DUH! MAKONDA AFUNGUKA KUNUNUA KESI YA WAZEE WANAOSHIKILIWA NYUMBA ZAO na BENKI - "HAWADAIWI"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 พ.ค. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 65

  • @joycemmassi5046
    @joycemmassi5046 6 วันที่ผ่านมา +2

    Hongera sana Makonda kazi yako si bure, neno linasema " HERI WALIO WAPATANISHI MAANA HAO WATAITWA WANA WA MUNGU" Pambana baba Tunaiuimbea sana

  • @OscarGregorymosha
    @OscarGregorymosha 18 วันที่ผ่านมา +5

    Makonda nakuombea Sana Bwana Yesu Akufunike kwa dam yake Majangili wasikuone

  • @user-ce2wi1ht8g
    @user-ce2wi1ht8g 21 วันที่ผ่านมา +5

    Munguakujarie
    Makonda
    Amin
    Mabaria
    Wasahuziafrika
    Tunapijasaruti
    Munguakuweke
    Duniani
    Amin🙏🙏🙏🙏♥️♥️♥️♥️♥️☝🏿☝🏿🤘🤘🤘🇿🇦🤘🇹🇿🙏🙏🙏☝🏿

    • @kutailass6671
      @kutailass6671 15 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂 kama kuna mtu hakuelewa mapema hii comment kama mimi, aseme tu ukweli😅

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 4 วันที่ผ่านมา

    My mentor. Mungu nipee nafasi niweze ku deal na watu wa aina hii

  • @RehemaMkumbo-of5jo
    @RehemaMkumbo-of5jo 9 วันที่ผ่านมา +1

    Uko vzr,hakika yesu hata uacha mguu wako unaswe atakulinda kila uendako

  • @emmymshomi8893
    @emmymshomi8893 23 วันที่ผ่านมา +3

    Elimu ina umuhimu mzeee yupo vizuri sana . Ukishindwa kujieleza nchii hii haki inapoteaa shwaaaa

  • @paullala9338
    @paullala9338 หลายเดือนก่อน +6

    Mungu ibarik tanzania, mungu ibarik afrika, mungu mbariki makonda

  • @EmmanuelMagai-z3x
    @EmmanuelMagai-z3x 5 วันที่ผ่านมา

    ❤Nakupnda ❤❤ makonda!! Chukua Fomu ya Urais

  • @SolomonElias-df4vk
    @SolomonElias-df4vk 3 วันที่ผ่านมา

    Makonda mungu akurehem sana katika huongoz 25:02

  • @MartinLaban
    @MartinLaban 6 วันที่ผ่านมา

    Naomba siku moja uwe mkuu wa inchi turudishe heshima tena Duniani

  • @IsmailChuwa-hz2ls
    @IsmailChuwa-hz2ls 7 วันที่ผ่านมา

    Watanzania niwaambieni huyu kijana wetu makonda ni zaidi ya hakimu nawaambieni angalieni maamuzi yake huyu ni mungu amjalie azidi kuwasaidia waonewaji ameni

  • @abuushakiraddausiy8666
    @abuushakiraddausiy8666 23 วันที่ผ่านมา +2

    Hivi mkuu wa mkoa wa dodoma yupooooo jamman mbona dododma twadhukumiwatuuu lakin kimyaaaaaaaaa

  • @Isackhamka
    @Isackhamka 2 วันที่ผ่านมา

    acha tukupe utetezi wawa nyonge 😭😭😭😭👏

  • @user-mt3jc6no5w
    @user-mt3jc6no5w 16 วันที่ผ่านมา

    Dah! Makonda unajua kuwanyosha ❤❤❤

  • @AzaeliMbise
    @AzaeliMbise 16 วันที่ผ่านมา

    Makonda asante sana kwa kusimamia haki za watu vizuri.

  • @FundiKadege
    @FundiKadege 13 วันที่ผ่านมา

    Makonda mungu akubariki chapa kazi tuko nawe

  • @user-ml2jh2bw4q
    @user-ml2jh2bw4q 18 วันที่ผ่านมา +1

    Jpm hongera san

  • @IsmailChuwa-hz2ls
    @IsmailChuwa-hz2ls 7 วันที่ผ่านมา

    Makonda mungu akubariki

  • @samanyaswai
    @samanyaswai 18 วันที่ผ่านมา +1

    Kweli Uongozi Ni Wito Huu Ndo Wito Sasa.
    Pambana Kiongoz MUNGU Yu Upande Wako.

  • @ismailchami358
    @ismailchami358 21 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubariki Kaka yangu Makonda

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 16 วันที่ผ่านมา

    Kama kila mtendaji kila wizara serikalini wangefanya kazi zao fair and square. Makonda hangekua anasumbuliwa na wananchi wenye matatizo. Hii inaonyesha kwamba watendaji wamefail kwa kiwango kikubwa. Ni mungu na viongozi wenye kumwogopa mungu kama kina makonda ndiyo watakaowasaidia wananchi hawa

  • @deocharles9840
    @deocharles9840 13 วันที่ผ่านมา

    Kazikazin tumepata mtu,Asante Mungu

  • @LightnessBosco
    @LightnessBosco 13 วันที่ผ่านมา

    Makonda MUNGU akuweke miaka mingi mno nimempenda huyu baba kuongea san tn kwa ujasili mno

  • @IsmailChuwa-hz2ls
    @IsmailChuwa-hz2ls 7 วันที่ผ่านมา

    Huyu makonda ni nikama marehemu magifuli kabisa anafanya vizuri

  • @chire4574
    @chire4574 หลายเดือนก่อน +1

    Iyo uwa inakuja najina ya kampuni halafu ww ndo unabadilisha

  • @musicheals1545
    @musicheals1545 24 วันที่ผ่านมา +1

    nonsense, mna mute nini sasa hiyo sauti

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 29 วันที่ผ่านมา +1

    Daah asee 😢😢 kusema kweli ina sikitisha 😢

  • @MussaissaBukagile
    @MussaissaBukagile 11 วันที่ผ่านมา

    Ongereni mkoa wa Arusha kwa kumpata kiongozi bora

  • @songeza
    @songeza 25 วันที่ผ่านมา +1

    RC pole kaza Buti uko vzuri dah ungewekwa wakati ule makamo ungekua rais dah nafasi Bado ipo

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 หลายเดือนก่อน

    Mheshimiwa Makonda huwo ni Wizi wa Fedha kutoka kwa Wananchi wanyonge asante

  • @user-oy9wr2zc6x
    @user-oy9wr2zc6x หลายเดือนก่อน

    Mtetezi wa haki za wanyonge Mungu akutunze.

  • @bukharyally
    @bukharyally หลายเดือนก่อน

    Mheshimiwa makonda pole ila wengi wanaumiuzwa sana

  • @alexsambia3046
    @alexsambia3046 20 วันที่ผ่านมา

    Mzee mngu akujalie umri mrefuu zaidi nimekupnda bure

  • @ilakozasembumende1975
    @ilakozasembumende1975 หลายเดือนก่อน

    Inamaana kapun ya matreckta ilichujua mkopo mkubwa wa matrakta kupitia viwanja vya watu masikini uwiiiiii kwahiyo TIB walimpatia huyo huyo Hujeee pesa nyingi kupitia hati za wanachama wa sacos jamani hii inch😢😢😢😢😢😢😢

  • @bukharyally
    @bukharyally หลายเดือนก่อน +1

    T.i.b.amkamate sacos .wazee hawana kesi

  • @user-wc8rm2yo9m
    @user-wc8rm2yo9m 16 วันที่ผ่านมา

    Data zangu zote zinaishia kwa makonda from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡

  • @samuelmiryango3524
    @samuelmiryango3524 วันที่ผ่านมา

    Tatizo makonda uwezikuwa rais mabebero watakuuwa maana hawampendi mtu kama wew

  • @sylvanjosam3402
    @sylvanjosam3402 22 วันที่ผ่านมา +1

    Wazee wa hivo ukienda nawo mahakmani wanakuacha ndani 😂

  • @RajabuHussein-to7jz
    @RajabuHussein-to7jz 12 วันที่ผ่านมา

    Natamani makonda Aje morogoro

  • @user-ml2jh2bw4q
    @user-ml2jh2bw4q 18 วันที่ผ่านมา

    Kaka Mimi nakupenda san mungu akupe maisha marefu kaka makonda mungu akulidee

  • @nicksonmusa3457
    @nicksonmusa3457 หลายเดือนก่อน +2

    Veepee tena hiyoo sautii wasafii mnaficha nn

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa 21 วันที่ผ่านมา

      Bando letu cjuiii yapojeeee haya

  • @OfficialTadeo
    @OfficialTadeo หลายเดือนก่อน

    Mama huyu mtu apewe uwazili tu

  • @Ladha_ya_Mashairi
    @Ladha_ya_Mashairi 20 วันที่ผ่านมา

    Wasaf mnazingua saut vp wazeee mnatunyima raha

  • @MartinLaban
    @MartinLaban 6 วันที่ผ่านมา

    Bando mi sitakubali kuishiwa kwa kumsikiliza makonda

  • @ilakozasembumende1975
    @ilakozasembumende1975 หลายเดือนก่อน

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @chriskudilla5355
    @chriskudilla5355 หลายเดือนก่อน

    Piga kazi mkuu

  • @VailettyShigerla-fw2sg
    @VailettyShigerla-fw2sg 8 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @husseinidd5751
    @husseinidd5751 หลายเดือนก่อน

    Afisa ushirika yuko vyema,Anajiamini

  • @ryangratius623
    @ryangratius623 19 วันที่ผ่านมา

    Huyo dada anacheka tu

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 16 วันที่ผ่านมา

    🤔🤔🤔🤔🤔

  • @user-vw4te9qr3i
    @user-vw4te9qr3i 27 วันที่ผ่านมา

    Naona chawa wa makonda yupo pembeni

  • @monicachacha455
    @monicachacha455 18 วันที่ผ่านมา

    makonda chapa kazi

  • @ShabanKarim-tv3vn
    @ShabanKarim-tv3vn 24 วันที่ผ่านมา

    Wewe unasitahili kuwa raisi waici

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania 8 วันที่ผ่านมา

    Makonda ndoo mangufuri wa piri anawanyoosha wajanjawajanja

  • @martinamahenge4476
    @martinamahenge4476 หลายเดือนก่อน

    Blood hell 😅😅😅

  • @PartySekemi
    @PartySekemi 24 วันที่ผ่านมา +1

    Mheshimiwa rais wa mkoa Fanya mambo watu wakanyagane si wameona yesu

    • @eliathomas8446
      @eliathomas8446 22 วันที่ผ่านมา +1

      Roho mbaya tuu kwani wewe inakuhusu nn?

  • @jamesk2212
    @jamesk2212 18 วันที่ผ่านมา

    Maana ya rc kwa kefu nini

  • @user-ds2qj3oi7k
    @user-ds2qj3oi7k หลายเดือนก่อน

    Kikubwa nikufunga TAWI hakuna watalamu wanaojua kazi hiyo. Naa pia wazee warudishwe haki zao. Hawo watalamu wanafanya biashara Hela za watu kwa riba kwa watu wengine kwa mkataba wa miaka kazaa.

  • @Christophermagesa1985
    @Christophermagesa1985 14 วันที่ผ่านมา

    Wasafi nyie ni wajinga yaan mnakata badhii ya maneno!