UNYAMA: ARDHI YA MAAJABU/ INAOGOFYA/ ASIMULIA KWA UCHUNGU/ WALIKATWA MAPANGA!/ KUPIGWA RISASI/MAISHA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #manyara #dodoma #safari

ความคิดเห็น • 20

  • @dar24media
    @dar24media  ปีที่แล้ว +3

    Muendelezo wa kipindi hiki utaruka siku ya jumatano tarehe 19/07/2023, saa nne kamili asubuhi,kipindi hiki kinaruka kila siku ya jumamosi na jumatano saa nne kamili asubuhi, kama una simulizi/mkasa wasiliana nasi kupitia namba #0653127761

  • @hanceironfurnitureog6252
    @hanceironfurnitureog6252 ปีที่แล้ว +2

    Nakubali sana harakat zako dar 24

  • @InnocentWillbald-du9en
    @InnocentWillbald-du9en ปีที่แล้ว +2

    Dar 24 tupo pamoja saana.

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 ปีที่แล้ว

    Namini Unakwenda kuchechemua kwenye safari hiyo ya manyara 🙏👍🇹🇿🇹🇿🇬🇷🇬🇷

  • @user-zz7hk9pj1f
    @user-zz7hk9pj1f ปีที่แล้ว +1

    Wa Mombasani tujuane tafadhali

  • @ibnmoses979
    @ibnmoses979 ปีที่แล้ว +2

    Leo umetuliaaa au unaogopa😂

  • @bamanyasalvius123
    @bamanyasalvius123 ปีที่แล้ว

    Sio huko tu wamasai wana kiburi sana na ujuaji mwingi na serikali huwatetea sana sijui kwa nini

  • @user-dd4fw6mx2j
    @user-dd4fw6mx2j ปีที่แล้ว

    Aisee mbona mpaka naogopa but huyu kaka namjua

  • @WilbardKway
    @WilbardKway ปีที่แล้ว +1

    Duuuuhh mbona ilikuwa hatar sana

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 ปีที่แล้ว

    AYO NDO MAMBO,,SIO MNAKOMAA NA MTU EPSODE 10 NA,,,KINACHOONGELEWA HAKIELEWEKI.

  • @samwelymasunya4597
    @samwelymasunya4597 ปีที่แล้ว

    Naikumbuka ilikuwa hatar sio kwa varangat lile

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk 7 หลายเดือนก่อน

    Nishafikaga huko kibaya kiteto

  • @samwelymasunya4597
    @samwelymasunya4597 ปีที่แล้ว

    Nakumbu ilikuwa mwaka 2013 aisee usiombe hii kitu kutokea

  • @JulithaRobert-bl6fr
    @JulithaRobert-bl6fr ปีที่แล้ว

    Aiiiiiseeee mpaka naogopa

  • @mohdazad1696
    @mohdazad1696 ปีที่แล้ว

    Sauti haitoi vzr

  • @YahayaMgaya-hw6zd
    @YahayaMgaya-hw6zd ปีที่แล้ว

    Kutoka sunya nalipoti

  • @Saulyemanuel-xs5dr
    @Saulyemanuel-xs5dr ปีที่แล้ว

    Hii kitu ilikua nihatar sanaaa

  • @mwasa_tv
    @mwasa_tv ปีที่แล้ว

    Leo dupa umetuliaaaaaa

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 ปีที่แล้ว

    Tunataka story za mamtoni dupa,nataka kwenda unyamwezini