Sio lazima we mnaswara ufahamu lakini mwalimu wetu Dr. Sulley ataendelea kufikisha ujumbe. Kwani hata Bwana Yesu salama na Amani iwe juu yake kuna watu walimkana. Na huku wengine wakijifanya hawajamuelewa.
Hongera sana shekhe kwa kumtambua Bwana Yesu, ujio wake, kazi yake na kupaa kwake Mbinguni, na kuitambua Biblia kuwa ni kitabu kitakatifu, Bwana azidi kukuongoza katika kweli yote Ameen
Dr Sure safi sana unajuwa history ya ukweli wambie wenzio pia mimi natoa Aya hii ili kuthibitisha Unacho sema kuhusu Israel kuwa nitaifa ambalo Mungu alilichaguwa na kulifanya kuwa TAIFA kubwa lenye akili ujuzi wa kila kitu kuliko TAIFA lolote Duniani mpaka siku ya kiyama Quran 45:16. Na hakika tuliwapa Wana wa Israili Kitabu na hukumu na Unabii, na tukawaruzuku vitu vizuri vizuri, na tukawafadhilisha kuliko walimwengu wote. 17. Na tukawapa maelezo wazi ya amri. Basi hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa ajili ya uhasidi uliyo kuwa baina yao. Hakika Mola wako Mlezi atahukumu baina yao Siku ya Kiyama katika mambo waliyo kuwa wakikhitalifiana
Yesu mwenyewe alikua muyahudi na alisulubishwa ju ya kujiita MUNGU nahao tu wayahudi wenzake, tunajua kila kitu kuhusu hawa wayahudi na Mungu anawapenda kuliko mtu yeyote duniani, hawa tu dio watu Mungu ameghalamika sana kuwachunga kuliko watu wengine duniani
Tunamshukuru Mungu wasomaji Biblia wanaongezeka na kuamini Biblia ni kitabu kitakatifu na kuamini kwa yesu kila goti litapigwa na kukiri Yesu ni Bwana ,taratibu mnarudi kwa Yesu
Sisi waislamu hatumakatai yesu ila Tunachokataa kua yesu ni mungu au mwana WA mungu yesu ni nabii wa mungu ila wakristo mnasema yesu mungu Mara mwana WA mungu mnakufuru
USHAURI KWA HUYU SHEKH UWE MCHUNGAJI TU! ACHANA NA UISLAM MAANA UKWELI UNAUJUA LAKINI UMESHUPAZA SHINGO TU. NJOO KWA YESU UPONE, ACHANA NA UISLAM ACHANA NA MOHAMMED MLANGO BADO UKO WAZI KWA YESU❤❤❤
@@masoudabdallah3406 MIMI MWENYEWE HUKO NAKUJUA (HIVI NITAKUA NA AKILI KWELI KUAMINI MTU AMBAYE KAJA AKASEMA MIMI NI MTUME NIMEKUTANA NA MALAIKA) BILA USHAHIDI WA MUNGU, WATU, HATA MUUJIZA KUTHIBITISHA. NIKIAMINI HAPO BASI HATA WEWE UKINIAMBIA WEWE NI MTUME NITAKUBARI. 😀 YESU MNAMUITA MTUME ALIFANYA MIUJIZA, DAUD ALIFANYA MAKUU NA MUNGU MWENYEWE AKASEMA SASA NJOO KWA MOHAMMED 🤣🤣 HAKUNA SHAHIDI. SASA UNAAMINI NINI HAPO, KAULI ZA MTU? 😁😁SIWEZI
@@masoudabdallah3406 NDIO MAANA UNAMUONA ANASOMA BIBLIA MUDA WOTE, ANGEELEZA ANAYOELEZA KUPITIA QIRAN KAMA ATAWEZA NAKUPA HELA. BIBLIA NI KITABU KILICHOKAMILIKA NA NDIO CHA KUTEGEMEA.. NIMEMWAMBIA AWE MCHUNGAJI MAANA YUKO NA BIBLIA TU BIBLIA TU, MBONA AKIINGIA MSIKITINI HATUMII BIBLIA? YESU OYEEEEEEE
Kumtaja Yesu haina maana kwamba mtaiona pepo la hasha , YESU anasema enendeni ulimwenguni kote mkaihubiri injili na kila aaminiye kuwa YESU NI BWANA na Mwokozi wa maisha yake ataokoka , hakusema atakaye muamini mohammadi, YESU anasema mimi ndimi njia ya kweli na uzima hakuna mtu atamwona baba bila kupitia mimi (YESU) Full stop. Mafundisho mengine zaidi ya hapo ni ya mpinga kristo ( wapinzani wa YESU)
Sheik umeshinda mtihani mkubwa ambao wengi wameshindwa, hata wanazuoni wanafeli mtihani huu!!! Ntakuwa hapa kujifunza kila siku!!!! natamani kusoma Quran pia
Mungu akuongoze ktk hili, MUNGU humuongoa amtakaye na humpotosha amtakaye! Hii iwe chanzo cha imani yako kukithiri zaidi naye ndiye awe nguzo ya maisha yako
Mungu akuongoze ktk hili, MUNGU humuongoa amtakaye na humpotosha amtakaye! Hii iwe chanzo cha imani yako kukithiri zaidi naye ndiye awe nguzo ya maisha yako
@@liverpoolfootballclub9985 Lakini Kama umemfuatilia shekh alivo sema kuwa Judaism n lile kundi la walio abudu ndama ambao n wasamaria 😂😂😂😂😂😂 Ivo Kuna waisrael pia ambao ndio wenye nchi yao 😂😂😂😂
@@omaar5693waislamu someni biblia takatifu mtapata akili ya kujitambua hivyo vitabu vyenu vinawafanya muwe manyumbu... biblia inasema Israel ni taifa teule la Mungu( Jehova shama) muumba mbingu na ardhi yoyote atakae chokoza Israel atapigwa na Mungu mwenyewe na dalili zinaonyesha jinsi warabu wanavyo pigwa na Israel kila uchwao yeremia (1 19 ) (amosi 1:7)
Kitabu cha Daniel 7 14 Naye akapewa mamlaka, na utukufu, na ufalme, ili watu wa kila Kabila zote, na taifa zote, na lugha zote, wametumikie, mamlaka yake ni mamlaka ya milele, ambayo hayatapita kamwe, na ufalme wake ni ufalme usioweza kuangamizwa. Amen !!! Bwana Yesu asifiwe milele na milele
Shia ya waislamu wanawafanya waislamu wasimwani YESU yani wamchukulie poapoa tu.Kumbe hawajuwi kama kimbembe cha ulimwengu anakiweza Bwana Yesu tu,Inshort aliye na Yesu yu katika mboni ya MUNGU haguswi na chochote kile chini ya nchi wala juu ya nchi.Kwahiyo acheni udini tafuteni imani tena ile ya Yesu Kristo ndio Org
Bwana Yesu salama na Amani iwe juu yake ni Mtume, mkweli tena ni mnyenyekevu wa moyo. Alifanya mingi ya Kiutume na sio mazingaombwe kama ya waojiita mitume leo.Na muislamu asiemuamini hana Imani ya kweli.
Mnachochanganya ni msikiti na Yesu Yesu sio muislamu hata CK moja Wala Hana ukoo na waarabu Wala muislamu yeyote, Ukiwa MSABATO utaelewa vzr Hila za waislamu wanavyodanganya watu ili wajiunge nao,
Cathoric na nmekusikiliza vizuri,umeeleza hasa maana ya dini,uwa nawaambia watu mfano ikitokea kuhama ukatoriki ni bora niwe mwislamu kuliko kua mlokole!!
Nisaidieni aindiko hivi kwenye bible wapi yesu kajitaja yeye kuwa ni mwana wamungu au yy ni mungu,maana naona wanaomsemea ni kina mathayo lkn yeye alisema nimtu tu
kasome yohana 17:5 5. Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako. Yohana 17:5 unachokitaka wewe ni sawa mfano, hakuna andiko mariam aliposema ,, mimi ni mama wa Yesu, , ila matukio kisa kamzaa ndo wewe msomaji unajua yeye ndo mama yake Yesu, ndo ninyi mnatak Mstari Yesu aliposema mimi ni MUNGU , , upo lakini ninyi waislam ni ngumu kuelewa, ni pale yesu alipowaambia mafarisayo kuwa yeye yuko kabla ya ibrahimu ajakuwako, aliwaambia MIMI NIKO AMBAYE NIKO, wakachukua mawe mafarisayo wakataka wampige , kwanini walitaka wampige, kwa sababu, katika torati yao Musa alipomuuliza MUNGU nikawaambie wewe unaitwa nani ulienituma, MUNGU akamwambia Musa kuwa kwaambie MIMI NIKO AMBAYE NIKO, asa vizazi vya israel wakalishika hilo jina , asa wakasikia Yesu anajiita vile vile kama Musa alivyo mtambulisha MUNGU ,ndo maana wakataka wampige mawe maana wakajua Yesu anakufuru kwa kujiita yeye MUNGU kwa jina la MIMI NIKO AMBAYE NIKO,, alafu kasome ufunuo wa yohana utaona alfa na omega ndo mwanakondoo, ambacho alfa na omega ndo cheo cha MUNGU, so mbinguni kuna kiti cha enzi kimoja tuu, ila MUNGU alivyojifunua kwa wanadamu kwa style tofauti tofauti tofauti kulingana na majira na nyakati, ila ukitaka kumkariri MUNGU ndo utamweka kwenye box kwamba utakuwa na mipaka kisa tuu umemkariri , so unaposoma maandiko jaribu kuyaelewa ila usikariri, MUNGU huwaga anaangaliaga maagano yake aliojiwekeaga na manabii wale ili ayatimize , lakini kwenye kuyatimiza ana style tofauti tofauti za kuyatimiza sasa kwenye hizo style tofauti tofauti dunia ndo inachanganyikiwa , na ndo mapenzi yake dunia nzima ichangangikiwe ili imtafakari na ili yeye MUNGU atukuzwe kwa matendo yake makuu
quran mimi imekataa , mimi situmii quran, sio iman yangu , kama wewe ndo iman yako ndo ukasome , biblia na quran kuna vitu vimeendana na kuna vitu vile sensitive vimepingana kimaandiko , hasa kwenye ishu za kisa cha yesu , na visa vya majini na malaika , na visa vya paulo , na n.k
@josephwilliam5813 Sisi Quran maneno yake allah amesema hakusulubiwa wala hakuuliwa lkn alifananishwa nae,sisi hatuna wasemaji kama kina mathayo wanasema yesu mwana wa mungu,wakat yesu mwenyewe anasema mimi nimtu na njia ya mungu naifundisha katika kweli)hiyo bible sasa kati ya yesu na kina mathayo nani msema kweli?
@@binseif2216 kosome luka 1, Mwezi wa sita, malaika Gabrieli alitumwa na Mungu kwenda mpaka mji wa Galilaya, jina lake Nazareti, 27 kwa mwanamwali bikira aliyekuwa ameposwa na mtu, jina lake Yusufu, wa mbari ya Daudi; na jina lake bikira huyo ni Mariamu. 28 Akaingia nyumbani kwake akasema, Salamu, uliyepewa neema, Bwana yu pamoja nawe. 29 Naye akafadhaika sana kwa ajili ya maneno yake, akawaza moyoni, Salamu hii ni ya namna gani? 30 Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu. 31 Tazama, utachukua mimba na kuzaa mtoto mwanamume; na jina lake utamwita Yesu. 32 Huyo atakuwa mkuu, ataitwa Mwana wa Aliye juu, na Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Daudi, baba yake. 33 Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na ufalme wake utakuwa hauna mwisho,, Je malaika gabriel , na si katoka kwa MUNGU au kwa shetani?? na kama je katoka kwa MUNGU, malaika Gabriel na dunia nzima nani anaakili, ??? kwahiyo yeye malaika Gabriel alivyosema mtoto atakuwa mwana wa aliye juu na atatawala nyumba ya yakobo milele , yakobo ndo israel, je malaika gabriel alisema uongo ?? na je hakutoka mbinguni kwa kutumwa na MUNGU?
Wewe unaumwa YAANI MPAKA YESU anaondoka hawakumuamini na hawakufukuzwa labda nikusaidie HATA WAO KWENDA utumwani MISRI MUNGU ALIWAFUKUZA na MUNGU amewafukuza na kuwarejesha HATA KABLA ya KRISTO IZO story za masheikh ZILIZOKUA na dalili ya maandiko
It's the Holy spirit that guide us in the Holy bible through the help of church tradition . Not history... Through Holy spirit. Using church fathers and tradition . Passing of un written word of God .
Always the records or history tells the truth ,we may ask our selves what and when was the initiation of those Islamic and Christianity's ideologies to deferent countries then that was the benefit to those who sucliffeced them selves to spread those ideologies to as.
Tupe andiko linalothibitisha Yesu alitabili huyo mtume wenu mbona hukutaja Maana Yesu katabiliwa na Manabii wote hadi Yohana mubatizaj huyo wa kwenu mlimtoa wapi mbona kwenye Biblia hayumo
ndugu msitukanane wala kutukana imani za wengine badala yake unapoona hapajakaa sawa weka hoja kutoka kitabu unachoona hakijatendewa haki na utoe ufafanuzi sio kutukanana.
Mwalimu unajieleza vizuri lakini bado hujapata ufunuo wa kuyaelewa maandio kwasababu sijaona popote katika Biblia ikionyesha Yesu Kristo kutabiri juu ya ujio wa Mohammad
Wengi wenu hamtumii hata akili .ungetoa Hoja ya kubisha kama unaona anapotosha bali Kazi yenu nikumbeza mtu lakini utambue hasara si kwake yeye kashafikisha atakae na aishike Njia ya sawa na aiache Njia pia atakae na hasara itakua juu yake
Hiyo qurani tulisoma tukajua ni maneno mchomoko yaliyo chomekwa , wamekopy maneno Toka tarati na kujitafutia mtume fake . Mungu gani ambae hata mkiomba hampati zaidi ya machingu?! Israeli anavyo waburura na Mungu Allah anakula usingizi
Umedanganya sule bwana yesu hajaelezea msikiti wakati huo palikua na hekaru, soma mathayo 24-1mpakakuendelea acha uwongo chukizo la uharibifu ni kuuwawa bwana yesu maana yeye ni hekaru
KWANI MMELOGWA NYIE. MKITAKA KUZUNGUMZA KUJITETEA MNATUMIA BIBLIA.. MNAAMINI DANIEL NA PAULO😂😂😂 ILA MKIANZA KUPINGA UKRISTO MNAPINGA DANIEL, PAULO, NA BIBLIA YOOTE INAKUA IMECHAKACHULIWA HII NI AKILI KWELI😂😂😂😂😂
Hongera Yesu akutunze kweli Mungu anatujua walio wake bila kujari dini
Ubarikiwe Sana Mungu akutunze na kurinde
Amen mule mule kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri kuwa Yesu ni bwana.❤
Yesu ndio mfarme na kila ulimi utakiri 💪
Uwakika kaka awa ni wagomvi ni washali sana jama tuombe vita ihishe wao wanatangaza ulipaji kisasi
@@rajogemzanaki3030 Nani mgovi Wew
Nimemaanisha awa waislamu wanao sema kuwa kulipa kisasi ni haki
Pumbafu
@@saidirakozi1809 acha kutusi watu kama kweli we unamjua mungu
Njoo kwenye point,wew inashaurije
Sio lazima we mnaswara ufahamu lakini mwalimu wetu Dr. Sulley ataendelea kufikisha ujumbe. Kwani hata Bwana Yesu salama na Amani iwe juu yake kuna watu walimkana. Na huku wengine wakijifanya hawajamuelewa.
Hayo maneno yako usiyaendeleze tena maana wewe Ni kondoo Alie potea
Hongera sana shekhe kwa kumtambua Bwana Yesu, ujio wake, kazi yake na kupaa kwake Mbinguni, na kuitambua Biblia kuwa ni kitabu kitakatifu, Bwana azidi kukuongoza katika kweli yote Ameen
Hana lolote huyo ni muongo, anatumika na shetani kubadiri uongo kua ukweli na ukweli kua uongo
Mungu akubariki sana mimi si muisilam ila shekhe hua namuelewa sana
th-cam.com/video/R2FMD8BmQFI/w-d-xo.htmlsi=lj2uK2isWfJskMcL
Yesu kristo alitamka mwenyewe akisema ameniona mimi amemuona amemuona baba ameniona mimi inamaanisha ndiye mungu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉ameeeeeeene ameeeeeeene
🙏
Uko krbu na ufalme
Ameniona mimi ame muona baba yeye ni mtume ,au dalaja la kwenda kwa mungu
Somenini vizur
She una elimu wewe mpaka sielewi mungu akupe maisha malefu
Dr Sure safi sana unajuwa history ya ukweli wambie wenzio pia mimi natoa Aya hii ili kuthibitisha Unacho sema kuhusu Israel kuwa nitaifa ambalo Mungu alilichaguwa na kulifanya kuwa TAIFA kubwa lenye akili ujuzi wa kila kitu kuliko TAIFA lolote Duniani mpaka siku ya kiyama
Quran 45:16. Na hakika tuliwapa Wana wa Israili Kitabu na hukumu na Unabii, na tukawaruzuku vitu vizuri vizuri, na tukawafadhilisha kuliko walimwengu wote.
17. Na tukawapa maelezo wazi ya amri. Basi hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa ajili ya uhasidi uliyo kuwa baina yao. Hakika Mola wako Mlezi atahukumu baina yao Siku ya Kiyama katika mambo waliyo kuwa wakikhitalifiana
Yesu mwenyewe alikua muyahudi na alisulubishwa ju ya kujiita MUNGU nahao tu wayahudi wenzake, tunajua kila kitu kuhusu hawa wayahudi na Mungu anawapenda kuliko mtu yeyote duniani, hawa tu dio watu Mungu ameghalamika sana kuwachunga kuliko watu wengine duniani
Kama unajua ilo kwnn uwaambii wachungaji wako wanapodai fungu la kumi ikiwa wao sio wayahudi inamana mnakubali kupigwa ili hali mnaujua ukweli.
Kwa sasa jamii bora ni wale wanaomkubali Allah na kumtii Muhammad.
Asante shekhe kwa kutuelimisha
Ameeen Mungu akubariki
Asantee. Sana. Kwa. Uchambuzi. Mzuri wa. Bibilia. Nitazidi. Kukufuatilia. Ili. Nijifunze. Zaidi. Asantee
Nakupendasana mutumishi wamungu ubalikiwesana unasemesha ukweli❤️🙏🙏
Mungu akupe nguvu na upate ukueli ... Mchungaji mtarajiwa wa bwana wetu Yesu Kristo ❤
Hawezi kuwa mchungaji kamwe
Amen ubarikiwee
Dr Sulle umenisisimua sana kusoma BIBLIA hasa Agano la Kale habari za Abrahamu/Ibrahim
Genius!!!!
Al haj mimi binafsi namuelewa sana kwanza kanyooka na anatafsiri vizuri sana
Unadanganywa alafu unasema unamwelewa kanyoooka....... Hebu someni Biblia wenyewe.... Msikubali kulishwa matakataka.
Tunamshukuru Mungu wasomaji Biblia wanaongezeka na kuamini Biblia ni kitabu kitakatifu na kuamini kwa yesu kila goti litapigwa na kukiri Yesu ni Bwana ,taratibu mnarudi kwa Yesu
Uko vizuri doctor Mungu akuzidishie
Unadanganywa alafu unashukuru😢
Njia nimoja tuu YESU NI NJIA YA KWELI NA UZIMA
Ubarikiwe kwa utafsiri mzuri
Mimi muislam unaongea vizuli ,sana biblia unaijua kuluani unaijua watu washika dini Ila ukweli hawaujui Asante mwalim
Amin
Duuh nimekwelewa sana natamaniuendelee tu
Sisi waislamu hatumakatai yesu ila Tunachokataa kua yesu ni mungu au mwana WA mungu yesu ni nabii wa mungu ila wakristo mnasema yesu mungu Mara mwana WA mungu mnakufuru
Yesu ni mwana wa mungu
Hongera sana kukujuwa Maandiko Roho akujalie kuyaishi na kumuanini Yesu
Mbele nyuma Yesu die njihia ya kweli
Nikweli yesu ndie njia.swali hio njia alikua anatumia yesu unaijua?ukiijua utajipata unafanya matendo yawaislamu😅
Hongera sana ila hao Israel niwakuwaendea vizuri Mana ni fire tangu kitambo
Mara nyingi tumekua wavivu kusoma vitabu vya mungu na tumekua wakaidi kiasi kwamba hatuna elimu ya kutosha
Maa shaa ALLAH 💚💚💚💚💚
Eti Nabii Allahi Daniel 😂😂😂😂 ILA waislam kwakuwasilimisha watu😂😂😂😂
😂😂😂😂 niatar
Na wayaudi kutawaliwa ni kwasababu walimwasi mungu badala ya kukir na kumludia mungu wao ndipo mungu alipo wa pokea na kuwaaidi kuwalinda
Siku zote ukiwa huijui History, Unaonekana Mpumbavu unapo ongea . Sheikh elimu ya Historia ni vizuri uijue.
USHAURI KWA HUYU SHEKH UWE MCHUNGAJI TU! ACHANA NA UISLAM MAANA UKWELI UNAUJUA LAKINI UMESHUPAZA SHINGO TU. NJOO KWA YESU UPONE, ACHANA NA UISLAM ACHANA NA MOHAMMED MLANGO BADO UKO WAZI KWA YESU❤❤❤
Alikuepooo huko akaja kwetu baada kujuwa dini ya kweliii ni hii ukufuata vitani hata istoria mwisho wasiku utaketwa kweny hiii diniii😅😅😅😅
@@masoudabdallah3406 MIMI MWENYEWE HUKO NAKUJUA (HIVI NITAKUA NA AKILI KWELI KUAMINI MTU AMBAYE KAJA AKASEMA MIMI NI MTUME NIMEKUTANA NA MALAIKA) BILA USHAHIDI WA MUNGU, WATU, HATA MUUJIZA KUTHIBITISHA. NIKIAMINI HAPO BASI HATA WEWE UKINIAMBIA WEWE NI MTUME NITAKUBARI. 😀 YESU MNAMUITA MTUME ALIFANYA MIUJIZA, DAUD ALIFANYA MAKUU NA MUNGU MWENYEWE AKASEMA SASA NJOO KWA MOHAMMED 🤣🤣 HAKUNA SHAHIDI. SASA UNAAMINI NINI HAPO, KAULI ZA MTU? 😁😁SIWEZI
@@masoudabdallah3406 NDIO MAANA UNAMUONA ANASOMA BIBLIA MUDA WOTE, ANGEELEZA ANAYOELEZA KUPITIA QIRAN KAMA ATAWEZA NAKUPA HELA. BIBLIA NI KITABU KILICHOKAMILIKA NA NDIO CHA KUTEGEMEA.. NIMEMWAMBIA AWE MCHUNGAJI MAANA YUKO NA BIBLIA TU BIBLIA TU, MBONA AKIINGIA MSIKITINI HATUMII BIBLIA? YESU OYEEEEEEE
Jamani muwe waelewa waslaam hatumkatai Yesu, tunakataa
Mnavyo mtukuza nakumfanya mungu.
sawsaw shekhe ,nimekupenda😊😊😊😊😊😊🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amin hii ipo hata MARKO 13: mstari14-19
Mashallah
Ameeen umesema ukweli shekhe
th-cam.com/video/R2FMD8BmQFI/w-d-xo.htmlsi=lj2uK2isWfJskMcL
Amen🙏
Kumtaja Yesu haina maana kwamba mtaiona pepo la hasha , YESU anasema enendeni ulimwenguni kote mkaihubiri injili na kila aaminiye kuwa YESU NI BWANA na Mwokozi wa maisha yake ataokoka , hakusema atakaye muamini mohammadi, YESU anasema mimi ndimi njia ya kweli na uzima hakuna mtu atamwona baba bila kupitia mimi (YESU) Full stop. Mafundisho mengine zaidi ya hapo ni ya mpinga kristo ( wapinzani wa YESU)
Barikiwa ❤❤❤
Sheik umeshinda mtihani mkubwa ambao wengi wameshindwa, hata wanazuoni wanafeli mtihani huu!!! Ntakuwa hapa kujifunza kila siku!!!! natamani kusoma Quran pia
Ni vizur kuruhusu hakili yako ierewe, ww ni mmoja wa ma legends, kuna wengine hata huwa hawaruhusu kuerewa
kaka umeshtukia mambo mema mapema,hizi ndio habari zilizofichwa Kwene UFUNUO wa Yohana watu wengi ni wapagani
Mungu akuongoze ktk hili, MUNGU humuongoa amtakaye na humpotosha amtakaye! Hii iwe chanzo cha imani yako kukithiri zaidi naye ndiye awe nguzo ya maisha yako
Mungu akuongoze ktk hili, MUNGU humuongoa amtakaye na humpotosha amtakaye! Hii iwe chanzo cha imani yako kukithiri zaidi naye ndiye awe nguzo ya maisha yako
Sheh kama ukijua kweli huwezi kuongea huu upuuzi
Kwa msiofutilia hii hituba Dr sulle aliitoa miaka miwili iliyopita
Dr sulley nauliza kanani ninchi gani
Kweli dr sule nakukubali sana hapo najifunza kitu hawa wahukukwetu wanaitwa wakristo na watu waisrael wanaitwa wayahudi
Niwamoja usijichanganyi
Yesu ndiye atasuluhisha mgogoro kati ya Izraeli na Palestina, Yerusalemu ni makao makuu ya Wayahudi✓ Mtakuja salimu amri insha'Allah 🙏
Ila mayahudi wenyewe sio wakristo dini lao ni Judaism na yesu mwenyewe hawamtambui ndiyo maana walimsulubu
@@liverpoolfootballclub9985 Lakini Kama umemfuatilia shekh alivo sema kuwa Judaism n lile kundi la walio abudu ndama ambao n wasamaria 😂😂😂😂😂😂 Ivo Kuna waisrael pia ambao ndio wenye nchi yao 😂😂😂😂
Ni vyema kweli ukawa na.elimu ahera na elimu dunia, ukikikosa kimoja tu.kati ya.hivyo utapata shida sana,AMEN
Shekha unachanganya mambo ila Mungu yupo kazn ipo siku utasalimu amri ya Bwana yesu
doh:
kula chuma iko👇
43“Kwa hiyo nawaambieni, ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu na kupewa watu wa mataifa mengine wenye kutoa matunda yake.”
Shehe wetu hana bwana ni bwana kwa mkewe si kwa mwanaume mwenzie kama nyinyi
ANA AMR GANI UYO YESU NAWE MBELE YA ALLAH
@@omaar5693waislamu someni biblia takatifu mtapata akili ya kujitambua hivyo vitabu vyenu vinawafanya muwe manyumbu... biblia inasema Israel ni taifa teule la Mungu( Jehova shama) muumba mbingu na ardhi yoyote atakae chokoza Israel atapigwa na Mungu mwenyewe na dalili zinaonyesha jinsi warabu wanavyo pigwa na Israel kila uchwao yeremia (1 19 ) (amosi 1:7)
Shehe mwenyewe anasema Bwana yesu asema hivi 😂😂😂😂😂😂kumbe mnajua yesu ndiye Bwana
Nampenda huyu shehe aseee kiboko sanaaa
Unadanganywa alafu unashukuru.... Hebu someni Biblia wenyewe..... Huyo shehe ni muongo anatumika na shetani kubadiri uongo kua ukweli na ukweli kua uongo
❤❤❤❤❤ shekih
Kitabu cha Daniel 7
14 Naye akapewa mamlaka, na utukufu, na ufalme, ili watu wa kila Kabila zote, na taifa zote, na lugha zote, wametumikie, mamlaka yake ni mamlaka ya milele, ambayo hayatapita kamwe, na ufalme wake ni ufalme usioweza kuangamizwa.
Amen !!!
Bwana Yesu asifiwe milele na milele
Shia ya waislamu wanawafanya waislamu wasimwani YESU yani wamchukulie poapoa tu.Kumbe hawajuwi kama kimbembe cha ulimwengu anakiweza Bwana Yesu tu,Inshort aliye na Yesu yu katika mboni ya MUNGU haguswi na chochote kile chini ya nchi wala juu ya nchi.Kwahiyo acheni udini tafuteni imani tena ile ya Yesu Kristo ndio Org
Utambuzi ni mpango wa Mwenyezi MUNGU MTUKUFU. Juu uwazi wa maelezo ya mwalimu wetu Dr. Sulley lakini bado baadhi ya watu hawaelewi eti.
th-cam.com/video/9f64YFwRc6c/w-d-xo.htmlsi=NOjsQFMHbBtDy2of
Cc waislamu tunamuamini Kama MTU TU Tena alkuwa Nabii na Sio Mungu
Bwana Yesu salama na Amani iwe juu yake ni Mtume, mkweli tena ni mnyenyekevu wa moyo. Alifanya mingi ya Kiutume na sio mazingaombwe kama ya waojiita mitume leo.Na muislamu asiemuamini hana Imani ya kweli.
@@ahmadmzoa74mtenda miujiza mkuu katika manabii na ishara nyingi kupita kiasi.. huyo ni Yesu Kristo mnazareth.. yupo, aliyepo anatakaekuwapo !!
Mashaallah
Wewe unasoma maandiko vizuri Lakini unasoma kama gasetti sisi wakristo tunaongoswa na roho mtakatifu , nyinyi mfahamu yakwamba yesu ndiye mfalme
Mnachochanganya ni msikiti na Yesu
Yesu sio muislamu hata CK moja Wala Hana ukoo na waarabu Wala muislamu yeyote,
Ukiwa MSABATO utaelewa vzr Hila za waislamu wanavyodanganya watu ili wajiunge nao,
Yesu bwana 🎉
Yesu bwana we bibi?
KAH kumbe ni kweli kabisa yesu alipaa kwenda mbinguni
Migogoro ya Israel na Palestine mchonganishi ni YESU.😅
Cathoric na nmekusikiliza vizuri,umeeleza hasa maana ya dini,uwa nawaambia watu mfano ikitokea kuhama ukatoriki ni bora niwe mwislamu kuliko kua mlokole!!
Umeongea kweli. Quran imewaita nyie wakristo wa kikatoriki ni wachamungu kwasabab moja tu ndugu yangu, kwamba nyie mkiona ukwel mnaufata
Kweli hatA mm nikitoka uislamu Bora niwe Catholic and nothing else's
Kabisaaa
Sasa shehe Kwanza nakupongeza kwa kufahamu kuwa yesu alipaaa kwenda baba
😂😂😂 hiyo ndio Elim ya ki Islam sio wakristo wanao sema alisulubiwa msalaban kusoma hamtak kaz chuk tu
@@kutailass6671amini ya kwako uliofundishwa na sisi tuamini ya kwetu tuliofundishwa usitake kulazimisha watu wengine waelewe unavyoelewa wew😅😅
Munajisumbua maneno menji jesu ni rei(nfalme wa wote)👑👑👑👑👑
Bwana yesu hajasema
Alaaaah kumbe kipindi cha matatizo mnamkumbuka yesu, na kusoma biblia
We dokt Sulley kaa ukijua Israel nitaifa la mungu mungu atakupiga mapigo tisa
kwani Israel ni dini gani!!?
Kanga lingekuwa taifa la Mungu kwann linapigwa na binadamu soma vizuri dini yako acha uzuzu
We jinyamanziye wamtafsri wanavyojitakiya mimi simo
Acha udini wewe
Nisaidieni aindiko hivi kwenye bible wapi yesu kajitaja yeye kuwa ni mwana wamungu au yy ni mungu,maana naona wanaomsemea ni kina mathayo lkn yeye alisema nimtu tu
kasome yohana 17:5 5.
Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako.
Yohana 17:5
unachokitaka wewe ni sawa mfano, hakuna andiko mariam aliposema ,, mimi ni mama wa Yesu, , ila matukio kisa kamzaa ndo wewe msomaji unajua yeye ndo mama yake Yesu, ndo ninyi mnatak Mstari Yesu aliposema mimi ni MUNGU , , upo lakini ninyi waislam ni ngumu kuelewa,
ni pale yesu alipowaambia mafarisayo kuwa yeye yuko kabla ya ibrahimu ajakuwako, aliwaambia MIMI NIKO AMBAYE NIKO, wakachukua mawe mafarisayo wakataka wampige , kwanini walitaka wampige, kwa sababu, katika torati yao Musa alipomuuliza MUNGU nikawaambie wewe unaitwa nani ulienituma, MUNGU akamwambia Musa kuwa kwaambie MIMI NIKO AMBAYE NIKO, asa vizazi vya israel wakalishika hilo jina , asa wakasikia Yesu anajiita vile vile kama Musa alivyo mtambulisha MUNGU ,ndo maana wakataka wampige mawe maana wakajua Yesu anakufuru kwa kujiita yeye MUNGU kwa jina la MIMI NIKO AMBAYE NIKO,,
alafu kasome ufunuo wa yohana utaona alfa na omega ndo mwanakondoo, ambacho alfa na omega ndo cheo cha MUNGU, so mbinguni kuna kiti cha enzi kimoja tuu, ila MUNGU alivyojifunua kwa wanadamu kwa style tofauti tofauti tofauti kulingana na majira na nyakati, ila ukitaka kumkariri MUNGU ndo utamweka kwenye box kwamba utakuwa na mipaka kisa tuu umemkariri ,
so unaposoma maandiko jaribu kuyaelewa ila usikariri,
MUNGU huwaga anaangaliaga maagano yake aliojiwekeaga na manabii wale ili ayatimize , lakini kwenye kuyatimiza ana style tofauti tofauti za kuyatimiza sasa kwenye hizo style tofauti tofauti dunia ndo inachanganyikiwa , na ndo mapenzi yake dunia nzima ichangangikiwe ili imtafakari na ili yeye MUNGU atukuzwe kwa matendo yake makuu
Nisaidie andiko KWENYE Quran YESU AKISEMA hatakufa ila atapaa akiwa hai
quran mimi imekataa , mimi situmii quran, sio iman yangu , kama wewe ndo iman yako ndo ukasome , biblia na quran kuna vitu vimeendana na kuna vitu vile sensitive vimepingana kimaandiko , hasa kwenye ishu za kisa cha yesu , na visa vya majini na malaika , na visa vya paulo , na n.k
@josephwilliam5813 Sisi Quran maneno yake allah amesema hakusulubiwa wala hakuuliwa lkn alifananishwa nae,sisi hatuna wasemaji kama kina mathayo wanasema yesu mwana wa mungu,wakat yesu mwenyewe anasema mimi nimtu na njia ya mungu naifundisha katika kweli)hiyo bible sasa kati ya yesu na kina mathayo nani msema kweli?
@@binseif2216 kosome luka 1, Mwezi wa sita, malaika Gabrieli alitumwa na Mungu kwenda mpaka mji wa Galilaya, jina lake Nazareti,
27 kwa mwanamwali bikira aliyekuwa ameposwa na mtu, jina lake Yusufu, wa mbari ya Daudi; na jina lake bikira huyo ni Mariamu.
28 Akaingia nyumbani kwake akasema, Salamu, uliyepewa neema, Bwana yu pamoja nawe.
29 Naye akafadhaika sana kwa ajili ya maneno yake, akawaza moyoni, Salamu hii ni ya namna gani?
30 Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu.
31 Tazama, utachukua mimba na kuzaa mtoto mwanamume; na jina lake utamwita Yesu.
32 Huyo atakuwa mkuu, ataitwa Mwana wa Aliye juu, na Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Daudi, baba yake.
33 Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na ufalme wake utakuwa hauna mwisho,,
Je malaika gabriel , na si katoka kwa MUNGU au kwa shetani?? na kama je katoka kwa MUNGU, malaika Gabriel na dunia nzima nani anaakili, ??? kwahiyo yeye malaika Gabriel alivyosema mtoto atakuwa mwana wa aliye juu na atatawala nyumba ya yakobo milele , yakobo ndo israel, je malaika gabriel alisema uongo ?? na je hakutoka mbinguni kwa kutumwa na MUNGU?
Wayaudi warikuwepo mashaliki yakat ila alipo pewa utume mtume Muhammad tu ndipo wayaudi wakafukuzwa Kwa awakumiamini mtume Muhammad
Wewe unaumwa YAANI MPAKA YESU anaondoka hawakumuamini na hawakufukuzwa labda nikusaidie HATA WAO KWENDA utumwani MISRI MUNGU ALIWAFUKUZA na MUNGU amewafukuza na kuwarejesha HATA KABLA ya KRISTO IZO story za masheikh ZILIZOKUA na dalili ya maandiko
It's the Holy spirit that guide us in the Holy bible through the help of church tradition . Not history... Through Holy spirit. Using church fathers and tradition . Passing of un written word of God .
Isn't history a reversible function of tradition?
Always the records or history tells the truth ,we may ask our selves what and when was the initiation of those Islamic and Christianity's ideologies to deferent countries then that was the benefit to those who sucliffeced them selves to spread those ideologies to as.
Who wrought those histories found in Bible and Quran
Tatizo. Wakiristo. Wanamuita. Mutu anaeenda. Chooni. Mungu. Wakatialitumwa. Namungu. Na mungu. Nimmoja tuu. Jamani. Nayesu. Nimwisilam. Myatambue. Nyinyi. Waisilam. Tunaeelewa vizur. Kuliko nyinyi
Tupe andiko linalothibitisha Yesu alitabili huyo mtume wenu mbona hukutaja Maana Yesu katabiliwa na Manabii wote hadi Yohana mubatizaj huyo wa kwenu mlimtoa wapi mbona kwenye Biblia hayumo
Aubili Imani yake ya kiislamu ,,asimtaje yesu
Asimtaje kwasababu gani yesu kwa waislam ni nabii issa
Uislamu ulikuja baada ya YESU how msikiti unaouzungumzia umeutoa wapi? Weweacha uwongo.
ndugu msitukanane wala kutukana imani za wengine badala yake unapoona hapajakaa sawa weka hoja kutoka kitabu unachoona hakijatendewa haki na utoe ufafanuzi sio kutukanana.
th-cam.com/video/9f64YFwRc6c/w-d-xo.htmlsi=NOjsQFMHbBtDy2of
Huyu jamaa ni mrongo musa alikaa mlimani 40dayz yeye anasema 30 days shindwa kabisa
DU KWELI NYIE CHENGA😂😂😂😂😂
Walioanzisha matatizo yote ni Amina nan,mnadai haki zenu fuaten. Sheria
Shoga mmoja
Ni yohana 17 6....11 na wala sio mathayo ila juu ya yote upo sawa
Kumbuka anatumia kichwa
Wao walimtukana na kusema mtoto wa zina na kumsilubu
Amina
Hawakujua ..
Shehe anachanganya sana
Mwalimu unajieleza vizuri lakini bado hujapata ufunuo wa kuyaelewa maandio kwasababu sijaona popote katika Biblia ikionyesha Yesu Kristo kutabiri juu ya ujio wa Mohammad
Kasome bibilia vizur
Atakaejishusha atakwezwa . Na ataejikweza atashushwa
Wewe sule unataka Mungu akushughurikie maana naona umejishibia maharage kwa hiyo unabehua mpunga kama muuza tiba mbadala
Wengi wenu hamtumii hata akili .ungetoa Hoja ya kubisha kama unaona anapotosha bali Kazi yenu nikumbeza mtu lakini utambue hasara si kwake yeye kashafikisha atakae na aishike Njia ya sawa na aiache Njia pia atakae na hasara itakua juu yake
Quran ni kitabu cha majini sio cha Mungu
Shehe abacan ça
Shekh ameshiba wali wa maulidi
Acha dharau
Hiyo qurani tulisoma tukajua ni maneno mchomoko yaliyo chomekwa , wamekopy maneno Toka tarati na kujitafutia mtume fake . Mungu gani ambae hata mkiomba hampati zaidi ya machingu?! Israeli anavyo waburura na Mungu Allah anakula usingizi
Baba una kosea sio mathayo ni yohana 😂😂😂😂 umekosea apo
Umedanganya sule bwana yesu hajaelezea msikiti wakati huo palikua na hekaru, soma mathayo 24-1mpakakuendelea acha uwongo chukizo la uharibifu ni kuuwawa bwana yesu maana yeye ni hekaru
Sule acha porojo,hueleweki,muamini Yesu kama mimi upate neema ya ufalme wa mbinguni
Wewe shenz nyamaza hujui kitu
umejipinda doctor sule waambie ukwel wasio ijua biblia ongera shekhe
Ulipodanganya maneno ya mwisho
Yesu Kristo ni Bwana lakini hamtaki kumwamini na kumpokea ili awaoke. Sasa shehe siuokoke tu!
th-cam.com/video/9f64YFwRc6c/w-d-xo.htmlsi=NOjsQFMHbBtDy2of
Mungu wa Iraeli saidia watu wako
KWANI MMELOGWA NYIE. MKITAKA KUZUNGUMZA KUJITETEA MNATUMIA BIBLIA.. MNAAMINI DANIEL NA PAULO😂😂😂 ILA MKIANZA KUPINGA UKRISTO MNAPINGA DANIEL, PAULO, NA BIBLIA YOOTE INAKUA IMECHAKACHULIWA HII NI AKILI KWELI😂😂😂😂😂
Yani mnasoma na kufundisha msiyoyajua