BAHARIA ALIYEZAMIA MELI "DAR":NILIKOSA PUMZI/NAKATA ROHO/NILIINGIA MELI YA WAUAJI/WAGIRIKI..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024
  • Yahaya Mohamed, Akiwa mwenyekiti wa zone namba 08, katika soko la samaki la kimataifa la
    feri, jijini Dar es salaam, anatuhadithia mkasa wa maisha yake katika kipindi cha MBANGA, akiwa ni mmoja wa wasafiri wachache waliyowahi kuzamia meli katika bandari ya Dare es salaam,
    Mkasa wake unasisimua, kufundisha na kuelimisha, karibu katika mahojiano haya uweze kujifunza na kuburudika hii ni...MBANGAAA.....
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #mbanga #baharia #dupamdupange

ความคิดเห็น • 26

  • @dar24media
    @dar24media  4 หลายเดือนก่อน +4

    Kama una simulizi/mkasa ungependa kusimulia kwa jamii kwa lengo la kuelimisha na kufundisha, karibu wasiliana nasi kwa namba..#0653127761.
    kwa mahitaji ya nguo nzuri zenye chapa ya KABUNYAU wasiliana nasi kwa mawasiliano ya,...0764368113/0717066207/ 0653127761...Asante

    • @mashakaamiri7952
      @mashakaamiri7952 4 หลายเดือนก่อน

      Muendelezo wake hii story ni lini..?

  • @homeofvideos8893
    @homeofvideos8893 หลายเดือนก่อน

    Mzee kaongea nondo nzito nyingi za kimaisha. Nimejifunza mambo mengi mno kuhusu maisha, mzee ana busara sana

  • @user-dh1co2mp2i
    @user-dh1co2mp2i 4 หลายเดือนก่อน +2

    Umetisha Sana baharia

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw 4 หลายเดือนก่อน +1

    Safi mbanga kwa hewa🔥🔥🔥🔥

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 4 หลายเดือนก่อน +1

    Story mzuri sana baharia Og sema Apa mulipo Andika wagiriki wauaji 😂 waAfrica wote mabaharia meli za kigiriki ndio meli zetu sio wala watesaji nipo mpaka leo melini pereaus Apa 🇹🇿🇬🇷

  • @Ayyub_Semtawa
    @Ayyub_Semtawa 4 หลายเดือนก่อน +1

    DAR24 mnafanya Kazii nzuri sana..hongereni sana...ila ushauri wangu kwa lengo la kuboresha mngefanya setting nzuri ya Camera angle..[kuwe na angle moja itakayo waonyesha wote wawili]

  • @SalumSleyoum-bi5is
    @SalumSleyoum-bi5is 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nakuerewa sana kaka

  • @alvinsafi2733
    @alvinsafi2733 4 หลายเดือนก่อน +2

    I got story to tell...mimi msafiri niliesafiri mwaka 1995..kwa sasa nipo ughaibuni..nitakutafuta

  • @yohanakashinje1548
    @yohanakashinje1548 4 หลายเดือนก่อน +1

    Noma sama

  • @GIVEN994
    @GIVEN994 4 หลายเดือนก่อน +2

    Iaseeee ile Soundtrack yetu ndio inahitajika maana ndio imeifanya hiii iitwe mbanga na inacatch fillings flani hivi, kuendana na flow za wasimuliaji, so ile soundtrack irudi haraka iwezekekanavyo

  • @themanofgod7562
    @themanofgod7562 4 หลายเดือนก่อน +2

    Woza baharia

  • @user-qf2mg1bu4u
    @user-qf2mg1bu4u 4 หลายเดือนก่อน +1

    Yan mnaboa hizi beat hazituvutii sisi tunaitaka ile ilokuepo kitambo mnatukwaza sana

  • @allymajaliwa362
    @allymajaliwa362 3 หลายเดือนก่อน +1

    Dupa rudisheni Ile sound ya kitambo ilikua poa Sana

  • @user-df5mj2ft4w
    @user-df5mj2ft4w 4 หลายเดือนก่อน +1

    Unajua kupiga moyo konde wew

  • @AshrafJuma-lx1kc
    @AshrafJuma-lx1kc 3 หลายเดือนก่อน +1

    Dupange sauti ipo chini san kaka

  • @Officalnaph
    @Officalnaph 4 หลายเดือนก่อน +1

    leo umepatikana

  • @AssumaniNahishakiye-vq9ft
    @AssumaniNahishakiye-vq9ft 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mtafute baharia kaliope yuko kinondoni yeye aliondokea dar es salaam

    • @Officalnaph
      @Officalnaph 4 หลายเดือนก่อน +1

      tayari

  • @abdulazizbrek4980
    @abdulazizbrek4980 4 หลายเดือนก่อน +3

    Wewe ndo utakwenda kujua mara ya kwanza kuwa panadol ni dawa ama sio dawa...ii sauti sato na juma5 inaring kwa akili

  • @hashimrashid6380
    @hashimrashid6380 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mzee sauti km mwakinyo kidoog

  • @theoriginals3240
    @theoriginals3240 4 หลายเดือนก่อน +1

    Yule jamaa bala atupe stori anaaza kuzungumzia mapenzi.. yaa nimeangalia part one tu , zingine sijaangalia tena.. naanza upya na huyu baaria mwingine

  • @SaeedKhalfan-ih6wk
    @SaeedKhalfan-ih6wk 4 หลายเดือนก่อน +1

    Sku saba unakunya wapi na kojo 28:29

    • @alvinsafi2733
      @alvinsafi2733 4 หลายเดือนก่อน +1

      Ukiwa makina hata haja kubwa hupati..
      Muda wa kula hakuna hapo wewe unafikiria usikamatwe.. pia unajikaza ukatize mikondo ya bahari..mimi meli yangu ilikuwa winterstar limasol ya kigiriki

  • @Officalnaph
    @Officalnaph 4 หลายเดือนก่อน

    Mzee umedata nini , tafadhali tupe story yako wewe kama wewe