Hakuna muda wakubembeleza mwenye sikio na asikie usije sema huku sikia kama unatenda dhambi acha dhambi tubu na umpokee YESU kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yako utaokoka. YESU ndiye njia ya kweli na uzima mtu hawezi kwenda kwa Baba bila kupitia yeye. Usipokubali kuokoka ni jehanamu
Nitaingia MBINGUNI kwa kishindo, hata Dunia nzima irudinyuma mimi siwezi...nampenda YESU KRISTO PEKEE ndani ya moyo wangu....kisu kipite shingoni, lakini MBINGUNI niingie...Dhambi ndiyo kizuizi cha Mwanadamu kwenda mbinguni, kuwa mtakatifu sana mpendwa ...1petro 1:15-16, waebrania 12:14...
Ukweli ni huu amini nawambia saut aitojirudia tena masikioni mwako usiposikia ujumbe huu ukaufanyia kazi utalia na kusaga meno, emen mungu akutie nguv mtumishi
Mtumishi wa Mungu unahumbiri vyema kabisa unaongea kulengana na mungu anavyo sema katika Biblia❤❤❤❤❤❤barikiwa sana Pastor Mungu azidi kukupa hekima na marifa zaidi, ambao hawajaelewa waelewe kwa jina la Yesu kristo ❤❤❤❤❤❤❤
Mchungaji Mungu akubariki sana sana unasaidia kuukomboa ulimwengu, watu tunapotoshwa na watumishi wa uongo paka tunakosa tumaini kabisa ila wewe ndie mtumishi wa Mungu wa kweli, unaesema ukweli na kufichua Siri nzito zilizifichika za manabii wa uongo nakupenda sana mtumishi na naikubali sana kazi Yako Mungu akuzidishie Maisha marefu yaliyojaa neema nyingi Ili uzidi kuikomboa Dunia 🙏🙏🙏
Amina mtumishi wa Mungu, unayoyafundisha yanaendana kabisa na anayofundisha mtumishi wa Mungu mwakasege, mfano kuna lile somo la....(mpe Mungu moyo wako auandae kwa yanayokuja)...Mwenye sikio na asikie,Mungu atusaidie,,Wa Kristo wenzangu tuamke
Mungu aturehemu sana. Tayari inaendelea na iko wasi ni Mungu atutie nguvu watakatifu wote duniani tusimame katika kweli yake tusimuasi Mungu. Yote aliyotabiri Bwana Yesu yametimia. Mungu awe pamoja nawe mtumishi kwa kazi hii nzuri.
Hata Yesu Bwana wetu alianza kuabudu hekaluni na katika sinagogi baafaye akalijenga kabisa kupitia wanafunzi wake ikiwa ni kazi ya Mungu itasimama tuu katika hari zote ikiwa ni kazi ya shetani itaanguka tuu Ubarikiwe Mtumishi Pascl
Mungu akutunze Mtumishi..nakufuatilia sn, mafundisho Yako,tunaomba Mungu akuwezeshe utuandalie Somo la Jinsi ya kulishinda Hilo pambano,tufanye nini kama wakristo,na ikitokea tangazo la dini Moja,tupo makanisani, tufanye nini?tutaabudu wap? tunaomba utuandalie Jinsi ya kulishinda Hilo pambano la mwisho. SoMo la la tangazo la kifo kwa Wacha Mungu limenifungua macho,kweli inaogopesha Mungu tusaidie tu
Mtumishi wa Mungu Mungu akubariki aweke ulizi juuyako maana maaduwi niwengi unavofichuwa Siri hizo Mungu akubariki na Mungu atufikishe salama huku tuendako!
Mwenyezi MUNGU akutie nguvu mtumishi wake, maana watumishi wengi hawalijui hili japo kuwa MUNGU mwenyewe amesema sana na wateule wake!... Huu sio muda Wa kuangalia dini wala dhehebu, sikiliza ujumbe na kuufanyia kazi muda umekwisha.
Ndio maana ninapoona wakristo wamejazana kwenye mikutano ya kina Mwamposa ninalia kwamba njaa ya neno ni kubwa sana. Watu wanafuata udanganyifu wa miujuza, njia ya upotevu ni pana na ni wengi waipitayo njia ya mbinguni ni nyembamba waipitao ni wachache
Neema ya mungu iwe juuyako mtumishi wa mungu tupo vijana wenye kutamani kuujuwa ukweli mungu akupandishe viwango nasi tupate kuelewa zaidi k.t.k jina la yesu
Ubarikiwe mtumishi kwa kweli hizi ipo vita ya ibaada nani aabudiwe kati ya Mungu na. Shetani Tunakoelekea na harakati zishaanza ni kwamba jumapili inaenda kutangazwa kuwa siku maalum ya ibaada na ni lazima ukibisha kifo kinakuhusu Kwann ni lazima: kuna siku ya ibaada ambayo Mungu aliiweka kwetu sisi wanadamu nayo bili kuficha ni jumamos ndiyo siku inayomtukuza Mungu wa mbinguni na kumtambulisha kuwa ndiye muumbaji wa mbingu na nchi Kwa sababu ibilis naye anataka aabudiwe ameweka siku yake kwa wanadamu ambayo ni jumapili na mpaka sasa taratibu zinaendelea jumapili kuwekwa rasmi ni lazima uabudu katika siku hiyo hutaki kifo Lengo ni kuitoa sabato ya kweli inayomtukuza mungu na kubakiza inayomtukuza ibilisi Hizi agenda sasa ni kutafuta sababu mfano kuna agenda juu ya uchumi Kwamba eti watu wanakuwa na siku nyingi za kupumzika hawafanyi kazi hivyo uchumi unashuka iwekwe sasa siku moja ili watu wafanye kazi Ila ukweli sio hoja ni namna tu wapate kukubalika na habari yao ya kusimika jumapili kama siku ya ibaada na nyuma ya hili yupo ibilisi mwenyewe kwa kutumia mawakala wake hasa kanisa katoliki kwa uongozi wa papa.
Nakuunga mkono hakika..maana ni watu wengi wasioweza kufasili habari za mnyama... asante MTUMISHI WA MUNGU ALIYE HAI... ALIYE NA SIKIO NA ASIKIE AMBAYO ROHO AYAMBIA MAKANISA
Ni kweli Balaza la Makanisa ulimwenguni EKUMEN ni Sanamu ya Mnyama kwa hiyo ni Ufunuo 13:11-16imeanzishwa Marekani tangu mwaka 1946. mungu mwenye Nafsi tatu ni alama ya Mnyama Ufunuo 16:13-14 Ni fundisho lililotoka Rumi likipi amri ya kwanza, Likipi Biblia Waebrania 6:13:Isaya 42:1: Isaya 43:21 Isaya 45:23. Hiyo inapingana na Mathayo 28:19 mkabatize kwa jina (moja) Siyo majina (wingi) Inapingana Matendo 2:38 Kwa jina la Yesu Kristo siyo majina. Matendo 10:48.Matendo 19:5.Hayoni ni baadhi ya mafundisho ya meshika jamii za watu wanajihita Wakristo. Hao Dini nyingine azijui ABC.
Umesema vyema kabisa ndio maana Kuhani Mussa huwasisitiza watumishi na waumini wake wasibatizwe Kwa utatu. Yaani Kwa jina la baba na la mwana na la roho mtakatifu
Kibaya zaidi wakristo wengi wanafata mkumbo hawayafatilii maandiko. Biblia iko wazi kabisa, inasema wenye akili ndo watakaoslimu. Na ukiwaambia ukweli wanakukasirikia. Kwakuwa hawajui maana ya kuslimu
Luka urukavyo Ufunuo 1:16-20 Yesu alikuwa na kinara na kinara kina vinara saba na juu ya kinara nyota saba, vinara ni makanisa na Nyota ni malaika kwa hiyo Bwana Yesu Kristo kwenye mkono ambayo ni mamlaka yake ana malaika saba ambao ndio Yesu aliwatuma ndio macho ya Mungu waonaji Manabii kwa kila wakati. Ufunuo 5:6 ndio waliotumwa Dunia huu ndio wakati wa mwisho kanisa la Laodikia kila mtu ni mjuaji ni ngumu Mungu kuwasaidia 3:17 ni vipofu uchi kanisa lina kelele nyingi. Lakini Mungu alisema Malaika wa saba (mjumbe) Ndio ATAFUNUA Ufunuo 10:7 nje ya Hapo unaswa ila ujui kama umenaswa mnyama waliwadanganya wakubwa kwa wadogo, Tajiri na maskini. itakuwa kama kuja kwa kwanza Yesu Kristo alivyo wakuta Mathayo 23:1_34Je hao hawakuwa wahubiri na viongozi wa dini je walimkubali Yohana Mbatizaji, je Walimkubali Bwana Yesu Kristo.
Samahani..mtumishi wa mungu nisamehe kama ntakukosea niushauritu na pia mungu naomba anisamehe pia .unajua kunawachungaji feki wanatumia lugha yaupole hadi wanajikta wamejaza watu kwenye makanisa yao..unaonaje mtumishi wa mungu ukipungza ukali fanya kama unazngmza kwa lugha ya upole nahsi itakuwa njia nzri yakuwaenezea watu ukwer wa mungu wetu alie hai maan naona manabii wauongo wanatumia lugha laini kuwashawishi watu nahsi na ww ungetumia hyo lugha lain nahsi wengi ujumbe ungefka kwa watu weng zaid..nisamehe lkn kama ntakua nimekukosea mtumishi nia yngu nataka huu ukwer uwafkie watu weng kwa haraka..niushauritu mtumishi wangu..
Brooo yesu ajaja kuleta ulegevu maana siku akirudi atawatenganisha wake na wasiowake kama mchungaji anavyowabagua kondoo na mbuzi. We tambua anaeongea ni roho wa Mungu ndani yake juu ya uasi uliokithiri hivyo, sio kinyonge maana Mungu sio mnyonge na mbinguni hakitaingia kinyonge.ubarikiwe.
Neema ya mungu iwe juu yako mtumishi wa mungu tupo vijana tunao tamaani kuwelewa haya mungu akupandishe viwango nasi tupate kuelewa zaidi k.t.k jina la yesu
Kuna wakati nahisi Yesu alisharudi Ila sasa nikijiona nipo humu na mimi 😢 huwa naogopa sana. Tupambane sana sana maana kuumbe kwa upande mwingine utajiri wa wasiomjua Mungu ni sawa na kumwaga maji katika Gunia.... Hata na mataifa makubwa!
Sasa kama unayajua hayo mzee sasa kwanini umefungua kanisa lako wakati sanamu ya mnyama ni jumapili alafu bado na wewe umefungua kanisa lako, tafikili na ni Mungu, nenda sabato kwa mujibu ya ufunuo, nenda kwa wasabato ndio utapona, acha unafki wakati unajua unachokifanya na kijacho unakijua sababu umesoma ufunuo au kanisa lako ndio la masalia na utume wao.
Wewe unayeshika siku uko mbali na Ufalme wa Mungu haujapata sabato ya kweli, Sabato ya siku ya wana wa Israeli waliopewa sababu ya kupewa ni hapa Kumbu la Torati 5:12-15 sasa wewe umetoka Misri ya kimwili? Ndio maana wa shika siku walimuuwa Yesu kwamba anavunja sabato, Isaya walitabiri kuwahusu Isaya 28:8-13 walimkataa sabato ya kweli, sikia Bwana wa Sabato alivyosema Pumziko unahipata wapi na raha 11:28-30 :Hii ndio ilitimia Matendo 2:1-4 Wagarati 4:8-11 si inasema vyema kuhusu washika siku, na je Wakolosai 2:16-17 Kanisa la Laodikia ni kipofu mno ni wajuaji Ni ngumu Mungu kuwasaidia, Yesu amefungiwa nje hamumtaki anajaribu kubisha ili aingie ndani ya kanisa mnakataa 3:20. lakini walio wake wataisikia Sauti yake Ufunuo 10:7 sauti inahita 22:16-17.
Kuhubiri unahubili lakini wewe nawe unaisujudia sanam ya mnyama bado upo kundi hilo tuuuh fanya uamuzi wewe kwaajili ya neema uliyo pewa na Bwana ukweli unao uchaguzi niwako usiwendeele kudanganya watu ingali unajua utakinywea kikombe chaazabu Bwana akubariki ufanyapo maamuzi 🙏🙏🙏
Kabisa saiz ni kusimama na Ile kweli, mambo Yako spidi Sana , umoja wa manabii uko motooo makongamano Kila ski vikao na wachungaji wetu hawajui Nini lipo nyuma ya pazia😭😭 Mungu utusaidie njia n nyembamba iendayo uzimani
@@regnaldymambaly9880 kanisa ndio litakalo waweka sawa na ndio maana bilblia inasema YESU ALILIFIA KANISA SIO haikusea ukweli HVYOOOO KANISA NDILO HUBEBA UKWELI kalitafte hilo kanisa
Korona iljpokukaj mkasema ni 666 ,barcode nazo mkasema ni 666 😂,haha sasa hayo mnayo sema yameandikwa wapi ko korona imeisha 666 wapi imeenda? Ufalme wa Mungu ni.fumbo zito
Nikweli umehubiri ukweli kabisa. Lskini papa analenga. Kuziangusha. Amri yasabato ya mungu. Ndyo maana jumapili ndoameiweka iwe ibada yake. Kwahyo waeleze watu jumapili niarlama ya mnyama. Usifumbie hilo watu waondoke babeli.
@@sarahmaro215 pengine kwa mtazamo wako ndoulivyo. Ilashetani anaakili kuliko ujuavyo. Hujiulizi kwa Nini kanisa katholiki. Liko juu kuliko biblia. Kanisa ndolinaamri. Kuliko amri za MUNGU. Hamjiulizi. Hamuoni. Ebu fungueni. Macho wapndwa. Kama mtasari jumapili. Hamtakua natatizo. Lakini wake watakao ikataa hyo jumapili. Watauwawa. Kwanini iwelazima jumapili nasi jumatatu. Hujiulizi?
Ninyi mna shida kwani siku ina shida gani? Siku zote ni za Mungu hatuzuiliwi kumwomba Mungu siku yoyote isipokuwa tu awe Mungu wa kweli na kubudu katika roho
Biblia inasema kwenye mathayo 5:8-10 "wenye moyo safi watamuona Mungu", na si watakao abudu siku ya jumapili au jumamosi. Hali yako ya moyoni ya kumuamini Yesu kristo na hali yako ya utakatifu ndo itakayo kupeleka Mbinguni.
Umesoma vitabu vya neno la Mungu na unaujua ukweri, nakuomba ujitahd ktk hiyo kwer iliyo ndani yako, kiini cha hii vita ni sabatho ya Mungu, shetani anaipinga sabatho ya Mungu ndio maana anawafany watu kuabudu jumapili, hivo nakusihi ujiunge na kundi la watu wanaoitunza sabatho, maana jumapili ikija kutangazwa waliojua kwer rehema kwao itakuw imefungwa, na wale ambao hawakujua wanaosali jumapili watapata nafas ya kujua ukwer na kugeuka, hivo pambano linailenga sabatho
SHETANI HAHANGAIKI NA CHOCHOTE ILA SOMA UFUNUO 12:17 Utagundua kuwa anapamana na kanisa linalozitunza sabato na sheria zote pia went ushuhuda was YESU KRISTO. Yaani wanaomuamini huyu yesu
Unabii huu sio watumishi wengi wanauelewa Mungu akubariki sana bro this massage is so powerful
Hakuna muda wakubembeleza mwenye sikio na asikie usije sema huku sikia kama unatenda dhambi acha dhambi tubu na umpokee YESU kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yako utaokoka. YESU ndiye njia ya kweli na uzima mtu hawezi kwenda kwa Baba bila kupitia yeye. Usipokubali kuokoka ni jehanamu
God bless your brother❤
Nitaingia MBINGUNI kwa kishindo, hata Dunia nzima irudinyuma mimi siwezi...nampenda YESU KRISTO PEKEE ndani ya moyo wangu....kisu kipite shingoni, lakini MBINGUNI niingie...Dhambi ndiyo kizuizi cha Mwanadamu kwenda mbinguni, kuwa mtakatifu sana mpendwa ...1petro 1:15-16, waebrania 12:14...
Amina
Mungu akubariki saana mtumishi, Baki na msimamo huo huo Yesu ndiye njia
Amen 🙏
0:24 @@ControlRoom-q1s
Amen Amen
Ukweli ni huu amini nawambia saut aitojirudia tena masikioni mwako usiposikia ujumbe huu ukaufanyia kazi utalia na kusaga meno, emen mungu akutie nguv mtumishi
Mtumishi wa Mungu unahumbiri vyema kabisa unaongea kulengana na mungu anavyo sema katika Biblia❤❤❤❤❤❤barikiwa sana Pastor Mungu azidi kukupa hekima na marifa zaidi, ambao hawajaelewa waelewe kwa jina la Yesu kristo ❤❤❤❤❤❤❤
Mchungaji Mungu akubariki sana sana unasaidia kuukomboa ulimwengu, watu tunapotoshwa na watumishi wa uongo paka tunakosa tumaini kabisa ila wewe ndie mtumishi wa Mungu wa kweli, unaesema ukweli na kufichua Siri nzito zilizifichika za manabii wa uongo nakupenda sana mtumishi na naikubali sana kazi Yako Mungu akuzidishie Maisha marefu yaliyojaa neema nyingi Ili uzidi kuikomboa Dunia 🙏🙏🙏
Na huyu pekee ndo anasemaga ukweli hao wengine wanatafta hela na miujiza ya uongo😢😢😢😢
ubarikiwe utalipwa fanya kwa zamu yako ubarikiwe sana mungu ata kuacha
Ahsante sana mtumishi.
Mambo hayo yamehubiriwa sana na wasabatho(SDA).ila wengi hawakutilia maanani.
Time will tell.
Ubarikiwe sana walio wake wanaelewa unachokizungumza ,mungu atupe mwisho mzuri tumlaki mungu
Ni vizur usimame kwenye kweli ingia sabato ili uwe sawa na mitume na mtumishi halali wa mungu
Amina mtumishi wa MUNGU Asante Kwa ukweli huo wahubiri wengi hawahubiri hii enjili ya kweli, mwenyezi mungu akutunze Amina
Amina mtumishi wa Mungu, unayoyafundisha yanaendana kabisa na anayofundisha mtumishi wa Mungu mwakasege, mfano kuna lile somo la....(mpe Mungu moyo wako auandae kwa yanayokuja)...Mwenye sikio na asikie,Mungu atusaidie,,Wa Kristo wenzangu tuamke
🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu aturehemu sana. Tayari inaendelea na iko wasi ni Mungu atutie nguvu watakatifu wote duniani tusimame katika kweli yake tusimuasi Mungu.
Yote aliyotabiri Bwana Yesu yametimia.
Mungu awe pamoja nawe mtumishi kwa kazi hii nzuri.
Hata Yesu Bwana wetu alianza kuabudu hekaluni na katika sinagogi baafaye akalijenga kabisa kupitia wanafunzi wake ikiwa ni kazi ya Mungu itasimama tuu katika hari zote ikiwa ni kazi ya shetani itaanguka tuu Ubarikiwe Mtumishi Pascl
Mungu akubariki Sana kwakusema ukweli, uwe na umli mlefu Mungu akutumie zaidi
This is the fact
God bless you
Mungu akubariki sana binafs nakufuatilia sana pastel pascal ubarikiwe
Nakupenda kaka Yangu ,God bless you❤
Akuowe bc
Mungu aendelee kukuinua zaidi BABA
Ubarikiwe mutumishi wa Mungu Tuna kufata vizuri saana
Mungu wangu abariki sana tena sana Mtumishi kwa kweli dunia yote watu wangeishi neno hii kabla kanisa kunyakuliwa!
Hmm.. Hallelujah Glory!😢😢
Kwakweli Yatupasa Kama Kanisa Tushikamane Sana ibilisi Asipate Nafasi Kwa Jina La YESU!
Amen. Ile Jo kweli Mungu akutiye nguvu,
Ameen.mtumishi wa Mungu wape watu kwel ya Mungu na utakiwa umefanya sehemu yako
Asante Mungu baba kwa kutupatia mtumishi Paschal cassian❤❤
Mungu azidi kukubariki.ayo njo mahubiri tunayo itaji kwa sasa. Abari za baraka zinesha tuchosha🙏🙏
Nakukubali sana pasta ,,,,,nakupata inchini mozambiq
Tuamke jamni , tuwaombee Watumishi wa Mungu kama hawa wanatufungua sana
😂😂😂😂
Amina na Amina
Safi
Sanamu ya mnyama -umoja au muunganiko wa makanisa
Alama ya mnyama-jumapili
Mungu akutunze Mtumishi..nakufuatilia sn, mafundisho Yako,tunaomba Mungu akuwezeshe utuandalie Somo la Jinsi ya kulishinda Hilo pambano,tufanye nini kama wakristo,na ikitokea tangazo la dini Moja,tupo makanisani, tufanye nini?tutaabudu wap? tunaomba utuandalie Jinsi ya kulishinda Hilo pambano la mwisho.
SoMo la la tangazo la kifo kwa Wacha Mungu limenifungua macho,kweli inaogopesha Mungu tusaidie tu
Piga kelele askari wa bwana ❤❤🙏🙏🤝
Mtumishi wa Mungu Mungu akubariki aweke ulizi juuyako maana maaduwi niwengi unavofichuwa Siri hizo Mungu akubariki na Mungu atufikishe salama huku tuendako!
Mwenyezi MUNGU akutie nguvu mtumishi wake, maana watumishi wengi hawalijui hili japo kuwa MUNGU mwenyewe amesema sana na wateule wake!... Huu sio muda Wa kuangalia dini wala dhehebu, sikiliza ujumbe na kuufanyia kazi muda umekwisha.
Mwenyezi mungu akutunze mtumishi wa MUNGU Asante Kwa ukweli huo wahubiri wengi hawahubiri hii enjili,❤
Sasa mtumishi umesema utatuambia wanatukamataje lakini hujaseama sabb tumejisajili mtandaoni
MTUMISHI TUFANYE NINI ? WATOTO WATAPONAJE?
Ubarikiwe mutumishi wa Mungu au nom de Jésus Christ de Nazareth 🇨🇩🇨🇩
Mungu azidi kukutumia katika kutuelimisha na kutufundisha neno la Mungu
Ndio maana ninapoona wakristo wamejazana kwenye mikutano ya kina Mwamposa ninalia kwamba njaa ya neno ni kubwa sana. Watu wanafuata udanganyifu wa miujuza, njia ya upotevu ni pana na ni wengi waipitayo njia ya mbinguni ni nyembamba waipitao ni wachache
MUNGU akubariki sana kwa ujumbe mzuri mchungaji
Neema ya mungu iwe juuyako mtumishi wa mungu tupo vijana wenye kutamani kuujuwa ukweli mungu akupandishe viwango nasi tupate kuelewa zaidi k.t.k jina la yesu
Ubarkiwe sana pastor
Mungu azidi kukutunza Asante Kwa ujumbe mzuri.
Haaa Mungu wangu kumbee me nimepata kitu ambacho sijawahi elewaa asante baba
Ubarikiwe mtumishi kwa kweli hizi
ipo vita ya ibaada nani aabudiwe kati ya Mungu na. Shetani
Tunakoelekea na harakati zishaanza ni kwamba jumapili inaenda kutangazwa kuwa siku maalum ya ibaada na ni lazima ukibisha kifo kinakuhusu
Kwann ni lazima: kuna siku ya ibaada ambayo Mungu aliiweka kwetu sisi wanadamu nayo bili kuficha ni jumamos ndiyo siku inayomtukuza Mungu wa mbinguni na kumtambulisha kuwa ndiye muumbaji wa mbingu na nchi
Kwa sababu ibilis naye anataka aabudiwe ameweka siku yake kwa wanadamu ambayo ni jumapili na mpaka sasa taratibu zinaendelea jumapili kuwekwa rasmi ni lazima uabudu katika siku hiyo hutaki kifo
Lengo ni kuitoa sabato ya kweli inayomtukuza mungu na kubakiza inayomtukuza ibilisi
Hizi agenda sasa ni kutafuta sababu mfano kuna agenda juu ya uchumi
Kwamba eti watu wanakuwa na siku nyingi za kupumzika hawafanyi kazi hivyo uchumi unashuka iwekwe sasa siku moja ili watu wafanye kazi
Ila ukweli sio hoja ni namna tu wapate kukubalika na habari yao ya kusimika jumapili kama siku ya ibaada na nyuma ya hili yupo ibilisi mwenyewe kwa kutumia mawakala wake hasa kanisa katoliki kwa uongozi wa papa.
Mungu akubariki sana mtumishi
Amina. Mtumishi
Kwasasa. Hatujui. Ninani. Ndiye. Sahihi. Wote. Mnafundisha. Kuhusu. Mungu
Mungu a kubariki mtumishi wa mungu,huu ni ukweli mtupu.aliye na sikio na asikie
Mungu wetu unayajua yeyote yule anayeenda kinyume na maadili ya mwenyezi MUNGU tunaenda kupinduapindua hila za shetani kwa jina la Yesu Kristo.
Eee Mungu uturehemu Na umlinde mtumishiwako na mabaya yote na umpeujasiri wa kufunua sirihiii iliwatu watubu Na kukujua Yesu,uliyeMungu.
Nakuelewa sana mtumish wa Mungu,Ubarikiwe Kwa ujumbe huuu
Nakuunga mkono hakika..maana ni watu wengi wasioweza kufasili habari za mnyama... asante MTUMISHI WA MUNGU ALIYE HAI...
ALIYE NA SIKIO NA ASIKIE AMBAYO ROHO
AYAMBIA MAKANISA
Barikiwa Sana Mungu tuhurumie
Mungu akusaidie sana na akulinde na maadui hata wanao kukashifu kwenye hizi comment Mungu awafunue sana
Mimi ninacho kijuwa ni tunaisha nyakati za mwisho. Yesu christo yu mlangoni
Ni kweli Balaza la Makanisa ulimwenguni EKUMEN ni Sanamu ya Mnyama kwa hiyo ni Ufunuo 13:11-16imeanzishwa Marekani tangu mwaka 1946. mungu mwenye Nafsi tatu ni alama ya Mnyama Ufunuo 16:13-14 Ni fundisho lililotoka Rumi likipi amri ya kwanza, Likipi Biblia Waebrania 6:13:Isaya 42:1: Isaya 43:21 Isaya 45:23. Hiyo inapingana na Mathayo 28:19 mkabatize kwa jina (moja) Siyo majina (wingi) Inapingana Matendo 2:38 Kwa jina la Yesu Kristo siyo majina. Matendo 10:48.Matendo 19:5.Hayoni ni baadhi ya mafundisho ya meshika jamii za watu wanajihita Wakristo. Hao Dini nyingine azijui ABC.
Ndgu
Hata huyu anayehubir kamegew ufunuo kidogo tu hajui bibiarus hayo hayamkuti
@@MaryHhary Bwana Yesu Kristo akubariki.
Umesema vyema kabisa ndio maana Kuhani Mussa huwasisitiza watumishi na waumini wake wasibatizwe Kwa utatu. Yaani Kwa jina la baba na la mwana na la roho mtakatifu
Kibaya zaidi wakristo wengi wanafata mkumbo hawayafatilii maandiko. Biblia iko wazi kabisa, inasema wenye akili ndo watakaoslimu. Na ukiwaambia ukweli wanakukasirikia. Kwakuwa hawajui maana ya kuslimu
Kiukweli twapaswa kulisoma neno na sio kusomewa wengi wao tunapenda kuaminishwa miujiza kuliko kufuata njia ya kweli na uzima
Luka urukavyo Ufunuo 1:16-20 Yesu alikuwa na kinara na kinara kina vinara saba na juu ya kinara nyota saba, vinara ni makanisa na Nyota ni malaika kwa hiyo Bwana Yesu Kristo kwenye mkono ambayo ni mamlaka yake ana malaika saba ambao ndio Yesu aliwatuma ndio macho ya Mungu waonaji Manabii kwa kila wakati. Ufunuo 5:6 ndio waliotumwa Dunia huu ndio wakati wa mwisho kanisa la Laodikia kila mtu ni mjuaji ni ngumu Mungu kuwasaidia 3:17 ni vipofu uchi kanisa lina kelele nyingi. Lakini Mungu alisema Malaika wa saba (mjumbe) Ndio ATAFUNUA Ufunuo 10:7 nje ya Hapo unaswa ila ujui kama umenaswa mnyama waliwadanganya wakubwa kwa wadogo, Tajiri na maskini. itakuwa kama kuja kwa kwanza Yesu Kristo alivyo wakuta Mathayo 23:1_34Je hao hawakuwa wahubiri na viongozi wa dini je walimkubali Yohana Mbatizaji, je Walimkubali Bwana Yesu Kristo.
Samahani..mtumishi wa mungu nisamehe kama ntakukosea niushauritu na pia mungu naomba anisamehe pia .unajua kunawachungaji feki wanatumia lugha yaupole hadi wanajikta wamejaza watu kwenye makanisa yao..unaonaje mtumishi wa mungu ukipungza ukali fanya kama unazngmza kwa lugha ya upole nahsi itakuwa njia nzri yakuwaenezea watu ukwer wa mungu wetu alie hai maan naona manabii wauongo wanatumia lugha laini kuwashawishi watu nahsi na ww ungetumia hyo lugha lain nahsi wengi ujumbe ungefka kwa watu weng zaid..nisamehe lkn kama ntakua nimekukosea mtumishi nia yngu nataka huu ukwer uwafkie watu weng kwa haraka..niushauritu mtumishi wangu..
Wewe shidaako ni nini,unasikiliza sauti ama unasikiliza ujumbe?
Yeye ni mwinjilisti,wao ni wachungaji.Na isitoshe Kila Mtu anawito wake
Hakuna ulele mama kwenye kazi ya Mungu kwa nyakati hizo ni za mwisho bro tumefika mbali 😢😢
Brooo yesu ajaja kuleta ulegevu maana siku akirudi atawatenganisha wake na wasiowake kama mchungaji anavyowabagua kondoo na mbuzi. We tambua anaeongea ni roho wa Mungu ndani yake juu ya uasi uliokithiri hivyo, sio kinyonge maana Mungu sio mnyonge na mbinguni hakitaingia kinyonge.ubarikiwe.
Barikiwa sana mtumishi wamungu 🙏
Mungu wa mbingu na nchi akutuze ili uendelee kupiga kazi ya mhubiri
Mungu akusaidie kwani ni wengi wanao kupinga mtumwa wa kristo.kaza imani kwani ni wakati wa kukataliwa na dunia mimi na wewe
Tumuombe Mungu sana tu tubu na tuombe na bwana atupe maarifa na hekima (Muhubiri1:18)
Mtumishi huyu anaifundisha iliyokweli, neno halisi la Mungu, Mungu peekee anamlinda
Neema ya mungu iwe juu yako mtumishi wa mungu tupo vijana tunao tamaani kuwelewa haya mungu akupandishe viwango nasi tupate kuelewa zaidi k.t.k jina la yesu
Kuna wakati nahisi Yesu alisharudi
Ila sasa nikijiona nipo humu na mimi 😢 huwa naogopa sana.
Tupambane sana sana maana kuumbe kwa upande mwingine utajiri wa wasiomjua Mungu ni sawa na kumwaga maji katika Gunia....
Hata na mataifa makubwa!
Jamani! Mungu akulinde kaka angu. Nakufatilia tangu BSS 2009. Lkn Mungu amekuinua kwa namna ya ajabu sana.
Mungu akulinde mtumishi wa mungu hakika napenda wimbo wako fremason nabalikiwa sana
Mwenyezi Mungu atusaidie tunapoishi katika hii dunia ya dhiki.
Mungu azidi kukutumia ili kufanyika jicho pevu kuerevusha ulimwengu.
Daaaah!!!!htr sana
Mungu nirehemu mimi ,,niweze kukukuta mbingun
L
Sasa kama unayajua hayo mzee sasa kwanini umefungua kanisa lako wakati sanamu ya mnyama ni jumapili alafu bado na wewe umefungua kanisa lako, tafikili na ni Mungu, nenda sabato kwa mujibu ya ufunuo, nenda kwa wasabato ndio utapona, acha unafki wakati unajua unachokifanya na kijacho unakijua sababu umesoma ufunuo au kanisa lako ndio la masalia na utume wao.
Hakika sabato ni njema sana. Hata Quran inasema tuikumbuke siku ya jumosi
Unauhakika na unachokisema au umekalilishwa?
Nitafute tufundishane umuhimu wasiku ya jumapili nakwanini tunaabudu jumapili.
@@RehemaEvaristsabato ya kweli iko moyon mwako fullstop
Wewe unayeshika siku uko mbali na Ufalme wa Mungu haujapata sabato ya kweli, Sabato ya siku ya wana wa Israeli waliopewa sababu ya kupewa ni hapa Kumbu la Torati 5:12-15 sasa wewe umetoka Misri ya kimwili? Ndio maana wa shika siku walimuuwa Yesu kwamba anavunja sabato, Isaya walitabiri kuwahusu Isaya 28:8-13 walimkataa sabato ya kweli, sikia Bwana wa Sabato alivyosema Pumziko unahipata wapi na raha 11:28-30 :Hii ndio ilitimia Matendo 2:1-4 Wagarati 4:8-11 si inasema vyema kuhusu washika siku, na je Wakolosai 2:16-17 Kanisa la Laodikia ni kipofu mno ni wajuaji Ni ngumu Mungu kuwasaidia, Yesu amefungiwa nje hamumtaki anajaribu kubisha ili aingie ndani ya kanisa mnakataa 3:20. lakini walio wake wataisikia Sauti yake Ufunuo 10:7 sauti inahita 22:16-17.
Amen be blessed man of God
God bless you
Kuhubiri unahubili lakini wewe nawe unaisujudia sanam ya mnyama bado upo kundi hilo tuuuh fanya uamuzi wewe kwaajili ya neema uliyo pewa na Bwana ukweli unao uchaguzi niwako usiwendeele kudanganya watu ingali unajua utakinywea kikombe chaazabu Bwana akubariki ufanyapo maamuzi 🙏🙏🙏
Amen mtumishi wa Mungu,nakuelewa unacho hubiri.Hakika mwisho ndio huu.
inambindi tukae kwa maombi na tuwe na Imani na tumutumikie muumba wetu
Huyu ni kanisa gni mbona Kam msabato
wewe una angalia kanisa badala ya kuangalia ukweli anao usema kanisa halikusaidii kitu
Kabisa saiz ni kusimama na Ile kweli, mambo Yako spidi Sana , umoja wa manabii uko motooo makongamano Kila ski vikao na wachungaji wetu hawajui Nini lipo nyuma ya pazia😭😭 Mungu utusaidie njia n nyembamba iendayo uzimani
@@regnaldymambaly9880 kanisa ndio litakalo waweka sawa na ndio maana bilblia inasema YESU ALILIFIA KANISA SIO haikusea ukweli HVYOOOO KANISA NDILO HUBEBA UKWELI kalitafte hilo kanisa
Asante sana kwa ufunuo huu.
Mungu akubariki sana mtumishi 🙏🙏🙏
Jesus Christ am with you always 🇰🇪🙋🏼♀️💃🎤iwill never betray you Jesus forever🇰🇪🙋🏼♀️💃🎤
Amina mungu atusahidie maana tayari tumeshaanza kuyapitia
Amen begakwabega mtumish wa mungu❤
God bless your man(mtumishi wako)
Wew mwenyewe kua muisram acha kelele mungu haabudiwi hivyo
Manyama - ni utawala
Joka- ni shetani
Alama ya Manyama - ni siku tofauti na siku Mungu aliyoichagua kufanya ibada (ibada ya uongo)
Imeandikwa wapi
Korona iljpokukaj mkasema ni 666 ,barcode nazo mkasema ni 666 😂,haha sasa hayo mnayo sema yameandikwa wapi ko korona imeisha 666 wapi imeenda?
Ufalme wa Mungu ni.fumbo zito
Mungu akubariki mtumishi
Barikiwa tu saana mtumishi wa Mungu
Aminaa Mungu nisaidie
Nikweli umehubiri ukweli kabisa. Lskini papa analenga. Kuziangusha. Amri yasabato ya mungu. Ndyo maana jumapili ndoameiweka iwe ibada yake. Kwahyo waeleze watu jumapili niarlama ya mnyama. Usifumbie hilo watu waondoke babeli.
Shenanigans hasumbuliwi na siku, anachotafta shetani ni kumuangusha mtu yule ambaye anamwabudu MUNGU ktk roho na kweli tu.
Shetatani hasumbuliwi......
@@sarahmaro215 pengine kwa mtazamo wako ndoulivyo. Ilashetani anaakili kuliko ujuavyo. Hujiulizi kwa Nini kanisa katholiki. Liko juu kuliko biblia. Kanisa ndolinaamri. Kuliko amri za MUNGU. Hamjiulizi. Hamuoni. Ebu fungueni. Macho wapndwa. Kama mtasari jumapili. Hamtakua natatizo. Lakini wake watakao ikataa hyo jumapili. Watauwawa. Kwanini iwelazima jumapili nasi jumatatu. Hujiulizi?
Ninyi mna shida kwani siku ina shida gani? Siku zote ni za Mungu hatuzuiliwi kumwomba Mungu siku yoyote isipokuwa tu awe Mungu wa kweli na kubudu katika roho
Biblia inasema kwenye mathayo 5:8-10 "wenye moyo safi watamuona Mungu", na si watakao abudu siku ya jumapili au jumamosi. Hali yako ya moyoni ya kumuamini Yesu kristo na hali yako ya utakatifu ndo itakayo kupeleka Mbinguni.
Umesoma vitabu vya neno la Mungu na unaujua ukweri, nakuomba ujitahd ktk hiyo kwer iliyo ndani yako, kiini cha hii vita ni sabatho ya Mungu, shetani anaipinga sabatho ya Mungu ndio maana anawafany watu kuabudu jumapili, hivo nakusihi ujiunge na kundi la watu wanaoitunza sabatho, maana jumapili ikija kutangazwa waliojua kwer rehema kwao itakuw imefungwa, na wale ambao hawakujua wanaosali jumapili watapata nafas ya kujua ukwer na kugeuka, hivo pambano linailenga sabatho
Amina Sana
SHETANI HAHANGAIKI NA CHOCHOTE ILA SOMA UFUNUO 12:17 Utagundua kuwa anapamana na kanisa linalozitunza sabato na sheria zote pia went ushuhuda was YESU KRISTO. Yaani wanaomuamini huyu yesu
@@stelinanyila9893 ndio yan tujitahid kuwafany watu kuw wanafunz wa yesu vita inaelekea mwisho
Ubarikiwe sana mt nakuelewe sana
Waache tu wawatume masanam inshallah washindwe na walegeee Kwa nguvu za mungu
MUNGU 🙏 atusikie maombi yetu 🙏🙏maana paspo yeye sisi peke etu Hatuwezi
❤❤❤❤❤Mungu akubariki
Amen, ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Ni myaka mingi sana nitafuta mtu waku nihubiriya maubiri yakusisimuwa ❤❤
Hiyo ni kweli muchungaji Jambo nikuzidi kuzama Katika bwana.
Baba tufundishi tupone asa kwa Aya tumeanguka sanaaa😭😭😭 usiache🙏🙏🙏🙏
Kamanda wayesu hongera sana nakuelewa
Mungu akubariki niwachache wakuongoza ninekuelewa bro
Kweli cassian mimi ni mfuasi wako pia
KAMWE ROBOT HALITAFANANA NA MWANADAMU. ROBOT MBAKA ULIPTOGRAM, LAKINI MWANADAMU HANA LIMITI. YU HURU KWA LOLOTE