Bismillah mashaallah. Allah amuhifadhi, amlinde na ampe umri mrefu pamoja na mama yake,ajaaliye aendelee kutimiza ndoto zake ili na mama yake ale matunda ya kijana wake Amiin Allahuma Amiin. Mama umemlea kijana wako vizuri
Maashallah mtoto arudi kwenye dini, ingawa niisiangalie physical appearance lkn kwa maelezo ya Mama alimpambania kwa Mungu. Honger mama na kijana mwenzangu
Hongera sana mtoto kwa kutimiza ndoto yako, pia hongera pia wazazi . Baba na mama pia. Baba nae pia lazima hapate hongera yake kwakua nae alianza vizuri ila akatoka kwenye mstari.
Mungu ibarik familia ya huyu Mama Ila asirudi kabisaaaaaaaa labda akistaafu Canada anaweza staafu hata miaka 40 , ajitafute kwanza huku pagumu saaana labda Uwe kwenye familia za Siasa
Maasha Allah hongera sana mwanangu Allah akuhifadhi na hongera sana mama mwanamke mwenzangu umepambana na Allah akuimarishe zaidi na zaidi...Aamiyn 🤲 ❤
Mimi nimefurahi kuwa mtanzania wa kwanzaa kiona kijana huyo mwenyeimri wa miaka 22 ametimiza ndoto zake za kurusha ndege. VIJANA KAMA HAO NI LULU & NI ADIMU. RAIS WETU MSIKIVU KWA UNYENYEKEVU KABISA MSAIDIE KIJANA HUYU ILI AWEZE KUFIKIA MALENGO YAKE NA MWISHO WA SIKU AWEZE KURUDI TANZANIA AWE ICON YA TAIFA...❤❤❤❤
@annahngururi6595 Mwengine Mtanzania yupo hapa Canada chuo cha Montreal yeye cha urubani ni shemegi yangu but alikua anaishi Dubai na yeye kaja kusoma chuo juzi tu wazazi wake wameondoka kuja kumuona na yeye saivi anasomesha wanafunzi wenziwe na yeye ana umri mdogo tu kama huyu.
Hongera sana kijana mdogo kwa kutimiza ndoto na pia uko very eloquent kwenye kujibu maswali.... Hongera sana kwa wazazi, hasa mama kwa kuheshimu ndoto ya mwanao na kuipambania
Kwani huyo mtumishi Ezekiel ndio mungu ? Mama anajiombea mwenyewe na mwenyezi mungu anajibu. Wacha upumbavu wako na huyo Ezekiel wako , mnadanganywa na ma pastor .
Ndugu yangu hizo ndoto za kufungua chuo cha urubani kwa hapa TZ haiwezekani itakuwea ngumu tu kwa namna yeyote ile utabambikiwa mikodi wewe hadi ufe, yaani hapa kwenu ni pagumu. Nakushauri tu ndugu yangu hayo mambo fanyia hukohuko Canada, sisi huku tutumie tu hela ya mboga ya mama yetu huyo aweze kuishi kwisha habari. Hayo mengine fanyia huko isije huku tukakuroga buree mtoto wa watu. Mwenyezimungu akupe maisha marefu na utimize ndoto zako zote. Ila usimsahau aliekiwezesha hayo kwa maana ya mungu wako na pia usimsahau baba yako, pamoja na yote aliyokufanyia lkn still ni baba yako usiache kumfanyia wema ili upate radhi zake. Hayo ya mama yako waachie wenyewe wewe kama mtoto hayakuhusu, cheza nafasi yako kama mtoto kwa baba yako.
Masha Allah Masha Allah...Mungu akujaliye kijana upate mke mwema..mulee mama vzr ln shaa Allah...usije kupata mwanamke akakufitinisha na mzazi wako....
Manshaallah warahaula warakwata illah bilaah mungu akusimamie na akupe moyo wakukumbuka ulikotoka na umjali sana mom hongera strong women somo wa my mom
Alhamdulillah rabbil'aalamin.hongera kwako mamabkwa namna ulivyompigania mtoto hadi hapo Mungu alipomfikisha na hata huyo baba aliyekutelekeza(sababu zibaki kwenu)hongera sanaaa kwa kijana kuelewa changamoto lakini pia kutokata tamaa hadi ume archieve.umri wake akimtegemea Allah Swt kumpa umri na Siha bilashaka anamengi ya kuchangia katika tasnia ya anga. Mungu awabariki
Kule atakua analipwa kama $50 kwa saa (minimum), hivyo ana mshahara wa kama $400 kwa siku. Tafadhali mwacheni huko kwanza ajijenge na asaidie kulipa mikopo
Akisema aje afanye kazi Tanzania kajiroga na yeye ndio atakuwa mchawi wakwanza kwa mwanae Tanzania kunawachawi na mchawi wakwanz wa hili Taifa ni selikali yako ukithubu kumrudisha kwisha habari
Hakuna mwanamke anaweza kukurupuka akasema katelekezwa,tunamaumivu mengi sana miyoyoni wanawake,na kama wanaume hamjajua niwakati wakujirudi muombeni mungu msamaha maana nafasi aliyowapeni mmeitelekeza machozi yetu hayatawaachen salama
Bismillah ma sha allah mwenyezi mungu akuongozee uongozo wako na akuepusha na hasada. Big 🎉 kwa mama mzazi kwa jitihada na dua usichoke kumuombea kijana wetu kwani dua ya mama hairudi chini Allah anaipokea ❤
Duh! machozi ya furaha yamenitoka mama mwenzangu amenitia moyo sana nilitaka kukata tamaa kusomesha kwakua sina saport kupitia huyu mama fahad najikuta kupata nguvu mpya Asante milad kutuletea kipindi hiki
Si ndo mlivyoaminishwa afu mvaa suti ndio mtu wa maana, mnaishi na falsafa za miaka 100 iliyopita watu wanaangalia nini kipo ubongoni sio unaonekana vp
Hongera sana Mama kwa kupambana...kwanza, Pamoja na yote! Mchango wa Baba unaonekana kwa kukuchagua wewe na kukupa zawadi Watoto wenye vipaji usiache kushukuru Mungu. Pili, harisa ya kupambana zaidi huenda imetokana na kutokuwajibika kwake moja kwa moja pindi ulipohitaji msaada wake...hiyo pia ichukulie chanya(+) na itakuingezea kupambana zaidi. Tatu, jitahidi kuwashauri vijana wasiwaze wala kuweka mipaka ya mawasiliano kama ipo lakini na Baba yao kutokana na tofauti zetu. Kila jambo hutokea na lina sababu zake. Hongera sana kwa mara nyingine.
Nakwambia kweli mwanamke ukiamua kuwa mtu wa maana inawezekena sana tu. Na ukiamua kuwa wa ma connection ya kipuuzi pia inawezekana sana. Cha ajabu story yenye motivation kama hii haipewi kipaumbele sana. Ongera dada yetu
Hii interview imenisaidia hw to guide my kids academically na to review harakati za kiuchumi ili kutimiza ndoto za watoto....kuna vitu tunaaminishana huku uraiani ambavyo vinawatisha na kukatisha tamaa wazazi na wanafunzi ukiondoa issue ya uchumi
MashaAllah hongera pia mlikuwa na uwezo kimaisha pia mm wangu yupo daimond anasema ipo siku nitakuwa rubani mama namkatisha taamaa kutokana na maisha ya huyu mama naimani ipo siku na mm mungu atajibu maombi yangu mwanangu afikie lego lake haki imenitowa machozi 😢na nimejifunza kitu
MashaAllah,hongera sana mama Fahad kwa kusimamimia ndoto za mwanao,Kina mama wenzangu tuzidi kupambana hata kama tutatelekezwa kama mama Fahad tupambane na watoto wetu,InshaaAllah m'mungu atawajaalia watakuwa,watasoma na watasimama tu uku tukimuomba m'mungu,M'mungu yeye ndio Kun faya kun,Akisema kuwa linakuwa.Amiin.Hongera sana kijana wetu Allah azidi kukujaalia kila la kheir na akuongoze katika mambo yenye kheir,akukinge na hasad za watu na majini.Amiin.
My dear Habari naomba Kama umepata namba za huyo mama naomba tafadhali hata Mimi mwanangu anahizo jdoto hapo ni mdg Sana lkn kuhusi urubani humwambi kitu
Mungu Mwema Ubarikiwe tuendelee na maombi Zaidi Ili Mungu Akulinde Zaidi na familia yako shetani aendelee kushindwa Ktk Jina la Yesu Kristo Aliyehai. Naamini bado Makubwa Zaidi Mungu Mwema Atazidi kuibarikia familia yako Hongera Sana Mama kwa kusimamia Agizo la Mungu kwa familia Yako.
Hongera sana kijana kwa kupambania ndoto yako, na pongezi nyingi kwa Mama kutimiza ndoto ya kijana wako.
Asante.
HONGERA KWA KIJANA WETU PIA 👏🏽 👏🏽 👏🏽 😊
Hongera mwanangu mzuri ❤❤ mwanamke mwenzangu wewe ndio halisi ya MWANAMKE WA SHOKA 💪💪💪💪💪💪
Congratulations my brother, coz its not easy kufikia hatua ya kufundisha hasa nchi za wenzetu. Its so amazing and it will inspire many people. ❤
Hongera sana mama kwa kusimama na mtoto wako Allah amuhifadhi mtoto wako amkinge n husda amfanyie wepesi katika kazi zake ameen
Ameen
Mashaalah
Shukran 👏🏻
Bismillah mashaallah. Allah amuhifadhi, amlinde na ampe umri mrefu pamoja na mama yake,ajaaliye aendelee kutimiza ndoto zake ili na mama yake ale matunda ya kijana wake Amiin Allahuma Amiin. Mama umemlea kijana wako vizuri
@@moa4122 Amiin
Hongereni Milad Ayo kwa kufuatilia maswala ya maendeleo na ya kijamii. Hii ni interview nzuri kuelimisha na kuwatia moyo Wanawake kupambana
Washauri watoe msaada sio kuwahoji watu bila kujitolea chochote
Maashallah mtoto arudi kwenye dini, ingawa niisiangalie physical appearance lkn kwa maelezo ya Mama alimpambania kwa Mungu. Honger mama na kijana mwenzangu
Hongera sana mama Mungu hamtupi mja wake
Mungu Awabariki kina mama wote Duniani
Amina❤
Ameen
Ameeeen
Kabisa
Hongera sana dada kwa ujasiri komgole, ila mawazo yakumrudisha TZ acha hapa kwetu siasa nyingi kule atakusaidia kulipa madeni hayo. BIG UP MAMA.
Kweli kabisa🎉
Hongera sana mtoto kwa kutimiza ndoto yako, pia hongera pia wazazi . Baba na mama pia. Baba nae pia lazima hapate hongera yake kwakua nae alianza vizuri ila akatoka kwenye mstari.
Mungu ibarik familia ya huyu Mama Ila asirudi kabisaaaaaaaa labda akistaafu Canada anaweza staafu hata miaka 40 , ajitafute kwanza huku pagumu saaana labda Uwe kwenye familia za Siasa
AminA, sana sana saaana,,,
Umesema kweli Huyu asirudi,maana NCHI YETU HAIPENDI WASOMI NA. WATAALAMU.WATAALAM MAPROFESSA WAMEJIINGIZA KATIKA SIASA.
Amiin
@@hafidhnzota2142😂
sasa kwa asiruditruu It's
Mashallah may Allah blessing you ❤
Mungu azidi kukuinua umtunze mama na mdogo wako.. Una tia moyo sana ...Hongera sana kwa kipaji hicho
Mama ni mama hta iweje hongera sana❤❤
Maasha Allah hongera sana mwanangu Allah akuhifadhi na hongera sana mama mwanamke mwenzangu umepambana na Allah akuimarishe zaidi na zaidi...Aamiyn 🤲 ❤
Allahuma Amiin
Mimi nimefurahi kuwa mtanzania wa kwanzaa kiona kijana huyo mwenyeimri wa miaka 22 ametimiza ndoto zake za kurusha ndege.
VIJANA KAMA HAO NI LULU & NI ADIMU.
RAIS WETU MSIKIVU KWA UNYENYEKEVU KABISA MSAIDIE KIJANA HUYU ILI AWEZE KUFIKIA MALENGO YAKE NA MWISHO WA SIKU AWEZE KURUDI TANZANIA AWE ICON YA TAIFA...❤❤❤❤
Hatutaki arudi Tz afanye kazi huko huko
@@Kibaadvocateyote sawa
@annahngururi6595 Mwengine Mtanzania yupo hapa Canada chuo cha Montreal yeye cha urubani ni shemegi yangu but alikua anaishi Dubai na yeye kaja kusoma chuo juzi tu wazazi wake wameondoka kuja kumuona na yeye saivi anasomesha wanafunzi wenziwe na yeye ana umri mdogo tu kama huyu.
Hongera sana mama big up wa mama tunaweza kupambana tunajua hata mkitukimbia .
Hongera sana kijana mdogo kwa kutimiza ndoto na pia uko very eloquent kwenye kujibu maswali.... Hongera sana kwa wazazi, hasa mama kwa kuheshimu ndoto ya mwanao na kuipambania
MaAshallah hongera sana umemuheshimisha mzazi pmj na Taifa lako❤
Mtangazaji hongera unaijua kazi yako..mama shujaaa hongera..mungu akajibu haja za mioyo ya familia hiyo..na kwa ushauri maombi kwa mtumishi ezekiel..
Kwani huyo mtumishi Ezekiel ndio mungu ? Mama anajiombea mwenyewe na mwenyezi mungu anajibu. Wacha upumbavu wako na huyo Ezekiel wako , mnadanganywa na ma pastor .
Waooooo mama umenifanya ipate nguvu ya kuzidi kulea watoto wangu kwa nguvu tena
Sımama na watoto wako👏🏻
Hongera, kwa kumu elimisha mwanao hadi katimiza ndoto yake, na kutu inspire sisi kuwa hamna kinachoshindikana.
Ndugu yangu hizo ndoto za kufungua chuo cha urubani kwa hapa TZ haiwezekani itakuwea ngumu tu kwa namna yeyote ile utabambikiwa mikodi wewe hadi ufe, yaani hapa kwenu ni pagumu. Nakushauri tu ndugu yangu hayo mambo fanyia hukohuko Canada, sisi huku tutumie tu hela ya mboga ya mama yetu huyo aweze kuishi kwisha habari. Hayo mengine fanyia huko isije huku tukakuroga buree mtoto wa watu. Mwenyezimungu akupe maisha marefu na utimize ndoto zako zote. Ila usimsahau aliekiwezesha hayo kwa maana ya mungu wako na pia usimsahau baba yako, pamoja na yote aliyokufanyia lkn still ni baba yako usiache kumfanyia wema ili upate radhi zake. Hayo ya mama yako waachie wenyewe wewe kama mtoto hayakuhusu, cheza nafasi yako kama mtoto kwa baba yako.
Masha Allah Masha Allah...Mungu akujaliye kijana upate mke mwema..mulee mama vzr ln shaa Allah...usije kupata mwanamke akakufitinisha na mzazi wako....
@@RahmaIddi-s2s Ameen
Very insipirational msg.Big up mama and your son
Thank you
Uyu mtangazaji anajua kuhoji vzr sana
Hila pia anautambulisho mrefu sana anatakiwa amwache mtu ajitambulishe mwenyewe.
Sahihi
Sana ametulia
KWELI sana background nzuri Hadija Seifu amejieleza hana tambo
@@nyoe1394KWELI intro ndefu ya mama inaboa
Milardayo naipenda sanaaaa Media yako una wafanyakazi wazuri sanaaaa wanajua kuhoji Mungu aibariki sana Media yako
No kweli!
Ni kweli wapo vizuri
Hongera sana sana mama Fahad na Fahad, Mwenyezi Mungu amtunze kijana huyu
Kwani mungu asipo mtunza itakuwaje
SubhanaAllah kila mtu anahitaji kutunzwa Na Allah Atuepushe naShetani kwani wewe umeelewaje
Acha Roho ya kichawi Zwazwa wewe@@JamesJastin-bg1rx
Ameen
Manshaallah warahaula warakwata illah bilaah mungu akusimamie na akupe moyo wakukumbuka ulikotoka na umjali sana mom hongera strong women somo wa my mom
Hongera sana kwa skill ya urubani. Tuomba mawasiliano yako kwa ajili ya kuwafundisha vijana wetu wanaohiaji kurusha ndege. Asante
Alhamdulillah rabbil'aalamin.hongera kwako mamabkwa namna ulivyompigania mtoto hadi hapo Mungu alipomfikisha na hata huyo baba aliyekutelekeza(sababu zibaki kwenu)hongera sanaaa kwa kijana kuelewa changamoto lakini pia kutokata tamaa hadi ume archieve.umri wake akimtegemea Allah Swt kumpa umri na Siha bilashaka anamengi ya kuchangia katika tasnia ya anga.
Mungu awabariki
Amiin
Hongera sana mzee kwa kuwakilisha Tz
Shukran
Usifanye makosa ya kumwambia mtoto arudi Tanzania mwache mtoto afanye kazi Canada alipie madeni
💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯 aache AFANYE KAZI ULAYA akichoka alale tu Huko ULAYA ila SI bongo , huku talent nyingi zinapotezwa na kuuwawa ,amwache Huko huko
Kule atakua analipwa kama $50 kwa saa (minimum), hivyo ana mshahara wa kama $400 kwa siku. Tafadhali mwacheni huko kwanza ajijenge na asaidie kulipa mikopo
Uko sahihi saana Siasa zinaharibu kila kitu hadi vipaji
😂😂
Akisema aje afanye kazi Tanzania kajiroga na yeye ndio atakuwa mchawi wakwanza kwa mwanae Tanzania kunawachawi na mchawi wakwanz wa hili Taifa ni selikali yako ukithubu kumrudisha kwisha habari
Hongera sana ,Mama Fahad Kama sijakosea uliishi
Morogoro Ukiwa Tanzania pride meat
Yap
Hakuna mwanamke anaweza kukurupuka akasema katelekezwa,tunamaumivu mengi sana miyoyoni wanawake,na kama wanaume hamjajua niwakati wakujirudi muombeni mungu msamaha maana nafasi aliyowapeni mmeitelekeza machozi yetu hayatawaachen salama
Kweli kabisa haya. Mmungu si khiyana sio selfish. Nawaona waja wake wanyonge. Mmungu ana miujiza juu ya Ma Mama. Hongera Mama mwenzetu
Asante kunielewa 👏🏻
Bismillah ma sha allah mwenyezi mungu akuongozee uongozo wako na akuepusha na hasada. Big 🎉 kwa mama mzazi kwa jitihada na dua usichoke kumuombea kijana wetu kwani dua ya mama hairudi chini Allah anaipokea ❤
Congratulations bro, may you glow to the fullest amen.
Amiin
Ila mama zetu mnaweza sana kupigania maisha yetu
utaacha Watoto wahangaike
Piga huko Canada ulipe madeni ya mama ndiyo uje
Bismillahir Rahmanir Rahiim, Asalam Aleykum mama Afadi mwwnyezi mungu akulinde na akupe afya wewe na mwanao Afadi,ALLAH awalinde na husda Ameen
Amin yarb
Duh! machozi ya furaha yamenitoka mama mwenzangu amenitia moyo sana nilitaka kukata tamaa kusomesha kwakua sina saport kupitia huyu mama fahad najikuta kupata nguvu mpya Asante milad kutuletea kipindi hiki
Hongera sana mama kwa kupambana, MUNGU huwashika waliowake. Ila kwenye swala la changamoto ya ndoa, no comment!
Mashallah Allah akuongezeni
Kweli mama umepambana hongera sana na kweli Mungu amekusaidia sala dua na maombi vinasaidia mbele ya Mungu all is possible!
Hongera sana mama Mungu amuwezeshe kwa viwango vikubwa zaidi.
Hongera rasta huku rasta wote wamechezika
😂
Si ndo mlivyoaminishwa afu mvaa suti ndio mtu wa maana, mnaishi na falsafa za miaka 100 iliyopita watu wanaangalia nini kipo ubongoni sio unaonekana vp
Nimecheka sana dah bongo hii eti huku rasta wote machizi😂😂😂😂😂 fala sana ww
hahaha
🤣🤣🤣🤣we umetisha nimecheka
Hongera sana mama Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki na kumtunza kijana 🔥🔥🔥
Amiin
Hongera sanaa mama. Mungu aendelee kumpandisha kijana matawi ya juu zaidi.
Asante mamafrika kwa juhudi zako kwa mwanao 😊😊
Shukran sana
Masha Allah Da Hadija hongera sana kwa Fahad kutimiza ndoto zake
Huyu mtangazaji,very brilliant and calm
MTANGAZAJI UNA TATIZO UNA UNNECESSARY INTERFERENCES NYINGI SANA, TULIA MSIMULIAJI AWEZE KUFLOW
Dada hongera sana Kwa kupambana hakika Mungu hamtupi Mja wake mwanangu umweshimu sana mama
Hongereni sana mama na kijana Mungu aendelee kuwainua
tuna kariri sana HATUJA ZIJUA BASICS ZA EDUCATION tuna taka master ya kila kitu kila wakati.
Mashallaah mola akuongoze kwa kilahatua inshallaah❤
Mashallah Mashallah hongera sana ntoto na mama yake Allah aendelee kuwafanyia wepesi Inshaallah
Amiin
Homgera mama na mtoto wetu kumhrshimisha.mungu akulinde na kukutunza.
Hongera sana Mama kwa kupambana...kwanza, Pamoja na yote! Mchango wa Baba unaonekana kwa kukuchagua wewe na kukupa zawadi Watoto wenye vipaji usiache kushukuru Mungu. Pili, harisa ya kupambana zaidi huenda imetokana na kutokuwajibika kwake moja kwa moja pindi ulipohitaji msaada wake...hiyo pia ichukulie chanya(+) na itakuingezea kupambana zaidi. Tatu, jitahidi kuwashauri vijana wasiwaze wala kuweka mipaka ya mawasiliano kama ipo lakini na Baba yao kutokana na tofauti zetu. Kila jambo hutokea na lina sababu zake. Hongera sana kwa mara nyingine.
Nakwambia kweli mwanamke ukiamua kuwa mtu wa maana inawezekena sana tu.
Na ukiamua kuwa wa ma connection ya kipuuzi pia inawezekana sana.
Cha ajabu story yenye motivation kama hii haipewi kipaumbele sana.
Ongera dada yetu
Jitahidi na Wewe uwe hivyo hahahw
@@trophywilson7211
Tajitahidi nikishindwa hata dada yangu ao mwanangu niwashauri wawekeze katka nidham. Hata wewe pia waweza kuwa mfano mzuri
Kweli!
Big up mama
Hongera sana mama umepambana mungu ampiganie mwanao.
Amiin
Hii interview imenisaidia hw to guide my kids academically na to review harakati za kiuchumi ili kutimiza ndoto za watoto....kuna vitu tunaaminishana huku uraiani ambavyo vinawatisha na kukatisha tamaa wazazi na wanafunzi ukiondoa issue ya uchumi
Ongera kijana kwa kazi nzuri
Hongera sana Dada kumpambania mtoto, kwani wamama tunaweza katika Molla. Mungu azidi kumsimamia kijana kwa yote❤
Amiin
Daaaah kumbe inawezekana kabisa!!Ayo tv asanteni kwa kumleta huyu jombaa katupa mwanga wa kufanya visivo wezekana
Ma Sha Allah. Big up sana dear. Mwenyezimungu akufungulie neema kubwa zaidi. Keep fighting love. You made it. Wajina wangu.❤
Shukran dear
MUNGU Akulinde Mama Pamoja na Watoro Wako!!!❤❤❤🎉🎉🎉
Àmyn yàrab àmyn
MashaAllah hongera pia mlikuwa na uwezo kimaisha pia mm wangu yupo daimond anasema ipo siku nitakuwa rubani mama namkatisha taamaa kutokana na maisha ya huyu mama naimani ipo siku na mm mungu atajibu maombi yangu mwanangu afikie lego lake haki imenitowa machozi 😢na nimejifunza kitu
Mtangulize Mungu kwa kila hatua na umpe moyo mtoto kuwa siku moja ndoto yake itatimia Inn Sha Allah
Katobwe😂😂😂😂
Masha Allah Mungu amtunze ampe afya njm mama endelea kumuombea Mwanao na mwache Huko Canada hasad zimejaa Tele
Mama hongera sana. Your Super Woman. God bless you
Thank you ❤
Mashallah mashallah mashallah
Awe anazunguka Dunia kwa masaa na siku huku na huku Awe International pilot. Bigup vip Glory be to Almighty God
Hongera endelea na majukumu yako ukimtanguliza Mungu.
MashaAllah,hongera sana mama Fahad kwa kusimamimia ndoto za mwanao,Kina mama wenzangu tuzidi kupambana hata kama tutatelekezwa kama mama Fahad tupambane na watoto wetu,InshaaAllah m'mungu atawajaalia watakuwa,watasoma na watasimama tu uku tukimuomba m'mungu,M'mungu yeye ndio Kun faya kun,Akisema kuwa linakuwa.Amiin.Hongera sana kijana wetu Allah azidi kukujaalia kila la kheir na akuongoze katika mambo yenye kheir,akukinge na hasad za watu na majini.Amiin.
Amiin Amiin amiin
Mashaallah hongera mama kwa kupambana na mtoto atimize ndoto zake na kijana hongera sana
Shukran sana ndugu yangu
Vijana jitaidini kusomesha watoto wenu msikimbie family wale watoto wanabaraka zao Mungu awezi kukuacha iv iv
Hongera sana mwanangu umemsimamia vzr Mjukuu Allah azdi kuwaongoza
Amiin
Nimewafurahia sana mama na mtoto❤
Mashallah allah akuzidishie ❤
Hongera sana kijanà natamani sana mwanangu anandoto kama wewe namwomba mungu ndoto zake zitimie
My dear Habari naomba Kama umepata namba za huyo mama naomba tafadhali hata Mimi mwanangu anahizo jdoto hapo ni mdg Sana lkn kuhusi urubani humwambi kitu
Top ...story
Hongera sana mama umepambana kwa kweli. Hukukata tamaa pamoja na yote. Mungu aendelee kukusimamia na watoto wako❤❤❤
Hongera sana kijana. Mama Wewe ni shujaa. Na kilichonifurahisha zaidi ni kijana kuongea kiswahili anajitahidi sana
Mungu amuondolee jicho la husda mungu ambariki mtoto wetu wa kitanzania pia hongera mama huo ndio mama malikia wa nguvu siyo mchezo hongera sana
Shukran sana 🙏🏻
Mashallah. Very good interview Milad. Kijana kawa mfano mkubwa kwa ndugu zake. Mmungu akuondoshee hasada. Mama pia kama mama umesimama vyema.
Amiin
Hongera sana mtoto pongezi nyingi kwa mama hakika umepambania ndoto ya mtoto
Kweli. Shukran sana
Hongera mwanamke mwenzangu,na hongera kijana kwa kumfuta machozi mama,nyie kina baba mnaotelekeza watoto endeleeni tu mtakula jeuri yenu
Kabisaaa
Maa'shaallah hongera mwanamke mwenzangu ww ni mwanamke wa nguvu Mungu akupe umri mrefu uje ule matunda yako In'shaallah
Amiin👏🏻
Mungu akulinde na akuongezee miaka
hongera sana dada yangu mungu azidi kurinda
Hongera mama na mtoto❤
Shukran
Africa is always good but think twice in changin' atmosphere coz everything is differ, take care & God blessin'
Mungu Mwema Ubarikiwe tuendelee na maombi Zaidi Ili Mungu Akulinde Zaidi na familia yako shetani aendelee kushindwa Ktk Jina la Yesu Kristo Aliyehai. Naamini bado Makubwa Zaidi Mungu Mwema Atazidi kuibarikia familia yako Hongera Sana Mama kwa kusimamia Agizo la Mungu kwa familia Yako.
Hongera sana, baba ni baba, msamehe tu, hongera mama umesomesha
Shukran
Allah awalinde watoto wetu yarab uwezi want peke yako kazi Allah atatusimamia amiin
Hongera sana Bi Hadija pamoja na Kijana wetu. Mwenyenzi Mungu azidi kuwasimamia🙏
Amiin
Hongera sana kijana, unajitambua, hingera oia mom, kwa vision yako
Alla akuongoze zaidi
good boy conglaturation
Safi sana mungu awabarik