Prince Katega Ajibu Maswali mazito Kuhusu dini za kiafrika kalenda ya waroma Mungu wa wapagani
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 มี.ค. 2020
- Prince Katega Ajibu Maswali mazito Kuhusu imani ya wa afrika kalenda ya waroma Mungu wa wapagani
Bonyeza Hapa KUSUBSCRIBE th-cam.com/users/Tricodskills...
FOLLOW TRICOD SKILLS on Instagram!
/ tricodmedia
LIKE TRICOD SKILLS on Facebook!
/ tricod-skills-11524157...
FOLLOW TRICOD SKILLS on Twitter!
/ tricodskills
#PriceKatega
#historia
#mwafrika
Sheikh Sharif Majini: Wajue MAJINI WABAYA ZAIDI wenye UWEZO WA wanaosambaza MAGONJWA kichawi
th-cam.com/video/0VBEcbvB0rg/w-d-xo.html
Asante sana Prince Katega kwa uwepo wako najihisi kama nimezaliwa upya kwa ukweli ninao upata kwako na Mulungu Akubariki akujaalie umri wrefu wenye hikma na afya na baraka
Asante sana Mr. Katega
The lessons i learn here are amazing am a Kenyan and everything in Africa is relative
You are the best Son of the African's King
Napenda sana mafundisho yako Prince Katega. Niko huku +254
Naam,jack Richard nawe taja jina lako la asili Mimi pia Niko njiani kubatizwa kwa jina langu la asili tofauti na jina nililonalo kwa Sasa.
@@kakawamashariki8978 Jina langu linalotambuliwa na mizimu yetu ni Omondi
Amani ya MUNGU (ALLAH) IWE NANYI!!! Mm naitwa MUSTAFA(KIONGOZI MFATWA) YAHYA RUNIGANGWA KANIGE CHOTO MUZIMA. Ni mwaafrika kiimani ni mwislamu na najivunia!!! Hakika nabarikiwa sana na masomo yako umeifanya nijitabue hakika!!! Mungu(ALLAH) katuambia ametuumba mataifa na makabila tofauti mbora kati yetu ni mchamungu!! .Na kwenye mafundisho yetu tunafahamu utukufu wa mwaafrika!!! Waafrika wengi wametajwa mazuri na matukufu yao kwenye quran na suna(Hafidhi za mtume)hivyo nina mengi ya kueleza ila leo niishie hapa!! Hakika niko na wewe katika jitambue Afrika!!!
Hongera sana Ewe mwana mfalme naishi nchini Rwanda laki nakufuata sana katika maongezi yako yamenijenga sana ila uwezo kukufikiabmdio sina..lakini Niko begani.mwako
Mungu atakusaidia km una nia hiyo
Asante Sana mungu akubariki
Hongera prince Katega2 kwa masomo mazuri
Rais wetu MH. Maghufuli hili somo najua analipenda sana na atakuwa na uwezo wakudai haki zetu waafrika.
Katega umri wa kuishi ni mfupi sana. Harakati zako nazikubali na natamani siku moja ndoto zako zitimie. Lkn je umeandaa vip kuwapanga vijana watakaorithi kazi yako.
Hii imekaa vizuri sna,karibia tunajikomboa sasa
Daah asante mh.prince katega wa 2 sisi nabii tunamwita umlote, turudi kwenye misingi ya kiafrika tumrudie Mungu wetu
Asante sana,huyo umlote ni wa kabila gani
Katega2 Big up ..Father
safi sana baba tunakuelewa nakuchanganya na baba mmoja anaitwa baba wa uzao wa mungu baba yupo daresalam kanisa halisi la mungu baba anafundisha clear kuhusu kujitambua kama wewe nafikiri mmetumwa na mungu mmoja
Pamoja sana prince wetu tupo naww katka kuuinua ukuu wa mwafrika
Wow ! Mafunzo mazuri hayo,nimejifunza mengi
Asante sana mzee wangu umeelewa sana
Nakukubali Sanaa mzee Nipo makin kukusikiliza
Napenda sana fundisho lako natena nakubaliana nawewe kbsa nakufatilia nikiwa BURUNDI
🇹🇿🇧🇮
Nakupa vilivyo mzee wangu Katega yaani nimekua mjanja kwa kujitambua na kujua ukuu wa mwaafrica
Ndio Maana tunaomba Mungu wa Ugenini Wanabarikiwa wao
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Michael _ Defence Ministries
Raphael_ Health Ministries
Gabriel_ Information and Transport
Josphiel _ Justice
Panuel na wengine wengi na pia wanawasaidizi
Nami pia nipo Rwanda nafuata hayo mazungumzo yenu ni mazuri,huyo muhaya anasema kweli nasi piya tulikuwa nasema mandwa,mungu tulikuwa namuita rurema,mana ya ryangombe.
Uncle mpaka Huku Norwey tunakufatilia❤️ Asante sana
Prince katega Mimi nina kubalianawe asilimia 💯 kweli unachozungumza wa Africa lazima tu fungue akili zetu na Mambo ya nyota unayosema nikweli kabisa
Ubarikiwe sana baba
Nakpenda sana .unatufunga hakiri zeto.kwasababu tunasambalatishwa na uongo tulipea na wazungu .nilipata kuskiza baruwa ya Mfalume Leopord II ilikuwa (1883 kabra ya waulaa kugawana Afrika bila kutuuliza) akiwambia wa misionari kwamba hawakuji Afrika ktuhubili nikutudanganya.kwa Ivyo Wafrika tunafa kurudia mila zetu.
Uko Sawa kabisa 😁😁😁😁👍👍👍historia ya Africa inapaswa kuandikwa na wa Africa wenyewe
we mzigua Mungu kwa kizigua ni mlungu,BWANA YESU=zumbe yesu
Waafrika tuamke jamani
Prince Katega uko vizuri sana
Daaah Afrika one day tutalud kwenye uhalisia wetu
God ni ***GOLD ***OIL***AND DIAMOND***ndiyo resources tulizo nazo ikageuzwa tukadanganywa ni MUNGU
👏👏👏
Ni kweli kabisa
Prince katega2.asande sana Nduku.majibu ya Toto zangu
***Hao walikuja na mfumo wa Divide and Rule****
Mungu akupe maisha marefu.
Ssa tunakuwaje wakristo tena
Wakat tunazo namna zetu!!
😂😂😂😂😂😂
KWANINI USITOE MAANDIKO YA MBANDA UNATOA YA YESU,TUMIA KITABU CHA MBANDA MZEE
Elimu hii ni ya muhimu sana, wapewe kipau mbele.
Asante baba prince katega wa II
Wafipa tunaita Leza
Iko pw
Unashabikia sana wazungu ndo maan unapenda sana kuongea kizungu
Mababu walikuw sawa maana wangeenda kumuomb Mungu Mvua hawangerudi nyumbani Bila Ngai Mwene Nyaga
WaAfrika bado wengi tupo kwa usingizi mzito wa kiakili
Acheni wazungu wapumue, ni ujinga wa mababu zetu, ndo umetufikisha hapa
Sawa mkuu basi nawe chukua hatua nawe wajukuu zako wasije kulaumu
Anasema anataka tuishi kama sisi waafrika ila asilimia 60 anatumia kiingereza je huu ni ukweli
Kujifunza lugha si kigezo ,kigezo ni kujikomboa kifikra mbona tunawachina wanazungumza kiswahil
How can I get your contact?😊
Ndiyo hivyo walikuwa wanabudu malaika kama Mungu hivyo ni kweli walikuwa wanabaudu miungu.
Ukuloni in mbaya sana ni wa akili,endelea na kazi nzuri
Kweli libarikiwe tumbo lililokuzaa kuja kutukomboa kifikra
asante sana
Nahitaji vitabu vya ukombozi wa fikra.
Manabii wasukuma tunawaita bhahangi
Mheshiwa Prince katega II
Niko pamoja na wewe katika safari ya kujitambua.Nilitamani kuongea na wewe face to face
Unaweza kukutana nae ingia kwenye hii link atakupa utaratibu prince katega show group
chat.whatsapp.com/ENrtr3OOtCJKrQBQniYT3m
Amani ya Mungu ( IMANA)iwe nanyi Mimi naitwa Innocent Ntunzwenimana nimependa nizungumuzie swala yakiimani za mababu zetu , je imani yao nitufauti nayaleo? Inatofautiyana kivii?
Nakufata katenga
Anagalia wakatiliaki wasije kukuuwa hawapendi ukweli uliodhahir
Azania Front hakuna msalaba* hata baada ya kukarabatiwa miaka ya hivi karibuni?
Swali language ni moja kama tulikuwa na mungu kwann tulitawaliwa bibi zetu wakabakwa mababu wakafungwa minyololo pia kwann tukafanya kaz kwa fimbo hatunahuhuru hata wakuoa yaan mzungu alikuwa anambaka mkeo nawwe unaangalia tna unalazimishwa kufurahi pia watoto wa babu zetu ndo walikuwa mtego wa mamba minaona kuna mawili aiza hii storia iliandikwa na mzungu tumuogope au tulikuwa machizi tu tunaabudu wafu nasio mungu mmoja hii ndo ilikuwa sababu ya wazungu kututawala kwani ukiamini wafu unakuwa unasubili maajabu ila ukiamini mungu wa mzungu na mungu wako nisawa unakuwa we we ndo maajabu 😇
Walifanikiwa kufanya hayo yote kwa sababu. Tayari mababu zetu walishaanza kutoka kwenye asili yetu.
Banzi Steven hapana kuna kosa kubwa sana tulifanya
Tatizo ni moja. Tunasahau sadaka na zaka yunazotoa ni batili. Ukienda kwa Mganga unatoa kama ulivyo ambiwa kanisani nako sikuhizi tumefeli. Kama wazee wetu walivyo feli wakati wa ujio wa ukoloni
Mkuu me nakushauli Tengeneza group la WhatsApp zen utakuwa unaeleweza vzr kama hilivyo,itakuwa umetusaidia sana
Anzisheni dini yetu sasa
Hapo tulipigwa changà la macho
Nimependa sana nipo na wewe nitajitahidi nikutafute
prince katega ii, likiwa jina la mtume muhamad sio la kisilam kabla ya mtume muhamad lilikuepo?
Kama ujerumani,wingereza...sana dini zao kwa nini tusianzishe dini yetu?
Hii korona ikiisha naeza tamani kukutana naye Katega...
This was made by... Ni lugha ya afrika toka mwanzo mengine uko sawa ila kuna mengine sijaelewa kwanini unayatumia
Mjomba pale uliposema wewe mwafrika mukiristo umenichangangaya, kwanza umekana ukristo, halafu tena unasema tena wewe ni mkristo!!Mimi ni mmasai, sisi tunayo mfumo mzima wa kimaisha tangia siku ya kuzaliwa mpaka kufa. Hizi dini zenu hatuna habari.
Sio unsumbiji ni moçambique
Wanyika sisi watu wasio wanyika tunaita makandi
Tuamke afrika
Uhakika Mungu yupo, na tunakubali kua kila watu walipelekewa mtume wao, lakini pia jambo lisilopingika kwa mtazamo huu kua mungu huyu alowatumia kila watu mitume yao ili wamjue mungu ipasavyo pia anauezo wa kumtuma mtume ili watu wote ulimwenguni wawe na mfumo mmoja wa kumuabudu yeye, bila ya kujali taifa, kabila, rangi hata lugha. Tukizingatia sisi tunaishi kipindi cha utandawazi, na hata tukirudi nyuma kwa mfano kipindi cha mtume (s.a.w) ilikua tayari mtandao wa kibiashara wa kuzunguuka dunia nzima ushaanza, na uislamu uliingia mwanzo Ethiopia( Africa) kabla hufika madina ambayo ilikua karibu sana na Makka ( mji uarabuni) alipozaliwa mtume huyu..
Kwaio mungu uezo wake haupimwi na kufanana na chochote na anafanya atakalo na kakuna atakae eka kikomo cha uezo wake ..
Nina swali abu tupatie picha alisi ya YESU
Kuna watu walikua wanaishi ktk hali ya unyama kuna watu walikua wanakulana nyama inamaana hawa walikua hawamjui MUNGU, hii inaonesha sio watu wote walikua wanamjua MUNGU...
Na swala la kalenda ni ajenda ya shetani kubadirisha nyakati kama Daniel alivyotabiri katika biblia
Kaka tricod ntawwzaje kupata nafasi ya kushiriki hii darasa kaka
Kiongozi nashkuru sana unaweza kuingia kwenye hili group kupitia hii link huko ndio kuna utaratibu wote kaka prince katega show group
chat.whatsapp.com/ENrtr3OOtCJKrQBQniYT3m
Asante sana mzee
@@TricodMedia
Ben
Cucu yangu alikuwa , kama hanjakuyua chai , maji , anamwagia kindogo ware wa hapo mbere , ni mbaya siku hizi ?
Kwa kikaguru mtu ambaye sio kabila letu tunamuita dimembe
Noel Nebart Lazima uilezee
Swali langu, nani kawaiteni waafrika?
Muinto bem nukuri iki kiganiro kiranshika kunyota
Tuko pamoja princ katenga
Tupe somo Mimi naitwa mtagaiwa
Ana maelezo mazuri na hivyo ni kwasababu ni mtu msomi na mfuatiliaji wa mambo lakini anatakiwa akubali kuwa Mababu zetu na hadi sasa mwafrika anatawaliwa na nguvu za miungu. Yaani hao anaosema malaika na mawaziri imejifanyiza kuwa ni miungu na tunajua ukweli kuhusu hili. Ili mwafrika akombolewe kifikra inahitajika kujitoa na miunganiko hiyo ya miungu/mizimu!
Sasa nami Nina jiuliza kwanini walitufundisha kumjua Mungu alafu Kwa siku hizi wamemgeukia shetani, si ndio wa free manson illuminati 666 hesabu ya Pope Francis.
Kwa kikaguru manabii tunawaita wagonesi
Asante sana baba
Prince nafuta ibaki katega
Komera wewe uri umuganwa w'ukuri
Napenda sana fundisho lako natena nakubaliana nawewe kbsa nakufatilia nikiwa BURUNDI
Katega, wafunze hao waafrika,,kama ni miungu na wao walikuwa nayo
prince katega ii, likiwa jina la mtume muhamad sio la kisilam kabla ya mtume muhamad lilikuepo?
Jina hilo lilikuwapo,kwani kabla ya Mohamed kuzaliwa Waarabu walikuwepo na walikuwa na majina yao
@@geraldnyamaiswe570 na jeee jila la yohana batizaji??
@@davidcorne6769 jina la Yohana mbatizaji halikuwepo,baba aliagizwa na Mungu amwite jina hilo