MTANZANIA ANAYEFUNDISHA MARUBANI CANADA, MAMA YAKE ASIMULIA ALIVYOTELEKEZWA “NIMETUMIA MIL.500”

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 814

  • @EmmanueliZani-ur9bi
    @EmmanueliZani-ur9bi 12 วันที่ผ่านมา +53

    Hongera sana kijana kwa kupambania ndoto yako, na pongezi nyingi kwa Mama kutimiza ndoto ya kijana wako.
    Asante.

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 12 วันที่ผ่านมา +1

      HONGERA KWA KIJANA WETU PIA 👏🏽 👏🏽 👏🏽 😊

  • @mariansumari2179
    @mariansumari2179 4 วันที่ผ่านมา +4

    Hongera mwanangu mzuri ❤❤ mwanamke mwenzangu wewe ndio halisi ya MWANAMKE WA SHOKA 💪💪💪💪💪💪

  • @aishakimosa2492
    @aishakimosa2492 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Congratulations my brother, coz its not easy kufikia hatua ya kufundisha hasa nchi za wenzetu. Its so amazing and it will inspire many people. ❤

  • @user-cj2kl7cd9k
    @user-cj2kl7cd9k 12 วันที่ผ่านมา +64

    Hongera sana mama kwa kusimama na mtoto wako Allah amuhifadhi mtoto wako amkinge n husda amfanyie wepesi katika kazi zake ameen

    • @Sarah-e1o9k
      @Sarah-e1o9k 12 วันที่ผ่านมา +1

      Ameen

    • @RahmaAlly-b6r
      @RahmaAlly-b6r 9 วันที่ผ่านมา +1

      Mashaalah

    • @hadijaSeif-v6s
      @hadijaSeif-v6s 9 วันที่ผ่านมา

      Shukran 👏🏻

    • @moa4122
      @moa4122 7 วันที่ผ่านมา

      Bismillah mashaallah. Allah amuhifadhi, amlinde na ampe umri mrefu pamoja na mama yake,ajaaliye aendelee kutimiza ndoto zake ili na mama yake ale matunda ya kijana wake Amiin Allahuma Amiin. Mama umemlea kijana wako vizuri

    • @hadijaSeif-v6s
      @hadijaSeif-v6s 7 วันที่ผ่านมา

      @@moa4122 Amiin

  • @vicentgodda3357
    @vicentgodda3357 12 วันที่ผ่านมา +12

    Hongereni Milad Ayo kwa kufuatilia maswala ya maendeleo na ya kijamii. Hii ni interview nzuri kuelimisha na kuwatia moyo Wanawake kupambana

    • @Omari-d2h
      @Omari-d2h 7 วันที่ผ่านมา

      Washauri watoe msaada sio kuwahoji watu bila kujitolea chochote

  • @muznamohammed1366
    @muznamohammed1366 วันที่ผ่านมา +3

    Maashallah mtoto arudi kwenye dini, ingawa niisiangalie physical appearance lkn kwa maelezo ya Mama alimpambania kwa Mungu. Honger mama na kijana mwenzangu

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 4 วันที่ผ่านมา +2

    Hongera sana mama Mungu hamtupi mja wake

  • @zaidiissa3714
    @zaidiissa3714 12 วันที่ผ่านมา +51

    Mungu Awabariki kina mama wote Duniani

  • @hidayaamri780
    @hidayaamri780 12 วันที่ผ่านมา +23

    Hongera sana dada kwa ujasiri komgole, ila mawazo yakumrudisha TZ acha hapa kwetu siasa nyingi kule atakusaidia kulipa madeni hayo. BIG UP MAMA.

  • @Esther-vj3ns
    @Esther-vj3ns 4 วันที่ผ่านมา +3

    Hongera sana mtoto kwa kutimiza ndoto yako, pia hongera pia wazazi . Baba na mama pia. Baba nae pia lazima hapate hongera yake kwakua nae alianza vizuri ila akatoka kwenye mstari.

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 12 วันที่ผ่านมา +24

    Mungu ibarik familia ya huyu Mama Ila asirudi kabisaaaaaaaa labda akistaafu Canada anaweza staafu hata miaka 40 , ajitafute kwanza huku pagumu saaana labda Uwe kwenye familia za Siasa

    • @marymwasiga
      @marymwasiga 9 วันที่ผ่านมา

      AminA, sana sana saaana,,,

    • @hafidhnzota2142
      @hafidhnzota2142 9 วันที่ผ่านมา

      Umesema kweli Huyu asirudi,maana NCHI YETU HAIPENDI WASOMI NA. WATAALAMU.WATAALAM MAPROFESSA WAMEJIINGIZA KATIKA SIASA.

    • @hadijaSeif-v6s
      @hadijaSeif-v6s 9 วันที่ผ่านมา

      Amiin

    • @hadijaSeif-v6s
      @hadijaSeif-v6s 8 วันที่ผ่านมา

      @@hafidhnzota2142😂

    • @ronnylovemoo220
      @ronnylovemoo220 8 วันที่ผ่านมา +1

      sasa kwa asiruditruu It's

  • @honeyGmail.comhassan
    @honeyGmail.comhassan 12 วันที่ผ่านมา +13

    Mashallah may Allah blessing you ❤

  • @LuciaMwambingu
    @LuciaMwambingu 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Mungu azidi kukuinua umtunze mama na mdogo wako.. Una tia moyo sana ...Hongera sana kwa kipaji hicho

  • @MonadiNadi-j6s
    @MonadiNadi-j6s 12 วันที่ผ่านมา +15

    Mama ni mama hta iweje hongera sana❤❤

  • @zakiazakiaomari3392
    @zakiazakiaomari3392 วันที่ผ่านมา +2

    Maasha Allah hongera sana mwanangu Allah akuhifadhi na hongera sana mama mwanamke mwenzangu umepambana na Allah akuimarishe zaidi na zaidi...Aamiyn 🤲 ❤

  • @annahngururi6595
    @annahngururi6595 12 วันที่ผ่านมา +14

    Mimi nimefurahi kuwa mtanzania wa kwanzaa kiona kijana huyo mwenyeimri wa miaka 22 ametimiza ndoto zake za kurusha ndege.
    VIJANA KAMA HAO NI LULU & NI ADIMU.
    RAIS WETU MSIKIVU KWA UNYENYEKEVU KABISA MSAIDIE KIJANA HUYU ILI AWEZE KUFIKIA MALENGO YAKE NA MWISHO WA SIKU AWEZE KURUDI TANZANIA AWE ICON YA TAIFA...❤❤❤❤

    • @Kibaadvocate
      @Kibaadvocate 12 วันที่ผ่านมา +4

      Hatutaki arudi Tz afanye kazi huko huko

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 12 วันที่ผ่านมา

      ​@@Kibaadvocateyote sawa

    • @zenaal-baalawy1953
      @zenaal-baalawy1953 8 วันที่ผ่านมา +1

      @annahngururi6595 Mwengine Mtanzania yupo hapa Canada chuo cha Montreal yeye cha urubani ni shemegi yangu but alikua anaishi Dubai na yeye kaja kusoma chuo juzi tu wazazi wake wameondoka kuja kumuona na yeye saivi anasomesha wanafunzi wenziwe na yeye ana umri mdogo tu kama huyu.

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 12 วันที่ผ่านมา +10

    Hongera sana mama big up wa mama tunaweza kupambana tunajua hata mkitukimbia .

  • @katekupaza9385
    @katekupaza9385 12 วันที่ผ่านมา +4

    Hongera sana kijana mdogo kwa kutimiza ndoto na pia uko very eloquent kwenye kujibu maswali.... Hongera sana kwa wazazi, hasa mama kwa kuheshimu ndoto ya mwanao na kuipambania

  • @user-zz8mf1wh8g
    @user-zz8mf1wh8g 12 วันที่ผ่านมา +12

    MaAshallah hongera sana umemuheshimisha mzazi pmj na Taifa lako❤

  • @ainessfoya4463
    @ainessfoya4463 12 วันที่ผ่านมา +5

    Mtangazaji hongera unaijua kazi yako..mama shujaaa hongera..mungu akajibu haja za mioyo ya familia hiyo..na kwa ushauri maombi kwa mtumishi ezekiel..

    • @marykennedymarwa1641
      @marykennedymarwa1641 10 วันที่ผ่านมา

      Kwani huyo mtumishi Ezekiel ndio mungu ? Mama anajiombea mwenyewe na mwenyezi mungu anajibu. Wacha upumbavu wako na huyo Ezekiel wako , mnadanganywa na ma pastor .

  • @MariamAbuubakar-e5o
    @MariamAbuubakar-e5o 12 วันที่ผ่านมา +9

    Waooooo mama umenifanya ipate nguvu ya kuzidi kulea watoto wangu kwa nguvu tena

    • @hadijaSeif-v6s
      @hadijaSeif-v6s 8 วันที่ผ่านมา +1

      Sımama na watoto wako👏🏻

  • @maroasamson6219
    @maroasamson6219 12 วันที่ผ่านมา +7

    Hongera, kwa kumu elimisha mwanao hadi katimiza ndoto yake, na kutu inspire sisi kuwa hamna kinachoshindikana.

  • @faridaahmad7538
    @faridaahmad7538 7 วันที่ผ่านมา +2

    Ndugu yangu hizo ndoto za kufungua chuo cha urubani kwa hapa TZ haiwezekani itakuwea ngumu tu kwa namna yeyote ile utabambikiwa mikodi wewe hadi ufe, yaani hapa kwenu ni pagumu. Nakushauri tu ndugu yangu hayo mambo fanyia hukohuko Canada, sisi huku tutumie tu hela ya mboga ya mama yetu huyo aweze kuishi kwisha habari. Hayo mengine fanyia huko isije huku tukakuroga buree mtoto wa watu. Mwenyezimungu akupe maisha marefu na utimize ndoto zako zote. Ila usimsahau aliekiwezesha hayo kwa maana ya mungu wako na pia usimsahau baba yako, pamoja na yote aliyokufanyia lkn still ni baba yako usiache kumfanyia wema ili upate radhi zake. Hayo ya mama yako waachie wenyewe wewe kama mtoto hayakuhusu, cheza nafasi yako kama mtoto kwa baba yako.

  • @RahmaIddi-s2s
    @RahmaIddi-s2s 9 วันที่ผ่านมา +4

    Masha Allah Masha Allah...Mungu akujaliye kijana upate mke mwema..mulee mama vzr ln shaa Allah...usije kupata mwanamke akakufitinisha na mzazi wako....

    • @hadijaSeif-v6s
      @hadijaSeif-v6s 8 วันที่ผ่านมา

      @@RahmaIddi-s2s Ameen

  • @Wityzac
    @Wityzac 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Very insipirational msg.Big up mama and your son

    • @hadijaSeif-v6s
      @hadijaSeif-v6s 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Thank you

  • @miltonmachage2462
    @miltonmachage2462 12 วันที่ผ่านมา +39

    Uyu mtangazaji anajua kuhoji vzr sana

    • @nyoe1394
      @nyoe1394 12 วันที่ผ่านมา +3

      Hila pia anautambulisho mrefu sana anatakiwa amwache mtu ajitambulishe mwenyewe.

    • @simonrusigwa3024
      @simonrusigwa3024 12 วันที่ผ่านมา

      Sahihi

    • @WiselightOfficial
      @WiselightOfficial 12 วันที่ผ่านมา

      Sana ametulia

    • @hafidhnzota2142
      @hafidhnzota2142 9 วันที่ผ่านมา

      KWELI sana background nzuri Hadija Seifu amejieleza hana tambo

    • @hafidhnzota2142
      @hafidhnzota2142 9 วันที่ผ่านมา

      ​@@nyoe1394KWELI intro ndefu ya mama inaboa

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 12 วันที่ผ่านมา +5

    Milardayo naipenda sanaaaa Media yako una wafanyakazi wazuri sanaaaa wanajua kuhoji Mungu aibariki sana Media yako

  • @paulinaobiria9649
    @paulinaobiria9649 12 วันที่ผ่านมา +19

    Hongera sana sana mama Fahad na Fahad, Mwenyezi Mungu amtunze kijana huyu

    • @JamesJastin-bg1rx
      @JamesJastin-bg1rx 12 วันที่ผ่านมา

      Kwani mungu asipo mtunza itakuwaje

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 12 วันที่ผ่านมา +5

      SubhanaAllah kila mtu anahitaji kutunzwa Na Allah Atuepushe naShetani kwani wewe umeelewaje

    • @yousuphnzira3209
      @yousuphnzira3209 12 วันที่ผ่านมา

      Acha Roho ya kichawi Zwazwa wewe​@@JamesJastin-bg1rx

    • @jamilajumaa2980
      @jamilajumaa2980 12 วันที่ผ่านมา

      Ameen

  • @HamidaKondo-j7d
    @HamidaKondo-j7d 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Manshaallah warahaula warakwata illah bilaah mungu akusimamie na akupe moyo wakukumbuka ulikotoka na umjali sana mom hongera strong women somo wa my mom

  • @jasmineassenga5064
    @jasmineassenga5064 12 วันที่ผ่านมา +2

    Hongera sana kwa skill ya urubani. Tuomba mawasiliano yako kwa ajili ya kuwafundisha vijana wetu wanaohiaji kurusha ndege. Asante

  • @suleimanabdillah7490
    @suleimanabdillah7490 12 วันที่ผ่านมา +4

    Alhamdulillah rabbil'aalamin.hongera kwako mamabkwa namna ulivyompigania mtoto hadi hapo Mungu alipomfikisha na hata huyo baba aliyekutelekeza(sababu zibaki kwenu)hongera sanaaa kwa kijana kuelewa changamoto lakini pia kutokata tamaa hadi ume archieve.umri wake akimtegemea Allah Swt kumpa umri na Siha bilashaka anamengi ya kuchangia katika tasnia ya anga.
    Mungu awabariki

  • @En_Diel
    @En_Diel 12 วันที่ผ่านมา +7

    Hongera sana mzee kwa kuwakilisha Tz

  • @kinkybanjukome217
    @kinkybanjukome217 12 วันที่ผ่านมา +51

    Usifanye makosa ya kumwambia mtoto arudi Tanzania mwache mtoto afanye kazi Canada alipie madeni

    • @liannsambu7264
      @liannsambu7264 12 วันที่ผ่านมา +4

      💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯 aache AFANYE KAZI ULAYA akichoka alale tu Huko ULAYA ila SI bongo , huku talent nyingi zinapotezwa na kuuwawa ,amwache Huko huko

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 12 วันที่ผ่านมา +4

      Kule atakua analipwa kama $50 kwa saa (minimum), hivyo ana mshahara wa kama $400 kwa siku. Tafadhali mwacheni huko kwanza ajijenge na asaidie kulipa mikopo

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ 12 วันที่ผ่านมา +2

      Uko sahihi saana Siasa zinaharibu kila kitu hadi vipaji

    • @godfreynyapanga3380
      @godfreynyapanga3380 12 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂

    • @handenitakuru6696
      @handenitakuru6696 12 วันที่ผ่านมา +6

      Akisema aje afanye kazi Tanzania kajiroga na yeye ndio atakuwa mchawi wakwanza kwa mwanae Tanzania kunawachawi na mchawi wakwanz wa hili Taifa ni selikali yako ukithubu kumrudisha kwisha habari

  • @ElishaSalingo
    @ElishaSalingo 3 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera sana ,Mama Fahad Kama sijakosea uliishi
    Morogoro Ukiwa Tanzania pride meat

  • @JescaUrassa
    @JescaUrassa 12 วันที่ผ่านมา +26

    Hakuna mwanamke anaweza kukurupuka akasema katelekezwa,tunamaumivu mengi sana miyoyoni wanawake,na kama wanaume hamjajua niwakati wakujirudi muombeni mungu msamaha maana nafasi aliyowapeni mmeitelekeza machozi yetu hayatawaachen salama

    • @maryamadam5622
      @maryamadam5622 9 วันที่ผ่านมา

      Kweli kabisa haya. Mmungu si khiyana sio selfish. Nawaona waja wake wanyonge. Mmungu ana miujiza juu ya Ma Mama. Hongera Mama mwenzetu

    • @hadijaSeif-v6s
      @hadijaSeif-v6s 8 วันที่ผ่านมา

      Asante kunielewa 👏🏻

  • @mariambarkat2251
    @mariambarkat2251 12 วันที่ผ่านมา +3

    Bismillah ma sha allah mwenyezi mungu akuongozee uongozo wako na akuepusha na hasada. Big 🎉 kwa mama mzazi kwa jitihada na dua usichoke kumuombea kijana wetu kwani dua ya mama hairudi chini Allah anaipokea ❤

  • @Officialeinothlekasio
    @Officialeinothlekasio 12 วันที่ผ่านมา +4

    Congratulations bro, may you glow to the fullest amen.

  • @JovinJohn-p4w
    @JovinJohn-p4w 12 วันที่ผ่านมา +5

    Ila mama zetu mnaweza sana kupigania maisha yetu

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 12 วันที่ผ่านมา +12

    Piga huko Canada ulipe madeni ya mama ndiyo uje

  • @MohammedMaokongoro
    @MohammedMaokongoro 9 วันที่ผ่านมา +7

    Bismillahir Rahmanir Rahiim, Asalam Aleykum mama Afadi mwwnyezi mungu akulinde na akupe afya wewe na mwanao Afadi,ALLAH awalinde na husda Ameen

    • @AminaMsiyu
      @AminaMsiyu 4 วันที่ผ่านมา

      Amin yarb

  • @user-ky5wu4gc9g
    @user-ky5wu4gc9g 7 วันที่ผ่านมา +1

    Duh! machozi ya furaha yamenitoka mama mwenzangu amenitia moyo sana nilitaka kukata tamaa kusomesha kwakua sina saport kupitia huyu mama fahad najikuta kupata nguvu mpya Asante milad kutuletea kipindi hiki

  • @gasperymisungwi960
    @gasperymisungwi960 12 วันที่ผ่านมา +2

    Hongera sana mama kwa kupambana, MUNGU huwashika waliowake. Ila kwenye swala la changamoto ya ndoa, no comment!

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 3 วันที่ผ่านมา +2

    Mashallah Allah akuongezeni

  • @hamidakiiza1925
    @hamidakiiza1925 6 วันที่ผ่านมา +1

    Kweli mama umepambana hongera sana na kweli Mungu amekusaidia sala dua na maombi vinasaidia mbele ya Mungu all is possible!

  • @SavelinaKahabuka
    @SavelinaKahabuka วันที่ผ่านมา

    Hongera sana mama Mungu amuwezeshe kwa viwango vikubwa zaidi.

  • @user-hq5mo3dx7l
    @user-hq5mo3dx7l 12 วันที่ผ่านมา +16

    Hongera rasta huku rasta wote wamechezika

    • @japhetkyarukambaaristides8698
      @japhetkyarukambaaristides8698 12 วันที่ผ่านมา

      😂

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 12 วันที่ผ่านมา +3

      Si ndo mlivyoaminishwa afu mvaa suti ndio mtu wa maana, mnaishi na falsafa za miaka 100 iliyopita watu wanaangalia nini kipo ubongoni sio unaonekana vp

    • @user-zm4mm4eb5j
      @user-zm4mm4eb5j 12 วันที่ผ่านมา +2

      Nimecheka sana dah bongo hii eti huku rasta wote machizi😂😂😂😂😂 fala sana ww

    • @milanozanzibar
      @milanozanzibar 12 วันที่ผ่านมา

      hahaha

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 12 วันที่ผ่านมา +1

      🤣🤣🤣🤣we umetisha nimecheka

  • @judithnjalambaya2450
    @judithnjalambaya2450 12 วันที่ผ่านมา +4

    Hongera sana mama Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki na kumtunza kijana 🔥🔥🔥

  • @winnifridangahyoma9127
    @winnifridangahyoma9127 2 วันที่ผ่านมา

    Hongera sanaa mama. Mungu aendelee kumpandisha kijana matawi ya juu zaidi.

  • @JohnMabustar
    @JohnMabustar 12 วันที่ผ่านมา +6

    Asante mamafrika kwa juhudi zako kwa mwanao 😊😊

  • @nassorsandra9997
    @nassorsandra9997 12 วันที่ผ่านมา +2

    Masha Allah Da Hadija hongera sana kwa Fahad kutimiza ndoto zake

  • @andrewjohn4303
    @andrewjohn4303 12 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu mtangazaji,very brilliant and calm

  • @williamshitobelo6433
    @williamshitobelo6433 12 วันที่ผ่านมา +8

    MTANGAZAJI UNA TATIZO UNA UNNECESSARY INTERFERENCES NYINGI SANA, TULIA MSIMULIAJI AWEZE KUFLOW

  • @maimukanabora8751
    @maimukanabora8751 12 วันที่ผ่านมา +3

    Dada hongera sana Kwa kupambana hakika Mungu hamtupi Mja wake mwanangu umweshimu sana mama

  • @DotoS12
    @DotoS12 12 วันที่ผ่านมา +3

    Hongereni sana mama na kijana Mungu aendelee kuwainua

  • @omarimsangi4075
    @omarimsangi4075 12 วันที่ผ่านมา +3

    tuna kariri sana HATUJA ZIJUA BASICS ZA EDUCATION tuna taka master ya kila kitu kila wakati.

  • @user-ny8ek7xf7o
    @user-ny8ek7xf7o 12 วันที่ผ่านมา +2

    Mashallaah mola akuongoze kwa kilahatua inshallaah❤

  • @mwanakombonkullo9280
    @mwanakombonkullo9280 8 วันที่ผ่านมา +2

    Mashallah Mashallah hongera sana ntoto na mama yake Allah aendelee kuwafanyia wepesi Inshaallah

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 12 วันที่ผ่านมา +3

    Homgera mama na mtoto wetu kumhrshimisha.mungu akulinde na kukutunza.

  • @haroldmabwe1436
    @haroldmabwe1436 12 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera sana Mama kwa kupambana...kwanza, Pamoja na yote! Mchango wa Baba unaonekana kwa kukuchagua wewe na kukupa zawadi Watoto wenye vipaji usiache kushukuru Mungu. Pili, harisa ya kupambana zaidi huenda imetokana na kutokuwajibika kwake moja kwa moja pindi ulipohitaji msaada wake...hiyo pia ichukulie chanya(+) na itakuingezea kupambana zaidi. Tatu, jitahidi kuwashauri vijana wasiwaze wala kuweka mipaka ya mawasiliano kama ipo lakini na Baba yao kutokana na tofauti zetu. Kila jambo hutokea na lina sababu zake. Hongera sana kwa mara nyingine.

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 12 วันที่ผ่านมา +43

    Nakwambia kweli mwanamke ukiamua kuwa mtu wa maana inawezekena sana tu.
    Na ukiamua kuwa wa ma connection ya kipuuzi pia inawezekana sana.
    Cha ajabu story yenye motivation kama hii haipewi kipaumbele sana.
    Ongera dada yetu

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 12 วันที่ผ่านมา

      Jitahidi na Wewe uwe hivyo hahahw

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 12 วันที่ผ่านมา +1

      @@trophywilson7211
      Tajitahidi nikishindwa hata dada yangu ao mwanangu niwashauri wawekeze katka nidham. Hata wewe pia waweza kuwa mfano mzuri

    • @hadijaSeif-v6s
      @hadijaSeif-v6s 8 วันที่ผ่านมา

      Kweli!

  • @sheldermaregesi7129
    @sheldermaregesi7129 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Big up mama

  • @GodfridaKagaruki
    @GodfridaKagaruki 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Hongera sana mama umepambana mungu ampiganie mwanao.

  • @alhajikangalawe6178
    @alhajikangalawe6178 วันที่ผ่านมา +1

    Hii interview imenisaidia hw to guide my kids academically na to review harakati za kiuchumi ili kutimiza ndoto za watoto....kuna vitu tunaaminishana huku uraiani ambavyo vinawatisha na kukatisha tamaa wazazi na wanafunzi ukiondoa issue ya uchumi

  • @KamgishaIsaya
    @KamgishaIsaya วันที่ผ่านมา

    Ongera kijana kwa kazi nzuri

  • @salometabu100
    @salometabu100 7 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera sana Dada kumpambania mtoto, kwani wamama tunaweza katika Molla. Mungu azidi kumsimamia kijana kwa yote❤

  • @kadiakirua7621
    @kadiakirua7621 12 วันที่ผ่านมา +2

    Daaaah kumbe inawezekana kabisa!!Ayo tv asanteni kwa kumleta huyu jombaa katupa mwanga wa kufanya visivo wezekana

  • @hadijarajabumumba6212
    @hadijarajabumumba6212 7 วันที่ผ่านมา

    Ma Sha Allah. Big up sana dear. Mwenyezimungu akufungulie neema kubwa zaidi. Keep fighting love. You made it. Wajina wangu.❤

  • @RebeccaMarango
    @RebeccaMarango 6 วันที่ผ่านมา +1

    MUNGU Akulinde Mama Pamoja na Watoro Wako!!!❤❤❤🎉🎉🎉

    • @AminaMsiyu
      @AminaMsiyu 4 วันที่ผ่านมา

      Àmyn yàrab àmyn

  • @fatmahhussein6335
    @fatmahhussein6335 12 วันที่ผ่านมา +10

    MashaAllah hongera pia mlikuwa na uwezo kimaisha pia mm wangu yupo daimond anasema ipo siku nitakuwa rubani mama namkatisha taamaa kutokana na maisha ya huyu mama naimani ipo siku na mm mungu atajibu maombi yangu mwanangu afikie lego lake haki imenitowa machozi 😢na nimejifunza kitu

    • @a.s.afishfarming6225
      @a.s.afishfarming6225 12 วันที่ผ่านมา +2

      Mtangulize Mungu kwa kila hatua na umpe moyo mtoto kuwa siku moja ndoto yake itatimia Inn Sha Allah

    • @liberatusjackson5045
      @liberatusjackson5045 12 วันที่ผ่านมา

      Katobwe😂😂😂😂

    • @HawaKulindwa
      @HawaKulindwa 7 วันที่ผ่านมา

      Masha Allah Mungu amtunze ampe afya njm mama endelea kumuombea Mwanao na mwache Huko Canada hasad zimejaa Tele

  • @minzandaki9830
    @minzandaki9830 วันที่ผ่านมา

    Mama hongera sana. Your Super Woman. God bless you

  • @Zanha582
    @Zanha582 5 วันที่ผ่านมา

    Mashallah mashallah mashallah

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama4407 8 วันที่ผ่านมา

    Awe anazunguka Dunia kwa masaa na siku huku na huku Awe International pilot. Bigup vip Glory be to Almighty God

  • @clauschaula2050
    @clauschaula2050 12 วันที่ผ่านมา +2

    Hongera endelea na majukumu yako ukimtanguliza Mungu.

  • @halimamghana2293
    @halimamghana2293 8 วันที่ผ่านมา

    MashaAllah,hongera sana mama Fahad kwa kusimamimia ndoto za mwanao,Kina mama wenzangu tuzidi kupambana hata kama tutatelekezwa kama mama Fahad tupambane na watoto wetu,InshaaAllah m'mungu atawajaalia watakuwa,watasoma na watasimama tu uku tukimuomba m'mungu,M'mungu yeye ndio Kun faya kun,Akisema kuwa linakuwa.Amiin.Hongera sana kijana wetu Allah azidi kukujaalia kila la kheir na akuongoze katika mambo yenye kheir,akukinge na hasad za watu na majini.Amiin.

  • @harunesmail2444
    @harunesmail2444 8 วันที่ผ่านมา

    Mashaallah hongera mama kwa kupambana na mtoto atimize ndoto zake na kijana hongera sana

    • @hadijaSeif-v6s
      @hadijaSeif-v6s 7 วันที่ผ่านมา

      Shukran sana ndugu yangu

  • @allytv1714
    @allytv1714 12 วันที่ผ่านมา +7

    Vijana jitaidini kusomesha watoto wenu msikimbie family wale watoto wanabaraka zao Mungu awezi kukuacha iv iv

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t 12 วันที่ผ่านมา +2

    Hongera sana mwanangu umemsimamia vzr Mjukuu Allah azdi kuwaongoza

  • @Sarah-ve3xn
    @Sarah-ve3xn 7 วันที่ผ่านมา +1

    Nimewafurahia sana mama na mtoto❤

  • @DuckVlogq
    @DuckVlogq 12 วันที่ผ่านมา +2

    Mashallah allah akuzidishie ❤

  • @rehemaphillingsonmlawa4206
    @rehemaphillingsonmlawa4206 12 วันที่ผ่านมา +3

    Hongera sana kijanà natamani sana mwanangu anandoto kama wewe namwomba mungu ndoto zake zitimie

    • @AnneyLissu
      @AnneyLissu 5 วันที่ผ่านมา

      My dear Habari naomba Kama umepata namba za huyo mama naomba tafadhali hata Mimi mwanangu anahizo jdoto hapo ni mdg Sana lkn kuhusi urubani humwambi kitu

  • @MbarakHaruna
    @MbarakHaruna 12 วันที่ผ่านมา +4

    Top ...story

  • @olivernyakunga4891
    @olivernyakunga4891 10 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana mama umepambana kwa kweli. Hukukata tamaa pamoja na yote. Mungu aendelee kukusimamia na watoto wako❤❤❤

  • @ElizabethVedasto
    @ElizabethVedasto 9 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana kijana. Mama Wewe ni shujaa. Na kilichonifurahisha zaidi ni kijana kuongea kiswahili anajitahidi sana

  • @user-hn5kc7up1x
    @user-hn5kc7up1x 10 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu amuondolee jicho la husda mungu ambariki mtoto wetu wa kitanzania pia hongera mama huo ndio mama malikia wa nguvu siyo mchezo hongera sana

    • @hadijaSeif-v6s
      @hadijaSeif-v6s 8 วันที่ผ่านมา

      Shukran sana 🙏🏻

  • @maryamadam5622
    @maryamadam5622 9 วันที่ผ่านมา

    Mashallah. Very good interview Milad. Kijana kawa mfano mkubwa kwa ndugu zake. Mmungu akuondoshee hasada. Mama pia kama mama umesimama vyema.

  • @bahatimwakilima3273
    @bahatimwakilima3273 9 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera sana mtoto pongezi nyingi kwa mama hakika umepambania ndoto ya mtoto

    • @hadijaSeif-v6s
      @hadijaSeif-v6s 8 วันที่ผ่านมา

      Kweli. Shukran sana

  • @claudia1500
    @claudia1500 12 วันที่ผ่านมา +2

    Hongera mwanamke mwenzangu,na hongera kijana kwa kumfuta machozi mama,nyie kina baba mnaotelekeza watoto endeleeni tu mtakula jeuri yenu

  • @Official83640
    @Official83640 10 วันที่ผ่านมา

    Maa'shaallah hongera mwanamke mwenzangu ww ni mwanamke wa nguvu Mungu akupe umri mrefu uje ule matunda yako In'shaallah

  • @AnnaDaniel-z8j
    @AnnaDaniel-z8j 8 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu akulinde na akuongezee miaka

  • @user-uh3rz9mr2f
    @user-uh3rz9mr2f 9 วันที่ผ่านมา +1

    hongera sana dada yangu mungu azidi kurinda

  • @MarySteven-lv1td
    @MarySteven-lv1td 12 วันที่ผ่านมา +5

    Hongera mama na mtoto❤

  • @mohamedmwadin-ik4no
    @mohamedmwadin-ik4no 3 วันที่ผ่านมา

    Africa is always good but think twice in changin' atmosphere coz everything is differ, take care & God blessin'

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama4407 8 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu Mwema Ubarikiwe tuendelee na maombi Zaidi Ili Mungu Akulinde Zaidi na familia yako shetani aendelee kushindwa Ktk Jina la Yesu Kristo Aliyehai. Naamini bado Makubwa Zaidi Mungu Mwema Atazidi kuibarikia familia yako Hongera Sana Mama kwa kusimamia Agizo la Mungu kwa familia Yako.

  • @zainabkoburongo4442
    @zainabkoburongo4442 12 วันที่ผ่านมา +2

    Hongera sana, baba ni baba, msamehe tu, hongera mama umesomesha

  • @fauziakarama8581
    @fauziakarama8581 8 วันที่ผ่านมา

    Allah awalinde watoto wetu yarab uwezi want peke yako kazi Allah atatusimamia amiin

  • @beatrice4780
    @beatrice4780 8 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana Bi Hadija pamoja na Kijana wetu. Mwenyenzi Mungu azidi kuwasimamia🙏

  • @suzannagibai213
    @suzannagibai213 8 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana kijana, unajitambua, hingera oia mom, kwa vision yako

  • @RamlaMohamedy-sr1pe
    @RamlaMohamedy-sr1pe 9 วันที่ผ่านมา +1

    Alla akuongoze zaidi

  • @mrishokilwa827
    @mrishokilwa827 2 วันที่ผ่านมา

    good boy conglaturation

  • @ramadhaniluoga5491
    @ramadhaniluoga5491 12 วันที่ผ่านมา +2

    Safi sana mungu awabarik