Kiuhalisia upo hivi Boat ya Zanzibar 3 haiyendi Dar bali Route yake Zanzibar to Pemba kisha inaenda Tanga afu inarudi Tena pemba ndipo inakuja Zake Zanzibar na Kilimanjaro 8 Route yake Zanzibar to Dar Dar to Zanzibar kama vile Zanzibar 1&2 pia Route Zake Zanzibar to Dar Dar to Zanzibar sas sijui wew Umepanda Zanzibar ipi apo
Kwa zinazoenda Dar. Tatizo hawa Zanzibar 1 hawataki kuzipita boti za Bakhresa zama hizi sio kwasababu zinapitwa. Watamtia Aibu Bakhtesa. Uhalisia hizi Boti Kijani ni hatari sana
Nataka ziondoke sawa sawa ndo hapo utajua boti ipi ina speed sio moja itangulie kwa madakika,
Zan first ferry ✌🏻💯
Falcon anatembea na speed 35
Mh mashindano kwenye atar mnazo kweli
Umeshindanisha boat au mawimbi
Zanzibar 3 Haina mpinzani
Nyinyi mnasema tu znz 3 yaonesha hamuijui mwaisikiaa
Hapa inaonyesha wazi kuwa k8ndie mshindi kwakimya alichokionyesha mpiga camera
Kiuhalisia upo hivi Boat ya Zanzibar 3 haiyendi Dar bali Route yake Zanzibar to Pemba kisha inaenda Tanga afu inarudi Tena pemba ndipo inakuja Zake Zanzibar na Kilimanjaro 8 Route yake Zanzibar to Dar Dar to Zanzibar kama vile Zanzibar 1&2 pia Route Zake Zanzibar to Dar Dar to Zanzibar sas sijui wew Umepanda Zanzibar ipi apo
Hii inaweza kilimanjaro inaweza mkondo wa Pemba
Hakuna boti inayompiya k8 kwasasa imeletwa kwa ushindani tu iyo
Tu nahitaji Pemba safari ya saa saa moja 1 tu
8 dume speed boat
Ipi sio hipi
Wacha ujinga wewe, ZANZIBAR hakuna mashindano ya boti
Ushamba tu! Unataja ushindani alafu ata hauonyeshi vipi mumeshindana
Kwa zinazoenda Dar. Tatizo hawa Zanzibar 1 hawataki kuzipita boti za Bakhresa zama hizi sio kwasababu zinapitwa. Watamtia Aibu Bakhtesa. Uhalisia hizi Boti Kijani ni hatari sana
Haya, tumeona, nani ndiye mshindi? Amepewa kikombe chake?
Wanashindanisha vifo
Namaanisha pantoni