Sawa Shekhe Ukimaliza Naomba uhadithie Pia Makuu yalivyofanywa Na Mababu zetu Hapa Africa kama vile kinje kitile Ngwale,Mkwawa Na wale Walipigania Vita Dhidi ya Utumwa Hadi ukazaliwa Wewe,Maana Unaijua sana Historia Ya Watu Waliotutawala zaidi Ya Historia Ya Mababu zako Waliopigania Ardhi Yetu Hadi leo unaikanyaga Kwa Uhuru🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Shukran Shekh sule kwa ufafanuzi mayahudi hawajui chochote tuwaombee Allah awaongoze Mayahudi heti Kwasababu wamepewa Dunia basi wamejisahau kwamba kuna Akhera
Walikuwa wakiishi ndan ya nchi ya Palestine (kanaan), waisrael walikuwa hawana nchi, ila walikuwa wanaish ndan ya nchi ya kanaan Palestine, wao wakiwa kama watu wa Israel (yakobo)
Nyie mnaokashifu uislam hamjui kitu chochote kuhusu shari za mayahudi someni uislam mtajua habari za ban Israel Waslam tunajua habari za yesu toka kabla hajazaliwa na ni nabii wa mungu hatumkatai kama nyie mnavyomkataa Muhammad SAW
Japokua uslamu ni dini ya kutengeneza lakin bado mmeshindwa kuitengeneza vizuri. 1.ukisema ibrahim alitoka uru wa walkadayo kwenda palestina inamaanisha uzao wa ibrahim ambao ni yakobo na esau wote ni wapalestine, apo tayar umeshajileza😂 2.ukwel ni kwamba asili ya ibada ambayo ilikua kwa waisrael hadi ujio wa yesu ni kivuli tosha cha wakristo wa sasa na haina uhusiano na uislam kwenye ibada zao au jinsi yesu alivyotenda ni tofauti na manabii wa kale ni tofauti na mohamed hii inaonyesha huyu aliyekuja baada ya Yesu ni kitu kingine. 3.Baada ya kifo mtaona wenyew yale mliyoyakataa
Yesu (Nabii Issa) alisema lini kama yeye ni Mkristo?? Mzee Ukristo ni Dini ya Biashara tu! Bro karibu katika Dini ya Kweli na Haki ya Uislamu muda ni sasa Ucje Ukafa ikawa huna Dini. Tafadhali kasome Juu ya Dini ya Uislamu!!!
@@manenoagrey1519 Duh! Kwakweli Mapasta wenu wanawapotosha sana🤔 cjui kitu gan kinawafanya Muamini. Mimi Swali langu Lini na wapi Nabii Issa (as) alisema kama yeye ni Mkristo? Ukinijibu nakupa hela ya kijio cha wiki nzimaa👂💖
@@yohanaibrahim4128sasa kama walinunua Ibrahim hao mayahudi wanahusikaje wakati ibrahim alikuwa na watoto wawili Ismail na Ishaq na pia aliowa mke mwengine ketura akazaa naye madyani kwahiyo wana wa israel ni sehemu tu ya wana wa ibrahim wapalestina pia ni watoto wa ibrahim kwa mjukuu wake Essau kaka wa yakobo ambaye uzao wake unavuruga mashariki ya kati..!
@@hamisiramadhani3538 Jengo la kukutania la wayahudi ndugu pia biblia unayosema nisome Nyuma ile ilitafsriwa na Shehe wenu hapo Mombosa kwani wazungu walipo fika Africa Kiongozi huyo kidogo alikuwa anajua Kingreza akasaidia kutafsiri Biblia lakini hiyo siyo maana halisi ya Sinagogi na yapo mengi tu mbona Hamswali mule kama ni Misikiti usipotoshwe na hilo
Mimi ni mkristo, ila nimekusikiza kwa makini na nimepata mengi ambayo sijayasikia toka kwa waislamu wengine. wewe unahubiri amani ambayo ndio mapenzi ya Baba Mungu kwa watu wote. Sifurahii kuona wamama na watoto wanakufa pale palestine sababu ya vita. vilevile sikufurahi vile wamama na watoto wadogo walipouliwa pale Israel na hamas. Kwa kukusikiza, Bible na Quran zinaendana sana kwa mambo mengi, sana sana kwenye agano la kale la Biblia. Hivo nimesoma mengi kupitia kukusikiza, licha ya tofauti zetu kuhusu Yesu na Mohammed. ubarikiwe kwa kuwajulisha kizazi cha leo mengi.
Quran inasema Nabii Muhammad ndio kaja na Uislam na imeandika Muislam wa kwanza bi Khadija na Quran kashushiwa Muhammad sasa huo Msikiti walikua wana swali kwa muongozo gani? maana Quran haikuwepo, Fafanua hapo Sule hii imekaaje.
Yesu,Mussa,Ibrahimu,Issihac na manabii wote ibada zao zilikuwa swala na kusujudu swala zao zilikuwa rakaa 2 tu na walikuwa wanaswali umo ktk misikiti hiyo ya kale Mohamed Mungu amempa swala 5 lakn ibada ni ile ile ya manabii wote waliotangulia Khadija alikuwa muislam wa kwanza kuslimu yaan watu wa mwanzo mwanzo kuukubali uislam kutoka kwa makuleishi wa maka neno uislam upo tangu Adam (a.s)na ndo mana Ibada zao zilikuwa kuswali na kusujudu lakaa 2 tu kwa siku tofauti na sasa ivi tumeamrishwa swala tano
Ata ww ni mjinga usiye jitambua Huna dini .? Kila jambo na wakat wake .. lipe.nafas liwe linakuhusu au alikuhusu cha msingi na mbaya zaidi usilidhihaki au lulidharau au Acha kabisa kuyafatili je ww ni nani ?
Imamu kweli ni kiongozi wa maamuma.. Gaza wenyeji wake ni WAAVI sio Wapalestina/wafilisti.Mwanzo 10:14. Wapalestine/Wafilisti kwao ni Visiwa vya KAFTORI Yeremia 47:4. Waavi ni kabila gani leo sheikh ?
Ni kweli usemayo ila ikiwa hakuna mzungu aliye ishi utumwani kwa mujibu wa historia zoote ulimwenguni ni wazi wale ni wayahudi wa kiimani tu ila sio waizrael kizazi cha yakobo. Waweza kuwa muisrael ila usiwe muyahudi na waweza kuwa muyahudi na usiwe muisrael.
Uislamu ndio dini ya mwanzo tangia waumbwe binadamu ulianza tangu alipoumbwa Adam na bib Hawaaa isipokua haipendwi coz inazungmza ukweli na inakataza maasi na watu wanapenda maaovu, kwaio sie sio waongo waongo ni nyie makafiri
Wakristo kwanza ni kina Nani? Hamtambuliwi hata na Hao mayahudi, walimuua mungu wenu wakamtundika msalabani. Sasa nyinyi mkiongelea hii mambo mnaongea kwa foundation gani?
Sawa Shekhe Ukimaliza Naomba uhadithie Pia Makuu yalivyofanywa Na Mababu zetu Hapa Africa kama vile kinje kitile Ngwale,Mkwawa Na wale Walipigania Vita Dhidi ya Utumwa Hadi ukazaliwa Wewe,Maana Unaijua sana Historia Ya Watu Waliotutawala zaidi Ya Historia Ya Mababu zako Waliopigania Ardhi Yetu Hadi leo unaikanyaga Kwa Uhuru🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mola muhifhi mwalimu wetu ustadh dr sule🙏
Amiin
Allah akuongoze ktkt kuitangaza dini ya kiislam....❤
Allah Akbar Allahu Akbar Alxamdulilah ❤
Wewe Dr sulle issa bin Mariam siye YESU Kristo usiwachanganye
Hio kweli mwanzo kazaliwa chini ya mtende yesu hori vitu viwili tofauti
Utagundua mayahud na washilikina ndio maadui wa waisilam alihmdu lnllah.
Hakika dini mbele ya mw/ mungu ni ya uislaam.
ndo inaleta fujo dunia nzima, kusingekuwa na hii dini duniani tusingesikia vita na mabomu ya kujilipua ambayo huwauwa watu wasio na hatia.
Dr sule👏👏 umelezea vizur sana kama kitabu cha Allah kilivyoeleza pongezi zako tunataka free palistn palestin
Maa shaa ALLAH 💚💚💚💚
Mashaallah
Masha allah
Allah Ihalik shekh❤
Nimekupenda sana Mtumishi wa Mungu mimi ni mkristo
Mtumishi wa shetani. Mungu Hana watu waongo na walio jaa chuki
Someni vitabu msihangaishe watu kwa kupotosha vitu vipo wazi sana
Vitabu vip wewe wakati ukweli una jieleza
Mungu hasahihishwi.
Shukran Shekh sule kwa ufafanuzi mayahudi hawajui chochote tuwaombee Allah awaongoze Mayahudi heti Kwasababu wamepewa Dunia basi wamejisahau kwamba kuna Akhera
Waisrael pale ni eneo lao hata mungu anatambua hilo ila waislam ni tabu tu ukweli hawautaki kwa kuwa waisrael mungu ametunuku sana
Dada Maryam ww n muislamu kasome suratul Maidah aya y 121 hdi 127 utpta jibu
Kweli hii ni vita ni kati ya mayaudi na maislamu
ALLAH atawapa nguvu kubwa sana Wapalestna Inshallah
Sote ni ndugu tuombe tatizo liishe kuwe na Amani hakuna damu iliyohalishwa kumwagwa tusipindishe maneno Yohana 8:36
Basi Mwana akiwaweka huru, mtakuwa huru kweli kweli.
Lini?
Allah kaumba nini Hana lolote nikuumba meli na makanzu mnabudu msicho kijua nyie
May God do his will,nobody is meant to be suffering
Kweli kabisa Dr sule.
Unajuwa Baba.
Before the Jews scattered, where was their original land? Thank God you're in Tanzania you got Peace
Sule yaani ogopa sana mapokeo unachokisema kama unakijua
Kwa kupangilia maneno awajambo Duhuu,
Sawa. Kama wasayuni ni kati ya mia tatu na mia Tano na wanatawala Dunia na niwaongo! Mbona wakweli wasitawale Dunia na ni mamilioni ya uma?
Nenda kagombane mzee ,unahamasisha ugonvi bola uende ukasaidie
Sasa kama walikimbia kwe ye ardhi yao hamtaki warudi ,nyumbani ni nyumbani nikisafiri sio kwamba nimetupa ardhi yangu
Walikuwa wakiishi ndan ya nchi ya Palestine (kanaan), waisrael walikuwa hawana nchi, ila walikuwa wanaish ndan ya nchi ya kanaan Palestine, wao wakiwa kama watu wa Israel (yakobo)
Nyie mnaokashifu uislam hamjui kitu chochote kuhusu shari za mayahudi someni uislam mtajua habari za ban Israel
Waslam tunajua habari za yesu toka kabla hajazaliwa na ni nabii wa mungu hatumkatai kama nyie mnavyomkataa Muhammad SAW
Yes aliingia msikitini Au la hasha
Mayahudi walitaka kumuua yesu je sisi
Ilitabiliwa ikatimia vita vilishatabiliwa hakuna jipya yote yapo kwe kitabu cha Vitabu vya mungu
Japokua uslamu ni dini ya kutengeneza lakin bado mmeshindwa kuitengeneza vizuri.
1.ukisema ibrahim alitoka uru wa walkadayo kwenda palestina inamaanisha uzao wa ibrahim ambao ni yakobo na esau wote ni wapalestine, apo tayar umeshajileza😂
2.ukwel ni kwamba asili ya ibada ambayo ilikua kwa waisrael hadi ujio wa yesu ni kivuli tosha cha wakristo wa sasa na haina uhusiano na uislam kwenye ibada zao au jinsi yesu alivyotenda ni tofauti na manabii wa kale ni tofauti na mohamed hii inaonyesha huyu aliyekuja baada ya Yesu ni kitu kingine.
3.Baada ya kifo mtaona wenyew yale mliyoyakataa
Yesu (Nabii Issa) alisema lini kama yeye ni Mkristo??
Mzee Ukristo ni Dini ya Biashara tu! Bro karibu katika Dini ya Kweli na Haki ya Uislamu muda ni sasa Ucje Ukafa ikawa huna Dini. Tafadhali kasome Juu ya Dini ya Uislamu!!!
❤❤❤❤❤
@@saidambarouk2804 kwani wewe unaaminije yesu si kristo na tunaomwamini sisi ni wafuasi wake unaposema ukristo siyo dini unapotosha
@@saidambarouk2804 Yeye mwenyewe ndo kristo endelea kupoteza muda pia alibatizwa katika mto Yorodani na upo mpaka leo
@@manenoagrey1519 Duh! Kwakweli Mapasta wenu wanawapotosha sana🤔 cjui kitu gan kinawafanya Muamini. Mimi Swali langu Lini na wapi Nabii Issa (as) alisema kama yeye ni Mkristo? Ukinijibu nakupa hela ya kijio cha wiki nzimaa👂💖
Soma kitabu cha zephenia 4:2 na uendelee ndo ujue mambo
Maya udi hawana kipya yani hata kwa hoya hawaji wezi labda vita ndo wana weza
Wayahudi walipewa ardhi hii na Mungu
Huo msikiti ni lazima ubomolewe.
Haiwezekani mjitwalie ardhi ya waisrael muifanye iwe milki yenu
Kaka unadanganya
Nyinyi wenye vitabu vyenu c mtu elimishe na nyinyi mekaa 2 soma vitabu soma vitabu vip
Dr. Sule huna elimu unachoongea ni uongo toa historia si kosa lako ni shule huna.
Iziraheli ni Muji mutakatifu kwa wakirsto na waisilamu na wayaudi kwa ivyo lazima tuwogeh kwa sababu iyo diyo mboma la bibilia na &rani kwa manabii
Kwaiyo nynyi uwisilama mumeunda nynyi wakati nanynyi mumeletew na walabu
Sisi sote ni wamoja tukipigana ni sawa na kujipiga na kujidhoofisha. ivi kweli elimu zetu ndo zimeishia hapo!
Kumbe walinunua kumbe yakwao
@@yohanaibrahim4128sasa kama walinunua Ibrahim hao mayahudi wanahusikaje wakati ibrahim alikuwa na watoto wawili Ismail na Ishaq na pia aliowa mke mwengine ketura akazaa naye madyani kwahiyo wana wa israel ni sehemu tu ya wana wa ibrahim wapalestina pia ni watoto wa ibrahim kwa mjukuu wake Essau kaka wa yakobo ambaye uzao wake unavuruga mashariki ya kati..!
Suleiman alijenga Hekalu
Mbona maelezo yanaejieleza vizuri kwamba ibrahim alitoka uru kwenda canaani et anaiita palestine
Soma bible zanosi 1-6-7 Wafilisit watapigwa na Wa Israel mpaka wa malizike
Jamaa muuongo huyu kabla ya Yesu hakukua na Msikiti hata mmoja bali lilikua Hekalu nasiyo msikiti
Maneno msikiti ulikuwepo soma vizuri biblia sinagogi ni nini angalia nyuma ya biblia yako
@@hamisiramadhani3538 Jengo la kukutania la wayahudi ndugu pia biblia unayosema nisome Nyuma ile ilitafsriwa na Shehe wenu hapo Mombosa kwani wazungu walipo fika Africa Kiongozi huyo kidogo alikuwa anajua Kingreza akasaidia kutafsiri Biblia lakini hiyo siyo maana halisi ya Sinagogi na yapo mengi tu mbona Hamswali mule kama ni Misikiti usipotoshwe na hilo
Uislam umejengwa kwenye uongo,bila uongo hakuna uislam,😆😆😆
Kumbuka kuna mayaudi pia apo kushi
Mimi ni mkristo, ila nimekusikiza kwa makini na nimepata mengi ambayo sijayasikia toka kwa waislamu wengine. wewe unahubiri amani ambayo ndio mapenzi ya Baba Mungu kwa watu wote. Sifurahii kuona wamama na watoto wanakufa pale palestine sababu ya vita. vilevile sikufurahi vile wamama na watoto wadogo walipouliwa pale Israel na hamas.
Kwa kukusikiza, Bible na Quran zinaendana sana kwa mambo mengi, sana sana kwenye agano la kale la Biblia. Hivo nimesoma mengi kupitia kukusikiza, licha ya tofauti zetu kuhusu Yesu na Mohammed. ubarikiwe kwa kuwajulisha kizazi cha leo mengi.
Yesu na Muhammad ni wamoja
Jesus lived from 7 BC to 30 AD. Mohammad was born in 571 AD and died in 632 AD. So 541 years from Jesus’ physical death to Mohammad’s birth.
pale nikwa mze ibrahim baba yao we hutaki warud kwenye koloni lao
Hivi kweli unazaliwa duniani kuja kutetea msikiti???au msikiti una umuhimu gani????
Tupe nukuu ya vitabu ulivyotoa historia hio tafadhali shekhe.....
Macho kodooo is rail angalia kwako
Wewe ulizaliwahuko?
Wakati wanauawa na hitira walikua katika inchi gani na unchi hiyo ilikuwa inaitwaje namba likuwa maeneo yapi.
Kachapia mengi tu pamoja na hilo.
NO DAY MUSLIMS WILL LEAD THE WORLD NO AND NO BIG NO HUGE NO.
Nenda ukawasaidie pia muslam nikopyi auna dili
Hapo mzee umedanganya, msikiti miaka 600 kabla ya kristo ulitokea wapi? Mfalme Suleimani hakujenga msikiti bali alijenga hekalu.
Huyu mbumbumbu ni Punguani pekee anayeweza kumwamini. Nonsense
Utashangaa mtu kama huyu anafunikwa na sheik kipozeo
Mbona Nabii Issa anatajwa sana lakini wanamkashifu Yesu?
Na kwanini Waisrael isiwe haki yao huo msikiti?
Huyu jamaa hata kwa kumtazama hajui kusoma kitabu chake anacho kutumia kuabudu. Kajaa ujinga upumbavu na chuki
Zaburi 83
Uislamu ndio dini ya haki na itabakia kua hivyo wala sio dini ya warabu tu kila kabila wapo weusi na weupe
Hio mpya andika kitabu chako
Kwani hapo ulipo hakuna msikiti mpaka ukodolee macho msikiti ambao upo israel
Kaa kimya wewe huwezi kushindana na wayahudi.
Mayahudi ni wauwaji hao
Wakolofi ni akina nani
Sas storia yako inamsaada kwa wat wagaza kelele mingi uongo mwingi msaada hamna
Yote yaliyoandikwa ktk Biblia kuhusiana na Israel lazima yatimie. Yatatimizwa huku mkitazama.
Okoka tu mhubiri,ila ukishupaza shingo yako itavunjika.
17:3 yohana tafuta UZIMA WA MILELE USIJE KUFA KABLA HUJAUPATA UZIMA UTAKWENDA KUCHOMWA BURE
This black people problem, jifunze historia ya kabila lako. 🤣🤣
Acha uongo
So wewe unapiga kampeni ya amani ama ni kuongeza vita,huna tofauti na hao wakora
Quran inasema Nabii Muhammad ndio kaja na Uislam na imeandika Muislam wa kwanza bi Khadija na Quran kashushiwa Muhammad sasa huo Msikiti walikua wana swali kwa muongozo gani? maana Quran haikuwepo, Fafanua hapo Sule hii imekaaje.
Yesu,Mussa,Ibrahimu,Issihac na manabii wote ibada zao zilikuwa swala na kusujudu swala zao zilikuwa rakaa 2 tu na walikuwa wanaswali umo ktk misikiti hiyo ya kale Mohamed Mungu amempa swala 5 lakn ibada ni ile ile ya manabii wote waliotangulia Khadija alikuwa muislam wa kwanza kuslimu yaan watu wa mwanzo mwanzo kuukubali uislam kutoka kwa makuleishi wa maka neno uislam upo tangu Adam (a.s)na ndo mana Ibada zao zilikuwa kuswali na kusujudu lakaa 2 tu kwa siku tofauti na sasa ivi tumeamrishwa swala tano
Hata wewe hujui kile unasoma waisiraeli wanamilki chombo gani Cha habari....
Kwanini wamiliki hivyo vitu
Rudi kwenye maandiko mkuu.bado ujasema
Tatizo aliye rusha ngumi amerudishiwa ngumi imemuzidi
Mh jmn kumbe mpo wingii mnaochukia uislamu, kwaio wao wanavowapiga kila siku je? Wew utakubli kuonewa kila siku or?
Ukisto na uislam ulio anza ni ukisto
Uislam ulikuja miaka 600 baada ya ukristo
Kwa hiyo waisrael ndio wenye haki ya pale
Kabla hawajapigwa na Adolf hitrer walikuwa wanaishi wapi?
Ulaya
@@Hussein-gx4qu sasa kwao waliporudi ni wapi
Kwani Adofl hitler aliwatoa wapi
Tatizo sio watu weusi cc waislam mila yetu n moja Dunia nzima mzungu muhindi mwafrica ili mladi n Muislamu basi mila moja sio km nyie msiokuwa n dini
Hujui chochote,kuwa mila moja ndio dini? Una mila sawa na wahindi wewe?
Ata ww ni mjinga usiye jitambua Huna dini .? Kila jambo na wakat wake .. lipe.nafas liwe linakuhusu au alikuhusu cha msingi na mbaya zaidi usilidhihaki au lulidharau au Acha kabisa kuyafatili je ww ni nani ?
Asalamu caleikum naomba namba ya Dr,zulle
Hivi nikitoa hela nikanunua ardhi nikawa na hatimiliki kumbe haiwi ya kwangu? kumbe inaelndelea kuwa mali ya yule ambae ilikuwa yake kihistoria?
Shughuli pevu,umenunua ardhi na ndugu zako wamekuja wamenunua hapo Tabora lakini hamruhusiwi kusema Tabora ni kwenu.
Alienunua Nani ?
Imamu kweli ni kiongozi wa maamuma..
Gaza wenyeji wake ni WAAVI sio Wapalestina/wafilisti.Mwanzo 10:14. Wapalestine/Wafilisti kwao ni Visiwa vya KAFTORI Yeremia 47:4.
Waavi ni kabila gani leo sheikh ?
Israel big up sabato iendelee
Raykyando wayahud na wapalestina n wa Ibrahim walipo teswa misri waliletwa na MUSSA TENA ISRAEL,kwa hio wote n wa IBRAHIM,
Ni kweli usemayo ila ikiwa hakuna mzungu aliye ishi utumwani kwa mujibu wa historia zoote ulimwenguni ni wazi wale ni wayahudi wa kiimani tu ila sio waizrael kizazi cha yakobo. Waweza kuwa muisrael ila usiwe muyahudi na waweza kuwa muyahudi na usiwe muisrael.
Hajui lolote huyu hii ni vita ya Dini jihad, tell me Palestine ilikuwa wapi b4 60s then we argue
Kikundi cha majambazi
Uongo mtupu
Mwulizeni sheh aliyepelekwa utumwani misri ni mpalestina au mwisraeli kwa hiyo sheh usiwadanganye acha uongo we mdengeleko wenye kuumaliza ni mungu tu
Kama wewe unajua historia njoo usimulie basi kama kweli acha chuki
Sasa kama hiyo nchi walipewa na Mungu basi wapalestina hawana haki itabidi waondolewe
Mungu yupiii?
Dr sulle mbona umeenda shule kwa nn unadanganya unawazaja watu ujinga,
Haongei ujinga anawaelimisha wajinga
Kwanini kujenga msikiti juu ya hekalu la Suleiman na kaburi la Yesu? Kuchukuliwa utumwani mara nyingi walirudi Israeli ikiwemo Palestine.
Kwani hao waisrael kwao ni wapi? Au waislam mnapenda chokochoko tu? Tokea dunia imeanza waisrael pale ni kwao
Ww hujui kitu unapotosha watu wapotoshe wajinga wasiojua
Waislamu mtakuwa waongo Hadi lini!? Uislam umekuja duniani 610 AD tayari hekalu la mayahudi upo. Yaani mnaosema uongo Hadi mnachukiza
Kwahio mwenye haki pale ni nani? Embu tume elim
Uislamu ndio dini ya mwanzo tangia waumbwe binadamu ulianza tangu alipoumbwa Adam na bib Hawaaa isipokua haipendwi coz inazungmza ukweli na inakataza maasi na watu wanapenda maaovu, kwaio sie sio waongo waongo ni nyie makafiri
Ujuwi lolote
Shekhe historia ya palestina huijui vizuri.
Rudi ukasome historia vizuri. Na wale usiwakilishe waislamu Kwa ufahamu wako. Sio vizuri.
Hubirini kweli watu watubuzambi zao wamgeukie mungu acheni siasa nyie watu mbona hatuwaelewi uchochezi tu mnaufanya simuende huko
Yaani km vile mjinga !, Ardhi Siyo tatizo , qurani na mtume alisema ktk Aya nyingi kuwa ardhi ni ya waisrael. Je mtume hakuwaona wapelestina?
Mtume hana aya katika Quran, wala hana neno lolote lile ndani ya Qurani nenda kasome ufaham.
Ww una dini yako na sisi tuna din yetu
Uwisilam ndiy dini ya hak
Mjomba hv umesoma au limekuropoka tu?
We mpuuz umevimbilwa kitimoto na makande yaliochacha unasikiliza maandiko au unaongea tu kwa vile mdomo unao??
Kitabu cha tano ni kumbukumbu la torati
Kuumbe😅😅 ngoja nkasome chap
Alafu huyu shekhe muongo atar
Ila hawa maplofesa na ma dr wa kiislamu huwa nashindwa kabisa
Acha uongo wewe palstina haipgani na izrael Gaza ndo inapigana na izrael alafu storia yako uwongo mwing
We unamiliki matako,acha kudanganya watu kenge wewe,
Kumbe na mayahudi mnashikia hotuba zetu na kuzielewa duuh 😮
Bas ongea wewe unaejua
Mayawudi wahuni wameraniwa na mungu
Kipindi waisraeli walipo pelekwa utumwani misri walitokea nchi gana?
Wadanganye wajinga wasio soma wasomeshe wapate kujuaujinga
Waizrael wengine wapo hapa kwenye comment hawajapenda ukweli anaoelezea sule huo ndio ukweli mukitaka musitake
Hewala😂😂😂
Kwanini na ninyi mlijenga msikiti sehemu palipokuwa na kanisa la suleiman?
😂😂Nabii suleiman alikuwa muislam na kanisa wapi na wapi
Aliyekuambiya suleiman ni mkristo ninani
Suleiman sio mkristo
Wakristo kwanza ni kina Nani? Hamtambuliwi hata na Hao mayahudi, walimuua mungu wenu wakamtundika msalabani. Sasa nyinyi mkiongelea hii mambo mnaongea kwa foundation gani?
Et mkristo waongea tuu tupe dalili umejazwa maneno ya akina mwamposa wajinga wenzenu et nabii mnyakyusa😂😂,subutu, Allah awaongoze muwe waislam