Makala: kinachompa Membe UJASIRI,'JEURI' mbele ya wembe unaokata,'SIRI NI SILAHA?'
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2020
- #Membe #uchaguzi2020 #ccmnachadema--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com
#Dar24 #Dar24Media
Smart...presentation, Big up bro umefanya poa sana👏👏
Mtangazaji uko vizuli kwenye utangazaji hongela
Best presentation!!! Upo vizuri Kaka.
Umewasilisha kwa weledi. Hongera.
Good presentation brother
Mh! Kama waandishi wote wakiwa na hulka hii, tathinia ya habari itakuwa bora sana.
Kabisa, jamaa anasimulia vizuri sana
sanaaa mchiz ametulia sana
Kaka today it's finally happened...
Is a member of A.C.T.
Maaaa shaa Allah good prediction
Tunashukuru kwa makala nzuri iliyoshiba. Tuandalie zingine
#Nice
Mtangazaji hongera
Uko vizuri kaka!
Unajua sana kusimulia historical
Mtangazaji nakupenda bure uko vizuri sana
Aacheni kupotosha Umma MTU WA KAWAIDA SANA RAISI BORA TANGU 2015 MPAKA LEO NI JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI
Hakuna Waziri zama zote za Mkapa na Kikwete Hakukuwa na mtu bora na mwenye sifa zote Kama John Pombe Magufuli.
Ever John P. Magufuli💪🏻
Nestroy Buyungu u
Oyo oyo oyo oyo sema kaka Jembe ni MAGUFULI POMBE JOSEPH, Mzalendo wa kweli mwenye uchungu na nchi yetu, wengine ni wapiga dili hakuna aliyewahi kupiga kazi ya kuitumikia TZ Kama mzee baba Magufuli
Nestroy Buyungu hamnaki2
@@adolphmbuta7643 zero
Well researched and presented
Membe hakuwa na mjadala kichwani, aliamini kuwa waziri wa nchi za nje ni tiketi tosha ya kuwa Rais
Mtigaaa Abdallah
acha kukalili wewe
Mmmh letu sikio
Membe wapinzani wanakupenda. WANAKUITA unabusara wanakukaribisha nenda kwao. CCM una chako tena.
Tunashukuru huyu mzungu wweusi hakupata fursa ya kuiongoza Tanzania, Membe mwenye majivuno, mwenye kuangalia Watanzania kama wote hawajaoga Na bado alikuwa na nia ya kuwaongoza kwa remote control wakati yeye yuko New York. Mungu anawapenda Watanzania kumuchaguwa mtoto wake Rais Magufuli akawazawadia Watanzania na kuwaambia huyu ndiye atawafikisha Kanani na siyo huyu Membe mwenye majivuno. Majivuno ni zambi kubwa tunayofanya binaadamu kila siku bila kujuwa. God forbids for Membe to be a President of this great country Tanzania.
Kuhusu #B.membe nikiongozi na anasifa za kuwa kiongozi na msimulizi asee yua the best uko vzr sn #Tanzania ina rasilimali watu wakutosha sana
Wewe mwandishi upo vizuri saaana ! Una upeo mkubwa sana. Unamzidi sana Membe.
@ Mashaka Kalamba ... Anamzidi na Magufuli
Unajua sana kuelezea
Tutaelewana tu ngoja kidogo
Nimekukubali sana hukuongeza wala hukupunguza
Ngoja tuone
Hongera xana...
Ahmade hassane
Mzee haruna tunda la MYCN my class mate and moko 1 intake
Nasoma comment
Of course Jamaa ni mzuri sana kwenye masala ya diplomacy wala halina ubishi na ndiomaana magufuli na watu wake wanamuona ni MTU hatari sana kwao.
Kwakweli nimeamini msemo wa ccm kuwa wanambinu kibao ambazo kuzigundua inapasa uwe makini Sana kama hamja jifunza shauri zenu mimi fangu macho ila kuweni makini na migogoro ya CCM
Membe in miongon mwa viongoz weny busara mno yan🙇
Hahaha
Munira upo?
Kaa kimya usinichefue taja moja kati ya busara yake
Huyu ange simama 2020 angepita
Ha ha ha, walishazoea mbio za kupokezana vijiti, hii sio Mali ya genge fulani, au mashemeji fulani, watuachie nchi yetu, walipewa madaraka wakafanya ikulu Business as usual, tembo wakateketea, twigs wakapanda ndege, NO ANOTHER CHANCE.
Mzee wa oic
Huyo aliye madarakani sasa hivi si amepokea kijiti pia? ndio akipitishe na yeye. Isinge kuwa kapewa kijiti asingekuwa rahisi. So aendeleze mchezo tu.
@@Teksani 100% umeongea good point
Membe hakukatwa jina aliingia hadi top five
Ndio kukatwa huko mkuu
Alikatwa Afai kabisaa membe
Duu! Bongo kuna watu wanajua mambo!!
Wewe nakupongeza sn kwa ujasir wako hongera san ila ckushauli kuwa uwamie kweny vyama vngne endelea hivyohivyo nakukubali sana
Membe.hii nchi ni ya Watanzania.Aliyeko madarakani,Mwacheni amalinze kazi nawewe ukalale.na usirudie tena kuutafuta uraisi.hatukutaki.kalale huko
YES
siasaya
hapo kwenye mfano wa mwishoni kwa raisi wa marekani kuchafuliwa kuna kitu kikubwa cha kujifunza.
,,,,sioni ukweli wala ushindi kwake
Membe uko juu
kwa njia yoyote ile unakubalika
urais unauweza sanaaaaaa
we hujielewi hata kidogo
@@kilitv5761 mpe wewe urais akuna ata watu wanaomtaka turudishe mambo ya Epa
Mkubali ww kwenye familia yako na sio watz, leo hii watu wana akili ww
ni siasa ya nchi
Unauma huku unapuliza!
Kweli hyo ni siri
nisawa na kujitupa mkondoni kwa kutegemea kuipata juuu lakini humo humo usiombee kukumbana papa na nyangumi
Membe upo ngangari sana, Watanzania wenye GB vichwani tunakuelewa vema.
Chadema kuweni macho msipokee MTU wanataka kupeleleza Uhuru wenu lowasa ilikuwa hivhv
Mheshimiwa Membe,ni nyegere wa siasa.Ana ngata kweli.
Kwa kweli niliwashangaa sana hasa mbowe na Mbatia kumpa lowasa kuwa mgombea wao, hata mimi kula yangu ilikuwa iende ukawa lakini sikuitoa kula yanhu niliona bora niludi ccm kumpa Magu.
Membe NDOTO uliyoota unapoteza muda, sanasana nakuomba kumbuka na jiulize huyu Maguful unayemgusa niyule wa 2015? Ukipata jibu ni yuleyule, na wapinzani ni wapya, ENDELEA. Vinginevyo ACHA.
Wembe ni ule ule hata aende chadume lazima atakatwa mkia teeeena. Nimeipenda hii..
Sisi yetu macho ns masikio tu
Kazi mujaraab kabisa
Ukopoa sana mtangazaji.
Nimesikitika sana
Yani unauma unapuliza' unauma unapuliza.
Hata hueleweki' muache Membe apambanie kile anacho kiamini na kwa namna anavyojua.
Tatizo umezoea kuona Viongozi waoga waoga dhidi ya Chama na Serikali.
Tz ingekuwa na watu watano tu kama Membe naamini Chama Tawala kingekuwa ni Chama bora kabisa kuliko Uozo uliopo sasa.
Hutaki tu kumuelewa kwa mlengo wako Ila kiukweli jamaa Yuko vzr
Kmly
Uko vizur sana mtoatalifa wote wabgekua kama wewe mbn tunge enjoy you tube
Big ap broo
ira kwenye macho ya mtuu uwezi kujuwa anacho fikiria mm nashangaaa sana kuona watu kama hawa naamaana membe wakati akiwa waziri wariifanya ikuru kama gesit Hus wakawa wanaingia nakutoka reo hii eti anasema yy kabaki hatima wakati wao ndoo wezi wakubwa wa ichii hii wametuibia sana hawa
Kumbe angetuingiza kwenye balaaa, anaingia kwenye ugomvi wa Israeli tena, this is wrong battle
Yametimia sasa
MAMBO YA NCHI HII INACHEKESHA SANA YANI RAIS KILASIKU ANASEMA NCHI IMECHEZEWA LAKINI HAO WALIOCHEZEA NCHI HAWATAJWI NI CHAMA GANI ILA WATU WANALOPOKA TU OVYO OVYO NAUNGANA NA MEMBE YATIMA ACHAGUI MBOGA
Eeh mtangazaji umejaribu
Kisura mbona anafaa xna mmm
Sauti makini
Membee achaizo mnawatia aubu watoto zenu tosheka Tamaa sio nzuri,
TUMAINI JIPYA
Sasa aneoteshwa
Kakatwa zaudi ya mkia 😂😂😂
SIASA NI MAZINGAOMBWE AFRICA.
ira kweri mwizi hana aibu sawa na uyuu mzee
Mzee tambua masihara masihara mbuzi alimpanda mama yake. Ushauri jipange upya kuomba msamaha ili uishi kwa heshima mzee
Eti ka group kadogo ka wapinzani wa JPM. ATI WANAJITOKEZA HUMU ETI WANAONA eti membe anaweza kukipalaganisha Ccm. Nawenyewe ETI WANAMSIFIA HUMU. UKIWAAMBIA MCHUKUWENI watamkataa vibaya mno. SASA MEMBE ANABAHATI MBAYA YANI POTE HATAKIWI. HAKUNACHAMA KINACHOMTAKA
Hi nchi kilichobaki pumzi tu maana nchi wana peana wana gawana watajua wenyewe na mambo hao
Nchi za kiarabu zimeungana Mara kadha zikipanga kuipiga Israeli lkn waliamburi umasikini na kipigo na kufarakana sasa sisi Tanzania kweli, nimakosa makubwa sana kuingilia huo ugomvi ss bado tuko mbali sana
Charles Chacha membe uko vizuri nakukubari sana tupo pamoja
We do not need USA. Please leave us alone
Membe ndio nani wametafuna sana pesa za nchi hii na mbumbumbu wanamshangilia na mwenyewe alisema mkipotea step mumpe urais ntaisoma maji mtaita water mtaendelea kula ugali na chachandu mpaka yesu harudi😂😂😂.
Kuweni makini upizani huo ni mtego kama ulio pita, jiulizeni kwanini jambo hilo lisingetokea mapema lije litokee leo kuelekea ucha
Bora membe
Yu Bora kwa lip?
Huyu jamaa c alikuwa wasafi
Harun tabwe hajawai kuwa wasafi aliekua wasafi anaitwa mtiga abdalla
Yeye alikuwa na Ndoto yake sawa siyo Ndoto ya watanzania
Membe unatamaaa tuu
Mwache JPM anatufaaa sana kuliko wewe
kwahiyo membe kukaa kimya wao ina wahusu nini ama walitaka na yeye mda wote awe ana sifia ovyo kama mwehu
CCM HAIWEZI KUMPA NAFASI MTU MWENYE TAMAA AINA YA MEMBE, AENDE CHADEMA KUNA UHABA WA VIONGOZI HUKO, HAPA CCM INAZALISHA VIONGOZI KILA SIKU, CHADEMA SASA KIMEO HICHO ANZA KUMSAFISHA SASA AGOMBEE URAISI CCM HAINA AJA VIONGOZI KAMA HAO, NENDENI AKAPAMBANE NA MBOE
An Intelligent enemy is better than a stupid friend.
Nashauri watanzania TUPAMBANENI NA HAKO KA GROUP. MOJA TUMNG'ANG'A RAIS JPM TUMUONGEZEE MDA ili wachoke kungoja mpaka wazeeke. Haka ka group kanaonekana ni ka hatari
BASI NANI ALIYE MSAFI ASIYE NA DOA KAMA NDIVYO HIVYO?
*_Ana intelligence gani huyu mbona 700ml zilikamatwa!!? Kama angelikuwa nguli wa intelligence mbona angefanya mambo yanayofanana na uNguli wake!?, hana lolote huyu anatapatapa kaukosa uRais wa urithi...._*
Hata neno lenyewe hujui linaandikwaje then unakuwa na nguvu ya ku Criticise
Intelijensia (intelligence)
Usijali ndio maana tunapewa asilimia 70 ktk IQ .. ambayo ni utaahira! Watu wetu wana tatizo la kupenda na uwezo mdogo wa kuchangua mamabo na ni wasahaulifu.. Na hawaangalii SUBSTANCE ..kwa viongozi .. labda kutokana na kuhongwa! Kama waziri wa mambo ya nje wakati wake .. Kikwete alisema angejaribu ku-renegotiate ile mikataba mibovu iliyoingiwa na Mkapa.. Je Membe alifanikisha cho cho te.. zaidi ya kuchukua hela za wazungu ili aje kuwa rais amabaye angetuuza zaidi? Leo hii kuna Kabudi na mambo yanatokea.. dhahabu ilizoibiwa zinarejeshwa, tumeweza pata asilimia 16% na 50/50 kwenye PROFIT SHARING .. ! Where was Membe during his tanure..?? What did he do to help Tz ?? WALIKUWA WANAPISHANA ANGANI NA KAKA YAKE KIWETE AU SIO..?? Leo hii Watanznaia madwanzi wameshachoka jinsi serikali ilivyofanywa kufanya kazi..chini ya Magufuli..?? REALLY! MADWANZI TU WANAFIKIRI HUYU MSENGE HAS ANYTHING TO OFFER..!
Wwe
Well said
Tatizo la Watanzania wamezoea kula Matapishi. CCM ni chama kimepitwa na wakati na hakiwezi badili vijana wa Kitanzania hata waongezwe miaka mingine kumi. Hivi unawezaje kununua ndege urudi uwatukane wenye viwanja ulaya, Asia na Marekani. Hakunaga wendawazimu mkubwa kama huo. Watalii wanatoka nchi hizo unawatukana hivi watakuja Tanzania kweli ndugu zangu. CCM wanamlipa Makonda na Musiba kutukana Wazungu na sasa Musiba kaja na Staili nyingine ya kusema Tanzania kuna Magaidi. Hilo ni kosa kubwa kwani tulishawahi kuwa na vijana Magaidi sasa macho na Masikio yote ya Marekani yameelekezwa Tanzania na tayari kuna Makachero wa Kimarekani nchini kufuatilia kauli zake. Kitakachofuatia kwa ujinga wa Makonda, na Musiba ni Magufuli kutolewa madarakani kama Gaddafi. Bashiru anakimaliza chama kwa kuwaweka watu kwenye Makundi. Eti anamuhoji, Membe, Makamba, January, Kinana na Nape. Anajua CCM ilikoanzia. Bashiru Unahoji waanzilishi wa CCM utaponaaaaa.
We una wazimu.. anatukanwa Trump na ni mtu mwenye nguvu zaidi Ulimwenguni leo hii.. itakuwa mshenzi yeyote anayetuletea figisu..? Hivi hii akili ya kitumwa mtaiacha lini.. ? Mtu ye yote duniani akileta za kuleta kutunwa ni halali yale.. kinacho shangaza ni kwamba wabong madwanzi ndio wanaoumia mzungu akitukanwa aua kuambiwa ukweli.. huko ni kukosa akili.. na hutokea kwa watumwa peke yao.. wanaofikiri kulamba matako ya wazungu ndio wajibu wao.. peleka else where..!
Pole inaonekana umeumia sana!
umajitahid sana kuandika lakin inadhihirisha upeo mdogo kichwan ulio nao...mzungu hawez akakupenda ww ngozi nyeusi hawa watu sio wa kuwanyenyekea ata km elimu huna ebu funguka broo dunia saiz iko wazi.
Koma na kauli Zako zakishetani tena ushindwe kwa Jina LA mungu Ala marekani marekani alaaniwe amtegemeae mwana damu ohoo baki natumaini kwamba marekani ndio kila kitu mm naamini Mungu ndio kila kitu kwanini mnapenda kumsifia mtu mbaya tu ni kwasababu naatisha kibinadamu? Na kwanini mnapenda KUMZARAU mtu atakama nimazuri nikwasababu ya chuki za rohoni kwani aliyosema musiba niya uongo? Au makonda? Unamuombea magufuli auliwe kama gaddafi kwasababu marekani ni wazuri kuliko magufuli? hawachukii Malizetu hawapati mataifa mengine? Hawajawatesa babu zetu ww unahakili timabu unatetea tu kwasababu babaako ni kibaraka wawa zungu UNAFIKILI watu wanaelewaje ww na baba yako rudisheni pesa za wazungu lasivyo mtakufa watawauweni na marekani wakiendelea kufata Fata magufuli haki ya mungu watakua kama wa misri hakika nakuambia ww unaona Saw marekani walivyomuuwa gaddafi bila Kosa
ATI membe sijui Nani wanajua CCM ilikoanzia waambie hivi wanapofikilia CCM watabaki kulindiana mabaya Kuna Mungu siku atapitisha mkono wake alafu kitanuka Ala mwanzilishi nyerere na kafaliki membe kinana sijui na nani ni kitu cha kawaida kama walifikili watasanya ufisadi maisha Yao yote basi Mungu kawawachokea kwenye awamu ya5 Kawa choka wala hamtaki kuwafikilia
Membe ni mfano wa lulu,kama CCM hawajaiona kwa maslahi yao binafsi acheni upinzani waiokote
Lulu??? Labda lulu michael
Hio sio lulu mi naona ni bora unyamaze tafadhali
Asiende kokote Kama atagombea asimame kwenye kura za maoni akikosa Basi. Upinzani wawaachie wenyewe wanawavurugia tu kinachofanyika c Tunaona watu wanawaamini Mwisho wa siku wanahama
Kwani lazima wamchukue? We wenzio washaliona kape tupu wew umelichukua na kuliona bado zima , basi utajijua mwenyewe
USiandike kitu usichokijua.. Au kuelewa Unapita tu
Kama ukijuwa kuna watu wanamaamuzi na kukujadili ujuwe huko peke yako wako wengi hawakubaliani na unayoyataka . Membe ni kiongozi mashubuti na ana uwezo kufanya maamuzi bila kugeuza mameno.
Mchague peke yako.. Sisi wengine hatutampigia kura Membe.. Kama ni babu yako ita familia mmpigie kura..!
We Joseph tuko wengi tutakao mpigia,Hujui tu
@@barakayohana6021 Kama kweli mnaitaka Ikulu jiandaeni kwenda msituni ili tuwamalize HARAKA.. kama wale wenzenu wa Kibiti .. tuendelee kuijenga nchi yetu! Hivi mnalo hata moja la kuonyesha alilolifanya huyo msenge wenu.. wakati akiwa waziri wa mambo ya nje?? Unafikiri ni kwa nini hata kaka yake Kikwete hamkumpendelea yeye na badala yake akampigia kifua Uncle Magu..? Matako kweli nyie..!
@@josephgomalo41 km kachaguliwa na mungu awe kiongozi ataja kuwa kwa namna yeyote ile hata ccm wabaneje. Na km hajachaguliwa na mungu hawezi pia hata afanye kitu gani, muda utazungumza ukifika, cha msingi tupatiwe kiongozi mzalendo, mwenye hekima na huruma kwa raia anayeongoza badala ya kutawala tena kwa kufuata the rule of law km sifa moja ya democratic government.
@@kuchagammole8738 Mzalendo tunaye. Sasa kinachoshangaza ni madwanzi kutka hawa walioitumbukiza Tz katika rushwa warudi madarakani tena. Tembo walikuwa wanamalizwa, makinikia yalikuwa yanaibwa, rushwa na ubadhirifu vilikuwa vimekithiri.. mikataba mibovu ambayo kaka yake Membe aliahidi kuirejea hata mmoja haukurejewa badala yake wakawa wakipishana angani na kaka yake.. ktk safari za nje ambazo hazikuwa na tija! Ni Mungu yupi anachagua viongozi wasiomjali Mtanzania wa kawaida kama afanyavyo Uncle Magu? Naona wengi mmeshachoka serikali safi mnataka madwanzi na wala rushwa wairudishe Tz nyuma ..! Ndio tatizo la waswahili.. mmezoea kulalamika.. Alipopata nafasi ya uwaziri wa nje angeonyesha uwezo.. badala ya kula bata.. muda akina membe haupo tena..! AKAFIE MBALI. Kuna akina Majaliwa sasa..! NI muda wao.
Membe yupo juu kuliko magu na katembea inchi nyingi dunian pia nafasi alizozishika ni nyingi hata friends anao wengi
Kwahiyo....?
Weeee kweliii hahahhaha
Kwa hiyo?
Kutembea kwake sasa kunatusaidia mini sisi makabwela
Sasa kutembea nchi nyingi ndi tiketi ya kuuwania uraisi wa Tanzania? Hata wafanyabiashara na wanamuziki wametembea nchi nyingi.
Unajua sana kuelezea