Wajuwe Mwalimu Nyerere na Kambona walivyokuwa katika Historia ya Tanganyika

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ส.ค. 2024
  • Kwenye mahojiano haya na EBN Afrika, ninamzungumzia Oscar Kambona kama alivyokuwa kwenye historia yetu iliyofichwa.

ความคิดเห็น • 20

  • @fideliskahwa3385
    @fideliskahwa3385 5 หลายเดือนก่อน +3

    Interview nzuri sana tatizo ni muziki huo unakera sana

  • @sylvestersayi2481
    @sylvestersayi2481 4 หลายเดือนก่อน

    Ashukuliwe kambona

  • @ignasnyembo1256
    @ignasnyembo1256 5 หลายเดือนก่อน +2

    Khasante sana Nd. Mohamed. Julius alipoteza watu wengi. Alijiona ni bora kuliko wote Tz

    • @joycemosha1898
      @joycemosha1898 5 หลายเดือนก่อน

      JAMHURI YA MUUNGANO WA AFRICA DUNIANI TZ KILA KIONGOZI ANAUKATILI WAKE WA UONGOZI WALE WOTE WALIOKUWA NA MAENDELEO YA KUVUSHA TZ KWENYE KUTOKUKUBALIWA KWANZA KUACHA NAFASI YA KUTAWALA ALIKUWA ANAPENDWA SANA WANANCHI NA JESHI PIA MWALIMU ALIISHI NA OSCA UK CHUMBA KIMOJA WAKATI ANASOMA SHERIA

  • @marcnkwame1835
    @marcnkwame1835 5 หลายเดือนก่อน +8

    Toeni huo muziki kwenye background. Katika mambo serious msiweke hivyo vitu. Inafanya kipindi kionekane cha kibongo fleva

    • @margaretshaidi3161
      @margaretshaidi3161 5 หลายเดือนก่อน

      It can be softer. It's distracting!

  • @menyemusic
    @menyemusic 5 หลายเดือนก่อน

    Mzee mwenzangu ahsante sana nimefahamu mambo mengi nilokuwa siyajui

  • @williemwadilo1591
    @williemwadilo1591 5 หลายเดือนก่อน +1

    Great interview but background music very unnecessary spoiling the story

  • @nassortrans12
    @nassortrans12 5 หลายเดือนก่อน +1

    Fundi mitambo umebugi na muziki sauti ipo juu
    Hainogi story

  • @sylvestersayi2481
    @sylvestersayi2481 4 หลายเดือนก่อน

    Alikuwa kipanga pia darasani kambona

  • @MasterCastory
    @MasterCastory 5 หลายเดือนก่อน

    Hello mtangazaji! Inamaana husomi ujumbe wa wasikilizaji wako? Badilisha huo muziki wako ni mbaya sana!!!!

  • @salumdata8101
    @salumdata8101 5 หลายเดือนก่อน +1

    Historia iliyotukuka kabisa

  • @lugwetunje3896
    @lugwetunje3896 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kama kambona angeongoza ruhsa ingekua mapema

  • @ahmadateguro4886
    @ahmadateguro4886 5 หลายเดือนก่อน

    Mzee hazina

  • @JustinOlesaibull
    @JustinOlesaibull 5 หลายเดือนก่อน +1

    Historia hii inastahili kuhifadhiwa kwa ajili ya vizazi vijavyo

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 5 หลายเดือนก่อน

    ✌️👊👍.

  • @abdullkilawi5504
    @abdullkilawi5504 5 หลายเดือนก่อน

    Upande wa akina ilonga na wenzake ujapata kuzungumzwa

  • @kidwumoulakammagyikidwumou2984
    @kidwumoulakammagyikidwumou2984 5 หลายเดือนก่อน

    Hilo limziki linahusianaje na mada jadiliwa? Limeharibu mno interview.

  • @aloycebabene6239
    @aloycebabene6239 5 หลายเดือนก่อน

    Walao chuo kimoja kiitwe chuo cha kambona University