NDOANO sehemu ya kwanza
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ก.ย. 2021
- Sifa ya mtu mwenye UPENDO wa kweli ni yule mtu anaekipigania kile anachokihitaji kisipotee katika HIMAYA yake, Ebu sasa jiulize tu! Wewe umefanya nini ili unaempenda na kumuhitaji asiondoke kwenye himaya yako?
- ภาพยนตร์และแอนิเมชัน
Umefanya kazi nzuri Ibrah The Don, tunasubiria sehemu zingine zifwatazo, mimi niko 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Tangu inaanza mpaka nimemaliza mengi nimejifunza 🙌twaomba muundelezo tujifunze zaidi 🙏ibrah thedon
Safi brother tunajivunia kupata ilimu na ushauri fasaha kutoka kwa kijana mwenzetu... Mungu azidi kukupatia afya na ilmu zaidi kuwasilisha jumbe zenye kusisimua na kuleta mafunzo kwa wana jamii. Thank you brother #ibrathedon #ndoano #manixAwadh more love from +254 (Kenya)
Ww mama mnene Nakupendaga sana wallah allah azid kukuweka inshaa allah😘😍😍
Mimi pia nampnda sanaaaaaaaaaaa
Yaan anaongea fact sanaaaaa na aanawezea part zake
Asante sana kungwi dume nimejifuza mengi sana
Asante sana kungwi dume nimejifunz mengi kupita movie zako izi mbili🙏🙏🙏
Nimempenda babu kwa kweli❤😂
Ata mm😂😂😂😂😂😂
Thanks 4 Apploding mob love From 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
😃 hhh huyu Mzee ni muigizaji mzuri sana hongera San ibrah
Huy mama bonge namkubali tok kw kina madebelidai 📌📌📌amenfumbua akili kwa maneno yake 🤤🤤🤤🤤🤤🤤🤤🤤
Hello guys, its my own hope that the whole entire your're watching this greatest movie of "NDOANO" from the Reborn "CHARLES STEVEN KANUMBA"Let us Give him full supports and Overwhelming power to step forward ever backward never .His Orign name Called IBRAH THE DON.......we have been waiting for long and several years after our beloved Actor Charles Steven Kanumba who passed away during 07/04/2012 at midnigt!....Every Citizen of Tanzania got shocked after bad news and people asked themselves who can make replacement??? But the year of today 2021 with the variation of -9 years after his death We got another Great person to replace the Gap whos is IBRAH THE DON!! Let us aks our Almighty to give him Power!.
I appreciate this guy called IBRA THEDON
The movie is so perfect but introduction is irritating especially to those are using earfone, what is braking glasses all about?
Mashallah Mungu awajalie utajir w afya daim ili muwez kutufunz
Naima somo yangu usikubali ukamtia aibu mama😂😂😂waah iko perfect 👌 Sana hii
Mashallah mungu akupe afya na elimu zaidi kaka Ibrah nzuri mno tunasubili muendelezo
Nawapenda sana jamaniii yani sijui nisemejeee.burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🥰🥰🥰♥️✌🙏🙏💃💃
Love you so much kungwi dume from kenya napenda sana mafudisho yako
Good job 👍 ibra the don mung akuzidishie ufaham Ili uzid kutufunza inshallah
Wallah nimeipenda na nimejifunza... Nawafatilia uzuli nikiwa UAE🇦🇪
Maa shaa Allah, nimependa maneno ya somo
Sanaaaaaaaa mimi pia nimeyapndaaa
mzee wangu kacheza kama pele, kiungwana kabisaaaa. ananikumbusha wazee wetu wa kale.
Saf sana iyo br,
Ninasubili sehem ya pili nakufuatilia san nikiwa 🇺🇲🇺🇸🇺🇸🇺🇸
Movie nzuri sana pia inamafunzo mazuri 😍
Filamu nzuri zaidi mafunzo mazuri Sana part2 please
Allah azidi kuwaongoza 🙏🏾💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽👐🏾👐🏾🤲🏾
Nimeipenda sana kwakweli
Mashaa Allah kazi nzuri na safii sana Yani imenivitia kiasi Cha kwamba nimepata mafunzo ambayo sikuwa najua na kuelewa jinsi ha kukabiliana. Nayo maana hii fillm ni maisha yangu kabisa ya ndoa matupu shukran sana kaka kwa mafunzo yako
Nzuri sana love from Burundi😘,Respect bro
NYC BROO BIG UP SANA NAKUCHEKI NKiWA KENYA PAMOJA SANA
Mashaa ALLAH ibrah,nilikua kila siku naomba mungu akupe ujasiri utengeneze moved kwa sababu ninajifunza mambo mengi kutoka kwako kaka ,nilijua ukituekea moved angalao ya dakika 30 tutafaidika na mafunzo yako atimae mungu kajibu maombi yangu ,good job bro mungu azidi kuku simamia kwenye kazi zako uzidi kutufunza in sha ALLAH
Insha Allah nipo kwa ajili yenu.
@@ibrahthedon mungu akubariki akuondolee husda za waja
Uyu babu noma sana mze wakuunganisha
Ibraaa the doon vizuri brother,babuu kiboko 😂😂😂
Jamali from burundi &tanzania &Oman i'lick Holl vidéos of ibrah the don
Ujawahi haribu,nampenda sana mama huyo
Honestly today I learned a lesson ❤
MASHA ALLAH. ALLAH AWAHIFADHI AMIIN. NIMEPENDA MANENO YA SOMO ❤❤❤❤ ELIMU TOSHA. SHUKURANI SAN 🙏🙏
Honestly this episode a lesson
Hahaha babu katixha sana alivyompambanixha jamaaa na bint
Uyo mama mtu nampendaga sauti yake ya upole... ! Anajua sana
Hakika umecheza umetumia skills kubwa sana endelea na simama kwa ukiaminicho big up one step ahead.
Safi sana kaka ibra mungu azidi kukujalia afya tele na baraka uzidi kusonga mbele
I really like you Ibrah hua unanijenga sana kimawazo keep it
One of the greatest lesson that we can learn from,am greatful have gain same tips that I can empliment in my relationship life.
Nzuri Sana love from Kenya in lrag 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Nimeipenda Sana big. ap Mzee baba nimeipenda
Mtoto wa mama bonge nimependa alivyompa maji yule kaka kaonyesha nidhamu ya hali ya juu wallah nimependa ,ndo hapo inaonyesha kuwa amefunzwa na wazaz
Sinema nzuri sana hongera
Babu umenifurahisha😂😂
Movie nzuri sana
Nice one 👌👌 waiting for 2
Huyu kungwi nlimuona kwa madebe yuko vzr sn
Mama napenda sana usia wako
Asante sana hongera sana Kaka Ibraah.
Hakika mama alimpa binti yake elimu ya kotosha jinsi mbavyo mwana ndoa anastahili kuwa.
Aa iko vizuri san pambaneni kwa my wa that
I really love you from my heart dony God bless you all the time
Nkbl mr. Ongera sana kipaji
Bro nakukubali kinoma nasubiri mwendelezo
Love from usa 🇺🇸 😍
Courage vraiment
Wa kwaza like za kutoshs
KAzichema.nakukubali
Hingera Kaka nasubiri muendelezo you inshaallah.
😂😂😂😂😂😂aki uyu Mzee kiboko
Mashaallah movie nzuri
Mafunzo mazuri sana
Mimi ndio nimecelewa kanzi nzuri big up sana
Babu kama babu bwuanaa💪💪🤣🤣🤣
Babu kibokoo hahahahhahahhhahaha
Babu yuko vizur 😊😅😅😅
Asante sana my brother from another mother
Naisubili
Mashallah 🎉🎉🎉🎉
Good story
Am waiting
Uzuri wajeneza haupendezeshi Maiti
Yaani duuuh
move nzr xana inaelimisha jamii kwa kweli
Bora Kama umeanza kutuwekea huku, tutakuwa tunaangalia Sana kk
ibrah the don be blessed unaelimish sana
Asante mr
Nkbl san ibrah the don
Asanteni kwa elimu twaendelea na sehemu ya 2
Jmn raha sana nzr kk ibra
Movie nzuri iliyojaa mafunzo
Vizuri yan
Babu kama CHAMA JR anafunga na anatoa assist
Bro ibra movie nzury lkn sauty kwingine ndio haickikii
God bless you 🙏🙏
Babu anajua kupambaaa....
Ka Ibra nataka huyu mama aje kunifunda nampataje
Waiting
Movie nzuri sanaaa
Filam za vijijin nazipenda
Dua nene mwanangu #ibra the don
Maneno ya somo nimeyaelewa pale mwanzon ,mashallah
Babu na mhukuu 😂😂
Sijangaliya Yote ila inaonyesheya imetisha
Ninzuri Sana nimeipenda
Ma nsha Allah
Nzuri sana ibrah
Nmeipenda jamani, uhalisia 100%
kazi mzuri
Nzuri ☺️
Ibraah fundi
Sauti mwishoni
Duuuh move Kali Sana kaka