Namshukuru na kumtukuza Mungu wa Mbinguni, nimepata period kwa muda wa siku 17 mfufulizo, nikaenda hospital na kupewa dawa lakini bado haikukata, lakini baada ya kujiungamanisha na maombi haya Mungu ameniponya na period imekata kabisa. Asante Mungu
Ila wasabato Kama tutaelewa ptr mbaga anavofundisha tutapendeza saana mabakibaki ya ufarisayo yapo Roho mtakatifu tutawale na utuongoze ameni. Haleluya
Nimerudi tena kusikiliza neema Mungu aliyo mpatia Mch .Mmbaga. Nimerudi hapa kwa mara ya Tatu. Ila leo ,nimemsikia Mungu akiniambia soma Waefeso sura ya Tatu. Baada ya kusoma Roho Mtakatifu amenisemesha, 'Ombea Kanisa lipokee ujumbe huu hasa fungu la kumi'. Hii siri niya kufunuliwa Kanisani (Waefeso 3:10). Asante sana Mungu kwa mafunuo haya. Zidi kumtumia Mch .Mmbaga na team yake . Bariki kila atakaye msikiliza aelewe ,apate neema ya mahitaji yake yake yote. Kisha Injili itakwenda kwa haraka nawe utarejea kutuchukua Kwenye makao ya amani . Kwa Jina la Yesu nimeomba .Imekuwa .
Baba yetu wa MBINGUNI, nakutukuza daima kwa kumtumia Mch. Mmbaga. Leo naombea hufahamu wako ujidhihirishe kwa kila atakaye msikiliza Mch. Mmbaga, asikie sauti yako ikimdhibitishia kuwa neno lako ni Kweli na lakuaminika. Kwa Jina la Yesu, AMEN.
Pr Mbaga, huyu jehova tunayemwabudu naomba akupe maisha mareeefu sana Ww n sababu ya mimi kuwa na maisha hya niliyonayo kupitia maombi yako nilipata kazi tna siy kazi tu, kazi nzuri na hpo ni baada ya miaka mitano nkitafuta Asante nko nyamongo Tarime ulikuja net event Nakukumbuka sana sina namna ya kuwasiliana na wewe MUNGU WA MBINGUNI AKUTUNZE Ombi langu leo Kama MUNGU alivyonitendea awatendee na wengine
Bariwa sana, kwakweli nilidhofika sana kulingana n changamoto kazini, nikaamua naacha kazi leo asubui nikiwanaski hili somo nikapata nguvu mpia naendelea n kz, Mungu amenipa nguvu mpia sifa n heshima zimrudie amen 🙏🙏
Ahsante mtumishi wa Mungu aliye hai umeugusa moyo wangu na kufunu wazi mapungufu yangu ukweli nikuwa naona kama Mungu yuko mbali nami lakini kuanzia leo yeye ni Aba kwangu.
Amen mchungaji.Mungu naomba unisamehe dhambi zangu, pia uniondowe katika kila vifungo vya ukoo na vya familiya,uniponye na adui zangu uniondelee kila mikosi na mabalaa Amen 🙏
Eeh Mungu wangu endelea kunifundisha mimi mwana wako ni mengi bado tunajifunza haswa mambo ya kiroho, naja mbele zako fungua moyo wangu na uingie ndani yangu na ukaishi hapo kwakuwa nimekuchagua wewe kuwa Bwana na mwokozi wangu. Angaza maisha yangu eeh Mungu wangu mimi mwanao nipo tayari kuongozwa nawe. Maisha yangu nayakabidhi mikononi mwako ukaniongoze siku zote za maisha yangu. Nawaombea na watu wako ulimwenguni kote yeyote akuitaye kwa jina lako basi ukawatendee sawa sawa na mapenzi yako Amen🙏
Eeh Mungu katika maombi haya naomba kugunguliw nguvu za giza zote katika maisha yangu na mchumba wangu agunguliwe kwa jina la Yesu familia yangu na mdogo wangu binamu yangu watoke gerezani naamin Baba umetenda Amina😢
Prom mbaga ubarikiwe sana tunabarikiwa mm na familia yangu; ulikuja Kilolo ckupata mda wa kukupa ushuhuda ila naamini tutakutana siku nyingne nikwambie Mungu alichotutendea.
Amen....kpitia kwa mafundisho yako naendelea kukua kiroho na pia kumwona mungu kama kaka na rafiki wangu wa karibu.....yale mungu amenitendea na mahali amenitoa acha sifa na utukufu ziendelee kumrudia yeye maana anasitaili
Pastor Asante kwa maombi Mana nimefunguliwa na mungu kutoka kwenye nguvu za Giza Mana ulipoomba Mara ya Kwanza nilihisi Giza limetanda usoni nakama nahisi kuanguka Ila Mara ya pili na ya tatu nikajihisa nipo sawa kabisa namshukuru mungu kwa uponyaji🙏
Thanks pastor for sharing napenfa mahubiri yako Sana. Teach us about tithe. Nikichukuwa tithe kwa kusaidia watoto yatima au kwa kujenga kanisa nitakuwa nimekosea?
Bwana Yesu asifiwe. Jamani huyu mchungaji amewahi kufundisha somo la kutafsiri vitu lipo humu ndani you tube ila sijui lonaitwaje. Yaani majina ya vitu na maana yake naomba msaada jamani
Ni Mibaraka Tele atufundishayo huyu.mjolli wa Kristo aendelee kulindwa,kujaliwa Afya njema na familia yake pasiwepo na changamoto yoyote aendelee kutukumbusha jinsi ya kuyaishi maisha ya BWANA.
mchungaji nauliza hilo ombi uliloelekeza hapo je naweza kuomba na watu 2 ndugu au rafki lakin tuko mbali hata kimkoa lakin tunaombea kitu kimoja na tukapata majibu au mpaka niwe peke yangu barikiwa
Kuna sehemu sijaelewa kusudi la kuchinja mnyama agano la kale ilikua kuwakilisha damu ya Yesu ambayo ingemwagika na dhambi ya Kaini ilikua kukiuka huu mfumo wa ibada akapeleka mazao ya kondeni Sasa hapa kwenye unga au divai hapa ilitolewaje kuwakilisha damu ili msamaha utoke mwenye maelezo please??
Mch Mbaga kanisa letu Lina idara na ni nzuri tu je kwa Nini maombi na maombezi hata ikiitwa vingine isiwe idara kamili hi ikiwa idara na ikaimarishwa tutawavuta wote kwa christo
Namshukuru na kumtukuza Mungu wa Mbinguni, nimepata period kwa muda wa siku 17 mfufulizo, nikaenda hospital na kupewa dawa lakini bado haikukata, lakini baada ya kujiungamanisha na maombi haya Mungu ameniponya na period imekata kabisa. Asante Mungu
Amen
Amina
ameni
Hallelujah! Sifa na utukufu kwa Mungu!
Amen
Ila wasabato Kama tutaelewa ptr mbaga anavofundisha tutapendeza saana mabakibaki ya ufarisayo yapo Roho mtakatifu tutawale na utuongoze ameni. Haleluya
Wengi hawataki Kubadilisha Mtazamo wa kiakili
Mungu endelea kutumika kwenye maisha yangu hatima yangu Iko kwako🙏🙏
Nimerudi tena kusikiliza neema Mungu aliyo mpatia Mch .Mmbaga. Nimerudi hapa kwa mara ya Tatu. Ila leo ,nimemsikia Mungu akiniambia soma Waefeso sura ya Tatu. Baada ya kusoma Roho Mtakatifu amenisemesha, 'Ombea Kanisa lipokee ujumbe huu hasa fungu la kumi'. Hii siri niya kufunuliwa Kanisani (Waefeso 3:10).
Asante sana Mungu kwa mafunuo haya. Zidi kumtumia Mch .Mmbaga na team yake . Bariki kila atakaye msikiliza aelewe ,apate neema ya mahitaji yake yake yote. Kisha Injili itakwenda kwa haraka nawe utarejea kutuchukua Kwenye makao ya amani . Kwa Jina la Yesu nimeomba .Imekuwa .
Baba yetu wa MBINGUNI, nakutukuza daima kwa kumtumia Mch. Mmbaga. Leo naombea hufahamu wako ujidhihirishe kwa kila atakaye msikiliza Mch. Mmbaga, asikie sauti yako ikimdhibitishia kuwa neno lako ni Kweli na lakuaminika. Kwa Jina la Yesu, AMEN.
Amen
Ee Mungu wangu naomba ktk maombi haya ndoa yangu uitete shetan anataka kuvunja amina
Amen Mchungaji. Mungu anisamehe kwakweli na kunifungua. Mimi ni mdhambi nahitaji kuokolewa na damu ya Yesu.
Pr Mbaga, huyu jehova tunayemwabudu naomba akupe maisha mareeefu sana
Ww n sababu ya mimi kuwa na maisha hya niliyonayo kupitia maombi yako nilipata kazi tna siy kazi tu, kazi nzuri na hpo ni baada ya miaka mitano nkitafuta
Asante nko nyamongo Tarime ulikuja net event
Nakukumbuka sana sina namna ya kuwasiliana na wewe MUNGU WA MBINGUNI AKUTUNZE
Ombi langu leo Kama MUNGU alivyonitendea awatendee na wengine
Pastor Mbaga Mungu wetu wa mbinguni aliye juu kuliko vitu vyote aendelee kukubariki katika siku zote za maisha yako.
Jina la bwana wetu Yesu kristo liimidiwe nimepokea neno 🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Amen 🙏🙏 naskia kufarijika sana mafundisho yenye uelewa Bwana akuongoze siku sote mtumishi WA Mungu 🙏🙏🙌
Nous rendons grâce à Dieu pour votre vie, pasteur que Dieu vous bénisse
Hubarikiwe sana mtumishi wa Mungu David kwa mafundisho siku ya leo nimepata chakula chenye uzima Amen
Amen bwana asifiwe namshkuru niko salama nabarikiwa na mafundisho haya mzuri
Bariwa sana, kwakweli nilidhofika sana kulingana n changamoto kazini, nikaamua naacha kazi leo asubui nikiwanaski hili somo nikapata nguvu mpia naendelea n kz, Mungu amenipa nguvu mpia sifa n heshima zimrudie amen 🙏🙏
Ahsante mtumishi wa Mungu aliye hai umeugusa moyo wangu na kufunu wazi mapungufu yangu ukweli nikuwa naona kama Mungu yuko mbali nami lakini kuanzia leo yeye ni Aba kwangu.
Guy pr mungu amubariki pop
Bwana Yesu asifiwe....Nafurahia Mafundisho yako sana Mchungaji Mbaga hakika yamenibadilisha mtizamo wanguu Kiroho🙏🙏🙏
Amen,am much transformed, God bless you pastor mmbaga
Kwa kweli MUNGU ananipenda yaani ulichofundisha na kuomba ni kama nimekueleza Pasta, Asante Mungu kwa kunijibu ninaamini umenifungua leo
Asante Mungu kwa kuruhusu kusikiliza mafundisho haya ambayo napata kuwekwa huru kupitia kristo mwana wa Adamu katika jina la Yesu kristo Amina.
Natamani kukusikiliza Tena na tena Mungu aliehai akulinde Pr.DAVID AZAEL MMBAGA,pamoja na familia Yako.AMINA.
Asantee Mungu kwa neema yako nimekuwa huru
Amina, Ahsante sana pastor Mungu akubariki unapoendelea kufanya KAZI yake kwa bidiii
Ninabarikiwa sana na mafundisho yako! Mungu amenitendea mengi na makuu tangu nimemjua hyu Mungu! Ni dhahili na hakika Baba yetu hayuko mbali nasi
Yeremia 23:23
Unanibariki sana Pastor Mmbaga
Mungu wewe ni Aba , nisaidie leo 🙏
Amen mchungaji.Mungu naomba unisamehe dhambi zangu, pia uniondowe katika kila vifungo vya ukoo na vya familiya,uniponye na adui zangu uniondelee kila mikosi na mabalaa Amen 🙏
Atukuzwe Yesu Kristo, Baada tu ya maombi haya nimepokea muujiza wangu.
Amina
Eeh Mungu wangu endelea kunifundisha mimi mwana wako ni mengi bado tunajifunza haswa mambo ya kiroho, naja mbele zako fungua moyo wangu na uingie ndani yangu na ukaishi hapo kwakuwa nimekuchagua wewe kuwa Bwana na mwokozi wangu. Angaza maisha yangu eeh Mungu wangu mimi mwanao nipo tayari kuongozwa nawe. Maisha yangu nayakabidhi mikononi mwako ukaniongoze siku zote za maisha yangu. Nawaombea na watu wako ulimwenguni kote yeyote akuitaye kwa jina lako basi ukawatendee sawa sawa na mapenzi yako Amen🙏
Barikiwa sana pastor David, hii channel imenifunza mengi na kunifanya niwe na ujasiri wa kumtafuta mungu
Somo hili limeniinua kiimani. Namshukuru Mungu. Mungu akubariķi mchuñgaji.
Sifa na utukufu kwa Yesu.
Eeh Mungu katika maombi haya naomba kugunguliw nguvu za giza zote katika maisha yangu na mchumba wangu agunguliwe kwa jina la Yesu familia yangu na mdogo wangu binamu yangu watoke gerezani naamin Baba umetenda Amina😢
Bwana akuinue zaidi pr
Prom mbaga ubarikiwe sana tunabarikiwa mm na familia yangu; ulikuja Kilolo ckupata mda wa kukupa ushuhuda ila naamini tutakutana siku nyingne nikwambie Mungu alichotutendea.
Ahsante MUNGU napona kupitia mtumishi wako sifa ni kwako baba
Amen,nabarikiwa sana mtumishi wa mungu kwa kweli mungu amekupa karama ya ualimu na sio uchugaji tu ,
Ingawaje sijajua somo lilitolewa lini, lakini MCHUNGAJI ww ndiye uliyenirudisha kwa bwana. MUNGU ashukuliwe sana
Aamen
Amen aki nabarikiwa sana na ingili hii nikiwa Nairobi mutumishi wa mungu na mungu azidi kukutumia
Asante sana Mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri
Asante sana pasta kwakunifundisha siri hii ya maombi naomba mungu akubariki sana sana mpendwa wangu.
Amen amen ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Nashukuru MUNGU kwakukupa uwezo uwezowamahubiri.
Amen and amen mimi nikohapa saudi karibu nikufena na sikukufa
Naomba Mungu amponye baba yangu,, pr naomba uniombee
Amen....kpitia kwa mafundisho yako naendelea kukua kiroho na pia kumwona mungu kama kaka na rafiki wangu wa karibu.....yale mungu amenitendea na mahali amenitoa acha sifa na utukufu ziendelee kumrudia yeye maana anasitaili
Pastor Asante kwa maombi Mana nimefunguliwa na mungu kutoka kwenye nguvu za Giza Mana ulipoomba Mara ya Kwanza nilihisi Giza limetanda usoni nakama nahisi kuanguka Ila Mara ya pili na ya tatu nikajihisa nipo sawa kabisa namshukuru mungu kwa uponyaji🙏
Amen my lovely Big Brother Jesus Christ my Saviour kwa kunifungua 🙏🙏🙏
Ahsante kwa Neno ubarikiwe mtumishi,
Tunashukuru sana Bwana kwa somo ii
Amina. Asante kwa maombi.
Mungu nyumbaji na wa rehema ametenda maajabu.
Amen Pastor.nimefunguliwa
Amina nimebarikiwa sana mchungaji naomba uniombe nizidikuwa na ujasili
NIMEBARIKIWA SANAAA
Asantee mtumishi kwa somo❤
Amen Amen 🙌
God bless you pastor mafundi zo yakoyameninua sana
Ameeeen Ameeeen Ameeeen Ameeeen Ameeeen Ameeeen Ameeeen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤️
Amen barikiwa sana mchungaji. Nimebarikiwa
Amina, na kuelewa sana pastor
Thanks pastor for sharing napenfa mahubiri yako Sana.
Teach us about tithe.
Nikichukuwa tithe kwa kusaidia watoto yatima au kwa kujenga kanisa nitakuwa nimekosea?
Sanaaaa hufai saka ni ya mungu pekeee
Nina mskru mungu Kwa kupitia mafundizo yameninua kiroho Sana mungu akubariki pastar undelete kubariki wengine
Mch Mbaga barikiwa sanaaa
Amina Mungu atusaidie
Amina pastor tume barkiwa
God bless you Pastor Mbaga
Amen hallelujah ❤❤
Amen and Amen
Sifa na utukufu kwake mwenyezi Mungu
Zidi kubarikiwa Pastor
Yesu tusaidie katika saa hizi za jioni
Hakika nimeiyona nguvu ya mungu pr ulivyo momba nimeona mwanga mkali kama moto na ulivyomaliza maombi nikaswet hakika bungu kaniweka kaniponya🙏🙏🙏
Amen 🙏
Pr. Niombe nguvu za Giza inanisumbua na watoto wangu kuna mtoto wangu aliingia Kwa Devo na inamsumbua sana
Mungu nisaidie niodokane nazabi napepo watama
Mchungaji naomba uniombee nipokee uponyaji ili niwe ushuhuda kw wengine,n Mungu wa mbinguni ukabari
Amina 🙌🏿
Amina Sana from saidi
Somo Zuri ubarikiwe pr
Bwana Yesu asifiwe. Jamani huyu mchungaji amewahi kufundisha somo la kutafsiri vitu lipo humu ndani you tube ila sijui lonaitwaje. Yaani majina ya vitu na maana yake naomba msaada jamani
Kutafsiri ndoto au
Amen 🎉🎉🎉❤❤❤❤
Amen!
Emeeeen
Ameen
Mbaga Baba laooo 💪
AMEN
ameena
Nitataka kuamini kwa zia hivi pastor niombee
Nimebarikiwa sana kulijikuta na wasi wasi sana lakini baada ya hili somo nimejikuta grafla nina amani na furaha sana
Ni Mibaraka Tele atufundishayo huyu.mjolli wa Kristo aendelee kulindwa,kujaliwa Afya njema na familia yake pasiwepo na changamoto yoyote aendelee kutukumbusha jinsi ya kuyaishi maisha ya BWANA.
Mungu azidi kukutumia pastor,mimi naomba naomba namba yako pastor Mbaga nahitaji kuja oficini kwako.
Pasta nasumbuliwa sana na peresha,naomba unikumbuke kwenye maombi
mchungaji nauliza hilo ombi uliloelekeza hapo je naweza kuomba na watu 2 ndugu au rafki lakin tuko mbali hata kimkoa lakin tunaombea kitu kimoja na tukapata majibu au mpaka niwe peke yangu barikiwa
MUNGU AIBARIKI HUDUMA HII
Balikiwa mchungaji
Kuna sehemu sijaelewa kusudi la kuchinja mnyama agano la kale ilikua kuwakilisha damu ya Yesu ambayo ingemwagika na dhambi ya Kaini ilikua kukiuka huu mfumo wa ibada akapeleka mazao ya kondeni Sasa hapa kwenye unga au divai hapa ilitolewaje kuwakilisha damu ili msamaha utoke mwenye maelezo please??
Natamni haya mahubir niwe nasikikiza mda wote tu sijui na download vip yajaetu kwenye sim yangu na ki share kwawatu wengi zaidi
Wakati mchngaji unaomba imekuja picha kama mwamke amevali mavazi ya kiganga amelala chali, naamini Mungu ametenda jambo
Ushindi umepatikana
Amen❤️🩹
Mch Mbaga kanisa letu Lina idara na ni nzuri tu je kwa Nini maombi na maombezi hata ikiitwa vingine isiwe idara kamili hi ikiwa idara na ikaimarishwa tutawavuta wote kwa christo
Ipo kanisan