SIRI IMEFICHUKA! MAKONDA AMBANA MKURUGENZI, MADUDU ya KUTISHA na RUSHWA OFISI YA HALMASHAURI ARUSHA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ย. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 157

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 4 หลายเดือนก่อน +7

    Mh Mkuu wa Mkoa-Arusha tunaomba ktk shuguhuli za kutetea haki siku moja basi nendaga magerezani ukakutane na wafungwa na kesi zao kiongozi wangu. Asante

  • @ausmsuya3335
    @ausmsuya3335 4 หลายเดือนก่อน +2

    Indeed is remarkable well explained
    Congratulations Mh ..🎉

  • @hassaintz9255
    @hassaintz9255 4 หลายเดือนก่อน +24

    Huyu mzee anajua sana. Ila wabongo niwapagaji ila hawajui jinsi ya upigaji

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 4 หลายเดือนก่อน +41

    SAMIA DADA YANGU NIMEKUELEWA!! DUH NDIO MAANA ULIMTOA UENEZI UKAMPELEKA MAKONDA ARUSHA KUMBE UNA JAMBO!!? HONGERA MH RAISI WANGU!! MPE ULINZI WAKO BINAFSI KAMA UMEMZAA TUMBONI HUYU KIJANA NI KILAKA HAKYAMUNGU ATAKUSAIDIA! ❤

    • @rosetreffert4179
      @rosetreffert4179 4 หลายเดือนก่อน +2

      Kabisaa

    • @mackjr5291
      @mackjr5291 4 หลายเดือนก่อน

      Duuu nje ya ulinzi wa serikali

    • @saidkipalo4427
      @saidkipalo4427 4 หลายเดือนก่อน

      Mimi nilijua tu Samia hawezi kumpeleka Mh Makonda Arusha bure bure piga kazi Mh Makonda Viva mama Samia Suluhu Hassan 🙌

  • @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
    @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k 4 หลายเดือนก่อน +22

    Yani makonda alikua makini sana uyo mzee mwenyez mungu amemsaidia maoni yake yamesikiliswa❤

    • @labancharles8453
      @labancharles8453 4 หลายเดือนก่อน

      nimeipenda comment yako ila MUNGU UANDIKE herufi kubwa

  • @asifsilima4704
    @asifsilima4704 4 หลายเดือนก่อน

    Definition of Education🎒🏫📚🎓 Congratulations Mr Williams and Mr Paul Makonda❤

  • @patrickfanuel
    @patrickfanuel 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mkuu Makonda mungu akubaliki sana katika maisha yako.🎉🎉🎉

  • @ramaaman4020
    @ramaaman4020 4 หลายเดือนก่อน +1

    Aisee imeendahiyo vizurisana mzee, hakisawa Mungu ibariki Tanzania. Twaamini iposiku viongoziwapendaruswawatakwisa

  • @hafsahamadi1631
    @hafsahamadi1631 4 หลายเดือนก่อน

    Nataka nikirudi bongo nimuone Mh makonda inshallha nataka kumuona tu nimpe hongera kwa kazi nzuri anayoifanya

  • @walterp.makundi5640
    @walterp.makundi5640 4 หลายเดือนก่อน +2

    Well articulated Mr Chambulo, Good job!

  • @jalaryababilasi1562
    @jalaryababilasi1562 4 หลายเดือนก่อน +7

    Paulo me Ni Rafik yko kaka nakupenda kuliko vijana wote hapa duniani ila na mimi kijana mwenzako napambana xana kaka mungu atupe wepesi kaka

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur 4 หลายเดือนก่อน +15

    mipete mingi ya kuzimu ya lile shetani joka la kale,lakini joka wa kale aka shetani hajamsaidia amechapika kwa Damu ya YESU ALIE HAI

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 4 หลายเดือนก่อน

    Watu wanafikiri Kila mtu mwizi,,,,mzee Chambulo safi sana,,,,Allah azidi kukuongoza 🤲

  • @villabashiri3457
    @villabashiri3457 4 หลายเดือนก่อน +1

    As Executive As Makonda,The Legendary John❤

  • @ivankadaudi8161
    @ivankadaudi8161 4 หลายเดือนก่อน +4

    Mama samia tunaomba tuletee huyu mwamba mbeya, tuletee makonda aje atunyooshee watu wenye madudu yakutosha huku kwetu wanao sababisha jiji letu kuonekana kama sio jiji vile kuanzia kodi zetu ambazo hazitendewi kaz vyema kwa sisi walipa kodi, mpango mji,masoko na standi zetu,nauozoo kibao mkoani kwetu tunaomba sana ❤

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mh mkuu wetu wa mkoa,kwanza mungu akutie nguvu kwa kazi ngumu hii ila pitia mabaraza yote ya ardhi za halmashauri utajua mengi zaidi

  • @innocentmleli1196
    @innocentmleli1196 4 หลายเดือนก่อน +2

    Nakukubali mzee Chambulo, waeleze ukweli hao.

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 4 หลายเดือนก่อน +20

    Makonda nakuombea Kila cku mana Hawa waizi hakupendi,

  • @AlexMahehula
    @AlexMahehula 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mkuu mungu akuper ulizibinafisi amina

  • @EmmmaTembo
    @EmmmaTembo 4 หลายเดือนก่อน +10

    Kutoka Zambia napenda nisifu huu yu mzee na wafanya biashara waliyo mchaguwa awe kiongozi wao hakika anajuwa kuweka mambo sawa na kujieleza sawa sawa

  • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
    @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 4 หลายเดือนก่อน +4

    Haya mambo ya wizi kupitia watumishi wa umma.Huwezi kuyaona Europe ama nchi zilizosmart kwa upuuzi kama huu

  • @samtelah7578
    @samtelah7578 4 หลายเดือนก่อน +12

    Hamna mkurugenz hapa aiseee

  • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
    @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 4 หลายเดือนก่อน +3

    Haya mambo ndiyo yanayofanya wawekezaji wasije Tanzania ....

  • @neemaloy889
    @neemaloy889 4 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe mh Makonda

  • @mlewamlewa976
    @mlewamlewa976 4 หลายเดือนก่อน +3

    Fact Mr chabro

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 4 หลายเดือนก่อน +4

    Kusema kweli nchi hii ina wezi wengi sana haswa halmashauri 😢

  • @emmanuelfari8924
    @emmanuelfari8924 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mh; Makonda +MUNGU+ azidi KUKUBARIKI na kukutunza siku zote hata na uzao wako baada yako YOHANA 14:14🙏🤝

  • @stevenmarunda4353
    @stevenmarunda4353 4 หลายเดือนก่อน

    Mwashimiwa makonda mungu akutunze utusaidie na upande wa jeshi la polish watches kusingizia kesi

  • @Latifa123Latifa12
    @Latifa123Latifa12 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu mwema Sana

  • @riazshaikh8577
    @riazshaikh8577 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee ameongea na full confidence

  • @doramkolo1745
    @doramkolo1745 4 หลายเดือนก่อน

    Mama Samia alikuwa ameshaona Kuna madudu huko arusha ndio maana akapeleka jembe lakuyafyeka hayo madudu huko...big up mh makonda Mungu akulinde tu

  • @SonitajoseDonita-tm5ex
    @SonitajoseDonita-tm5ex 4 หลายเดือนก่อน +15

    Mapete ya kichawi Hakuna Akili hapo ,Makonda Tia jela wezi Hawa .😊

    • @beatricekatunzi3721
      @beatricekatunzi3721 4 หลายเดือนก่อน

      Mapete hatari sana tena sana

    • @mungholomakalanga8958
      @mungholomakalanga8958 4 หลายเดือนก่อน

      Yashindwe Kwa jina kuu lipitalo majina yote.
      YESU KRISTO

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 4 หลายเดือนก่อน

    Inauma sana

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur 4 หลายเดือนก่อน +13

    Ukiwa Tajiri unakuwa na nguvu ya kujiamini kweli kama BIBLIA TAKATIFU iIlivosema umaskini ni laana,huyu mzee anajiamini na ni Mlokole huyu

    • @Jackiedaniel75
      @Jackiedaniel75 4 หลายเดือนก่อน

      Sure

    • @SajoAbel
      @SajoAbel 4 หลายเดือนก่อน

      Kwakweli kuna kaujasiri flani hivi unakuwa nako

    • @davidmalisa8043
      @davidmalisa8043 4 หลายเดือนก่อน

      Hamna mlokole hapo WWE jichanganyee

    • @norahmaxwell6853
      @norahmaxwell6853 4 หลายเดือนก่อน +1

      Yes Chambulo hana kona kona amenyooka kama pini cha pua hapendi uwongo uwizi uvivu na kuchezea muda 💪

  • @kristiankitali5505
    @kristiankitali5505 4 หลายเดือนก่อน +3

    Sheria lazima ziwe Strong

  • @dorcasdavid2247
    @dorcasdavid2247 4 หลายเดือนก่อน

    M/Mungu Naomba Ulinzi wa Kutosha kwa Mtumishi wako Paul Makonda,kwa Kazi Nzr Anayofanya kwa kutetea Haki za Wanyonge wote hp Duniani 🙏🙏

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 4 หลายเดือนก่อน +22

    Hiyo mipete tu aliovaa anaonekana kabisa ni muhuni na mwizi mzoefuu

    • @kikimshanga3412
      @kikimshanga3412 4 หลายเดือนก่อน +7

      Mshirikina

    • @ericknganzi398
      @ericknganzi398 4 หลายเดือนก่อน +2

      Nimeshangaa kuona hayo mapete kutoka kwa kiongozi wa utumishi wa umma. Daah huyu atakuwa ni hatari sana

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 4 หลายเดือนก่อน +1

      Yn kiboko😢

    • @ElizabethWamcha
      @ElizabethWamcha 4 หลายเดือนก่อน

      Kwanxa aliivaa ya nini sehemu kama hiyo yenye presha yani linaonekana ni libaba linalopendq usera mtu mzima kuvaa mipete kama ile ni kuonekana muhuni tu apo qngevaa pete moja ya ndoa angeonekqna muungwana kimuonekano labda kama ajaoa angeacha kuvaa tu

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 4 หลายเดือนก่อน +1

    Safi makonda kazi nzuri majizi haoo

  • @samwelerasto7138
    @samwelerasto7138 4 หลายเดือนก่อน +4

    Duh Bora sipo hapo ningechoka kucheka 😅😅aibu jaman

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 4 หลายเดือนก่อน +5

    Mpitishe sheria za kuwanyonga hawa wezi mngeanza kunyonga kama China na Korea kusini mnawachekea ndio maana wanaendelea kuiba.

  • @SanareLaizer-en5it
    @SanareLaizer-en5it 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hatari sana Yani huyu makonda yupo makini sana

  • @idinado-wk3lx
    @idinado-wk3lx 4 หลายเดือนก่อน +2

    Uyu Mzee nampenda sana

  • @mzalendomzalendo2567
    @mzalendomzalendo2567 4 หลายเดือนก่อน

    Salute kaskazini kwa kujiamini

  • @francisdeomassawe6307
    @francisdeomassawe6307 4 หลายเดือนก่อน

    Safi sana mkuu.

  • @doreengomes3489
    @doreengomes3489 4 หลายเดือนก่อน +11

    Protocol must be observed by addressing people with their right OFFICIAL NAMES...his name is Mr. William Chambulo and NOT KABURU.
    How can a government official send/address a legal notice to a business owner using his nick name?!

    • @Bettylaizery
      @Bettylaizery 4 หลายเดือนก่อน +3

      Not William. Call him Wilbard

    • @doreengomes3489
      @doreengomes3489 4 หลายเดือนก่อน

      @@Bettylaizery my sincere apologies, it is indeed "Willy"... but NOT KABURU. Thank you for the correction.

    • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
      @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 4 หลายเดือนก่อน

      Nimeshangaa sana mtu anarudiarudia kumuita KABULU ..
      HuYo mkurugenzi anatakiwa kutolewa hapo ARUSHA hapo hafai

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 4 หลายเดือนก่อน +3

    Nchi ngumu Sana hii, hayo hapa ni kwa makonda tu je mikoa mingine Hali ikoje, ebu amkeni nyie wakuu wa mikoa mkasaidie wananchi chalamia mkoa wa dar ndo una madudu kibao uwe upo busy kwenye bia tu

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 3 หลายเดือนก่อน

    Jamani Wizi na Rushwa umezidi badala ya Watu kufanya kazi na kutafuta ajira poleni sana Wananchi na Serikali yake

  • @SGVBnewsSAMWEL
    @SGVBnewsSAMWEL 4 หลายเดือนก่อน +7

    Huyu si ndio alikua serengeti warioba alimsema kuwa ni mwizi kumbe za mwizi ni 40

    • @husseinkonz5192
      @husseinkonz5192 4 หลายเดือนก่อน

      Ndio huyo Huyo bab mwiz kitambo kumbe

  • @Enzo-cp
    @Enzo-cp 4 หลายเดือนก่อน +5

    Mkuruu amejichanganya

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi5104 4 หลายเดือนก่อน +1

    Muheshimiwa makonda mungu akupe miaka mingi mbele unasaidiya sana wanyonge natamani ungeletwa zanzibar maana kunanuka zulma

  • @adeliphinusgabone7431
    @adeliphinusgabone7431 4 หลายเดือนก่อน

    The guy is very smart and he knows whta is doing,Mkulu genzi Kayakanyaga kwelikweli.

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 4 หลายเดือนก่อน

      Kayatimba mana hlijiachia kwa wandishi wa habari ...hamjui chamburo akili kubwa❤❤

  • @francismadirisha3511
    @francismadirisha3511 4 หลายเดือนก่อน

    Lais wetu Samia asante kwa makonda atawanyosha hawa mafisadi

  • @OscerShop
    @OscerShop 4 หลายเดือนก่อน

    Mh. Paul Makonda wewe unatakiwa siku moja uwe Rais maana situ unajiruma ukweli no kwamba unakubalika kwanamna unavotatua migogoro hongera Sana .

  • @salummakadi311
    @salummakadi311 3 หลายเดือนก่อน

    Raise Samia muwekee ulinzi wa kutosha makonda maana ni Kama mfano wa yesu Alie tumwa na mungu kwa Wana kondoo .aliifaa kuwa waziri mkuu ndio mahala pake viongozi mafisadi na Wala rushwa angewafutilia mbali

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 4 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂watu majambazi jamani,,,,mzee hakubali anataka kujua pesa zimekwenda wapi🙌

  • @kastoriooko7157
    @kastoriooko7157 4 หลายเดือนก่อน

    Safi mkuu

  • @mercyzakariah
    @mercyzakariah 4 หลายเดือนก่อน +2

    Raisi anajua Kweli, kumbe ndiomana aka mteua makonda, Arusha wapigaji2

  • @mohamedkaranje8678
    @mohamedkaranje8678 4 หลายเดือนก่อน +8

    Mh kachoka kabisa....hii nchi tunamsiba mzito sanA

  • @BONIPHACEMOHABE
    @BONIPHACEMOHABE 3 หลายเดือนก่อน

    Ningekuwa na uwezo wa kuwaambia watanzania wakaelewa kweli kabisa ningewambia wakakupa urais ili angalau uwe magufuri wa pili uikomboe Tanzania ila wasikuue

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 4 หลายเดือนก่อน +4

    Mapete makubwa ya Mashetani ya nini ? ? Mtegemee Mungu kwa ulinzi wako, Achana na Mapete ya kichawi

    • @Lodrickmwambene
      @Lodrickmwambene 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂 msameheni jamani

    • @ericknganzi398
      @ericknganzi398 4 หลายเดือนก่อน +1

      Hayo mapete yanadhihirisha huyo jamaa ni mhuni.

  • @BrayoDimpoz
    @BrayoDimpoz 4 หลายเดือนก่อน

    Mwanaume ule hela ya mwanaume mwenzako😂😂

  • @yohanamlowe704
    @yohanamlowe704 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mmh

  • @sophsoph4740
    @sophsoph4740 4 หลายเดือนก่อน +2

    Baba kanikosha huyu afu hana nywele za kitajeeer

  • @frankwilliam144
    @frankwilliam144 4 หลายเดือนก่อน +1

    Imagine mkurugenzi anateuliwa na rais ili amsaidie kufanya kazi vizuri na kutenda haki, then hiki ndicho anachoenda kufanya. Ni aibu kubwa kwa serikali. Yeye ndo anafanya wananchi waichukie serikali kumbe serikali haina tatizo lolote.

  • @husseinmgoo3074
    @husseinmgoo3074 4 หลายเดือนก่อน +1

    Apo poa

  • @sophsoph4740
    @sophsoph4740 4 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂hapo kwenye jina kanchekesha et tuheshimiane

    • @stanastana3199
      @stanastana3199 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂

  • @herimallya3385
    @herimallya3385 3 หลายเดือนก่อน

    Hayo majini kwenye mapete hayajamsaidia???jinga

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 4 หลายเดือนก่อน

    Yaani hii ishu Makonda anaijua vzr na ndio systems nyingi za pesa zetu zinavyopigwa. Ataongea kama hajui ila utaona mwisho wake hao walarushwa wataenda wapi?

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge8222 4 หลายเดือนก่อน

    Mmmmmh wizi inje inje😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ameandika kabulu ilikupoteza ushaidi puba kabisa atiwe ndani mwizi

  • @nayopamlimbatv1382
    @nayopamlimbatv1382 4 หลายเดือนก่อน

    Uyu makonda aletwe na Morogoro jamani

  • @chekanao4298
    @chekanao4298 4 หลายเดือนก่อน

    jamani kaka wa watu anaongea vizur kwa msisitizo, kafichua madudu, makonda mpe ulinzi tafadhali.

  • @Juke995
    @Juke995 4 หลายเดือนก่อน

    Watu waliosoma bhana yani hawana papara kabisa wanaongea point imekamilika .nyie elimu ni nzuri sana

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 4 หลายเดือนก่อน

    Kuna wezi wengi sana hii nchi

  • @eliaichraymond1215
    @eliaichraymond1215 4 หลายเดือนก่อน

    😳😳😳

  • @ismailjuma1452
    @ismailjuma1452 4 หลายเดือนก่อน

    Makonda piga kazi kaka

  • @StellaRemi
    @StellaRemi 4 หลายเดือนก่อน

    Jamani, jamani,MUNGU, kumbe yupo, EEEE,ARUSHA, kumekicha

  • @FunnyChess-ns9vf
    @FunnyChess-ns9vf 4 หลายเดือนก่อน +2

    Changulo umemalizaaaa duuh
    Inatosha brother

  • @aqbizyaugust8919
    @aqbizyaugust8919 4 หลายเดือนก่อน

    Af jina langu sio Kaburu.... 😂😂😂

  • @AsiaNdwata
    @AsiaNdwata 4 หลายเดือนก่อน

    Hugo atakusaidia raising wetu kipenzi kumbe wanakuchafua saba bu ya ubazirifu

  • @deborahmollel3170
    @deborahmollel3170 4 หลายเดือนก่อน

    Yaani mkurugenzi Mzima ma Pete hayo Kama mpiga ndumba haina heshima kabisa,hapendezei cheo hicho Wizi tu

  • @ClementMekarnt
    @ClementMekarnt 4 หลายเดือนก่อน

    Upigaji unaendelea 😢😢😢

  • @aronmtui597
    @aronmtui597 4 หลายเดือนก่อน

    Chama chake hapana

  • @godfreymwanguku3396
    @godfreymwanguku3396 4 หลายเดือนก่อน

    Nahisi pia usipo lalamika unaweza Kuja kupigwa faini

  • @devothabernard1570
    @devothabernard1570 4 หลายเดือนก่อน

    Pete za bahati hizo zina maelekezo yake😂

  • @jeremiahsumun1149
    @jeremiahsumun1149 3 หลายเดือนก่อน

    Mgogo unalea watoto sio wako

  • @golebenson4597
    @golebenson4597 4 หลายเดือนก่อน +1

    Serekeli ikipewa chimbo la wizi 😂😂

  • @AdamMwava
    @AdamMwava 4 หลายเดือนก่อน

    Saf San mlipa kod

  • @AshuuuBakari
    @AshuuuBakari 4 หลายเดือนก่อน

    Nilijua tu huyu mzee toka mwanzo alikuwa anatoa kicho kwa hasira

  • @Pixxmoleli
    @Pixxmoleli 4 หลายเดือนก่อน

    Hakika Mungu wa mbingu na nchi aendelee kukufunika kaka yangu Mh Paul Makonda.

  • @CharlesWilliam-iz3fz
    @CharlesWilliam-iz3fz 4 หลายเดือนก่อน

    Ungesikia weka ndani angekueo

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 4 หลายเดือนก่อน

    Mzarendo wa kweli

  • @emmilianlukaye3125
    @emmilianlukaye3125 4 หลายเดือนก่อน

    Watanzania tukinyoosha hivi, nchi itanjengwa kwa haraka.
    Majizi wanaturudisha nyuma

  • @Kivuruge255
    @Kivuruge255 4 หลายเดือนก่อน +1

    Pyee pyyee pyee, Fyuuu😂😂 kikowapi sasa na mipete yake ka mganga wa jadi

  • @vinny.morales
    @vinny.morales 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mimi nina swali moja tu. Hiyo mipete ya mkurugenzi ni ya kazi gani?

  • @Latifa123Latifa12
    @Latifa123Latifa12 4 หลายเดือนก่อน

    Duuuuuuuuu aibuuu Sana jamani

  • @chekanao4298
    @chekanao4298 4 หลายเดือนก่อน

    makonda anasikiliza kwa makini huku anaumiza kichwa jinzi atakavyowafanya hawa mafisadi.

  • @jacklinelyimo7407
    @jacklinelyimo7407 4 หลายเดือนก่อน

    Wawekwe ndani wanaoshikwa na wizi wa fedha

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 4 หลายเดือนก่อน

    Mapete ya huyu jamaa. Mshirikina huyo.

  • @AnthonyMgembe
    @AnthonyMgembe 4 หลายเดือนก่อน

    Wakuu wa mikoa wengine mpo wapi Ina maana matatizo yapo Arusha tuu