ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
MBILINI Sehemu ya Kwanza (1)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 พ.ค. 2022
- Mbilini ni filamu ambayo kwanza imezingatia Utamaduni halisi katika masuala ya Kijamii,kutana na binti kidole ambae aliolewa kwa sababu tu amebarehe ila anajikuta katika wakati mgumu baada ya kutaka kutoka kwenye Ndoa hiyo..!
Right on time, nawakilisha Kenya kama jirani mwema. Napenda sana kazi zenu
As'sallam Allekum vp hali wanafamilia .nawapenda sana kwa ajili ya ALLAH 🥰🥰🥰🥰🥰
Akupende pia yule ulietupenda kwa ajili yake
Asante sana madeb
Waalkm salam akupende pia kama ulvo tupenda kwa ajili yake.
Mamb ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 kipiza mambang
Jmn hii nyimbo inayoimba humu ni nzuri
ahsante madebe hujawahi.kuniangusha Allah.akufanyie wepesi
Jaman madebe hana kazi mbovu na vinyimbo vyake vizuri
Jmn nikuliwa nahisubili kwa hamuu hiii asante kakaangu madebe ridai kwa kz mzur 💞
Asanteeee Kwa ujumbe wenye kugonga nyoyo. Part two lazma iwahi kuwekwa mapema tuzidi kufurahia kilichokua bora
kazi njema ila huu mda,kiduchu mno banaaa
Madebe lidai nakubali kazi zako upo vizuri sana 👏👏👏👏💯💯🔥🔥🔥🙏🙏🙏
🔥🔥🔥🔥shuqran madebe kwa kazi nzuri .
Safi sana Anty Asha Mzese
Nilikuwa nimeisubiria sana....representing Kenya
MBILINI ina meng san twashukulu madebe kwa kazi nzuri 🔥🔥
Napendaga nyimbo jamniiii 🥰🥰🥰❤❤
Mkwaju sehemu ya tatu iko wap jaman nzuri sana
InshaaAllah mungu atupe umri n tufikishe hy siku salama twajuwa huna ngoma mbaya
👍🏿👍🏾👍👍🏼👍🏻👍🏽💪🏼💪🏼 hapa sas naitaji mwendelezo
Mambo Ni Moto Mambo Ni 🔥🔥🔥🔥🔥
LETE NYENGINE PIA IONGEZE MUDA
Kazichema napenda sana mov zenu ndaniyake Ku n'a mashauri .🇨🇩🇨🇩
Duuuu.!!! good brother
🙏 liengo lyambone amadebe lidai jipingawa filam janmbone 💪💪🙏🙏
Tunakushukuru sana kutuletea huku kaka Madebe... watching from South Korea.. nakupata vizuri
Where in south Korea, which city ?
Nawapata vizuri kutoka Kenya
Am in love with you movies madebe❤🎉
Wewe sio msani wa katiako,Sisi tulioko yakutia na twakuangalia na tunapenda kazi zako nzuri
Fundi wa mafundi lidai juu
Tunakubali saana kazi zenu! Tunasubiri kwa kina saana....
Notifications on
Aweeeeeeeee🔥🔥🔥🔥
Mzee movie zako nakubali
Tokoss 🇨🇩🇨🇩
Kaza nzuli San ss muendelezo tunaupataje
best actor in easg africa madebe lidai
Apo sawaa
Good job madebe am from kenya
Hizi nyimbo za movies zako madebe.basi tuu!
Kazi nzuri sana madebe muendelezo
Nimengoja kwa muda
Jamaaa kiukweli yupo vizuri
Najuwa huwa ukosey 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Wewe ndo msanii unaenifanya nijisikie fresh 🙏💞
Lini mwendelezo mwanenetu,kz nzuri saana
Najua broo uwezi kutuangusha tunaisubiri kwa hamu sna.
Banae
Nzuri MBILINI,,😍
Utamu wa asali ulambe, kazi nzuri
Kaz nzuri sana madebe lidai mungu akujaalie
Jamani nimeipenda sana nyimbo
Kaka madebe napenda kazi zako VIP naitaji naface
Daar nilimiss Sana kazi kazi nzuli
Nakubali sana
Tunao angalia mbikini 2023 tujuane please kwa like
🔥🔥🔥 kazi nzuri yenye mafunzo ndani yake...
Kazi safi madebe ,,, shukran kwa mafunzo yako unaelimisha jamii sana ....#kenya
Wee twakupenda Sana madebe
VP kiongozi MADEBE filam zako nazikubali sana mana unaelimisha jamiiiii. Ila kaka mbona safari hii imekuwa fupi mno na itakuwa inaendelea Siku gani niwako funds wako
Anaetunga hizo nyimbo asee daa....pongezi zangu zimfikie huko aliko.
Keep it up. from Congo 🇨🇩 🇨🇩
Kaz mzr🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Madebe hunaga kz mbovu haya ngoja niichek😍
Keep it up 💪
Maishaallah madebe kutuletey muvi nzurisaan
HAUNAGA KAZI MBOVU 👏👏👏
Kazi nzuri yenye mafunzo kbs
Bro unaupigaa mwingiii aseeeeeee 💕💕
Nawakubali sana👏👏
Hio wimbo yenye inaimba apo ni nzuri sanaaa
Yeah hakuna umaskini wa milele,nakumbuka jamaa Rasta kwenye shupa na shupaza
Big up sana madebe lidai kwa kazi nzuri yenye mafunzo unastahili tuzo
Vzr sana madebe🔥🔥🔥
daah respect saana madebe movie zako zote hujaway niangusha zinaelimisha jamiih allah akupe umri mrefu ili utimize malengo yako
nomaaaaaa
Nina swali Mr. madebe Lidai, Hivi Kenya utakuja lini utushirikishe ingawa kiswahili cha huko kigumu ajabu
Tumezoea kukuona una Rasta mzee baba
Nakukubari sana madebe natoka Burundi
Kazi nzuri sna kabisa
From Kenya 🇰🇪. Twende nalo
Najuwa sija chelewa ila ongereni sana wapenz kwakazi yenu zuri sana mubarikiwe wote ❤️❤️❤️
kazi nzuri Lp
Mbela upo vizuri sana kaka
Nakubali kazi nzuri 👊👊👊
Yani hizi movie zako nikiziangalia Naridhia maana content yake ina kila kitu
Waigizaji wanajua,sauti haziingiliani,story Nzuri
Much appreciation to you braza
Aisee Madebe salute bro unatishaa 💥💥
nabii mswahili ishi maisha marefu
Tupo mlete mwanao mwanao mwanaisaya usojua maisha
Big ups following whatever u do joining u soon from kenya
Filamu nzuri sana
Nakukubali sana madebe na nilikuwa na amu sana kwahii filamo🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 gostei muito de historia
Vip hii mbilini hakuna sehemu ya pili kweli mahana daaa
Hiyo ni noma sana
Ajapita siku bila kupitia TH-cam ya madebe big up my brother
Madebe unatisha xana.i love your movie
Mansha'Allah
Mtotowakununua
Uyu madebe anactahiki tunzo from Kenya 🇰🇪
From Kenya good work
Asate sana
Kazi nzuri
Nakubal
kwa uongoz sehem ya pili uludiwe mapewa
madebe nakukubari sanaa