MAKONDA AKASIRIKA - ''WEWE UNABISHANA na MIMI? MNACHUKUA MIEZI KUTEKELEZA MAAGIZO ya WAZIRI''...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 พ.ค. 2024
  • MAKONDA AKASIRIKA - ''WEWE UNABISHANA na MIMI? MNACHUKUA MIEZI KUTEKELEZA MAAGIZO ya WAZIRI''...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 616

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  หลายเดือนก่อน +24

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview13 หลายเดือนก่อน +24

    Kama na wewe umefurahishwa na Makonda hadi ukakosa cha kuandika basi like tu hapa aone tupo wangapi.

  • @linahmacha370
    @linahmacha370 หลายเดือนก่อน +65

    Asante Mungu kuturudishia Maguful kwa kutumia mwili wa Makonda 🙏🙏🤲

  • @zenamshana8140
    @zenamshana8140 หลายเดือนก่อน +37

    Jamani namuona magufuli Mungu asante namuona mpendwa wetu magufuli ndani ya makonda

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 หลายเดือนก่อน +27

    Makonda tunakuombea mno💋🇹🇿 Mungu akutunze kila mchawi wa moyo wako naafe kwajina la yesu kristo wa nazaleti

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t หลายเดือนก่อน +24

    Naishiwa maneno mwenzenu Mungu hyu anajua kufarij watu wske,,asante Mungu kutuletea magufur kwa njia nyingne😢😢😢Makonda Mungu aendelee kukutunza baba kwa ajil ya wananchi wanyonge,,nchi hii bila kupata kiongozi mfatiliaji nchi inageuka kuwa shamba la miwa😢😢🙏

  • @uwezashehemba5367
    @uwezashehemba5367 หลายเดือนก่อน +52

    Makonda nafuatilia ziara zako mungu akupe maisha marefu aameen

    • @user-py2qg6dx2f
      @user-py2qg6dx2f หลายเดือนก่อน

      Uso wa Bwana uende nawe Makonda.

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 หลายเดือนก่อน +82

    Makonda respect Sanaa moyo ulikufaa baada yakufa magu sasa unaanza kupumua kupitia ww ningekua nauwezo ningekupa nchi 🙏🙏🙏🙏💯💯💯

    • @asajileraphael1951
      @asajileraphael1951 หลายเดือนก่อน +2

      Anafaaaa

    • @ShortyShorty-mr3jb
      @ShortyShorty-mr3jb หลายเดือนก่อน +3

      Ni kweli kabisa ndg

    • @devidmadoa2865
      @devidmadoa2865 หลายเดือนก่อน +4

      Kwa sisi wapiga kura Yani watu wa Hali ya chini tunataka viongozi kama hawa naomba ile sheria ya mgombea binafs ikaziwe ili 2025 makonda agombee hata mgombea binafs kama atakosa nafasi kwenye chama kwa sabbu kila anapowekwa anafiti na moto ni ule ule

    • @jacklineminja2022
      @jacklineminja2022 หลายเดือนก่อน +3

      Anafaa sana Mungu asikilize maombi yetu Makonda anafaa sana

    • @chandeyusufu9570
      @chandeyusufu9570 หลายเดือนก่อน +2

      Sana makonda anaofu ya Allah baro mwaka 2030 apewe uraisi

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk หลายเดือนก่อน +36

    Makonda respect to you
    Nchi inakuhitaji sana kuliko kitu kingine nchi zetu za Africa zinataka viongozi wenye msimamo kama wewe na wenye kuthubutu mungu akulinde kiongozi..Viongozi wengi wababaishaji na rushwa tu wabane wote wezi tu

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s หลายเดือนก่อน +49

    Wakuu wa mikoa mingine Tanzania wakula bata,hawajui wajibu wao, viva makonda,

    • @baloz8974
      @baloz8974 หลายเดือนก่อน +3

      Uongozi ni kipaji

    • @user-ur7pw9ek6s
      @user-ur7pw9ek6s หลายเดือนก่อน

      🎉🎉🎉​@@baloz8974

    • @user-gu3px5me6u
      @user-gu3px5me6u หลายเดือนก่อน +1

      Waige mfano wa makonda

    • @rosetreffert4179
      @rosetreffert4179 หลายเดือนก่อน +1

      Jamani waige mfano wa Makonda, Mungu akulinde Sana Makonda ❤️

  • @marywembe8434
    @marywembe8434 หลายเดือนก่อน +53

    Naona Mh Makonda awe Mkuu wa mkoa wa kuhamahama. Yani kila mwaka ahamie mkoa mwingine. Maana kazi yake ni konkii konkilist.

    • @agathasungura5047
      @agathasungura5047 หลายเดือนก่อน +1

      POINT NA NUSUUUUU

    • @claudiajames2003
      @claudiajames2003 หลายเดือนก่อน +1

      Sahihi kabisa

    • @miriamdavis3893
      @miriamdavis3893 หลายเดือนก่อน +1

      Aende morogoro,Musoma na mwanza

    • @maymunahomar5016
      @maymunahomar5016 หลายเดือนก่อน +1

      Na atasaidia sana katika kutokomeza rushwa.

    • @kimeajuma3267
      @kimeajuma3267 หลายเดือนก่อน +2

      Nimeunga mkono hoja

  • @twisilemwabukusi4981
    @twisilemwabukusi4981 หลายเดือนก่อน +8

    Kwa kweli katika hili Mh Makonda umenyoosha mstari kama kiongozi na Mtenda haki. Hongera sana hakika.

  • @RaymondMuya
    @RaymondMuya หลายเดือนก่อน +21

    Mweshimiwa makonda mimi binafsi naupenda sana uongozi wako, japo tunajua unakutana na changamoto nyingi na wengine watakuchukia ila mungu atakupigania sana.

    • @nzumbiesther
      @nzumbiesther หลายเดือนก่อน

      Mungu aendelee kukupa kibari na akuzidishie maono Mr Makonda

  • @farusaimon3490
    @farusaimon3490 หลายเดือนก่อน +8

    To me, Mr Makonda was not demoted, instead, he was promoted from being Mwenezi Taifa to be the RC. Look at what the glorious job and services he is delivering to the people of Tanzania. Hata kama anakosea au atakosea mahali fulani, lakini tuzingatie lengo lake. Lengo lake ni lengo la Tanzania na Kiongozi Mkuu wa Nchi yetu. Again, VIVA Makonda and VIVA our lovely president!

  • @peresamiradvocate
    @peresamiradvocate หลายเดือนก่อน +22

    Makonda ana hekima ya Solomon, young with high wisdom

    • @user-zt6re1dr5f
      @user-zt6re1dr5f หลายเดือนก่อน

      Chap kazi mdogo wangu Mungu atakulipa,Kwan una karma zako

    • @user-zt6re1dr5f
      @user-zt6re1dr5f หลายเดือนก่อน

      ❤❤❤❤

    • @SadaKigwangala
      @SadaKigwangala 4 วันที่ผ่านมา

      ❤❤❤❤❤❤ RC makonda

  • @NabiiMkuupdYohana7974
    @NabiiMkuupdYohana7974 หลายเดือนก่อน +15

    Makonda Mungu akukumbuke alinde uzao wako katika jina la Yesu

  • @faithmsafiri6534
    @faithmsafiri6534 18 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu akulinde wewe una roho ya magufuli ndani yako

  • @user-ce9pr3zs6b
    @user-ce9pr3zs6b หลายเดือนก่อน +9

    MUNGU akupe ngazi ya mwisho ya maamuzi namanisha urasi.❤❤❤

  • @user-ks7zc6kd7u
    @user-ks7zc6kd7u หลายเดือนก่อน +39

    Bwana Yesu Kristo akutie nguvu mheshimiwa Makonda Arusha kuna wadhulumaji sio mkoa rahisi

    • @user-ex9sd8wm4l
      @user-ex9sd8wm4l หลายเดือนก่อน +3

      Hakika mungu amlinde makonda aaamiiinaaaa

  • @HusseinAmiri-pp8dy
    @HusseinAmiri-pp8dy หลายเดือนก่อน +18

    Salute Mh:Paul Makonda, najikuta nkipiga makofi ucku nikiskza Ziara zako

  • @kiembathegreattz5633
    @kiembathegreattz5633 หลายเดือนก่อน +32

    Mungu kamleta maguful kwenye mwili wa makonda mazeee

    • @xxxl-jf2ji
      @xxxl-jf2ji หลายเดือนก่อน +2

      Kbs

  • @gasperkunambi9538
    @gasperkunambi9538 หลายเดือนก่อน +8

    Mungu azidi kukupa Hekima Rafiki makonda Mungu akubariki sana

  • @dramanishabani93
    @dramanishabani93 หลายเดือนก่อน +17

    Nakupenda bure Mh makonda maana haujawahi kumkana Yesu, Ilove your tshirts and cap.🎉

  • @user-nr1vq4dp8v
    @user-nr1vq4dp8v หลายเดือนก่อน +15

    Respect my president, respect Makonda nawapenda sanaaaa

  • @MenelusCzar
    @MenelusCzar หลายเดือนก่อน +8

    UKIKUTANA NA BWANA MAKONDA JUA UMEKUTANA NA KIJANA MWELEVU MNOOOOOOOOOO, zingatia neno mwelevu📌

  • @SamsonTanzania
    @SamsonTanzania หลายเดือนก่อน +6

    Arusha tuna bahati kumpata kiongozi kama huyu 👏👏👏👏👏🙏🙏🙏

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj หลายเดือนก่อน +28

    Mzee Uwe Unaulizia Kwanza😂😂😂Makonda We love uuu❤❤😂

    • @seremalatznaaustralia1462
      @seremalatznaaustralia1462 หลายเดือนก่อน +1

      Ni kwere😂 kanikumbusha kitu ila skisemi 😂😂😂

    • @bahatirobert1009
      @bahatirobert1009 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂

    • @user-vv1te9fu8q
      @user-vv1te9fu8q หลายเดือนก่อน +2

      Kachimbiwa biti mwenyewe kaomba msamaha 😂😂😂😂😂

    • @isaackgabriel9536
      @isaackgabriel9536 หลายเดือนก่อน

      Mzee uwe unaulizia utakuja kunya kiazi cha moto

    • @RizikiRiziki-bp6dx
      @RizikiRiziki-bp6dx หลายเดือนก่อน

      ​@@isaackgabriel9536😂😂😂

  • @jokhamohammed976
    @jokhamohammed976 26 วันที่ผ่านมา +1

    Ahsante sana M/mungu Kwa kutupa magufuri wa pili hongera sanaaa makonda mungu akupe maisha marefu 🌹🎁

  • @francismlembwa2733
    @francismlembwa2733 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda is the best leader in Tanzania especially in solving problems of the people mimi nakuombea sana Mh ,mungu you nawe kwa kweli

  • @SamG-hs9xe
    @SamG-hs9xe หลายเดือนก่อน +7

    Makonda mi nakukubaki Mzee wangu endelea nakazi ya Mungu ,Mungu atakulipia

  • @unjuusalvatory5331
    @unjuusalvatory5331 หลายเดือนก่อน +14

    Watumishi wengi wa serikali hawafanyi kaz, hawaendi field ni watu wa ofisini tu as opposed na private sector. Huyo chalii unaweza Kuta vyet ni vzr ma GPA nn ila hawez hta jieleza na anaonekana hna experience na kaz yake,

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 หลายเดือนก่อน +3

    Kiukweli makonda naichukia ccm ila kupitia ww naanza kuipenda!! Broo mungu wang wa mbingun naomba ajibu maombi uwe rais wa nchi hii nadhan utaipua meng kama mzee magufuli!! Hakika una ujasiri wa kuendexha nchi hii mungu naomba ujibu maombi yang nkiwa hai amen!

  • @WilliamDaniel-hm4cr
    @WilliamDaniel-hm4cr 29 วันที่ผ่านมา +2

    Makonda mwamba nirikuwacjakuerewa lkn ss nimekuerewa asante sana

  • @ntangiregemfuruki5478
    @ntangiregemfuruki5478 หลายเดือนก่อน +9

    SHIKAMOO MAKONDA.
    ILOVE❤ MAKONDO
    ACHA WAKUPOPOE KUNA UNACHO WAZIDI.
    MWAMBIE MUNGUU WEEE ASANDE.KUNIPA CHAZIYADA

    • @user-zt6re1dr5f
      @user-zt6re1dr5f หลายเดือนก่อน

      Good focusing,from this guy,big up❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 หลายเดือนก่อน +2

    Mama naendelea kusema nakupenda sana mama Mh Ras wangu , sina cha kusema Mungu akulinde akutie nguvu.kila iitwapo leo as, lazma nakuombea . Kaz iiendelee.

  • @halimaoman8726
    @halimaoman8726 หลายเดือนก่อน +2

    Makonda mungu akujalie kwa kutenda kazi yko mungu aliokubaliki nayo naimani kila aliedhulumiwa atapata haki yake mungu amsimamie makonda na umbaliki sana hii ni kazi ngumu ya kufichuwa madudu ya viongozi wanaodhulumu mali za watu bila kuwa na woga na wala off ya mungu makonda piga kazi mungu yupo nawe

  • @EliothChaula
    @EliothChaula หลายเดือนก่อน +4

    Hongera Dana mkuu was mkoa,kweli unatetea wananchi wako

  • @yaredyndaga6483
    @yaredyndaga6483 หลายเดือนก่อน +5

    JPM ndani ya makonda

  • @elizabethmkude9452
    @elizabethmkude9452 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akubariki na akuepushe na hatari zote za roho na za mwili Kila ulimi utakao nyanyuka juu yako utaesabiwa kuwa mkosa hakika mungu amewasha mwanga mpya kwa wanyonge

  • @EmmanuelSige-tc1bn
    @EmmanuelSige-tc1bn หลายเดือนก่อน +6

    Uwiiiii Arusha hakuna watendaji,,, nani wanawapa ajira hawa watu jaman

  • @faudhiakihangu
    @faudhiakihangu หลายเดือนก่อน +17

    Makonda hoyoeeeeeeeeee

  • @user-tu9ps9kr2o
    @user-tu9ps9kr2o หลายเดือนก่อน +9

    Mhe makonda nakukubali Sana

  • @mohamedjarwan
    @mohamedjarwan หลายเดือนก่อน +12

    Makonda oyeee 2030 awe rais wetu inshallah💯👍

  • @barakalukumay
    @barakalukumay หลายเดือนก่อน +6

    Amina baba Makonda duu barikiwa Mkuu

  • @basilkibasa-ny3im
    @basilkibasa-ny3im หลายเดือนก่อน +3

    Akili kubwa sana hii, Mungu endelea kumlinda mh. Makonda

  • @DottoDola
    @DottoDola หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akulinde San makonda na azidi kukupandisha Veo had Veo na mungu asikuache

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 4 วันที่ผ่านมา

    Asante Mheshimiwa Makonda kwa maamusi ya haki Tansania nzima imejaa Rushwa katika Nchi za Maendeleo hakuna Rushwa sababu Rushwa ni Ugonchwa usiokuwa na Dawa Asante

  • @RaymondMuya
    @RaymondMuya หลายเดือนก่อน +4

    Makonda mungu akulinde sana nchi inakuhitaji sana

  • @EmmanuelSanga-oo4tr
    @EmmanuelSanga-oo4tr วันที่ผ่านมา

    Mungu akupe maisha marefu kamanda wetu 🤝

  • @mustafamandindi6434
    @mustafamandindi6434 หลายเดือนก่อน +5

    Umebalikiwa muheshimiwa

  • @imranhassan9994
    @imranhassan9994 หลายเดือนก่อน +5

    🌍🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕 ⭐🌟
    ✍️ Jamani kama hapa duniani haki ina thamani kiasi hiki kiukweli sijui huko twendako mbele ya MUNGU itakuwa na thamani kiasi gani...
    ✍️ Ila mimi kutoka kwetu Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Nimeipenda Kazi ya 🇹🇿 MAKONDA na Nimeipenda Kazi ya 🇹🇿 Mama SAMIA Na Mungu Awalinde popote walipo...

    • @MACHOYATAI-jk6fu
      @MACHOYATAI-jk6fu หลายเดือนก่อน +1

      Aaa, wee Samia hafai bora Makonda

  • @user-hf2up7uw2e
    @user-hf2up7uw2e หลายเดือนก่อน +8

    Mheshimiwa rais tulkuw tunaomba huyu makonda awe mkuu wa mkoa kwa mikoa yote...yaan mkoa huu anakaa miez 2 anaenda mkoa mwngne anakaa miez 2 had amalze mikoa yote wanyonge watapata fursa na haki zao

    • @BabuGga-td3mg
      @BabuGga-td3mg หลายเดือนก่อน

      😀😀😀

    • @user-jj1jp4be2k
      @user-jj1jp4be2k หลายเดือนก่อน

      Kweli

    • @mamasalhat
      @mamasalhat หลายเดือนก่อน

      Mmh atapagawa na changamoto za mikoa mchanganyiko weeeh hapo Arusha balaaa lipo Kwanza kuna vichaaa kule

    • @mamasalhat
      @mamasalhat หลายเดือนก่อน

      Amalizane na vichaaa WA kule chuga Kwanza maana kule moto

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 หลายเดือนก่อน

      ​@@mamasalhatwatuachie bahati yetu, R chuga ni mji mgumu sana, akae miaka 15 hapo🖐

  • @user-xh7xf2ki3r
    @user-xh7xf2ki3r 16 วันที่ผ่านมา

    Makonda juu juu juu ningekua na uwezo kiti cha urais ni chako baba ❤

  • @rosesilio9008
    @rosesilio9008 6 วันที่ผ่านมา

    Mh makonda nakuomba uwe na microphone yako peke yako jinunulie yako peke yako usipewe na mtu wewe ndiwe raisi wetu atakaekuja🙏❤

  • @user-vt5xx1tw1m
    @user-vt5xx1tw1m 23 วันที่ผ่านมา +1

    Yan hapa ukiteleza maelezo kidogo umekwisha😂 hongera Makonda

    • @SadaKigwangala
      @SadaKigwangala 4 วันที่ผ่านมา

      ❤❤❤❤❤❤ makonda

  • @amanimlengwa9202
    @amanimlengwa9202 19 วันที่ผ่านมา

    Mungu anayetumika ndani ya Makonda leo hii, ndiye yule aliyeikusudia Tanzania kuwa nchi ya haki.

  • @NdesaPesa
    @NdesaPesa 25 วันที่ผ่านมา

    MUNGU mlinde huyu baba Paulo Makonda mtetezi Wa wanyonge hakika ni mtu sahihi kwa Tanzania yetu si mkoa tu,Yani mimi hapa nacheka tuu❤❤❤❤

  • @user-wv6jv7ox9t
    @user-wv6jv7ox9t หลายเดือนก่อน +1

    Tupate wapi Tena mtu kama huy u ambae Roho anakaa ndani yake. Damu ya Yesu ikulinde baba kigan.

  • @dorislema2465
    @dorislema2465 หลายเดือนก่อน +1

    makonda anafaa sana kua Rais,,nakutabiria kwa jina la mwenyezi mungu akusimamishe siku moja uwe Raisi wa muungano wa jamuhur ya Tanzania

  • @user-wp8yk6ow8h
    @user-wp8yk6ow8h 8 วันที่ผ่านมา

    Ewe mola wetu mlezi nakuomba kwa dhati kabisa umlinde mja wako Rais Samia na kijana wake Makonda na uwape maisha marefu na uwezo wa kutatua shida za raia wa nchi hii na uwezo wa kupambana na rushwa kwani ndio kikwazo kikubwa kinacho wanyima haki zao wananchi wanyonge wa nchi hii insha Allah ❤❤❤

  • @theopant916
    @theopant916 หลายเดือนก่อน

    Tunamwona magufuli ndani ya makonda God protect you u are excellency keep going,

  • @alexandernyankaira2990
    @alexandernyankaira2990 19 วันที่ผ่านมา

    Mungu amlinde makonda ni kiongozi shupavu

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 หลายเดือนก่อน +5

    Makonda waziri mkuu mtarajiwa ili aweze kutumbua huu uozo wafanyakazi wezi serikalini👍

    • @kirugaratv284
      @kirugaratv284 หลายเดือนก่อน

      Awe waziri mkuu 😂😂😂 watanyooka nakwambia

    • @personpeter2221
      @personpeter2221 หลายเดือนก่อน

      Hakika hapatosheki

  • @mtz5582
    @mtz5582 หลายเดือนก่อน +2

    Wajanja:Ole Gunnar Solskjaer..fans ;all is forgiven..Hongera bro Makonda

  • @user-vk8vh9xp5z
    @user-vk8vh9xp5z หลายเดือนก่อน

    Makonde hongera Sana baba kwa kazi unazofanya nikubwa Sana mungu akuzidishie umri na uwezo wakuwa saidia wanyonge ww ni baba wawanyonge

  • @mathewlive1372
    @mathewlive1372 หลายเดือนก่อน

    Mana kwanza ncheke mana watu wanabwabwaja mbaya mbovu. Nakukubali Makonda , wababaishaji hawana majibu. God bless u all the day Mr RC

  • @ELGIUSKELAMIYE
    @ELGIUSKELAMIYE 10 วันที่ผ่านมา

    Unanibariki sana..mzee wakulete kigoma huku uiinue hii mkoa aise

  • @saloujohn3639
    @saloujohn3639 หลายเดือนก่อน +3

    Tick Jesus damn that's powerful

    • @paulolmabu7161
      @paulolmabu7161 หลายเดือนก่อน

      Kama kaweza kushupaza shingo kwa makonda he kwa wananchi huyu tutamuweza au kuendelea kunyanyasika tu

  • @ericklibaba1198
    @ericklibaba1198 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu Makonda Hatariii...

  • @user-iv5gw1us4q
    @user-iv5gw1us4q 23 วันที่ผ่านมา

    Mungu aendelee kukubariki Mtoto wa Mungu Makonda.

  • @SalumSeiph-rn6ho
    @SalumSeiph-rn6ho หลายเดือนก่อน +1

    Huyu jamaaa ana akili nyingi mno...asante Mungu kwa kutuletea magufuri kupitia makonda"

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 16 วันที่ผ่านมา

    Makonda oyeeeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 nakupenda sana ❤❤

  • @edwardmollel2972
    @edwardmollel2972 หลายเดือนก่อน +2

    No one like makonda big up brother

  • @user-nr1vq4dp8v
    @user-nr1vq4dp8v หลายเดือนก่อน +4

    Makonda big-up

  • @isayambaga6551
    @isayambaga6551 หลายเดือนก่อน

    Makonda mkuu wa mkoa wa Arusha yetu nakuombea sana Mungu wetu akujaze nguvu na ujasiri kwenye kazi yako,

  • @bakarikombo6279
    @bakarikombo6279 หลายเดือนก่อน +4

    Nakufutilia nikiwa Zanzibar kazi inaonekana. Yajayo yanafurahisha

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 หลายเดือนก่อน +4

    😂😂😂 Duuu MH.Makonda pole sana kwakazi kubwa uliyonayo uyo jamaa kimaelezo kajikomiti bila kujijua siku zamwizi 40 fala wewe

  • @justinelukumay5308
    @justinelukumay5308 หลายเดือนก่อน +2

    Swaga ndani hilo chizi hatari sana Mh Makonda tena anaisalilisha serikali yetu makini du!

  • @edrickniwamanya5665
    @edrickniwamanya5665 หลายเดือนก่อน +8

    Huyu jamaa leo sidhani kama amepata usingizi usiku huu😂😂😂😂

    • @user-hd5xz3gy2j
      @user-hd5xz3gy2j หลายเดือนก่อน

      Yn awezi uona 😂😂😂😂😂

    • @rehemakanyere4188
      @rehemakanyere4188 หลายเดือนก่อน +4

      Alikuwa anajiamini akiamini anaweza kumdanganya kwa maneno mengi,hajui wengine Wana akili ya kushika unachokiongea

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p หลายเดือนก่อน +5

    Pale maofisa wanapofanya kazi kwa misingi ya kujinufaisha binafsi wanachangia pakubwa kupoka haki za wananchi ambao kimsingi ndio waajiri wa maofisa hao.

  • @JAMESONMBIRO-mz7eb
    @JAMESONMBIRO-mz7eb หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akulinde makonda

  • @JoyceMwakalobo
    @JoyceMwakalobo 11 วันที่ผ่านมา

    Baba yangu
    Makonda nakuombea
    Mungu azidi kukupa uzima wanaoonewa wapone

  • @SaraMathew-xd2vp
    @SaraMathew-xd2vp หลายเดือนก่อน +2

    Safi sana mh makonda watu wanazurumiwa haki zao na uwo mchezo unaanziaga ngazi ya kijiji. Wenyeviti ndio watu wanaoanza kushilikiana na viongozi wa juu adi kutaifisha rasilimali za watu kama ardhi. Natamani ungekuwepo Tanga wanamchi wa kata ya maweni kange wangepata haki yao. Maana wamezurumiwa mashamba yao yalioopo kiwanda cha wachina Rhino kilichopo kange. Walipambana wakaambiwa watalipwa na picha wakapgwa tangu mwaka juzi lakn adi leo awajalipwa na hata wakifuatilia wanazungushwa . Hakuna cha maana adi leo sijui watapaza sauti wapi.

  • @julianavicent4845
    @julianavicent4845 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akulinde makonda nakuombea.

  • @mohdmood9726
    @mohdmood9726 หลายเดือนก่อน +12

    Makonda akili kubwa, barikiwa sana kwa kupigania haki za wanyonge wa Taifa letu.

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 หลายเดือนก่อน +6

    TANZANIAAA , WONDER SHALL NOT END.😮

    • @baloz8974
      @baloz8974 หลายเดือนก่อน +1

      Not only in Tanzania in all of Africa

    • @niffonlinetz7214
      @niffonlinetz7214 หลายเดือนก่อน

      Oyaaaaaaaaa 😂😂😂🙌

    • @Mwamba67
      @Mwamba67 หลายเดือนก่อน

      Imebidi nitranslate kwa kiswahili,,,!
      Oyaaa 😅

  • @NicksonMganyizi
    @NicksonMganyizi 9 วันที่ผ่านมา

    Yes mh. Makonda wewe jembe hauna tofauti na rais wangu kipnz😢😢 jpm tunakuomba ata mkoa wetu wa kagera.

  • @annastaciamihambo8075
    @annastaciamihambo8075 หลายเดือนก่อน +2

    RESPECT MAKONDA RC WA ARUSHA.

  • @user-me3xb7jy6l
    @user-me3xb7jy6l หลายเดือนก่อน

    Mhe. Makonda nakupongeza sana kwa kazi nzuri sana. Ningekuwa mimi huyo Mtu wa Ardhi ningemchukulia hatua kali sana. Jambo liko wazi kwamba watu wa Ardhi ni wababaishaji sana.

  • @BabuuErick
    @BabuuErick หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akubariki sanaa makonda

    • @williammakali1759
      @williammakali1759 หลายเดือนก่อน

      Walioupande wetu ni wengi kuliko upande wa maadui. Piga Kazi. Ndo mana mashehe na maaskofu walikuja kukuombea, Kazi hi ni ngumu sana kijanaangu

  • @Magdalene-er2ur
    @Magdalene-er2ur หลายเดือนก่อน +4

    Yaaani hawa wa ngazi za chini ni wanajikutaga sana kusumbua wananchi Na kuwainea watu kama sio kuwatesa coz ya vivyeo vyao vya duniani

  • @ChinaBoy-jh8bm
    @ChinaBoy-jh8bm หลายเดือนก่อน +1

    Makonda chapakazi uraisi unakusubiri kaka unaweza kuogoza Tanzania 🇹🇿

  • @bogate156
    @bogate156 5 วันที่ผ่านมา

    MHESH MAKONDA UNASTAHILI KUWA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI....AU ZAIDI YA HAPO...

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 หลายเดือนก่อน

    Brother makonda kazi unayo hapo duuuh hawa ndo viongoz nchi nzima walivyo hivyo daaah🙌🙌🙌

  • @rewardnjau7220
    @rewardnjau7220 หลายเดือนก่อน +3

    Makonda yupo makini sana, kujadiliana nae lazima usiwe na kitete.

  • @JamesKoreka
    @JamesKoreka หลายเดือนก่อน +7

    Pigakazi mkuu umebarikiwa sana

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 18 วันที่ผ่านมา

    Kwa kweli huyu mtu angeulizia kwanza kwasababu Mh.Makonda ana uwezo mkubwa sana na technic za hali ya juu kuwabana hawa watendaji wasio na utu kabisa kazi yao kula tu! Kuna jambo kubwa Mungu atamtendea Makonda zaidi baadae

  • @user-lt1tk8vc4d
    @user-lt1tk8vc4d หลายเดือนก่อน

    Mh makonda mungu akutangulie akutangulie akuepushe na kila shari za maadui mama aisha arusha

  • @anordgerison8639
    @anordgerison8639 หลายเดือนก่อน +1

    God bless you ❤

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 หลายเดือนก่อน +2

    Mama Samia,nakuomba wasaidizi wako kama akina Makonda,waendelee kudumu katika serikali yako.Kwa mfano,ulimtoa Ally Hapi,wakati alikuwa anawajibika Iringa.