MAJI NI HATARI KWENYE UMEME LAKINI YANATUMIKA HIVI KUZALISHA UMEME.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
- 📜 Innovation for the future
we strive to educate you in the world of science. We're delighted to hear your thoughts.
In today's session, we are looking at how hydroelectric power is generated.
We greatly respect all TH-cam policies and copyrights. We also appreciate your feedback as it's one way to improve our services.
message at Email: perfectsidetz@gmail.com
subscribe our channel 🔔
KIPINDI...
MAJI NI HATARI KWENYE UMEME LAKINI YANATUMIKA HIVI - วิทยาศาสตร์และเทคโนโลยี
Hii ni channel sahihi kabisa sijutii kuijua kila siku huwa nazima nichungulie kitu chochote hata sometimes huwa narudia video moja kwa mara kadhaa
Karibu sana🤝
@@Perfect_side_tz Asante sana pia nakuomba siku moja uje ugusie jinsi mafuta yanafanya kazi katika engines na kuzalisha nishati nguvu
@@MairaAlly Ingia TH-cam kila kitu kipo,,,Ukitaka kusoma engine za pikipiki,gari,train,meli,boti,ndege mpaka helicopter na Kuna picha na maelezo kabisa.
@@jamesmzaki6041 umeelewa nilicho taka kujua?
Ntafute nikujulishe ilo@@MairaAlly
Kwa mtu ambaye amekalili Physics anawez sema umetoa somo jepes lakini kwa mtu anaye jua physics ajakalil Nots za darasan wew jamaa ni zaid ya Ticha, vitu vigumu lakini unavifanya tuvione vyepesi. 🎉🎉🎉🎉
Kabisa me nimejifunza Sana hapa
Ulipaswa waondoe walimu wa shule na iekwe projecta ufundishe wanafunz wetu pamoja na internet thank you
Ombi langu kwako tufanyie utaratibu wa stellaite inavyomuongoza rubani pindi anapopaisha ndege juu na kutua mji mwingine bila hata kuwa na njia angani, na mawasiliano yote yanafanyika vp mpaka mwishon
imekaa sawa saana ni vema pia kama ungeelezea biogas production na geothermal steam energy zinavyo tengenezwa (generated )
Upo vzr sana ndugu, unafanya elimu iliyo ngumu kuitafuta darasan na kuwa nyepesi kupitia kwako, nasi tunaweza tamba mitaani kuwaelekeza wengine
Afii🥰 ilaumetupunja! Hujatuambia huo waya wanauvushaje? Wanauchimbia au wanautupa juu ya mchangaa! Na wanauvusha na mtanbo upi? Meli au Helkopta!?
KAZI NZURI KAKA WANAFUNZI WAKO TUNAENDELEA KUPOKEA MATUNDA 🎉 MUNGU AKUBARIKI SANA 🙏
Kaka unatoa masomo mazuri sana., ni mambo mengi sana watu hatufahamu ila huwa tunaona na kusikia sikia tu... keep it up bro, tuko pamoja
Tunaomba somo la jinsi mawimbi yanavyosafiri. Redio inavyofanya kazi, simu, remote.. pia tueleweshe maana ya frequency
Duu!! Kumbe?? Kamkubwa ukofiti. Naomba utuletee kipindi chá kwanini mafriji, AC na mashine za ice cream zinagandisha kupitia compressor
Aisee unaelezea vizuri sana...na unaeleweka muno big up sana....nimejifunza kitu ambacho nilikuwa sikijui siku nyingi..... shukrani sana.
Safi Sana kaka,Mimi nageuza kutoka DC v12_hadi ac v220 nk,yaani nauda invertor unachozunguza sahihi maana nimefanya utafiti ,vitu vingi,naomba uzungumzie aplifey ,na transformer ways zake ndani ,zinazopokea Moto na zinazotowa motor hazigusani?
Safi sana kwa elimu nzuri na maelezo rafiki sana hata kwa mtu ambae hajasoma physics
Safii nimefurahi ndo NIMEKUTANA na hii channel nimeona ni subscription hapo hapo
Good broh
Uk vzr broo🎉
Amazing sana kaka. Am Paul mwakyusa
Maelezo mazuri sana mwana fizikia 👏👏
Ila nlikuwa nataman utuelezee mechanism inayopelekea kuzaliswa umeme baada ya kuzungushwa, nimeona sumaku kwenye Dynamo je Ina kazi gani kwenye kuzalisha umeme
Naomba kujua siri ya fuel inavyoweza kuleta nguvu ya kusukuma mitambo mikubwa kama vile malori,katapila nk
Hizi program ziweke vitu kama hizi wafrika wafungue bongo sio tu move za ngono na wizi na uchawi na kuombewa
Ktk channel za maana sana kwangu hii ni miongoni mwao....
Napata elimukubwa sN
Tupatie utafiti ni jins gan makaa ya mawe yanavyo zalisha umeme. Na umeme huwa wa kiwango gani
Hii chanel inatusaidia tuliokimbia physics na kuturudisha darasan
Kaka Naomba kujua vifaa wanavyo tumia wanahanga kwenda kwenye sayali nyingine
Daa mim nimgeni uku nmejiungaa ramsi perfect side nawakubalii
Nimejikuta na sb hii channel nimekubali sana 🫡🫡
Yan ile physics alonifundisha ticha nikaiona ngumu mikaka minne leo naiona simple sana ndn ya dakika 10
👏👏✋👏
Bro we umesoma bongo kweli maana akili nyingi sana ila mm nataka utuletee mambo ya sayari ya dunia kwann inaelea na aishuki chini
Perfect side please naomba ujuzi uliopo kwenye vyombo vya umeme mfano simu ikiisha chaji ukiichaji inajaa tena .. nitafurahi kama mtafanyia kazi comment yangu
Tunafanyia kazi haraka 🙂
Duh kumbe Zanzibar wanategemea Umeme huku?
uku tuingie wana sayansi tu ili tusisumbuwe walimu.
Hongera kwa maelezo mazuri kuhusu complex principles in our daily life.
Naomba utuelezee pia Programmable Logic Controller (PLC) inavyofanya kazi.
Maelezo mazur
Ahsante kwa Elimu Engineer
Swali ni juu ya uwezekano kuzalisha free energy kwa kutumia Motor -Flywheel - Alternator.
SAfi sana nimejifunza vizuli
Namna magari yanavyotengenezwa
Gali limebase na motor tu,
Sasa hapo kwenye kupata transforma ya kupunguza umeme ndiyo changamoto maana nisije nikaunguza vitu
Nimerudia mara 3 kuisikiliza hii video, channel sahihi sana Kwa sisi tunaopenda kujifunza thanks brother
Nimejua Hz na AC
Tuandalie jinsi shoti inavotokea kwa mwanadamu upande wa AC na DC
Asante Sana muzidi kukuza viwango na kufundisha ili vipaji viendelee mbele
Kumbe chaja ya simu naya ni step-down transfomer
Charge ya Simu inafanya kazi hizi.
1. Inatumika kupunguza umeme kama step-down transformer inavyofanya.
Mfano inaingiza voltage 220, yenyewe inapunguza na inatoa voltage 5.
2. Inabadilisha umeme wa AC unaotoa tanesco kuwa umeme wa DC ambao utatumika kwenye simu yako.
Nzuri sana hii inafundisha
We jamaa unajua sana👏👏👏
Bless sana kka
Unajuaaa sana❤❤❤
Chanel hii ya elimu
Safi sana yaani umenifanya nijiunge kupitia chaneli Yako Mzee.
Asanteee 🎉kaka
Unyama bro
Uko vizur
Excellent
Good Idea
Ningependa kufahamu kuhusu mafuta ya tranfoma la umeme kwa kirefu
Usikate tamaa. Kazi ni nzuri, inafaa Sana kwa Nchi Kama zetu kukuza teknolojia na Hali ya kupenda Sayansi kwa vijana wetu
Well-done
Shukrani
Vizuri broo lakini Me nataka kujua kuhusu mfumo wa air brake katika truck
Salute
Dynamo ni ac cyo dc
Nakukubali mzee from M23
hapa kwa kusafirisha kwenda. zanzibar ufafanuzi wa namna gan unafika
Nazidi kujua meng pamoja sana mkuu tunashukulu
Vipi umeme wa ac unabadilishwa na kua DC
Kuna kifaa kinaitwa Diode huwa kinapatikana kwenye TV au Kwenye Redio nk
MUNGU akubarik sana darasa kubwasana hili
Samahani tunaomba kujua kuhusu gari za umeme
ok
nataka kujua barid ya kwenye ac huwa unatoka wap
Uko vzr unatoa elimu zuri sana
Uko vizur brother
We ni noma sana kaka umetisha sana kaka
Mtanimalizia bando akyamungu
Mwamba yupo vizur sana
Uzidi sana kubarikiwa Ndugu
Nafurai sanaa kupata madini kama hayaa
mkuu nimekuelewa vizur sana
Engineer uko vzuri sana
Sio Kwa lugha ya kitaalam Bali Kwa lugha ya kingereza
Kwani anafundisha kingerez au anafundisha Sayansi
Kitaalamu ni Dynamo.
Kingereza ni Transducer.
Au umekulupuk tu ku comment
@@Userminamka umekurupuka bro pakujibu nilipo commentia sio hapo😂😂😂😂
@@Userminamkanilipokoment ni kwenye eti step up transformer ni lugha ya kitaalam
Isawa,,,ila kwani nikisema transfoma chocheo sio lugha ya kitaalam? Sio Kwa ubaya JJ man.
@@BONGOINMOTION haya ban ila huku Tanesco huwa tunatumia majina hay kwaiy kwa mtazam wa kitaalam yup saw ila yote pow ty😃😃🤝
Baba nimekubali baba kwa elim bola
Umetisha sana 🎉🎉
Naomba unichambulie ndege inavyo weza kupaa
Fuatilia hyo channel video zake alizoupload utaikuta hyo vdeo unayoitaka!
Nimeipenda sana
This is real PERFECT 🤝💪
Unaakiri sana
Elim nzur
Kazi nzuri
Safi sana
Kijana
Thanks so much 🎉