Mawimbi ya Nungwi hatari: Hapa nilipoteza watoto 11 / Meli ndogo hazipiti
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ม.ค. 2019
- Wakati unatoka Unguja kwenda Pemba lazima upite sehemu iitwayo Nungwi. Eneo hili ilinaogopwa na kila abiria kutokana na kuwa na mawimbi makubwa ambayo yanaweza kuiyumbisha meli. Pia eneo hili zimewahi kutokea ajali kama MV Spice ambayo ilisababisha vifo vya watu 200 na majeruhi 600.
- บันเทิง
Sio zanzibar kuelekea pemba, usahihi munatokea Unguja kuelekea pemba, zanzibar ni visiwa viwili vya Unguja na pemba
hii sehemu ni ngumu na lazima meli ziwe kubwa ibaki rehema za Mungu
Sauti mbaya
subuanallah allah awanusuru na mutihani ya dhuruba rahmabaharih
I know I'm quite randomly asking but does anyone know a good place to watch new series online?
@Brett Orion lately I have been using Flixzone. You can find it by googling :)
Nimekumiss kwetu love u pemba
Mmh mungu atusaidie jmn
Sio boti hiyo ni meli uliza kwa wahisika ukitoa habari zako ziwe za usahihi 😅
Hatari duu sasa mi siwezi hata kuyashika maji mi nimoga wa ndege meli
Pole sana
hatari sana
Jifunze jinsi ya kuhoji maswali
Haelewi maji makali huyo mtangazaji
sio masaa nane nikama masaa kama ma 5 mpaka 6 tu ushafika
Hashuolo masaa 5? Ww ushawahi kuipanda ilo dude
Masaa 8 yanafika au zaid
Na kipind kigumu cha safar kipind cha mvua na upepo ni balaa
Mimi nilipoenda pemba nimekaa kwenye maji masaa 9 sasa we anosema masaa 5 sijui chombo gani tena mkoani masaa 9 ila wete tisa na nusu juu
Inategemea na meli na hali ya hewa kuna siku nishapanda sealink masaa manne na nusu tu tumefika pemba