Magoli | Simba 4-2 Asante Kotoko | Mechi ya Kirafiki 28/08/2022
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
- Magoli mawili kutoka kwa Clatous Chama, na mengine kutoka kwa Augustine Okrah na Pape Sakho yameipa Simba ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Asante Kotoko ya Ghana katika mchezo wake wa kwanza wa kirafiki kati ya miwili itakayocheza nchini Sudan.
Magoli mawili ya Asante Kotoko katika mchezo huo yamefungwa na Stephen Mukwala dakika ya 9 na Stephen Amankona kwa mkwaju wa penati dakika ya 79.
Haya hapa magoli yote....
Huyu chama kila goli la simba lazims ahusike, halaf kuna mpuuz anakwambia hana speed hafai. Jaman ifikr mahsl tuheshome vipaji vya watu
Goli la kwanza la Kotoko linaendelea kutukumbusha partner ya Ouatarra na Inonga haina muunganiko! Wanajikutaga kwenye mazingira magumu kwa kuzubaa kwao
In a footballing eye, midfielder kapoteza mpira sehemu hatari sana na ilitosha kwa mpinzani kugusa mpira mara moja tu kuamua pasi ya goli. Siyo kabisa kosa la kipatnashipu...
Simba tusije tukafanya kosa la kumwacha Onyango ! Huyu Quatarra namwona ni mzuri zaidi akacheza as defensive midfielder na Inonga akasimama kati pamoja na Onyango!
Magoli tunayo fungwa ni ya aina moja hata la yanga ni hivi hivi
Kwl kk
@@thomasabelmwakipesile5280 Duuh ulimwona wapi akicheza defensive midfielder bro ?
Ila sio siri jamni simba ikufunga mashabiki tunapata usingiz mnono
Faulo ya Kapama ni ya kizembe sana.
Kulikuwa hakuna haja ya kucheza vile na kusababisha penati ambayo nadhani haikuwa ya lazima
Walivyoshanglia goli la kwanza dah wangejua nne zinakuja wangetulia tu
Hahahahaha niache nicheke this is simba on 🔥😁😁😁😁
Hpa ndo naamin kam kinyes fc wanaturoga
Umeona eee
😂😂
Umeona he
Hapana...Kuna Umafia unaoendelea ambao kamwe hautaufahamu mpaka uwe ndani ya hizi Klabu mbili
Ila jamani huyu beki wetu wakat hua mm simuelewagi kocha anampenda tu ila shuhuli ya onyango haiwezi kabisa na viongzi wakimuacha onyango wamebugi
Hata mm sjamuelewa onyango ni mtu na nusu
Onyango bado ana umuhimu wake huyu mzito kukimbia
Inonga wewe ni Bek punguza mbwembwe.
Yani huyu Outtara tutafungwa mengi sana na watu wenye speed yy km hawez kukimbizana na watu atulie nyuma kule kwny position yke sio lazima asogee mbele sanaa,acheze onyango tu maana huyo outarra uchezeji wake km pascal wawa na huyo alikuwa anakaa benchi kwny combination ya onyango na inonga, kocha anazingua. But all in all good performance 👏 👏👏👏👏👊👊👊👊👊🔥🔥🔥🔥🔥
Hivi huyu mzungu mbona mi simsisomi
Shikamooo Simbafc hivyo ndio vipimo sio cha Mwamnyeto mzee wa kuchomesha😂😂😂😂😂
Okwiii????au masikio yangu
Hata mimi nilishtuka nikafikiri naangalia mpira wa zamani ila nikaona kina Moses Phiri, Okra na wengine nikajua mtangazaji kapagawa na pira biriani
Simba Yangu imesha NIKOSHA moyo mapemaaa Sina shida na mtu
Kwan hawa utpolo kawaalika nani uku 🐸🐸 🐸 wapite kushoto haiwahusu axe 😃😃😃
Kwa nn mnatuogopa sana watani cc Sio maadui ndo Mana tunashiriki shuhuli zenu
Chama is one bad news football brain... Naona kapania kweli msimu huu !
Ndio maana simba sihami hata vp
Hii mech sio ya kuijaj sana kikos sio chenyewe wangetimia awa wangepgwa paka 10 awa team awana kabsa
Kwa mlichokifnya ndo tunakitaka kwahyo pgeni kaz wanarunyasi
Coash wa Simba kwa hakika hana sababu ya kulaumiwa Victor Akpan hana Msaada kwa Timu .Kiungo cha chini Simba hawana mtu zaidi ya Kanoute. Hata Mkude nimemuona kule Stars alikuwa anarukaruka tu. Nassoro Kapama anaweza anafanya vizuri. So Mzungu Akpan na Mkude Simba wajipange hakuna watu pale.Ila Okwa apewe sana nafasi
Ila akipani mmhhh
Congratulations, this is Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Magoli yote manne Chama kahusika. Halafu mtu anasema Chama ameisha! Pasi ya Chama kwa Israel,akampa Okrah. Chama kampa Sakho katupia. Penalty kaijaza,kisha kamalizia hesabu ya 4 kwa kuwachekecha.
Chama huyu ndo simba Yani kaibeba kama yote
Kwa maoni yangu naona ni bora simba ikawa Taifa stars vile
c itakuwa inafungwa na mayele kila ck!!
Umeongea pwenti muhumu sana
@@isackyohana2707 hahahaha
Ivi mnamfuatilia moses kila gemu anatupia jamaa cio poa , ila chama salute
Jamani Mimi hatasielewi goli lakusawazisha kafunga okra au phili simuelewi mtangazaji simuelewi
@@mamutz5479 okrah siyo Moses
Yah ana mwendelezo mzuri na wastani mkubwa wa magoli kuliko washambuliaji wote wapya wa ligi hii yetu.
Lakini unamfuatilia vp Mo Ouatara?
BRAVO SIMBA.S.C🇹🇿🇬🇷🙏
Aina ya goli la kwanza simba wanafungwa ni aina ya magoli aliofungwa na yanga mabek hasa wa kati bado rotation kubwa inaitajika onyango mpka leo hakuna kucheza kwann
Umesem k2 kk hap ni vzr tukjitathmin nn 2fanye
Pale kosa ni la Yule beki mpya hakabi kabisa bola angekua onyango
@@ezekiajamess4977 lamsing koch kuna w2 awap nafasi waonesh uwezo wao nawo onyango hkun 7bu y kmba asingie maan nimra y tat kosa moj ilo ilo
Jerome, wewe unaujua mpira. Wewe Shabiki wakweli
Kila hatua Dua..kaka ondoa shaka
Huyu mzee hata anachokifundisha hakuna hawa ni makocha wamafungu
Banda yuko fresh sana
Dogo anacheza mpira wa kizungu hana parapara za kufunga goli
Chama atabaki kuwa yeye🔥🔥🔥
The brain master
Yani hivi vyura vinawazaga
dabi tu 🐸🐸🐸wanasimba sisi tucheke jamaniiii
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Vijinga saana
Magoli yote chama kahusika
Halaf Kuna wajinga watakuambia chama ameisha eti anapoozesha Mpira ...Halaf unarudi kumshangaa kocha wa Simba kumtoa chama kwenye mechi ya ngao ya hisani...nilimmind sana kocha huyu alifanya ujinga sana Yanga wasingeshinda ile mechi Kama chama asingetoka ..ile mechi chama lazima angepiga pasi za mwisho au kufunga tungetoka droo au tungeshinda
Kwani chama ndio Nani
@@rashidimkongewa3927 angalia clip hiyo utamjua tu
Kikosi Cha leo simba
3-2
Kweli tumeshinda ila akpan mmmh n janga l taifa
kwenye goli la 4 banda alikuwa na uwezo wakufunga akiwa amefumba macho lakini akampa tena chama!
th-cam.com/video/U9EBaCtGjN8/w-d-xo.html St Ty
Sisi tupo avic tunawasubir makolo
Misukule tuu hamna kitu nyie utopolo
@@atupelemsyani7411 mishono ya mayele imeponaa ??
tv mshono wa mayele uwe kwetu??? Hv mzma kwel ww😁😁😁😁
@@salamasaidi6620 kumbe ulitaka awe nao boss wako mo
Umoja n mguv kocha atulie t.na.atumie malf na akl
Nimesikia Emanuel Okwi???
Daah uyu mwamba ukiwa unaskiliza redio adi raha ata kwe tv ukiskia jina lake tu ..
Namuno inacheza saa ngapi
Simba imefulia ukitaka kuhakiki klabu yetu haina hela tazama usajili wetu na huyu mzee mnomuita kocha huyu mzee wa mchongo haifikishi popote simba huyu kacheza dili na wale wazee wadili
Acha kutafuta kiki kwa kusema wengine pambana kujua thamani yako
sio kosa lasimba nikosa la uongozi
twachie simba yetu kenge mjamzito ww
Yaani umeongea pumba utafikiri umekalia kitu chenye ncha kali!
@@CyimSky Hatuwezi kuzungumzia kingine itakua haiendani hapo tupo kwenye mchezo wa simba na Asante kotoko unataka tuongelee tim gani na kwa munasaba gani ??
Goli la kwanza alikuwa phili
Hatariiii sana msimbazi
Chama ndiye kiungo simba
Sapot tusonge naitwa japhetizo nafanya Muzik ingia youb Sachi japhetizo utapata Ngoma Kali zote usisahau subscribe
Chama kama de bruyne
He is good but not like kdb please have some respect
Kiboko yenu ni yanga nyie paparukeni mtakuja tu tuwanyooshe vizur vizur
We naweee kwn unatesk ukiw wp Janet??🤣🤣🤣
daah..yaani jana nilikuwa nafikiria hivohivo kila nkiona pass zake elekezi...ni KDB kabisa wa bongo
👏🏼👏🏼👏🏼
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️
Simba nguvu moja
Ligi mbovu
Hii sio lig n bonanza mkuu
❤️
Ongera chama
مرحباً بكم في ارض النيلين 🇸🇩
شكرا جزيلا
Chama cletous
Mechi imejaa penalty
Haya Off side na huku nako wanabebwaaaa..?Watu buanaa
Offside iko wap au unatafta kiki mzee
Asante kotoko imeshuka kiwango saivi sio kama zamani tusibweteke sana
@@Mungwetostudio12 Hapana uwezo hana ndio maana amefungwa
Wep vyaoooo
Kiboko yenu ni yanga nyie zurureni tu lakini tunawasubili mrudi tz tuwanyooshe vizur vizur,nawakumbusha tu naona kama mmejisahaulisha
Bila Shaka mtacheza na Simba game 30 ata kimataifa mtacheza na Simba 😁😁
@@athumaniramadhani4975 we jitoe akir ila najua umeelewa nn mrembo Janeth anasema
Waambie hao makolo
@@bujashidaniel5537 ok mwezi wa 10 sio mbali
@@athumaniramadhani4975 kuna waatu akili huw hawana ujue...yan wao wanawaza daby kila kukicha ujue😃😃
Asante Kotoko jamvi la wageni, watu wanajipigia tu, sio kipimo sahihi, mechi na El-hilal ndio itaonyesha hali halisi ya Simba
Huwezi jua uhalisia wa Simba bila wachezaji Zaid ya 6 wa kikosi Cha kwanza
@@abuushaymaatz wachezaji 11 wa Simba hawajasafiri na kikosi (kakolanya, manula, kapombe, mkude, Mohamed Hussein, kyombo,kibu Denis, onyango hajasafiri, kanoute yupo kwao,
@@abuushaymaatz wachezaji 11 wa Simba hawapo, 9 wapo team ya taifa, onyango yupo dar kwasababu ya mgomo, kanoute yupo kwao kimatatizo ya familiar
Kwahiyo liverpool juzi goals 9 alicheza na mtibwa
Kwenye viwango vya CAF asante kotoko wako juu ya yanga
nommà sana
Emmanoeli okwi karud simba au nimesikia vibay
Sikiliza vizuri
@@zainabumushi2756 kwahyo nkmesikiliza vibaya
@@girionpantaleo5881 sasa mbona mkal😆😆😆😆😆😆
Jamn
Hongereni Simba
mechi saf ya maandalizi
Simba hatar xn
Jaman mbona mashabiki hamna
Friend match
Kotoko timu laini sana,beki uchochoro
Simba mbovu
Hamna kit
Hii nfo ximbaa
Chama
th-cam.com/video/U9EBaCtGjN8/w-d-xo.html Ty hi
Goli la nne offside
Sawa kibendera tumekuelewa
Toa ilo moja
Kajarib na ww km utapt at hy of side nyangum ww😝
Offside kwa sakho au banda 3:48 em tizama hapo banda yupo onside na Sakho kaukwepa mpira na nyuma kulikua na beki enhe offside inatoka wap
I dont think you will see beautiful stadiums like this in tanzania
Only in Sudan🇸🇩🇸🇩
Have u ever reached in tanzaniaa
Bangi
@@vitalismarunda6760 yea you only have one stadium and its govt stadium
Benjamin mkapa stadium dar es salaam
@@vitalismarunda6760 he is talking about Simba FC club stadium. Simba has no stadium like Alhilal. Yea Tanzania has a nice government owned stadium, Sudan also has one that is due to open later this year. East Africa ❤️
Tiba mbadala inawasiubir
Chama ni chama tu
Magoli 3 yote off side
3:48 araf pause uone km ni offside km inauma chomoa
ila kwa phiri napo naona kama tulipigwa tu..hana kashi kashi kama striker yani😕
Hapna ila Koch nmba anayompnga kwake sio sahihi phir mzuli akitokea kma wing
Huna akili wala soka hulijui pumbafu
@@anoldjohn1757
basi samahani kaka unisamehe nimekosa
@@tausimvila2174
nadhani itakuwa hivo maana daah..unamuona mara chache sana
kam Phiri anafunga bas inatosha kuwa ni striker mzur kwetu
Otaraa bado sana