BOBCAT: BAHARIA ALIYE ZAMIA ULAYA/ "WAMENIHARIBIA MAISHA"/ SITASAHAU.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024
  • Kijana wa kitanzania "Bobcat" aliondoka Nchini (Tanzania) miaka ya 2000...kuelekea kutafuta maisha katika nchi za ulaya, hata sahau mkasa huu katika maisha yake..
    #Safarizaulaya #Mbanga #baharia

ความคิดเห็น • 41

  • @chalemofaraji8797
    @chalemofaraji8797 ปีที่แล้ว +2

    Μπράβο ρε παλικάρια !!!!

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk 3 ปีที่แล้ว +2

    Big up Mzee WA mbanga

  • @janeongala6684
    @janeongala6684 2 ปีที่แล้ว +1

    Nikija tz nitafanya kipindi cha story na ww jamaa wa mbanga nakukubar sana wangu keep it up

  • @Gamba177
    @Gamba177 ปีที่แล้ว +3

    Mazungumzo ya mvuta bangi kwanza kutoka hapa kwenda huko Rotterdam kapanda ndege 4 za nchi tofauti hata kipofu humdanganyi hayo ni maongezi ya MA Seaman nchi kavu.

    • @josephmay4260
      @josephmay4260 ปีที่แล้ว +1

      sikiliza vzr

    • @zidadumbepo1486
      @zidadumbepo1486 ปีที่แล้ว +1

      Kwa nini uamini Kama kapanda ndege 4?

    • @mutaji5454
      @mutaji5454 14 วันที่ผ่านมา

      Aujawah kusafiri nn izo si connection za ndege na kuunga unga kutafuta urahis wa bei au nauli na kwa miaka iyo sio vitu vya kushangaa

  • @alvinsafi2733
    @alvinsafi2733 3 ปีที่แล้ว +1

    Makaveli Wa Leeuwarden. .😊😊😎 Ally Kato aka 2pac

  • @princematumbo
    @princematumbo ปีที่แล้ว +1

    Muongo sana huyu,ni habari tu kazisikia kutoka Kwa watu.
    Hayo maswali anayo sema waulizwa wala sio kabisa.
    Msiwahoji watu wenye njozi za mchana.kaongopea sana

  • @ndibanjegerard1934
    @ndibanjegerard1934 3 ปีที่แล้ว +1

    Bro story kali mimi mrundi nime enjoy

  • @isunga1964
    @isunga1964 2 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana nilijiita muisilsm kwenda Oman mbinde kwenye kuswali nina mengi

  • @suleimanali5677
    @suleimanali5677 3 ปีที่แล้ว

    Noma

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 2 ปีที่แล้ว

    Pole bro Salam zangu kutoka USA marekani

  • @ramsodavidson6011
    @ramsodavidson6011 3 ปีที่แล้ว +2

    Gulf inapita Mascat au Abudhabi Baba United Arab Emirates

  • @matukiosafaris6508
    @matukiosafaris6508 3 ปีที่แล้ว +1

    Utakuwa ulinunua ticket ya bei rahisi ndiyo maana umekuwa na connections nyingi pole sana utakuwa ulichoka sana kusafiri muda mrefu

    • @amourabdallah2978
      @amourabdallah2978 3 ปีที่แล้ว

      Huyu jamaa pia nimuongo huwezi kupata connect flight ya Emirates ikakuchukulie Bahrain 'alafu kwa ticket aliyokata kwenda kulala hotel Oman pia ni uongo'hapo ametaja mashirika tofauti 4 nahizo route pia amekosea kupanga huo uongowake 'wasafiri tunaelewa

    • @happynesbaemuhappynes8813
      @happynesbaemuhappynes8813 3 ปีที่แล้ว

      @@amourabdallah2978 eti Muscat Oman halafu akapanda Emirates. Majanga

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 3 ปีที่แล้ว

      Ana tunga au vipi 🤣

    • @robertlinuma6051
      @robertlinuma6051 2 ปีที่แล้ว

      @@amourabdallah2978 kuna vitu nadhan kachanganya. .ila n kweli .anaweza kiwa anakosea kumbuka hiyo story ya miaka ya 2000 .inaweza kuwa mambo yanabadilika .hata tour zinabadilishwa

  • @nemesjosephat5612
    @nemesjosephat5612 3 ปีที่แล้ว +1

    Part 2 plz

    • @sharifutifu9371
      @sharifutifu9371 3 ปีที่แล้ว

      Mtangazaji maneno mengi unaludia story bro shida nn

  • @nahishakiyeassuman5541
    @nahishakiyeassuman5541 3 ปีที่แล้ว +1

    Pole Sana brother ani kwakwel ayo mambo unayoogea niyakwakweli kabisa brother wangu ani lazima mtu uwakatae utaifa wako ani ata Sisi tumekataha utahitafa wetu

    • @kisalaTV
      @kisalaTV 3 ปีที่แล้ว

      Halafu imekuwaje sasa urivyo kataa sasa. Unauraiya gani

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu2581 2 ปีที่แล้ว +1

    .

  • @philemonmagesa5548
    @philemonmagesa5548 ปีที่แล้ว

    Yani huyu mwandishi anazingua anaongea Sana kututafsilia kiswahili wakati anayemuhoji tumemwelewa.

  • @calvinpaul2171
    @calvinpaul2171 2 ปีที่แล้ว

    Background sound punguzaa

  • @lenoxbuhanza4926
    @lenoxbuhanza4926 3 ปีที่แล้ว +1

    Ally kato

  • @bakamuubakamuu1556
    @bakamuubakamuu1556 3 ปีที่แล้ว

    Lini itaendelea

  • @mohamedyahya6268
    @mohamedyahya6268 2 ปีที่แล้ว

    Anaongea kiswahili na wew unatutafsilia una haribu story ongea kidogo

  • @aminumengo2123
    @aminumengo2123 ปีที่แล้ว

    Maelezo yke sahihi lkn kwenye ndege dhuu nne hapo nashaka nayo , na pia kuna watu akimckia mtu anaongea ni mwepesi kushika kwa maeleza ya ukimbizi upo sw.

    • @zidadumbepo1486
      @zidadumbepo1486 ปีที่แล้ว

      Kwa nini unamashaka Kwa kupanda ndege 4 ?

  • @swahibaTv
    @swahibaTv 3 ปีที่แล้ว

    Huyo Ni OS

    • @zaeexplore
      @zaeexplore ปีที่แล้ว

      ordinary sailor 😅 alikua AB bhnana

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda5063 3 ปีที่แล้ว

    Bob kato

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 3 ปีที่แล้ว

    daaah interview nzur ila fupi

  • @ramermohamedy4344
    @ramermohamedy4344 3 ปีที่แล้ว

    Mtangazaji unaongea sana kuliko unae mhuhoji alafu unaogea usenge tu na makelele mengi

  • @rickyherman7685
    @rickyherman7685 2 ปีที่แล้ว

    ..

  • @ibugharib389
    @ibugharib389 3 ปีที่แล้ว +2

    Hahaaa si ya kucheka weeee wacha tu , jamaaa ananikumbusha mbali hahaaaa kutafuta maisha mbinde jamaa anaongea ukweli mtupu

  • @awadhially3753
    @awadhially3753 3 ปีที่แล้ว

    Kaka tunaomba uongeze muda