MZEE ALIVYOMKAANGA MKURUGENZI KWA MAGUFULI, NUSURA ATUMBULIWE!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 87

  • @kennedythuo891
    @kennedythuo891 4 ปีที่แล้ว +11

    Am Kenyan but u Tanzanians thank almighty for such a leader.

    • @amoremimik5270
      @amoremimik5270 4 ปีที่แล้ว +2

      Kennedy thuo I second you

    • @victorkyalo78
      @victorkyalo78 4 ปีที่แล้ว

      Am a Kenyan but I like the way Ur are leading God's people Tanzanians

  • @imanluela6763
    @imanluela6763 4 ปีที่แล้ว +63

    Kama unaamini kuwa nchi hii imepata kiongzi wa kweli na kidume cha kazi gonga like

  • @davyndila1241
    @davyndila1241 4 ปีที่แล้ว +1

    Huyu mzee ni baraka kwa Afrika, aki Kenya Mungu atupe mumoja kama Baba Mangufuli . I LOVE YOU DAD🏆.

  • @drukundo4276
    @drukundo4276 4 ปีที่แล้ว +2

    Watching from Burundi 🇧🇮 Am proud to be African this guy inspired me to become president in future for real

  • @jamesmusomasiojakababa1587
    @jamesmusomasiojakababa1587 4 ปีที่แล้ว +2

    A hands on president who goes to the ground to find out the citizens problems and gives a solution instantly.a rare species Tz thank God .

  • @captenndunga6199
    @captenndunga6199 4 ปีที่แล้ว +20

    Maji yalikuja na mwenge yameondoka na mwenge.

    • @idayagangs124
      @idayagangs124 4 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @henriqueswindo754
      @henriqueswindo754 4 ปีที่แล้ว

      Iyo kali

  • @salimzaidi9203
    @salimzaidi9203 4 ปีที่แล้ว +18

    Hahaha hahaha eti we acha ya oyee uwiii tumbua baba hilo jipu mungu akulinde rais wangu

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 4 ปีที่แล้ว +6

    Hapa kazi tu!! Rais Magufuli hataki mchezo mchezo!!!

  • @rukiamohammed5031
    @rukiamohammed5031 4 ปีที่แล้ว +8

    Yn km ntakosa kurud mwakan kumpa kura yangu magufuli yn ntajilaumu Sana na roho itaniuma Sana uhai ukiwepo inshaallh

  • @mwanaidiamanzi7187
    @mwanaidiamanzi7187 4 ปีที่แล้ว

    Hata peke yangu ntachagua baba mungu akubariki Sana🙏

  • @jamilaomar9860
    @jamilaomar9860 4 ปีที่แล้ว +16

    😁😁😁😁 mama magufuli toka nje wakuone

    • @ashasaid1207
      @ashasaid1207 4 ปีที่แล้ว

      Hahaaaaaaaa mangu oyeeeeee

  • @jacobmahenge8018
    @jacobmahenge8018 4 ปีที่แล้ว +7

    magu ni moto

  • @jumamakuri3218
    @jumamakuri3218 4 ปีที่แล้ว +7

    Hii Ni serikali ya MWENDOKASI!!!!! SIO STORY!

  • @paskalrichard237
    @paskalrichard237 4 ปีที่แล้ว +2

    We unatakiwa uiongoze tanzania mpka mwisho wa maisha yako

  • @imanluela6763
    @imanluela6763 4 ปีที่แล้ว +5

    Nashangaa watu kama viongozi waliopita ilkuw kila Siku wao nikusafiri tu kwenda ulaya kuombaommba misaada ,kumbe walkuw wanaongeza matatizo bila kujijua,,inchi hii haitaki viongozi wa starehe au masharo inataka watu wakuzungikia mikoa yao na kutatua matatizi basi na sio safari za uraya kwenda kutuzaririsha kW kuombaomba misaada

  • @shaabaniali9816
    @shaabaniali9816 4 ปีที่แล้ว

    Msema kweli ni kipenzi cha mungu

  • @selesaid4367
    @selesaid4367 4 ปีที่แล้ว +1

    best president in the world , my father Mhe Dkt Magufuli love you

  • @mrope348
    @mrope348 4 ปีที่แล้ว +4

    Hili ni tatizo la nchi mzima, kiukweli mzee baba umezungukwa na maadui sio watendaji wenye MOYO wa kizalendo.
    Wengi ni wapigaji na pretenders

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 4 ปีที่แล้ว +2

    Hawa watu wanakuwa wameshaandaliwa nini,mbona mkuu kasema "nimeona kunaswala gumu kabisa hapa ambalo hamtaki kulisema"??

    • @yudatadeshayo4434
      @yudatadeshayo4434 4 ปีที่แล้ว +2

      Raisi anakuwa na tips tayari habaatishi

    • @shadyachambo4253
      @shadyachambo4253 4 ปีที่แล้ว +1

      Raisi ana wapelelezi wake kila kona

  • @judithmelvinealuchio8968
    @judithmelvinealuchio8968 4 ปีที่แล้ว

    Tanzania you have a best president for real I wish I was born in Tanzania Kwa kweli

  • @sapduke8691
    @sapduke8691 4 ปีที่แล้ว +1

    Ukichezea uongozi wa Mr President Magufuli, utajikangaukia wewe mwenyewe!

  • @abdulkingu5113
    @abdulkingu5113 4 ปีที่แล้ว +1

    ​@_6fE
    HII NDO KASI YA MAENDELEO

  • @jacksonwahomemuthui2687
    @jacksonwahomemuthui2687 4 ปีที่แล้ว +2

    Nakuomba Mtukufu Rais. Kipindi chako kikikamilika Tanzania, Njoo tukuchague rais wa Jamhuri ya Kenya.

  • @hasanimikeyo8893
    @hasanimikeyo8893 4 ปีที่แล้ว +1

    Jamani watanzania mmepata rais inchi yangu ya congo 🇨🇩🇨🇩 tukipata rais kama uyu nahisi inchi inaweza nyohoka

    • @felistamashinga123
      @felistamashinga123 4 ปีที่แล้ว

      Asante sana kwa kuliona hilo

    • @mrope348
      @mrope348 4 ปีที่แล้ว

      Nyie pia mmepata rais mzuri cha msingi mpeni muda na ushirikiano yote yataenda sawa

  • @henrybusi2213
    @henrybusi2213 4 ปีที่แล้ว

    Kama kweli sisi Kenya tungefanyiwa jinzi magufuli anafanya ufisadi Kenya ungeisha,pongezi Raising was Tanzania mungu akulinde.

    • @hjhj6230
      @hjhj6230 4 ปีที่แล้ว

      Amiin

  • @cosmasemmanuely4659
    @cosmasemmanuely4659 4 ปีที่แล้ว +1

    et ya hoyeee wachaaaa

  • @cosmasemmanuely4659
    @cosmasemmanuely4659 4 ปีที่แล้ว +5

    Huyo ndio maguuu

  • @ibrahimrashid8676
    @ibrahimrashid8676 4 ปีที่แล้ว +6

    Nachingwea oye raia wamemchunia

    • @fatemaligalawa4151
      @fatemaligalawa4151 4 ปีที่แล้ว

      Nachingwea wanajielewa sio as wa Ruangwa tumefumbwa midomo

  • @agnesijohn3079
    @agnesijohn3079 4 ปีที่แล้ว +1

    Nikawaida. Yao maji yanakuja namwenge yanaondoka. Namwenge

  • @princepaulnkono5341
    @princepaulnkono5341 4 ปีที่แล้ว +4

    Tunajiandikisha kuchagua wenyekiti wa vijiji ,madiwani na wabunge kwishaaaaaa, urais mpaka Magi akome kupumua.

  • @fauahamisi1097
    @fauahamisi1097 4 ปีที่แล้ว +2

    Hii ng'anya cjui itakuaje

  • @hassanabo4214
    @hassanabo4214 4 ปีที่แล้ว +3

    hahahahahaaa ya oyee acha

  • @sapduke8691
    @sapduke8691 4 ปีที่แล้ว

    Sisi Ndugu zenu Wakenya tunawapenda saba ndugu zetu wa Tanzania na viziwani.... Tunampenda sana sana Raisi Magufuli ......Tanzania brothers and sisters you are one lucky people... Support Magufuli accordingly!

  • @munguaibarikitanzanianawat9254
    @munguaibarikitanzanianawat9254 4 ปีที่แล้ว

    Mimi nakupa pole raisi wetu kwani kuwa kionfozi pia ipo kazi ngumu nakuaminia sanaa pole na majukumu yetu unyo yapitia

  • @thuvakonde2584
    @thuvakonde2584 4 ปีที่แล้ว +4

    Eti ya hoyee wacha 😂😂😂😂

  • @selesaid4367
    @selesaid4367 4 ปีที่แล้ว

    i love him my father , huyu ni baba yangu

  • @umunafisa7060
    @umunafisa7060 4 ปีที่แล้ว

    mzee mbona hukanyagi mafia ivyooo

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni4258 4 ปีที่แล้ว +3

    Aibu kweli inaonyesha jinsi gani Mkurugenzi hafanyi kazi yake vizuri maana raia hawataki hata msikiliza jipu hilo lina itaji kutumbuliwa haraka iwezekanavyo

  • @mnerostationeries1113
    @mnerostationeries1113 4 ปีที่แล้ว +2

    Nachingwea imechomoa betr.Mzee umetuwakilisha wana nachingwea

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 4 ปีที่แล้ว +3

    Wapigaji wengi mno mamilioni yanatajwa ila kinachofanyika uongo mtupu ulaji tu kweli waongo waongo

  • @kathleenkitchens9446
    @kathleenkitchens9446 4 ปีที่แล้ว

    08:37
    05:12
    03:04

  • @myoutubecom-gg7sb
    @myoutubecom-gg7sb 4 ปีที่แล้ว +1

    mzee magufuli yuko poa kabisa

  • @nabilussynabil330
    @nabilussynabil330 4 ปีที่แล้ว +1

    Rais msani tu anatafuta kiki tu

  • @hadijaabdallah5477
    @hadijaabdallah5477 4 ปีที่แล้ว +3

    Magu na mkewe wamefanana

  • @newmuscat1698
    @newmuscat1698 4 ปีที่แล้ว +1

    Yaani mjomba magu watu tunakupenda vibaya,

  • @mathiasmalimi4555
    @mathiasmalimi4555 4 ปีที่แล้ว +1

    Hahahahahaha Ya Oyeee wewe Acha

  • @venansiagasper3507
    @venansiagasper3507 4 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂At ww elezea achana na hiyo oyeeeee👍😅

  • @alisaidi4139
    @alisaidi4139 4 ปีที่แล้ว

    Kubalinsana mm mjomba magu haah tisha sana

  • @rammietv4907
    @rammietv4907 4 ปีที่แล้ว +1

    ASEE HII KALI KAMCHOMA KWELI ASE

  • @jacobmakono389
    @jacobmakono389 4 ปีที่แล้ว

    ..hahaha!safari hii..kuna jamaa hapo nyuma kasema ondoka naye!!

  • @faustinemalilo1513
    @faustinemalilo1513 4 ปีที่แล้ว

    Hawa watu wanaandaliwa Hawa hapo hakuna lolote
    Hizo zozote siasa tu

    • @hadijaabdallah5477
      @hadijaabdallah5477 4 ปีที่แล้ว +4

      Kelele Weeee wameandaliwa na baba ako mfyuuuuu

    • @faustinemalilo1513
      @faustinemalilo1513 4 ปีที่แล้ว

      @@hadijaabdallah5477 fala wewe achakushabikia ujinga jitambue wewe unaonekana hata ujui nini kinaendelea hapo

    • @godfreydestury8813
      @godfreydestury8813 4 ปีที่แล้ว +1

      Wamepangwa na nani

    • @charlesndodi7085
      @charlesndodi7085 4 ปีที่แล้ว +2

      Faustine Malilo na bado zaman mlisema anabeba watu kwenye maroli kwenda kwenye mikutano mmeona haitoshi watu kusema kero zao nao wanaandaliwa mtahangaika sana jembe liko kazin

    • @davidelliot3267
      @davidelliot3267 4 ปีที่แล้ว +1

      we jamaa Quma kweli nan anae mda wa kumwandaa mtu kushabikia ujinga kama kiongozi hafanyi waajib acha usenge Quma wewe nyie ndo baadh ya maQuma mnaotapatapa mamae na bado Quma wewe hii ngoma ya moto MTATUBU TU Quma wewe

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 4 ปีที่แล้ว +4

    Hawa watu wanakuwa wameshaandaliwa nini,mbona mkuu kasema "nimeona kunaswala gumu kabisa hapa ambalo hamtaki kulisema"??

    • @davidsibejo3416
      @davidsibejo3416 4 ปีที่แล้ว

      Na hao wanaoshangilia au kuzomea wameaandaliwa

    • @fatemaligalawa4151
      @fatemaligalawa4151 4 ปีที่แล้ว

      Awajaandaliwa ungeangaliajana ngeelewa viongozi walivyozomewa

    • @fatemaligalawa4151
      @fatemaligalawa4151 4 ปีที่แล้ว

      Kweri Nachingwea ikonyuma.saana kimaendeleo sasa wamechoka kudanganywa

    • @hudumayakufunguliwanakuwek1366
      @hudumayakufunguliwanakuwek1366 4 ปีที่แล้ว

      Kumbuka ni Rais ambae yuko makini so kabla hajafika huwa anapewa taarifa na usalama wa taifa

  • @abdulkingu5113
    @abdulkingu5113 4 ปีที่แล้ว

    ​@_6fE
    HII NDO KASI YA MAENDELEO