Great piece of informative historical commentary about late Mr. Sijaona!. In 1982, I met Mr. Sijali in Mtwara. Mr. Sijali was a young man, smart, energetic, and charismatic. We are family! And our parents have sacrificed and saved our great nation. They deserve to be honored and recognized. We will miss them.
Mzee Said, nimefuatilia sana makala zako, nina deni kubwa sasa kufuatilia na kuvisoma vitabu ulivyoandika umebahatika kupata hazina kubwa toka kwa watangulizi wetu. Mwenyezi Mungu akutunze, kweli unajitahidi kukarabati daraja lilochakaa kati ya kikzazi hiki na cha wazee wa asisi wa nchi hii.
Ninahamu kujua kuhusu tafiti yako kama umebahatika,kuhusu nafasi za wazee wengine wa huko bara, na michango yao kwa uhuru wetu, bila kujali nasaba ya kidini. Mfano huko Arusha kuna hili jina la Sheik. Amri,pia nimepata sikia kuhusu Mzee toka Meru kuwa alifika mpaka UNO kabla ya Mwalimu,ni katika harakati hizohizo za uhuru. Kama unazo tafiti hizo tusimlie mzee wetu.
Inapendeza sana kujua habari hizi zenye kusisimua zenye mafunzo kwetu ya utu uadilifu na mapenzi ya kweli ktk kulihudumia taifa sasa isiwe tatizo haya kuelezewa na ikitokea alieyafanya ni muislamu tuonetu ni mwananchi muadilifu na wala sikutafuta sifa kwa muislamu bali tujifunze ukweli tunaouona
Nina hamu ya kuwaona watoto wa viongozi kama Makongoro Nyerere au Madaraka Nyerere , Mwajame Dosa Aziz , Juma Mwapachu nao waitembelee Maktaba ya historia ya Mwanahistoria galacha Mohamed Said iliopo Magomeni Mapipa jijini Dar es Salaam
Mtwara haikuwa makao makuu ya mkoa wa kusini kabla ya uhuru, bali ilikuwa ni Lindi, kwa mikoa ya Mtwara, Ruvuma, na Lindi kwa maana hiyo, mkuu wa mkoa alitoka Lindi
@@jumanesaidi7635 Kukomboa nchi kutoka kwa wakoloni halikuwa jambo la kualikana wewe wa dini fulani njoo, wewe wa dini hii usije. Harakati za ukombozi ni jambo la maamuzi ya mtu binafsi. Wakristo wangejitolea vipi na mabepari waliwapendelea?
@mohamedmwatuwano5526 Hao ndio tatizo Lao likiwekwa ukweli huwa wanasema analeta udini Sasa wao Watuletee History tafauti na hii kama wanayo hoja hujibiwa na hoja
Kevin tunarudi nyuma sana kama taifa maratu ukweli ukiwekwa wazi juu ya historia sahihi ya harakati za kutafuta uhuru inakuwa vigumu sana kutowataja waislamu na eti wakitajwatu ni UDINI hii ni dhana potofu sana tuwache ukweli uwe wazi
Mzee Mohammed Asante sana kwa kutufukunyulia na kutupa nyaraka adimu kwa taifa letu hatujui historia yetu watanzania
Great piece of informative historical commentary about late Mr. Sijaona!. In 1982, I met Mr. Sijali in Mtwara. Mr. Sijali was a young man, smart, energetic, and charismatic. We are family! And our parents have sacrificed and saved our great nation. They deserve to be honored and recognized. We will miss them.
Anaijua sana historia lakini ameegemea sana kwenye udini
Safi sana Mohamed kazi nzuri hii,endelea nayo.Huu ndio usomi sio wengine kazi kuiba mali za nchi huku tunazidi angamia.
Mzee Said, nimefuatilia sana makala zako, nina deni kubwa sasa kufuatilia na kuvisoma vitabu ulivyoandika umebahatika kupata hazina kubwa toka kwa watangulizi wetu. Mwenyezi Mungu akutunze,
kweli unajitahidi kukarabati daraja lilochakaa kati ya kikzazi hiki na cha wazee wa asisi wa nchi hii.
kazi zinafanywa na weledi wa ujnja ujanja tu na misheni sio historia
Heee
bas tupe historia wewe ambaye siyo mjanja mjanja
Nakupata vizuri mwandishi mahiri mzee Mohamed Saidi
Ninahamu kujua kuhusu tafiti yako kama umebahatika,kuhusu nafasi za wazee wengine wa huko bara, na michango yao kwa uhuru wetu, bila kujali nasaba ya kidini. Mfano huko Arusha kuna hili jina la Sheik. Amri,pia nimepata sikia kuhusu Mzee toka Meru kuwa alifika mpaka UNO kabla ya Mwalimu,ni katika harakati hizohizo za uhuru.
Kama unazo tafiti hizo tusimlie mzee wetu.
Inapendeza sana kujua habari hizi zenye kusisimua zenye mafunzo kwetu ya utu uadilifu na mapenzi ya kweli ktk kulihudumia taifa sasa isiwe tatizo haya kuelezewa na ikitokea alieyafanya ni muislamu tuonetu ni mwananchi muadilifu na wala sikutafuta sifa kwa muislamu bali tujifunze ukweli tunaouona
Nikiwa darasa la kwanza Kijiji cha mnyambe Niliwahi kumuona Mzee Lawi nangwanda sijaona akiwa ni Wazee maarufu na landrover yake 109
Dkt.Mohaned andika kitabu kingine nyaraka hizo unapatiwa wewe ndiye unatupa historia halisi
Nina hamu ya kuwaona watoto wa viongozi kama Makongoro Nyerere au Madaraka Nyerere , Mwajame Dosa Aziz , Juma Mwapachu nao waitembelee Maktaba ya historia ya Mwanahistoria galacha Mohamed Said iliopo Magomeni Mapipa jijini Dar es Salaam
Mtwara haikuwa makao makuu ya mkoa wa kusini kabla ya uhuru, bali ilikuwa ni Lindi, kwa mikoa ya Mtwara, Ruvuma, na Lindi kwa maana hiyo, mkuu wa mkoa alitoka Lindi
Jamani huyu mzee ni maktaba hai,watanganyika tuchote baraka kwenye kisima hiki.
Udini ndio tatizo kubwa wa Mohamed
Toa hoja yenye mashiko, kusema udini peke yake ni dalili ya udogo wa fikra. Bora uelimike.
Udini!
@@jumanesaidi7635 Kukomboa nchi kutoka kwa wakoloni halikuwa jambo la kualikana wewe wa dini fulani njoo, wewe wa dini hii usije. Harakati za ukombozi ni jambo la maamuzi ya mtu binafsi. Wakristo wangejitolea vipi na mabepari waliwapendelea?
@mohamedmwatuwano5526 Hao ndio tatizo Lao likiwekwa ukweli huwa wanasema analeta udini Sasa wao Watuletee History tafauti na hii kama wanayo hoja hujibiwa na hoja
Kevin tunarudi nyuma sana kama taifa maratu ukweli ukiwekwa wazi juu ya historia sahihi ya harakati za kutafuta uhuru inakuwa vigumu sana kutowataja waislamu na eti wakitajwatu ni UDINI hii ni dhana potofu sana tuwache ukweli uwe wazi