"KUNGWI kakupa mzungu huujui maana yake mfate akakwambie maana ili uondokane na usungo, Siku zote mwanamke mazingira jambo la kwanza ni kujipenda na ndio maana ya pambo la nyumba"
Kuna jambo nataka niliseme mm kama mtto WA kiislamu..ni aibu kubwa mtto WA kike kukaa mwili wazi mbele ya mwanamume asiekua halali yako..hapo Huyu mtto wa kike anayefundwa angestiri mbele ya Huyu kungwi dume.sbb wote hapo Naona Ni waislamu
Anae isubir kungwi dume tujuane gonga laik hapa
Hawa wabibi wawili wananifurahisha sana. Nawapenda .mungu awatunze
Tunajifunza mengi kwa kweli wenye hatujafundwa❤❤
Mashallah kwakweli tunaelimishika kaka Allah akupe Maisha marefu na akure hitaji lamoyo wako umetuangazia mwanga ulofifia machon kwetu
Kuna jambo nataka niliseme mm kama mtto WA kiislamu..ni aibu kubwa mtto WA kike kukaa mwili wazi mbele ya mwanamume asiekua halali yako..hapo Huyu mtto wa kike anayefundwa angestiri mbele ya Huyu kungwi dume.sbb wote hapo Naona Ni waislamu
Bwanaharusi hongera sana zai limekushuka shuu 😢😢😢😢😢😢
Zay kawa mdg
Limemshuka kidogo basi 😂😂😂😂 uso ushamshuka aibuu🤣🤣
Haki kungwi shukran sana najifunza mengi mungu akulinde akujalie maisha marefu yenye baraka
Tunaingoja kwa hamu leo wakwanza jamni
Kazi nzur sn naamini kupitia kungwi dume vijana tutajifunza mng ili tujenge familia yenye misingi bora
Masha Allah tabaraka Allah. Allah Akuifadhali Akupe maisha marefu insha Allah
Mungu akupe maisha marefu kaka
Zai harusi ingekufa ungecheza saa ngapi hiyo miuno limekushuka shuu😂😂😂
Nimewapenda san haw mabib wawili wako 🔥🔥🔥😂
𝐵𝑖𝑏𝑖 𝑎𝑛𝑎𝑗𝑢𝑤 𝑘𝑢𝑙𝑖𝑎😂😂😢😢
Namimi nimo namsubilia kungwi dume kwa hamuuuu❤❤❤❤❤❤❤
Magrand big up sana mungu awaeeke ukishapika ugali usiache mwiko na uchafu
Qatar moja nasubir kwa hamu zote
Tunaisublia kwa amuuu jamen ijayo congratulate kaka ibrah🎉🎉🎉
Maashaallah Mungu azidi kuwaongoza vema pia tunayojifunza tuyafanyie Kazi shukrana sn Ibrah the don
Nime jifunza mengi kungwi wetu asnte sana🙏
Jamani wacheza kigoma wamepatikana uwii😂
Wapili leo jamani 🎉🎉🎉❤❤❤
Aah dada umenikosha na hiyo nyimbo jmn😘
atareee 🥰🥰
Kungwi njoo Mombasa unifunze na mmi❤ MashaAllah
Wallai tenaaa
Zai mauno yote hayo kama sie wew uliokua wataka kuvunja ndoa ya mwenzio
🙏kungwi dume tujifunza meng kupitia ww mwenyez mung aendelee kukuweka
Kuna ingine ili ni ruka kungwi mashallah mashallah Habibi asate sana❤❤❤❤
Asante San ibrah thedon nimejifunza mengi San mungu akubariki🙏
Waoooo usichelewesh mwendelezo kaka ibra kwakwel unanifunza mengiiii piiia
😂😂😂😂😂😂 hongera sana ila hao walio taka kuvuja ndoa 😏😏
Lete mzigo naungoja kwahamuu👌😍kungwi anamalolo sanduku lamtatiza nimependa jamani zai kusikia jina labwana harusi wanakanyagana imeishaa iyooo😝😝😝😝👌😝
Asante tunajifunza mengi
Kungwa tunae mashallah endelea kutupa somo
Kazi nzur mashallh mme jitaidi Sana washiliki Utasema ni kwer😊
Huna Baya Kaka masha Allah kazi nzur san😍😍
Hongera zako Sengo na baba Sengo naona amedamsh kwa suite kungwi dume ni hatari pokeeni 🎉🎉🎉🎉
😀😀😀
Kwani kungwi dume ishaisha nimeisuburi sanaa iyo ingine aitoki yaelekea mwezi sai
Kungwi dume good job ❤
Mashallah nzur sn❤❤
Nakupenda kaka ibra ningependa uwe kungwi wangu
Inachelewa muendelez jamn tatizo nn kungwi wetu😢
Natamani kwenye arusi yangu uwe kungwi wangu♥️♥️
Mwaka wa ukiolewa ntakutafuta kaka yangu
Mama watoe awo sio wanhu wed awo wandee kwakwei hataimi wazaniuz yani
Ma Shaa allaha ❤❤
Ndio utakoma umbea zai wacha roho ya kinafik
Bibi anavituko🤣🌹
Ila sengo alikuwa amedekezwa sana et naenda kumwambia baba badara angemramba makofi.
Huyu zai si alkua akijifanya kuongea sasa kanyamaza kama bubu😂😂😂
Kaz nzur sana tunaelimika sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hakiamungu hii wafi ya kazini leo kwli nimeitendea hakiiiiiiiii, wanaume tunaofuatilia hii kitu tujuaneee
We kaka unatisha hatari❤
Halo mafuzo yetu na mie wa tano leo
Another one pliiiiz 🎉🎉
kaka mimi naomba kuuliza huy bibi asiyevaa miwan ni kungwi kweli maan kaz anaijua pia anasaut ya kuimba
Harusi imefana mashallah hadi natamani🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂
Hongera lbrahim ❤
tujuwane turiyokuwa tunaisubiri
thank y'all great job
Harusi imenitamanisha kuolewa 😂
Zai kijora ni chakuenda kuomba msamaha kwa kina biharuc😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂𝑏𝑜𝑟𝑎 𝑎𝑘𝑎𝑐ℎ𝑒𝑧𝑒 𝑘𝑜𝑔𝑜𝑚𝑎 𝑡𝑢
😂😂😂😂😂asanta nakubali sana ❤❤❤
Hongera sana.......
😮 mwanamume havai kanga😅 astahili avae ki koi..
Bas njoo nauku utufudishe ❤❤
Jamani MBNA mnachelewa Sana kuleta kungwii tunasubirino
Kipind kizury c utaniii mashaallah kaka ibrah
Asante broo mungu akubarik
Honger zrenu mabibi
😂😂😂nilikuwa sijawahi ifitalia najifunza
❤❤❤❤❤
Jaman mabibi nawapenda sanaaa
Hongera bwana harus
❤❤ Mm inanibidi nifulai 2
Ongera sana kungwi dume iimeenda
Kaka Asante nimejifunza
❤bibi ake na harus yukovzr harusibemenda shule
Hadi raha jamani❤❤
Duuh wavunjaji ndoa 😅😅😅
Yani ukiona iyi movie somo Hana jipyaaa😅😅😅😅 kabisa
,,😂😂zai anayakata mauno km co yy😊
Jmn awa mabibi na tungo zao
hatareee😂❤
Wakaka wacheza miuno hawo sio poa😂😂😂
Hatimae ndowa imefungwa zai limemshuka 🤣🤣🤣🤣
Hongereni sana wote
Najifunza mengi kupitia kaka Ibra
Asante kungwi
Kungwi huyo kungwi huyo ❤❤
Kaz nzur kk ila boresha camera zak mkuu 🙌🙌
Wabibi wameigiza vizuri hadi nimewaogopa
Kungwi dume hoyeeee😂😂
Baba mwali suti imetokea UK 👌😝😝😝
Wasambaa tujuane jamani nainjoi sana kusikia lugha yangu
Tupo🤸🤸🤸
Mwisho wa ubaya Aibu umbea haufai jamani
Nasubir kw shauku
Huyu mama sikitu kanikumbusha mama yangu siku Ile analia bibi alikuwa anamcheka😂😂😂😂
Mabibi harus watarajiwa tunajifunz #kungwi dume
Wataaaatuu
❤ivi nani kamuona bwanaarusi na simu yake akichukua video😂😂😂 kazinfua😂😂
😂😂😂
Kungwi dume ni mmoja tuuu fa masiala nini