HIGHLIGHTS: SIMBA 1-1 ASANTE KOTOKO (SIMBA DAY 8/8/2018)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ส.ค. 2018
- Mabingwa wa soka wa Tanzania Bara, Simba SC wametoka sare ya bao 1-1 na Asante Kotoko ya Ghana katika mchezo wa kirafiki uliochezwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Katika mchezo huo maalum wa kuadhimisha Siku ya Simba (Simba Day) uliopigwa kwenye dimba la Taifa Dar es Salaam, Asante ndiyo walioanza kupata bao dakika ya 44 kupitia kwa Obed Owusu, na Simba kusawazisha kupitia kwa Emmanuel Okwi dakika ya 76.
Katika mchezo huo pia Simba walikosa mkwaju wa penati kupitia kwa Adam Salamba.
Tazama highlights za mchezo huo kwa mfupi. - กีฬา
2021 still watching
Naingalia hii gemu 2020 mulioangalia mwaka huu tujuane hapo chin
Tuliorudi kumuangalia Yacoube tujuane
Jamaa wamoto
Mimi hapa
Tupo babaa
Tupooo jangwani moja mzee ding from chuga hiyo
😂😂😂😂😂😂😂
Asante Kotoko wazuri sana.
Utopolo Wana keleka Simba nguvu moja
Simba Nguvu Moja Pamoja Sana
2021 September mwamba naingia kuangalia Simba day.... nimesoma comments chache na zinazomhusu Salamba aisee yaliyosemwa yametimia...Salamba kapotea.
Salamba ni Mchezaji mzuri, usife moyo kwa kukosa penati, tena kwenye friend mechi. Hixo ni changamoto za mpira. Tuliza akili, na ongeza bidii ya mazoezi na hizo penati pia. Muda si mreru utajibu uanjani kwa vitendo. God is Great and so good all time.
Haters wanajitahidi kukoments lakini koments zao zimejaa husuda hii ndio simba sports club
Simba hii mtaisoma
Yanga wakitulia simba mtapata tabu sana, sijaona mpira wa Professional yeyote timu mzima.
Joshua Nyonyi utaona ukija chezeshwa kichura chura siku hyo we hujui mpira umejaa husda tu mpaka uje kupigwa nndio ujue kama ni wazr mtapa tabu sana
Ila huyu goalkeeper wa KUMASI ASANTE KOTOKO FELIX ANANI ni mzuri sana
Fantastic game for simba day
Salama kuondolewa simba ULIKUWA sahihi kabisa bado ana utoto
This kid Salamba need to improve alot, this is the fourth time am seeing him playing, got nothing special just dreds. He will rotten in the bench.
Needs to look at The living legend Okwi.
FYI
He is now in kuwait he is among of high earners tz footballers abroad
Kwa mambo aliyotufanyia Okwi mpaka sasa. Okwi acheze mpaka awe kikongwe. Then tumkabidhi timu akuwe kocha tu. Jamaa tangu ujana wake simba ipo damuni. Anajituma, anatafta nafasi kiukweli ndio messi wetu. Na kingine.... Kichuya kichuya kichuya kichuya... Tutakaa muda mrefu tanzania hii kuja kupata mtu kama kichuya
Kabisaaa okwi mpaka azeeekeee
Km
OK Wii
Simba raha sana
If you love simba sports club gonga like hapa
Kagele msimuache sana simba wanzangu maana mayanga waliwaloga. Wachezaji wetu
This game was more than a final match been played
Simba geita gorod
Okwi ni unawezo mzur sana katka football
timu ipo vyemaa muhimu kocha kuinganisha timuuu Ndoooo vnzr zaidi ili iwe na coordination nzur kuanzia nyuma katikati na mbelee
it really international football Jana ila kocha afanyie kaz makosa madogo madogo ili tupate muunganiko mzuri WA kikosi chetuu
The referee is a bomb
Im Asante kotoko supporter
Seidu Ibrahim
@@richardgole5836 aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Always Simba is the best
huyu chama ana laaanaaaa.. hizo assist shida, watapata tabu sanaaaa vpl
Savi sana Asande kotoko kwampira suriii hao wamatopeni warudi2 nyumbani wanarukaruka2 sioni wanacho kifanya kotoko nomaa sana
Simba ipo vizuri sana nyuma, kati ila mbele walimu waongeze chumvi na ndimu kidooogo mambo yakae sawa forward wafunge walikosa mengi sana jana ilikuwa kotoko wafe hata 5
mtangazaji upo vizuri
mtangazaji uko vzr napenda ck moja utangaze ck ya simba na yanga
Na ombi lako likatimia kwenye game ya moja bila goli la kagere
Tunampaa baraka mpenja
Daah mech tamu san naipenda simba
Mambo vp murebo
@@wilemasero712 poa tuuu
Hata kipindi ligi inaanza mliibeza sana simba lkn mwisho wa ligi mlibaki na aibu
watani mna timu nzuri. Washambuliaji wanatakiwa umakini tu kama wa Okwi sijajua kwanini wabongo tukifika golini mpaka mtu ukose mara 10 ndio ufunge 1 sasa tukienda kimataifa ni nani atafanya mikosa mingi hvyo ili uje kufunga? Pili sioni kama ile ilikuwa penati labda kwa vile refa alikuwa position mbaya.
Ghanas finest asante kotoko ...
Huu ndiyo Mpira.
pendo katindasa umeona dadaaa
okwi anauponza timu...angekuwepo salamba
Salamba alianza kuonesha ubinafsi tangia hii mechi.
Kiukweli kwa Simba hii sipati picha kwa ligi kuu,tabu ipo.
na sasa simba mabingwa TPL 2019 MK 14 NGUVU YA MAMBA.
Nikweli simba apewe tu ubingwa
kwa mpira huu yangawatapata taaabu sanaaa
Uuuwiii kwampira huu timu zingine watapata tabu saanaaaa coz hawa Asante kotoko ni Wakali sana Ila Sumba wamecheza Moira mwingi sanaa
Wata pata tabu sana wapinzani wangu yanga mnyamaaaaaaaaaaaaaaa
Emmanuel Mgog bado hatujaogopa kwa kikosi hicho kazi mnayo wanamsimbazi km yanga hatochukua basi azam atabeba au ht costi union
Acheni tamaa
Usajil.
Chama ni moto
Kweli kabisa niyonzima akasome ni mzigo kwahuyu Chama Kuna timu itakula nyengi
wajipenge vizuru
Jaman azam ,tuwekeen bas mchezo wa simba na kmkm ulioisha mda huu
,simba na ruvu shutingi
Simba na ruvu
Hapana gem ilikuwa ngum hawa asante kotoko wanajua sana kupiga mpira ila kiukweli simba ya mwaka huu moto wa kuotea mbali
asate xan ooookwe
yanga mwakahuu mtakoma pobafu San simba bele yanga nyuma π√¥€
Sana mwaka huu mkude,nyoni,wawa,asante,kwasi,kapombe,na chama watakaba hadi nyasi
Felix Luoga y
mwaka huo sikuiangalia ila 2020 kuna mtu amenifanya niiangalie kwa umakini zaid
Safi sana
Kwa tulioanza kuangalia ubora wa chama tangu hii mech tujuane
Hii mechi ndo ilionesha ubora wa simba uko wap na ndo hii ilifanya vizur mpaka kufika robo fainal
Salamba mavi sana
Jamani huyu yakuba. ni.yule.wa yanga.au
Noma
Bora salamba kaondoka
Hiii ndo ilikua simba wanakuja kwaacha wachezaji wa maana wakalitea magalasa mambayo kwa simba hii hatakama tunaongoza ligi ila kimataifaa tutapgwa saana
Wanajangwan rudn gm kumenogaaaaaa#msimbaz
Fri Toto namkubali
Wana simbaaa
imezihilisha kwamba pesa za simba zinanunua majina sio wachezaji
Mh simba ina mpira mwingi sijui ligi kuu itakuwaje 😀😀😀
okwi ningependa abakie simba mpaka stafu yake tumfanye kama mess na Barcelona
Toka hapa
Salamba garasa since day 1
V
Felix Annan was too good. We ended his career, hmmmm
Huyu Chama ni 💥💥💥
Simba
Umeona uyu dogo nyota
Ndio mechi pekee ya kirafiki AFRICKA kwa vilabu vya ndani,kushuhudiwa na watazamaji wengi.
Hiii ilikua bola sana mechi tam
Simba sports club imeiva ligi sipati picha
Kwa simba hii mm sisemi memgi ila chama noma
Ifa Ozil kenya
Seriously? what a dubious penalty
Clear penalty may be you are new to this game
ill skillz I don’t think so!
Simba zidi ya nkana downloads
YAKUBA AJE SIMBA
Kwa mechi watu waliiponda sana simba sasa sijui bado wanakumbuka maneno yao hhhaaaahaaa
salamba alikuwa mzigo to
simba vsz mtibwa
Kumbe huyo yakuba kosa kosa sana kitamboo!
simba bingwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
timothy handy kweli ban
Uyu chama atareeeee
kimtazamo,ni gemu la kawaida tu! kumbuka hii ni siku ya simba(simba day)
Siame Kellah name
5d
tarehe 30 sizani
Adam Salamba ni bonge la gharasa.
Yacouba alikuwa mtamu kipindi icho
Mm naangalia Leo tar 25/2/2021
Yacouba sogne😅😅😅 kwan Ligi inaanza lin
Kwamba?
Okwi alko kwa sasa
good gam
kwa kosi hili yanga hatoki 30/9/2018
Emed Ibrahim umeona.naww
Salamba alijipa usupastaa kabla ya kuwa supastaa
okwiiiiiiiiiiiiiiiii
azam tv
Video vya kutombana
bora penati alivyo kosa, ilikuwa rahisi sana na refa sijui aliwaza nini maana goli lingeingia wageni wangeona kabisa nguvu nje ya uwanja imefanyika
Imeishaiyo
Good game
Hussein Mohamed Simba iko vzuri tatizo ni kumalizia
Simbaaaaaaaa
hamna kitu tumewashindwa hata hawa
Geoffrey Gregory unawajuwa HAO ni kina nani lakin??
TENSON MZUMBWE kwa leo yaani tuseme ilikuwa kumalizia ila inshallah watapata kuelewana kupitia michezo mingine ya mashindano tofauti..na endapo Kagere angebaki tungeongea vingine saiv ila dogo mzuri muda tu bado mapema sana kwake.,dilunga kama kaja kufanya shughuli aliyokwisha wahi ifanya vile ani saafi sana dilunga cheza vzr sana hali kadhalika kwa chama ebhana wawa kumbe bado ana vituZ nyoni inabidi aache zile dambudambu asee pelekea goli + mwenzie manula akae golini atoke inapobidi mpaka kupigiwa mpira namna ile mpaka kushindwa kuutoa kwenye hatar.
Kiujumla kwangu ulikuwa mchezo mzuri na kipimo sahihi vijana wamepambana na kututoa kimasomaso japo ilipaswa kuwa hadithi nyingine kwa mwal wa kotoko kwan wlipaswa chezea co kwa nafasi walizokoswa.,penati nadhani Salamba apongezwe kwan aliweza kumhadaa mwamuzi alicheza kiUKOMAVU sana pale kujiangusha kwa akili.
Mtibwa miongoni mwa timu ninazozipenda kwenye ligi hii co kwamba ni mluguru au natokea moro hapana ila ni kwa namna gani wamechangia kuleta vipaji katika uso wa TZ na kukuza Taifa stars na vilabu vingi tu naikubali sana hii timu ila daah..Ngao ya jamii watanisamehe asee na ni vijana wenzao nitaomba wawekewe na hata wao itakuwa kipimo kama kwl wapo tayari kushiriki mashindano kimataifa.
Sante waTZ, Mashabiki.,Azam na mwekezaji MO
#GGSIMBA!
Salamba ustaa mwingi mno
Ask
Refa kawabeba kwa penalty lakn hawajabebeka ☺☺☺
Wana simba tuipe moyo itashinda
hyu. chama ni motroooo kiungo namwona. niyo nusu akichoma mahind bechi sana. #fundi
Si wakati wa kuwa na wachezaji mzigo kwa Sasa hii ndo simba ya Enzi zile za mafisango naona gusagusa nyingiiii kama F, C, Barcelona
Mambo
Baba lao
No penalty
Simb hatariii
Costco
African Referees......How on earth was that a penalty?
Yacuba watanii wamepata