chanzo cha kifo cha TB JOSHUA ni utata mtupu Kuna mengi mazito ya kutisha sana
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 13 มิ.ย. 2021
- chanzo cha kifo cha TB JOSHUA ni utata mtupu Kuna mengi mazito ya kutisha sana
Bonyeza Hapa KUSUBSCRIBE th-cam.com/users/Tricodskills...
FOLLOW TRICOD SKILLS on Instagram!
/ joseskills_
LIKE TRICOD SKILLS on Facebook!
/ tricodmedia
FOLLOW TRICOD SKILLS on Twitter!
/ tricodmedia
#TbJoshua
#Rip
#TbjoshuaDearth
KIFO CHA TB JOSHUA Manabii Wakubwa WASHEREKEA KIFO CHAKE Wagoma kumzika FREEMASON WAHUSIKA
th-cam.com/video/_0TKmQYqfMQ/w-d-xo.html
Tunasubiria tu ya prophet Owuor wa Kenya. Good work.👏👏👏
kwanini kushuudiya wongo?
Tulete story ya kifo cha mtoto wa davido
@@joyokumu6791 yeah kabisa na manabii wa kenya
RIP TB Joshua
Nothing to say. May God bless u. May God bless your family. Amen
Aya yesu walimkataa tu so yy c maajabu watu kumpga vita.. Rip tb joshua
Pumzika kwa amani mtumishi wa Mungu . Hakika Mwenyezi Mungu yuko na wewe huko ulipo mbinguni!!! Mwenyezi Mungu yuko Ana kupigania haki zako ….😭😭😭
Bismilahi Rahman raahim namshukuru mungu tena sana alhaamdulilaah na yeye ni mfalme hakuna mwingine zaidi yake Amin Amin Amin yaraab Amin alhaamdulilaah namshukuru mungu tena sana kuwa mwislam dini iliyoo nyookaa na isiokuaa na Shaka juu yake alhaamdulilaah uislam ni dini ya haki alhaamdulilaah namshukuru mungu tena sana alhaamdulilaah wakristo ni msibaa mkubwa inaa lilaahi wainaaa ilaaaahi raaajuuuhn poleni sana wakristo huyo ni fremanso mshirikinaa sana na huyo ni sawa sawa na mnyama
TB Joshua, is my pastor,hata Yesu mwenyewe alipingwa.
Si kweli,kwamba Nana amempa nguvu,Tb Joshua, kwani huyu ni muujiza tangu kuzaliwa,.
TB Joshua na nguvu zake ambazo zilimdhuru,mahali pema peponi,uwezi kujipema mahali pawili na ukavishinda vyote
Aende zake.alikuwa anatumia nguvu za giza huyo.kanisa lake,kanisani lake kanisani analijua?Ni kusanyiko lake.kanisa Ni la aliyeumba mbingu na nchi.
@@miriammworia1297 kama una uhakika na unachoongea,ulithibitisha kwa macho yako sio kusikia.Mungu aliyemuumba akulinde.ILa km ulisikia watu,mitandao au chanzo chochote,bila kuona kwa macho,au bila kukufanyia chochote umeamua tu,kuamini kupitia kusikia MUNGU akuchungulie kutoka mbinguni.
Tuletee muendelezo bhana. Kuhusu iyo vita ya ulimwengu wa roho. Pamoja na uyo mtaalam bonsam tujue nn hasa kimetokea. 🙏
Nakuja nayo kiundani maana nimeona nimsifie kidogo kabla ya kuelezea mabaya hahahaha
Wakenya nipeeni like😢😢pastor nganga ako aje?
Kwenye Dunia ya kiroho kuna nguvu 2 tu, mwanga vs giza namaanisha MUNGU na mashetani
Thank you for your analysis.
Asante kaka, watu wanaongea vibaya jamani eeeh duniaaaaa mungu tusaidie kwakweli
My God have mercy upon us
ASante sana for this infomation
asante sana jose kwa kutupa hizi informatiom
Mchawi wa Ghana hakusema alimpa nguvu T B Joshua. Kumbuka Mtume Paulo naye hakujitibu. Ingawa alimlalamikia Mungu autoe hui mwiba. T B Joshua aliitwa na Mungu arudi nyimbani.
Watch and Pray ni Neno lililoko ndani ya Biblia alituwachia Yesu . Kukesha na kuombs. Kristo..
TB JOSHUA kamaluza kazi iliyomleta duniani hayo mengine ni mbwembwe tu!!!
Kweli kabisaaa
Watch and pray maana yake ni kesheni mkiomba na sio (aangalia alafu uombe)
Asante sana
ni kawaida mtu kugonjwa TB josua ni mtu atakama mungu alimutumikisha sana. naamini Mungu alimuita ili asi chafuk na uchawi na kazi za dunia njomana Mungu alimupeleka mbiyo
Hatari sanaaa. Duh. Ctor hii inatisha. Kwa hivyo yaonekana kifo chake sio cha kawaida
Mungu ndiye aliyejua kuzaliwa ndio pia alijua sk ya kuaga dunia jina la Bwana libarikiwe.
Power
RIP TB Joshua😭💛💖😭
Hivi toka LINI najisii ikafanya miujiza huyu MTU Ni manipulated NDIYO Maharashtra YESU AKASEMA ukiona kunguru wengi ujue kuna mzoga duniani WATU wengi wanahangamia KWA kukosa maharifaa
Hahahahaha
I'm in shock, very sad, l will surely miss TB joshua.
Kweli alikua mtu mzuri sanaa
Safi sana brother jose,,umeichambua vizur watu ambao watakuwa seriously weka utaratibu wa drop number group liendelee
Shukrani sanaaaa
Tayari group nimesha fungua nicheki Watsap +255713728986 karibu sanaaa
Nakubal... 🤝👍👍👍
Pamoja sanaaa
😘😘😘😘
Rest in peace TB Joshua.
Nakubali kaka
Asante sanaaa
Asante kwa taarifa! Ila tumia vema neno 'weza' kwa usahihi. Kuweza kufa ni kosa. Sahihi ni alikufa. Siyo aliweza kuona bali Aliona. Ona na salí siyo ona na kuweza kusali .
Kweli wewe mtaalam wa Lugha ya Kiswahili. mf. Aliweza kutoa ushuhuda (alitoa ushuhuda)
Nashkuru sana nimekuelewa ntaifanyia kazi
Huwezi kuupiga ufalme wa giza ukiwa kwenye ufalme huo huo kama mnahitaji ufafanuzi nitafuteni Bwana Yesu alisema huwezi kuingia kwenye nyumba ya mtu mwenye nguvu usipomfunga kwanza
Kweli kabisaaaa
Weka andiko hilo bayana
Nawashangaa wanaomsifia TB Joshua wakati alikua mfuasi wa Shetani alikua under Marine kingdom
Lets goo
Hatimae mwana mpotevu umeonekana hahaha
Endelea kituelimisha, Mungu akulinde Sana.🙏
Aminaaaa nashkuru sana
Only God can judge, these Tanzanian claiming to know everything yet they are village champions so sad
Kaka nilingoja hii sana kaka, all the way from Uk
Asante sanaaaaa
Ujumbe wa MUNGU ni mfupi na umenyooka vizuri ktk maisha yetu wanadamu nao unasema
"KILA NAFSI YENYE MWILI ITAYAONJA MAUTI"
Na pia ZABURI Ya 82 Imekaa na kusimama vizuri Kutusaidia wanadamu
Just watch & play.
Nilikusubiriya kwahamu kubwa na Jana mutoto wa tb Joshua kajifunguwa sikuya birthday ya babayake kumekuchaaaa
Kweli kabisaaa inabidi nije nayo hiyo mapema
@@TricodMedia nakunatariki iliyototolewa ya kifochake kama kombe brayani
Hivi huyu Mrumishi asipigwe vita kwa nini? Kama mtangulizi wake Yesu Christo alivokataliwa nae ni lazima. Unyo!, wwe c Mungu na bado unaishi hujui Mungu aneza kuinua kma TB alafu yale unayasma kW TB sasa ukaxmwa wwe
I'm Continuing To Know Much About Tb Joshua
Amen
Mchawi hawezi kumshinda mtumishi wa mungu tuamini kuwa kwa mungu wote tutarudi
Watch and pray maana yake kesheni mkiomba,
Safi sana kaka
Pamoja sanaaaa
jose skill nilikuwa na subiri sana kwa shauku kujuwa ukweli , maana you tuber wengi siwaamini , nakuamini ww daima kwa ukisemacho , maana unaongea kwa reference sana
Asante sanaaaaaaaaaaaa
Asanti
Astaghfirullah
Rip tb joshua
Rest in peace tb joshua
Tb Joshua hajaugua, tupe chanzo Cha habari kwamba aliugua, Tujitathmini sisi tuliohai yeye ameumaliza mwendo salama,
Nilikuwa nasubiria kwahamu saaaaana 🇨🇩🇿🇦
Tuko pamojaaaa
Huyu ni nabii wa ukweli
Xaw
Imekaa poa
R.I.P.
Ielezee issue ya Bushiri na huyo mganga mwenye nguvu wa Ghana
There's a reason behind everything
Kweli kabisaaa
Hayo yote ni ya uongo mi siamini ila namwachia Mungu
khaaaaaa kama unaomba Mungu mwambiye akuoneshe
Kaka 🙏🙏 nilikua naisubili kwa hamu kwer hii stori
Asante sanaaa
Na mm kwenye groupe la WhatsApp 👍🏾
Sawa ntafanya hivyo wiki hii ntalifungua ntakujulisha pia
Tupo pamoja let me know kama kutakua na grop I’m so curious about this things..plz
Tayari group nimesha fungua nicheki Watsap +255713728986
U
It's true that everyone uses Afrikan spirituality to succeed as they tell us to continue praying
Hahahahaha kweli kabisaaaaa
Malizia stor ya bruce lee
Kama angekua anamtumikia mungu wa kweli wasingeweza kuumua ila alikua anawatumia nguvu za giza
Wwe c Mungu avoid sana ku judge
@@jacksonnzai1593 everyone is entitled to his or her own opinion... he didn't judge said what is after listening this video.
Yupi mwenye alitumia nguvu za giza?
Aliuliwa na nani?? These are all speculations
Kwa hiyo mitume akina Stefano akina petro hawakuwa watumishi
Wanampinga wao wamefanya nini? Wanamuonea wivu
Hahahahaha kweli kabisaas
Ni ukweli kwani wao wamefanya nini ....? Tb joshua alianza na Mungu kutoka tumboni mwa mama yake , kalelewa na shida mungu kamchalia mema maishani sina la kusema mimi pali angalia neno lake la mwisho kwa waumini ama kwa waombezi ( watch and pray ) ili lina maana sana kwetu. Kuliko kuskia Mambo maovu ya masengenyo Omba na mungu wetu atatufunulia ukweli. Kristo yupo all will be done.
Wee hawuajua yote, kweri kama unatafuta miujiza utaenda kwake, arakini kama unatafuta Mungu wa ukweri hautasema kama ari kua na Mungu wa ukweri, arikua na miyungu sio Mungu wa ukweri, ninaamini yare naasema, Mungu wa ukweri akusaidie akufungue maco uwone ukweri kote, namie nirikua mwaminifu wawo arakini Mungu akaniokoa, namushukuru Yesu kristo mwenye nguvu ya kuriko ya uwo Tb, Mungu ni mwema.
Watu wa Rohoni hutambulikana kwa mambo ya Rohoni na mtu wa mwilini hutambulikana kwa mambo ya mwilini. Pia neno linasema tutawatambua kwa matendo yao.
Turudi kuangalia maisha na utumishi wa nabii TB Joshua wapi alipofanya kinyume na maagizo ya Mungu. Amewapenda na kuwasaidia wahitaji, ameponya na kuwafungua wagonjwa na waliofunzwa na nguvu za giza, amefundisha neno la Mungu kwa mataifa kwa media na kwa kwenda physically, amefanya ishara, ajabu na miujiza isiyo na mashaka, amewafariji wenye huzuni na mashaka.
Kawaida ya kazi ya Mungu kila hatua mpya ya ufunuo huwa kuna upinzani kwa kuwa ni jambo jipya limetokea lkn pia ufalme wa giza hushindana kwa njia za kubeba uongo na uzushi juu na mtumishi anaepewa mafunuo na Mungu.
Inafaa kutambua kuwa Mungu kupitia Yesu alitarifu kuwa atakuja Msaidizi ambae ni Roho mtakatifu.
Huyu Roho Mtakatifu ni nguvu na uwezo na anafanya kazi kupitia mtu yeyote anaeona anafaa, anaweza, anastahili, anastahimili, ana bidii, mtii, mnyenyekevu, mvumilivu, msomaji na mnenaji wa Neno.
Yesu alipokuja duniani kulikuwa na dini ya mafarisayo, masadukayo nk. Walimwamini Mungu lkn matendo yao yalikuwa ya mwilini. Ujio wa Yesu na kazi zake waliupinga na kwa uhalisia ndio waliohusika na kifo chake kwa lengo la kukomesha mafundisho yake yaliyopokelewa kwa dhati na kasi kwa kuwa injili iliambatana na miujiza, ajabu na ishara tofauti ya mafarisayo waliokuwa wanahubiri lkn matendo yao hayakuthibitika.
Pia tukumbuke Yesu alipokuwa anawaaga wanafunzi alisema kuwa wanaweza kufanya Mambo makubwa kuliko yeye mwenyewe km imani itakuwa thabiti.Biblia ktk
Yohana 21:25 inaeleza kuwa alichofanya Yesu ni Mambo machache sana yaliyoandikwa. Kwa maana hiyo wanayoyafanya kina TB Joshua pia manabii na mitume wengine ndio hayo mradi anaefanya hayo matendo yake yanamshuhudia na mafundisho yake hayafiki mahali pa kuelekeza kumwamini Mungu mwingine nje ya jina la Yesu.
Shetani ni muongo mdanganyaji, muuaji, mtesaji, mwizi,nk.
Anapoona Roho Mtakatifu anajifunua kwa nguvu nyingine huanza kuharibu mpango kupitia kwa watumishi wasio na mafunuo na wapinga Kristo na wala wake ibilisi.
Matokeo ya mafundisho na matendo ya mtumishi ndio kipimo cha mtumishi wa Mungu na sio miujiza mikubwa au midogo.
Katika 1Korintho sura 12 utajifunza kitu.
Tatizo la kanisa( mwili wa Kristo) linapingana kupitia huduma na karama. Sijui linakataa hicho.....nk.
Huduma tano katika kanisa zikifundishwa vyema kanisa litajitambua na hakutakuwa na hii hali ya kupigana vita vya wenyewe kwa wenyewe, mchungaji na nabii, mchungaji na mtume, mwalimu na mwinjilisti nk. Kila moja ya huduma ina kazi yake katika mwili wa Kristo ambao ni kanisa.
Binafsi naamini TB Joshua alikuwa mtumishi wa Mungu wa viwango vya juu sana katika kipindi hiki cha kanisa ulimwenguni.
Tusomeni neno na kulifundisha bila kulichakachua kwa misingi ya maslahi.
Iko hukumu mbele yetu Wala tusifanye tu ushabiki wa kushabikia kiongozi au kanisa lako.
Mbarikiwe na tupige vita ili kumaliza mwendo salama, TB kamaliza kazi.
@@epafrangweshemi4014 Alianza na Mungu lakin akumaliza naye....skiza testmony zaidi Tb Joshua yuko kuzimu na makanisa mengine yaliyo pata nguvu kwa Joshua yako hatarin...Pili watumishi wasisitize wanawak wasijipambe wala kuvaa suruali....
Mwache Mtumishi wa Mungu apumzike kwa Amani
Daah bushiri kumbe🤔
Cheki video ya mganga kwaku bonsam ndio utaipata vizuri story ya bushiri ni nomaaaaa
Nauliza kwa hakuna ma Shaih wenye walisha Fanya maarifa ama wenye wanatumika na guvu za kiruho mutweleze sana sana nasikiya ma pasta wa padri sasa ma Shaih ni vipi
Sitaki kuamini chochote kinyume na nilivyo mfahamu!
Kama alikua mgonjwa ni sawa tu
Lakini naamini kazi ameimaliza
O8
Boss naweza kupata namba yako kuna vitu nahitaji tuzungumze
Hamna noma kaka nicheki Watsap kwa namba hii +255713728986
mtapingana na yy but lastly mtamkua upande wa shetani wstu wakuenda kuzimu ni wengi lakini mbinguni ni wachache,,wachungaji walimpinga juu ya imani yake ya kweli na hao wachungaji wengine ni washetani
Hao wore walimtusi tb joshwa,ni wafrimason sababu watu wagiza hawapatani na nuru,Bible inasema musihukumu wao wamukumu tb,mungu awasamehe
Mungu ndio kila kitu.. kila mtu ana guess tu. 🙄
Inategemea n mung gan unamuabud.... kun mung mt n mung wa kwel asieonakn n kutofann n kit chchte kile 🤜🤛🙌🙌
Kweli kabisaaa
ana branch usa na uk what are you talking about
Lkn hajatabiri kifo chake mwenyewe,si uongo huo.
Nimeisubili kwa ham
Asante sanaa
Tupe makalayote brother plz
Mbona katabiri uongo??? Ilihali ajiita nabii wa Mungu
Kwani kuna vifo vya Siri?. Wewe huwezi kutueleza chochote maana sisi tujua yote kabla yako.
Tunamtaka BONSAM
Nimeshamleta tayari story yake kali sana kaicheki nadhani sijakuangusha hahaha
Nataka kunjiunga na chama nani anaweza niunganisha
Hahahaha nenda kwa Nana kwaku bonsam Facebook utaona mawasiliano yake ushindwe wewe
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Watsap niungee chap
Tayari group nimesha fungua nicheki Watsap +255713728986
Twambie kama tb Joshua alikuwa kwenye system
Hahahahaha unataka nifungwe haya mambo tutaongea zaidi kwenye group
Ila bongo ndio alichemsha alisema atashinda lowasa
Wate walio tabiliwa na wakashinda niwale ambao wako kwenye sistim ila walio tabikiwa na na kufeli nikwamba hawakuwa kwenye hiyo sistim yao na kwa upande wa jemedari wetu jpm alimtegemea zaid MUNGU na ndoma alimvusha hata pale watu hawakuzan kama itawezekana
Lowasa aliibwa kura
Uchaguzi tz sio wa huru na haki, kama ingekuwa niwa huru na haki sidhani kama ccm ingekuwa madarakani Leo hii.
Kkkkkkkkkkkk
Lowasa alishinda sana Tena kwa Kura nyingi uko hapo msimtuhumu mtumishi wa Mungu mwendo ameshamaliza Yuko kwa Baba mnahangaika Nini jamani Rest in peace TB JOSHUA
Jose twende
Pamoja sanaaaaaaaaaa
Hao pasta wote wana deal na mtu mmoja ghai😂😂😂😂
Wachawi hawa,
@@preciouslissahparis1352 kwakweli mbna wanachukia mtu mmoja ata yesu alifanyika the same so wapambane na hali yao 😂😂😂🚲🚲🚲
huwezi kuwa na stroke na ukiwa hivi uogo
twashukuru kuiachia hii clip ya chanzo cha kifo cha mjamaa,
Asante sanaaa
Tupe stor ya huyo bossom
Niweke wasp
Mbona hakutabili kifo chake?
Story ya bonsam tayari nimeshaiweka nadhani ntakua sijakuangusha hahaha
@@TricodMedia Daah huyu Jamaa yaonekana ndio upeana miujiza kwa wachungaji wote..asante kwa kaz yako
Eli nile robo ya nyama ilio nona kuliko kula kilo kumi zanyama ambayo ningofa
Duniya muna mambo kweri
Hahahahahaha
Vita kati ya TB Joshua Na bonsam
Basi hii ndio itakua ya kwanza kuielezea vizuriiiiii
Nimeshaiweka inatisha sana hiyo video
Thank you for your analysis.
Asante brother japo tunakukumbusha siris yetu ya bruce lee bado tunakudai
Kweli kabisaaa
Ielezee issue ya Bushiri na huyo mganga mwenye nguvu wa Ghana
Nimeshaiweka tayari kaicheki nadhani ntakua sijakuangushaaaa