upigaji,mechi ya pili hii unataka kuicost timu,tunajua penalt haina fundi ndo Mana tunakushauri uwaachie wengne wajaribu Kama ulivyomwachia HD..Nawasilisha
duuu kweri kgr asipige zitamshushia uwezo.kwani zimeanza kumtoa mchezoni.km leo amekosa goli la wazi la kichwa
Kakolanya zote umefata big up
Jamanieeeee mi kiliochangu ninaomba kager asiwe anapiga penati yeyote ile tafadhari tafadhari kochawetu bt Mungu endelea kuibarki siimb msimu huu tufanye mabalaaa mengi saaana
Sjui kwa nin Kagere anapewa apige pernat mtatuua na presha
hatar Sana team mate wa kitaa Miraji salehe
Daaah huko mnako elekea sasa hv cyo pazur Simba chama kubwa tuctiane presha jmn
Simba nguvu 1, naiman kocha amejifunza kitu kupitia hii team ya ligi daraja la kwanza
Aache dharau
Kagere inabd kubadrka sana au ile cheni yake hawakumludishia maana toka mpambano wa simba na yang hajafunga goli lolote la kiufund panatatzo apo
Kocha ajitathimini mechi hizi siyo za majaribio
Umenena bro
Mpigaji penati wa simba awe HD a,k,a Dilunga acheni ufala kagere hamna mbeleko zishaanguka
Huyo kagere asiwe anapewa penati
Kakolanya ajitahidi kuwa anaruka juu kidogo kwenye matuta
Saaaaaafi kabisa
Mashabiki wa yanga wanauhaba wa furaha jaman wanajitahidi kuitafuta lakn wapi nimewaona Leo walihamia stend lakn bac limewaacha na tiketi zao mkononi hilooooo msimbaziiii
Jilan kaja kuchungaza kama watu watalala njaaa ajabu kakuta pilau la nguvu chezea simba wew ustegemee kukuta nyama kwenye pori la simbaaa
Duuuu hao stand wahuni sana😀😀😀
Hawa jamaa ushindi kawaida yao
HD
Yanga na allias
Simba akeeee😀😀😀😀😀😀😀
Latriciah01 Augustino
😁😁
Kesho SARE SARE FC...wanacheza saa ngapi?
Saa 10 jion uwanja wa uhuru
Sare ,sare Fc kesho wanacheza
Kagere mbona unatuangusha
Cjui nn kimemkuta
Nabbado. 💯
Aboubakar Mgongo Yanga watashuka daraja vpl
🦁🇹🇿
Hamna timu apo
Hongeren simba
Physics material
Passed like a shadoe
Passed like a shadow
Kushangilia kote na mmetoka,team ikiwa mbovu bana😂😂😂😂😂.YNWA
🔥🔥🔥
Mimi simlaumu Kagere kabisa,Mimi nalia na huyu Tairon Santos,Kocha kama anasikia,huyu jamaa rudisha kwao kabisa.
Kocha anakera coz anaona kazidiwa bt bhado kanyamaz tuh
Hamisi Kabwe makosa yapo tu katika mchezo. Haipaswi kumlaumu tairon
simba
Mtu mzima hatishiwi nyau.
Hii jaman hawa stend walifurai kumgunga simba au
Dooh
Na mwana uto alikuepo kushangilia
Walijua wameshinda
Kishingo sijui mzungu umeponea chupuchupu Leo sijui moto ungezimwa namaji ngani 😆😆😆😆
😆😆😆😆😆SIMBA BABA LAO
Matimu mengine ya kijinga,inaikamia simba huko. Linadhuka daraja
Chupu chupu tupigwe +974 🇶🇦🇶🇦🇶🇦
Kwa mbindeeee
Lakin imepita hiyo
Unateseka?
Si bola sisi kuliko nyie wazee wa sare na bado na mtateseka sanaas
@@shinunaatanasi8980 Haswaaa
Mbeleko fc , gemu ikiwangumu ukasahau kuwa beba, chaliii! Baati yao wamekutana na litimu libovu!
Sare saree mauwa asiye jua kuchagua ........ malizia mwenyew, vp unateseka kwan
Achana nae kiroho kinamsuta uyo
Ukitaka kula mkeka we beti timu hivi droo lazima itoe.
Kakolanyaa babaa unafaaa
Ok
Anafaa ambapo hajapangua hata moja manula ndyo kila kitu
Sjui kwa nin Kagere anapewa apige pernat mtatuua na presha
😆😆😆😆😆
Mbeleko fc , gemu ikiwangumu ukasahau kuwa beba, chaliii! Baati yao wamekutana na litimu libovu!