Huyu jamaa anaakili sana, sema mda ukifika tutamuelewa tu, he is very talented man, the thinking capability is very higher, hongera wakwetu, haiwezi kupita siku sijakufatilia
Nimekuangalia Mkuu Makonda karibu mara 20 sichoki kukuangalia Kijana mwenzangu tulio zaliwa miaka ya 1982 seemu yoyote kama umepewa Majukumu ya kulisaidia nchi fanya kama Makonda safi kabisa
Asante Mh. MAKONDA kwa kumsaidia Rais wetu mpendwa Mama Samia na kutetea haki za Watanzania wanyonge na kusimamia haki za wanyonge. Mwenyezi Mungu akubariki sana akupe maisha marefu.
Mh Mkuu wa Mkoa-Arusha tunaomba ktk shuguhuli za kutetea haki siku moja basi nendaga magerezani ukakutane na wafungwa na kesi zao kiongozi wangu. Asante
yaani makonda ukasomee sheria zaidi ili hao watu wako wasijewakakuroga wakakuingiza kwenye shimo. kwa sababubwashafanya madudu ya hovyo na waanaangalia njia ya wao kupona. wataennda mahakamani
Goooood mkuu wa mkoa kazi nzuri sana nakukubari sana kiongozi wangu nakuombea kwa mwenyezi Munguuishi maisha malefu na udumu kwenye uongozi wa juu zaidi uwezo wako ni mkubwa sana
Makonda nadhani unachikiwa kwakuwa nmkweli na ukweli ni ibada natumaini kwakua upo sahihi kwa kutojiingiza kwenye Kwenye mitego ya rushwa ni utakuwambali mno mashaalah
Hawa wakuu wa mkoa wengeni mlio baki igeni kwa makonda anacho kifanya arusha makonda kila akipita sehemu anaacha pengo na pengo lake halisibiki na kitu chochote 🤝
Mhe makonda hongera saana, hakuna ubishi kuwa uongozi unajua, mkurugenzi amekosea kwa km nyingi saaana, amekosa ile professionalism, hawezezekani kabisa mkurugenzi kuita vyombo vya habari na kutoa siri za mteja( mfanyabiashara) amekosa KYC-Know Your Customer, mfanyabiashara ana washindani wake, ana wadau wengine anafanya nao biashara, hakuna ubishi mkurugezi alikuwa na lengo la kumchafua mfanyabiashara ambaye ni mlipa kodi! Pia alishindwa kujua anapoongea anaongea kwa niaba ya ofisi na siye yeye! Very unethical kwa mkurugenzi kumchafua mfanyabiashara bila evidence!!
Kuna mda ata unataman. Makonda afanye kazi ata weeked❤😂Mungu akulinde je miko mingine ikoje, iyo sura ya mkurungez tu kama mla watu haya mambo ndo vile unakuta mfanya biashara ameuliwa masikin au katupwa mtoni kumbe mambo ndo hayo
Mr Paul ana ujasiri, hekima na busara ya Hali ya juu sana, pia ana utu, akili na utambuzi wa haraka sana kiasi kwamba hata akikosea unajuwa ni bahati mbaya. Namuamini sana na kupitia yeye nchi itafika mbali sana. Ma RC wengine, igeni mfano wa huyu mtu.
I'm not from Tanzania but I'm very proud of this leader 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 i wish this guy he would be a president not only tanzania i hope whole africa we will enjoy his present 🎉🎉🎉🎉
Huyu mkurugenzi aliwahi kulaumiwa akiwa Serengeti Kama mkurugenzi ila akabebwa na rais magufuri Lisa aliyemshitaki alikuwa mbunge wa chadema marwa ryoba na alizomewa na ccm Sasa leo maneno ya marwa ryoba yanaonekana Leo kuwa huyo ni mpigaji mzuri
Tokea nianze kufuatilia kazi anazofanya makonda kwenye mikutano yake nimetokea kuwa mfuatiliaji sana kiasi kwamba ss hiv naijua vizur sana serikal kuanzia chini mpaka juu jamaa yupo vizur sana anaijua kazi yake ..big up
bro makonda nakuombea kwake m/mungu akupe afya njema pamoja na familia yako.ili uwe katika utulivu na busara kumkwamua anae nyanyasika na hawa viongozi wanopenda maslahi yao nakujisahau yakwamba wao ni watumishi wa serekali na sio binafsi yao wawajibishe ipasavyo bila kupepesa macho wakazie sana kwa tabia zao chafu.mungu akupe uwezo zaidi kulitumikia taifa letu la Tanzania.kongole sana bro makonda.
Ni bahati mbaya kwamba, mfumo wa kutunuku watu vyeo vya heshima kama vile Doctorate umekaa kisiasa zaidi kuliko uhalisia. Hakika Makonda angekuwa Rais angekuwa ameishatunukiwa hicho cheo cha heshima; ila kwa sababu ni Mkuu wa Mkoa hakuna anayeweza kuona umuhimu wake. Ila kiuhalisia, bila kumng'unya maneno, Makonda anastahili kutambulika na kutunukiwa cheo cha juu cha heshima. Mb zangu zinaisha kwa kuangalia Utendaji kazi wa Makonda, na sichoki kumfuatilia. Hakika kama hili Taifa lingepata watendaji kama hawa, umaskini usingekuwepo; uonevu usingekuwepo! Mungu aendelee kukutunza, wewe ni mfano wa kuigwa!
Tz kuna watu wanachekesha,Sana hasa wakurugenzi sector nyingi sana. Yaani ni Sawa umtume mtu Osha vyombo alfu akapike =kuongeza matumizi ya vyombo vichafu aliyekutuma kutatuma aje kutowa matatizo yako na aliyokutuma.
Mkurugenzi kama huyu ndo anaongoza almashauri kama hii jamani. Mtu ambaye hawezi kureason hata kwenye issue serious inayoleta mapato ya kuendesha nchi. Uwa nasema utaratibu wa kuwapata wakuu wa wilaya, wakurugenzi, makatibu tawala, na wakuu wa mikoa hapa nchini uangaliwe upya
Makonda nilimchukia sana akiwa Dar. Ila nahisi Dar nao walokuwa wanamdanya asifanye kazi maana huku matapeli wengi watakuwa walimpotosha. Ila tangu jamaa kaingia Arusha namkubali sana aisee na Mungu anisamehe kwa kumchukulia visivyo huko nyuma
Binafsi wananikera sana hao viongozi kama mkurugenzi maana najiuliza ni viongozi wa aina gani hao kazi kula pesa za wafanyabiashara ambao wanalipa kodi vizuri
Huyu jamaa anaakili sana, sema mda ukifika tutamuelewa tu, he is very talented man, the thinking capability is very higher, hongera wakwetu, haiwezi kupita siku sijakufatilia
He has all the qualities of a true leader
Nimekuangalia Mkuu Makonda karibu mara 20 sichoki kukuangalia Kijana mwenzangu tulio zaliwa miaka ya 1982 seemu yoyote kama umepewa Majukumu ya kulisaidia nchi fanya kama Makonda safi kabisa
Hongera Mh Ta Makonda..Mungu zaidi kukuinua..Damu ya Yesu ikufunike
Asante Mh. MAKONDA kwa kumsaidia Rais wetu mpendwa Mama Samia na kutetea haki za Watanzania wanyonge na kusimamia haki za wanyonge. Mwenyezi Mungu akubariki sana akupe maisha marefu.
Nipo Zanzibar ila kila nikingia ktk TH-cam nataman sana nimuone makonda anaongea kitu ni role model wangu
Mh Mkuu wa Mkoa-Arusha tunaomba ktk shuguhuli za kutetea haki siku moja basi nendaga magerezani ukakutane na wafungwa na kesi zao kiongozi wangu. Asante
Rc uko vizuri mno naona huyu ni Magu kwa njia nyingine
Magu amekufa mwili ila fikra zake zitaendelezwa.
Siku hz namfatilia makonda kuliko bunge. Baba ana hekima huyu❤❤❤
Umeonaeee
yaani makonda ukasomee sheria zaidi ili hao watu wako wasijewakakuroga wakakuingiza kwenye shimo. kwa sababubwashafanya madudu ya hovyo na waanaangalia njia ya wao kupona. wataennda mahakamani
Mungu skubariki. Na. Kukulinda. Paul. Makonda
Mhe Makonda mwanangu upo saaafi sanasana Mungu atakugania na damu ya yesu itakufunika
God bless you Mr Makonda. Imenifundisha kusikiliza Kwanza...ndipo utoe majibu
Goooood mkuu wa mkoa kazi nzuri sana nakukubari sana kiongozi wangu nakuombea kwa mwenyezi Munguuishi maisha malefu na udumu kwenye uongozi wa juu zaidi uwezo wako ni mkubwa sana
Hzi clip nimezirudia zaid ya mara 3 sichoki kumsikiliza
Kazi nzuri Makonda tunahitaji wakuu wamikoa kama hawa angalau 10 tutasogea mbele
Wakuu wa mikoa wengine wapo wapo tu kimihemko
Kiukweli mh. Makonda mungu akubariki sana kwa kuitetea tanzania hii inakuletea ubaya kwa baadhi ya viongozi ambao sio waminifu
I am a Kenyan,,,lkn hongera Kwa kusikiliza kero za wanyonge 🙏
Makonda nadhani unachikiwa kwakuwa nmkweli na ukweli ni ibada natumaini kwakua upo sahihi kwa kutojiingiza kwenye
Kwenye mitego ya rushwa ni utakuwambali mno mashaalah
Daah huyu MAKONDA naona Tanzania itafikia mahali tutafanya maandamano tukiomba awe RAISI 😂😂😂
Hawa wakuu wa mkoa wengeni mlio baki igeni kwa makonda anacho kifanya arusha makonda kila akipita sehemu anaacha pengo na pengo lake halisibiki na kitu chochote 🤝
Mhe makonda hongera saana, hakuna ubishi kuwa uongozi unajua, mkurugenzi amekosea kwa km nyingi saaana, amekosa ile professionalism, hawezezekani kabisa mkurugenzi kuita vyombo vya habari na kutoa siri za mteja( mfanyabiashara) amekosa KYC-Know Your Customer, mfanyabiashara ana washindani wake, ana wadau wengine anafanya nao biashara, hakuna ubishi mkurugezi alikuwa na lengo la kumchafua mfanyabiashara ambaye ni mlipa kodi! Pia alishindwa kujua anapoongea anaongea kwa niaba ya ofisi na siye yeye! Very unethical kwa mkurugenzi kumchafua mfanyabiashara bila evidence!!
Mwamba baba keagani. Mungu akupe cheo cha uraisi mwaka 2030
Mungu akubariki sana Makonda
Hongera sanaaa mh makonda M/mungu akurinde Kila atua unayo piga🤲
Hili naungana na wewe 100% wakuu wote wakuu wengine wachukue mfano kwako
Bora kumsikiliza Makonda kuliko bunge
We want that kind of leadership ❤❤
Geniuses Makonda!!!!!
Kuna mda ata unataman. Makonda afanye kazi ata weeked❤😂Mungu akulinde je miko mingine ikoje, iyo sura ya mkurungez tu kama mla watu haya mambo ndo vile unakuta mfanya biashara ameuliwa masikin au katupwa mtoni kumbe mambo ndo hayo
Wahasibu wa tanesco nao waizi sana. Wanajenga majumba kwa pesa za wananchi😢😢
Ahhaha broo cc tunakopa tu usiumie ukituna tunaishi kwenye yumba kali tunamadeni balaaa
@@deniskaguo4698ukute unajimwambafai hapa kumbe kapuku balaa..mhasibu hawezi jitapa hivyo
Aiseebwee acha tu. mtejabanatakabumeme anaambiwa atafute mkandarasibwa nje. yaani unapitishwq chobingo ili gharama zipande wale nje kwa nje
@@deniskaguo4698 Aaah wapi? Matumizi makubwa mshahara mdogo. Natamani mawaziri wote wangekua kama Dr Slaa na Makonda
Kaka store kipa tanesco wao pia wanapiga mbya wanashusha mijengo 2@@deniskaguo4698
Mr Paul ana ujasiri, hekima na busara ya Hali ya juu sana, pia ana utu, akili na utambuzi wa haraka sana kiasi kwamba hata akikosea unajuwa ni bahati mbaya.
Namuamini sana na kupitia yeye nchi itafika mbali sana.
Ma RC wengine, igeni mfano wa huyu mtu.
I'm not from Tanzania but I'm very proud of this leader 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 i wish this guy he would be a president not only tanzania i hope whole africa we will enjoy his present 🎉🎉🎉🎉
Makonda nimekuzaa mie weye unapenda haki. Mungu akulinde na akuhifadhi katika haki.
KIONGOZI WANGU BORA ZAIDI TANZANIA
nakuomba uwe mkuu wa mkoa wa MOROGORO
Hakika, akitolewa Arusha aje Moro. Pananuka mno mnoooo!
Pga Kaz kiongoz nakuona Cku moja ukiwa rais wa Nchi
🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Tanzania tuna watu wenye vichwa vibovu utashangaa Halmashauri nyingine zina madudu ya aina gani!!!
MAKONDA MTU WA MAANA KABISA❤❤❤❤❤❤😂❤❤
Ubarikiwe Sana Mkuu wa mkoa wanadamu wasipokupenda especially wale wanyanyasaji, wema na Mungu mpenda haki atakuvisha taji la utukufu wake.
Huyu mkurugenzi aliwahi kulaumiwa akiwa Serengeti Kama mkurugenzi ila akabebwa na rais magufuri Lisa aliyemshitaki alikuwa mbunge wa chadema marwa ryoba na alizomewa na ccm Sasa leo maneno ya marwa ryoba yanaonekana Leo kuwa huyo ni mpigaji mzuri
Tena alimtaja kwa Herufi kubwa.. TUNAMKURUGENZI MWIIIZIII !!
Tokea nianze kufuatilia kazi anazofanya makonda kwenye mikutano yake nimetokea kuwa mfuatiliaji sana kiasi kwamba ss hiv naijua vizur sana serikal kuanzia chini mpaka juu jamaa yupo vizur sana anaijua kazi yake ..big up
From Arusha!! Mzaliwa the real face, the real mind!! And you talking all your mind!!!! Do I go on
Hongera sana mkuu
MashaAllah, kaka uko vizuri mm nakupataje ?nina jambo langu tumedhulumiwa mpaka leo tuko maskini na mkwe wangu mhhh mtihani wallah
U kijana sana Makonda natamani uje kuwa Raisi muda ukifika. Unawatetea wanyonge.Hongera baba.
Hawezi kuwa Raisi sababu uongozi wake hauna mipaka na haifuati katiba.
Tukibagiliwa kuwa sisi weusi hatuna akili tunaandamana .kumbe kuna kenge wanatuponza .hivi hiz halmashauri mmerogwa na nani
Hawajalogwa , ni wezi tu kama wzi wengine.
Huyu ndo mkuu wa mkoa ninaemfahamu sasa mimi, wow❤❤❤
Kazi nzuri sana kaka yangu makonda
Makonda mungu akulinde
Mama samia mungu akulinde kwa ku leta makondo tena kwenye system nadhani wananchi wanatamaviongozi wa namna hii
Kwa mara yangu ya kwanza nmekuwa nafuatitilia daaah.MUNGU AKUBARIK MUHESHIMIWA MAKONDA
bro makonda nakuombea kwake m/mungu akupe afya njema pamoja na familia yako.ili uwe katika utulivu na busara kumkwamua anae nyanyasika na hawa viongozi wanopenda maslahi yao nakujisahau yakwamba wao ni watumishi wa serekali na sio binafsi yao wawajibishe ipasavyo bila kupepesa macho wakazie sana kwa tabia zao chafu.mungu akupe uwezo zaidi kulitumikia taifa letu la Tanzania.kongole sana bro makonda.
Mh Makonda unaweza Mungu akuongoze
Uko vizuri tunakuombea from mbeya
Kuna watu wengne hawana hata chembe ya uongozi kama unahitaji ni nini maana ya kiongozi difinition yake ni Paul christian makonda
Big up sana mh makonda.. Baraka nyingi sana kwako
Ni bahati mbaya kwamba, mfumo wa kutunuku watu vyeo vya heshima kama vile Doctorate umekaa kisiasa zaidi kuliko uhalisia.
Hakika Makonda angekuwa Rais angekuwa ameishatunukiwa hicho cheo cha heshima; ila kwa sababu ni Mkuu wa Mkoa hakuna anayeweza kuona umuhimu wake. Ila kiuhalisia, bila kumng'unya maneno, Makonda anastahili kutambulika na kutunukiwa cheo cha juu cha heshima.
Mb zangu zinaisha kwa kuangalia Utendaji kazi wa Makonda, na sichoki kumfuatilia. Hakika kama hili Taifa lingepata watendaji kama hawa, umaskini usingekuwepo; uonevu usingekuwepo!
Mungu aendelee kukutunza, wewe ni mfano wa kuigwa!
Panapo uhai namtabilia huyu makonda kuwa rais wa nchi hii
RC Makonda 👍that is called Maturity.
Hongera sana Mkuu wa Mkoa Mungu akulinde
Mm Ni mkenya but napenda uongozi wa makonda ama kweli amezaliwa Kua kiongozi
Mungu akulindee makonda
Very Talent makonda ❤❤❤❤
Kila siku naamka naogopa usije ukatenguliea kwa unachokifanya, nakuombea kwakwel mung akueke arush ata miak mowil tu
Mnae huyo mpaka uchaguzi upite.Bila shaka baada ya hapo atakuwa wizarani.
Babaangu hongera kwa kazii kubwa naomba namba yako baba ninashida
Hayo mapete aliyovaa Mkurugenzi huenda ndo yanamcontrol.
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
😂😂😂😂😢😢😢😊😊
😅😅😅😅😅😅
Munguwamajeshi yupo
MUNGU akulinde sana Makonda, na nakuomba muambie mama amtimue huyu Mkurugenzi
Tz kuna watu wanachekesha,Sana hasa wakurugenzi sector nyingi sana.
Yaani ni Sawa umtume mtu Osha vyombo alfu akapike =kuongeza matumizi ya vyombo vichafu aliyekutuma kutatuma aje kutowa matatizo yako na aliyokutuma.
Siku ya nwizi ni arobaini,mungu akulinde sana kiongozi hongera sana role model kwa viongozi wote .
Mkuu wa mkoa safi sana nakutamani ungekuja Kilmanjaro kwa mwaka mmoja
Mkurugenzi mwizi huyo hi nchi bwana daah😢😢
Huyu jamaa kumpa mkoa tu ni matumizi mabaya ya akili kubwa huyu mwamba alitakiwa kuwa level ya waziri akatatue changamoto za watanzania
PM
Aksante Daniel wa kizazi cha sasa Bwana akufunike na utukifu wake
UNGEKUWA NAIBU PM UNGELISAIDIA SANA TAIFA.
Mkurugenzi kama huyu ndo anaongoza almashauri kama hii jamani. Mtu ambaye hawezi kureason hata kwenye issue serious inayoleta mapato ya kuendesha nchi. Uwa nasema utaratibu wa kuwapata wakuu wa wilaya, wakurugenzi, makatibu tawala, na wakuu wa mikoa hapa nchini uangaliwe upya
Ee Mungu..Yuko Mungu asikiaye maombi yetu,,tunapoomba,tunapolia Mungu anasikia..tena anasikia jamani mi mniache tu Mungu ndiye anaujua moyo wangu
Makonda ni mtu na nusu
Noma hapa kazi tuu
Good Job RC.
Chuma ( Paul Christian Makonda) Mungu akulinde
Kazi nzuri sana, viongozi kama hawa tuwapate Africa
TUNAKUFUNIKA KWA DAMU YA YESU. NDIMI ZA MOTOZA ROHO MTAJATIFU ZIKUZUNGUKE BAYA LISIKUPATE KABISA.
Mwaraabu mbona kajishika kichwa, kama vile mama yangu kazi hamna, 😂yumo nini?
Upo vzr baba kian
Yaan ingeundwa team nyingine kufanya hzi chunguzi, maana hzi takukuru pia ni watu wa system
Raisi wng wa badae
Makonda ni kiongozi bora.
Makonda nilimchukia sana akiwa Dar. Ila nahisi Dar nao walokuwa wanamdanya asifanye kazi maana huku matapeli wengi watakuwa walimpotosha. Ila tangu jamaa kaingia Arusha namkubali sana aisee na Mungu anisamehe kwa kumchukulia visivyo huko nyuma
Makonda ubarikie
Mwili unasisimka makonda juu juu sana
😂😂😂😂
Hongera mh,, MAKONDA
Higher thinking capacity man.........
Yani.makonda.nawaziri.silaah.mungu.awalinde.namafisadi
Well done
Ndiyooo mafisadi wote wakae nje 😢
Arusha mtazitolea rushwa sehemu yoyote yenye tundu
When the hunter become hunted 😅😅
😂😂😂😂daah
Tumekukubali %%
mheshimiwa makonda system pia inahitaji watu waadilifu
Binafsi wananikera sana hao viongozi kama mkurugenzi maana najiuliza ni viongozi wa aina gani hao kazi kula pesa za wafanyabiashara ambao wanalipa kodi vizuri