Simamia haki Paul Makonda pamoja na Mungu uliye mwamini.na fatilia maneno yako sanaaa na una kuwa ukini bakiri sanaaaa mahali na patikana.na omba Mungu akusimae katika yote mm ni mkongo ila naku kubali sanaaaa PAUL MAKONDA tenda kazi,tenda haki,na MUNGU ATAKU LINDA.❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mungu akubariki kiongozi shupavu hakika unafuata nyayo za magu kila jambo unamtangiliza mungu hata name nikiangalia hii video machozi yananidondoka tunakuombea uwndelee kusimama vzr
makonda wewe ni mzalendo kweri na sio mnafiki ni msema ukweri makonda wewe unaonekana na wewe umepitia katika maisha magumu na ndo maana unahuruma sana mungu akuongoze ni kweri kuna baadhi ya watu walio pewa mamlaka wanajisahau sana wakipewa hayo mamlaka mdogo wangu makonda pambana mungu atakulinda na sisi wananchi tunakuombea sana na kwa haya unayo yafanya akuna atakae fanya lolote baya kwako mungu atakulinda mda wote tupo pamoja na wewe tupo nyuma yako makonda
Niombe hutuba hii rais ahutubie hiivohivo siku moja, hii hutuba imeungana na hutuba bora kabisa toka uhuru mwalim baba taifa mwinyi mkapa kikwete kamanda magufuli na mama sasa, amina mkuu wa mkoa makonda barikiwa sana, haki ndio kila kitu pasipo haki upendo hakuna na bila upendo kazi bureee, Yesu tupiganie watanzania.
Naomba mkuu unitete ,.nimeishi kwenye eneo miaka 33 lakini bado Sina haki ya kumiliki nikiitaka kujenga nazuiwa Naomba naomba Naomba hati miliki kwa Jina la Yesu.
Sijuti kabisa kwa Bando hili kwa Hutuba hii fupi ya Makonda Mungu amlinde naamtunze maana Huyu Makonda Ni Tanzanait inayo paswa kutunzwa sana Maana ikipotea tutakua tumepoteza sana
Mungu angalia watu wanavyolia juu ya haki zao lkn hakuna mtetez wao je mwanao makonda Yuko kazin lkn kwasasa hatumuoni Mungu simama juu yake. Binafs tetesi zilizopo sijazipenda, naamini hakuna anawexa zaidi yako Mungu, Muponye Muponye Muponye eee Mungu Wa mhinguni
Tanzania sasa tulivu baada ya watanzania kuhakikisha makonda yupo maneno ya mitandaoni yalileta taharuki miongoni mwa watanzania mungu ibariki tanzania
🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 👉Jamani huku kwetu kenya mbona hakuna neema hizi... 🇹🇿 Maana Tanzania kuna MAKONDA WA HAKI... 🇰🇪 Kenya yetu nayo MAKONDA NI WA MAANDAMANO... 🇹🇿 MAKONDA WA TANZANIA Kavalia Hekima Kichwani... 🇰🇪 MAKONDA WA KENYA Kavalia Sufuria la mtori Kichwani... 😒😡😡 Afadhali nikawachunge tu mbuzi wangu wasile mahindi...
Amani na utulivu vitawale Ili Maisha Bora Kwa Kila Mtanzania na Amani ya kweli vipatikane,Keri zitatuliwe Mh,Dkt.Samia Suluhu Hassan,Mh,mkuu wa mkoa wa Arusha hoye!.
Pamoja na kazi nyingine,Wakuu wa mikoa wasikilize Keri za wananiletea Ili Haji zipatikane za migogoro mbali mbali.kwani wananchi wa Kila mkoa Wana Keri zao.
Amani na utulivu vitawale Ili Maisha Bora Kwa Kila Mtanzania na Amani ya kweli vipatikane,Keri zitatuliwe Mh,Dkt.Samia Suluhu Hassan,Mh,mkuu wa mkoa wa Arusha hotel!
Mapichapicha ya Masisiemu bwana!Mahakama hazina kazi tena?😂 👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
Makonda, sio kweli SSH hataki dhuluma. Kumbe kile kinachofanyika kwa wamaasai juu ya ardhi yao na mifugo yao, sio dhuluma? Ni haki, sio? Je utekaji na kupotea kwa watu, sio dhuluma? Je ni hajui? Mbona hakemei kama Rais?
One love from Kenya,,makonda oyeeee❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kaka yangu MAKONDA una kipaji cha uongozi, mungu akulinde sana ❤❤❤
Makonda you are really leader, you deserve the congratulations
Natamani kutuma voice lkn haiwezekani. Hongera sana Rais Samia kwa kutuletea Mh Makonda Mungu awalinde makonda oyeeee
Mungu umuone makonda huko aliko nyosha mkono wako, mpe afya NJEMA, damu yako kuu isimame juu yake KUANZIA kichwani Hadi kiguuni.Amen
Simamia haki Paul Makonda pamoja na Mungu uliye mwamini.na fatilia maneno yako sanaaa na una kuwa ukini bakiri sanaaaa mahali na patikana.na omba Mungu akusimae katika yote mm ni mkongo ila naku kubali sanaaaa PAUL MAKONDA tenda kazi,tenda haki,na MUNGU ATAKU LINDA.❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mimi naona tukupe nchi ,ili wananchi wote wapate haki zao salute❤
❤️ ALHAMDULILLAH❤️ mollah akupe afya njema kamanda makonda Inshallah
The best speech ever since independence in Tanzania
Dah mh. Sina mengi.
Mungu akulinde na akuongoze.
Leo wanaalusha wamepata NURU.
I can see now how you fit in magufuli's shoes now please follow his foot steps. God bless you
Mungu akubariki kiongozi shupavu hakika unafuata nyayo za magu kila jambo unamtangiliza mungu hata name nikiangalia hii video machozi yananidondoka tunakuombea uwndelee kusimama vzr
makonda wewe ni mzalendo kweri na sio mnafiki ni msema ukweri makonda wewe unaonekana na wewe umepitia katika maisha magumu na ndo maana unahuruma sana mungu akuongoze ni kweri kuna baadhi ya watu walio pewa mamlaka wanajisahau sana wakipewa hayo mamlaka mdogo wangu makonda pambana mungu atakulinda na sisi wananchi tunakuombea sana na kwa haya unayo yafanya akuna atakae fanya lolote baya kwako mungu atakulinda mda wote tupo pamoja na wewe tupo nyuma yako makonda
Hakika ni kazi zuri Mungu akuongoze daima makonda
Niombe hutuba hii rais ahutubie hiivohivo siku moja, hii hutuba imeungana na hutuba bora kabisa toka uhuru mwalim baba taifa mwinyi mkapa kikwete kamanda magufuli na mama sasa, amina mkuu wa mkoa makonda barikiwa sana, haki ndio kila kitu pasipo haki upendo hakuna na bila upendo kazi bureee, Yesu tupiganie watanzania.
Makonda mdogoangu umetisha chadema chaliie piga kazi shemejiangu
Makonda mkombozi wa wanyonge, Mungu akubariki sana.
Mungu akulinde pande zote mkuu ❤
Hivi makonda akigombea 2030 utampa kura yako? Nijibu kwa like
Ndiyo
ATA SASA AKIGOMBEA URAISI NAMPA
Nko tayar hata aitwe Leo rais nampenda sana mungu nipe mume wa kisukuma nawapenda kwakwer
Mhe rc makonda nakukubali sana
Mh makonda kuna siku atakuja kuwa waziri mkuu by Mr Kephacy tz namtabiria
Great son of GpM
Mungu aliyekurudisha kati yetu akulinde mchana na usiku makonda simamia haki za Wana arusha
Daah makonda nakupenda mpka basi
Nakutukuza Yesu❤
Mungu akuongoze makonda kwa kazi nzuri
Mungu akulinde mheshimiwa
Mungu akuinue zaidi na zaidi mheshimiwa
Vile Makonda ni mchungaji? Ubarikiwe kaka yetu
Barikiwa Ndgu makonda Mimi Siyo Mu Tz Rakini wa Africa wanao penda haki, tuko pamoja nawewe tutakuombea uzidi kusonga mbere bira vikwazo vyovyote.
Mimi nampa
Mungu akubari kaka angu
Kaz iedelee makonda
Hi,serikali inawatetezi wawili tu wawananchi ambao ni makonda silaa,kwisha
Sawa mkuu salute you ❤❤❤❤
Hongrra sana RC.Mskonda
Tupate wapitu Mtu km huyu mwenye Roho Wa Mungu????
Mungu akutunze zaidi kwa hili
Naomba mkuu unitete ,.nimeishi kwenye eneo miaka 33 lakini bado Sina haki ya kumiliki nikiitaka kujenga nazuiwa Naomba naomba Naomba hati miliki kwa Jina la Yesu.
Mwenyezi MUNGU akupe afya na uzima. Uwasaidie maskini wanaoteseka kwa haki. Lipo jambo kubwa linakuja mbele yako Makona.
Unaongea mpaka watu wanalia, ujumbe mzito
Mwenyezi mungu akulinde hakika wewe. Umetumwa na mungu kutetea wanyonge
Kwa kuwa inaonekana kabisa intention zako ni real.. basi Mungu akulinde na akupeleke mbali zaidi katika maisha yako ya uongozi…✍🏿
Sijuti kabisa kwa Bando hili kwa Hutuba hii fupi ya Makonda Mungu amlinde naamtunze maana Huyu Makonda Ni Tanzanait inayo paswa kutunzwa sana Maana ikipotea tutakua tumepoteza sana
Sawa mwaba nimekuelewa
Mama Samia tunakuomba umuongezee nguvu mheshimiwa makonda
Makonda ww ni chaguo la mungu
Utatufikiaje watanzania wote makonda dah Arusha mungu amewaona
Mungu angalia watu wanavyolia juu ya haki zao lkn hakuna mtetez wao je mwanao makonda Yuko kazin lkn kwasasa hatumuoni Mungu simama juu yake. Binafs tetesi zilizopo sijazipenda, naamini hakuna anawexa zaidi yako Mungu, Muponye Muponye Muponye eee Mungu Wa mhinguni
Manenoyako yamenitoa machozi kabisa. Hakika MUNGU aendelee kukulinda
Hivi we unataka awe rais apite hivi mapema kama kamanda magu?
mungu wetu niwewe bwana tunaomba umlinde makonda na familia yake
Ukimuona Binadamu wa haina yakiume analia ujue anapitia magumu ambayo teal yanafungua machozi Hongera mama Samia Hongera Makonda Inaumiza sana
Rushwa nchi hii ndo inasababisha watu kukosa haki
,wakuu wa mikoa wote wamuige makonda wanyonge wapate haki zao
Mheshimiwa Rais po makonda tunakupenda sana Baba Unahofu ya munqu.Munqu Akupe Maisha marefu.
Tanzania sasa tulivu baada ya watanzania kuhakikisha makonda yupo maneno ya mitandaoni yalileta taharuki miongoni mwa watanzania mungu ibariki tanzania
🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
👉Jamani huku kwetu kenya mbona hakuna neema hizi...
🇹🇿 Maana Tanzania kuna MAKONDA WA HAKI...
🇰🇪 Kenya yetu nayo MAKONDA NI WA MAANDAMANO...
🇹🇿 MAKONDA WA TANZANIA Kavalia Hekima Kichwani...
🇰🇪 MAKONDA WA KENYA Kavalia Sufuria la mtori Kichwani...
😒😡😡 Afadhali nikawachunge tu mbuzi wangu wasile mahindi...
Rais tunaomba umpe wizara makonda mkoa ni mdogo sana enywey
Amani na utulivu vitawale Ili Maisha Bora Kwa Kila Mtanzania na Amani ya kweli vipatikane,Keri zitatuliwe Mh,Dkt.Samia Suluhu Hassan,Mh,mkuu wa mkoa wa Arusha hoye!.
Ukitaka kumuona unampataje jmn uyu kiongozi Wapendwa?
Pamoja na kazi nyingine,Wakuu wa mikoa wasikilize Keri za wananiletea Ili Haji zipatikane za migogoro mbali mbali.kwani wananchi wa Kila mkoa Wana Keri zao.
Mweshimiwa mungu Yuko na wewe
❤❤❤❤❤ Amen
@jak 2030 Mimi nampa kura zangu
Nakukubal xan kaka paulo
Rais wa Alusha oyeeeeeeeeeee
Wa heri wale wanaopigania haki maana ufalme wa mungu ni wao
❤❤ great one
Natamani kuandika lkn naishia😢😢
Oyaah we umetisha sana bro
Hii ni wazi kuna dhulma nyingi watu hadi wanalia
Sawa kaka
mungu akulinde kwalolote
Amani na utulivu vitawale Ili Maisha Bora Kwa Kila Mtanzania na Amani ya kweli vipatikane,Keri zitatuliwe Mh,Dkt.Samia Suluhu Hassan,Mh,mkuu wa mkoa wa Arusha hotel!
Barikiwa sana Mkuu
Wananchi tunakuona una kitu na utatufaa
Ok jaman
Haki huinua taifa. Mungu akutangulie kaka.
Hii maombi ilikua sio mcheze sisi tuliokuwepo tuliona kimbunga chake
Huyu yupo mzima wa Afya bali yupo ktk maombi yakufunga nakuomba
kweri huyu makonda ndo raisi wa wakuu wa mikoa yote Tanzania
Huyu alindwe jamani. Mtetezi wa wanyonge…….salamu kutoka USA.
Makonda nakukubali
Hata akigombea 2025 kura zote ni zako
Kikweli makonda ni kiongozi na anaweza kikamilifu kabisa
Piga kazi shemejiangu ww ni tingatinga
Ni yeye kweli, hizi siyo clip za siku zilizopita?! Makonda umerudi kweli???
😭😭😭😭😭😭😭
🙏🙏🙏🙏
🙏🙏🙏🙏♥️♥️
makonda tunakuomba ugombee ulais tunakupa kula za kutosha fom tunakuchukulia sisiwenyewe wanainchi gombea ulais tunaimani na makondo
Ndyo
Pigania haki za wanyonge kaka yanguu
Mtu mwenyemakarama yake
hizo ni siasa tu hatakama kweli watu watasaidika swali ni je watendaji waliopo ni wala rushwa kutoka sisisem
Kwaio kama mambo ya siasa watu wasisaidiwe?
Dhulma haina chama
Hongera ndugu unaonekana hujapitia changamoto ndio maan unasema hivyo
Hongera ndugu unaonekana hujapitia changamoto ndio maan unasema hivyo
Jamani akili za watu wengine mmmh
Watumishi wa serikali ndio chimbukubwa la dhulma
Mapichapicha ya Masisiemu bwana!Mahakama hazina kazi tena?😂 👇🏿
#katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
Kama binadam wameshindwa kufuata amri za Mungu ndani ya vitabu vyake, itakua hio katiba ya wanadamu?
Sio hazina kazi haztendi haki kwa wakat acha majungu fanya kaz
Makonda, sio kweli SSH hataki dhuluma. Kumbe kile kinachofanyika kwa wamaasai juu ya ardhi yao na mifugo yao, sio dhuluma? Ni haki, sio?
Je utekaji na kupotea kwa watu, sio dhuluma?
Je ni hajui? Mbona hakemei kama Rais?
Mungu akuinue zaidi na kukubariki zaidi na zaidi mheshimiwa