PART 2: HILI ni BALAA RC MAKONDA AMUWASHIA MKURUGENZI -''SIPOTEZI MUDA MIMI Kwa HAYA MADUDU..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ธ.ค. 2024

ความคิดเห็น • 227

  • @HanziKalitus-df3wn
    @HanziKalitus-df3wn 7 หลายเดือนก่อน +39

    Huyu jamaa anaakili sana, sema mda ukifika tutamuelewa tu, he is very talented man, the thinking capability is very higher, hongera wakwetu, haiwezi kupita siku sijakufatilia

    • @aishahemedi8452
      @aishahemedi8452 7 หลายเดือนก่อน +2

      He has all the qualities of a true leader

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 7 หลายเดือนก่อน +23

    Nimekuangalia Mkuu Makonda karibu mara 20 sichoki kukuangalia Kijana mwenzangu tulio zaliwa miaka ya 1982 seemu yoyote kama umepewa Majukumu ya kulisaidia nchi fanya kama Makonda safi kabisa

  • @beatricekatunzi3721
    @beatricekatunzi3721 7 หลายเดือนก่อน +22

    Hongera Mh Ta Makonda..Mungu zaidi kukuinua..Damu ya Yesu ikufunike

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen7145 7 หลายเดือนก่อน +18

    Asante Mh. MAKONDA kwa kumsaidia Rais wetu mpendwa Mama Samia na kutetea haki za Watanzania wanyonge na kusimamia haki za wanyonge. Mwenyezi Mungu akubariki sana akupe maisha marefu.

  • @Lundege_Hips
    @Lundege_Hips 7 หลายเดือนก่อน +33

    Nipo Zanzibar ila kila nikingia ktk TH-cam nataman sana nimuone makonda anaongea kitu ni role model wangu

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 7 หลายเดือนก่อน +11

    Mh Mkuu wa Mkoa-Arusha tunaomba ktk shuguhuli za kutetea haki siku moja basi nendaga magerezani ukakutane na wafungwa na kesi zao kiongozi wangu. Asante

  • @frednyangwechi774
    @frednyangwechi774 7 หลายเดือนก่อน +40

    Rc uko vizuri mno naona huyu ni Magu kwa njia nyingine

    • @jamalkishangu
      @jamalkishangu 6 หลายเดือนก่อน +1

      Magu amekufa mwili ila fikra zake zitaendelezwa.

  • @AngelSunta-c6j
    @AngelSunta-c6j 7 หลายเดือนก่อน +11

    Siku hz namfatilia makonda kuliko bunge. Baba ana hekima huyu❤❤❤

  • @sss3s867
    @sss3s867 7 หลายเดือนก่อน +5

    yaani makonda ukasomee sheria zaidi ili hao watu wako wasijewakakuroga wakakuingiza kwenye shimo. kwa sababubwashafanya madudu ya hovyo na waanaangalia njia ya wao kupona. wataennda mahakamani

  • @giftluyana1390
    @giftluyana1390 7 หลายเดือนก่อน +21

    Mungu skubariki. Na. Kukulinda. Paul. Makonda

  • @PaulinaNyanzalashija
    @PaulinaNyanzalashija 7 หลายเดือนก่อน +3

    Mhe Makonda mwanangu upo saaafi sanasana Mungu atakugania na damu ya yesu itakufunika

  • @shekinahrwabyo8150
    @shekinahrwabyo8150 6 หลายเดือนก่อน +1

    God bless you Mr Makonda. Imenifundisha kusikiliza Kwanza...ndipo utoe majibu

  • @PetersmjeniMjeni
    @PetersmjeniMjeni 11 วันที่ผ่านมา

    Goooood mkuu wa mkoa kazi nzuri sana nakukubari sana kiongozi wangu nakuombea kwa mwenyezi Munguuishi maisha malefu na udumu kwenye uongozi wa juu zaidi uwezo wako ni mkubwa sana

  • @Lundege_Hips
    @Lundege_Hips 7 หลายเดือนก่อน +42

    Hzi clip nimezirudia zaid ya mara 3 sichoki kumsikiliza

  • @muzzoonlinetv7446
    @muzzoonlinetv7446 7 หลายเดือนก่อน +26

    Kazi nzuri Makonda tunahitaji wakuu wamikoa kama hawa angalau 10 tutasogea mbele

    • @Lundege_Hips
      @Lundege_Hips 7 หลายเดือนก่อน +2

      Wakuu wa mikoa wengine wapo wapo tu kimihemko

  • @ernestmbago848
    @ernestmbago848 4 หลายเดือนก่อน

    Kiukweli mh. Makonda mungu akubariki sana kwa kuitetea tanzania hii inakuletea ubaya kwa baadhi ya viongozi ambao sio waminifu

  • @joycemwango943
    @joycemwango943 7 หลายเดือนก่อน +11

    I am a Kenyan,,,lkn hongera Kwa kusikiliza kero za wanyonge 🙏

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 7 หลายเดือนก่อน +4

    Makonda nadhani unachikiwa kwakuwa nmkweli na ukweli ni ibada natumaini kwakua upo sahihi kwa kutojiingiza kwenye
    Kwenye mitego ya rushwa ni utakuwambali mno mashaalah

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no 7 หลายเดือนก่อน +8

    Daah huyu MAKONDA naona Tanzania itafikia mahali tutafanya maandamano tukiomba awe RAISI 😂😂😂

  • @majaliwaslayomajaliwaslayo
    @majaliwaslayomajaliwaslayo 7 หลายเดือนก่อน +8

    Hawa wakuu wa mkoa wengeni mlio baki igeni kwa makonda anacho kifanya arusha makonda kila akipita sehemu anaacha pengo na pengo lake halisibiki na kitu chochote 🤝

  • @user-rt5fb8kw9b
    @user-rt5fb8kw9b 7 หลายเดือนก่อน +14

    Mhe makonda hongera saana, hakuna ubishi kuwa uongozi unajua, mkurugenzi amekosea kwa km nyingi saaana, amekosa ile professionalism, hawezezekani kabisa mkurugenzi kuita vyombo vya habari na kutoa siri za mteja( mfanyabiashara) amekosa KYC-Know Your Customer, mfanyabiashara ana washindani wake, ana wadau wengine anafanya nao biashara, hakuna ubishi mkurugezi alikuwa na lengo la kumchafua mfanyabiashara ambaye ni mlipa kodi! Pia alishindwa kujua anapoongea anaongea kwa niaba ya ofisi na siye yeye! Very unethical kwa mkurugenzi kumchafua mfanyabiashara bila evidence!!

  • @GodTimbaland
    @GodTimbaland 7 หลายเดือนก่อน +14

    Mwamba baba keagani. Mungu akupe cheo cha uraisi mwaka 2030

  • @hezronsanga5197
    @hezronsanga5197 7 หลายเดือนก่อน +11

    Mungu akubariki sana Makonda

  • @jokhamohammed976
    @jokhamohammed976 6 หลายเดือนก่อน

    Hongera sanaaa mh makonda M/mungu akurinde Kila atua unayo piga🤲

  • @silasjonathan1952
    @silasjonathan1952 7 หลายเดือนก่อน +8

    Hili naungana na wewe 100% wakuu wote wakuu wengine wachukue mfano kwako

  • @MAGIDACHIMIJA
    @MAGIDACHIMIJA 7 หลายเดือนก่อน +8

    Bora kumsikiliza Makonda kuliko bunge

  • @IbrahimSandagila
    @IbrahimSandagila 6 หลายเดือนก่อน +1

    We want that kind of leadership ❤❤

  • @marugumsira4695
    @marugumsira4695 7 หลายเดือนก่อน +12

    Geniuses Makonda!!!!!

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 7 หลายเดือนก่อน +3

    Kuna mda ata unataman. Makonda afanye kazi ata weeked❤😂Mungu akulinde je miko mingine ikoje, iyo sura ya mkurungez tu kama mla watu haya mambo ndo vile unakuta mfanya biashara ameuliwa masikin au katupwa mtoni kumbe mambo ndo hayo

  • @totonata5384
    @totonata5384 7 หลายเดือนก่อน +18

    Wahasibu wa tanesco nao waizi sana. Wanajenga majumba kwa pesa za wananchi😢😢

    • @deniskaguo4698
      @deniskaguo4698 7 หลายเดือนก่อน +1

      Ahhaha broo cc tunakopa tu usiumie ukituna tunaishi kwenye yumba kali tunamadeni balaaa

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@deniskaguo4698ukute unajimwambafai hapa kumbe kapuku balaa..mhasibu hawezi jitapa hivyo

    • @sss3s867
      @sss3s867 7 หลายเดือนก่อน

      Aiseebwee acha tu. mtejabanatakabumeme anaambiwa atafute mkandarasibwa nje. yaani unapitishwq chobingo ili gharama zipande wale nje kwa nje

    • @totonata5384
      @totonata5384 7 หลายเดือนก่อน

      @@deniskaguo4698 Aaah wapi? Matumizi makubwa mshahara mdogo. Natamani mawaziri wote wangekua kama Dr Slaa na Makonda

    • @abdulymaeda2697
      @abdulymaeda2697 7 หลายเดือนก่อน

      Kaka store kipa tanesco wao pia wanapiga mbya wanashusha mijengo 2​@@deniskaguo4698

  • @tanzaniantraveller
    @tanzaniantraveller 7 หลายเดือนก่อน +5

    Mr Paul ana ujasiri, hekima na busara ya Hali ya juu sana, pia ana utu, akili na utambuzi wa haraka sana kiasi kwamba hata akikosea unajuwa ni bahati mbaya.
    Namuamini sana na kupitia yeye nchi itafika mbali sana.
    Ma RC wengine, igeni mfano wa huyu mtu.

  • @NiyongabireEgide-h4g
    @NiyongabireEgide-h4g 6 หลายเดือนก่อน

    I'm not from Tanzania but I'm very proud of this leader 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 i wish this guy he would be a president not only tanzania i hope whole africa we will enjoy his present 🎉🎉🎉🎉

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 7 หลายเดือนก่อน +2

    Makonda nimekuzaa mie weye unapenda haki. Mungu akulinde na akuhifadhi katika haki.

  • @mansulkassim9509
    @mansulkassim9509 7 หลายเดือนก่อน +19

    KIONGOZI WANGU BORA ZAIDI TANZANIA
    nakuomba uwe mkuu wa mkoa wa MOROGORO

    • @EmanuelyMbagalla-rt2vm
      @EmanuelyMbagalla-rt2vm 7 หลายเดือนก่อน +1

      Hakika, akitolewa Arusha aje Moro. Pananuka mno mnoooo!

  • @mpanderashidi2078
    @mpanderashidi2078 7 หลายเดือนก่อน +5

    Pga Kaz kiongoz nakuona Cku moja ukiwa rais wa Nchi

  • @hbdina
    @hbdina 7 หลายเดือนก่อน +5

    🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Tanzania tuna watu wenye vichwa vibovu utashangaa Halmashauri nyingine zina madudu ya aina gani!!!

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 7 หลายเดือนก่อน +4

    MAKONDA MTU WA MAANA KABISA❤❤❤❤❤❤😂❤❤

  • @marcondokeji8982
    @marcondokeji8982 7 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe Sana Mkuu wa mkoa wanadamu wasipokupenda especially wale wanyanyasaji, wema na Mungu mpenda haki atakuvisha taji la utukufu wake.

  • @josephmagori4612
    @josephmagori4612 7 หลายเดือนก่อน +6

    Huyu mkurugenzi aliwahi kulaumiwa akiwa Serengeti Kama mkurugenzi ila akabebwa na rais magufuri Lisa aliyemshitaki alikuwa mbunge wa chadema marwa ryoba na alizomewa na ccm Sasa leo maneno ya marwa ryoba yanaonekana Leo kuwa huyo ni mpigaji mzuri

    • @Mery-f5p8c
      @Mery-f5p8c 7 หลายเดือนก่อน

      Tena alimtaja kwa Herufi kubwa.. TUNAMKURUGENZI MWIIIZIII !!

  • @mustapherpandu6475
    @mustapherpandu6475 5 หลายเดือนก่อน

    Tokea nianze kufuatilia kazi anazofanya makonda kwenye mikutano yake nimetokea kuwa mfuatiliaji sana kiasi kwamba ss hiv naijua vizur sana serikal kuanzia chini mpaka juu jamaa yupo vizur sana anaijua kazi yake ..big up

  • @furahinimanya7700
    @furahinimanya7700 6 หลายเดือนก่อน

    From Arusha!! Mzaliwa the real face, the real mind!! And you talking all your mind!!!! Do I go on

  • @jeremiahmollel5583
    @jeremiahmollel5583 7 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera sana mkuu

  • @hillshipping5117
    @hillshipping5117 7 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah, kaka uko vizuri mm nakupataje ?nina jambo langu tumedhulumiwa mpaka leo tuko maskini na mkwe wangu mhhh mtihani wallah

  • @GetuliBasso
    @GetuliBasso 7 หลายเดือนก่อน +5

    U kijana sana Makonda natamani uje kuwa Raisi muda ukifika. Unawatetea wanyonge.Hongera baba.

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm 7 หลายเดือนก่อน

      Hawezi kuwa Raisi sababu uongozi wake hauna mipaka na haifuati katiba.

  • @jamessimba749
    @jamessimba749 7 หลายเดือนก่อน +13

    Tukibagiliwa kuwa sisi weusi hatuna akili tunaandamana .kumbe kuna kenge wanatuponza .hivi hiz halmashauri mmerogwa na nani

    • @geraldleger5793
      @geraldleger5793 7 หลายเดือนก่อน

      Hawajalogwa , ni wezi tu kama wzi wengine.

  • @petrobukerebe215
    @petrobukerebe215 6 หลายเดือนก่อน

    Huyu ndo mkuu wa mkoa ninaemfahamu sasa mimi, wow❤❤❤

  • @EstherJeremiah-o9n
    @EstherJeremiah-o9n หลายเดือนก่อน

    Kazi nzuri sana kaka yangu makonda

  • @shadyaomary
    @shadyaomary 7 หลายเดือนก่อน +2

    Makonda mungu akulinde

  • @SaadaZubery
    @SaadaZubery 7 หลายเดือนก่อน

    Mama samia mungu akulinde kwa ku leta makondo tena kwenye system nadhani wananchi wanatamaviongozi wa namna hii

  • @AnnaAntony-k5p
    @AnnaAntony-k5p 5 หลายเดือนก่อน

    Kwa mara yangu ya kwanza nmekuwa nafuatitilia daaah.MUNGU AKUBARIK MUHESHIMIWA MAKONDA

  • @PiusKombole
    @PiusKombole 7 หลายเดือนก่อน

    bro makonda nakuombea kwake m/mungu akupe afya njema pamoja na familia yako.ili uwe katika utulivu na busara kumkwamua anae nyanyasika na hawa viongozi wanopenda maslahi yao nakujisahau yakwamba wao ni watumishi wa serekali na sio binafsi yao wawajibishe ipasavyo bila kupepesa macho wakazie sana kwa tabia zao chafu.mungu akupe uwezo zaidi kulitumikia taifa letu la Tanzania.kongole sana bro makonda.

  • @SaimonKisegenya
    @SaimonKisegenya 7 หลายเดือนก่อน

    Mh Makonda unaweza Mungu akuongoze

  • @josephgnzunda5631
    @josephgnzunda5631 7 หลายเดือนก่อน

    Uko vizuri tunakuombea from mbeya

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 7 หลายเดือนก่อน +4

    Kuna watu wengne hawana hata chembe ya uongozi kama unahitaji ni nini maana ya kiongozi difinition yake ni Paul christian makonda

  • @MtessaAlly-rd4hf
    @MtessaAlly-rd4hf 7 หลายเดือนก่อน

    Big up sana mh makonda.. Baraka nyingi sana kwako

  • @stanslauschacha2833
    @stanslauschacha2833 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ni bahati mbaya kwamba, mfumo wa kutunuku watu vyeo vya heshima kama vile Doctorate umekaa kisiasa zaidi kuliko uhalisia.
    Hakika Makonda angekuwa Rais angekuwa ameishatunukiwa hicho cheo cha heshima; ila kwa sababu ni Mkuu wa Mkoa hakuna anayeweza kuona umuhimu wake. Ila kiuhalisia, bila kumng'unya maneno, Makonda anastahili kutambulika na kutunukiwa cheo cha juu cha heshima.
    Mb zangu zinaisha kwa kuangalia Utendaji kazi wa Makonda, na sichoki kumfuatilia. Hakika kama hili Taifa lingepata watendaji kama hawa, umaskini usingekuwepo; uonevu usingekuwepo!
    Mungu aendelee kukutunza, wewe ni mfano wa kuigwa!

  • @dengeman4814
    @dengeman4814 7 หลายเดือนก่อน +7

    Panapo uhai namtabilia huyu makonda kuwa rais wa nchi hii

  • @fulloflife7
    @fulloflife7 6 หลายเดือนก่อน

    RC Makonda 👍that is called Maturity.

  • @benardpeter3562
    @benardpeter3562 7 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana Mkuu wa Mkoa Mungu akulinde

  • @alibilashaka3003
    @alibilashaka3003 7 หลายเดือนก่อน +5

    Mm Ni mkenya but napenda uongozi wa makonda ama kweli amezaliwa Kua kiongozi

  • @alexnyigo8864
    @alexnyigo8864 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulindee makonda

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 7 หลายเดือนก่อน +1

    Very Talent makonda ❤❤❤❤

  • @HappyAsajile
    @HappyAsajile 7 หลายเดือนก่อน +4

    Kila siku naamka naogopa usije ukatenguliea kwa unachokifanya, nakuombea kwakwel mung akueke arush ata miak mowil tu

    • @MCNgakungaJunior
      @MCNgakungaJunior 7 หลายเดือนก่อน

      Mnae huyo mpaka uchaguzi upite.Bila shaka baada ya hapo atakuwa wizarani.

  • @sr.elizabethmbuligwe5540
    @sr.elizabethmbuligwe5540 7 หลายเดือนก่อน +1

    Babaangu hongera kwa kazii kubwa naomba namba yako baba ninashida

  • @isaacktweve3773
    @isaacktweve3773 7 หลายเดือนก่อน +5

    Hayo mapete aliyovaa Mkurugenzi huenda ndo yanamcontrol.

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 7 หลายเดือนก่อน

      😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

    • @beatricekatunzi3721
      @beatricekatunzi3721 7 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😢😢😢😊😊

    • @WinnieMbwiga
      @WinnieMbwiga 5 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅😅😅

  • @LusajoEduward
    @LusajoEduward 4 หลายเดือนก่อน

    Munguwamajeshi yupo

  • @prosperjohn2047
    @prosperjohn2047 7 หลายเดือนก่อน +3

    MUNGU akulinde sana Makonda, na nakuomba muambie mama amtimue huyu Mkurugenzi

  • @elias.e.urassa
    @elias.e.urassa 7 หลายเดือนก่อน +2

    Tz kuna watu wanachekesha,Sana hasa wakurugenzi sector nyingi sana.
    Yaani ni Sawa umtume mtu Osha vyombo alfu akapike =kuongeza matumizi ya vyombo vichafu aliyekutuma kutatuma aje kutowa matatizo yako na aliyokutuma.

  • @agnesmogere413
    @agnesmogere413 7 หลายเดือนก่อน

    Siku ya nwizi ni arobaini,mungu akulinde sana kiongozi hongera sana role model kwa viongozi wote .

  • @nurdinmuro
    @nurdinmuro 5 หลายเดือนก่อน

    Mkuu wa mkoa safi sana nakutamani ungekuja Kilmanjaro kwa mwaka mmoja

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mkurugenzi mwizi huyo hi nchi bwana daah😢😢

  • @lucasalbertomseti1578
    @lucasalbertomseti1578 7 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu jamaa kumpa mkoa tu ni matumizi mabaya ya akili kubwa huyu mwamba alitakiwa kuwa level ya waziri akatatue changamoto za watanzania

  • @stanleychambulikasi
    @stanleychambulikasi 6 หลายเดือนก่อน

    Aksante Daniel wa kizazi cha sasa Bwana akufunike na utukifu wake

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior 7 หลายเดือนก่อน +1

    UNGEKUWA NAIBU PM UNGELISAIDIA SANA TAIFA.

  • @MtegekiKaijage
    @MtegekiKaijage 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mkurugenzi kama huyu ndo anaongoza almashauri kama hii jamani. Mtu ambaye hawezi kureason hata kwenye issue serious inayoleta mapato ya kuendesha nchi. Uwa nasema utaratibu wa kuwapata wakuu wa wilaya, wakurugenzi, makatibu tawala, na wakuu wa mikoa hapa nchini uangaliwe upya

  • @beatricekatunzi3721
    @beatricekatunzi3721 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ee Mungu..Yuko Mungu asikiaye maombi yetu,,tunapoomba,tunapolia Mungu anasikia..tena anasikia jamani mi mniache tu Mungu ndiye anaujua moyo wangu

  • @Lundege_Hips
    @Lundege_Hips 7 หลายเดือนก่อน +9

    Makonda ni mtu na nusu

  • @HagaisangaSanga
    @HagaisangaSanga 7 หลายเดือนก่อน +1

    Noma hapa kazi tuu

  • @ahadibuge5246
    @ahadibuge5246 7 หลายเดือนก่อน +1

    Good Job RC.

  • @feliciarfrancis2388
    @feliciarfrancis2388 7 หลายเดือนก่อน

    Chuma ( Paul Christian Makonda) Mungu akulinde

  • @marcoeliakimu2141
    @marcoeliakimu2141 7 หลายเดือนก่อน +4

    Kazi nzuri sana, viongozi kama hawa tuwapate Africa

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 6 หลายเดือนก่อน +1

    TUNAKUFUNIKA KWA DAMU YA YESU. NDIMI ZA MOTOZA ROHO MTAJATIFU ZIKUZUNGUKE BAYA LISIKUPATE KABISA.

  • @riazshaikh8577
    @riazshaikh8577 7 หลายเดือนก่อน +3

    Mwaraabu mbona kajishika kichwa, kama vile mama yangu kazi hamna, 😂yumo nini?

  • @teddygabriel5662
    @teddygabriel5662 7 หลายเดือนก่อน +1

    Upo vzr baba kian

  • @paschalmatinde321
    @paschalmatinde321 7 หลายเดือนก่อน +1

    Yaan ingeundwa team nyingine kufanya hzi chunguzi, maana hzi takukuru pia ni watu wa system

  • @deniskaguo4698
    @deniskaguo4698 7 หลายเดือนก่อน +5

    Raisi wng wa badae

  • @francisdeomassawe6307
    @francisdeomassawe6307 7 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda ni kiongozi bora.

  • @faithjonathan3845
    @faithjonathan3845 หลายเดือนก่อน

    Makonda nilimchukia sana akiwa Dar. Ila nahisi Dar nao walokuwa wanamdanya asifanye kazi maana huku matapeli wengi watakuwa walimpotosha. Ila tangu jamaa kaingia Arusha namkubali sana aisee na Mungu anisamehe kwa kumchukulia visivyo huko nyuma

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 7 หลายเดือนก่อน +3

    Makonda ubarikie

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 7 หลายเดือนก่อน +4

    Mwili unasisimka makonda juu juu sana

    • @MrTop-wj7no
      @MrTop-wj7no 7 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

  • @joycemwango943
    @joycemwango943 7 หลายเดือนก่อน

    Hongera mh,, MAKONDA

  • @gwakisamwakambulwe2491
    @gwakisamwakambulwe2491 7 หลายเดือนก่อน +3

    Higher thinking capacity man.........

  • @AishaOman-k6f
    @AishaOman-k6f 6 หลายเดือนก่อน

    Yani.makonda.nawaziri.silaah.mungu.awalinde.namafisadi

  • @daniellinus971
    @daniellinus971 7 หลายเดือนก่อน +2

    Well done

  • @thomastemu3332
    @thomastemu3332 6 หลายเดือนก่อน

    Ndiyooo mafisadi wote wakae nje 😢

  • @kilonzokallage6159
    @kilonzokallage6159 7 หลายเดือนก่อน +1

    Arusha mtazitolea rushwa sehemu yoyote yenye tundu

  • @mohamedkhalil9494
    @mohamedkhalil9494 7 หลายเดือนก่อน +4

    When the hunter become hunted 😅😅

    • @MrTop-wj7no
      @MrTop-wj7no 7 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂daah

  • @hiramnjeru6457
    @hiramnjeru6457 6 หลายเดือนก่อน

    Tumekukubali %%

  • @EdenAChoir
    @EdenAChoir 7 หลายเดือนก่อน +1

    mheshimiwa makonda system pia inahitaji watu waadilifu

  • @modekaibasso1273
    @modekaibasso1273 6 หลายเดือนก่อน

    Binafsi wananikera sana hao viongozi kama mkurugenzi maana najiuliza ni viongozi wa aina gani hao kazi kula pesa za wafanyabiashara ambao wanalipa kodi vizuri