MBANGA: MAISHA YANACHOSHA/ ULAYA LAZIMA/ NIMEAMUA HIVYO/ UJAMBAZI, MAPENZI/ NILIPAGAWA/ NINAPAMBANA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 มิ.ย. 2023
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#mbanga #maisha #ulaya
muendelezo wa kipindi hiki utaruka siku ya jumatano 5/07/2023, saa nne kamili asubuhi, kama una simulizi/mkasa wasiliana nasi kwa simu namba #0653127761
Mshauri aandike kitabu kama inawezekana
Jamaa yuko real sana...Best interview ni huyu na babaria Mwega tuletee Mwega tena
Watu weweeeeeeeee 💃💃💃💃💃❤❤❤❤ tunaompenda mzee wa binyau tujuane, Asante mtangazaji kutuletea tena balozi MALIMA 💪💪💪💪💪💪
😅 nimerudi chap tu huyu kabinyau na Yule baharia Haji hawadanganyi
Nakukubala sana Brother katika kazi zako, hujawahi kufeli! Jamaa yuko fresh mno ni pamoja na baharia Mwega
toka seson ya kabunyau imeisha sijafatilia tena
Pamoja na yote jamaa ni every intelligent Yani kila swal anajibu kwa weredi
mjomba mimi nipo south africa apa wengi wetu tumetoka katika maisha yakimasikini sasa unakua unaunga unga unachopata unatuma nyumbani sasa famiria wanakura
Ukirudi unategemea kiwanja akuna umetupa vitendea kazi akuna wewe mwenyewe unategemea mari utazikuta nyumbani akunakitu kwanini usiwe chizi
Mtuu kama baharia balozi 😅 mzee wa mchele kokoriko 🇷🇼🇷🇼
Daah afadhali umemleta kabinyau tena,wale wengine hawana shangwe, anaitwa jamaa wa kokoliko
Mwamba anajua kusimulia story hachoshi kumsikiliza👊
Mzee wa mchelee na kokoriko😃🔥🇧🇮🇨🇭
All the way from 🇸🇦 nakubali mamen dupa na Mzee wa kudonyoa
Nimefuatilia hizi conversation tangu mwanzo na it's both entertaining and informative. I appreciate both of you and the team for putting it together for us. Love n respect. 🇰🇪🇰🇪
Me chapati tatu na mambo yetu hayo #salutesailor 😂😂😂😂
Hawa SIO MABAHARIA HAWA NI STOLO WAY UNAPOWAITA MABAHARIA UNAISHALILISHA FANI YA UBAHARIA DUNIANI @dar24 hawa watu ni hatari melini ndomana tahdhari kubwa inachukuliwa kuwazuia wasizamie meli
Back to the game, I real like him huyu ndo msimuliaje asiechosha
Kabinyauuu the StoryTeller mzee wa Newcastle Salute sana Nmezirudiaaa episodes zote kuna mafunzooo makubwa…. Em Dondoshaaa namba tudumbukizeee chochote kitu mzee
Uyu mwamba namkubali sana 😅😅 Yani achoshi kwa kweli
Nawapata vizuri kutoka hapa UNITED STATES OF AMERICA 🇱🇷
Muacheni mnyamwezi akaendeleze bata lake alipoliacha t.z kunachosha njaaaa
🎉🎉🎉🎉 baharia Balozi ni mtaalamu sana wa simulizi
Asante kwa kumleta mwamba tena
Nawapata from 🇧🇷🇧🇷
Ktk interview ambazo zilikua zinavutia ni ya jamaa apa mzee wa kokoriko jamaa anajielezea vzur kabisa unaenjoy. Mzee wa kabinyau. Mchele kokoriko
Aka Bachuchu Mombasa 001 bro kabinyaaauu One love 😂😂😂 munakula jogoo bro ananimaliza kwa misemo yake 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Niko live now'
Salute balozi malima
Jamaa anajua sana
Noma Sana
Mkali keshasahau Manchester sasaivi yuko kwa Nyerere nashavu limetoka 🤣🤣👍
Namuombea baharia arudi ulaya
Aa very good
Vipi mbonamikausho story ifuatayo
Mwambie Baharia Achonge number Special iwe ya kumtumia maokoto
Kisha utupostie humu tumuunge Mwana
Big saaana sie madans tunachanga Hela ya gari lake na pia dupa.la.kwake yaani hii big brother temeke wahalla
Da balozi ana madini sana🚀🦃🐓
Umarekani mwingi kesho mnavuta unga😂
Ana maneno huyuuu eti mshati😅
Dupa uishi saaana ..
Ameeeen
Kabu nyau mzee wa walk sondo
Ooi baharia balozi mwenyewe mzee wa mi cutting 😂😂
Ulivyo sema tu ngoma za harmonize huzipendi. Namimi Siwa pendi
Dupa mdupange huko na mzee wa wali kokoriko. ...sasa leo ndio tutajuwa panado dawa aua ....😀😀😀
Mzeee wa kokoriko is back
Kabinyau mzee wa kokoriko
Nice dupa
Mzee kabanyau....ii ni kali na balozi
BADO MNAE TU 😃
❤
Salaam za upendo kutoka hapa Chicago USA, mpe Hi mzee wa kabinyau. 😂
Mzee wa misalala 🇹🇿
Mchele jogooo😂😂😂😂😂
Bora umemrudisha mzee wa ikwiriri kwa manjengu 😂😂😂,m
Kuna mtu ana story typo bongo
Weka namba tuwasiliane
Mwani sio mzuri😂😂😂w😂😂kkabu
Dupa mchukue huyu jamaa mchukue kwenye kipindi
Kabunyau mwamba kweli kweli
Mzee wa KABINYAU...
Dah mzee wa kokoliko karud Safi sana
Hahahahahahaaaaa kama leso
Mzee wa kokoriko
mule mule