Nimekuangalia Mkuu Makonda karibu mara 20 sichoki kukuangalia Kijana mwenzangu tulio zaliwa miaka ya 1982 seemu yoyote kama umepewa Majukumu ya kulisaidia nchi fanya kama Makonda safi kabisa
Asante Mh. MAKONDA kwa kumsaidia Rais wetu mpendwa Mama Samia na kutetea haki za Watanzania wanyonge na kusimamia haki za wanyonge. Mwenyezi Mungu akubariki sana akupe maisha marefu.
Huyu jamaa anaakili sana, sema mda ukifika tutamuelewa tu, he is very talented man, the thinking capability is very higher, hongera wakwetu, haiwezi kupita siku sijakufatilia
Mh Mkuu wa Mkoa-Arusha tunaomba ktk shuguhuli za kutetea haki siku moja basi nendaga magerezani ukakutane na wafungwa na kesi zao kiongozi wangu. Asante
Mhe makonda hongera saana, hakuna ubishi kuwa uongozi unajua, mkurugenzi amekosea kwa km nyingi saaana, amekosa ile professionalism, hawezezekani kabisa mkurugenzi kuita vyombo vya habari na kutoa siri za mteja( mfanyabiashara) amekosa KYC-Know Your Customer, mfanyabiashara ana washindani wake, ana wadau wengine anafanya nao biashara, hakuna ubishi mkurugezi alikuwa na lengo la kumchafua mfanyabiashara ambaye ni mlipa kodi! Pia alishindwa kujua anapoongea anaongea kwa niaba ya ofisi na siye yeye! Very unethical kwa mkurugenzi kumchafua mfanyabiashara bila evidence!!
Makonda nadhani unachikiwa kwakuwa nmkweli na ukweli ni ibada natumaini kwakua upo sahihi kwa kutojiingiza kwenye Kwenye mitego ya rushwa ni utakuwambali mno mashaalah
Hawa wakuu wa mkoa wengeni mlio baki igeni kwa makonda anacho kifanya arusha makonda kila akipita sehemu anaacha pengo na pengo lake halisibiki na kitu chochote 🤝
Mr Paul ana ujasiri, hekima na busara ya Hali ya juu sana, pia ana utu, akili na utambuzi wa haraka sana kiasi kwamba hata akikosea unajuwa ni bahati mbaya. Namuamini sana na kupitia yeye nchi itafika mbali sana. Ma RC wengine, igeni mfano wa huyu mtu.
yaani makonda ukasomee sheria zaidi ili hao watu wako wasijewakakuroga wakakuingiza kwenye shimo. kwa sababubwashafanya madudu ya hovyo na waanaangalia njia ya wao kupona. wataennda mahakamani
Huyu mkurugenzi aliwahi kulaumiwa akiwa Serengeti Kama mkurugenzi ila akabebwa na rais magufuri Lisa aliyemshitaki alikuwa mbunge wa chadema marwa ryoba na alizomewa na ccm Sasa leo maneno ya marwa ryoba yanaonekana Leo kuwa huyo ni mpigaji mzuri
bro makonda nakuombea kwake m/mungu akupe afya njema pamoja na familia yako.ili uwe katika utulivu na busara kumkwamua anae nyanyasika na hawa viongozi wanopenda maslahi yao nakujisahau yakwamba wao ni watumishi wa serekali na sio binafsi yao wawajibishe ipasavyo bila kupepesa macho wakazie sana kwa tabia zao chafu.mungu akupe uwezo zaidi kulitumikia taifa letu la Tanzania.kongole sana bro makonda.
Tz kuna watu wanachekesha,Sana hasa wakurugenzi sector nyingi sana. Yaani ni Sawa umtume mtu Osha vyombo alfu akapike =kuongeza matumizi ya vyombo vichafu aliyekutuma kutatuma aje kutowa matatizo yako na aliyokutuma.
Binafsi wananikera sana hao viongozi kama mkurugenzi maana najiuliza ni viongozi wa aina gani hao kazi kula pesa za wafanyabiashara ambao wanalipa kodi vizuri
Ni bahati mbaya kwamba, mfumo wa kutunuku watu vyeo vya heshima kama vile Doctorate umekaa kisiasa zaidi kuliko uhalisia. Hakika Makonda angekuwa Rais angekuwa ameishatunukiwa hicho cheo cha heshima; ila kwa sababu ni Mkuu wa Mkoa hakuna anayeweza kuona umuhimu wake. Ila kiuhalisia, bila kumng'unya maneno, Makonda anastahili kutambulika na kutunukiwa cheo cha juu cha heshima. Mb zangu zinaisha kwa kuangalia Utendaji kazi wa Makonda, na sichoki kumfuatilia. Hakika kama hili Taifa lingepata watendaji kama hawa, umaskini usingekuwepo; uonevu usingekuwepo! Mungu aendelee kukutunza, wewe ni mfano wa kuigwa!
Rc uko vizuri mno naona huyu ni Magu kwa njia nyingine
Hzi clip nimezirudia zaid ya mara 3 sichoki kumsikiliza
Nimekuangalia Mkuu Makonda karibu mara 20 sichoki kukuangalia Kijana mwenzangu tulio zaliwa miaka ya 1982 seemu yoyote kama umepewa Majukumu ya kulisaidia nchi fanya kama Makonda safi kabisa
Asante Mh. MAKONDA kwa kumsaidia Rais wetu mpendwa Mama Samia na kutetea haki za Watanzania wanyonge na kusimamia haki za wanyonge. Mwenyezi Mungu akubariki sana akupe maisha marefu.
Hongera Mh Ta Makonda..Mungu zaidi kukuinua..Damu ya Yesu ikufunike
Huyu jamaa anaakili sana, sema mda ukifika tutamuelewa tu, he is very talented man, the thinking capability is very higher, hongera wakwetu, haiwezi kupita siku sijakufatilia
He has all the qualities of a true leader
Nipo Zanzibar ila kila nikingia ktk TH-cam nataman sana nimuone makonda anaongea kitu ni role model wangu
Mungu skubariki. Na. Kukulinda. Paul. Makonda
Mh Mkuu wa Mkoa-Arusha tunaomba ktk shuguhuli za kutetea haki siku moja basi nendaga magerezani ukakutane na wafungwa na kesi zao kiongozi wangu. Asante
Siku hz namfatilia makonda kuliko bunge. Baba ana hekima huyu❤❤❤
Umeonaeee
Mwamba baba keagani. Mungu akupe cheo cha uraisi mwaka 2030
I am a Kenyan,,,lkn hongera Kwa kusikiliza kero za wanyonge 🙏
Daah huyu MAKONDA naona Tanzania itafikia mahali tutafanya maandamano tukiomba awe RAISI 😂😂😂
Mungu akubariki sana Makonda
Mhe makonda hongera saana, hakuna ubishi kuwa uongozi unajua, mkurugenzi amekosea kwa km nyingi saaana, amekosa ile professionalism, hawezezekani kabisa mkurugenzi kuita vyombo vya habari na kutoa siri za mteja( mfanyabiashara) amekosa KYC-Know Your Customer, mfanyabiashara ana washindani wake, ana wadau wengine anafanya nao biashara, hakuna ubishi mkurugezi alikuwa na lengo la kumchafua mfanyabiashara ambaye ni mlipa kodi! Pia alishindwa kujua anapoongea anaongea kwa niaba ya ofisi na siye yeye! Very unethical kwa mkurugenzi kumchafua mfanyabiashara bila evidence!!
Bora kumsikiliza Makonda kuliko bunge
KIONGOZI WANGU BORA ZAIDI TANZANIA
nakuomba uwe mkuu wa mkoa wa MOROGORO
Hakika, akitolewa Arusha aje Moro. Pananuka mno mnoooo!
Geniuses Makonda!!!!!
Hili naungana na wewe 100% wakuu wote wakuu wengine wachukue mfano kwako
Pga Kaz kiongoz nakuona Cku moja ukiwa rais wa Nchi
Makonda nadhani unachikiwa kwakuwa nmkweli na ukweli ni ibada natumaini kwakua upo sahihi kwa kutojiingiza kwenye
Kwenye mitego ya rushwa ni utakuwambali mno mashaalah
Kazi nzuri Makonda tunahitaji wakuu wamikoa kama hawa angalau 10 tutasogea mbele
Wakuu wa mikoa wengine wapo wapo tu kimihemko
Hawa wakuu wa mkoa wengeni mlio baki igeni kwa makonda anacho kifanya arusha makonda kila akipita sehemu anaacha pengo na pengo lake halisibiki na kitu chochote 🤝
God bless you Mr Makonda. Imenifundisha kusikiliza Kwanza...ndipo utoe majibu
Mhe Makonda mwanangu upo saaafi sanasana Mungu atakugania na damu ya yesu itakufunika
Mr Paul ana ujasiri, hekima na busara ya Hali ya juu sana, pia ana utu, akili na utambuzi wa haraka sana kiasi kwamba hata akikosea unajuwa ni bahati mbaya.
Namuamini sana na kupitia yeye nchi itafika mbali sana.
Ma RC wengine, igeni mfano wa huyu mtu.
yaani makonda ukasomee sheria zaidi ili hao watu wako wasijewakakuroga wakakuingiza kwenye shimo. kwa sababubwashafanya madudu ya hovyo na waanaangalia njia ya wao kupona. wataennda mahakamani
Mungu akulindee makonda
Hongera sanaaa mh makonda M/mungu akurinde Kila atua unayo piga🤲
Hongera sana mkuu
From Arusha!! Mzaliwa the real face, the real mind!! And you talking all your mind!!!! Do I go on
Wahasibu wa tanesco nao waizi sana. Wanajenga majumba kwa pesa za wananchi😢😢
Ahhaha broo cc tunakopa tu usiumie ukituna tunaishi kwenye yumba kali tunamadeni balaaa
@@deniskaguo4698ukute unajimwambafai hapa kumbe kapuku balaa..mhasibu hawezi jitapa hivyo
Aiseebwee acha tu. mtejabanatakabumeme anaambiwa atafute mkandarasibwa nje. yaani unapitishwq chobingo ili gharama zipande wale nje kwa nje
@@deniskaguo4698 Aaah wapi? Matumizi makubwa mshahara mdogo. Natamani mawaziri wote wangekua kama Dr Slaa na Makonda
Kaka store kipa tanesco wao pia wanapiga mbya wanashusha mijengo 2@@deniskaguo4698
🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Tanzania tuna watu wenye vichwa vibovu utashangaa Halmashauri nyingine zina madudu ya aina gani!!!
Makonda mungu akulinde
We want that kind of leadership ❤❤
Panapo uhai namtabilia huyu makonda kuwa rais wa nchi hii
MAKONDA MTU WA MAANA KABISA❤❤❤❤❤❤😂❤❤
Tukibagiliwa kuwa sisi weusi hatuna akili tunaandamana .kumbe kuna kenge wanatuponza .hivi hiz halmashauri mmerogwa na nani
Hawajalogwa , ni wezi tu kama wzi wengine.
Uko vizuri tunakuombea from mbeya
U kijana sana Makonda natamani uje kuwa Raisi muda ukifika. Unawatetea wanyonge.Hongera baba.
Hawezi kuwa Raisi sababu uongozi wake hauna mipaka na haifuati katiba.
Raisi wng wa badae
Makonda ni mtu na nusu
Makonda nimekuzaa mie weye unapenda haki. Mungu akulinde na akuhifadhi katika haki.
Huyu ndo mkuu wa mkoa ninaemfahamu sasa mimi, wow❤❤❤
Yani.makonda.nawaziri.silaah.mungu.awalinde.namafisadi
Babaangu hongera kwa kazii kubwa naomba namba yako baba ninashida
Hayo mapete aliyovaa Mkurugenzi huenda ndo yanamcontrol.
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
😂😂😂😂😢😢😢😊😊
Ubarikiwe Sana Mkuu wa mkoa wanadamu wasipokupenda especially wale wanyanyasaji, wema na Mungu mpenda haki atakuvisha taji la utukufu wake.
Huyu mkurugenzi aliwahi kulaumiwa akiwa Serengeti Kama mkurugenzi ila akabebwa na rais magufuri Lisa aliyemshitaki alikuwa mbunge wa chadema marwa ryoba na alizomewa na ccm Sasa leo maneno ya marwa ryoba yanaonekana Leo kuwa huyo ni mpigaji mzuri
Tena alimtaja kwa Herufi kubwa.. TUNAMKURUGENZI MWIIIZIII !!
Well done
Makonda ubarikie
Tumekukubali %%
Noma hapa kazi tuu
Big up sana mh makonda.. Baraka nyingi sana kwako
Higher thinking capacity man.........
Mama samia mungu akulinde kwa ku leta makondo tena kwenye system nadhani wananchi wanatamaviongozi wa namna hii
Very Talent makonda ❤❤❤❤
Napoangalia taarifa zako unafanyakazi nzr makonda upo vizuri nawapongeza sana wana Arusha
Kila siku naamka naogopa usije ukatenguliea kwa unachokifanya, nakuombea kwakwel mung akueke arush ata miak mowil tu
Mnae huyo mpaka uchaguzi upite.Bila shaka baada ya hapo atakuwa wizarani.
MashaAllah, kaka uko vizuri mm nakupataje ?nina jambo langu tumedhulumiwa mpaka leo tuko maskini na mkwe wangu mhhh mtihani wallah
Ndiyooo mafisadi wote wakae nje 😢
Upo vzr baba kian
Good Job RC.
Mwaraabu mbona kajishika kichwa, kama vile mama yangu kazi hamna, 😂yumo nini?
RC Makonda 👍that is called Maturity.
Wise
bro makonda nakuombea kwake m/mungu akupe afya njema pamoja na familia yako.ili uwe katika utulivu na busara kumkwamua anae nyanyasika na hawa viongozi wanopenda maslahi yao nakujisahau yakwamba wao ni watumishi wa serekali na sio binafsi yao wawajibishe ipasavyo bila kupepesa macho wakazie sana kwa tabia zao chafu.mungu akupe uwezo zaidi kulitumikia taifa letu la Tanzania.kongole sana bro makonda.
Aisee nikikucheki Mh.Makonda nikama Magu karudi kazini naiona sauti ya ukali kukemea madudu ya Nchi.
Makonda safiiiiii
UNGEKUWA NAIBU PM UNGELISAIDIA SANA TAIFA.
RC. Piga kazi. Tuko pamoja
Kuna watu wengne hawana hata chembe ya uongozi kama unahitaji ni nini maana ya kiongozi difinition yake ni Paul christian makonda
Tz kuna watu wanachekesha,Sana hasa wakurugenzi sector nyingi sana.
Yaani ni Sawa umtume mtu Osha vyombo alfu akapike =kuongeza matumizi ya vyombo vichafu aliyekutuma kutatuma aje kutowa matatizo yako na aliyokutuma.
Huyu jamaa kumpa mkoa tu ni matumizi mabaya ya akili kubwa huyu mwamba alitakiwa kuwa level ya waziri akatatue changamoto za watanzania
PM
Hongera mh,, MAKONDA
When the hunter become hunted 😅😅
😂😂😂😂daah
Binafsi wananikera sana hao viongozi kama mkurugenzi maana najiuliza ni viongozi wa aina gani hao kazi kula pesa za wafanyabiashara ambao wanalipa kodi vizuri
Mm Ni mkenya but napenda uongozi wa makonda ama kweli amezaliwa Kua kiongozi
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
❤❤❤❤
Siku ya nwizi ni arobaini,mungu akulinde sana kiongozi hongera sana role model kwa viongozi wote .
❤❤❤❤❤
Chuma ( Paul Christian Makonda) Mungu akulinde
mheshimiwa makonda system pia inahitaji watu waadilifu
👏👏👏👏👏
Mkurugenzi mwizi huyo hi nchi bwana daah😢😢
Makonda ni kiongozi bora.
🎉 🎉🎉
Mwili unasisimka makonda juu juu sana
😂😂😂😂
Yaan ingeundwa team nyingine kufanya hzi chunguzi, maana hzi takukuru pia ni watu wa system
Aksante Daniel wa kizazi cha sasa Bwana akufunike na utukifu wake
Arusha mtazitolea rushwa sehemu yoyote yenye tundu
Makonda hapo unaongea uongo mbona ulitaka kumtapeli GSM NYUMBA?
Haya watanzania hao Ndio wasomi wetu haya jioneeni,
Wapi Lema😲😲
Namuomba mungu siku moja akulete mbeya❤
Msura ,mipetee kazi kwelii
Ni bahati mbaya kwamba, mfumo wa kutunuku watu vyeo vya heshima kama vile Doctorate umekaa kisiasa zaidi kuliko uhalisia.
Hakika Makonda angekuwa Rais angekuwa ameishatunukiwa hicho cheo cha heshima; ila kwa sababu ni Mkuu wa Mkoa hakuna anayeweza kuona umuhimu wake. Ila kiuhalisia, bila kumng'unya maneno, Makonda anastahili kutambulika na kutunukiwa cheo cha juu cha heshima.
Mb zangu zinaisha kwa kuangalia Utendaji kazi wa Makonda, na sichoki kumfuatilia. Hakika kama hili Taifa lingepata watendaji kama hawa, umaskini usingekuwepo; uonevu usingekuwepo!
Mungu aendelee kukutunza, wewe ni mfano wa kuigwa!
Kazi nzuri sana, viongozi kama hawa tuwapate Africa
Ap poa