KAMA UNAHISI UNAJUA UKWELI WA HII DUNIA FIKIRIA MARA MBILI VIDEO HII ITAKUCHANGANYA SANA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ม.ค. 2021
- KAMA UNAHISI UNAJUA UKWELI WA HII DUNIA FIKIRIA MARA MBILI VIDEO HII ITAKUCHANGANYA SANA
Bonyeza Hapa KUSUBSCRIBE th-cam.com/users/Tricodskills...
FOLLOW TRICOD SKILLS on Instagram!
/ tricodmedia
LIKE TRICOD SKILLS on Facebook!
/ tricod-skills-11524157...
FOLLOW TRICOD SKILLS on Twitter!
/ tricodskills
#freemason
#Genesis
#SiriMzito
Tunashukuru Tricod kwa elimu hizi, ila NEY WA MITEGO anazidi kutupa fumbo juu ya mziki na maisha yake, tunaomba utuchambulie maisha yake na ukweli wa hizi nyimbo zake, Asante
Mungu atupe Nuru zaidi
Mungu atusaidie sana! Cku hizi wapotoshaj wameongezeka aseeh!
Sio upotoshaji imelinganishwa wapi
H8ngera kaka nakufatilia , asante sana nami nko lab ,
Kazi safi bro hakuna jihanamu vilikuwa ni vitisho tu vya missionaries ili tubadilishe imani zetu
Kazi njema my beast
1: waibrania called God elohim
2:somali called God illahi
3:arab called God Allah
Hili ni jina moja tu la mungu ambae ni Allah ila kila lugha wanapronounce tofauti au accent tofauti mungu wa kweli ni ALLAH PEKEE hakuna mwengine
Kweli kabisaaaa
Acheni kujidanganya nyie! Afu mnasupportiana kupotoshana! Allah co Elohim na haiwez kuja kutokea
Mungu ni neno na ndio maana kila lugha hapa duniani inavile inavyo tamka neno Mungu kivyao, ambapo kiswahili ni (Mungu,) kijaluo ni (Nyasae,) kikikuyu ni (Ngai,) kigiriama ni Mulugu,) kizungu ni (God,) na kabila zingine wana vile wanatamka neno Mungu. Sasa, katika biblia ya kiswahili limetumika neno Mungu, biblia ya kizungu limetumika Neno God. Sasa kinachonishangaza ni kwamba qurani iliyo tafsiriwa kwa kiswahili, linatumika jina Allah sanasana na wakati mwingine Mwenyezi Mungu, lakini katika qurani iliyotafsiriwa kwa kizungu, huwezi pata wakitumia neno God, ili kuonyesha Allah ndio kusema God kwa kiarabu (kwa mfano _ God said ) bali huandika (Allah said ). Sasa my friend, nataka uniambie kama Allah ndio Mungu ama God, kwanini kwenye qurani ya tafsiri ya kizungu wasitumie Neno God?. Kwa Shuari hii mimi sioni kama neno Mungu ama God ndio neno Allah, inaonekana Allah ni jina, na Mungu ni neno,. Lazima ujue Mungu hana jina na atabakia kuitwa Mungu kwa sababu yeye si kumbe, viumbe ndio wenye majina ,ukisikia Mungu mwenye jina ,basi ujue huyo ni kiumbe. Kwahio someni qurani vizuri na mtafute neno Mungu linatamkwa vipi kwa kiarabu juu Allah ni jina. Na kama Allah ni God kwa kizungu, basi qurani ya tafsiri ya kizungu inafaa kutumia neno God
Likes zangu please first to view & Comment, from Kenya ...Nice job bro...
Thank you so much umetisha sanaaaaaaaa likes nyingi zinakuhusuuuu
Broh habari unafanya kazi poah sana ila naomba next time uje na simulizi ya kuhusu shetani au mtawala wa kiroho wa ulimwengu huu maana kuna reports zinasema kuwa shetani mwanamke na kuna baadhi ya wamuziki wa kubwa waliouza nafsi zao walikili hivyo kwa kupitia nyimbo zao dark horse ya kperry beal jean ya michael jackson ile video ina utata sana piah na ule wimbo wake wa whatever hapen so naomba uje simulizi hii kama nikwel
Hahahahahaaaaa hii noma sanaaaa ntaifanya kama haina ukweli wa kuumiza sana hahahaha
Asante saaana 🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🥰🥰🥰🥰💐
Shukrani sanaaaa nimefurahi sana
@@TricodMedia tuko pamoja ndugu
Kumbe kunayo tusiyoyaelewa ingawaje hatujui kama ni kweli ingawa bado Luna uwezekano kwa maana mengi tumeyasoma bila kujua kindani zaidi kwani tunasoma tupate Nazi bila kujua inatakiwa tujue ukweli asanteni tricod media nimejua mengi kutoka kwenyu ingawaje mengine nahitaji roho mtakatifu atufungulie tujue kwani napenda sana kujua zaidi
Asante sana ni vizuri kuujua ukweli wote wa duniani na ni vizuri ukasimama kwenye imani yako pia maana hakuna njia moja sahihi ya kuwasiliana mungu maarifa hayana mwisho na wengi wanapotea kwa kukosa Maarifa
Heloa zairaaa iko kwa wa meru helps mean kitusafii
Hey Jose can we talk in PRIVATE ???
Mimi naamini Mungu yupo,kupitia pumzi ya uhai wangu,naweza nisiamini mengineyo maana yatanichanganya tu.
Tuambie ukweli wanao tuficha broo
Yesu Kristo ndio jibu
Team Kristo.
Kwa Mimi ambae nafatilia Mambo Kama haya nimekuelewa Sana sana! Ila nikusaidie tuu kiukweli shetani hayupo! Shetani ilitumika kuiita Imani za kiafrika ili tuziache na kufata ukristo na uislamu! Ila tumepigwaaa
umepigwa peke yako
😂😂😂 kweli kapigwa pekeake
Team kr
Hakuna geni alie Christian anajua mwanzo wa kitabu cha kwanza Genesis yote jinsi Mungu alivyo anza kuiunda dunia. Someni Bible itawafungua macho ya kiroho. Bwana Yesu Asifiwe🙏
kuna vitu vingi sana hatuvijui kwa sababu tumekuwa wavivu sana kusoma vitabu na kufuatilia makala zenye kutufungua ufahamu Ndio maana wanaofuatilia mambo wanakuwa mbele sana kufahamu . hii ni changamoto lazima tukubali kujifunza kila siku kwa kuwa wasomaji na wafuatiliaji wa makala zenye kutufungua ufahamu big up sana joseskills (trokodi media)
Jamani ulipotelea wapy missment mob Sana
Kuna Mungu baba Mungu mwana I mean Yesu) na Mungu roho mtakatifu, ukisoma vizur pale kwenye uumbaji Mungu alisema na tumfanye mwanadam kwa mfano wetu, ikimaanisha utatu mtakatifu Baba, mwana na Roho
tafsiri ya kwako hiyo
Hello
Unyumbu....✍️✍️
Hahahaha
Hakika umeshaa nifungua akili saana juu uwepo wa mungu kwell nime amin tume fichwa mengine mengi dunia ina siili nzito saana
Makala zako zote nafuatilia hii inahitaji umakini kuielewa kazi nzuri
Kweli kabisaaaaa
Lests goo muda sana tulikumis
Asante sanaaaa niliwamic sana pia nilikua nasoma dini kidogo sema haya mambo yanachanganya sanaaaa sijui waliotupa dini walifanya makusudi au walikua hawajui
Heri ya mwaka mpya kwanza maana tumeuona mwaka salama
Shetani ni mwanadamu aneetenda mabaya asio mpendezesha Mungu
Kweli kabisaaaa
🥰🥰🥰🥰😇😇😇😇🚴♂️🚴♂️🚴♀️🚴♀️
Mbona tulikua tunaweza danlodi saivi mmetufungia hiyo fursaa
Mmmmmh mmmh mmmmh mmmh
Duh kwelly njia pandaa
Hahaha hahahaha noma sanaaa
Kwenye swala la dini generation hii zimekuwa zinachanganya sana unaweza ukafika kipengele flani ukaona dini flani inasema ukweli ila kwenye kipengele kingne dini nyingne inasema ukweli kuliko ya kwanza wew unabaki njia panda tena auoni na umeshapata hadi ajali😄😅
katika sala ya baba yetu kuna sehemu inasema UTAKALO LIFANYIKE DUNIANI KAMA MBINGUNI. SO yale yafanyikayo mbinguni yanafanyika kimwili hapa duniani
𝕟𝕚𝕔𝕖 𝕛𝕠𝕓
Thanks
Hapa nimepata kitu
Duuu...upotoshaji mkubwa tangu kuumbwa dunia
leo sijakuelewa kabisaa, ulikusudia nn, maana story zilikuwa nyingi, yaani unatupeleka mbiguni, duniani, kuzimu, daaah, umenivuruga sana, sijajua lengo hasa, ulitaka tujue kipi hasa, myb utoe clip nyingine ya ufafanuzi zaidi
Hahahahaha kweli kabisa ntafanya hivyo
fanya hivyo kaka, maana nimeshangaa sana kuona kuwa mungu nae ana watoto, ha ha ha ha ha ha, tena kitambo tu, daaah
@@michaeljohn9070 ali waza nanan
@@ninialzahrani4098 na mm ndo nashangaa sasa
Shetani hayupo Ani hapo waafrika tuliambiwa Imani zetu Ni za kishetani ili tuu tuziache!! Hakuna Moto Wala mwisho wa dunia
Asande kutujulisha habari hii
Naomba utuletee hii elimu ya chakra please mana mm nimekuwa nikijotahid kubalance chakra zangu ila sasaivi Nasumbuliwa na kichwa na pia macho yangu yanakuwa yanakuwa kama yanauma sana napokuw kwenye jua ila nikiwa kwemye kivuli nakuwa sawa tuu Au nikiwa ndani pekeyangu nakuwa Sawa tu ila nikishaanza kujichanganya na watu ndo mtihan unaanzia hapo.
I Have no comment
Hahahahhaha
The Gap Theory
Mnapo amini watu na kuwa abudu huko ndiko kuficha ukweli wa hii dunia kubudu watu kwa maelfu ya miaka
Daaaa bado sija mjua uyo shetani
Hahahahaha
Kaka kuna Jehanamu soma vizuri ufunuo 20 vizuri utasikia shetani mpaka akitupwa katika ziwa la moto na ukimalizia kuazia 12 nakwingine kwingi sio hapo tu pa jehana mathayo 3,moja mpaka kumi
Jehanam ni sitiari
Du maneno mengiiii bila vifungu vya maandiko . Unayatoa wapi au umepiga ramli? Pole sana
Kwaio vifungu vyooooooote hujaviona hahahaha sema sikuchauri uamini video hii maana itakuchanganya sana
Leo umeongea upuuzi sana
Eti watoto wamungu
So mungu amekua nafamilia
Acha upuuzi bc utaenda kuchomwa
Kitu ambacho sijakuelewa ni kwamba mimi ndio nimeongea upuuzi au kitabu ndio kimeongea upuuzi watu wanajua hilo haliwezekani lakini lipo kwenye Kitabu kwanini wameliweka sababu kuna siri kubwa nyuma yake
Kawaid ya waislam...sishangai....ant crist
wewe utabanikwa
Nimepatama maana hawawatuweupe wametokana nawale maraika wahasi
Hahahahaha
Bado sjakuelewa katika jehanamu na shetan wa kwenye maji ya chumvu huyo jocka na nyota ya asubuhi
Nimefuatlia mpaka mwisho ila bado sijaelewa kabisa naomba uje na mafunuo zaidi ! Mana kitabu cha ufunuo kinazungumza mambo ya mwisho na moto wa milele je unatk kusema kwamba kitab cha agano jipya kinamapungufu. Na tujuavyo ni kuwa yote yaliyoandikwa kwenye Bible lazima yatimie?? Tuweke Sawa please usituache hewani.
mashetani ninini nashetani ninani
@The vision of eagle ok asante
@The vision of eagle siyo hio ni nazaria tu na ukweli hapo au upo
Ukitumia akili vizuri, pamoja na maelezo yako mazuri upande wa shetani kupanda jioni na kupigwa asubuhi haviwezi kuleta mantinki(na haiwezekani kuwa kweli), kwa sababu dunia inazunguka muda wote na hakuna hata sekunde moja ambayo dunia yote ni mchana tu au usiku tu,usiku na mchana vinategemea na eneo dunia ilipo katika mzunguko wake.
Tafakari maelezo yangu yakikuchanganya niulize,sio kila lisemwalo lipo vingi ni vya kufikirika!
Zamani walikua wanaamini jua ndio linatembea sio dunia hiyo aidia imekuja badae elimu ya sayansi ilipokua
@@TricodMedia na ndio maana mwisho nikatanabahisha kuwa vingi ni vya kufikirika japo vimeaminika kwa kukaririwa sana,kimojawapo ni hicho cha shetani kupanda au kupigwa ili adondoke! nafikiri umegundua katika maelezo yangu ambacho hukuwa umekitafari kabla hujatoa mapokeo!
@@TricodMedia kaka nomba mawasiliano yako una vingi vya kunisaidia
Yani ww ukweli unaufahamu vizuri lkn hautaki kuufunua , nice try
Watu wengi hawajajua ukweli sababu hawajapata maswali sahihi ya kuuliza ndio maana nimewapa maswali ili wakatafute majibu inaonekana unajua ukweli na unajua ilivyo ngumu kukubali mara ya kwanza
Namba yenu ya WhatsApp
SSI tunamtafuta Mungu baaasi
Kweli kabisaaaa
@@TricodMedia tricod media mbona hujawahi kutangaza mada ihusuyo time travel vinnahsianaje na alien pamoja nablack hole
@@TricodMedia na Yule mtabili vangeria bush terova (Bibi vanga) au (babavanga)
@@michaeleustarch3236 kweli kabisa sijawahi kuifanyia habari hiyo inabidi niifanyie kama video mbili au tatu ili tumalize kila kitu
@@michaeleustarch3236 bibivanga ngoja niicheki maana sijawahi kukutana nayo
Maelezo mengine Apa mnakosea bwana inabidi mfanye utafiti vizuri. Baadhi ya maelezo mnakosea.
Quraan inekusanya vitabu vyote torati injili zaburi. Hata bibilia ya kale Ina vyo. Hapana ivi wazungu wamebadili.
Sas Apa baadhi ya maongezi unaongea sio sahihi