Nitaingia MBINGUNI kwa kishindo, hata Dunia nzima irudinyuma mimi siwezi...nampenda YESU KRISTO PEKEE ndani ya moyo wangu....kisu kipite shingoni, lakini MBINGUNI niingie...Dhambi ndiyo kizuizi cha Mwanadamu kwenda mbinguni, kuwa mtakatifu sana mpendwa ...1petro 1:15-16, waebrania 12:14...
Mchungaji Mungu akubariki sana sana unasaidia kuukomboa ulimwengu, watu tunapotoshwa na watumishi wa uongo paka tunakosa tumaini kabisa ila wewe ndie mtumishi wa Mungu wa kweli, unaesema ukweli na kufichua Siri nzito zilizifichika za manabii wa uongo nakupenda sana mtumishi na naikubali sana kazi Yako Mungu akuzidishie Maisha marefu yaliyojaa neema nyingi Ili uzidi kuikomboa Dunia 🙏🙏🙏
Ukweli ni huu amini nawambia saut aitojirudia tena masikioni mwako usiposikia ujumbe huu ukaufanyia kazi utalia na kusaga meno, emen mungu akutie nguv mtumishi
Mungu akutunze Mtumishi..nakufuatilia sn, mafundisho Yako,tunaomba Mungu akuwezeshe utuandalie Somo la Jinsi ya kulishinda Hilo pambano,tufanye nini kama wakristo,na ikitokea tangazo la dini Moja,tupo makanisani, tufanye nini?tutaabudu wap? tunaomba utuandalie Jinsi ya kulishinda Hilo pambano la mwisho. SoMo la la tangazo la kifo kwa Wacha Mungu limenifungua macho,kweli inaogopesha Mungu tusaidie tu
Mungu aturehemu sana. Tayari inaendelea na iko wasi ni Mungu atutie nguvu watakatifu wote duniani tusimame katika kweli yake tusimuasi Mungu. Yote aliyotabiri Bwana Yesu yametimia. Mungu awe pamoja nawe mtumishi kwa kazi hii nzuri.
Ndio maana ninapoona wakristo wamejazana kwenye mikutano ya kina Mwamposa ninalia kwamba njaa ya neno ni kubwa sana. Watu wanafuata udanganyifu wa miujuza, njia ya upotevu ni pana na ni wengi waipitayo njia ya mbinguni ni nyembamba waipitao ni wachache
Neema ya mungu iwe juu yako mtumishi wa mungu tupo vijana tunao tamaani kuwelewa haya mungu akupandishe viwango nasi tupate kuelewa zaidi k.t.k jina la yesu
Neema ya mungu iwe juuyako mtumishi wa mungu tupo vijana wenye kutamani kuujuwa ukweli mungu akupandishe viwango nasi tupate kuelewa zaidi k.t.k jina la yesu
Ubarikiwe mtumishi kwa kweli hizi ipo vita ya ibaada nani aabudiwe kati ya Mungu na. Shetani Tunakoelekea na harakati zishaanza ni kwamba jumapili inaenda kutangazwa kuwa siku maalum ya ibaada na ni lazima ukibisha kifo kinakuhusu Kwann ni lazima: kuna siku ya ibaada ambayo Mungu aliiweka kwetu sisi wanadamu nayo bili kuficha ni jumamos ndiyo siku inayomtukuza Mungu wa mbinguni na kumtambulisha kuwa ndiye muumbaji wa mbingu na nchi Kwa sababu ibilis naye anataka aabudiwe ameweka siku yake kwa wanadamu ambayo ni jumapili na mpaka sasa taratibu zinaendelea jumapili kuwekwa rasmi ni lazima uabudu katika siku hiyo hutaki kifo Lengo ni kuitoa sabato ya kweli inayomtukuza mungu na kubakiza inayomtukuza ibilisi Hizi agenda sasa ni kutafuta sababu mfano kuna agenda juu ya uchumi Kwamba eti watu wanakuwa na siku nyingi za kupumzika hawafanyi kazi hivyo uchumi unashuka iwekwe sasa siku moja ili watu wafanye kazi Ila ukweli sio hoja ni namna tu wapate kukubalika na habari yao ya kusimika jumapili kama siku ya ibaada na nyuma ya hili yupo ibilisi mwenyewe kwa kutumia mawakala wake hasa kanisa katoliki kwa uongozi wa papa.
Sasa kama unayajua hayo mzee sasa kwanini umefungua kanisa lako wakati sanamu ya mnyama ni jumapili alafu bado na wewe umefungua kanisa lako, tafikili na ni Mungu, nenda sabato kwa mujibu ya ufunuo, nenda kwa wasabato ndio utapona, acha unafki wakati unajua unachokifanya na kijacho unakijua sababu umesoma ufunuo au kanisa lako ndio la masalia na utume wao.
Neema ya mungu iwe juuyako mtumishi wa mungu tupo vijana wenye kutamani kuujuwa ukweli mungu akupandishe viwango nasi tupate kuelewa zaidi k.t.k jina la yesu 22:36
Unachoongea nisahihi niliona watoto wa Mungu wanakataliwa kuingia sokoni, kupata maitaji nikaona watoto wa Mungu wanakamatwa na kutiwa jela ,hiyo kitu nikweli mtu wa Mungu maono hayo nilionyeshwa Mwaka 1998,
Mpango wa ibilisi ni kutaka aabudiwe hivyo anaenda kinyume na Mungu kwa kila jambo Mungu alisema ndoa ni kati ya mwanaume na mwanamke Shetan yeye hata mme na mme wanaweza oana Mungu alisema ibaada ni siku ya saba Shetani yeye hata siku ya kwanza ya juma ni sawa tu So tuko vitani na vita ni kati ya wema na uovu ni kuchagua upande ni wapi usimame kwa Mungu au kwa shetani
Kama sisi ni viumbe wa Mungu na tumeubwa na Mungu hatutaweza kuweka hofu juu ya maroboti maana tunajua kua Mungu alietuumba ndie anaetuongoza juu ya rizki zetu.
mimi naona wanaokamatwa na kuteswa kwa watu wa mungu kwa kisingizio cha ugaidi. ni waislamu. sasa hawa waislamu ndio watumishi wa haki wanaomkubali yesu bila shaka ni hivyo.
Ukweri mimi ninavyo penda mahubiri yako natamani siku moja kuimba na wewe . Nimechukiwa na watu kisa ukweri wa Mungu wengi ikiwa niwa chungaji lakini naamini Mungu atanilinda.
Ee BWANA YESU tuhurumie turehemu MUNGU wetu maana dunia Sasa imekwisha we MUNGU BABA twende wapi Wana wako na watoto wetu uliotupa😢😢😢😢😢😢😢 heeeeee!!! Ni wakati wa kuchangamka usichoke mtumishi wa BWANA SEMA watu wafunguliwe
Ni kweli Balaza la Makanisa ulimwenguni EKUMEN ni Sanamu ya Mnyama kwa hiyo ni Ufunuo 13:11-16imeanzishwa Marekani tangu mwaka 1946. mungu mwenye Nafsi tatu ni alama ya Mnyama Ufunuo 16:13-14 Ni fundisho lililotoka Rumi likipi amri ya kwanza, Likipi Biblia Waebrania 6:13:Isaya 42:1: Isaya 43:21 Isaya 45:23. Hiyo inapingana na Mathayo 28:19 mkabatize kwa jina (moja) Siyo majina (wingi) Inapingana Matendo 2:38 Kwa jina la Yesu Kristo siyo majina. Matendo 10:48.Matendo 19:5.Hayoni ni baadhi ya mafundisho ya meshika jamii za watu wanajihita Wakristo. Hao Dini nyingine azijui ABC.
NDIO MAANA MRUSI ANAWANYOSHA POLEPOLE MAANA WAMEPINDA. NA HUYO PAPA ANAJIFANYA KAMA MAMBO YA UKRAIN HAYAMKUNI SANA. AMEONGEA MARA 1 TU KTK OPARATION YA KIVITA YA URUSI HUKO IKRAIN. KUMBE PEMBE ZINAMKUNA
Yesu si mungu wala mtoto wa mungu msiwapoteze hata waliowalokole ndugu zangu kibindamu someni bibilia wenyewe msisubiri kusomewa mpate kujua ukweli au tafuta clip za Imani Petro utafanikiwa
Wewe ndio unahitaji usome Biblia ili ujue YESU ndio MUNGU mwenye, ndio maana yupo mpinga Kristo yaani mpinga Kristo amemjua YESU NDIE MUNGU MWENYEWE, ndio maana hakuna mpinga Mohamedy, wala mpinga hindu, buda, waabudu ng'ombe hakuna kwa sababu hizo imani zote hakuna yeye ukweli, ila ile ya YESU aliyetufundisha, kama hujui tayari waislam washaunganishwa kwenye dini moja, makao makuu yako abudhabi Dubai, Saudi Arabia ishasaini makubaliano ya dini moja ambayo Saudi Arabia hatakiwi kutoa siraha yoyote wala kuchangia chochote watu watapigana katika ya Israel nusu ya watu duniani itapotea, makubaliano ya kusaini dini moja inawafanya waislam kujiunganisha na mpinga Kristo na kwamba hao sio watu wa YESU, kubari kumjua YESU utamjua kwa nini ana pingwa YEYE na sio mtume mwenye waislam wengi Duniani
Nikweli umehubiri ukweli kabisa. Lskini papa analenga. Kuziangusha. Amri yasabato ya mungu. Ndyo maana jumapili ndoameiweka iwe ibada yake. Kwahyo waeleze watu jumapili niarlama ya mnyama. Usifumbie hilo watu waondoke babeli.
@@sarahmaro215 pengine kwa mtazamo wako ndoulivyo. Ilashetani anaakili kuliko ujuavyo. Hujiulizi kwa Nini kanisa katholiki. Liko juu kuliko biblia. Kanisa ndolinaamri. Kuliko amri za MUNGU. Hamjiulizi. Hamuoni. Ebu fungueni. Macho wapndwa. Kama mtasari jumapili. Hamtakua natatizo. Lakini wake watakao ikataa hyo jumapili. Watauwawa. Kwanini iwelazima jumapili nasi jumatatu. Hujiulizi?
Ninyi mna shida kwani siku ina shida gani? Siku zote ni za Mungu hatuzuiliwi kumwomba Mungu siku yoyote isipokuwa tu awe Mungu wa kweli na kubudu katika roho
Biblia inasema kwenye mathayo 5:8-10 "wenye moyo safi watamuona Mungu", na si watakao abudu siku ya jumapili au jumamosi. Hali yako ya moyoni ya kumuamini Yesu kristo na hali yako ya utakatifu ndo itakayo kupeleka Mbinguni.
Mwisho wa dunia dini utakuwa moja tu duniani kote na sinyengine ila ni ileile ya nabii wa mwanzo baba yetu Adam nayo ni yamanabii wotemtajijua mlokuwa hamuijui dini halisi ya kweli na ya haki poleni Sana wakristo Allah atupe hatma njema .
Samahani..mtumishi wa mungu nisamehe kama ntakukosea niushauritu na pia mungu naomba anisamehe pia .unajua kunawachungaji feki wanatumia lugha yaupole hadi wanajikta wamejaza watu kwenye makanisa yao..unaonaje mtumishi wa mungu ukipungza ukali fanya kama unazngmza kwa lugha ya upole nahsi itakuwa njia nzri yakuwaenezea watu ukwer wa mungu wetu alie hai maan naona manabii wauongo wanatumia lugha laini kuwashawishi watu nahsi na ww ungetumia hyo lugha lain nahsi wengi ujumbe ungefka kwa watu weng zaid..nisamehe lkn kama ntakua nimekukosea mtumishi nia yngu nataka huu ukwer uwafkie watu weng kwa haraka..niushauritu mtumishi wangu..
Brooo yesu ajaja kuleta ulegevu maana siku akirudi atawatenganisha wake na wasiowake kama mchungaji anavyowabagua kondoo na mbuzi. We tambua anaeongea ni roho wa Mungu ndani yake juu ya uasi uliokithiri hivyo, sio kinyonge maana Mungu sio mnyonge na mbinguni hakitaingia kinyonge.ubarikiwe.
Asthafirullah yarabi Allah atusaidie waislamu sote kwa ujumla inshallah nilailaha ilallah Muhammad rasulallah pekeake hakuna mwengine na Muhammad ndo mjumbe wake
Yehova yupo upande wetu. Tutashinda. Kifo chetu ni ushindi. Hatuwezi kuyakwepa. Nirazima yatimie. Kikubwa. Nikusimama imara na YESU ameahidi hatatutupa kamwe
Mateso yameshaanza ndani ya Kanisa lenyewe la Rumi. Wale viongozi waaminifu kwa Neno la Mungu wanafukuzwa kazi na kutengwa. Ili wabaki wale wanaoungana na sera za kumwasi Mungu
Mhubiri sijui kama wanakusikia, lakini watu hawajui kwamba kanisa ndiyo mpinga Kristo, Mungu alililaani taifa la Israel lakini Wa Kristo wanalibariki taifa la Israel. Israel ya leo ndiyo inayo inayo simamia Uovu Duniani wakishirikiana na Marekani na mataifa ya Ulaya, Vita, Ushoga na Usagaji Israel, Marekani na mataifa ya Ulaya wamo, Family planning, Marekani na Israel wamo, Watengenezaji Nyama za Kula za Maabara Israel na Marekani wamo, Watengenezaji wa Roboti za Akili mnembo Marekani na Israel wamo. Lakini mataifa haya ndiyo wanalo libeba Kanisa. Kwamfano Italy ndilo Taifa pekee lililo kuwa na maabara ya Kuzarisha Nyama ambalo hivi karibuni limetangaza kuachana nao mpango huo. Maabara hiyo mmilki na mfadhili Mkuu ni Marekani. Hawa wote ni wapinga Kristo na ndiyo wanao licontrol Kanisa (Ukristo).
Mtumishi mbona huelezi vizuri hiyo alama ya mnyama ni nini? Kuna swala la siku ya kuabudu watalazimisha watu waabudu jumapili siku ya kwanza ya juma badala ya jumamosi hilo ndilo lengo kuu, ila wengi waabuduo jumapili kwa sasa wamo ndani ya alama ya mnyama tayari hawatakuwa na shida; Wasabato ndio wanatafutwa hapo
Nitaingia MBINGUNI kwa kishindo, hata Dunia nzima irudinyuma mimi siwezi...nampenda YESU KRISTO PEKEE ndani ya moyo wangu....kisu kipite shingoni, lakini MBINGUNI niingie...Dhambi ndiyo kizuizi cha Mwanadamu kwenda mbinguni, kuwa mtakatifu sana mpendwa ...1petro 1:15-16, waebrania 12:14...
Yesu yupo enzini, kumshikililia tu
Amina
Mungu akubariki saana mtumishi, Baki na msimamo huo huo Yesu ndiye njia
Amen 🙏
Unabii huu sio watumishi wengi wanauelewa Mungu akubariki sana bro this massage is so powerful
Mchungaji Mungu akubariki sana sana unasaidia kuukomboa ulimwengu, watu tunapotoshwa na watumishi wa uongo paka tunakosa tumaini kabisa ila wewe ndie mtumishi wa Mungu wa kweli, unaesema ukweli na kufichua Siri nzito zilizifichika za manabii wa uongo nakupenda sana mtumishi na naikubali sana kazi Yako Mungu akuzidishie Maisha marefu yaliyojaa neema nyingi Ili uzidi kuikomboa Dunia 🙏🙏🙏
Ukweli ni huu amini nawambia saut aitojirudia tena masikioni mwako usiposikia ujumbe huu ukaufanyia kazi utalia na kusaga meno, emen mungu akutie nguv mtumishi
Mungu akutunze Mtumishi..nakufuatilia sn, mafundisho Yako,tunaomba Mungu akuwezeshe utuandalie Somo la Jinsi ya kulishinda Hilo pambano,tufanye nini kama wakristo,na ikitokea tangazo la dini Moja,tupo makanisani, tufanye nini?tutaabudu wap? tunaomba utuandalie Jinsi ya kulishinda Hilo pambano la mwisho.
SoMo la la tangazo la kifo kwa Wacha Mungu limenifungua macho,kweli inaogopesha Mungu tusaidie tu
Mungu aturehemu sana. Tayari inaendelea na iko wasi ni Mungu atutie nguvu watakatifu wote duniani tusimame katika kweli yake tusimuasi Mungu.
Yote aliyotabiri Bwana Yesu yametimia.
Mungu awe pamoja nawe mtumishi kwa kazi hii nzuri.
Ubarikiwe mutumishi wa Mungu au nom de Jésus Christ de Nazareth 🇨🇩🇨🇩
Ni vizur usimame kwenye kweli ingia sabato ili uwe sawa na mitume na mtumishi halali wa mungu
Mwenyezi mungu akutunze mtumishi wa MUNGU Asante Kwa ukweli huo wahubiri wengi hawahubiri hii enjili,❤
Sasa mtumishi umesema utatuambia wanatukamataje lakini hujaseama sabb tumejisajili mtandaoni
Mungu akubariki Sana kwakusema ukweli, uwe na umli mlefu Mungu akutumie zaidi
Ndio maana ninapoona wakristo wamejazana kwenye mikutano ya kina Mwamposa ninalia kwamba njaa ya neno ni kubwa sana. Watu wanafuata udanganyifu wa miujuza, njia ya upotevu ni pana na ni wengi waipitayo njia ya mbinguni ni nyembamba waipitao ni wachache
Piga kelele askari wa bwana ❤❤🙏🙏🤝
Amina mtumishi wa MUNGU Asante Kwa ukweli huo wahubiri wengi hawahubiri hii enjili ya kweli, mwenyezi mungu akutunze Amina
Neema ya mungu iwe juu yako mtumishi wa mungu tupo vijana tunao tamaani kuwelewa haya mungu akupandishe viwango nasi tupate kuelewa zaidi k.t.k jina la yesu
Safi
Sanamu ya mnyama -umoja au muunganiko wa makanisa
Alama ya mnyama-jumapili
Nakupenda kaka Yangu ,God bless you❤
Akuowe bc
Neema ya mungu iwe juuyako mtumishi wa mungu tupo vijana wenye kutamani kuujuwa ukweli mungu akupandishe viwango nasi tupate kuelewa zaidi k.t.k jina la yesu
Ubarikiwe mtumishi kwa kweli hizi
ipo vita ya ibaada nani aabudiwe kati ya Mungu na. Shetani
Tunakoelekea na harakati zishaanza ni kwamba jumapili inaenda kutangazwa kuwa siku maalum ya ibaada na ni lazima ukibisha kifo kinakuhusu
Kwann ni lazima: kuna siku ya ibaada ambayo Mungu aliiweka kwetu sisi wanadamu nayo bili kuficha ni jumamos ndiyo siku inayomtukuza Mungu wa mbinguni na kumtambulisha kuwa ndiye muumbaji wa mbingu na nchi
Kwa sababu ibilis naye anataka aabudiwe ameweka siku yake kwa wanadamu ambayo ni jumapili na mpaka sasa taratibu zinaendelea jumapili kuwekwa rasmi ni lazima uabudu katika siku hiyo hutaki kifo
Lengo ni kuitoa sabato ya kweli inayomtukuza mungu na kubakiza inayomtukuza ibilisi
Hizi agenda sasa ni kutafuta sababu mfano kuna agenda juu ya uchumi
Kwamba eti watu wanakuwa na siku nyingi za kupumzika hawafanyi kazi hivyo uchumi unashuka iwekwe sasa siku moja ili watu wafanye kazi
Ila ukweli sio hoja ni namna tu wapate kukubalika na habari yao ya kusimika jumapili kama siku ya ibaada na nyuma ya hili yupo ibilisi mwenyewe kwa kutumia mawakala wake hasa kanisa katoliki kwa uongozi wa papa.
inambindi tukae kwa maombi na tuwe na Imani na tumutumikie muumba wetu
Mungu nirehemu mimi ,,niweze kukukuta mbingun
Mungu azidi kukubariki.ayo njo mahubiri tunayo itaji kwa sasa. Abari za baraka zinesha tuchosha🙏🙏
Mimi ninacho kijuwa ni tunaisha nyakati za mwisho. Yesu christo yu mlangoni
Sasa kama unayajua hayo mzee sasa kwanini umefungua kanisa lako wakati sanamu ya mnyama ni jumapili alafu bado na wewe umefungua kanisa lako, tafikili na ni Mungu, nenda sabato kwa mujibu ya ufunuo, nenda kwa wasabato ndio utapona, acha unafki wakati unajua unachokifanya na kijacho unakijua sababu umesoma ufunuo au kanisa lako ndio la masalia na utume wao.
Nakuelewa sana mtumish wa Mungu,Ubarikiwe Kwa ujumbe huuu
Tuamke jamni , tuwaombee Watumishi wa Mungu kama hawa wanatufungua sana
Neema ya mungu iwe juuyako mtumishi wa mungu tupo vijana wenye kutamani kuujuwa ukweli mungu akupandishe viwango nasi tupate kuelewa zaidi k.t.k jina la yesu 22:36
Amen be blessed man of God
Barikiwa Sana Mungu tuhurumie
Mungu wa mbingu na nchi akutuze ili uendelee kupiga kazi ya mhubiri
Unachoongea nisahihi niliona watoto wa Mungu wanakataliwa kuingia sokoni, kupata maitaji nikaona watoto wa Mungu wanakamatwa na kutiwa jela ,hiyo kitu nikweli mtu wa Mungu maono hayo nilionyeshwa Mwaka 1998,
Ni myaka mingi sana nitafuta mtu waku nihubiriya maubiri yakusisimuwa ❤❤
Mpango wa ibilisi ni kutaka aabudiwe hivyo anaenda kinyume na Mungu kwa kila jambo
Mungu alisema ndoa ni kati ya mwanaume na mwanamke
Shetan yeye hata mme na mme wanaweza oana
Mungu alisema ibaada ni siku ya saba
Shetani yeye hata siku ya kwanza ya juma ni sawa tu
So tuko vitani na vita ni kati ya wema na uovu ni kuchagua upande ni wapi usimame kwa Mungu au kwa shetani
Mungu akubariki sana mtumishi
Mjue Allah msitukufurishe mnaona mmetufikisha hapa tulipo mnampenda mdomoni lakini moyoni mwenu hamnae mnawapoteza hata waliowalokole
Mungu a kubariki mtumishi wa mungu,huu ni ukweli mtupu.aliye na sikio na asikie
KAMWE ROBOT HALITAFANANA NA MWANADAMU. ROBOT MBAKA ULIPTOGRAM, LAKINI MWANADAMU HANA LIMITI. YU HURU KWA LOLOTE
Amen mtumishi wa Mungu,nakuelewa unacho hubiri.Hakika mwisho ndio huu.
Hongera sana mtumishi wa Mungu
Kama sisi ni viumbe wa Mungu na tumeubwa na Mungu hatutaweza kuweka hofu juu ya maroboti maana tunajua kua Mungu alietuumba ndie anaetuongoza juu ya rizki zetu.
Hii tumesoma chuo kabksa tena ilkuwa second Year first semester 😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮
Kaza buti mwanaumeeeeeee tuko pamoja nawewe kumsujudu mwanaume yesu
Ubarikiwe mutumishi wa Mungu
Mtumishi huyu anaifundisha iliyokweli, neno halisi la Mungu, Mungu peekee anamlinda
Eee Mungu uturehemu Na umlinde mtumishiwako na mabaya yote na umpeujasiri wa kufunua sirihiii iliwatu watubu Na kukujua Yesu,uliyeMungu.
Jamani! Mungu akulinde kaka angu. Nakufatilia tangu BSS 2009. Lkn Mungu amekuinua kwa namna ya ajabu sana.
mimi naona wanaokamatwa na kuteswa kwa watu wa mungu kwa kisingizio cha ugaidi. ni waislamu. sasa hawa waislamu ndio watumishi wa haki wanaomkubali yesu bila shaka ni hivyo.
Ukweri mimi ninavyo penda mahubiri yako natamani siku moja kuimba na wewe . Nimechukiwa na watu kisa ukweri wa Mungu wengi ikiwa niwa chungaji lakini naamini Mungu atanilinda.
Mungu akubariki mtumishi
Huyu ni kanisa gni mbona Kam msabato
wewe una angalia kanisa badala ya kuangalia ukweli anao usema kanisa halikusaidii kitu
Asante sana kwamahubili mazur waliompaya kristo nadhani mnselewa
Mwenyezi Mungu atusaidie tunapoishi katika hii dunia ya dhiki.
Mungu azidi kukutumia ili kufanyika jicho pevu kuerevusha ulimwengu.
MUNGU akusaidie Mtumishi tupo pamoja
God bless you
Glória Deus!, estamos juntos servo de Jesus amém 🎉🎉🎉.
Cha msingi tuamke maana tunaishi majibu ya Yesu kristo kuhusu ujio wake Jesus is coming very soon
NIMEPENDA UJUMBE WAKO. NIMEONA KUNA KITU. IBARIKIWE SANA.
twambie baba tupone🎉 Mungu azidi kukuimalisha kwa mafundisho mazuri🎉🎉
Amen, ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Ee BWANA YESU tuhurumie turehemu MUNGU wetu maana dunia Sasa imekwisha we MUNGU BABA twende wapi Wana wako na watoto wetu uliotupa😢😢😢😢😢😢😢 heeeeee!!! Ni wakati wa kuchangamka usichoke mtumishi wa BWANA SEMA watu wafunguliwe
Amina
@@user-iv9yc8hl7n barikiwa mtumishi
Mtumishi hiyo kitu nimeona , Mungu hataacha kuwafunulia sili wateule wake, hiyo,unachokisema nisahihi,kabisa,
Tunamutegemea Allah ambaye hafi na wala hana wa kumuadvice
Yesu anajulikana Ni nani na mwanzo wake ,,,,,na je Allah niambie Ni nani anaishi wapi na na mwanzo wake Ni upi
🤔🤔Mmmmh hatar
Kamanda wayesu hongera sana nakuelewa
Kitu cha muhimu sana kulinda moyo wako na tukiacha yale yote ya Dunia
Ni kweli Balaza la Makanisa ulimwenguni EKUMEN ni Sanamu ya Mnyama kwa hiyo ni Ufunuo 13:11-16imeanzishwa Marekani tangu mwaka 1946. mungu mwenye Nafsi tatu ni alama ya Mnyama Ufunuo 16:13-14 Ni fundisho lililotoka Rumi likipi amri ya kwanza, Likipi Biblia Waebrania 6:13:Isaya 42:1: Isaya 43:21 Isaya 45:23. Hiyo inapingana na Mathayo 28:19 mkabatize kwa jina (moja) Siyo majina (wingi) Inapingana Matendo 2:38 Kwa jina la Yesu Kristo siyo majina. Matendo 10:48.Matendo 19:5.Hayoni ni baadhi ya mafundisho ya meshika jamii za watu wanajihita Wakristo. Hao Dini nyingine azijui ABC.
Ndgu
Hata huyu anayehubir kamegew ufunuo kidogo tu hajui bibiarus hayo hayamkuti
@@MaryHhary Bwana Yesu Kristo akubariki.
NDIO MAANA MRUSI ANAWANYOSHA POLEPOLE MAANA WAMEPINDA.
NA HUYO PAPA ANAJIFANYA KAMA MAMBO YA UKRAIN HAYAMKUNI SANA.
AMEONGEA MARA 1 TU KTK OPARATION YA KIVITA YA URUSI HUKO IKRAIN. KUMBE PEMBE ZINAMKUNA
Mungu akubariki niwachache wakuongoza ninekuelewa bro
Eeee Yesu shuka upesi utuone waja wako tunapotea😢
Yesu si mungu wala mtoto wa mungu msiwapoteze hata waliowalokole ndugu zangu kibindamu someni bibilia wenyewe msisubiri kusomewa mpate kujua ukweli au tafuta clip za Imani Petro utafanikiwa
Wewe ndio unahitaji usome Biblia ili ujue YESU ndio MUNGU mwenye, ndio maana yupo mpinga Kristo yaani mpinga Kristo amemjua YESU NDIE MUNGU MWENYEWE, ndio maana hakuna mpinga Mohamedy, wala mpinga hindu, buda, waabudu ng'ombe hakuna kwa sababu hizo imani zote hakuna yeye ukweli, ila ile ya YESU aliyetufundisha, kama hujui tayari waislam washaunganishwa kwenye dini moja, makao makuu yako abudhabi Dubai, Saudi Arabia ishasaini makubaliano ya dini moja ambayo Saudi Arabia hatakiwi kutoa siraha yoyote wala kuchangia chochote watu watapigana katika ya Israel nusu ya watu duniani itapotea, makubaliano ya kusaini dini moja inawafanya waislam kujiunganisha na mpinga Kristo na kwamba hao sio watu wa YESU, kubari kumjua YESU utamjua kwa nini ana pingwa YEYE na sio mtume mwenye waislam wengi Duniani
Nikweli umehubiri ukweli kabisa. Lskini papa analenga. Kuziangusha. Amri yasabato ya mungu. Ndyo maana jumapili ndoameiweka iwe ibada yake. Kwahyo waeleze watu jumapili niarlama ya mnyama. Usifumbie hilo watu waondoke babeli.
Shenanigans hasumbuliwi na siku, anachotafta shetani ni kumuangusha mtu yule ambaye anamwabudu MUNGU ktk roho na kweli tu.
Shetatani hasumbuliwi......
@@sarahmaro215 pengine kwa mtazamo wako ndoulivyo. Ilashetani anaakili kuliko ujuavyo. Hujiulizi kwa Nini kanisa katholiki. Liko juu kuliko biblia. Kanisa ndolinaamri. Kuliko amri za MUNGU. Hamjiulizi. Hamuoni. Ebu fungueni. Macho wapndwa. Kama mtasari jumapili. Hamtakua natatizo. Lakini wake watakao ikataa hyo jumapili. Watauwawa. Kwanini iwelazima jumapili nasi jumatatu. Hujiulizi?
Ninyi mna shida kwani siku ina shida gani? Siku zote ni za Mungu hatuzuiliwi kumwomba Mungu siku yoyote isipokuwa tu awe Mungu wa kweli na kubudu katika roho
Biblia inasema kwenye mathayo 5:8-10 "wenye moyo safi watamuona Mungu", na si watakao abudu siku ya jumapili au jumamosi. Hali yako ya moyoni ya kumuamini Yesu kristo na hali yako ya utakatifu ndo itakayo kupeleka Mbinguni.
Mungu MUNGU akubariki sana
Hapo yatupasa tuinue macho yetu kwa kristo ndiye msaada pekee
Amina Amina Amina
Mungu akulinde❤
Mungu akutie nguvu mtumishi wa Mungu
Hata baideni hana tofauti na robotic inayokontroliwa
Namkili yesu kristo peke yake nikotayali kufia imani
Mungu utusayidiye tumarize safari ya ya kwenda mbinguni salama🎉🎉🎉
Mungu aku jaze upako papa
Mungu anisaidie mtumishi
Mwisho wa dunia dini utakuwa moja tu duniani kote na sinyengine ila ni ileile ya nabii wa mwanzo baba yetu Adam nayo ni yamanabii wotemtajijua mlokuwa hamuijui dini halisi ya kweli na ya haki poleni Sana wakristo Allah atupe hatma njema .
Maneno yako ni sadakta na huko ulikosiko
Mungu Atusaidie sana
Samahani..mtumishi wa mungu nisamehe kama ntakukosea niushauritu na pia mungu naomba anisamehe pia .unajua kunawachungaji feki wanatumia lugha yaupole hadi wanajikta wamejaza watu kwenye makanisa yao..unaonaje mtumishi wa mungu ukipungza ukali fanya kama unazngmza kwa lugha ya upole nahsi itakuwa njia nzri yakuwaenezea watu ukwer wa mungu wetu alie hai maan naona manabii wauongo wanatumia lugha laini kuwashawishi watu nahsi na ww ungetumia hyo lugha lain nahsi wengi ujumbe ungefka kwa watu weng zaid..nisamehe lkn kama ntakua nimekukosea mtumishi nia yngu nataka huu ukwer uwafkie watu weng kwa haraka..niushauritu mtumishi wangu..
Wewe shidaako ni nini,unasikiliza sauti ama unasikiliza ujumbe?
Yeye ni mwinjilisti,wao ni wachungaji.Na isitoshe Kila Mtu anawito wake
Hakuna ulele mama kwenye kazi ya Mungu kwa nyakati hizo ni za mwisho bro tumefika mbali 😢😢
Brooo yesu ajaja kuleta ulegevu maana siku akirudi atawatenganisha wake na wasiowake kama mchungaji anavyowabagua kondoo na mbuzi. We tambua anaeongea ni roho wa Mungu ndani yake juu ya uasi uliokithiri hivyo, sio kinyonge maana Mungu sio mnyonge na mbinguni hakitaingia kinyonge.ubarikiwe.
Asthafirullah yarabi Allah atusaidie waislamu sote kwa ujumla inshallah nilailaha ilallah Muhammad rasulallah pekeake hakuna mwengine na Muhammad ndo mjumbe wake
Ubarikiwe na MUNGU
Mungu atupe hamu ya kutafuta kwa zati ubarikiwe kaka
Yehova yupo upande wetu. Tutashinda. Kifo chetu ni ushindi. Hatuwezi kuyakwepa. Nirazima yatimie. Kikubwa. Nikusimama imara na YESU ameahidi hatatutupa kamwe
Asante Mungu kwa mtumishi wako
Unaupinga ushetani na wew umo ndani umo umo, Mnyama ni utawala wa 4 ktk Dunia, na ndio hao waliowaletea ukiristo
Vema
Mateso yameshaanza ndani ya Kanisa lenyewe la Rumi. Wale viongozi waaminifu kwa Neno la Mungu wanafukuzwa kazi na kutengwa. Ili wabaki wale wanaoungana na sera za kumwasi Mungu
Acha kudanganya wewe
@@venancenkoronko9250Kweli, amka
Acha bangi
Ukweli kabisa mchungaji
Kama kuna kanisa linalotumika kishetani ni catholic, na ndio maana hawaruhusu waumini wao wasome biblia
Ni kweli kabisa mtumishi wa Mungu
Mhubiri sijui kama wanakusikia, lakini watu hawajui kwamba kanisa ndiyo mpinga Kristo, Mungu alililaani taifa la Israel lakini Wa Kristo wanalibariki taifa la Israel. Israel ya leo ndiyo inayo inayo simamia Uovu Duniani wakishirikiana na Marekani na mataifa ya Ulaya, Vita, Ushoga na Usagaji Israel, Marekani na mataifa ya Ulaya wamo, Family planning, Marekani na Israel wamo, Watengenezaji Nyama za Kula za Maabara Israel na Marekani wamo, Watengenezaji wa Roboti za Akili mnembo Marekani na Israel wamo. Lakini mataifa haya ndiyo wanalo libeba Kanisa. Kwamfano Italy ndilo Taifa pekee lililo kuwa na maabara ya Kuzarisha Nyama ambalo hivi karibuni limetangaza kuachana nao mpango huo. Maabara hiyo mmilki na mfadhili Mkuu ni Marekani. Hawa wote ni wapinga Kristo na ndiyo wanao licontrol Kanisa (Ukristo).
❤❤❤❤❤❤ Amen 🙏 UNITUMIE
Namwagia Damu ya YESU KRISTO
HUU NDO UJUMBE 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Amina mtumishi wa mungu akujariki
Mungu ama MUNGU c mungu huyo ni miungu soma Zaburi 81:9 ujue utofauti wa MUNGU muumba mbingu na nchi na mungu Amen
Mungu.haku.baliki
Mtumishi mbona huelezi vizuri hiyo alama ya mnyama ni nini? Kuna swala la siku ya kuabudu watalazimisha watu waabudu jumapili siku ya kwanza ya juma badala ya jumamosi hilo ndilo lengo kuu, ila wengi waabuduo jumapili kwa sasa wamo ndani ya alama ya mnyama tayari hawatakuwa na shida; Wasabato ndio wanatafutwa hapo