"NI UONGO, NIFUTENI, WEWE NDO NAKUTAKA" MVUTANO MKALI, UFISADI WAFICHUKA MBELE YA MAKONDA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

ความคิดเห็น • 292

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana3353 6 หลายเดือนก่อน +14

    Hongera Mhe Rais kwakumteuwa huyu Mwenez Ccm inogile

  • @costantinejohn-xn6lw
    @costantinejohn-xn6lw 6 หลายเดือนก่อน +11

    Magufuli kwenye mwili wa Makonda..... Eeh mungu tunakushukuru!!!!

  • @jaylossiame3077
    @jaylossiame3077 6 หลายเดือนก่อน +10

    Huyu mwamba 🎉🎉❤❤
    Ungewai kuja hiki cheo walikuwa walikuwa wapi kukupatia. Mungu akupe uhai mrefu

    • @salumjumaruhaga2513
      @salumjumaruhaga2513 6 หลายเดือนก่อน

      Uhakika hao wengine akina pole pole walikuwa wapiga mapambio

  • @KogaDenha-yy8lt
    @KogaDenha-yy8lt 6 หลายเดือนก่อน +16

    Mweshimiwa makonda mwenyezi mungu Akulinde Akukinge na Kila baya Akutunze uendelee kusaidia watanzania tunakuomba sana

  • @emmanuelnzaligo6262
    @emmanuelnzaligo6262 6 หลายเดือนก่อน +15

    Safi kabisa Paul na mungu akutangulie.

    • @omaryjudasymwanga7172
      @omaryjudasymwanga7172 6 หลายเดือนก่อน

      Kama ndivyo askari wako walikua wanamkamata diwani kwa lipi

    • @omaryjudasymwanga7172
      @omaryjudasymwanga7172 6 หลายเดือนก่อน

      Au wanamuweka ndani au kumuita ili iweje

    • @MathewPhilip-cf4xw
      @MathewPhilip-cf4xw 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@omaryjudasymwanga7172❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @dennishyera5448
    @dennishyera5448 6 หลายเดือนก่อน +15

    Duu! Tanzania tunakazi kuna mijitu haina upendo, Mh Makonda big up,kazi nzuri ila uko pekeyako. God bles you.

    • @ramsonramadhan4156
      @ramsonramadhan4156 6 หลายเดือนก่อน

      Ww hayuko pekeake uyo ..kapewa kazi maalum na ana watu uyo..na Ujue watu walimbeza sana mwanzoni

  • @user-jn2qj5wf6c
    @user-jn2qj5wf6c 6 หลายเดือนก่อน +6

    Mh makonda nakupenda sana na siku nikikuona nitapambana nikushike mkono ata kwa kupigwa na walinzi wako💯💯

  • @kosherasengasu5093
    @kosherasengasu5093 6 หลายเดือนก่อน +8

    Hongera Sana mheshimiwa Makonda Kwa utendaji wako uliotukuka.

  • @spendjulius-qz9mt
    @spendjulius-qz9mt 7 หลายเดือนก่อน +6

    Good Mr. Makonda the next President 💪🏿

  • @EmmanuelMwakyendenge-fd2mz
    @EmmanuelMwakyendenge-fd2mz 7 หลายเดือนก่อน +5

    Makonda mungu akubaliki pia raisiwetu mama samia kwa kazi njema .ombi langu naiomba serikali na chama chetu ccm fikeni mbarali wananchi wana machozi juu ya arizi yao

  • @MichaelJames-tp6co
    @MichaelJames-tp6co 6 หลายเดือนก่อน +7

    Mh. Makonda hongera umakua matumaini tena kwa watanzania

  • @user-hx3mq5fg7v
    @user-hx3mq5fg7v 6 หลายเดือนก่อน +3

    Cheo ulichonacho Ndg Makonda nahisi n kidogo na hakina meno. Nakuombea kwa Mungu upande zaid ya hapo hili utusaidie Watanzania.

  • @user-uz9kn3kv8t
    @user-uz9kn3kv8t 6 หลายเดือนก่อน +4

    Mh pomakonda nakupenda sana umenikumbusha mbalisanaa

  • @kulwaemmanuel2875
    @kulwaemmanuel2875 6 หลายเดือนก่อน +13

    Yaani haki ya Mungu huyu diwani amenifanya nimetoa machozi kwa hayo maelezo yake especially hayo ya kwanza daaaaa!!! Nimegundua hii nchi wanyonge hawana sehemu ya kulalamikia, big up sana Makonda your a voice ya wanyonge, Mungu azidi kukuhifadhi kwaajiri ya hili taifa.

    • @beatrice4780
      @beatrice4780 6 หลายเดือนก่อน

      ❤AMEN. Mungu azidi kumuinua.

    • @user-xh5ds2mb5w
      @user-xh5ds2mb5w 6 หลายเดือนก่อน

      Lakini wananchi tuwamke jamani na tuacheni kuburutwa na C.C.M. kwani walikuwa wap miaka zote hizo mpaka leo miaka 60 wakitawala wananchi wake wakinyanyapaliwa? Lakini ikifika miaka kuelekea uchaguzi ndyo wanajitokeza kutuvumba macho kuwa wanatujali Sisi wanyonge ili wapate kula zetu ili waendelee kututawala. Na yote yakiwa yanafanyika wanaotawala ni wao wao tu C.C.M. Kwa hivyo niwaombe wananchi wenzetu tuwamke na tusiwe kama vile tumekorogwa na C.C.M.

    • @margaretkato5178
      @margaretkato5178 6 หลายเดือนก่อน

      Hata mimi machozi yamenitoka

  • @user-qz7dk1tt2e
    @user-qz7dk1tt2e 6 หลายเดือนก่อน +4

    mungu akulinde siku zako zote

  • @user-jf1sq7lk4g
    @user-jf1sq7lk4g 6 หลายเดือนก่อน +10

    Hongera sana mh. Makonda kazi yako ni nzuri sana Mungu akulinde usiku na mchana.

    • @dassustephen731
      @dassustephen731 6 หลายเดือนก่อน +1

      Huyu so Rais WA nchi Hana mamlaka yoyote.Hayo NI maigizo Tu Magufuli ndo aliweza hayo na alikuwa na mamlaka akiwa Rai's WA nchi

  • @MwanneHussen
    @MwanneHussen 6 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana Makonda wakomeshe watanyooka tu hao mungu akulinde❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @gracewayanga7509
    @gracewayanga7509 7 หลายเดือนก่อน +15

    Mh Makonda mungu akupe maisha marefu

  • @njuka3515
    @njuka3515 6 หลายเดือนก่อน +7

    The coming presdent paul makonda❤

  • @user-qq3fg3kq5j
    @user-qq3fg3kq5j 6 หลายเดือนก่อน +10

    Mh Rais tunashukuru Kwa kumteua Makonda ombi langu kama itakupendeza mteue na polepole washirikiane na huyu mwamba

  • @mistahkeytvkenya4211
    @mistahkeytvkenya4211 2 หลายเดือนก่อน +1

    Walipo mumaliza John walifikiria kuwa wameimaliza Tanzania,Hila mungu nae ni mkuu akamuamusha maguu mwingine mwenye jina tofauti kuwa makonda,,twakushukuru shuja makonda

    • @BoisDonkoil-rk8lr
      @BoisDonkoil-rk8lr หลายเดือนก่อน

      Eti heeeh 😂😂😂😂walipo muua Yesu walizani amekufa kumbe badala yake injili yaendelea, Makonda endeleza walicho kuanzisha Baba zetu wa taifa mwalimu Julias kambarage Nyerere pia Mwalimu Johnie pombe Magufuli hiyo ndio faida ya kuzaa viongozi hao wameonyesha uzalendo tunajifunza mengi.. Mungu pekee astahilie sifa zake njema na wakati wote akutangulie popote duniani

  • @LalasalamaBB
    @LalasalamaBB 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde makonda sio rahisi kazi unayoifanya maadui wko.kma ungekuwa kwetu Kenya ungekuwa zaidi ya ruto

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 6 หลายเดือนก่อน +2

    Diwaani pita hapa Safiiii..mh MAKONDA.❤❤❤❤

  • @deogratiusmgute5983
    @deogratiusmgute5983 7 หลายเดือนก่อน +5

    Excellent Dc

  • @ndayizigasamson665
    @ndayizigasamson665 6 หลายเดือนก่อน +1

    Aise mweshimiwa Makonda MUNGU akupemaisha marefu yakuwasaidia wananchi. Mwenyewe nimeipenda.

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 6 หลายเดือนก่อน +3

    😂😂😂😂😂Makonda Oyeeeeeeeee kuwaa.uyaonee😂😂😂😂😂😂😂 Manyaraa nziiiiiiiiiiiii😂😂😂😂😂😂

  • @mbematv7588
    @mbematv7588 6 หลายเดือนก่อน +2

    Good too! 🇹🇿

  • @JamesChrizestome
    @JamesChrizestome 7 หลายเดือนก่อน +7

    Ni kweli kabisa wafanyakazi wa ardhi ndiyo chanzo cha migogolo na hata Mkoa wa Kagera mpaangalie kwa jicho la pili

  • @user-rd8cg7su6v
    @user-rd8cg7su6v 6 หลายเดือนก่อน +8

    Kweli makonda anafanya nyayo za hayati magufuli

  • @user-cu3dg8xd7q
    @user-cu3dg8xd7q 6 หลายเดือนก่อน +2

    Makinda amebadilika sana utoto umemtoka amekua sasa anajua majukumu . Kudoss to his mentor hayati magufuli😢

  • @saimonntani6831
    @saimonntani6831 6 หลายเดือนก่อน +3

    Sasa mazungumzo yanini wakati mnasema mwekezaji alifutiwa kweli bongo nyoso😂😢😅

  • @kantategodwin6627
    @kantategodwin6627 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana Makonda ❤

  • @HamadSwaleh-f9i
    @HamadSwaleh-f9i หลายเดือนก่อน

    Next president bila kupingwa

  • @QwaridaNadamassay
    @QwaridaNadamassay 6 หลายเดือนก่อน

    Makondakm magufuli wetu jmniii Mungu mwema akubariki Sanaaaa Baba....maombi yetu hayatakuwa bureeeee aminaaa

  • @juliusntandu4302
    @juliusntandu4302 6 หลายเดือนก่อน

    Ee Mungu ninaamini unasikia Kila kitu leo ombi langu kwako ulinde mh Makonda na mh Rais wetu Mama yetu Mpendwa Dr. Samia Suluhu Hassan aliyemteua licha ya wengi kumchafua lkn mama aliiona talanta yake ya uongozi kwa Kijana huyu mchapa kazi. Mungu ibariki Tanzania Amen

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq 2 หลายเดือนก่อน

    M.mungu atakubariki makonda

  • @costantinejohn-xn6lw
    @costantinejohn-xn6lw 6 หลายเดือนก่อน +1

    Duuuuuh kwenye kazi Kuna kazi

  • @user-kd3ky8tb4v
    @user-kd3ky8tb4v 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hapa kwa makonda nakiona kiatu alichokua akikivaa magufuli taar kimepat mrithi . Mungu akulinde mh makonda

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 6 หลายเดือนก่อน

    Big up to makonda watu wabadirike wawache Ufisadi 🇹🇿💪🏿

  • @tanzaniamycountry9308
    @tanzaniamycountry9308 6 หลายเดือนก่อน +3

    Jiwe walilolikataa wash
    @Makonda Mwenyez Mungu akutie nguvu ndugu yangu

  • @touches4lifeonlinetv46
    @touches4lifeonlinetv46 6 หลายเดือนก่อน

    Mwenyezi mungu akubariki na akulinde saana 🎉❤paul makonda

  • @bonifacemushijoseph9382
    @bonifacemushijoseph9382 2 หลายเดือนก่อน

    Mhe. Ningetamani sana sana ujue dhuluma inayoendelea Tchibo estate mikataba yao tulitamani wananchi kujua, barabara mbaya tofauti na wawekezaji wengine

  • @user-vf6qm9ek7r
    @user-vf6qm9ek7r 6 หลายเดือนก่อน +6

    Siku ukigombea uraisi nitaa muka saa8 usiku ili niwahi kukupigia kula maana namuona magufuli ndani yako .mungu akubaliki sana siku moja uwe raisi ktka inchi hii haki itatendeka sana

    • @alvinsafi2733
      @alvinsafi2733 4 หลายเดือนก่อน

      Hahaha Labda tumuulize Tundu lissu kuhusu Makonda..😂😂 Kumbuka huyu jamaa alikuwa mkuu wa mkoa DSM unajua kuna mauchafu mangapi alifanya? Akataka kuwa mmbunge wa Kigamboni unajua kwa nini alikosa ubunge? Sasa huo uraisi ataupataje na nani atampa.. Ccm oyee..😂😂😂

    • @estherkibajiro3480
      @estherkibajiro3480 หลายเดือนก่อน

      Namimi pia❤

  • @atugonzalugemalila5142
    @atugonzalugemalila5142 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hii kazi ilipendeza aifanye waziri mkuu ila ccm mjitafakari muda ni mrefu miaka zaidi ya 60 hatukupashwa kuyasikia haya ya enzi za ukoloni

  • @user-th4fv9ro2v
    @user-th4fv9ro2v 21 วันที่ผ่านมา

    Namkubali sana diwani,

  • @hassanyohna6121
    @hassanyohna6121 6 หลายเดือนก่อน +4

    Makonda Ukuje na kwetu Kunamajizi hatareee

  • @cvaginga9956
    @cvaginga9956 6 หลายเดือนก่อน +1

    HONGERA SANA MHESHIMIWA MAKONDA. MTU KAZI. HUNA MBA MBA MBA. TUPO NYUMA YAKO. KAZI IENDELEE

  • @SuzanaPokella
    @SuzanaPokella 3 หลายเดือนก่อน

    Uko vizuri sana kiongozi

  • @BrunoMakweta-dm5sb
    @BrunoMakweta-dm5sb 6 หลายเดือนก่อน +4

    Diwan naomba apande cheo

    • @margaretkato5178
      @margaretkato5178 6 หลายเดือนก่อน

      Diwani anafaa sana, anaongea vyema..bigup....na kijana Makonda you are doing wonders.

  • @alphoncekagezi4950
    @alphoncekagezi4950 7 หลายเดือนก่อน +3

    Watalaam wengi ni biashara binafsi.Wanamezwa na,kwenye ukwasi
    Kuishi eneo moja kwa miaka mingi mtumishi mtalaam nalo nitatizo.

  • @Pastorsteverotali
    @Pastorsteverotali 7 หลายเดือนก่อน +4

    MAKONDA UNASTAHILI KABISA KUONGOZA HII NCHI NA WATU WAKANYOOSHWA KAMA ALIVYO WANYOOSHA MAGUFULI

  • @user-ho7er6en5x
    @user-ho7er6en5x 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akulinde makonda namimi nimezurumiwa ardhi namwanangu

    • @Aisha-lj8bu
      @Aisha-lj8bu 2 หลายเดือนก่อน

      Sasa mwana kakudhulum au kachukuwa cha mzee wake

  • @ev.manassehbayori8560
    @ev.manassehbayori8560 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa kwerli mzimu wa Magu umerudi katika nafsi ya Makonda

  • @Juniorbaraka21
    @Juniorbaraka21 6 หลายเดือนก่อน

    Diwani upo sawa sana nice one

  • @MichaelRobert-ot9zh
    @MichaelRobert-ot9zh 6 หลายเดือนก่อน

    Uko vizuri Sana mueshimiwa makonda

  • @mussakashinje8733
    @mussakashinje8733 26 วันที่ผ่านมา

    mikoa mingine hazifanyi kazi only mkonda baba fanyakazi

  • @DenisRamadhani-mg1gu
    @DenisRamadhani-mg1gu 4 หลายเดือนก่อน

    wakisema unakiherehere bora uwajibu nawatengenezea nchi nzuri watoto na kizazi endelevu waishi kwa haki na furaha na kuichukia tamaa"

  • @misembe
    @misembe 6 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana makonda

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hii nchi haki haipo yan kuna uozo sana wananchi wanalia

  • @henrykanyumi6882
    @henrykanyumi6882 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu aifariji family na watanzania wote

  • @annejacobilkiuyoni2971
    @annejacobilkiuyoni2971 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akulinde🙏

  • @alishamlan7434
    @alishamlan7434 6 หลายเดือนก่อน

    Makonda deserves to be the world president

  • @user-pz9by1ml2x
    @user-pz9by1ml2x 6 หลายเดือนก่อน +2

    Yani nchi hii watu kama Makonda yatakiwa muwe kama mia mbili ndo mtaiweza hii nchi

  • @user-yr1cb2ql1h
    @user-yr1cb2ql1h 6 หลายเดือนก่อน +1

    No ya mheshimiwa makonda inapatikana

  • @robertmbuji1903
    @robertmbuji1903 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kidum chama chetu hicho chuma sasa, Mungu akujalie

  • @chalespamagila4783
    @chalespamagila4783 6 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda ipo siku mungu utaongoza hii inchi

  • @stevenshija2848
    @stevenshija2848 6 หลายเดือนก่อน

    Huyu mkuu wa wilaya safi sana 🔥🔥🔥

  • @an-noormedia2881
    @an-noormedia2881 7 หลายเดือนก่อน +2

    Dc mzuri saana maashallah

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 7 หลายเดือนก่อน +4

    Wananchi wanateseka saana leo hii mtu kama Rostam anawekwa ni tajiri Africa kupitia uwekezaji wa ajabu

  • @user-yc1tm4hp4n
    @user-yc1tm4hp4n 4 หลายเดือนก่อน

    Mh. Mungu akulinde kwa kila baya. Na hao wanaokushutumu Mungu awalani. Mh.Makonda Tanga umepita lakini hukusikiliza kero. Tanga kumeoza ofisi ya ardhi ndio chanzo kikubwa cha migogoro. Lugha zisizo ridhisha. Mh. Kuhamisha sio suluhu yeyote ahusikae na tatizo awajibishwe ili iwe funzo kwa wengine. Kwani huwa wanafubwa macho na wanazibwa masikio na wenye hela na kushikiana na baadhi ya wenyeviti ambao husema umechelewa Magufuli amekufa. Hii sijui inamanisha nini.

  • @npiperito19
    @npiperito19 2 หลายเดือนก่อน

    Laiti kama Mozambique tungekuwa na viongozi wenye msimamo kama wa mweshimiwa makonda, tungekuwa na maendeleo, lakini tunaishia 🤣🤣🤣. Kutoka Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @ev.manassehbayori8560
    @ev.manassehbayori8560 5 หลายเดือนก่อน

    Makonda umenifurahisha kwa kweli naona utendaji kazi wa Magufuli

  • @AnoliasiKope
    @AnoliasiKope 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu nimwema

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 7 หลายเดือนก่อน +2

    Kazi ipo sana

  • @sharafisaidi7999
    @sharafisaidi7999 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kazi hii pia ingefanywa na wazili ofisi ya rais temisemi tukupe hongera

  • @user-sy3qw2zk1b
    @user-sy3qw2zk1b 6 หลายเดือนก่อน +1

    Msaidie mama kuondoa madudu haya makonda.!!!

  • @kingmartine0158
    @kingmartine0158 6 หลายเดือนก่อน

    Naamini na lazima itatokea na siyo muda,
    "President Makonda" ndiyo ataiweza hii nchi, Sisi wasukuma tunajua kuongoza na kutawala

  • @DenisRamadhani-mg1gu
    @DenisRamadhani-mg1gu 4 หลายเดือนก่อน

    nyoosha mzeee usiwe na huruma kwa wasiotenda haki " usiogope kulogwa wala kufa maana kufa kupo tuu" piga kazi kaka

  • @maigarasamwel8441
    @maigarasamwel8441 5 หลายเดือนก่อน

    Huyu ndo diwani sasa👏

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 7 หลายเดือนก่อน +9

    Mnawafunga wadogo je wezi wa mabilioni huko juu mbona hawafungwi?jela ipo kwaajili ya wadogo kwa vyeo na maskini.Tanzania mahakama zipo kwaajili ya wanyonge

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 7 หลายเดือนก่อน +3

    Haya ndio tunayataks,

  • @BrunoMakweta-dm5sb
    @BrunoMakweta-dm5sb 6 หลายเดือนก่อน +1

    Daa mngu akulinde muheshmia unakiatu kzto mtu mngne hawez kukivaa mngu skulinde mheshmiwa

  • @dorcusnkwao5714
    @dorcusnkwao5714 6 หลายเดือนก่อน

    Big up katibu mwenezi

  • @ElizabethFesto-fv2ku
    @ElizabethFesto-fv2ku 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hao ndiyo wanao haribu sifa ya serikali yetu

  • @ikajiissa6556
    @ikajiissa6556 5 หลายเดือนก่อน

    Makonda mungu akulinde wewenimwamba

  • @user-br7sf6ey9t
    @user-br7sf6ey9t 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akutunze mweshimiwa makonda mama wetu akukosea pia uwaminifuhuo uwedaima mpa upate kitichauraisi

  • @habarinamatukio6148
    @habarinamatukio6148 6 หลายเดือนก่อน

    Makonda awe RAISI WETU

  • @jumaigoti7541
    @jumaigoti7541 6 หลายเดือนก่อน

    Pole sana diwani wewe nimsema kweli

  • @iddiabdallah7352
    @iddiabdallah7352 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ona mzee anavyowanyoosha viongozi kwamba uongozi haupo vizuri kwenye maamuzi

  • @user-bv4mi2wo8o
    @user-bv4mi2wo8o 6 หลายเดือนก่อน

    Safi sana makonda wanyoshe sana

  • @akidabakary9198
    @akidabakary9198 7 หลายเดือนก่อน +1

    Semaa,usiogope semaa

  • @MalakiGerald-bh5jv
    @MalakiGerald-bh5jv 6 หลายเดือนก่อน

    Serikali ya CCM inatesa sana wananchi...haya yote yanatendeka chini ya serikali ya CCM.AIBU SANA

  • @user-kf6gy9tc9v
    @user-kf6gy9tc9v 6 หลายเดือนก่อน

    Siasa weee nakukubari mzee siasa

  • @fidahusseinkassim9778
    @fidahusseinkassim9778 7 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu si ndo yule fisadi

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 2 หลายเดือนก่อน

    Kihalali kabisa sioni haja kuwapora Wananchi Mali zao zozote hasa hata haya mashamba, thamani ni mwenye shamba auze shamba lake kwa anaemtaka, au kwa anaowataka.

  • @FelgusShija
    @FelgusShija 6 หลายเดือนก่อน +1

    Wanazingua

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 6 หลายเดือนก่อน

    Nakuombea Mungu akutie nguvu makonda

  • @hafsamnenga1942
    @hafsamnenga1942 6 หลายเดือนก่อน

    Makonda wewe ndio mtetezi wa wanyonge uliobaki saidia wananchi Mungu atakulipa,

  • @user-on2ob2jf1x
    @user-on2ob2jf1x 6 หลายเดือนก่อน +2

    Kimeumana

  • @KandidoLuvanga
    @KandidoLuvanga 3 หลายเดือนก่อน

    Upigaji upigaji upigaji