Pastor pascal naamini unacho kiubiri ni ukweli mtupu ila wasio amini uongeacho ni wenye akili ndogo sana ila naamn upo kwenye wakati wa kututoa kwenye njia mbaya unatuelekeza njia iliyo streat line naamn ktk nguvu ya mwenyezi Mungu ww ni mtu wa kipekee sana ktk uso wa anga la dunia watu kama ww ni nadra sana kutokea duniani ama kwel ❤❤ mwenyezi Mungu yupo upande wako pia hawezi kukutupa, ila sisi wanadamu ndiyo inatakiwa tuelewe ni wakat ambao ni finyu sana kwa sasa pia Mwenyezi Mungu akujalie awe nawe🙏🙏🙏🙏
Mungu akutunze, akulinde . Sema kweli na kweli itakuweka Huru. Hiyo ni sauti ya mtu aliye nyikani, tengenezeni njia ya Bwana.,hallelujah ❤huwa nabarikiwa sana kila Nikikusikiliza.. Barkiwa zaidi.
Amen mtumishi wa MUNGU,, Naamini MUNGU Yuko upande wako. Lakin MUNGU amekuzingila kwa moto pande zote, Shetani anapigana na wewe koto kote uendako akitafuta namna ya kkuangamiza, lakin MUNGU Yuko pamoja nawe,. Usiogopee maneno Yao na vitisho vyao ,, nilazima iwe hivyo, tangu zaman za manabii na mitume ilikua hivyo, lakin hawakujari maisha Yao hata kufa ,, walimtazamia MUNGU pekee ,, wapo mitume na manabii wa kweli. Ila hawapo bado ila ipo siku MUNGU atawainu hakika ni heri tukanena ya kua wewe ni nabi au mtume kuliko hao wanao jiita manabii na mitume, paza sauti usinyamaze mtumishi,, Sauti ya mtu aliaye nyikani
Amen, Mungu anaonekana ata nyumbani kwako uki amini tu yesu kuwa bwana na mokozi wa maisha yako yote ya nawezekana, na maombi mazuri ni ya wewe mwenyewe.
For your understanding Not Bible says that, chanzo Cha Imani Ni kusikia, na kusikia huja kwa Neno la Kristo, hapo lazima uhubiriwe,uongozwe kumpokea Yesu Moyoni,na. Kufundishwa kuishi katika wokovu na Neno la Kristo
@@andrewmmassy5204 Watu wengi wanafanya Mambo kwa mihemko Yao halafu wanasema Ni Mungu,Wengine wanajiita watumishi wa MUNGU halafu wanatukana na kuwashambulia watumishi Wengine eti kisa Ni matajiri,Ni vizuri kuongozwa na Roho wa MUNGU siyo kuenda kimwili au kidini
Ev. MUNGU. Akubariki sana tupo ktk uwanja mmoja tunahubiri injili ya kunawa mikono tusiwe na hatia kwa mda tuliopewa na mungu nakuombea Mungu akurinde.
Sema kweli Paschal, yaani wakinamama tutaangamia sana, tunataka miugiza tunamkataa mwenye miujiza amaye ni YESU. Utasikia mimi ni mfuasi wa nabii Dev, mara mi niwamwamposa lakin si wa YESU. Jamani tunaangamia kwa kukosa maarifa.
Am jambon mtumishi wa mungu mkubwa aliye dju, Niko katika intchi ya Congo, nime penda saana mafundisho Yako mungu akulinde umalize kazi zake asante saana .
Akuna silaha itakayo inuka kenyume chako itakayo faulu,Cassian🇰🇪🇰🇪🇰🇪tunakueka kw maombi mungu akufunike kw damu yake,keep telling the truth ata wakikuchukia n sawa unamungu
@@patsonkyando1732 kaka pole sana kama haya mafunzo yajakugusa sehemu,kwngu Cassian amekua mwalimu wangu kupitia mafundishow yake,akika mm na mmoja wa wale tumefunga safari canani lazima tufiki
amen man of God.umesema ukweli mtupu.Mungu akubariki sana kwa kusimama na ukweli na kufungua watu wa Mungu macho.may God uplift yuo more en more man of God
AMEN AMEN AND AMEN 🙏 🙌 HAPO NI UKWELI BROTHER WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAHARIFA BADALA WATU WATAFUTE MUNGU WANATAFUTA MIUJIZA ENDELEA KUTUFUNUA MACHO BROTHER MUNGU AZIDI KUKUTUMIA ZAIDI KWA KUENEZA NENO LAKE LA KWELI AMENA🙏🙏🙏🦶
sema kweli baba. kwani manabii wa sasa hawasemi kweli na kukemea uovu bali kutabiri fedha na kuuza vitu vinavyohusianishwa na imani katika Kristo Yesu Bwana wetu. Mungu akulinde unapotekeleza wajibu huo
Ameen Mtumishi wa Bwana sema kweli ya Mungu aliye hai usidaiwe damu ya zao hawasikii wanataka muujiza tuu kuliko kusoma neno Wajue Mungu anatakaje yaani inauma sana😭😭😭😭😭😭😭😭
Roho ya nambii Eliya mmoja wa manambii wa kale,Mungu ameijaza ndani ya mtumishi huyu. Ee Mungu wape macho ya rohoni Watanzani na dunia kwa ujumla wamwelewe mtumishi wako.
Mbona wewe ndio wa kupewa pole!!!!???mana hapa ashambulii watumishi. Ngoja nikufundishe kushambulia ni vile kama angewaongelea vibaya kama kuwatukana lakini hapa anahubiri neno kupitia neno la mungu na anasoma vifungu vya neno la mungu ina maana hata kama Kuna nabii ambae alikuwa anatumiwa na shetani bila kujua akisikiliza anabadilika na pia wale waumini ambao wamekamatwa na shetani kupitia manabii wa uongo wakisikia wanafunguka na kuchukua hatua.
Greetings thank God for you, you are right hundred percent. There is a pastor in America his name is Gino Jennings, he preach also what you are preaching.
Natamani MUNGU aseme nao hao wanaojiita manabii na wanashududiwa mm natamani jambo litokee sema Namshukuru MUNGU kwa ajili yako unawafikishia ujumbe Nakupenda sana nachukia sana mtu anaye chukua cheo Cha MUNGU aliye Hai anajiita baba kwa watumishi wa MUNGU
Mtumishi kweli mungu akulinde alafu uyo bushili saizi yako Malawi aliludi kutoka south Africa yupo anatikisa Malawi 🇲🇼 🇲🇼 watu wanamwabudu adi njiani wanapiga magoti kiukweli mungu akutie nguvu atakapo wema ukweli mungu akubaliki sana mtumishi wa bwana sema ukweli tupone
Yesu uliyejuu mbinguni hili ni ombi langu mpatie maisha marefu sana huyu mtumishi wako kwa ajili ya neno lako na kazi Yako uliyompatia mlinde dhidi ya ubaya na mitego ya adui
Mutumishi wa Mungu ubarikiwe saana Na mafundisho ya nyakati za mwuisho, iZi mafundisho aziikalaka ndani ya makanisa, tuna hubiriwa peke Yake mibaraka ijapokua chetani yeye ha Lali Na watumishi wake kwaku zimisha kanisa la kristo yesu.
Mie huwa nashangaa sana TAG Majumbasita Yesu anatenda miujiza bila gharama na ni kwa jina lake tu na watu wakikaribishwa wala hawataki ili wafunguliwe bure.
Pastor pascal naamini unacho kiubiri ni ukweli mtupu ila wasio amini uongeacho ni wenye akili ndogo sana ila naamn upo kwenye wakati wa kututoa kwenye njia mbaya unatuelekeza njia iliyo streat line naamn ktk nguvu ya mwenyezi Mungu ww ni mtu wa kipekee sana ktk uso wa anga la dunia watu kama ww ni nadra sana kutokea duniani ama kwel ❤❤ mwenyezi Mungu yupo upande wako pia hawezi kukutupa, ila sisi wanadamu ndiyo inatakiwa tuelewe ni wakat ambao ni finyu sana kwa sasa pia Mwenyezi Mungu akujalie awe nawe🙏🙏🙏🙏
Mungu akutunze, akulinde . Sema kweli na kweli itakuweka
Huru. Hiyo ni sauti ya mtu aliye nyikani, tengenezeni njia ya Bwana.,hallelujah ❤huwa nabarikiwa sana kila Nikikusikiliza.. Barkiwa zaidi.
Amen mtumishi wa MUNGU,, Naamini MUNGU Yuko upande wako. Lakin MUNGU amekuzingila kwa moto pande zote, Shetani anapigana na wewe koto kote uendako akitafuta namna ya kkuangamiza, lakin MUNGU Yuko pamoja nawe,. Usiogopee maneno Yao na vitisho vyao ,, nilazima iwe hivyo, tangu zaman za manabii na mitume ilikua hivyo, lakin hawakujari maisha Yao hata kufa ,, walimtazamia MUNGU pekee ,, wapo mitume na manabii wa kweli. Ila hawapo bado ila ipo siku MUNGU atawainu hakika ni heri tukanena ya kua wewe ni nabi au mtume kuliko hao wanao jiita manabii na mitume, paza sauti usinyamaze mtumishi,, Sauti ya mtu aliaye nyikani
Nipo Moçambique laki sijuwi vizury kishuaili laki mungu anasaidia sana nakupenda pastor pascoal Cassiano jina lako nimeadika kwenye kireno
Ubiri Kabisa Man Of God Cassian.... Ukweli utawaeka Watu wa Mungu Huru...
Nae Bwana Mungu Wa Majeshi atakupigania
Amina kengele ya Bwana Yesu kristo aliye hai Mungu anayo sababu yakukuokowa mtumishi damu ya Yesu kristo ikufunike .
God bless you mtumish , sasa waambie na wale wanaowabatiza watoto
Mungu akubaliki Sana na azidi kuku ongezea ulizi wa kiroho azidi kuku tia nguvu pasipo uwepo wa Mungu hiyo kazi ni ngum
Amen, Mungu anaonekana ata nyumbani kwako uki amini tu yesu kuwa bwana na mokozi wa maisha yako yote ya nawezekana, na maombi mazuri ni ya wewe mwenyewe.
For your understanding Not Bible says that, chanzo Cha Imani Ni kusikia, na kusikia huja kwa Neno la Kristo, hapo lazima uhubiriwe,uongozwe kumpokea Yesu Moyoni,na. Kufundishwa kuishi katika wokovu na Neno la Kristo
Amen, be blessed pastor
No lazima uwe na Spiritual father
But how,baba wa vipi?uwe na uhakika kwamba ni mungu amekuongoza kwamba huyo ndie exactly spiritual father
@@andrewmmassy5204 Watu wengi wanafanya Mambo kwa mihemko Yao halafu wanasema Ni Mungu,Wengine wanajiita watumishi wa MUNGU halafu wanatukana na kuwashambulia watumishi Wengine eti kisa Ni matajiri,Ni vizuri kuongozwa na Roho wa MUNGU siyo kuenda kimwili au kidini
This massage is so powerful..... Nimekutana na haya lkn kukuskiza Kuna nisaidia Sanaa,,, barikiwa sana mtumishi 🙏
May God strengthen you, I always believe in every word that comes out of your mouth
Very dangerous to
mungu akubariki sana tu mtumishi na wote ambao wana jitolea kusapoti kazi ya mungu tuna kuhombea sana tu from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu unanipa nguvu sana
Hallelujah hallelujah mungu akubariki mutumishi wamungu tunakupenda Sana 🙏🙏🙏🎺🎺🎺
Amen lord anakupenda sana na ninaipenda jinzi unavyo hupiri na nyimbo sako amen song nikulipe nni mungu wangu kwa yaleyode umenidenda
Ameeeen ameeeen MTUMISHI WA MUNGU!!Big up!!!MAY THE BLOOD OF JESUS PROTECT YOU FOREVER,!!!AMEEN!
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu mwenye masikio na asikie Neno ambalo Roho WA Mungu awaambia watu.
Ameen barikiwa mtumishi kwa kutufumbua macho tumekua tukitembea ilihali SS..n..vipofu wanapona..na..visiwi wnaosikia
Mungu akubariki sana akufunike nadamu ya YESU
Tena lidondoke neno hata moja ,Nena yote, mtumishi wa kristo
Wewemtumishi waMungu Enjiliyako inafikanakupita kwenye nyikazenye nyokawenyesumu kalizenyemiti yenyemiibanawanyamawote hatari amakweli umesimama kinyume nagizanene linalowapeleka kwenye aanguko lakuzimu. UBARIKIWE SANA.MTUMISHI WAMUNGU WAKWELI. HALELUYA.
Ev. MUNGU. Akubariki sana tupo ktk uwanja mmoja tunahubiri injili ya kunawa mikono tusiwe na hatia kwa mda tuliopewa na mungu nakuombea Mungu akurinde.
Sema kweli Paschal, yaani wakinamama tutaangamia sana, tunataka miugiza tunamkataa mwenye miujiza amaye ni YESU. Utasikia mimi ni mfuasi wa nabii Dev, mara mi niwamwamposa lakin si wa YESU. Jamani tunaangamia kwa kukosa maarifa.
Am jambon mtumishi wa mungu mkubwa aliye dju, Niko katika intchi ya Congo, nime penda saana mafundisho Yako mungu akulinde umalize kazi zake asante saana .
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Bwana ni kwel kabisa Mungu akulinde na akupiganie na akufunike kwa damu yke wasipate nafasi kufanya chochote
Mwenye masikio na asikie na mwenye macho na aone 🙏🙏🙏
Amen
Akuna silaha itakayo inuka kenyume chako itakayo faulu,Cassian🇰🇪🇰🇪🇰🇪tunakueka kw maombi mungu akufunike kw damu yake,keep telling the truth ata wakikuchukia n sawa unamungu
Unajiingiza kwenye LAANA bilà kujua , Pascal Ni muongo kabisa,haujui Maandiko,anatumiwa na shetani kuwashambulia watumishi wa MUNGU,
Kamasio wakweli basi tufanyeje?kamamimi na sumbuliwana hugonjwa wa presha natakanikimbilie hukokwao .sababu natakakupona.
Nahomba msahadawako wamahombi,ilinifunguliwe kwahugonjwa huhu unaho nisumbua.
@@patsonkyando1732 au na wewe ni mmojawapo ya manabii wa uongo nini,mbona uneguswa na huu ujumbe ndugu yangu
@@patsonkyando1732 kaka pole sana kama haya mafunzo yajakugusa sehemu,kwngu Cassian amekua mwalimu wangu kupitia mafundishow yake,akika mm na mmoja wa wale tumefunga safari canani lazima tufiki
amen man of God.umesema ukweli mtupu.Mungu akubariki sana kwa kusimama na ukweli na kufungua watu wa Mungu macho.may God uplift yuo more en more man of God
AMEN AMEN AND AMEN 🙏 🙌 HAPO NI UKWELI BROTHER WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAHARIFA BADALA WATU WATAFUTE MUNGU WANATAFUTA MIUJIZA ENDELEA KUTUFUNUA MACHO BROTHER MUNGU AZIDI KUKUTUMIA ZAIDI KWA KUENEZA NENO LAKE LA KWELI AMENA🙏🙏🙏🦶
Huwezi kumtafuta na kumpokea Yesu bilà miujiza,Miujiza mkubwa kuliko yote Ni kumpata Yesu
AMEN watakao sikia na kuokoka watamuoma mungu amen
Cassian Mungu azidi kukutetea umenifunza mengi sana God bless you man of God.
Pole sana
MUNGU akubariki sana mtumishi uko sahihi kabisa 💯
Mtu atakaye ku chukiya wewe ajui uchungu wa injili ya kweli. Lakini kama aidhivyo Mungu uta ishi maisha marefu paka pale ata penda Mungu .
sema kweli baba. kwani manabii wa sasa hawasemi kweli na kukemea uovu bali kutabiri fedha na kuuza vitu vinavyohusianishwa na imani katika Kristo Yesu Bwana wetu. Mungu akulinde unapotekeleza wajibu huo
Amen man of God we are togather..be blessed
Amen amen amen 🙏 from Kenya
Pascal MUNGU akuhariki nakuelewa Sana jamaa yangu sijawahi kuona mtumishi anae huburi ukweli Kama huu wengi ni wapiga diri barikiwa mno
Amen nduku yangu Cassian mungu akulinde zaidi ,nimimi nduku yako bienvenue kutokapale Congo
Ameen Mtumishi wa Bwana sema kweli ya Mungu aliye hai usidaiwe damu ya zao hawasikii wanataka muujiza tuu kuliko kusoma neno Wajue Mungu anatakaje yaani inauma sana😭😭😭😭😭😭😭😭
Mtumishi wa Mungu ubarikiwe Sana .Nilitaka kukukosoa kidogo kwamba Bushiri siyo raia wa Nigeria Bali ni raia wa nchi ya Malawi
Roho ya nambii Eliya mmoja wa manambii wa kale,Mungu ameijaza ndani ya mtumishi huyu. Ee Mungu wape macho ya rohoni Watanzani na dunia kwa ujumla wamwelewe mtumishi wako.
Endelea kutangaza ukweli na Mungu azidi kukuinua tunakusapoti 100/ nashetani ashindwe kwa damu ya yesu Amen, niko marekani
Unasapoti ujinga wa Pascal kuwashambulia watumishi wa MUNGU,Pole sana
Mbona wewe ndio wa kupewa pole!!!!???mana hapa ashambulii watumishi. Ngoja nikufundishe kushambulia ni vile kama angewaongelea vibaya kama kuwatukana lakini hapa anahubiri neno kupitia neno la mungu na anasoma vifungu vya neno la mungu ina maana hata kama Kuna nabii ambae alikuwa anatumiwa na shetani bila kujua akisikiliza anabadilika na pia wale waumini ambao wamekamatwa na shetani kupitia manabii wa uongo wakisikia wanafunguka na kuchukua hatua.
Amen mtumishi wa Mungu akulinde. Sana watched from Kenya.
Mungu Baba aendelee kukulinda maana Injili isiyogoshiwa lazima ihubiriwe nyakati hizi za mwisho ili mwenye sikio asikie apone.
Amen nabii wa mungu Niko nyuma Yako kwenye behewa Moja kwenye safari ya kuurithi ufalme wa kristo.
Amen Mtumishi wa Mungu Sema ukweli na Ukweli itakuweka uru
Greetings thank God for you, you are right hundred percent. There is a pastor in America his name is Gino Jennings, he preach also what you are preaching.
MUNGU ni mkuu Wala usiwe na Shaka tupo tunaosikia na kupona kwa hayo unayotufundisha BARIKIWA SANA!!🙏🙏
Mungu yuko mlele na milele, watakutafute wakitumia kila mbinu zozote ila hawana nguvu kmulko Mungu🙏🙏🙏🙏
Mungu akupandishe zaid kwasababu kweli ya mungu inaongelewa sana ila watumishi weng ni waoga wanaogopa kuisema kweli
Napenda injili yako ila wakristo hatujui Mungu tunayemtumikia hata ukiuliza mlokole Yesu ni nani na Mungu ni nani hana mwao
Natamani MUNGU aseme nao hao wanaojiita manabii na wanashududiwa mm natamani jambo litokee sema Namshukuru MUNGU kwa ajili yako unawafikishia ujumbe Nakupenda sana nachukia sana mtu anaye chukua cheo Cha MUNGU aliye Hai anajiita baba kwa watumishi wa MUNGU
Mtumishi kweli mungu akulinde alafu uyo bushili saizi yako Malawi aliludi kutoka south Africa yupo anatikisa Malawi 🇲🇼 🇲🇼 watu wanamwabudu adi njiani wanapiga magoti kiukweli mungu akutie nguvu atakapo wema ukweli mungu akubaliki sana mtumishi wa bwana sema ukweli tupone
Amina mtumishi, Mwenyezi Mungu ni mkuu atabaki kuwa mkuu je, aonapo watu wake wanateseka na kuhangaika hawezi kumtumia shetani kuwasaidia hao watu?
Amém Deus te abençoe sempre; Amina mungu akubariki kila siku.
Mungu akuwezeshe zaidi na zaidi. Mungu akuponye na kukulinda
Amina Mungu akutie Nguvu mtumishi
Amen, 🙏 Baba.mungu akupe hanja moyowako
Asante mtumishi Mungu akubariki🙏🙏🙏🙏
Mtumishi paschal unanikumbusha mtume paulo..yale aliopitia ni sawia tu na ya kwako..mungu akutie nguvu
Yesu uliyejuu mbinguni hili ni ombi langu mpatie maisha marefu sana huyu mtumishi wako kwa ajili ya neno lako na kazi Yako uliyompatia mlinde dhidi ya ubaya na mitego ya adui
Hakika vyote vinapita ila neno LA mungu utimia kwa ktk nyanza tofauti
❤❤❤❤Müñgu akulinde akubariki nabarikiwa mnoo unavofichua zambi
Mutumishi wa Mungu ubarikiwe saana Na mafundisho ya nyakati za mwuisho, iZi mafundisho aziikalaka ndani ya makanisa, tuna hubiriwa peke Yake mibaraka ijapokua chetani yeye ha Lali Na watumishi wake kwaku zimisha kanisa la kristo yesu.
Ahsante mungu akubariki mtumishi wa mungu hakika tuendelee kuusema ukweli wa mungu
Mie huwa nashangaa sana TAG Majumbasita Yesu anatenda miujiza bila gharama na ni kwa jina lake tu na watu wakikaribishwa wala hawataki ili wafunguliwe bure.
Katika watu aliojisazia BWANA ni pamoja na huyu mzee wangu Mch Moses Magembe.Hanaga longolongo kabisa,yuko straight.
I always pray for you we are together in SPIRIT
True spiritual man of Christ'be blessed
Amen Mungu aachili ulinzi na Mafunuo juu yako.
Amina mtumishi,,ubarikiwe na MUNGU
Mungu akubariki mtumishi wa bwana kwa kuzifunua Siri za kimbingu
Yesu akutunze brother
Mungu aku teteye katika vita vyote na aku fiche ndani ya damu ya Yesu kristo wanazareti alie hai
ubarikiwe mtumishi napenda nyimbo unazoimba,mahubiri pia. Mungu azidi kukulinda
Amen
Endela kusema kweli bila kujali wanasema nini. Mungakulwe riki zaidi na akulinde. Mungu akutie guvu zaidi!
Mungu akulinde na akupiganie endelea kusema ukweli tuko nyuma yako muinjilisti paschal
Amen amen Mungu yupamoja na wewe
Endelea ndugu yangu, mungu akulinde Sana.
Mungu akutumie mtumishi wa Mungu ili watu wajue kweli
Mtumishi wa mungu ubarikiwe na mungu akuepushe na mishare ya shetan
Mungu akulinde Baba
❤ Amen na mungu atuongoze Ahsente
God bless you my brother,. Eldah kadima
Damu ya YESU inenayo mema ikufunike Mtumishi wa MUNGU alie hai, Tena akupe maisha malefu uzidi kutufunulia kweri ya YESU Kristo.
Amina ubarikiwe kwa kutufunulia maandiko
Mm uwezi kukosoha Imani nilivyo iamini Kwa kuhani msa
Nikweli baba mungu aktie nguvu kuisema kweliyake.
Nakupenda sana mtumishi kulingana vile unaweka maneno wazi
Amina mtumishi wa mungu ubarikiwe sana
mungu akuinuwe hapo ulipo uiniliwe zaid😊
Mtumishi Mungu akubariki Sana sema Kweli tuwe huru
Mungu Yu pamoja nawe akika awezi kukuacha maana umekuwa mfumbuzi wa ubaya wa dunia.
Hakikaa Mungu akutie nguvu sana daa
Ameen mtumishi,mungu azidi kukutunza sana
Ulimwengu wa roho hutekwa na wenye nguvu! Sasaivi Tunateseka na watoto na jamii nzima UNIOMBEE mtumishi Pascal.
Mungu. Akufunike. Akutunze mtumishi. Was. MUNGU
❤ akina Mungu akutie nguvu na ujasiri
Mungu akubaliki mtumi wa mungu
Mtumishi nashukuru kwa neno.Ila kinachonishangaza hawa manabii mbona wanatumia jina la Yesu???
Tusimuogope yule auae mwili Bali tumuogope auae mwili na Roho , hakuna silaha itainuka juu yako , katika Jina lipitalo majina yote Yesu Kristo
Sana mtu wa Mungu Muda wao wa kuumbuka umefika wanatukera na miujiza yao ya kipepo
Wewe liuu mimi pia nasema huyu cassian ni mtumishi wa kweli wa mungu na manabii na mitume ni matapeli