MTANZANIA ANAYEFUNDISHA MARUBANI CANADA, MAMA YAKE ASIMULIA ALIVYOTELEKEZWA “NIMETUMIA MIL.500”

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 937

  • @EmmanueliZani-ur9bi
    @EmmanueliZani-ur9bi 5 หลายเดือนก่อน +64

    Hongera sana kijana kwa kupambania ndoto yako, na pongezi nyingi kwa Mama kutimiza ndoto ya kijana wako.
    Asante.

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 5 หลายเดือนก่อน +1

      HONGERA KWA KIJANA WETU PIA 👏🏽 👏🏽 👏🏽 😊

  • @aishakimosa2492
    @aishakimosa2492 4 หลายเดือนก่อน +12

    Congratulations my brother, coz its not easy kufikia hatua ya kufundisha hasa nchi za wenzetu. Its so amazing and it will inspire many people. ❤

  • @YvoneMtakama-iv2nb
    @YvoneMtakama-iv2nb 4 หลายเดือนก่อน +9

    Nimelia😢...hakuna kama upendo wa mama....hii interview imenitia moyo kupigania ndoto ya mwanangu...❤

  • @BimHamdi
    @BimHamdi 5 หลายเดือนก่อน +72

    Hongera sana mama kwa kusimama na mtoto wako Allah amuhifadhi mtoto wako amkinge n husda amfanyie wepesi katika kazi zake ameen

    • @Sarah-e1o9k
      @Sarah-e1o9k 5 หลายเดือนก่อน +1

      Ameen

    • @RahmaAlly-b6r
      @RahmaAlly-b6r 5 หลายเดือนก่อน +1

      Mashaalah

    • @hadijaSeif-v6s
      @hadijaSeif-v6s 5 หลายเดือนก่อน

      Shukran 👏🏻

    • @moa4122
      @moa4122 4 หลายเดือนก่อน

      Bismillah mashaallah. Allah amuhifadhi, amlinde na ampe umri mrefu pamoja na mama yake,ajaaliye aendelee kutimiza ndoto zake ili na mama yake ale matunda ya kijana wake Amiin Allahuma Amiin. Mama umemlea kijana wako vizuri

    • @hadijaSeif-v6s
      @hadijaSeif-v6s 4 หลายเดือนก่อน

      @@moa4122 Amiin

  • @faridaahmad7538
    @faridaahmad7538 4 หลายเดือนก่อน +10

    Ndugu yangu hizo ndoto za kufungua chuo cha urubani kwa hapa TZ haiwezekani itakuwea ngumu tu kwa namna yeyote ile utabambikiwa mikodi wewe hadi ufe, yaani hapa kwenu ni pagumu. Nakushauri tu ndugu yangu hayo mambo fanyia hukohuko Canada, sisi huku tutumie tu hela ya mboga ya mama yetu huyo aweze kuishi kwisha habari. Hayo mengine fanyia huko isije huku tukakuroga buree mtoto wa watu. Mwenyezimungu akupe maisha marefu na utimize ndoto zako zote. Ila usimsahau aliekiwezesha hayo kwa maana ya mungu wako na pia usimsahau baba yako, pamoja na yote aliyokufanyia lkn still ni baba yako usiache kumfanyia wema ili upate radhi zake. Hayo ya mama yako waachie wenyewe wewe kama mtoto hayakuhusu, cheza nafasi yako kama mtoto kwa baba yako.

    • @melkizedeckbashingwa97
      @melkizedeckbashingwa97 3 หลายเดือนก่อน +1

      Mbona vyuo vya aviation Kwa PPL mbona vipo tuache kuwa na negative thinking

  • @vicentgodda3357
    @vicentgodda3357 5 หลายเดือนก่อน +17

    Hongereni Milad Ayo kwa kufuatilia maswala ya maendeleo na ya kijamii. Hii ni interview nzuri kuelimisha na kuwatia moyo Wanawake kupambana

    • @Omari-d2h
      @Omari-d2h 4 หลายเดือนก่อน

      Washauri watoe msaada sio kuwahoji watu bila kujitolea chochote

    • @jamilarajab4610
      @jamilarajab4610 3 หลายเดือนก่อน

      Kabisa tunapitiya mengi wanawake

  • @LuciaMwambingu
    @LuciaMwambingu 4 หลายเดือนก่อน +7

    Mungu azidi kukuinua umtunze mama na mdogo wako.. Una tia moyo sana ...Hongera sana kwa kipaji hicho

  • @muznamohammed1366
    @muznamohammed1366 4 หลายเดือนก่อน +6

    Maashallah mtoto arudi kwenye dini, ingawa niisiangalie physical appearance lkn kwa maelezo ya Mama alimpambania kwa Mungu. Honger mama na kijana mwenzangu

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 5 หลายเดือนก่อน +29

    Mungu ibarik familia ya huyu Mama Ila asirudi kabisaaaaaaaa labda akistaafu Canada anaweza staafu hata miaka 40 , ajitafute kwanza huku pagumu saaana labda Uwe kwenye familia za Siasa

    • @marymwasiga
      @marymwasiga 5 หลายเดือนก่อน +1

      AminA, sana sana saaana,,,

    • @hafidhnzota2142
      @hafidhnzota2142 5 หลายเดือนก่อน +1

      Umesema kweli Huyu asirudi,maana NCHI YETU HAIPENDI WASOMI NA. WATAALAMU.WATAALAM MAPROFESSA WAMEJIINGIZA KATIKA SIASA.

    • @hadijaSeif-v6s
      @hadijaSeif-v6s 5 หลายเดือนก่อน +1

      Amiin

    • @hadijaSeif-v6s
      @hadijaSeif-v6s 5 หลายเดือนก่อน +1

      @@hafidhnzota2142😂

    • @ronnylovemoo220
      @ronnylovemoo220 5 หลายเดือนก่อน +1

      sasa kwa asiruditruu It's

  • @RahmaIddi-s2s
    @RahmaIddi-s2s 5 หลายเดือนก่อน +10

    Masha Allah Masha Allah...Mungu akujaliye kijana upate mke mwema..mulee mama vzr ln shaa Allah...usije kupata mwanamke akakufitinisha na mzazi wako....

    • @hadijaSeif-v6s
      @hadijaSeif-v6s 5 หลายเดือนก่อน

      @@RahmaIddi-s2s Ameen

  • @mariansumari2179
    @mariansumari2179 4 หลายเดือนก่อน +6

    Hongera mwanangu mzuri ❤❤ mwanamke mwenzangu wewe ndio halisi ya MWANAMKE WA SHOKA 💪💪💪💪💪💪

  • @zaidiissa3714
    @zaidiissa3714 5 หลายเดือนก่อน +54

    Mungu Awabariki kina mama wote Duniani

  • @RoseKaiza-g2j
    @RoseKaiza-g2j 4 หลายเดือนก่อน +5

    Duh! machozi ya furaha yamenitoka mama mwenzangu amenitia moyo sana nilitaka kukata tamaa kusomesha kwakua sina saport kupitia huyu mama fahad najikuta kupata nguvu mpya Asante milad kutuletea kipindi hiki

  • @anthonymtaka9233
    @anthonymtaka9233 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana sana
    Hongera sana Mzazi,ni kwa hakika ni story inayobeba hamasa kubwa sana kwa wazazi vinana wa leo na vijana wanafunzi wanaotafuta mwanga bora katika maisha,beyond kuwa rubani story inaonyesha msingi mzuri wa malezi na kumsimamia mtoto,end product inakuwa nzuri na yenye kuhamasisha jamii.
    Hongera Sana na Mungu azifanikishe njozi na ndoto zako
    Ni fahari kwako na ni fahari kwa mzazi,na pia inatoa somo zuri kwenye mitaala yetu ya elimu na namna ya kufanikisha ndoto za Mtoto

    • @hadijaSeif-v6s
      @hadijaSeif-v6s 2 หลายเดือนก่อน

      Shukran 👏🏻

  • @MonadiNadi-j6s
    @MonadiNadi-j6s 5 หลายเดือนก่อน +17

    Mama ni mama hta iweje hongera sana❤❤

  • @silasmarandu1485
    @silasmarandu1485 4 หลายเดือนก่อน +1

    Maelezo ya huyu mwamba ni logic tupu, hata swali la muulizaji likiwa ni lakawaida yeye analitolea maelezo yaliyonyooka!
    Big up kwake na familia yake kwa ujumla! Hii inaonyesha ndoto ya mtu ikitimia ndio mambo yanakuwa hivi 💪💪👌👌

  • @hidayaamri780
    @hidayaamri780 5 หลายเดือนก่อน +24

    Hongera sana dada kwa ujasiri komgole, ila mawazo yakumrudisha TZ acha hapa kwetu siasa nyingi kule atakusaidia kulipa madeni hayo. BIG UP MAMA.

    • @zainabkazige7388
      @zainabkazige7388 5 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa🎉

    • @wendomlahagwaolema6063
      @wendomlahagwaolema6063 4 หลายเดือนก่อน

      Nami sikubaliani na wazo la kurudi Tz haraka. Ngoja ajijenge kule afanye maendeleo yake nyumbani. Kama ni training watanzania waende kule awatrain

  • @OdiliaEdwardOisso-jm2ip
    @OdiliaEdwardOisso-jm2ip 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mwanangu Mungu akuinue zaidi uje Tanzania umfundishe mwanangu mama hongera sana kwa ushindi mkuu

  • @MariamAbuubakar-e5o
    @MariamAbuubakar-e5o 5 หลายเดือนก่อน +13

    Waooooo mama umenifanya ipate nguvu ya kuzidi kulea watoto wangu kwa nguvu tena

    • @hadijaSeif-v6s
      @hadijaSeif-v6s 5 หลายเดือนก่อน +1

      Sımama na watoto wako👏🏻

  • @jasmineassenga5064
    @jasmineassenga5064 5 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera sana kwa skill ya urubani. Tuomba mawasiliano yako kwa ajili ya kuwafundisha vijana wetu wanaohiaji kurusha ndege. Asante

  • @HamzaAkilimali
    @HamzaAkilimali 4 หลายเดือนก่อน +2

    Alhamdulillah🤲, mimi binafsi nakuombea sana kwa Allah, azidi kukulinda wewe na Familia yako, azidi kukupa subira na Afya njema na watoto wako pia. (Asante sana Hadija Seifu. kwa maelezo yako murua) Allah ☝Atazidi kukusimamia Inshaallah.

    • @hadijaSeif-v6s
      @hadijaSeif-v6s 4 หลายเดือนก่อน

      Shukran 👏🏻

  • @HawaMkomwele
    @HawaMkomwele 4 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera sana mama Alfahad mwenyezi Mungu akulindie kijana aweze kukutunza nawe pia

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 5 หลายเดือนก่อน +45

    Nakwambia kweli mwanamke ukiamua kuwa mtu wa maana inawezekena sana tu.
    Na ukiamua kuwa wa ma connection ya kipuuzi pia inawezekana sana.
    Cha ajabu story yenye motivation kama hii haipewi kipaumbele sana.
    Ongera dada yetu

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 5 หลายเดือนก่อน

      Jitahidi na Wewe uwe hivyo hahahw

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 5 หลายเดือนก่อน +1

      @@trophywilson7211
      Tajitahidi nikishindwa hata dada yangu ao mwanangu niwashauri wawekeze katka nidham. Hata wewe pia waweza kuwa mfano mzuri

    • @hadijaSeif-v6s
      @hadijaSeif-v6s 5 หลายเดือนก่อน

      Kweli!

  • @katekupaza9385
    @katekupaza9385 5 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera sana kijana mdogo kwa kutimiza ndoto na pia uko very eloquent kwenye kujibu maswali.... Hongera sana kwa wazazi, hasa mama kwa kuheshimu ndoto ya mwanao na kuipambania

  • @user-to6up4hg2w
    @user-to6up4hg2w 5 หลายเดือนก่อน +13

    Mashallah may Allah blessing you ❤

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 5 หลายเดือนก่อน +7

    Milardayo naipenda sanaaaa Media yako una wafanyakazi wazuri sanaaaa wanajua kuhoji Mungu aibariki sana Media yako

  • @JescaUrassa
    @JescaUrassa 5 หลายเดือนก่อน +26

    Hakuna mwanamke anaweza kukurupuka akasema katelekezwa,tunamaumivu mengi sana miyoyoni wanawake,na kama wanaume hamjajua niwakati wakujirudi muombeni mungu msamaha maana nafasi aliyowapeni mmeitelekeza machozi yetu hayatawaachen salama

    • @maryamadam5622
      @maryamadam5622 5 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa haya. Mmungu si khiyana sio selfish. Nawaona waja wake wanyonge. Mmungu ana miujiza juu ya Ma Mama. Hongera Mama mwenzetu

    • @hadijaSeif-v6s
      @hadijaSeif-v6s 5 หลายเดือนก่อน

      Asante kunielewa 👏🏻

    • @saidbakari2408
      @saidbakari2408 4 หลายเดือนก่อน

      Hakuona wa kuomba msamaha kwani ukiambiwa masuala ya kifamily ujue yapo mengi sana, ninyi wanawake mmepewa uwezo wa kuelezea sie tukielezea yetu hii Dunia huenda msikae

  • @AnthonyGumo-z2b
    @AnthonyGumo-z2b 4 หลายเดือนก่อน +3

    Congratulations 🎉mum for standing up with your son

  • @maroasamson6219
    @maroasamson6219 5 หลายเดือนก่อน +8

    Hongera, kwa kumu elimisha mwanao hadi katimiza ndoto yake, na kutu inspire sisi kuwa hamna kinachoshindikana.

  • @miltonmachage2462
    @miltonmachage2462 5 หลายเดือนก่อน +40

    Uyu mtangazaji anajua kuhoji vzr sana

    • @nyoe1394
      @nyoe1394 5 หลายเดือนก่อน +3

      Hila pia anautambulisho mrefu sana anatakiwa amwache mtu ajitambulishe mwenyewe.

    • @simonrusigwa3024
      @simonrusigwa3024 5 หลายเดือนก่อน

      Sahihi

    • @WiselightOfficial
      @WiselightOfficial 5 หลายเดือนก่อน

      Sana ametulia

    • @hafidhnzota2142
      @hafidhnzota2142 5 หลายเดือนก่อน

      KWELI sana background nzuri Hadija Seifu amejieleza hana tambo

    • @hafidhnzota2142
      @hafidhnzota2142 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@nyoe1394KWELI intro ndefu ya mama inaboa

  • @InnocentHidingCat-jt8tn
    @InnocentHidingCat-jt8tn 4 หลายเดือนก่อน +1

    hongera mama kipenz kwa kumpigania brother wetu,nakupenda bure mama

    • @hadijaSeif-v6s
      @hadijaSeif-v6s 4 หลายเดือนก่อน

      Thank you 🙏🏻

  • @ainessfoya4463
    @ainessfoya4463 5 หลายเดือนก่อน +6

    Mtangazaji hongera unaijua kazi yako..mama shujaaa hongera..mungu akajibu haja za mioyo ya familia hiyo..na kwa ushauri maombi kwa mtumishi ezekiel..

    • @marykennedymarwa1641
      @marykennedymarwa1641 5 หลายเดือนก่อน +1

      Kwani huyo mtumishi Ezekiel ndio mungu ? Mama anajiombea mwenyewe na mwenyezi mungu anajibu. Wacha upumbavu wako na huyo Ezekiel wako , mnadanganywa na ma pastor .

  • @annahngururi6595
    @annahngururi6595 5 หลายเดือนก่อน +15

    Mimi nimefurahi kuwa mtanzania wa kwanzaa kiona kijana huyo mwenyeimri wa miaka 22 ametimiza ndoto zake za kurusha ndege.
    VIJANA KAMA HAO NI LULU & NI ADIMU.
    RAIS WETU MSIKIVU KWA UNYENYEKEVU KABISA MSAIDIE KIJANA HUYU ILI AWEZE KUFIKIA MALENGO YAKE NA MWISHO WA SIKU AWEZE KURUDI TANZANIA AWE ICON YA TAIFA...❤❤❤❤

    • @Kibaadvocate
      @Kibaadvocate 5 หลายเดือนก่อน +4

      Hatutaki arudi Tz afanye kazi huko huko

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@Kibaadvocateyote sawa

    • @zenaal-baalawy1953
      @zenaal-baalawy1953 5 หลายเดือนก่อน +2

      @annahngururi6595 Mwengine Mtanzania yupo hapa Canada chuo cha Montreal yeye cha urubani ni shemegi yangu but alikua anaishi Dubai na yeye kaja kusoma chuo juzi tu wazazi wake wameondoka kuja kumuona na yeye saivi anasomesha wanafunzi wenziwe na yeye ana umri mdogo tu kama huyu.

    • @dorotheasamwel8071
      @dorotheasamwel8071 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@Kibaadvocate😂😂😂😂😂 umejibu kama.mzazi wake kabisaaa

  • @zakiazakiaomari3392
    @zakiazakiaomari3392 4 หลายเดือนก่อน +2

    Maasha Allah hongera sana mwanangu Allah akuhifadhi na hongera sana mama mwanamke mwenzangu umepambana na Allah akuimarishe zaidi na zaidi...Aamiyn 🤲 ❤

  • @Ayubu-h1q
    @Ayubu-h1q 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana mama nimefurhai hadi nimetoa machozi na umebarikiwa kupata Watton wenye akili sana. Endelea kuwaombea wanao kila siku

  • @paulinaobiria9649
    @paulinaobiria9649 5 หลายเดือนก่อน +19

    Hongera sana sana mama Fahad na Fahad, Mwenyezi Mungu amtunze kijana huyu

    • @JamesJastin-bg1rx
      @JamesJastin-bg1rx 5 หลายเดือนก่อน

      Kwani mungu asipo mtunza itakuwaje

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 5 หลายเดือนก่อน +5

      SubhanaAllah kila mtu anahitaji kutunzwa Na Allah Atuepushe naShetani kwani wewe umeelewaje

    • @yousuphnzira3209
      @yousuphnzira3209 5 หลายเดือนก่อน

      Acha Roho ya kichawi Zwazwa wewe​@@JamesJastin-bg1rx

    • @jamilajumaa2980
      @jamilajumaa2980 5 หลายเดือนก่อน

      Ameen

  • @jacobasajile9825
    @jacobasajile9825 4 หลายเดือนก่อน +1

    Thanks God 🙏 😮
    Morning

  • @suleimanabdillah7490
    @suleimanabdillah7490 5 หลายเดือนก่อน +5

    Alhamdulillah rabbil'aalamin.hongera kwako mamabkwa namna ulivyompigania mtoto hadi hapo Mungu alipomfikisha na hata huyo baba aliyekutelekeza(sababu zibaki kwenu)hongera sanaaa kwa kijana kuelewa changamoto lakini pia kutokata tamaa hadi ume archieve.umri wake akimtegemea Allah Swt kumpa umri na Siha bilashaka anamengi ya kuchangia katika tasnia ya anga.
    Mungu awabariki

  • @HamisiHemedi-u8k
    @HamisiHemedi-u8k 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ingekua nikipindi cha makufuli asikie kuna kijana wakitanzania yupo kannada anafundisha angeagiza ndege nyingine na ungekuja nayo angesema kuna kijana wetu anafundisha wazungu Canada tunamrudisha home afundishe nduguzake😅😅😅

  • @andrewjohn4303
    @andrewjohn4303 5 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu mtangazaji,very brilliant and calm

  • @ndunihasani3232
    @ndunihasani3232 3 หลายเดือนก่อน +1

    Inshaallh Mola akataimize ndoto zako na akuongoze usimsahau mama yko kwanamna yoyote ile amiin

  • @kinkybanjukome217
    @kinkybanjukome217 5 หลายเดือนก่อน +53

    Usifanye makosa ya kumwambia mtoto arudi Tanzania mwache mtoto afanye kazi Canada alipie madeni

    • @liannsambu7264
      @liannsambu7264 5 หลายเดือนก่อน +4

      💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯 aache AFANYE KAZI ULAYA akichoka alale tu Huko ULAYA ila SI bongo , huku talent nyingi zinapotezwa na kuuwawa ,amwache Huko huko

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 5 หลายเดือนก่อน +5

      Kule atakua analipwa kama $50 kwa saa (minimum), hivyo ana mshahara wa kama $400 kwa siku. Tafadhali mwacheni huko kwanza ajijenge na asaidie kulipa mikopo

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ 5 หลายเดือนก่อน +2

      Uko sahihi saana Siasa zinaharibu kila kitu hadi vipaji

    • @godfreynyapanga3380
      @godfreynyapanga3380 5 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂

    • @handenitakuru6696
      @handenitakuru6696 5 หลายเดือนก่อน +6

      Akisema aje afanye kazi Tanzania kajiroga na yeye ndio atakuwa mchawi wakwanza kwa mwanae Tanzania kunawachawi na mchawi wakwanz wa hili Taifa ni selikali yako ukithubu kumrudisha kwisha habari

  • @maomacatta9770
    @maomacatta9770 4 หลายเดือนก่อน +1

    Well done..kijana kajieleza vizuri sana na amenifurahisha kuongea ukweli kuhusu stages za kufikia ndege kubwa za abiria. Mwingine angetia uongo kuwa tayari anaweza kuendesha Airbus au Boeing za abiria kumbe vyote hivyo vinafuata mlolongo wa masaa ya kuwa angani na uzoefu.👍🏾
    .

  • @FathimaLitwa
    @FathimaLitwa 5 หลายเดือนก่อน +12

    MaAshallah hongera sana umemuheshimisha mzazi pmj na Taifa lako❤

  • @lucysimtowe421
    @lucysimtowe421 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana mama umepambana, na Mungu amekusaidia , nyota aliyokuwa nayo kijana ilibidi iangaze ktk mataifa. Congratulations keep it up, na mtangulize Mungu ktk kila jambo unalofanya

  • @Esther-vj3ns
    @Esther-vj3ns 4 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera sana mtoto kwa kutimiza ndoto yako, pia hongera pia wazazi . Baba na mama pia. Baba nae pia lazima hapate hongera yake kwakua nae alianza vizuri ila akatoka kwenye mstari.

    • @wendomlahagwaolema6063
      @wendomlahagwaolema6063 4 หลายเดือนก่อน

      Huyo baba mnampongeza nini wakati wenzie wanadaiwa milioni mia tano

  • @zenasalum2231
    @zenasalum2231 4 หลายเดือนก่อน

    Maasha Allah jamani hongera dada hadi raha Allah atupe nasie pesa tutimize mdoto za watoto wetu

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 5 หลายเดือนก่อน +10

    Hongera sana mama big up wa mama tunaweza kupambana tunajua hata mkitukimbia .

    • @saidbakari2408
      @saidbakari2408 4 หลายเดือนก่อน

      Mkiendelea kujifanya vichwa maji mbona mtanyooka tu 😂

  • @sultanmohammed8634
    @sultanmohammed8634 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu atambariki huyu mama hodar sanaaa ni fundisho kwa mama wengine tuwe mahodar na tusirudi nyuma

  • @mariambarkat2251
    @mariambarkat2251 5 หลายเดือนก่อน +3

    Bismillah ma sha allah mwenyezi mungu akuongozee uongozo wako na akuepusha na hasada. Big 🎉 kwa mama mzazi kwa jitihada na dua usichoke kumuombea kijana wetu kwani dua ya mama hairudi chini Allah anaipokea ❤

  • @AnnaMsigwa-oi8do
    @AnnaMsigwa-oi8do 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana best,mama mpambanaji mungu akutie nguvu na hongera sana sana tyuu,ni fundisho Kwa wamama tulio Baki baba akiondoka,mama kumbatia watoto wako hata Kwa kipati kidogo watie moyo wape malez mazuri hata kama Kwa shida,mungu anajibu kama hivi.👍

  • @JohnMabustar
    @JohnMabustar 5 หลายเดือนก่อน +6

    Asante mamafrika kwa juhudi zako kwa mwanao 😊😊

  • @annamisigaro7915
    @annamisigaro7915 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana mama na hongera sana mwana. Mungu aendelee kuwaheshimisha. Usiondoke tz bila kwenda kumsalimia baba pia 🙏

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 4 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera sana mama Mungu hamtupi mja wake

  • @witnessmallya5114
    @witnessmallya5114 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana kwa kutimiza malengo yako, nchi za ughaibuni hua hazipendi maendeleo ya waafika na huwashawishi vijana wenzetu kulowea kwenye ulevi wa vitu mbalimbali pindi wawapo masomoni, lakini wewe umeyashinda yote! Congratulations!!!🎉🎉

  • @fatmahhussein6335
    @fatmahhussein6335 5 หลายเดือนก่อน +10

    MashaAllah hongera pia mlikuwa na uwezo kimaisha pia mm wangu yupo daimond anasema ipo siku nitakuwa rubani mama namkatisha taamaa kutokana na maisha ya huyu mama naimani ipo siku na mm mungu atajibu maombi yangu mwanangu afikie lego lake haki imenitowa machozi 😢na nimejifunza kitu

    • @a.s.afishfarming6225
      @a.s.afishfarming6225 5 หลายเดือนก่อน +2

      Mtangulize Mungu kwa kila hatua na umpe moyo mtoto kuwa siku moja ndoto yake itatimia Inn Sha Allah

    • @liberatusjackson5045
      @liberatusjackson5045 5 หลายเดือนก่อน

      Katobwe😂😂😂😂

    • @HawaKulindwa
      @HawaKulindwa 4 หลายเดือนก่อน

      Masha Allah Mungu amtunze ampe afya njm mama endelea kumuombea Mwanao na mwache Huko Canada hasad zimejaa Tele

  • @HamzaAkilimali
    @HamzaAkilimali 4 หลายเดือนก่อน +2

    Kijana, kumbuka mamako, kajitahidi kufanikiwa kwa msaada wa Uwezo wa Mwenyezi Mungu mmoja tu☝pekee ALLAH. Ujana usikupoteze ukasahau kumuabudu Muumba mmoja pekee, ukapotea na kuabudu Viumbe vya Muumba. (FANYA IBADA NA DUWAA KWA KUMSUJUDIA MWENYEZI MUNGU PEKE YAKE) Ushauri wa bure.

  • @nassorsandra9997
    @nassorsandra9997 5 หลายเดือนก่อน +3

    Masha Allah Da Hadija hongera sana kwa Fahad kutimiza ndoto zake

  • @yodenidoles1237
    @yodenidoles1237 3 หลายเดือนก่อน

    Safi Sana dogo..kwakweli umetupa somo la kujifunza.. Hongera kwa mama kwani haukukata tamaa.. Pongezi nyingi kwa Ayotv kwa kuendelea kuibua vipaji vilivyojificha

  • @En_Diel
    @En_Diel 5 หลายเดือนก่อน +7

    Hongera sana mzee kwa kuwakilisha Tz

  • @HamidaKondo-j7d
    @HamidaKondo-j7d 4 หลายเดือนก่อน +2

    Manshaallah warahaula warakwata illah bilaah mungu akusimamie na akupe moyo wakukumbuka ulikotoka na umjali sana mom hongera strong women somo wa my mom

  • @Officialeinothlekasio
    @Officialeinothlekasio 5 หลายเดือนก่อน +5

    Congratulations bro, may you glow to the fullest amen.

  • @emmanuelsenga4536
    @emmanuelsenga4536 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kanipa elimu nzuri sana kijana,Hakuna Cha form 6 Wala Cha physics naomba Tz tujuwe Hilo.

  • @judithnjalambaya2450
    @judithnjalambaya2450 5 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera sana mama Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki na kumtunza kijana 🔥🔥🔥

  • @Wityzac
    @Wityzac 4 หลายเดือนก่อน +1

    Very insipirational msg.Big up mama and your son

    • @hadijaSeif-v6s
      @hadijaSeif-v6s 4 หลายเดือนก่อน

      Thank you

    • @MsallaMsalla
      @MsallaMsalla 4 หลายเดือนก่อน

      Kumbari ni valangi wuuu​@@hadijaSeif-v6s

  • @MohammedMaokongoro
    @MohammedMaokongoro 5 หลายเดือนก่อน +8

    Bismillahir Rahmanir Rahiim, Asalam Aleykum mama Afadi mwwnyezi mungu akulinde na akupe afya wewe na mwanao Afadi,ALLAH awalinde na husda Ameen

    • @AminaMsiyu
      @AminaMsiyu 4 หลายเดือนก่อน

      Amin yarb

  • @sabinakinunda3127
    @sabinakinunda3127 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana mama,Kuna mengi ya kujifunza Toka kwako

  • @kadiakirua7621
    @kadiakirua7621 5 หลายเดือนก่อน +3

    Daaaah kumbe inawezekana kabisa!!Ayo tv asanteni kwa kumleta huyu jombaa katupa mwanga wa kufanya visivo wezekana

  • @evamoshi6917
    @evamoshi6917 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera mama kwa kumpambania kijana wako mungu akulinde sana

  • @JovinJohn-p4w
    @JovinJohn-p4w 5 หลายเดือนก่อน +5

    Ila mama zetu mnaweza sana kupigania maisha yetu

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 5 หลายเดือนก่อน

      utaacha Watoto wahangaike

    • @saidbakari2408
      @saidbakari2408 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂 WASIFIE PIA WANAJUA SANA KUVURUGA MAMBO SEMA TU WANAUME TUMEUMBWA NA KIFUA CHA KUHIFADHI MAMBO

    • @hawaalawi272
      @hawaalawi272 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@saidbakari2408ugomvi wa baba na mama cyo kumkomoa mtoto,Mungu huwa anampa kila zuri mtoto aliyetelekezwa na baba ili baba apate kuaibika na kudhani bila yeye mtoto hatoendelea

  • @kasuhyasoud
    @kasuhyasoud 4 หลายเดือนก่อน

    Mtangazaji kongole sana , wewe ni mbobezi sana !
    Hongera Halfad , Hongera Mama Halfad pia ! Mwenyezi Mungu aendelee kuwasimamia ! 🙏🏿🙏🏿

  • @maimukanabora8751
    @maimukanabora8751 5 หลายเดือนก่อน +3

    Dada hongera sana Kwa kupambana hakika Mungu hamtupi Mja wake mwanangu umweshimu sana mama

  • @eshasheikh6916
    @eshasheikh6916 4 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah mama kwa juhudi zote na kwa mtoto mungu akubariki na akufanyie wepesi kwa kila tarajio lako

  • @DotoS12
    @DotoS12 5 หลายเดือนก่อน +3

    Hongereni sana mama na kijana Mungu aendelee kuwainua

  • @10gb27
    @10gb27 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kutoka katika hii interview nimejifunza kwamba WALIOTENGENEZA SYLABUS ZA ELIMU YA TANZANIA, HAWAJUI CHOCHOTE KUHUSU URUBANI. nilikua napenda sana urubani, nikakata tamaa baada ya kuambiwa Eti LAZIMA nichukue PGM, na mm ma physics na mathematics nilikua sizikubali dah

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 5 หลายเดือนก่อน +3

    Homgera mama na mtoto wetu kumhrshimisha.mungu akulinde na kukutunza.

  • @hamidakiiza1925
    @hamidakiiza1925 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli mama umepambana hongera sana na kweli Mungu amekusaidia sala dua na maombi vinasaidia mbele ya Mungu all is possible!

  • @omarimsangi4075
    @omarimsangi4075 5 หลายเดือนก่อน +3

    tuna kariri sana HATUJA ZIJUA BASICS ZA EDUCATION tuna taka master ya kila kitu kila wakati.

  • @olivernyakunga4891
    @olivernyakunga4891 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana mama umepambana kwa kweli. Hukukata tamaa pamoja na yote. Mungu aendelee kukusimamia na watoto wako❤❤❤

  • @DuckVlogq
    @DuckVlogq 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mashallah allah akuzidishie ❤

  • @AshuraSambiro-v1h
    @AshuraSambiro-v1h 4 หลายเดือนก่อน

    Allah amuongoze ktk imani ya dini inshaallah

  • @allytv1714
    @allytv1714 5 หลายเดือนก่อน +7

    Vijana jitaidini kusomesha watoto wenu msikimbie family wale watoto wanabaraka zao Mungu awezi kukuacha iv iv

  • @dorotheasamwel8071
    @dorotheasamwel8071 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana mama kwa kumpambania mwanao. Ushaur wangu ni kwamba mwanao asioe Tanzania tu maana hawashindwi kumtyonkola akili alafu mwisho wa siku abaki kama sisi tuuu.. na asidanganywe kuja kuajiliwa huku maana watamchakaza sanaaa alafu aishie KWENYE kujuta na kuanza ulevi wa madawa ya kulevya

  • @FekiHappy
    @FekiHappy 5 หลายเดือนก่อน +16

    Hongera rasta huku rasta wote wamechezika

    • @japhetkyarukambaaristides8698
      @japhetkyarukambaaristides8698 5 หลายเดือนก่อน

      😂

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 5 หลายเดือนก่อน +3

      Si ndo mlivyoaminishwa afu mvaa suti ndio mtu wa maana, mnaishi na falsafa za miaka 100 iliyopita watu wanaangalia nini kipo ubongoni sio unaonekana vp

    • @AmaniKwanza
      @AmaniKwanza 5 หลายเดือนก่อน +2

      Nimecheka sana dah bongo hii eti huku rasta wote machizi😂😂😂😂😂 fala sana ww

    • @milanozanzibar
      @milanozanzibar 5 หลายเดือนก่อน

      hahaha

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 5 หลายเดือนก่อน +1

      🤣🤣🤣🤣we umetisha nimecheka

  • @PiliSungi
    @PiliSungi 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mashallaah mola akuongoze kwa kilahatua inshallaah❤

  • @rehemaphillingsonmlawa4206
    @rehemaphillingsonmlawa4206 5 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera sana kijanà natamani sana mwanangu anandoto kama wewe namwomba mungu ndoto zake zitimie

    • @AnneyLissu
      @AnneyLissu 4 หลายเดือนก่อน

      My dear Habari naomba Kama umepata namba za huyo mama naomba tafadhali hata Mimi mwanangu anahizo jdoto hapo ni mdg Sana lkn kuhusi urubani humwambi kitu

  • @alisalmin512
    @alisalmin512 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah tabaarakallah

  • @clauschaula2050
    @clauschaula2050 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera endelea na majukumu yako ukimtanguliza Mungu.

  • @mosesjohnswilla9926
    @mosesjohnswilla9926 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna yule wa South Africa baada ya kumsifia tu mitandao alipata bonge la ajali na kufariki😢😢😢😢

    • @hadijaSeif-v6s
      @hadijaSeif-v6s 4 หลายเดือนก่อน +1

      Allah atamlinda kwa rehma zake.

  • @williamshitobelo6433
    @williamshitobelo6433 5 หลายเดือนก่อน +8

    MTANGAZAJI UNA TATIZO UNA UNNECESSARY INTERFERENCES NYINGI SANA, TULIA MSIMULIAJI AWEZE KUFLOW

  • @gasperymisungwi960
    @gasperymisungwi960 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana mama kwa kupambana, MUNGU huwashika waliowake. Ila kwenye swala la changamoto ya ndoa, no comment!

  • @fanueljames4207
    @fanueljames4207 5 หลายเดือนก่อน +9

    Hongera sana Mama mpambanaji! Mwambie huyo kijana wake wa pili anauwezo wa kupata scholarship hapa Canada naomba Jitahidi tuwasiliane nikupe mwongozo!

    • @leylahassan9361
      @leylahassan9361 5 หลายเดือนก่อน

      Bless u

    • @lucaspetro324
      @lucaspetro324 5 หลายเดือนก่อน +2

      Mumeshaanza utapeli sasa

    • @florarog548
      @florarog548 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂​@@lucaspetro324

    • @exnathjoseph5396
      @exnathjoseph5396 5 หลายเดือนก่อน

      @@lucaspetro324😂

    • @Carlynn-k5c
      @Carlynn-k5c 5 หลายเดือนก่อน

      @@lucaspetro324😂

  • @haroldmabwe1436
    @haroldmabwe1436 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana Mama kwa kupambana...kwanza, Pamoja na yote! Mchango wa Baba unaonekana kwa kukuchagua wewe na kukupa zawadi Watoto wenye vipaji usiache kushukuru Mungu. Pili, harisa ya kupambana zaidi huenda imetokana na kutokuwajibika kwake moja kwa moja pindi ulipohitaji msaada wake...hiyo pia ichukulie chanya(+) na itakuingezea kupambana zaidi. Tatu, jitahidi kuwashauri vijana wasiwaze wala kuweka mipaka ya mawasiliano kama ipo lakini na Baba yao kutokana na tofauti zetu. Kila jambo hutokea na lina sababu zake. Hongera sana kwa mara nyingine.

  • @NassourJuma
    @NassourJuma 5 หลายเดือนก่อน +15

    baba anaweza akakutupa lakini mama hawez, big kw mama woooote na mungu awasamehe makosa yao kwani yeye ndio msamehevu.

    • @nahidaothman7163
      @nahidaothman7163 5 หลายเดือนก่อน +2

      Thank you I'm among them

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 5 หลายเดือนก่อน +1

      Ni mihemko tu imekuingia na ukajikuta unadhani wote wana moyo wa huruma. Wanaume wengi wanapambana sana kugharamia baadaye za watoto ila hawana kiherehere cha kuongea kama wanawake. Kumbuka pia wanawake wangapi wanatupa au kuua watoto wao ili waendelee na umalaya?

    • @NassourJuma
      @NassourJuma 5 หลายเดือนก่อน

      @@nahidaothman7163 you too

    • @athumaniamani9905
      @athumaniamani9905 5 หลายเดือนก่อน

      Acha uongo wamama wangapi wanawatupa watoto wao kweny makalo ya vyoo......wangapi wanawatupa watoto wao majalala

    • @PendoMarco-x3u
      @PendoMarco-x3u 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@bcozhenry2698ndugu yangu wanaume wanatelekeza sana watoto asilimia kubwa sana wanawake tunateseka mfano mzuri uko kwangu baba wa watoto wangu hajali hana huruma hanisaidii kwenye swala la kulea

  • @hadijarajabumumba6212
    @hadijarajabumumba6212 4 หลายเดือนก่อน

    Ma Sha Allah. Big up sana dear. Mwenyezimungu akufungulie neema kubwa zaidi. Keep fighting love. You made it. Wajina wangu.❤

  • @sokaonlinetv255
    @sokaonlinetv255 5 หลายเดือนก่อน +2

    vijana tunaorusha kindege cha Aviator tujuane basi kwa like hapa

    • @khadija5761
      @khadija5761 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @marymwasiga
      @marymwasiga 5 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅

  • @ruthkyambila397
    @ruthkyambila397 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana my dear,Hadija na Mama yako kukupa sapoti ya mawazo pia kwa uvumilivu na kujaliwa maarifa kwa kutimiza ndoto ya Mtoto

    • @hadijaSeif-v6s
      @hadijaSeif-v6s 4 หลายเดือนก่อน

      Thank you 🙏🏻

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 5 หลายเดือนก่อน +3

    Jamani umenifundisha. Mwanangu akimaliza form four direct chuo

    • @halimamghana2293
      @halimamghana2293 5 หลายเดือนก่อน

      Wa kwangu yupo form 2 ameshasema hataki five na Six anataka direct Chuo.watoto wa 2000.M'mungu awajaalie na awaongoze katika kheir.

  • @maryamadam5622
    @maryamadam5622 5 หลายเดือนก่อน

    Mashallah. Very good interview Milad. Kijana kawa mfano mkubwa kwa ndugu zake. Mmungu akuondoshee hasada. Mama pia kama mama umesimama vyema.

  • @MarySteven-lv1td
    @MarySteven-lv1td 5 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera mama na mtoto❤