MAJI NI HATARI KWENYE UMEME LAKINI YANATUMIKA HIVI KUZALISHA UMEME.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
  • 📜 Innovation for the future
    we strive to educate you in the world of science. We're delighted to hear your thoughts.
    In today's session, we are looking at how hydroelectric power is generated.
    We greatly respect all TH-cam policies and copyrights. We also appreciate your feedback as it's one way to improve our services.
    message at Email: perfectsidetz@gmail.com
    subscribe our channel 🔔
    KIPINDI...
    MAJI NI HATARI KWENYE UMEME LAKINI YANATUMIKA HIVI
  • วิทยาศาสตร์และเทคโนโลยี

ความคิดเห็น • 107

  • @MairaAlly
    @MairaAlly 3 หลายเดือนก่อน +15

    Hii ni channel sahihi kabisa sijutii kuijua kila siku huwa nazima nichungulie kitu chochote hata sometimes huwa narudia video moja kwa mara kadhaa

    • @Perfect_side_tz
      @Perfect_side_tz  3 หลายเดือนก่อน +3

      Karibu sana🤝

    • @MairaAlly
      @MairaAlly 3 หลายเดือนก่อน +2

      @@Perfect_side_tz Asante sana pia nakuomba siku moja uje ugusie jinsi mafuta yanafanya kazi katika engines na kuzalisha nishati nguvu

    • @jamesmzaki6041
      @jamesmzaki6041 3 หลายเดือนก่อน +2

      ​@@MairaAlly Ingia TH-cam kila kitu kipo,,,Ukitaka kusoma engine za pikipiki,gari,train,meli,boti,ndege mpaka helicopter na Kuna picha na maelezo kabisa.

    • @MairaAlly
      @MairaAlly 3 หลายเดือนก่อน

      @@jamesmzaki6041 umeelewa nilicho taka kujua?

    • @khalidySalumu-tp2wl
      @khalidySalumu-tp2wl 3 หลายเดือนก่อน

      Ntafute nikujulishe ilo​@@MairaAlly

  • @Userminamka
    @Userminamka 3 หลายเดือนก่อน +7

    Kwa mtu ambaye amekalili Physics anawez sema umetoa somo jepes lakini kwa mtu anaye jua physics ajakalil Nots za darasan wew jamaa ni zaid ya Ticha, vitu vigumu lakini unavifanya tuvione vyepesi. 🎉🎉🎉🎉

  • @mohdali2408
    @mohdali2408 3 หลายเดือนก่อน +3

    Ulipaswa waondoe walimu wa shule na iekwe projecta ufundishe wanafunz wetu pamoja na internet thank you

  • @martinusdamian3085
    @martinusdamian3085 3 หลายเดือนก่อน +3

    Ombi langu kwako tufanyie utaratibu wa stellaite inavyomuongoza rubani pindi anapopaisha ndege juu na kutua mji mwingine bila hata kuwa na njia angani, na mawasiliano yote yanafanyika vp mpaka mwishon

  • @gilbertmsemo
    @gilbertmsemo 3 หลายเดือนก่อน +1

    imekaa sawa saana ni vema pia kama ungeelezea biogas production na geothermal steam energy zinavyo tengenezwa (generated )

  • @martinusdamian3085
    @martinusdamian3085 3 หลายเดือนก่อน +2

    Upo vzr sana ndugu, unafanya elimu iliyo ngumu kuitafuta darasan na kuwa nyepesi kupitia kwako, nasi tunaweza tamba mitaani kuwaelekeza wengine

  • @YusufLubangula-yn6tq
    @YusufLubangula-yn6tq 3 หลายเดือนก่อน +1

    Afii🥰 ilaumetupunja! Hujatuambia huo waya wanauvushaje? Wanauchimbia au wanautupa juu ya mchangaa! Na wanauvusha na mtanbo upi? Meli au Helkopta!?

  • @Breezyexplorer
    @Breezyexplorer 3 หลายเดือนก่อน +3

    KAZI NZURI KAKA WANAFUNZI WAKO TUNAENDELEA KUPOKEA MATUNDA 🎉 MUNGU AKUBARIKI SANA 🙏

  • @EmmanuelElemba-zp9vr
    @EmmanuelElemba-zp9vr 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka unatoa masomo mazuri sana., ni mambo mengi sana watu hatufahamu ila huwa tunaona na kusikia sikia tu... keep it up bro, tuko pamoja

  • @jamestocta3075
    @jamestocta3075 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tunaomba somo la jinsi mawimbi yanavyosafiri. Redio inavyofanya kazi, simu, remote.. pia tueleweshe maana ya frequency

  • @noemiaAlfredoIndia
    @noemiaAlfredoIndia หลายเดือนก่อน

    Duu!! Kumbe?? Kamkubwa ukofiti. Naomba utuletee kipindi chá kwanini mafriji, AC na mashine za ice cream zinagandisha kupitia compressor

  • @austereaniceth7577
    @austereaniceth7577 2 หลายเดือนก่อน

    Aisee unaelezea vizuri sana...na unaeleweka muno big up sana....nimejifunza kitu ambacho nilikuwa sikijui siku nyingi..... shukrani sana.

  • @GeorgeCharlesKipeya-m3b
    @GeorgeCharlesKipeya-m3b 3 หลายเดือนก่อน

    Safi Sana kaka,Mimi nageuza kutoka DC v12_hadi ac v220 nk,yaani nauda invertor unachozunguza sahihi maana nimefanya utafiti ,vitu vingi,naomba uzungumzie aplifey ,na transformer ways zake ndani ,zinazopokea Moto na zinazotowa motor hazigusani?

  • @edisonmaliva1719
    @edisonmaliva1719 7 วันที่ผ่านมา

    Safi sana kwa elimu nzuri na maelezo rafiki sana hata kwa mtu ambae hajasoma physics

  • @CastoryKapinga-nb7ht
    @CastoryKapinga-nb7ht 3 หลายเดือนก่อน

    Safii nimefurahi ndo NIMEKUTANA na hii channel nimeona ni subscription hapo hapo

  • @shariduidrisa1993
    @shariduidrisa1993 3 หลายเดือนก่อน +2

    Good broh

  • @Abdulaziz-tb1gd
    @Abdulaziz-tb1gd 2 หลายเดือนก่อน +1

    Uk vzr broo🎉

  • @BusokeloTV
    @BusokeloTV 3 หลายเดือนก่อน

    Amazing sana kaka. Am Paul mwakyusa

  • @fanuelikizungu1412
    @fanuelikizungu1412 3 หลายเดือนก่อน +1

    Maelezo mazuri sana mwana fizikia 👏👏
    Ila nlikuwa nataman utuelezee mechanism inayopelekea kuzaliswa umeme baada ya kuzungushwa, nimeona sumaku kwenye Dynamo je Ina kazi gani kwenye kuzalisha umeme

  • @SadaDamas-jh2gt
    @SadaDamas-jh2gt 3 หลายเดือนก่อน

    Naomba kujua siri ya fuel inavyoweza kuleta nguvu ya kusukuma mitambo mikubwa kama vile malori,katapila nk

  • @makhanguwakhutu2408
    @makhanguwakhutu2408 2 หลายเดือนก่อน

    Hizi program ziweke vitu kama hizi wafrika wafungue bongo sio tu move za ngono na wizi na uchawi na kuombewa

  • @saidymbagalla6622
    @saidymbagalla6622 2 หลายเดือนก่อน

    Ktk channel za maana sana kwangu hii ni miongoni mwao....
    Napata elimukubwa sN

  • @ericksonmuhulo1570
    @ericksonmuhulo1570 หลายเดือนก่อน

    Tupatie utafiti ni jins gan makaa ya mawe yanavyo zalisha umeme. Na umeme huwa wa kiwango gani

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 2 หลายเดือนก่อน

    Hii chanel inatusaidia tuliokimbia physics na kuturudisha darasan

  • @fedrickcharles5937
    @fedrickcharles5937 3 หลายเดือนก่อน

    Kaka Naomba kujua vifaa wanavyo tumia wanahanga kwenda kwenye sayali nyingine

  • @RayMakini
    @RayMakini 2 หลายเดือนก่อน

    Daa mim nimgeni uku nmejiungaa ramsi perfect side nawakubalii

  • @Kakajambazitv..
    @Kakajambazitv.. 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nimejikuta na sb hii channel nimekubali sana 🫡🫡

  • @laurent993
    @laurent993 2 หลายเดือนก่อน

    Yan ile physics alonifundisha ticha nikaiona ngumu mikaka minne leo naiona simple sana ndn ya dakika 10

  • @widebrainclassic
    @widebrainclassic 2 หลายเดือนก่อน

    👏👏✋👏

  • @Kamanda12
    @Kamanda12 3 หลายเดือนก่อน

    Bro we umesoma bongo kweli maana akili nyingi sana ila mm nataka utuletee mambo ya sayari ya dunia kwann inaelea na aishuki chini

  • @Khamisjafar-v8
    @Khamisjafar-v8 3 หลายเดือนก่อน +1

    Perfect side please naomba ujuzi uliopo kwenye vyombo vya umeme mfano simu ikiisha chaji ukiichaji inajaa tena .. nitafurahi kama mtafanyia kazi comment yangu

    • @Perfect_side_tz
      @Perfect_side_tz  3 หลายเดือนก่อน

      Tunafanyia kazi haraka 🙂

  • @majaliwaking4500
    @majaliwaking4500 3 หลายเดือนก่อน

    Duh kumbe Zanzibar wanategemea Umeme huku?

  • @ValentinLuísMualabo
    @ValentinLuísMualabo 3 หลายเดือนก่อน

    uku tuingie wana sayansi tu ili tusisumbuwe walimu.

  • @jacksonrocky2712
    @jacksonrocky2712 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera kwa maelezo mazuri kuhusu complex principles in our daily life.
    Naomba utuelezee pia Programmable Logic Controller (PLC) inavyofanya kazi.

  • @yahayaallytv2852
    @yahayaallytv2852 3 หลายเดือนก่อน +1

    Maelezo mazur

  • @Joekwid960
    @Joekwid960 3 หลายเดือนก่อน

    Ahsante kwa Elimu Engineer
    Swali ni juu ya uwezekano kuzalisha free energy kwa kutumia Motor -Flywheel - Alternator.

  • @ramadhaningamba1778
    @ramadhaningamba1778 หลายเดือนก่อน

    SAfi sana nimejifunza vizuli

  • @Phinvan_tz
    @Phinvan_tz 3 หลายเดือนก่อน +2

    Namna magari yanavyotengenezwa

    • @KeyweezBrown
      @KeyweezBrown 2 หลายเดือนก่อน

      Gali limebase na motor tu,

  • @ce-08
    @ce-08 3 หลายเดือนก่อน

    Sasa hapo kwenye kupata transforma ya kupunguza umeme ndiyo changamoto maana nisije nikaunguza vitu

  • @raiszongo4136
    @raiszongo4136 3 หลายเดือนก่อน

    Nimerudia mara 3 kuisikiliza hii video, channel sahihi sana Kwa sisi tunaopenda kujifunza thanks brother

  • @hamisindingo
    @hamisindingo 3 หลายเดือนก่อน

    Nimejua Hz na AC
    Tuandalie jinsi shoti inavotokea kwa mwanadamu upande wa AC na DC

  • @LukandaJean
    @LukandaJean 3 หลายเดือนก่อน

    Asante Sana muzidi kukuza viwango na kufundisha ili vipaji viendelee mbele

  • @rweyemamurweyongeza4879
    @rweyemamurweyongeza4879 3 หลายเดือนก่อน

    Kumbe chaja ya simu naya ni step-down transfomer

    • @Perfect_side_tz
      @Perfect_side_tz  3 หลายเดือนก่อน

      Charge ya Simu inafanya kazi hizi.
      1. Inatumika kupunguza umeme kama step-down transformer inavyofanya.
      Mfano inaingiza voltage 220, yenyewe inapunguza na inatoa voltage 5.
      2. Inabadilisha umeme wa AC unaotoa tanesco kuwa umeme wa DC ambao utatumika kwenye simu yako.

  • @phabiansindano2856
    @phabiansindano2856 2 หลายเดือนก่อน

    Nzuri sana hii inafundisha

  • @MrBm369
    @MrBm369 2 หลายเดือนก่อน

    We jamaa unajua sana👏👏👏

  • @rafoursamiol5244
    @rafoursamiol5244 3 วันที่ผ่านมา

    Bless sana kka

  • @cyperatucmsuguly
    @cyperatucmsuguly 28 วันที่ผ่านมา

    Unajuaaa sana❤❤❤

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu 2 หลายเดือนก่อน

    Chanel hii ya elimu

  • @stevenvictor437
    @stevenvictor437 2 หลายเดือนก่อน

    Safi sana yaani umenifanya nijiunge kupitia chaneli Yako Mzee.

  • @XhebbyMandevu-u1h
    @XhebbyMandevu-u1h 2 หลายเดือนก่อน

    Asanteee 🎉kaka

  • @jonsondickson9033
    @jonsondickson9033 หลายเดือนก่อน

    Unyama bro

  • @jonsondickson9033
    @jonsondickson9033 หลายเดือนก่อน

    Uko vizur

  • @RajabuSalumu-ik1fx
    @RajabuSalumu-ik1fx 3 หลายเดือนก่อน

    Excellent

  • @barakamanoniinuka9200
    @barakamanoniinuka9200 3 หลายเดือนก่อน

    Good Idea

  • @bakarially4336
    @bakarially4336 3 หลายเดือนก่อน

    Ningependa kufahamu kuhusu mafuta ya tranfoma la umeme kwa kirefu

  • @ephraimkabeya9648
    @ephraimkabeya9648 3 หลายเดือนก่อน +2

    Usikate tamaa. Kazi ni nzuri, inafaa Sana kwa Nchi Kama zetu kukuza teknolojia na Hali ya kupenda Sayansi kwa vijana wetu

  • @BruceFredrick
    @BruceFredrick 6 วันที่ผ่านมา

    Well-done

  • @denischarles8864
    @denischarles8864 3 หลายเดือนก่อน

    Shukrani

  • @TariqSalym
    @TariqSalym 3 หลายเดือนก่อน

    Vizuri broo lakini Me nataka kujua kuhusu mfumo wa air brake katika truck

  • @CNM-u3c
    @CNM-u3c 3 หลายเดือนก่อน +1

    Salute

  • @hans_tech0015
    @hans_tech0015 3 หลายเดือนก่อน

    Dynamo ni ac cyo dc

  • @al-bleproshooteur1922
    @al-bleproshooteur1922 2 หลายเดือนก่อน

    Nakukubali mzee from M23

  • @atenionesmo_A10
    @atenionesmo_A10 3 หลายเดือนก่อน

    hapa kwa kusafirisha kwenda. zanzibar ufafanuzi wa namna gan unafika

  • @DanielAlberto-u3i
    @DanielAlberto-u3i 3 หลายเดือนก่อน

    Nazidi kujua meng pamoja sana mkuu tunashukulu

  • @yussufaziz325
    @yussufaziz325 2 หลายเดือนก่อน

    Vipi umeme wa ac unabadilishwa na kua DC

    • @Perfect_side_tz
      @Perfect_side_tz  2 หลายเดือนก่อน

      Kuna kifaa kinaitwa Diode huwa kinapatikana kwenye TV au Kwenye Redio nk

  • @Mpforsmart
    @Mpforsmart 2 หลายเดือนก่อน

    MUNGU akubarik sana darasa kubwasana hili

  • @daudiboaz3737
    @daudiboaz3737 3 หลายเดือนก่อน

    Samahani tunaomba kujua kuhusu gari za umeme

  • @KemorihoMagabe
    @KemorihoMagabe 2 หลายเดือนก่อน

    ok

  • @richytarimo4656
    @richytarimo4656 3 หลายเดือนก่อน

    nataka kujua barid ya kwenye ac huwa unatoka wap

  • @yohanamsagara1999
    @yohanamsagara1999 3 หลายเดือนก่อน

    Uko vzr unatoa elimu zuri sana

  • @Christianmovies52
    @Christianmovies52 3 หลายเดือนก่อน

    Uko vizur brother

  • @tamimusoftware
    @tamimusoftware 3 หลายเดือนก่อน

    We ni noma sana kaka umetisha sana kaka

  • @RobertLyimo-vj3up
    @RobertLyimo-vj3up 3 หลายเดือนก่อน

    Mtanimalizia bando akyamungu

  • @ce-08
    @ce-08 3 หลายเดือนก่อน

    Mwamba yupo vizur sana

  • @sirielypetrombise519
    @sirielypetrombise519 3 หลายเดือนก่อน

    Uzidi sana kubarikiwa Ndugu

  • @mtaalamutv6928
    @mtaalamutv6928 3 หลายเดือนก่อน

    Nafurai sanaa kupata madini kama hayaa

  • @richytarimo4656
    @richytarimo4656 3 หลายเดือนก่อน

    mkuu nimekuelewa vizur sana

  • @zajarone9186
    @zajarone9186 3 หลายเดือนก่อน

    Engineer uko vzuri sana

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION 3 หลายเดือนก่อน

    Sio Kwa lugha ya kitaalam Bali Kwa lugha ya kingereza

    • @Userminamka
      @Userminamka 3 หลายเดือนก่อน

      Kwani anafundisha kingerez au anafundisha Sayansi
      Kitaalamu ni Dynamo.
      Kingereza ni Transducer.
      Au umekulupuk tu ku comment

    • @BONGOINMOTION
      @BONGOINMOTION 3 หลายเดือนก่อน

      @@Userminamka umekurupuka bro pakujibu nilipo commentia sio hapo😂😂😂😂

    • @BONGOINMOTION
      @BONGOINMOTION 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@Userminamkanilipokoment ni kwenye eti step up transformer ni lugha ya kitaalam
      Isawa,,,ila kwani nikisema transfoma chocheo sio lugha ya kitaalam? Sio Kwa ubaya JJ man.

    • @Userminamka
      @Userminamka 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@BONGOINMOTION haya ban ila huku Tanesco huwa tunatumia majina hay kwaiy kwa mtazam wa kitaalam yup saw ila yote pow ty😃😃🤝

  • @filbertvicent4738
    @filbertvicent4738 3 หลายเดือนก่อน

    Baba nimekubali baba kwa elim bola

  • @idrixalumany5902
    @idrixalumany5902 2 หลายเดือนก่อน

    Umetisha sana 🎉🎉

  • @NassaniMussa
    @NassaniMussa 3 หลายเดือนก่อน

    Naomba unichambulie ndege inavyo weza kupaa

    • @Shebbytvs
      @Shebbytvs 3 หลายเดือนก่อน

      Fuatilia hyo channel video zake alizoupload utaikuta hyo vdeo unayoitaka!

  • @albertnyari7052
    @albertnyari7052 3 หลายเดือนก่อน

    Nimeipenda sana

  • @allymwinja2693
    @allymwinja2693 3 หลายเดือนก่อน

    This is real PERFECT 🤝💪

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni 3 หลายเดือนก่อน

    Unaakiri sana

  • @jumannerajabu5288
    @jumannerajabu5288 3 หลายเดือนก่อน

    Elim nzur

  • @HabibuHaji-oq1zr
    @HabibuHaji-oq1zr 3 หลายเดือนก่อน

    Kazi nzuri

  • @chamimdesa148
    @chamimdesa148 3 หลายเดือนก่อน

    Safi sana

  • @AbdurlahmanHamisi
    @AbdurlahmanHamisi 3 หลายเดือนก่อน

    Kijana

  • @eliofootz6519
    @eliofootz6519 3 หลายเดือนก่อน

    Thanks so much 🎉