Deusdedith Soka: Haijalishi Watatutesa Kiasi Gani ni Lazima Tuipiganie Nchi Yetu

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024
  • Mwanaharakati, Deusdedith Soka, siku kadhaa kabla ya kuripotiwa kuchukuliwa na watu wasiojulikana alifanya mahojiano na The Chanzo na kusema kuwa amekuwa akikumbana na vitisho mbalimbali vya kutaka kumdhuru ili kuirudisha nyuma nia yake ya kupambania demokrasia nchini lakini suala hilo halitamrudisha nyuma kamwe.
    Soka ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA) wilaya ya Temeke, aliyasema hayo Agosti 16, 2024, wakati alipozungumza nasi kwenye mahojiano maalum.
    Mazungumzo hayo pia yaligusia mpango wake wa kuandaa maandamano yaliyopangwa kufanyika Agosti 26, 2024, kwa ajili ya kuishinikiza Serikali ichukue hatua kukomesha matukio ya utekaji pamoja na kurejesha mchakato wa kuipatia Tanzania Katiba Mpya.
    Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com....
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

ความคิดเห็น • 170

  • @Maria-cx4kn
    @Maria-cx4kn 7 วันที่ผ่านมา +4

    FREE SOKA PLEASE. He is very patriotic and intelligent. He is smart and open minded

  • @josephinegravasiano8860
    @josephinegravasiano8860 2 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu akutetee wewe na wenzio mrudi jaman,

  • @atupegemwakahesya
    @atupegemwakahesya 16 วันที่ผ่านมา +10

    Wanaowafanyia wenzao mateso kama hayo, nao ni binadamu kama wengine. Lakini ipo siku yatawarudia.Tena yawezekana wao malipo yakawa makubwa zaidi.

  • @user-qz2cs5wm5u
    @user-qz2cs5wm5u 12 วันที่ผ่านมา +8

    Mungu atalipa

  • @BeathaChambo
    @BeathaChambo 14 วันที่ผ่านมา +11

    Mungu akulinde brother

  • @frankevaristo6918
    @frankevaristo6918 12 วันที่ผ่านมา +8

    Inaumiza sanaaa

  • @infodigtechforcommunityemp4103
    @infodigtechforcommunityemp4103 8 วันที่ผ่านมา +4

    Mungu yuko nawe bro pole sana Mungu atakusaidia

  • @mrossotv9054
    @mrossotv9054 10 วันที่ผ่านมา +4

    DUUUH Uliongea Maneno Bora Sana Kijana Mwenzangu Hongera sana

    • @mrossotv9054
      @mrossotv9054 10 วันที่ผ่านมา +1

      Urudi Unawajibu Wa Kulitendea taifa lako njoo Mungu akulinde uliki

  • @madukurumwanileles7909
    @madukurumwanileles7909 12 วันที่ผ่านมา +6

    Kijana Yuko vizuri Sana anatililika vizuri naomba wasukatishe ndoto zake,vijana kama hawa nu wachache ubarikiwe

  • @essaumapunda5766
    @essaumapunda5766 13 วันที่ผ่านมา +8

    Mungu atakulinda na mabaya yote

  • @user-ou8sp5bb7n
    @user-ou8sp5bb7n 2 วันที่ผ่านมา +2

    Inaumiza sana kuona mtu mwenye upeo wa kufikiri kama huyu kijana anatekwa na vyombo vya dola. Nchi hii tunaelekea wapi?

  • @user-jc9pv1kq2s
    @user-jc9pv1kq2s 11 วันที่ผ่านมา +5

    Eee Mungu muokoe huyu kijana na hao wadhalimu...angalia vile ana nia njema na taifa,eee bwana hujawahi shindwa na uovu YESU shusha moto kwenye mikono ya hao watekaji ,watie upofu...shusha hasira yako juu ya familia zao na wao waangamize...wadhihirishe na wadhalilishe bayana...DAMU YA HUYU KIJANA SIO MAJI YESU...YESU SIKIA MUNGU WETU OKOA...HANA HATIA ,ANA NIA NJEMA NA TAIFA LAKE

    • @hermankihwili1095
      @hermankihwili1095 10 วันที่ผ่านมา +2

      Amen damu ya Kristo Imtakase

    • @Maria-cx4kn
      @Maria-cx4kn 7 วันที่ผ่านมา +1

      Mungu wetu anatusikia. Kama kweli ameuawa basi Damu ya huyu soka haitapotea bure. Itaondoka na wengi. Taifa litatikisika kwa uovu.

  • @ErickMacha-sb2ot
    @ErickMacha-sb2ot 3 วันที่ผ่านมา +1

    Kijana nismart sana ningekuwa rais ningempa kitengo anyooshe serikali

  • @nicholauskilosa5336
    @nicholauskilosa5336 13 วันที่ผ่านมา +4

    Mwisho utakua mbaya sana, watawala wamejisahau sana lkn wajifunze kwa Al Bashir, Mobbutu, Sadamu Hussain,Omary Bongo na wengine wengi.Mwisho utafika tuu haijalishi itachukua muda gani

  • @meiruzibwe9145
    @meiruzibwe9145 15 วันที่ผ่านมา +9

    The Chanzo uko vzr;
    Soka yuko vzr zaidi.
    Kwa kifupi sana mahojiano yamenipa MATUMAINI MAPYA YA Tz tuitakayo.
    Kupigania uhuru awamu ya pili ni sasa,
    kupigania katiba mpya ni sasa.

    • @user-fz1ph3cn4s
      @user-fz1ph3cn4s 14 วันที่ผ่านมา +2

      We should waje up. This is not acceptable.

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 6 วันที่ผ่านมา +1

    Safi kijana una haki sawa ya kuongea maoni yako kama hao viongozi walio madarakani.. as long as huvunji sheria ya nchi

  • @julianamwamgogwa
    @julianamwamgogwa 13 วันที่ผ่านมา +3

    Kijana uko wapi uko wapi kwanini mungu hakukulinda tuna kuitaji we ni kati ya watu sahihi ambao nimuhimu katika inch hiii tunaumic uzalendo wako nadani yainchii

  • @wiza2309
    @wiza2309 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Kijana mdogo lkn ana upeo mkubwa. Yaani vijana kama hawa ndiyo wa kuwatunza lkn sisi ni nani aliyeturoga jamani

  • @Maria-cx4kn
    @Maria-cx4kn 7 วันที่ผ่านมา +3

    Is THIS BIG BRAIN really GONE? No it’s a big shame to everyone. People should stand up and speak for this guys.

    • @wiza2309
      @wiza2309 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Yaani kweli huko aliko wamhurumie pamoja nabhao wenzao.

  • @PeterMahona-zd3oz
    @PeterMahona-zd3oz 15 วันที่ผ่านมา +4

    Muogopeni mungu jamani watu wenyemaono watekwa wanauwawa jamani niwabie asiyejulikana c ni ccm ndiyo icyojulikana

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn 21 วันที่ผ่านมา +14

    Damu ya yesu ikuzingire uliko bwana deus

  • @AyubuMwambola-j3k
    @AyubuMwambola-j3k 6 วันที่ผ่านมา +1

    Jamani shetani Hawa, Kwa nini wanateka watu pasipo na makosa ,na walaaniwe watu hawa na nchi yake yote ilaaniwe

  • @MariamAnafi-bf9gy
    @MariamAnafi-bf9gy 11 วันที่ผ่านมา +3

    Mungu akulinde ulipo

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 6 วันที่ผ่านมา +1

    Nchi yetu imekuwa ni KARTEL system na hao MAKARTEL hawataki mabadililko ya aina yoyote ile yatakayo wazuia wao kuiba.. but ONLY TIME WILL TELL

  • @SylvesterMakenzie
    @SylvesterMakenzie 17 วันที่ผ่านมา +6

    Nchi hii msema kweli ni mateka wa watawala ila Mimi naamini Mungu hapendezwi na uovu wenye dora acheni kutenda maovu ogopeni hasira ya Mungu juu ya uovu na waovu

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xh 12 วันที่ผ่านมา +4

    Dah hakakadogo hadi huruma jamani kunawatu wanaroho mbaypesa, pesa,pesa

    • @Maria-cx4kn
      @Maria-cx4kn 7 วันที่ผ่านมา +1

      Pesa gani bila utu? Wapumbavu tu

  • @altonkanjolonga2380
    @altonkanjolonga2380 10 วันที่ผ่านมา +2

    so pain

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Chadema wanawatumia na kuwaponza vija n a wetu😢😢😮

    • @evansokemwa6587
      @evansokemwa6587 21 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      what u mean ati chandema ?

  • @amaniamani6391
    @amaniamani6391 12 วันที่ผ่านมา +4

    Free soka vinginevyo italigharinu jeshi la polisi

  • @AyubuMwambola-j3k
    @AyubuMwambola-j3k 6 วันที่ผ่านมา +1

    Na viongozi wa nchi na walaaniwe

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 21 วันที่ผ่านมา +12

    Hivi kwanini mtu akipigania haki anateswa anatekwa anapotezwa anauwawa huwa kosa kubwa ni nini

    • @salamabakari8384
      @salamabakari8384 12 วันที่ผ่านมา +2

      Niroho mbaya tu

    • @AmyeSanga
      @AmyeSanga 10 วันที่ผ่านมา

      Ardhi ya Tanzania haimtaki kabisa mweye haki​@@salamabakari8384

    • @AmyeSanga
      @AmyeSanga 10 วันที่ผ่านมา +2

      Kwa asili ardhi ya Tanzania haimtaki mtu mwenye Haki.

    • @Maria-cx4kn
      @Maria-cx4kn 7 วันที่ผ่านมา +2

      Roho ya ubinafsi na ushetani imetawala sana. Watu hawamwogopi hata mungu tena

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 21 วันที่ผ่านมา +6

    Kama wao ndio wanaohusika kwenye utekaji itawezekana vipi wazuie huo utekaji?
    Kitendawili hicho

    • @norahfrank
      @norahfrank 19 วันที่ผ่านมา +1

      Wapigwe na Mungu Mwenyewe. Na waaibike kwa jina la Yesu

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn 21 วันที่ผ่านมา +9

    Jamani mbona kijana huyu anaongea vizuri kizarendo naomba serikali msikirizeni huyu kijana maana anaongea ni mambo ya kujenga nchi

    • @JacksonFrances
      @JacksonFrances 19 วันที่ผ่านมา +1

      Tatizo Kashatekwa Tupaze Sauti Aachiwe Huru "

    • @MirajiMbolile
      @MirajiMbolile 13 วันที่ผ่านมา

      Tatizo hii nchi haiko salama hivyo inapaswa tutafakari kwa upana zaidi . ​@@JacksonFrances

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv 21 วันที่ผ่านมา +8

    Ila one day yes

  • @JoshuaYohanaLaizer
    @JoshuaYohanaLaizer 5 วันที่ผ่านมา +1

    Kube sabab niii akuna mtu anawesa piga ilo tutatoko kuadamana

  • @norahfrank
    @norahfrank 19 วันที่ผ่านมา +11

    Arudishwe Soka.vinginevyo kuna malipizi makubwa mbeleni

    • @mosesg.pendael8381
      @mosesg.pendael8381 16 วันที่ผ่านมา

      Kutoka kwa nani?

    • @SarapiaMfoi
      @SarapiaMfoi 15 วันที่ผ่านมา +2

      Mungu wa mbinguni,ndiyo.mtetezi wetu pekee

    • @kinkybanjukome217
      @kinkybanjukome217 13 วันที่ผ่านมา +3

      Wakimuua revenge ni lazima iwepo haiwezekani kijana ndogo kama huyu adhulimiwe maisha yake halafu rais Samia analala usingizi wakati Askari wake wanauwa raia wasio na hatia halafu yuko kimnya

    • @ShamteMohmed-ed2kk
      @ShamteMohmed-ed2kk 13 วันที่ผ่านมา +1

      Haya kavamieni polisi tuone panapovuja

    • @Maria-cx4kn
      @Maria-cx4kn 7 วันที่ผ่านมา

      @@mosesg.pendael8381 I hi binadamu

  • @rosekajuki1787
    @rosekajuki1787 16 วันที่ผ่านมา +6

    Tatizo amewagusa watu ambao ni mafya hawana uchungu na nchi hii wanajali mali zao na familia zao tuu si Tanzania chunguzeni mtagundua jambo hapo inatisha sana mungu asimame pamoja na wanaopigania nchi hii

    • @user-fz1ph3cn4s
      @user-fz1ph3cn4s 14 วันที่ผ่านมา

      Hivi tumelala kweli majumbani?????

  • @Maria-cx4kn
    @Maria-cx4kn 7 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu kijana ana kosa gani hapo? Jamani wazazi wengine acheni roho za kishetani wapendeni vijana wa wenzenu muwarlewe mawazo Yao muwalinde na siyo kuwauwa

  • @Damian-tt8fv
    @Damian-tt8fv 19 วันที่ผ่านมา +6

    Free Soka

  • @MusaMkembela-ex6ev
    @MusaMkembela-ex6ev 4 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu jamaa watakua washamzulu hawa sio watu

  • @SharifuBakari-tr7hd
    @SharifuBakari-tr7hd 23 นาทีที่ผ่านมา

    Dah jmn huyu mtu ni muhim sana ktk taifa letu maana nimegundua kitu kutoka kwake ni mwelevu mno!

  • @saulomathayo
    @saulomathayo 11 วันที่ผ่านมา +6

    Hakika waliomteka huyu Kijana walaaniwe pamoja na vizazi vyao. Mungu naomba tenda jambo!

  • @McT-m1m
    @McT-m1m 2 วันที่ผ่านมา +1

    Mrudisheni kijana wawatu

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d 20 วันที่ผ่านมา +8

    Anahekima sana

  • @SelfaaManyasi
    @SelfaaManyasi 14 วันที่ผ่านมา +3

    Hivi kwani tukifanya kama yaliyofanyika Kenya itakuwaje au mnaogopa na kama mnaogopa nisindindikizeni mimi tu maana tunakoelekea sisi watu tusio na cheo serikalini tutaacha familia nyingi zikiwa na majonzi na maumivu yasiyoisha jamani

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum2004 12 วันที่ผ่านมา +2

    Pole dogo tafuta maisha yako siasa hiyo itakughalimu alaf haoviongoz wako sio wakwelii utakuwa pekee yako maskinn

    • @saulomathayo
      @saulomathayo 11 วันที่ผ่านมา

      Alishapotea huyu! Hiyo ni last speech kabla ya tarehe 18 kupotea

    • @djunction4127
      @djunction4127 11 วันที่ผ่านมา +2

      Nyie ndo mmetufikisha hpa kutokana na roho zenu za kibinafsi zisizo waza hata kesho ya vitukuu vyenu.

    • @erestizacharia4758
      @erestizacharia4758 9 วันที่ผ่านมา +1

      Wewe acha kushauri kivuli Cha mtu au mrudisheni.

  • @sauda4505
    @sauda4505 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Yaan nataman niihame nchi hiyooo bora ningezaliwa pengine popote

  • @MusaMkembela-ex6ev
    @MusaMkembela-ex6ev 4 วันที่ผ่านมา +1

    Tunaongozwa na shetani

  • @Maria-cx4kn
    @Maria-cx4kn 7 วันที่ผ่านมา +1

    Nchi yetu imekuwa na watu wenye viburi ya pesa na roho mbaya sana. Sijui tunakimbilia wapi mungu akiamua kufanya yake. Taifa limebebwa na shetani hadi huruma

  • @bahatimellita6619
    @bahatimellita6619 16 วันที่ผ่านมา +3

    Hiiiii nchiii ngumu sana😢😢😢😢 mtuu anaataka kuikumbusha serikalii utekajiii wanamteka mteteziii hatuko salama kwa kwelii mungu tuteee

  • @user-eg6ec2mq3g
    @user-eg6ec2mq3g 8 วันที่ผ่านมา

    Yaani namuomba mungu Mimi na kizazi changu hasije kutokea mtu akagombea hata ujumbe wa wa nyumba kumi ktk taifa la Tanzania

  • @jaredayiera3279
    @jaredayiera3279 13 วันที่ผ่านมา +2

    Kijana wa ni sawa na Rais Ayati,John magufuli

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 6 วันที่ผ่านมา +1

    Katiba mpya ni lazima sio ombi

  • @user-mm6sm9rt9x
    @user-mm6sm9rt9x 13 วันที่ผ่านมา +4

    INAUMA SANA KWA HAYA YANAYOFANYIKA NA SERIKA
    HASRA TUNAZOZIPA NI KALI MNO. SIKU MOJA ITAKAPOFIKA...........

  • @AlfredMatemu
    @AlfredMatemu 16 วันที่ผ่านมา +3

    Huyu mwandishi yawezekana ni sehem ya mpango kazi

    • @mussakingazi8875
      @mussakingazi8875 11 วันที่ผ่านมา +1

      Kweli kabisa, viongozi wake wanafahamu, michezo Hiyo

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 13 วันที่ผ่านมา +2

    Hivi tanzania hatutakiwi kubadilika au tumetosheka tulipo panatosha mbona wauza ughaibu wanaishi salama wanalala mnono bila kubughudhiwa na vijana wanaojalibu kupigania haki hushambuliwa na wasiojulikana na wanapotea kwani kunani hapa ?

  • @wiza2309
    @wiza2309 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Huyu anayehoji sijui alikuwa anatqka jibu gani.. na wewe ni kijana hii ni Nchi yenu vijana simameni Imara

  • @philemon-mz2fv
    @philemon-mz2fv 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hawa ndio viongozi wa kesho

  • @WilleMbwilo
    @WilleMbwilo 11 วันที่ผ่านมา +1

    Free soka 😢

  • @user-sp2pp9yl8g
    @user-sp2pp9yl8g 13 วันที่ผ่านมา +2

    Hawa Wameanzisha Vikundi vya Uchochezi Chuki za Kidini Wameshindwa kufanya Kazi wandai Maisha ni Magumu Hawataki Kulima

    • @peterbajuta6859
      @peterbajuta6859 13 วันที่ผ่านมา +2

      Kichwa chako kibovu sana jitahidi upate kichwa kingine hiyo ubongo ni mgando

    • @MariamKhalid-ub9jj
      @MariamKhalid-ub9jj 13 วันที่ผ่านมา

      ​@@peterbajuta6859😂😂

    • @user-tn7ic2ky3i
      @user-tn7ic2ky3i 11 วันที่ผ่านมา +3

      subiri mtoto wako atekwe ndo utajuwa vizuri kweli afazali mtu awe mlemavu wa viungo kuliko kuwa mlemavu wa ubongo

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md 16 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@user-sp2pp9yl8ghizo ni falsafa za wafalme wabavu waliokosa hekima na ufahamu wa uongozi huuwa kila ndoto za wenye hekima humpiga gizani kila anaejalibu kuoyesha njia na kuwakosoa maana wanajua ufalme wao haukutokana na ridhaa ya wananchi huchagua kutawala kwa fimbo ya chuma na upanga kuliko maridhiano na hiyo ni dalili mbaya ya anguko la kila taifa maana mungu huwashusha wenye kibuli na wauwaji hawatadumu balazani pake na apandae kwa upanga atavuna kwa upanga

  • @user-rd7vh8lz6r
    @user-rd7vh8lz6r 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Akili nying san

  • @EmmanuelNdahya-ud5nj
    @EmmanuelNdahya-ud5nj 16 วันที่ผ่านมา +2

    Uyu jamaaa anaumiza sana anlmenipa kuamka kama namwelewa ivi

  • @kennycathles
    @kennycathles 11 วันที่ผ่านมา

    Acha unafiki unapompa Mtu mkono jifunze kumuangalia usoni. ,....unaangalia pembeni ni Mnafiki !@ Mwanahabari.

  • @AnociathaChuwa-cb5nk
    @AnociathaChuwa-cb5nk 17 วันที่ผ่านมา +1

    EE MUNGU UMTETEE HUYU KIJANA ANAYESIMAMA KWA AJILI YA HAKI YAKE NA TAIFA ZIMA
    EE MUNGU IWAADHIBU VIBAYA WANAOWATESA WANANCHI WANAOTETEA HAKI ZA NCHI YAO!!!

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 16 วันที่ผ่านมา +1

    Hatutaki maandamano

    • @JekobuNgwara
      @JekobuNgwara 16 วันที่ผ่านมา +1

      Acha ujinga kwaniumeambiwa ukandamane

    • @peterbajuta6859
      @peterbajuta6859 13 วันที่ผ่านมา +1

      Acha uchawa hata wewe sio mkulima upo upo 2

  • @malackedson7706
    @malackedson7706 22 วันที่ผ่านมา +1

    Police hafati sheria why?

  • @KhamisMahmud
    @KhamisMahmud 9 วันที่ผ่านมา

    unapigania nn ww wakati unatumika ww acha uchaw ww

  • @user-jc9pv1kq2s
    @user-jc9pv1kq2s 11 วันที่ผ่านมา

    Kweli hawaumiii ,wapo wanakula na kunywa na kustarehe ...

  • @jacksonjudicate9388
    @jacksonjudicate9388 16 วันที่ผ่านมา

    The chanzo tunaomba mtengengeze graphic ya BRING BACK SOKA tuisambaze koteeeeeee. La sivyo APA Kati italetwa story ya kutotoa Kwa reli

  • @mwitamwikwabe6611
    @mwitamwikwabe6611 3 วันที่ผ่านมา

    Hamtaki maandamano na nani?

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 22 วันที่ผ่านมา

    Mtangazaji umekosea kumalizia clip hii kusema tofali la kujenga limeongezeka. Kwasababu kiila leo watanzania wanaomba kwa vilio kwamba nyumba-Tanzania imepasuka pasuka kila siku nyumba inazidi kupata nyufa zinazowapa hofu ya kuanguliwa na kuta zake lakini hakuna wa kuwajibu!

  • @user-fy8rp3mo2q
    @user-fy8rp3mo2q 13 วันที่ผ่านมา +1

    Haki gani ambayo watanzania hawana na unaweza kuwasaidia vipi na ni mtanzania gani asiyeweza kutetea haki yake mpaka nyie mkaandamane

    • @mwakimwakimwakifwamba6829
      @mwakimwakimwakifwamba6829 13 วันที่ผ่านมา

      Koo unaona alikua anaongea pumba we nyau nini au ndio mtekaji maaandamani niii lazima mpuuzi wewe

  • @user-jc9pv1kq2s
    @user-jc9pv1kq2s 11 วันที่ผ่านมา

    Ukiangalia ameongea logic zote na hakuna kaulinza za uchochezi au kuvunja amani...na ana mawazo mapana ya kizalendo...sijui waliomteka wanalitumikia taifa au watu wa nchi gani

  • @Kassimngonyani
    @Kassimngonyani 13 วันที่ผ่านมา

    Kwa hili la kutekwa watu tupaze sauti kama maswala mengine vinginevyo watu watazidi kupotea

  • @clevermgedzi4708
    @clevermgedzi4708 16 วันที่ผ่านมา

    Watanzania msihofu sisi ni wengi kuliko majambazi!!! Muda umefika hata wafanyaje haki tumeipata tayari dalili ya kupata ndo hizo mnazo ziona!!

  • @user-sp2pp9yl8g
    @user-sp2pp9yl8g 13 วันที่ผ่านมา +1

    MNAMKUMBUKA ABDURU NONDO ALIVYOJITEKA MWENYEWE HUYO KAJIFICHA KISHA ASEME AMETEKWA

    • @mwakimwakimwakifwamba6829
      @mwakimwakimwakifwamba6829 13 วันที่ผ่านมา

      Saaaa unaongea nini nawe

    • @Maria-cx4kn
      @Maria-cx4kn 7 วันที่ผ่านมา +1

      Ili iweje?
      Huyo kujana Ana akili kubwa sana kuliko vijana wengi sana kama wewe. He is intelligent smart patriotic brave and truthful. He should be supported with other young men.

    • @Maria-cx4kn
      @Maria-cx4kn 7 วันที่ผ่านมา +1

      Hujielewi kabisa unaongea nini. Unaleta mambo ya mitaani huku kwenye jambo serious. Toka kabisa huku

  • @mohammedjuma6736
    @mohammedjuma6736 14 วันที่ผ่านมา

    Viongozi wetu vijana kama Hawa Wana moto sana ,yaani naona bora kushindana na mamlaka ,yaani unalazimisha Katiba mpya iletwe bila hii iliyopo kutuelimisha mapungufu yake,ukiwa huamini katika utaratibu

  • @KeiFerouz-fn9oc
    @KeiFerouz-fn9oc 4 วันที่ผ่านมา

    Unapigania kutoka wapi? Maana hii ilishapiganiwa tayari

  • @user-sp2pp9yl8g
    @user-sp2pp9yl8g 13 วันที่ผ่านมา +1

    MUMEMFICHA HUYO KIJANA

  • @user-jc9pv1kq2s
    @user-jc9pv1kq2s 11 วันที่ผ่านมา

    Unaakili kuliko hao viongozi wa nchi na polisi....maana unawaza mtu mwenye akili timamu unamkamataje mtu kama huyu...
    Mnataka adi uhai wetuuu...hilo ndo limeniumaaa

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances 19 วันที่ผ่านมา

    Taifa Letu Tunaelekea Pabaya Sana. Vijana Kama hawa Wenye Maono Makubwa na Wenye uchungu Mwingi na Nchi yao na kuipigania Haki Dhidi Ya Nchi Yao Wanaishia Kutekwa Ovyo na Kupotezwa kirahisi Kabisa .

  • @sixmundleonard2135
    @sixmundleonard2135 12 วันที่ผ่านมา +1

    Siasa ni mchezo mchafu kikubwa pambana na maisha yako mengine waachie wenyewe broo njia uliyonayo nivita badilisha njia focus kwenye maisha

    • @daviskimwerimfinanga1011
      @daviskimwerimfinanga1011 11 วันที่ผ่านมา +1

      Kwahiyo hapo hajafocus kwenye maisha? Hii nchi imekaa mijitu mipuuzi mpaka inamwagika!!

    • @erestizacharia4758
      @erestizacharia4758 10 วันที่ผ่านมา

      Wewe hata huelewi ushaisha ungali hai.

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 21 วันที่ผ่านมา +1

    Hii ya lini?

    • @erickselei3426
      @erickselei3426 13 วันที่ผ่านมา

      Ndo iliyofanya akapotea

  • @juliuszakayo6771
    @juliuszakayo6771 21 วันที่ผ่านมา +1

    Tunanyamazaje wakati soka hajulkani aliko ?? Watanzania tuamke jani binadamu sio g'ombe hata g'ombe haoteagi alafu wenye g'ombe waka yamaza haiwekani chadema tuamke

    • @Aminmwansile-we8vn
      @Aminmwansile-we8vn 21 วันที่ผ่านมา

      Sema watanzania siyo chadema akipotea wa chadema ni mtanzania akipotea wa CCM ni mtanzania pia wote ni watanzania.

  • @babunyonge6270
    @babunyonge6270 วันที่ผ่านมา

    Kijana wa hovyo kabisa hana adabu wala utii hajitambui na hao ndio Chadema , kama humsikii mungu wa dunia utamsikia nani wewe ( Baba ) , kama huoni mazuri ya Samia basi tena ama kweli shukrani ya punda ni mateke mbona kwa Magu hamkudai hio katiba kenge nyie fala kabisa

  • @LemaliMeyasi-r4c
    @LemaliMeyasi-r4c 12 วันที่ผ่านมา

    Jamani yuko wap huyu kiongozi

  • @user-fz1ph3cn4s
    @user-fz1ph3cn4s 14 วันที่ผ่านมา

    Hivi wa Tanzania , this is not acceotabke.

  • @mbwanaoch9886
    @mbwanaoch9886 13 วันที่ผ่านมา

    Gaddafi kafanya kila kitu Libya mwisho wake ulikuwa mbaya tu

  • @johnjulius3092
    @johnjulius3092 10 วันที่ผ่านมา +1

    Sasa kasema nini kibaya Hadi atekwe hapo hv wanadhani wao hapa dunia wamkuja kuishi milele

    • @Maria-cx4kn
      @Maria-cx4kn 7 วันที่ผ่านมา +1

      Ajabu

  • @JoelRichard-hj3bi
    @JoelRichard-hj3bi 12 วันที่ผ่านมา

    SOKA YUKO VIZURI SANA, MAELEZO NA FIKILA NI MAPAMBANO YA DHATI KATIKA NCHI YETU ,SASA KWA HAYA MAELEZO MIMI NAMUOMBA MUNGU ALIYE JUU MBINGUNI ALINDWE SANA HUYU NI KIONGOZI MKUBWA BAADAE.

  • @SylvesterMakenzie
    @SylvesterMakenzie 17 วันที่ผ่านมา

    Maskini kijana anapinga utekaji harafu mwisho wake na yeye anatekwa tena daa watawala mnajisikia raha kabisa kwa mtoto wa binadamu mwenzio kutekwa siyo hapana kumbukeni Kuna kifo pia kinawangoja na nyinyi acheni kushupaza shingo

    • @PauloAlfayo-qi1gn
      @PauloAlfayo-qi1gn 13 วันที่ผ่านมา

      Huyu mtAngazaji i kwa maswali yake???????????????dah sinui

  • @GeneviewKimario
    @GeneviewKimario 13 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu amlinde soka kokote aliko ,,damu ya yesu imtakase

  • @LuphotoPesa-f3d
    @LuphotoPesa-f3d 11 วันที่ผ่านมา

    vijana kama Hawa wasio rizika namazuri wanayoyafanya viongozi WAO Tena wamekalia kuwatukana viongozi mue mnawafunga katika magereza yakilimo ili wanyooke

  • @user-sp2pp9yl8g
    @user-sp2pp9yl8g 13 วันที่ผ่านมา

    Huyu Anadai Anapgania Inchi yake Andai nini Amenyimwa

  • @deusthomas1150
    @deusthomas1150 15 วันที่ผ่านมา

    Ni ajabu Sana kadri mda unavozidi kwenda ndo kisahalika kwa huyu kijana kunazidi kuwa ingatakiwa sasa hv kuwe kuna moto ambao hakuna wa kuzima hadi wahusika wa kuteka wawe wamemwaachia Tanzania matatizo makubwa sana

  • @PeterMahona-zd3oz
    @PeterMahona-zd3oz 15 วันที่ผ่านมา

    Kama hawa sijuu ndiyo mapolic niwajabu kupita kias wanakamata watu hovyo hovyo tu

  • @DottoPeter-h2w
    @DottoPeter-h2w 21 วันที่ผ่านมา

    Mnalitia najis taifa letu latanzania watoto wetu wataishi katika tanzania ipi maana sisi tuna pita jeh na bendera yetu ya tamzania mnataka kutia alama nyekundu?

  • @thobiasmarandu214
    @thobiasmarandu214 12 วันที่ผ่านมา

    Am Sorry Kwa Kupotea Huyu... Kijana na Waliomteka Wamrudishe... Lakini Pia Hii Cult ya Kudhani Maandamano ya Amani yanaweza Kuleta Mabadiliko, Sometimes Naona Ni Misguided... Mliona Maandamano ya Amani ya Chadema Yaliyofanyika... At the end of the Day Kila M2 anaenda Nyumbani... Hii kutaka Kutrend kwa Maandamano ya Less than 100 Na Hayalet Matokeo... Sioni Faida Yake.

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 18 วันที่ผ่านมา

    MAKAMU AENDELEEE NA MAPAMBANO,

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 19 วันที่ผ่านมา

    hakuna hata maandamano kuonyesha shindikizo