PAPE SAKHO NA BANDA WAIMBA "MLETE MZUNGU" /WAFUNGUKA HAYA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2022
- Telegram: t.me/KidanistarsTV
Subscribes: / kidanistars
Instagram: / kidanistars
Facebook: / kidanistars
Je,wewe unatumia Telegram? Kama ni ndio karibu kwenye Channel yetu ya Kidanistars Telegram. BONYEZA Link hii t.me/KidanistarsTV - กีฬา
Mnatifa vijana
Nakubr Sana
kama hamjui kiingereza kwa nn mnawasumbua wachezaji?aibuuu kwenu
Nimecheka Sana kwa kweli..mwanangu yupo la 2 lakini english hiyo hapana🙌🙌
Kwahiyo Kuna tommy na Jerry😀😀
Sakho and Peter are tom and Jerry they are best friends
Kwel noma had sakho kasema lete mzungu
🦁🦁💪
Ila peter banda n mcute jmn🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Acha umalayaa
Simba Ni balaaa
Kiingilishi lakin 🤣🤣mbongoo mm🤣🤣uwiiii
❤ simba
Banda muoga ana Aibu sana
Yah!
Sana maskin adi namuonea huruma
Sapot tusonge naitwa japhetizo nafanya Muzik ingia youb Sachi japhetizo utapata Ngoma Kali zote usisahau subscribe
Kaka P.O.S unavijua sana
Waandish wa mchongo. Wambea lkn lugha mgongano
Peter Banda ni mmalawi ambaye amekulia madili ya kichifu kwa ujumla asilimia kubwa ya wamalawi hawanaga utundu tundu
Ngoje kwanza ncheke pisi hazizui kikombe jamani
muandish rudi class harak lugha mbovu sana
We mtangazaji kingereza chenyewe hujuwi
Call the Jerry🤣🤣🤣.Waandish mnaupiga mwingiii
😀😀😀
Jerry aka peter banda
Jman kizngu mpk wenyew wanashindwa kuelewa walicho ulizwaa
Hahahhahahahahhahhaaahahaahhahahhababhababbabsba hhahahahhahahahahhaha 🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪poleni kwa kumpoteza nyota manara
Sakho anamonea san banda
Banda Bado mdogo sana Kuna mda anakuwa na aibu sana
Nazani yeye ndo mdogo uko simba
Wadau msisahau birthday ya sakho 25/12
Kama we simba gonga like
Sijui kwann Waandishi wa Habari wanakimbilia Kazi hiyo While they don't know how to Speak fluently English. Hii ni Aibu!
Kingereza ndo Nini na ww? Kwani wazungu wanajua kiswahili?
Kwani lazima waaongee kiingereza ili wawe waandishi wa habari?
Ndio hao watumwa wa lugha
Jaman
Banda
Waandishi mrudi skonga
Sakho bhana ana aibu
Dada si uache kuongea kingereza? Maana hujui, inawasumbua wachezaji wetu
Kulwa na dotto
Waandishi wa abali kingeleza chenyewe Cha wacwac 😅😅😅🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
Dairydose video
Nawatakieni mafanikio mema
Arud bhn alud huy
Waandishi English insmatege
JOURNALISM INATUKANWA KABISA TANZANIA!
Why?
🦁🦁💪
Ivi kweli sahko anajua kingereza bora hata na banda
Wanajisikia Sana kumbe wajinga Sana
Amna hawajisikii ila wanaaibu na kingereza chao pia sio kizur ndomana hawajiamin maskin muwaache last born wetu tom and jery