ANGALIA JINSI WANAVYOOKOLEWA WATU WANAOZAMA MAJI NUNGWI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ก.ย. 2019
- Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Masoud Maganga
cc: Hairath Haroub
cc:Juma Maulid
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Eeeeh, mwenyezi mungu walinde wasafiri woteee🙏🙏🙏
Mafuta Fisherman. Nonge moja la demonstration. Great!
Safi sana ... Tutafika INSHAALLAH
Mashaallah msife moyo vizuri mmefanya
Maashaallah mafunzo mazuri . ila kwenye kujua tukio limetokea wp ni changamoto kunatakiwa vifaa maalum . tutafika mbali tusikate tamaa .
Safi Sana
Mm kama lifeguard nchi ya Dubai najuwa tuko nyuma saana kwa kueke life saver jwa bahari africa kama kutoa kzi na pia kueka usalama kwenye bahari hongereni saana kwa hili
Mwanzo mgumu hongereni sana
Vzr sana
Eee mungu walinde wanao safir katka usafir wa main🙏
Yes I like it
👍
Mungu nimwema
vzur
Daaa asee mambo Geographi
Nzuri
Mdobwedo uhkk mzee baba
Wana vurunga hawaja juwa uwokozi watawapeleka wasiwo juwa bahari
Tafuteni wajuwawo muwape ofisi wazi simamiye vizuri musiwazonge wanachi
Good
Mbona Kama bongo move
Bonge la movie flani hivi.
Great job
😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣
Hii itasaidia sana.. sharo to kwenu mabaharia
Mfyuuuu kumbe mpo kazin
Mabaharia ss wak free hat kweny maji, ardhin washashinda 😂
Serious hamfanyi kwa wakati ikisha mnajisifu mafunzo mafunzo mafunza acheni unafiki uwo,,, ikitokea serios mfike kwa wakati sio mnakuwa mnacheza na wake zenu ata mukienda kweny tukio wote washakufa
Me hta sjaelewa hapo man km chombo kizame sasa iv bas kuokolewa kesho 😃😃 tz yetu ban
Walio kimbia geography . mutajiju kutoa taarifa za kisomi 😂😂😂
🤣 🤣 🤣
Haya babwa
Duh!!!
Mnajua mnazingua wakati boti ikizama taarifa izo za kisomi atatoa nani wakat kila MTU anaokoa roho yake
Mazombi
Ujue wanazingua
Kweli kabisa....wanazinguwa
Niheri muwe na mafunzo zaidi kuokoa maisha kifo cha baharini kibaya sana, heri ulale na ndio iwe kifo chako.
hahahaaa jamani wanao zama waliwahi kupiga cm kisha waokowaji wamefika fasta kama kimbunga au walizani mzungu ndie anaezama
uyo jama alieokolewa kama boya ndio maana hakuzama
Ajali ya space ilenda
Vp boat inauzwah hiyo
Nolwero
Iyo mipango yenu bado ya Allah
Allah awlipe kheri
Hizi video ni ya kutengeneza mavi nyie acheni uongo
Nipo zanzibar nikweli tukio lilitokea
Uwongo mnafanya kweli kweli hamufanyi
Ndomana siangalii bongo movi
Kamani kwani tatizo nn
Mshakuwa makhanisi sasa na habari zenu za kitoto izo
si wote wanaojua iyo 00 south
Kumbe wanafundisha jinsi ya kuokoa
Mafunzo kwel ila hapo pamoja nakosoa sasa vip mtu yuko kwenye maji aweze kupiga sim???
Ndo nashangaa
Kuna mfuko wa water proof
kw vle ni mafunzo cna shka nayo ila nahic kwa Tanzania bdo kdg ningeshauri mgewafanyia mafunzo km vle mtu hajui masuala ya jographia km ni mti katoa taarifa tu ndio kdg ingesaidia
Makubwa mbona inezama jozi tu Hamnaga
Mchezo wa kuingiza
Hahahaha huyu mafuta chiz kweli kumbe
By then watakua wameshazama
Hii ni true event au igizo jameni tujue
Hii sio true event wapo kwenye mafunzo
Nyiwe watu nwazima kweli nyiwe mshaoanza kuchezan akili zetu nyiwe?? Mnayatenda maji ya bahari nnyumba ndogo zenu kwamba zisituzamishe mpkaka mutakapojua 002 sauzi kwanz uko sauzi kwenyewe hakuingiliki
Hii inatokea baada ya baharia wa chombo kuanza kuona ishara za ajali ,mara nyingi ndio huanza kutoa taarifa
Inaonekana kama wanaekti hivi
Yah kama ni acting
Makame alpoznduka tu anaulizia boti 🤣🤣🤣
Can you reapet again, kazi ya kilugha hichoo!!! Miye sitaki kbs.
Sidhani kama anaweza kuzama mtu halafu akakupa maelekezo ya ramani kama ivo
Inawezekana cos katika ajali kuna ambae anaweza kuogelea na hata pia unaweza kutoa taarifa mara tu baada ya kuona ishara za ajali hiyo
Sasa muda wote huo mazumjgumzo na vipimo hayo maji ya bahari munafikiri bwamkwe wenu atakusubirini nyie tu mufike
Achani kutumalizia bando zetu mbwa nyinyi kwa video za uongo
kumbe mnaturusha roho tu
Na huyo aliozama kipisi mkifanya mashara na nyie mnazama nyote
Himuvi.asho
Mimi nilikuwa nishaanza kulia
Wewe mwepesi wakulia kumbe salma kama.miye
Bwamshemeji makame simba Tano
Ni mafunzo au
Ndio
urojo wa nyarugusu
Yaani mbuna munatuzuga sana. Amepiga simu? Ametoa location alipo? Wakati mtu huyo alikuwa kwenye maji. Bora mungelitengeneza mnara mrefu ambayo waokozi wataweza kuangalia kwa umbali na kutumia darubini na kuwahi kuokoa. Lakini anaezama mpaka atoe location. Yaani tusidanganyike ati mtu atakwambia alipo zama.
😆😆😆😆😆
@@shamimkingazi8925 kweli au sio kweli
@@zenj1986 huo ni mchezo tu
nyie kiswahili kinawazuru hata hizo ripoti za ajali zitolewe kwa kiengereza ? mie huna nashangaa kuwa waswahili hatujioni kuwa tumesoma na tumeelewa mpaka kipite na kiengereza ,
sasa km mnafundishana si musogee hapo karibu nanungwi.mnacheza fukweni eti mnaokoa hahahahaha hampajui nungwi nyy eee.
Umeonaeee halafu wazinguaji kweli hawa
jaman sijawai panda meli na ninaongopa hatar
Nakupa mualiko uje zanzibar utaenjoy
@@mohammedabdallah6390 mh mimi nahis nikipanda meli wanieke ndan nisione maji mpak ninapofika
@@celebratingunited4064 hahahahaha usijali bhanaa maji hayasumbui unajua vile utakuwa na abiria wengine mnapiga story na wengine watoto wadogo basi hofu na woga utakutoka utahisi kawaida tu tena hutotamani tufike yaani ukae mule mule uangalie fukwe na maajabu ya Mungu
Mimi nadhani itasaidia sana vizuri kwa mafunzo
Wimbi likija huo usomi wote utafikiria roho yako tu.
msituchanganye bnaa
Wajanja to wanataka kupiga hela kupitia wazungu .mana sijaskia mswahili akadumisha jambo liendelee . Na si mara wakiaanza kupewa misaada ya pesa to