Mh Mkuu wa Mkoa-Arusha tunaomba ktk shuguhuli za kutetea haki siku moja basi nendaga magerezani ukakutane na wafungwa na kesi zao kiongozi wangu. Asante
Mama samia tunaomba tuletee huyu mwamba mbeya, tuletee makonda aje atunyooshee watu wenye madudu yakutosha huku kwetu wanao sababisha jiji letu kuonekana kama sio jiji vile kuanzia kodi zetu ambazo hazitendewi kaz vyema kwa sisi walipa kodi, mpango mji,masoko na standi zetu,nauozoo kibao mkoani kwetu tunaomba sana ❤
Kwanxa aliivaa ya nini sehemu kama hiyo yenye presha yani linaonekana ni libaba linalopendq usera mtu mzima kuvaa mipete kama ile ni kuonekana muhuni tu apo qngevaa pete moja ya ndoa angeonekqna muungwana kimuonekano labda kama ajaoa angeacha kuvaa tu
Protocol must be observed by addressing people with their right OFFICIAL NAMES...his name is Mr. William Chambulo and NOT KABURU. How can a government official send/address a legal notice to a business owner using his nick name?!
Nchi ngumu Sana hii, hayo hapa ni kwa makonda tu je mikoa mingine Hali ikoje, ebu amkeni nyie wakuu wa mikoa mkasaidie wananchi chalamia mkoa wa dar ndo una madudu kibao uwe upo busy kwenye bia tu
Raise Samia muwekee ulinzi wa kutosha makonda maana ni Kama mfano wa yesu Alie tumwa na mungu kwa Wana kondoo .aliifaa kuwa waziri mkuu ndio mahala pake viongozi mafisadi na Wala rushwa angewafutilia mbali
Ningekuwa na uwezo wa kuwaambia watanzania wakaelewa kweli kabisa ningewambia wakakupa urais ili angalau uwe magufuri wa pili uikomboe Tanzania ila wasikuue
Imagine mkurugenzi anateuliwa na rais ili amsaidie kufanya kazi vizuri na kutenda haki, then hiki ndicho anachoenda kufanya. Ni aibu kubwa kwa serikali. Yeye ndo anafanya wananchi waichukie serikali kumbe serikali haina tatizo lolote.
Yaani hii ishu Makonda anaijua vzr na ndio systems nyingi za pesa zetu zinavyopigwa. Ataongea kama hajui ila utaona mwisho wake hao walarushwa wataenda wapi?
Mh Mkuu wa Mkoa-Arusha tunaomba ktk shuguhuli za kutetea haki siku moja basi nendaga magerezani ukakutane na wafungwa na kesi zao kiongozi wangu. Asante
Indeed is remarkable well explained
Congratulations Mh ..🎉
Huyu mzee anajua sana. Ila wabongo niwapagaji ila hawajui jinsi ya upigaji
SAMIA DADA YANGU NIMEKUELEWA!! DUH NDIO MAANA ULIMTOA UENEZI UKAMPELEKA MAKONDA ARUSHA KUMBE UNA JAMBO!!? HONGERA MH RAISI WANGU!! MPE ULINZI WAKO BINAFSI KAMA UMEMZAA TUMBONI HUYU KIJANA NI KILAKA HAKYAMUNGU ATAKUSAIDIA! ❤
Kabisaa
Duuu nje ya ulinzi wa serikali
Mimi nilijua tu Samia hawezi kumpeleka Mh Makonda Arusha bure bure piga kazi Mh Makonda Viva mama Samia Suluhu Hassan 🙌
Yani makonda alikua makini sana uyo mzee mwenyez mungu amemsaidia maoni yake yamesikiliswa❤
nimeipenda comment yako ila MUNGU UANDIKE herufi kubwa
Definition of Education🎒🏫📚🎓 Congratulations Mr Williams and Mr Paul Makonda❤
Mkuu Makonda mungu akubaliki sana katika maisha yako.🎉🎉🎉
Aisee imeendahiyo vizurisana mzee, hakisawa Mungu ibariki Tanzania. Twaamini iposiku viongoziwapendaruswawatakwisa
Nataka nikirudi bongo nimuone Mh makonda inshallha nataka kumuona tu nimpe hongera kwa kazi nzuri anayoifanya
Well articulated Mr Chambulo, Good job!
Paulo me Ni Rafik yko kaka nakupenda kuliko vijana wote hapa duniani ila na mimi kijana mwenzako napambana xana kaka mungu atupe wepesi kaka
*MUNGU
mipete mingi ya kuzimu ya lile shetani joka la kale,lakini joka wa kale aka shetani hajamsaidia amechapika kwa Damu ya YESU ALIE HAI
Watu wanafikiri Kila mtu mwizi,,,,mzee Chambulo safi sana,,,,Allah azidi kukuongoza 🤲
As Executive As Makonda,The Legendary John❤
Mama samia tunaomba tuletee huyu mwamba mbeya, tuletee makonda aje atunyooshee watu wenye madudu yakutosha huku kwetu wanao sababisha jiji letu kuonekana kama sio jiji vile kuanzia kodi zetu ambazo hazitendewi kaz vyema kwa sisi walipa kodi, mpango mji,masoko na standi zetu,nauozoo kibao mkoani kwetu tunaomba sana ❤
Mh mkuu wetu wa mkoa,kwanza mungu akutie nguvu kwa kazi ngumu hii ila pitia mabaraza yote ya ardhi za halmashauri utajua mengi zaidi
Nakukubali mzee Chambulo, waeleze ukweli hao.
Makonda nakuombea Kila cku mana Hawa waizi hakupendi,
Mkuu mungu akuper ulizibinafisi amina
Kutoka Zambia napenda nisifu huu yu mzee na wafanya biashara waliyo mchaguwa awe kiongozi wao hakika anajuwa kuweka mambo sawa na kujieleza sawa sawa
Haya mambo ya wizi kupitia watumishi wa umma.Huwezi kuyaona Europe ama nchi zilizosmart kwa upuuzi kama huu
Hamna mkurugenz hapa aiseee
Haya mambo ndiyo yanayofanya wawekezaji wasije Tanzania ....
Ubarikiwe mh Makonda
Fact Mr chabro
Kusema kweli nchi hii ina wezi wengi sana haswa halmashauri 😢
Mh; Makonda +MUNGU+ azidi KUKUBARIKI na kukutunza siku zote hata na uzao wako baada yako YOHANA 14:14🙏🤝
Mwashimiwa makonda mungu akutunze utusaidie na upande wa jeshi la polish watches kusingizia kesi
Mungu mwema Sana
Mzee ameongea na full confidence
Mama Samia alikuwa ameshaona Kuna madudu huko arusha ndio maana akapeleka jembe lakuyafyeka hayo madudu huko...big up mh makonda Mungu akulinde tu
Mapete ya kichawi Hakuna Akili hapo ,Makonda Tia jela wezi Hawa .😊
Mapete hatari sana tena sana
Yashindwe Kwa jina kuu lipitalo majina yote.
YESU KRISTO
Inauma sana
Ukiwa Tajiri unakuwa na nguvu ya kujiamini kweli kama BIBLIA TAKATIFU iIlivosema umaskini ni laana,huyu mzee anajiamini na ni Mlokole huyu
Sure
Kwakweli kuna kaujasiri flani hivi unakuwa nako
Hamna mlokole hapo WWE jichanganyee
Yes Chambulo hana kona kona amenyooka kama pini cha pua hapendi uwongo uwizi uvivu na kuchezea muda 💪
Sheria lazima ziwe Strong
M/Mungu Naomba Ulinzi wa Kutosha kwa Mtumishi wako Paul Makonda,kwa Kazi Nzr Anayofanya kwa kutetea Haki za Wanyonge wote hp Duniani 🙏🙏
Hiyo mipete tu aliovaa anaonekana kabisa ni muhuni na mwizi mzoefuu
Mshirikina
Nimeshangaa kuona hayo mapete kutoka kwa kiongozi wa utumishi wa umma. Daah huyu atakuwa ni hatari sana
Yn kiboko😢
Kwanxa aliivaa ya nini sehemu kama hiyo yenye presha yani linaonekana ni libaba linalopendq usera mtu mzima kuvaa mipete kama ile ni kuonekana muhuni tu apo qngevaa pete moja ya ndoa angeonekqna muungwana kimuonekano labda kama ajaoa angeacha kuvaa tu
Safi makonda kazi nzuri majizi haoo
Duh Bora sipo hapo ningechoka kucheka 😅😅aibu jaman
Mpitishe sheria za kuwanyonga hawa wezi mngeanza kunyonga kama China na Korea kusini mnawachekea ndio maana wanaendelea kuiba.
Hatari sana Yani huyu makonda yupo makini sana
Uyu Mzee nampenda sana
Salute kaskazini kwa kujiamini
Safi sana mkuu.
Protocol must be observed by addressing people with their right OFFICIAL NAMES...his name is Mr. William Chambulo and NOT KABURU.
How can a government official send/address a legal notice to a business owner using his nick name?!
Not William. Call him Wilbard
@@Bettylaizery my sincere apologies, it is indeed "Willy"... but NOT KABURU. Thank you for the correction.
Nimeshangaa sana mtu anarudiarudia kumuita KABULU ..
HuYo mkurugenzi anatakiwa kutolewa hapo ARUSHA hapo hafai
Nchi ngumu Sana hii, hayo hapa ni kwa makonda tu je mikoa mingine Hali ikoje, ebu amkeni nyie wakuu wa mikoa mkasaidie wananchi chalamia mkoa wa dar ndo una madudu kibao uwe upo busy kwenye bia tu
Jamani Wizi na Rushwa umezidi badala ya Watu kufanya kazi na kutafuta ajira poleni sana Wananchi na Serikali yake
Huyu si ndio alikua serengeti warioba alimsema kuwa ni mwizi kumbe za mwizi ni 40
Ndio huyo Huyo bab mwiz kitambo kumbe
Mkuruu amejichanganya
Muheshimiwa makonda mungu akupe miaka mingi mbele unasaidiya sana wanyonge natamani ungeletwa zanzibar maana kunanuka zulma
The guy is very smart and he knows whta is doing,Mkulu genzi Kayakanyaga kwelikweli.
Kayatimba mana hlijiachia kwa wandishi wa habari ...hamjui chamburo akili kubwa❤❤
Lais wetu Samia asante kwa makonda atawanyosha hawa mafisadi
Mh. Paul Makonda wewe unatakiwa siku moja uwe Rais maana situ unajiruma ukweli no kwamba unakubalika kwanamna unavotatua migogoro hongera Sana .
Raise Samia muwekee ulinzi wa kutosha makonda maana ni Kama mfano wa yesu Alie tumwa na mungu kwa Wana kondoo .aliifaa kuwa waziri mkuu ndio mahala pake viongozi mafisadi na Wala rushwa angewafutilia mbali
😂😂😂😂😂watu majambazi jamani,,,,mzee hakubali anataka kujua pesa zimekwenda wapi🙌
Safi mkuu
Raisi anajua Kweli, kumbe ndiomana aka mteua makonda, Arusha wapigaji2
Mh kachoka kabisa....hii nchi tunamsiba mzito sanA
Ningekuwa na uwezo wa kuwaambia watanzania wakaelewa kweli kabisa ningewambia wakakupa urais ili angalau uwe magufuri wa pili uikomboe Tanzania ila wasikuue
Mapete makubwa ya Mashetani ya nini ? ? Mtegemee Mungu kwa ulinzi wako, Achana na Mapete ya kichawi
😂😂😂😂😂😂😂 msameheni jamani
Hayo mapete yanadhihirisha huyo jamaa ni mhuni.
Mwanaume ule hela ya mwanaume mwenzako😂😂
Mmh
Baba kanikosha huyu afu hana nywele za kitajeeer
Imagine mkurugenzi anateuliwa na rais ili amsaidie kufanya kazi vizuri na kutenda haki, then hiki ndicho anachoenda kufanya. Ni aibu kubwa kwa serikali. Yeye ndo anafanya wananchi waichukie serikali kumbe serikali haina tatizo lolote.
Apo poa
😂😂😂hapo kwenye jina kanchekesha et tuheshimiane
😂😂😂😂😂😂
Hayo majini kwenye mapete hayajamsaidia???jinga
Yaani hii ishu Makonda anaijua vzr na ndio systems nyingi za pesa zetu zinavyopigwa. Ataongea kama hajui ila utaona mwisho wake hao walarushwa wataenda wapi?
Mmmmmh wizi inje inje😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Ameandika kabulu ilikupoteza ushaidi puba kabisa atiwe ndani mwizi
Uyu makonda aletwe na Morogoro jamani
jamani kaka wa watu anaongea vizur kwa msisitizo, kafichua madudu, makonda mpe ulinzi tafadhali.
Watu waliosoma bhana yani hawana papara kabisa wanaongea point imekamilika .nyie elimu ni nzuri sana
Kuna wezi wengi sana hii nchi
😳😳😳
Makonda piga kazi kaka
Jamani, jamani,MUNGU, kumbe yupo, EEEE,ARUSHA, kumekicha
Changulo umemalizaaaa duuh
Inatosha brother
Af jina langu sio Kaburu.... 😂😂😂
Hugo atakusaidia raising wetu kipenzi kumbe wanakuchafua saba bu ya ubazirifu
Yaani mkurugenzi Mzima ma Pete hayo Kama mpiga ndumba haina heshima kabisa,hapendezei cheo hicho Wizi tu
Upigaji unaendelea 😢😢😢
Chama chake hapana
Nahisi pia usipo lalamika unaweza Kuja kupigwa faini
Pete za bahati hizo zina maelekezo yake😂
Mgogo unalea watoto sio wako
Serekeli ikipewa chimbo la wizi 😂😂
Saf San mlipa kod
Nilijua tu huyu mzee toka mwanzo alikuwa anatoa kicho kwa hasira
Hakika Mungu wa mbingu na nchi aendelee kukufunika kaka yangu Mh Paul Makonda.
Ungesikia weka ndani angekueo
Mzarendo wa kweli
Watanzania tukinyoosha hivi, nchi itanjengwa kwa haraka.
Majizi wanaturudisha nyuma
Pyee pyyee pyee, Fyuuu😂😂 kikowapi sasa na mipete yake ka mganga wa jadi
Mimi nina swali moja tu. Hiyo mipete ya mkurugenzi ni ya kazi gani?
Uchawi
Kinga
Duuuuuuuuu aibuuu Sana jamani
makonda anasikiliza kwa makini huku anaumiza kichwa jinzi atakavyowafanya hawa mafisadi.
Wawekwe ndani wanaoshikwa na wizi wa fedha
Mapete ya huyu jamaa. Mshirikina huyo.
Wakuu wa mikoa wengine mpo wapi Ina maana matatizo yapo Arusha tuu