MAMA MKWE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ต.ค. 2024
- Hakuna upendo wa kweli duniani kama upendo wa mama, Lakini ni mbaya zaidi kuona mama yako ndio mtu pekee anaepambana usifanikiwe kwenye maisha na kupelekea kutaka kuiangamiza familia yako. Je, mama mkwe atafanikiwa kuiangamiza familia ya mtoto wake?
- ภาพยนตร์และแอนิเมชัน
Duuuuuh nimelia na kilichotoea Jaya yapo na baadhi ya nyumba nyingi zinaharibika Kwa matatizo ya kichawi.mungu simama nasi🙏hongera sana Kaka kazi nzuri yenye kujifunza
Ndiyomana tunaelekezwa kufanya dua kabla hatujalala, ukilala kama mzigo bila dua lazima wanga wakutese. Kazi nzur ma'ashallah
Kweli nakusali hasaaa
Big up sana IBRAH THEDON kazi nzuri bro tena nzuri sana uweza nakubali sana.
MWINYIHAJJ from kenya mombasa 254
Has always ibra will make a good jobmy brother
Ongereni sana wapenz kwazi yen zuri sana mubarikiwe wote ❤️❤️❤️❤️ kungwei dume nakuaminia kaka🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣una machozi kama yote
Kazi nzuri mashallh
Wueeh mm kama hivo Ndoa siwezi najitoa
Daaah hongera kwa kazi nzuriii unapitia mulemule ya dunia yetyyuu
Waaaa kumbe uchawu iko ivi❤❤
Ibraah shukran sana kwa mafunzo
Ndo mana Mara nying huwa likini fik jambo sikimbiliyag kwa mama yng alhamdlillah man najua sana ata mama anaweza kudhura mwanay wa kuza tena bila uruma kbs daaah akun kitu kina uma kama icho wallh 💔😩
Ukisema hivyo unakosea maana sio wamama wote wanatabia hizo muamini mama ako
Nakupenda nishinda ata wali nyama bro 😀
je suis en R.D.Congo🇨🇩 𝙈𝙖𝙣𝙞𝙚𝙢𝙖 𝙆𝙖𝙨𝙤𝙣𝙜𝙤
dah iko poa congratulation msee
Kisukar teena ha ha Asante kaka ibra
Shukran san ka ibra we ninoma kaz nzur dah hongera san kwa mafunzo
Congratulations Ibraaa thedon good film
Nzuri sana Asanteni
Lovely bro 🎥🎥🔥🔥🔥😊🥰😍🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Movie nzuri sana
Nzuri sana 🙏🙏
Nakubali thedon 👍
Mambo ya wachawi ni magumu kweli" mpaka watoto wao?
Nzurii sana
Jamanii inaumiza sanaa ila nimejifunza kitu kikubwa asante kaka ibra🙏🙏🙏
Imenikosha iyoooo 🔥🔥
Mashaailqah kazi mnzuri jamani
Jmn. Mam huyuuu
Eeeee Mungu wangu nisaidie, maana mmmm
Kazi mnzuri jamani ongereni
has always; Ibra will make a good husband in really life.
Nzuri sana inafunza
Huyo dada aliyeigiza kama mke wa Ibra si ni yule rafiki wa Angela aliyekuwa konde gang?kumbe unakazi ya kufanya sasa yanini unapita kila media kumsema Angela kama vile huna kazi ya kufanya?au ndio ule usemi tabia haina dawa 😉
😂😂😂😂😂 yani anataka umaarufu
Enheee pia mm nlikua nawaza nlimuona wapii kumbe 🤔🤔
Ndio ni yeye
Ndo yeye
Nzuli sana
Daaah jamani 😢😢😢
Better story
Cool kk
Eeeh Mungu wangu duniya
Safi DON
Fungueni ni nzuri Balaa
Sauti
Nzur ataliio
Hii ni nzuri
Nami natamani kuigiza naweza na najua sijui nitakupataje kiongozi
Funzo
Courage pour tout
Someni nahii,KATIBA mpya na tunataka bandari yetu
Mama mkwe kwangu huna nafasiiiii😂😂😂😂
Hhhhh wasema hutaki ata kumuonaa
🤣🤣🤣🤣🤣
Sa itakuaje Baba mkwe
@@tatuiddy226 Baba mkwe hawez kwanz Baba mkwe hawez fanya hyo Mambo😂.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nzuri
Mwenyewe nasumbuliwa ila dawa yao Ina chemka
Kanzi mnzuri kwakwwri
Kweli mchawa hata mwanae
Omulimu omulunge
❤️😍
🙏🙏🙏🙏
Thedon🙏🙏🙏🙏🙏.
napenda sana ushauli wako
Rangi ya filam hatujaipenda
Yani huyu mama anawafanya adi watoto wasitafute wajukuu muda wote yupo chumbani kwa watoto tu jamani
No yeyr huyooo
Yani anaacha kwenda kuwanga Nje anamuwangia tu mwanaye kweli wachawi hawana akili
Mwisho wa ubaya aibu
Mwisho wa ubaya aibu kafedheheka kweli
Ibra hakuna kamawewe ilove uuu so much
Asate sana
Hongeleni sana nimeipenda❤❤!!
Mwisho wa ubay n aibu
💞💞💞💞
👌👌👌👌👌👌
Jamani wewe mamaa kweli uko saw jamani
Mmninge amka nae huyo mama
Mbona inagoma kufunguka
😀😀😀
hiiiii nimeipenda
Omulimu omulinge
Omulimu mulunge
Ibra na huyo dada hafai kabisa kwenye kundi lako alitukera na ukosefu wake wa adabu kutwa kumchafua mwenziye na kamjibu
😂😂😂😂 mbonaa kisukari
Omuli omulunge
Aifunguki kwa nn
Nimambo ya live 😀😀😀😀
Mambo hadharani
@@slama1s109 achanione mana kingwiiii imenifunza nikalikika kasaaaa
Ibra kitumbo icho piga zoez
Kweli mchawi hana akili maneno yawa ugwana we uroga mwanawo siujinga huo jamani
Nzuri sana
Omulimu omulunge
Omulimu omulunge
Omulimu omulunge
Omulimu omulunge
Omulimu omulunge
Omulimu omulunge
Omulimu omulunge