PART 2: HILI ni BALAA RC MAKONDA AMUWASHIA MKURUGENZI -''SIPOTEZI MUDA MIMI Kwa HAYA MADUDU..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 พ.ค. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 209

  • @frednyangwechi774
    @frednyangwechi774 27 วันที่ผ่านมา +38

    Rc uko vizuri mno naona huyu ni Magu kwa njia nyingine

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 27 วันที่ผ่านมา +41

    Hzi clip nimezirudia zaid ya mara 3 sichoki kumsikiliza

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 27 วันที่ผ่านมา +21

    Nimekuangalia Mkuu Makonda karibu mara 20 sichoki kukuangalia Kijana mwenzangu tulio zaliwa miaka ya 1982 seemu yoyote kama umepewa Majukumu ya kulisaidia nchi fanya kama Makonda safi kabisa

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen7145 27 วันที่ผ่านมา +18

    Asante Mh. MAKONDA kwa kumsaidia Rais wetu mpendwa Mama Samia na kutetea haki za Watanzania wanyonge na kusimamia haki za wanyonge. Mwenyezi Mungu akubariki sana akupe maisha marefu.

  • @beatricekatunzi3721
    @beatricekatunzi3721 27 วันที่ผ่านมา +22

    Hongera Mh Ta Makonda..Mungu zaidi kukuinua..Damu ya Yesu ikufunike

  • @HanziKalitus-df3wn
    @HanziKalitus-df3wn 27 วันที่ผ่านมา +37

    Huyu jamaa anaakili sana, sema mda ukifika tutamuelewa tu, he is very talented man, the thinking capability is very higher, hongera wakwetu, haiwezi kupita siku sijakufatilia

    • @aishahemedi8452
      @aishahemedi8452 24 วันที่ผ่านมา +1

      He has all the qualities of a true leader

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 27 วันที่ผ่านมา +32

    Nipo Zanzibar ila kila nikingia ktk TH-cam nataman sana nimuone makonda anaongea kitu ni role model wangu

  • @giftluyana1390
    @giftluyana1390 27 วันที่ผ่านมา +21

    Mungu skubariki. Na. Kukulinda. Paul. Makonda

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 26 วันที่ผ่านมา +10

    Mh Mkuu wa Mkoa-Arusha tunaomba ktk shuguhuli za kutetea haki siku moja basi nendaga magerezani ukakutane na wafungwa na kesi zao kiongozi wangu. Asante

  • @user-gz8yw6dc1r
    @user-gz8yw6dc1r 25 วันที่ผ่านมา +9

    Siku hz namfatilia makonda kuliko bunge. Baba ana hekima huyu❤❤❤

  • @GodTimbaland
    @GodTimbaland 27 วันที่ผ่านมา +14

    Mwamba baba keagani. Mungu akupe cheo cha uraisi mwaka 2030

  • @joycemwango943
    @joycemwango943 25 วันที่ผ่านมา +11

    I am a Kenyan,,,lkn hongera Kwa kusikiliza kero za wanyonge 🙏

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no 26 วันที่ผ่านมา +7

    Daah huyu MAKONDA naona Tanzania itafikia mahali tutafanya maandamano tukiomba awe RAISI 😂😂😂

  • @hezronsanga5197
    @hezronsanga5197 27 วันที่ผ่านมา +11

    Mungu akubariki sana Makonda

  • @user-rt5fb8kw9b
    @user-rt5fb8kw9b 27 วันที่ผ่านมา +14

    Mhe makonda hongera saana, hakuna ubishi kuwa uongozi unajua, mkurugenzi amekosea kwa km nyingi saaana, amekosa ile professionalism, hawezezekani kabisa mkurugenzi kuita vyombo vya habari na kutoa siri za mteja( mfanyabiashara) amekosa KYC-Know Your Customer, mfanyabiashara ana washindani wake, ana wadau wengine anafanya nao biashara, hakuna ubishi mkurugezi alikuwa na lengo la kumchafua mfanyabiashara ambaye ni mlipa kodi! Pia alishindwa kujua anapoongea anaongea kwa niaba ya ofisi na siye yeye! Very unethical kwa mkurugenzi kumchafua mfanyabiashara bila evidence!!

  • @user-eh5fw5gj4c
    @user-eh5fw5gj4c 26 วันที่ผ่านมา +7

    Bora kumsikiliza Makonda kuliko bunge

  • @mansulkassim9509
    @mansulkassim9509 27 วันที่ผ่านมา +19

    KIONGOZI WANGU BORA ZAIDI TANZANIA
    nakuomba uwe mkuu wa mkoa wa MOROGORO

    • @EmanuelyMbagalla-rt2vm
      @EmanuelyMbagalla-rt2vm 27 วันที่ผ่านมา +1

      Hakika, akitolewa Arusha aje Moro. Pananuka mno mnoooo!

  • @marugumsira4695
    @marugumsira4695 27 วันที่ผ่านมา +12

    Geniuses Makonda!!!!!

  • @silasjonathan1952
    @silasjonathan1952 26 วันที่ผ่านมา +7

    Hili naungana na wewe 100% wakuu wote wakuu wengine wachukue mfano kwako

  • @mpanderashidi2078
    @mpanderashidi2078 26 วันที่ผ่านมา +5

    Pga Kaz kiongoz nakuona Cku moja ukiwa rais wa Nchi

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 26 วันที่ผ่านมา +4

    Makonda nadhani unachikiwa kwakuwa nmkweli na ukweli ni ibada natumaini kwakua upo sahihi kwa kutojiingiza kwenye
    Kwenye mitego ya rushwa ni utakuwambali mno mashaalah

  • @muzzoonlinetv7446
    @muzzoonlinetv7446 27 วันที่ผ่านมา +26

    Kazi nzuri Makonda tunahitaji wakuu wamikoa kama hawa angalau 10 tutasogea mbele

    • @abdull_hafidh
      @abdull_hafidh 27 วันที่ผ่านมา +2

      Wakuu wa mikoa wengine wapo wapo tu kimihemko

  • @majaliwaslayomajaliwaslayo
    @majaliwaslayomajaliwaslayo 27 วันที่ผ่านมา +8

    Hawa wakuu wa mkoa wengeni mlio baki igeni kwa makonda anacho kifanya arusha makonda kila akipita sehemu anaacha pengo na pengo lake halisibiki na kitu chochote 🤝

  • @shekinahrwabyo8150
    @shekinahrwabyo8150 15 วันที่ผ่านมา +1

    God bless you Mr Makonda. Imenifundisha kusikiliza Kwanza...ndipo utoe majibu

  • @PaulinaNyanzalashija
    @PaulinaNyanzalashija 23 วันที่ผ่านมา +2

    Mhe Makonda mwanangu upo saaafi sanasana Mungu atakugania na damu ya yesu itakufunika

  • @tanzaniantraveller
    @tanzaniantraveller 26 วันที่ผ่านมา +5

    Mr Paul ana ujasiri, hekima na busara ya Hali ya juu sana, pia ana utu, akili na utambuzi wa haraka sana kiasi kwamba hata akikosea unajuwa ni bahati mbaya.
    Namuamini sana na kupitia yeye nchi itafika mbali sana.
    Ma RC wengine, igeni mfano wa huyu mtu.

  • @sss3s867
    @sss3s867 26 วันที่ผ่านมา +5

    yaani makonda ukasomee sheria zaidi ili hao watu wako wasijewakakuroga wakakuingiza kwenye shimo. kwa sababubwashafanya madudu ya hovyo na waanaangalia njia ya wao kupona. wataennda mahakamani

  • @alexnyigo8864
    @alexnyigo8864 10 วันที่ผ่านมา

    Mungu akulindee makonda

  • @jokhamohammed976
    @jokhamohammed976 21 วันที่ผ่านมา

    Hongera sanaaa mh makonda M/mungu akurinde Kila atua unayo piga🤲

  • @jeremiahmollel5583
    @jeremiahmollel5583 26 วันที่ผ่านมา +3

    Hongera sana mkuu

  • @furahinimanya7700
    @furahinimanya7700 4 วันที่ผ่านมา

    From Arusha!! Mzaliwa the real face, the real mind!! And you talking all your mind!!!! Do I go on

  • @totonata5384
    @totonata5384 27 วันที่ผ่านมา +17

    Wahasibu wa tanesco nao waizi sana. Wanajenga majumba kwa pesa za wananchi😢😢

    • @deniskaguo4698
      @deniskaguo4698 27 วันที่ผ่านมา +1

      Ahhaha broo cc tunakopa tu usiumie ukituna tunaishi kwenye yumba kali tunamadeni balaaa

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 26 วันที่ผ่านมา

      ​@@deniskaguo4698ukute unajimwambafai hapa kumbe kapuku balaa..mhasibu hawezi jitapa hivyo

    • @sss3s867
      @sss3s867 26 วันที่ผ่านมา

      Aiseebwee acha tu. mtejabanatakabumeme anaambiwa atafute mkandarasibwa nje. yaani unapitishwq chobingo ili gharama zipande wale nje kwa nje

    • @totonata5384
      @totonata5384 26 วันที่ผ่านมา

      @@deniskaguo4698 Aaah wapi? Matumizi makubwa mshahara mdogo. Natamani mawaziri wote wangekua kama Dr Slaa na Makonda

    • @abdulymaeda2697
      @abdulymaeda2697 25 วันที่ผ่านมา

      Kaka store kipa tanesco wao pia wanapiga mbya wanashusha mijengo 2​@@deniskaguo4698

  • @hbdina
    @hbdina 27 วันที่ผ่านมา +5

    🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Tanzania tuna watu wenye vichwa vibovu utashangaa Halmashauri nyingine zina madudu ya aina gani!!!

  • @shadyaomary
    @shadyaomary 26 วันที่ผ่านมา +2

    Makonda mungu akulinde

  • @IbrahimSandagila
    @IbrahimSandagila 19 วันที่ผ่านมา +1

    We want that kind of leadership ❤❤

  • @dengeman4814
    @dengeman4814 27 วันที่ผ่านมา +7

    Panapo uhai namtabilia huyu makonda kuwa rais wa nchi hii

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 27 วันที่ผ่านมา +4

    MAKONDA MTU WA MAANA KABISA❤❤❤❤❤❤😂❤❤

  • @jamessimba749
    @jamessimba749 27 วันที่ผ่านมา +13

    Tukibagiliwa kuwa sisi weusi hatuna akili tunaandamana .kumbe kuna kenge wanatuponza .hivi hiz halmashauri mmerogwa na nani

    • @geraldleger5793
      @geraldleger5793 26 วันที่ผ่านมา

      Hawajalogwa , ni wezi tu kama wzi wengine.

  • @josephgnzunda5631
    @josephgnzunda5631 24 วันที่ผ่านมา

    Uko vizuri tunakuombea from mbeya

  • @user-pd4wr7ls5r
    @user-pd4wr7ls5r 26 วันที่ผ่านมา +5

    U kijana sana Makonda natamani uje kuwa Raisi muda ukifika. Unawatetea wanyonge.Hongera baba.

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm 24 วันที่ผ่านมา

      Hawezi kuwa Raisi sababu uongozi wake hauna mipaka na haifuati katiba.

  • @deniskaguo4698
    @deniskaguo4698 27 วันที่ผ่านมา +5

    Raisi wng wa badae

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 27 วันที่ผ่านมา +9

    Makonda ni mtu na nusu

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 27 วันที่ผ่านมา +1

    Makonda nimekuzaa mie weye unapenda haki. Mungu akulinde na akuhifadhi katika haki.

  • @petrobukerebe215
    @petrobukerebe215 23 วันที่ผ่านมา

    Huyu ndo mkuu wa mkoa ninaemfahamu sasa mimi, wow❤❤❤

  • @user-zz1sj6sp8z
    @user-zz1sj6sp8z 6 วันที่ผ่านมา

    Yani.makonda.nawaziri.silaah.mungu.awalinde.namafisadi

  • @sr.elizabethmbuligwe5540
    @sr.elizabethmbuligwe5540 26 วันที่ผ่านมา +1

    Babaangu hongera kwa kazii kubwa naomba namba yako baba ninashida

  • @isaacktweve3773
    @isaacktweve3773 27 วันที่ผ่านมา +5

    Hayo mapete aliyovaa Mkurugenzi huenda ndo yanamcontrol.

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 27 วันที่ผ่านมา

      😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

    • @beatricekatunzi3721
      @beatricekatunzi3721 27 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😢😢😢😊😊

  • @marcondokeji8982
    @marcondokeji8982 27 วันที่ผ่านมา

    Ubarikiwe Sana Mkuu wa mkoa wanadamu wasipokupenda especially wale wanyanyasaji, wema na Mungu mpenda haki atakuvisha taji la utukufu wake.

  • @josephmagori4612
    @josephmagori4612 27 วันที่ผ่านมา +5

    Huyu mkurugenzi aliwahi kulaumiwa akiwa Serengeti Kama mkurugenzi ila akabebwa na rais magufuri Lisa aliyemshitaki alikuwa mbunge wa chadema marwa ryoba na alizomewa na ccm Sasa leo maneno ya marwa ryoba yanaonekana Leo kuwa huyo ni mpigaji mzuri

    • @Meryiii
      @Meryiii 24 วันที่ผ่านมา

      Tena alimtaja kwa Herufi kubwa.. TUNAMKURUGENZI MWIIIZIII !!

  • @daniellinus971
    @daniellinus971 27 วันที่ผ่านมา +2

    Well done

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 27 วันที่ผ่านมา +4

    Makonda ubarikie

  • @hiramnjeru6457
    @hiramnjeru6457 18 วันที่ผ่านมา

    Tumekukubali %%

  • @HagaisangaSanga
    @HagaisangaSanga 27 วันที่ผ่านมา +1

    Noma hapa kazi tuu

  • @MtessaAlly-rd4hf
    @MtessaAlly-rd4hf 27 วันที่ผ่านมา

    Big up sana mh makonda.. Baraka nyingi sana kwako

  • @gwakisamwakambulwe2491
    @gwakisamwakambulwe2491 27 วันที่ผ่านมา +3

    Higher thinking capacity man.........

  • @SaadaZubery
    @SaadaZubery 26 วันที่ผ่านมา

    Mama samia mungu akulinde kwa ku leta makondo tena kwenye system nadhani wananchi wanatamaviongozi wa namna hii

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 27 วันที่ผ่านมา +1

    Very Talent makonda ❤❤❤❤

  • @ConfusedClock-iw7zg
    @ConfusedClock-iw7zg วันที่ผ่านมา

    Napoangalia taarifa zako unafanyakazi nzr makonda upo vizuri nawapongeza sana wana Arusha

  • @HappyAsajile
    @HappyAsajile 27 วันที่ผ่านมา +4

    Kila siku naamka naogopa usije ukatenguliea kwa unachokifanya, nakuombea kwakwel mung akueke arush ata miak mowil tu

    • @MCNgakungaJunior
      @MCNgakungaJunior 26 วันที่ผ่านมา

      Mnae huyo mpaka uchaguzi upite.Bila shaka baada ya hapo atakuwa wizarani.

  • @hillshipping5117
    @hillshipping5117 26 วันที่ผ่านมา

    MashaAllah, kaka uko vizuri mm nakupataje ?nina jambo langu tumedhulumiwa mpaka leo tuko maskini na mkwe wangu mhhh mtihani wallah

  • @thomastemu3332
    @thomastemu3332 23 วันที่ผ่านมา

    Ndiyooo mafisadi wote wakae nje 😢

  • @teddygabriel5662
    @teddygabriel5662 27 วันที่ผ่านมา +1

    Upo vzr baba kian

  • @ahadibuge5246
    @ahadibuge5246 26 วันที่ผ่านมา +1

    Good Job RC.

  • @riazshaikh8577
    @riazshaikh8577 27 วันที่ผ่านมา +3

    Mwaraabu mbona kajishika kichwa, kama vile mama yangu kazi hamna, 😂yumo nini?

  • @CryptoBlaze2023
    @CryptoBlaze2023 22 วันที่ผ่านมา

    RC Makonda 👍that is called Maturity.

  • @abednego3876
    @abednego3876 27 วันที่ผ่านมา +2

    Wise

  • @user-bn9el8yv8o
    @user-bn9el8yv8o 26 วันที่ผ่านมา

    bro makonda nakuombea kwake m/mungu akupe afya njema pamoja na familia yako.ili uwe katika utulivu na busara kumkwamua anae nyanyasika na hawa viongozi wanopenda maslahi yao nakujisahau yakwamba wao ni watumishi wa serekali na sio binafsi yao wawajibishe ipasavyo bila kupepesa macho wakazie sana kwa tabia zao chafu.mungu akupe uwezo zaidi kulitumikia taifa letu la Tanzania.kongole sana bro makonda.

  • @mtahogarashid8488
    @mtahogarashid8488 2 วันที่ผ่านมา

    Aisee nikikucheki Mh.Makonda nikama Magu karudi kazini naiona sauti ya ukali kukemea madudu ya Nchi.

  • @phantyrhymes9536
    @phantyrhymes9536 23 วันที่ผ่านมา

    Makonda safiiiiii

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior 26 วันที่ผ่านมา +1

    UNGEKUWA NAIBU PM UNGELISAIDIA SANA TAIFA.

  • @babyboy6310
    @babyboy6310 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    RC. Piga kazi. Tuko pamoja

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 27 วันที่ผ่านมา +4

    Kuna watu wengne hawana hata chembe ya uongozi kama unahitaji ni nini maana ya kiongozi difinition yake ni Paul christian makonda

  • @elias.e.urassa
    @elias.e.urassa 27 วันที่ผ่านมา +2

    Tz kuna watu wanachekesha,Sana hasa wakurugenzi sector nyingi sana.
    Yaani ni Sawa umtume mtu Osha vyombo alfu akapike =kuongeza matumizi ya vyombo vichafu aliyekutuma kutatuma aje kutowa matatizo yako na aliyokutuma.

  • @lucasalbertomseti1578
    @lucasalbertomseti1578 27 วันที่ผ่านมา +4

    Huyu jamaa kumpa mkoa tu ni matumizi mabaya ya akili kubwa huyu mwamba alitakiwa kuwa level ya waziri akatatue changamoto za watanzania

  • @joycemwango943
    @joycemwango943 26 วันที่ผ่านมา

    Hongera mh,, MAKONDA

  • @mohamedkhalil9494
    @mohamedkhalil9494 27 วันที่ผ่านมา +4

    When the hunter become hunted 😅😅

    • @MrTop-wj7no
      @MrTop-wj7no 26 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂daah

  • @modekaibasso1273
    @modekaibasso1273 22 วันที่ผ่านมา

    Binafsi wananikera sana hao viongozi kama mkurugenzi maana najiuliza ni viongozi wa aina gani hao kazi kula pesa za wafanyabiashara ambao wanalipa kodi vizuri

  • @alibilashaka3003
    @alibilashaka3003 27 วันที่ผ่านมา +5

    Mm Ni mkenya but napenda uongozi wa makonda ama kweli amezaliwa Kua kiongozi

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 22 วันที่ผ่านมา

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @monicachacha455
    @monicachacha455 2 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤

  • @agnesmogere413
    @agnesmogere413 26 วันที่ผ่านมา

    Siku ya nwizi ni arobaini,mungu akulinde sana kiongozi hongera sana role model kwa viongozi wote .

  • @ConfusedClock-iw7zg
    @ConfusedClock-iw7zg วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤❤

  • @feliciarfrancis2388
    @feliciarfrancis2388 26 วันที่ผ่านมา

    Chuma ( Paul Christian Makonda) Mungu akulinde

  • @EdenAChoir
    @EdenAChoir 26 วันที่ผ่านมา +1

    mheshimiwa makonda system pia inahitaji watu waadilifu

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 22 วันที่ผ่านมา

    👏👏👏👏👏

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 27 วันที่ผ่านมา +1

    Mkurugenzi mwizi huyo hi nchi bwana daah😢😢

  • @francisdeomassawe6307
    @francisdeomassawe6307 27 วันที่ผ่านมา +1

    Makonda ni kiongozi bora.

  • @idinado-wk3lx
    @idinado-wk3lx 27 วันที่ผ่านมา +1

    🎉 🎉🎉

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 27 วันที่ผ่านมา +4

    Mwili unasisimka makonda juu juu sana

    • @MrTop-wj7no
      @MrTop-wj7no 26 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂

  • @paschalmatinde321
    @paschalmatinde321 26 วันที่ผ่านมา +1

    Yaan ingeundwa team nyingine kufanya hzi chunguzi, maana hzi takukuru pia ni watu wa system

  • @user-xf5vb5mc4t
    @user-xf5vb5mc4t 23 วันที่ผ่านมา

    Aksante Daniel wa kizazi cha sasa Bwana akufunike na utukifu wake

  • @kilonzokallage6159
    @kilonzokallage6159 27 วันที่ผ่านมา +1

    Arusha mtazitolea rushwa sehemu yoyote yenye tundu

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 24 วันที่ผ่านมา +1

    Makonda hapo unaongea uongo mbona ulitaka kumtapeli GSM NYUMBA?

  • @danielshimora5315
    @danielshimora5315 27 วันที่ผ่านมา

    Haya watanzania hao Ndio wasomi wetu haya jioneeni,

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 27 วันที่ผ่านมา +1

    Wapi Lema😲😲

  • @ivankadaudi8161
    @ivankadaudi8161 26 วันที่ผ่านมา

    Namuomba mungu siku moja akulete mbeya❤

  • @taslimanyange2850
    @taslimanyange2850 27 วันที่ผ่านมา +2

    Msura ,mipetee kazi kwelii

  • @stanslauschacha2833
    @stanslauschacha2833 9 วันที่ผ่านมา

    Ni bahati mbaya kwamba, mfumo wa kutunuku watu vyeo vya heshima kama vile Doctorate umekaa kisiasa zaidi kuliko uhalisia.
    Hakika Makonda angekuwa Rais angekuwa ameishatunukiwa hicho cheo cha heshima; ila kwa sababu ni Mkuu wa Mkoa hakuna anayeweza kuona umuhimu wake. Ila kiuhalisia, bila kumng'unya maneno, Makonda anastahili kutambulika na kutunukiwa cheo cha juu cha heshima.
    Mb zangu zinaisha kwa kuangalia Utendaji kazi wa Makonda, na sichoki kumfuatilia. Hakika kama hili Taifa lingepata watendaji kama hawa, umaskini usingekuwepo; uonevu usingekuwepo!
    Mungu aendelee kukutunza, wewe ni mfano wa kuigwa!

  • @marcoeliakimu2141
    @marcoeliakimu2141 27 วันที่ผ่านมา +4

    Kazi nzuri sana, viongozi kama hawa tuwapate Africa

  • @husseinmgoo3074
    @husseinmgoo3074 27 วันที่ผ่านมา +1

    Ap poa