MAKONDA AKASIRIKA - ''WEWE UNABISHANA na MIMI? MNACHUKUA MIEZI KUTEKELEZA MAAGIZO ya WAZIRI''...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 พ.ค. 2024
- MAKONDA AKASIRIKA - ''WEWE UNABISHANA na MIMI? MNACHUKUA MIEZI KUTEKELEZA MAAGIZO ya WAZIRI''...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Duuh
@@godfreyjuliusmollel5218adadadeaaaaaaaaadadkka
À@@godfreyjuliusmollel5218
Kama na wewe umefurahishwa na Makonda hadi ukakosa cha kuandika basi like tu hapa aone tupo wangapi.
Asante Mungu kuturudishia Maguful kwa kutumia mwili wa Makonda 🙏🙏🤲
Jamani namuona magufuli Mungu asante namuona mpendwa wetu magufuli ndani ya makonda
Kwakweli
Makonda tunakuombea mno💋🇹🇿 Mungu akutunze kila mchawi wa moyo wako naafe kwajina la yesu kristo wa nazaleti
AMINA
Naishiwa maneno mwenzenu Mungu hyu anajua kufarij watu wske,,asante Mungu kutuletea magufur kwa njia nyingne😢😢😢Makonda Mungu aendelee kukutunza baba kwa ajil ya wananchi wanyonge,,nchi hii bila kupata kiongozi mfatiliaji nchi inageuka kuwa shamba la miwa😢😢🙏
Makonda nafuatilia ziara zako mungu akupe maisha marefu aameen
Uso wa Bwana uende nawe Makonda.
Makonda respect Sanaa moyo ulikufaa baada yakufa magu sasa unaanza kupumua kupitia ww ningekua nauwezo ningekupa nchi 🙏🙏🙏🙏💯💯💯
Anafaaaa
Ni kweli kabisa ndg
Kwa sisi wapiga kura Yani watu wa Hali ya chini tunataka viongozi kama hawa naomba ile sheria ya mgombea binafs ikaziwe ili 2025 makonda agombee hata mgombea binafs kama atakosa nafasi kwenye chama kwa sabbu kila anapowekwa anafiti na moto ni ule ule
Anafaa sana Mungu asikilize maombi yetu Makonda anafaa sana
Sana makonda anaofu ya Allah baro mwaka 2030 apewe uraisi
Makonda respect to you
Nchi inakuhitaji sana kuliko kitu kingine nchi zetu za Africa zinataka viongozi wenye msimamo kama wewe na wenye kuthubutu mungu akulinde kiongozi..Viongozi wengi wababaishaji na rushwa tu wabane wote wezi tu
Nimekuelewa sana
Wakuu wa mikoa mingine Tanzania wakula bata,hawajui wajibu wao, viva makonda,
Uongozi ni kipaji
🎉🎉🎉@@baloz8974
Waige mfano wa makonda
Jamani waige mfano wa Makonda, Mungu akulinde Sana Makonda ❤️
Naona Mh Makonda awe Mkuu wa mkoa wa kuhamahama. Yani kila mwaka ahamie mkoa mwingine. Maana kazi yake ni konkii konkilist.
POINT NA NUSUUUUU
Sahihi kabisa
Aende morogoro,Musoma na mwanza
Na atasaidia sana katika kutokomeza rushwa.
Nimeunga mkono hoja
Kwa kweli katika hili Mh Makonda umenyoosha mstari kama kiongozi na Mtenda haki. Hongera sana hakika.
Mweshimiwa makonda mimi binafsi naupenda sana uongozi wako, japo tunajua unakutana na changamoto nyingi na wengine watakuchukia ila mungu atakupigania sana.
Mungu aendelee kukupa kibari na akuzidishie maono Mr Makonda
To me, Mr Makonda was not demoted, instead, he was promoted from being Mwenezi Taifa to be the RC. Look at what the glorious job and services he is delivering to the people of Tanzania. Hata kama anakosea au atakosea mahali fulani, lakini tuzingatie lengo lake. Lengo lake ni lengo la Tanzania na Kiongozi Mkuu wa Nchi yetu. Again, VIVA Makonda and VIVA our lovely president!
Makonda ana hekima ya Solomon, young with high wisdom
Chap kazi mdogo wangu Mungu atakulipa,Kwan una karma zako
❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤ RC makonda
Makonda Mungu akukumbuke alinde uzao wako katika jina la Yesu
Mungu akulinde wewe una roho ya magufuli ndani yako
MUNGU akupe ngazi ya mwisho ya maamuzi namanisha urasi.❤❤❤
Bwana Yesu Kristo akutie nguvu mheshimiwa Makonda Arusha kuna wadhulumaji sio mkoa rahisi
Hakika mungu amlinde makonda aaamiiinaaaa
Salute Mh:Paul Makonda, najikuta nkipiga makofi ucku nikiskza Ziara zako
Mungu kamleta maguful kwenye mwili wa makonda mazeee
Kbs
Mungu azidi kukupa Hekima Rafiki makonda Mungu akubariki sana
Nakupenda bure Mh makonda maana haujawahi kumkana Yesu, Ilove your tshirts and cap.🎉
Respect my president, respect Makonda nawapenda sanaaaa
UKIKUTANA NA BWANA MAKONDA JUA UMEKUTANA NA KIJANA MWELEVU MNOOOOOOOOOO, zingatia neno mwelevu📌
Kabisa mkuu
Sanaaaaa Aissse
Kabisa kabisa 😂😂❤❤❤
Arusha tuna bahati kumpata kiongozi kama huyu 👏👏👏👏👏🙏🙏🙏
Mzee Uwe Unaulizia Kwanza😂😂😂Makonda We love uuu❤❤😂
Ni kwere😂 kanikumbusha kitu ila skisemi 😂😂😂
😂😂😂😂
Kachimbiwa biti mwenyewe kaomba msamaha 😂😂😂😂😂
Mzee uwe unaulizia utakuja kunya kiazi cha moto
@@isaackgabriel9536😂😂😂
Ahsante sana M/mungu Kwa kutupa magufuri wa pili hongera sanaaa makonda mungu akupe maisha marefu 🌹🎁
Makonda is the best leader in Tanzania especially in solving problems of the people mimi nakuombea sana Mh ,mungu you nawe kwa kweli
Makonda mi nakukubaki Mzee wangu endelea nakazi ya Mungu ,Mungu atakulipia
Watumishi wengi wa serikali hawafanyi kaz, hawaendi field ni watu wa ofisini tu as opposed na private sector. Huyo chalii unaweza Kuta vyet ni vzr ma GPA nn ila hawez hta jieleza na anaonekana hna experience na kaz yake,
Kiukweli makonda naichukia ccm ila kupitia ww naanza kuipenda!! Broo mungu wang wa mbingun naomba ajibu maombi uwe rais wa nchi hii nadhan utaipua meng kama mzee magufuli!! Hakika una ujasiri wa kuendexha nchi hii mungu naomba ujibu maombi yang nkiwa hai amen!
Makonda mwamba nirikuwacjakuerewa lkn ss nimekuerewa asante sana
SHIKAMOO MAKONDA.
ILOVE❤ MAKONDO
ACHA WAKUPOPOE KUNA UNACHO WAZIDI.
MWAMBIE MUNGUU WEEE ASANDE.KUNIPA CHAZIYADA
Good focusing,from this guy,big up❤❤❤❤❤❤❤❤
Mama naendelea kusema nakupenda sana mama Mh Ras wangu , sina cha kusema Mungu akulinde akutie nguvu.kila iitwapo leo as, lazma nakuombea . Kaz iiendelee.
Makonda mungu akujalie kwa kutenda kazi yko mungu aliokubaliki nayo naimani kila aliedhulumiwa atapata haki yake mungu amsimamie makonda na umbaliki sana hii ni kazi ngumu ya kufichuwa madudu ya viongozi wanaodhulumu mali za watu bila kuwa na woga na wala off ya mungu makonda piga kazi mungu yupo nawe
Hongera Dana mkuu was mkoa,kweli unatetea wananchi wako
JPM ndani ya makonda
Mungu akubariki na akuepushe na hatari zote za roho na za mwili Kila ulimi utakao nyanyuka juu yako utaesabiwa kuwa mkosa hakika mungu amewasha mwanga mpya kwa wanyonge
Uwiiiii Arusha hakuna watendaji,,, nani wanawapa ajira hawa watu jaman
Makonda hoyoeeeeeeeeee
Hoyeeeeeeeee
Mhe makonda nakukubali Sana
Makonda oyeee 2030 awe rais wetu inshallah💯👍
Amina baba Makonda duu barikiwa Mkuu
Akili kubwa sana hii, Mungu endelea kumlinda mh. Makonda
Mungu akulinde San makonda na azidi kukupandisha Veo had Veo na mungu asikuache
Asante Mheshimiwa Makonda kwa maamusi ya haki Tansania nzima imejaa Rushwa katika Nchi za Maendeleo hakuna Rushwa sababu Rushwa ni Ugonchwa usiokuwa na Dawa Asante
Makonda mungu akulinde sana nchi inakuhitaji sana
Mungu akupe maisha marefu kamanda wetu 🤝
Umebalikiwa muheshimiwa
🌍🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕 ⭐🌟
✍️ Jamani kama hapa duniani haki ina thamani kiasi hiki kiukweli sijui huko twendako mbele ya MUNGU itakuwa na thamani kiasi gani...
✍️ Ila mimi kutoka kwetu Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Nimeipenda Kazi ya 🇹🇿 MAKONDA na Nimeipenda Kazi ya 🇹🇿 Mama SAMIA Na Mungu Awalinde popote walipo...
Aaa, wee Samia hafai bora Makonda
Mheshimiwa rais tulkuw tunaomba huyu makonda awe mkuu wa mkoa kwa mikoa yote...yaan mkoa huu anakaa miez 2 anaenda mkoa mwngne anakaa miez 2 had amalze mikoa yote wanyonge watapata fursa na haki zao
😀😀😀
Kweli
Mmh atapagawa na changamoto za mikoa mchanganyiko weeeh hapo Arusha balaaa lipo Kwanza kuna vichaaa kule
Amalizane na vichaaa WA kule chuga Kwanza maana kule moto
@@mamasalhatwatuachie bahati yetu, R chuga ni mji mgumu sana, akae miaka 15 hapo🖐
Makonda juu juu juu ningekua na uwezo kiti cha urais ni chako baba ❤
Mh makonda nakuomba uwe na microphone yako peke yako jinunulie yako peke yako usipewe na mtu wewe ndiwe raisi wetu atakaekuja🙏❤
Yan hapa ukiteleza maelezo kidogo umekwisha😂 hongera Makonda
❤❤❤❤❤❤ makonda
Mungu anayetumika ndani ya Makonda leo hii, ndiye yule aliyeikusudia Tanzania kuwa nchi ya haki.
MUNGU mlinde huyu baba Paulo Makonda mtetezi Wa wanyonge hakika ni mtu sahihi kwa Tanzania yetu si mkoa tu,Yani mimi hapa nacheka tuu❤❤❤❤
Tupate wapi Tena mtu kama huy u ambae Roho anakaa ndani yake. Damu ya Yesu ikulinde baba kigan.
makonda anafaa sana kua Rais,,nakutabiria kwa jina la mwenyezi mungu akusimamishe siku moja uwe Raisi wa muungano wa jamuhur ya Tanzania
Amen
Ewe mola wetu mlezi nakuomba kwa dhati kabisa umlinde mja wako Rais Samia na kijana wake Makonda na uwape maisha marefu na uwezo wa kutatua shida za raia wa nchi hii na uwezo wa kupambana na rushwa kwani ndio kikwazo kikubwa kinacho wanyima haki zao wananchi wanyonge wa nchi hii insha Allah ❤❤❤
Tunamwona magufuli ndani ya makonda God protect you u are excellency keep going,
Mungu amlinde makonda ni kiongozi shupavu
Makonda waziri mkuu mtarajiwa ili aweze kutumbua huu uozo wafanyakazi wezi serikalini👍
Awe waziri mkuu 😂😂😂 watanyooka nakwambia
Hakika hapatosheki
Wajanja:Ole Gunnar Solskjaer..fans ;all is forgiven..Hongera bro Makonda
Makonde hongera Sana baba kwa kazi unazofanya nikubwa Sana mungu akuzidishie umri na uwezo wakuwa saidia wanyonge ww ni baba wawanyonge
Mana kwanza ncheke mana watu wanabwabwaja mbaya mbovu. Nakukubali Makonda , wababaishaji hawana majibu. God bless u all the day Mr RC
Unanibariki sana..mzee wakulete kigoma huku uiinue hii mkoa aise
Tick Jesus damn that's powerful
Kama kaweza kushupaza shingo kwa makonda he kwa wananchi huyu tutamuweza au kuendelea kunyanyasika tu
Huyu Makonda Hatariii...
Mungu aendelee kukubariki Mtoto wa Mungu Makonda.
Huyu jamaaa ana akili nyingi mno...asante Mungu kwa kutuletea magufuri kupitia makonda"
Makonda oyeeeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 nakupenda sana ❤❤
No one like makonda big up brother
Makonda big-up
Makonda mkuu wa mkoa wa Arusha yetu nakuombea sana Mungu wetu akujaze nguvu na ujasiri kwenye kazi yako,
Nakufutilia nikiwa Zanzibar kazi inaonekana. Yajayo yanafurahisha
😂😂😂 Duuu MH.Makonda pole sana kwakazi kubwa uliyonayo uyo jamaa kimaelezo kajikomiti bila kujijua siku zamwizi 40 fala wewe
Swaga ndani hilo chizi hatari sana Mh Makonda tena anaisalilisha serikali yetu makini du!
Huyu jamaa leo sidhani kama amepata usingizi usiku huu😂😂😂😂
Yn awezi uona 😂😂😂😂😂
Alikuwa anajiamini akiamini anaweza kumdanganya kwa maneno mengi,hajui wengine Wana akili ya kushika unachokiongea
Pale maofisa wanapofanya kazi kwa misingi ya kujinufaisha binafsi wanachangia pakubwa kupoka haki za wananchi ambao kimsingi ndio waajiri wa maofisa hao.
Mungu akulinde makonda
Baba yangu
Makonda nakuombea
Mungu azidi kukupa uzima wanaoonewa wapone
Safi sana mh makonda watu wanazurumiwa haki zao na uwo mchezo unaanziaga ngazi ya kijiji. Wenyeviti ndio watu wanaoanza kushilikiana na viongozi wa juu adi kutaifisha rasilimali za watu kama ardhi. Natamani ungekuwepo Tanga wanamchi wa kata ya maweni kange wangepata haki yao. Maana wamezurumiwa mashamba yao yalioopo kiwanda cha wachina Rhino kilichopo kange. Walipambana wakaambiwa watalipwa na picha wakapgwa tangu mwaka juzi lakn adi leo awajalipwa na hata wakifuatilia wanazungushwa . Hakuna cha maana adi leo sijui watapaza sauti wapi.
Mungu akulinde makonda nakuombea.
Makonda akili kubwa, barikiwa sana kwa kupigania haki za wanyonge wa Taifa letu.
TANZANIAAA , WONDER SHALL NOT END.😮
Not only in Tanzania in all of Africa
Oyaaaaaaaaa 😂😂😂🙌
Imebidi nitranslate kwa kiswahili,,,!
Oyaaa 😅
Yes mh. Makonda wewe jembe hauna tofauti na rais wangu kipnz😢😢 jpm tunakuomba ata mkoa wetu wa kagera.
RESPECT MAKONDA RC WA ARUSHA.
Mhe. Makonda nakupongeza sana kwa kazi nzuri sana. Ningekuwa mimi huyo Mtu wa Ardhi ningemchukulia hatua kali sana. Jambo liko wazi kwamba watu wa Ardhi ni wababaishaji sana.
Mungu akubariki sanaa makonda
Walioupande wetu ni wengi kuliko upande wa maadui. Piga Kazi. Ndo mana mashehe na maaskofu walikuja kukuombea, Kazi hi ni ngumu sana kijanaangu
Yaaani hawa wa ngazi za chini ni wanajikutaga sana kusumbua wananchi Na kuwainea watu kama sio kuwatesa coz ya vivyeo vyao vya duniani
Makonda chapakazi uraisi unakusubiri kaka unaweza kuogoza Tanzania 🇹🇿
MHESH MAKONDA UNASTAHILI KUWA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI....AU ZAIDI YA HAPO...
Brother makonda kazi unayo hapo duuuh hawa ndo viongoz nchi nzima walivyo hivyo daaah🙌🙌🙌
Makonda yupo makini sana, kujadiliana nae lazima usiwe na kitete.
Vbaya sana
Pigakazi mkuu umebarikiwa sana
Kwa kweli huyu mtu angeulizia kwanza kwasababu Mh.Makonda ana uwezo mkubwa sana na technic za hali ya juu kuwabana hawa watendaji wasio na utu kabisa kazi yao kula tu! Kuna jambo kubwa Mungu atamtendea Makonda zaidi baadae
Mh makonda mungu akutangulie akutangulie akuepushe na kila shari za maadui mama aisha arusha
God bless you ❤
Mama Samia,nakuomba wasaidizi wako kama akina Makonda,waendelee kudumu katika serikali yako.Kwa mfano,ulimtoa Ally Hapi,wakati alikuwa anawajibika Iringa.
Anafanya kazi yule kaka bado tyu