#TBC

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 22

  • @Allyhujjat
    @Allyhujjat 5 วันที่ผ่านมา +1

    Mashalah mungu azidi kukuweka swahiba wangu jk sio kosa lako ni mungu ndio alishakupangia njia zoote ulizopita your one of the most divine souls I've ever met

  • @husseinhamisimwindadi2211
    @husseinhamisimwindadi2211 7 วันที่ผ่านมา +1

    Mashaallah, Good interview!

  • @chiniyamuti
    @chiniyamuti 7 วันที่ผ่านมา

    Good interview 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾

  • @amNANGUJI24
    @amNANGUJI24 4 วันที่ผ่านมา

    Hatuwezi kutengeneza engines lakini tunaweza kutumia hizo used engines na welding tukatengeneza vifaa vya kilimo na sio kutumia jembe la mkono. Efficient Hand tools za Kilimo. Hizi ndio kazi za vyuo vikuu.

  • @stellamanda4466
    @stellamanda4466 4 วันที่ผ่านมา

    Ila Mheshimiwa mm nlikuwa 1st year. Nilidhani Gelase Kanena ndo alikuwa Vice wako?

  • @samsonmwakikuti5318
    @samsonmwakikuti5318 4 วันที่ผ่านมา

    Una madini sana mh.

  • @amrikiobya8295
    @amrikiobya8295 4 วันที่ผ่านมา

    Msimamizi wa kipindi hiki mahili sana

  • @amNANGUJI24
    @amNANGUJI24 4 วันที่ผ่านมา

    Haya maneno ya mzee yamepitiwa na wakati. Lazima vyuo vikuu vi change mindset. Innovation and not writing papers. Japanese have targets of innovation every year. So you can see these things like Navigators, animations, electronic inventions etc. we can’t be just end user consumers forever. We have to be innovators and manufacturers

  • @MartinGao-pq3ed
    @MartinGao-pq3ed 7 วันที่ผ่านมา

    Daaah ingeandaliwa historia yoote hii

  • @YussufuMwadangala
    @YussufuMwadangala 7 วันที่ผ่านมา

    🙏

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc 5 วันที่ผ่านมา +1

    Shule zote zilikua za Katoliki.

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo 4 วันที่ผ่านมา

    Anatutoa kwenye madaya kuuliwa serikali kuua watu wetu analeta mambo ya elimu.
    Kwani elimu bado ni ufunguo wa maisha ya mtu maskini?

    • @jacobsimkoko3096
      @jacobsimkoko3096 4 วันที่ผ่านมา

      Ndiyo mnayowazaga Hayo hayo

    • @DiwaniMwafongo
      @DiwaniMwafongo 4 วันที่ผ่านมา

      @@jacobsimkoko3096 , ,ni kweli we boya. Elimu ambayo umemaliza chuo kikuu after your graduation unadanga au kuendesha boda boda will you call it ni ufunguo wa maisha?

  • @amNANGUJI24
    @amNANGUJI24 4 วันที่ผ่านมา

    Hizi dissertations zisiwe za maneno tu wanafunzi wafanye dissertations za fabrication za vifaa vya usafiri ili magari ya ngombe na punda yaishe. Wheel barrows hizo. Ili Tanzania iwe young China.

  • @amNANGUJI24
    @amNANGUJI24 6 วันที่ผ่านมา

    They are not innovative especially ENGINEERING DEPARTMENT. Innovation of small machines for agriculture. Alot of theories no practical

  • @amNANGUJI24
    @amNANGUJI24 5 วันที่ผ่านมา

    Basi hata hivi ma Professor wote. th-cam.com/users/shorts02QA5oaZPD4?si=mW9vTqWmx7YAEiSV

  • @amNANGUJI24
    @amNANGUJI24 6 วันที่ผ่านมา

    Wajenge PILOT PLANTS ambazo zinafanya vitu halisi sio research za kuchapisha tu ili kupandisha ma-professors. Wafanye vitu. Watengeneze radio vifaa vya kilimo. Hata kisu hawawezi kutengeneza. Iwe mfano wa medical schools ni school na huku is wanafanya vitu halisi

    • @Burner_Acc
      @Burner_Acc 5 วันที่ผ่านมา

      kwanini wewe usifanye?

    • @amNANGUJI24
      @amNANGUJI24 5 วันที่ผ่านมา +1

      @@Burner_Acc usiwe mkali hamna mnalolifanya ni kuandika paper mpate u professor kiinua mgongo kizidi. Innovation

    • @amNANGUJI24
      @amNANGUJI24 5 วันที่ผ่านมา

      @@Burner_Acc th-cam.com/users/shorts02QA5oaZPD4?si=mW9vTqWmx7YAEiSV