Goodluck Gozbert - Hauwezi Kushindana (Official Video) SMS SKIZA 8633371 TO 811 TO GET THIS SONG

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 มี.ค. 2018
  • Goodluck Gozbert - Hauwezi Kushindana (Official Music Video)
    Hauwezi Kushindana was inspired By Philip 4:6. The song is off Goodluck Gozbert's New Album "Shukurani"
    Watch Goodluck Gozbert New EP "Ushindi": • Goodluck Gozbert - Kin...
    Follow Goodluck Gozbert
    Instagram: goodluckgoz...
    Subscribe to TH-cam Channel: / @gozbertministries
    Credits:
    Audio: Produza Paulo
    Video: Director Destro
    Hauwezi Kushindana Lyrics
    Hauwezi kushindana, oh kushindana
    Na mwanadamu mwenye kinywa
    Kama maneno yangekuwa yanaweza kutoboa mwili huu
    Mbona sasa ningekuwa na vidonda mwili mzima
    Vita vya maneno kuna watu ni majemedari
    Ukisema mshindane mbona mikono mtainua
    Kupigwa vita ni kawaida isikusumbue
    Wewe ni mti wenye matunda zoea mawe
    Lia kidogo nyamaza ili uchungu uishe
    Ukiendelea unawapa kichwa hao
    Basi laza imani rejea vitani
    Wakikuona waseme umekuwa sugu
    Acha waongee acha waseme seme
    Ila yuko Mungu wakuwaziba midomo
    Ikiwa Mungu anahukumu kwa kusikiza maneno
    Mbona hata matumbo ya mimba yanasemwa sana
    Hivi Mungu angehukumu kwa kusikiza umbea
    Si ningekushauri mchungaji wangu ufunge kanisa
    Mwanadamu mwanadamu shida ni ulimi
    Ungejifunza ukimya haunanga hasara
    Fulani we fulani una shida gani
    Na uongo wanini Mwogope Mungu
    Ukumbuke ni ahadi kuna siku yaja
    Kwa kila neno na kinywa chako utatolea hesabu
    Mimi nimeshakwambia
    #GoodluckGozbert #GozbertMinistries #HauweziKushindana

ความคิดเห็น • 7K

  • @essykitawa9652

    Wangapi tuko uku 2024.gonga like apa tukisonga🎉❤

  • @halimatende2743
    @halimatende2743 3 ปีที่แล้ว +367

    Am muslim bt hii nyimbo nilikuwa naiskiza sana coz ilinipata mimi hadi mandungu hadi marafiki lakini mwishowe mpaka baba watoto aliniacha lakini nami mungu haachi. Mja wake leo niko mbali another country nashukru mola

  • @johngeorge4834
    @johngeorge4834 วันที่ผ่านมา +30

    Wenye umekuja hapa kuskiza huu wimbo leo May 2024 gonga like na ubarikiwe sana na ushikilie imani ya mungu🎉🎉 hallelujah

  • @ZenabKordi-ib3nr
    @ZenabKordi-ib3nr ปีที่แล้ว +175

    Jamani wale tunao sikikiza his nyimbo 2023 tuko wp kama hii nyimbo inakufalij weka like

  • @user-mc7pr6jd4t
    @user-mc7pr6jd4t 21 วันที่ผ่านมา +14

    Sitachoka kukoment huu wimbo .Kila mwaka lazima ni Comment👏👏💗💗

  • @mariammussa897
    @mariammussa897 5 ปีที่แล้ว +21

    kama unamkubali gonga like yako hapa please Thank

  • @bantokenya6599
    @bantokenya6599 6 ปีที่แล้ว +496

    We kaka sauti tu Mungu kwely kakubariki nayo daaah kazi nzuri sana ... Gonga like kama una mkubali Goodluck 👍👍👍

  • @husnahhamisi4488
    @husnahhamisi4488 6 ปีที่แล้ว +204

    hawa watu wa👎 mbona hamskizi ujumbe uliobebwa kwenye wimbo... God bless you Gozbert,am a Muslim but can't stop listening to your songs....

  • @rosekapinga2929

    Am here 2024 ni nyimbo Bora yawakati wote tunasemwa jamani lakini huyu Mungu nyie acheni tu🙏🙏

  • @floridahbridgite2482
    @floridahbridgite2482 6 ปีที่แล้ว +895

    Kenyans gonga like tukiendelea kubarikiwa.....

  • @mercykocy9177

    2024. Hoyeeeeeh❤

  • @worshiplibrary7157
    @worshiplibrary7157 ปีที่แล้ว +50

    800 years of blessings to everyone who likes this with faith ! ✨

  • @The_cumpass_show
    @The_cumpass_show ปีที่แล้ว +412

    Wenye tuko huku 2023, nipeeni likes🔥🔥🔥

  • @AhazyStanley

    Hongera sana brother ❤huu wimbo una historia kubwa sana katika Maisha Yangu😢💔❤️❤️❤️🥰01.02.2024

  • @magdalenew.mwanyota5901

    Aki hiii nyimbo sijui ni mm pekee naskia rahaa aki juuu utamu uko kwa hiii nyimbo wacha tu 😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉napenda nyimbo pls na mwenyewe nyimbo 😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉love you from kenya 🇰🇪 God bless you brother 🙏 ❤️

  • @goodluckgozbertofficial
    @goodluckgozbertofficial  6 ปีที่แล้ว +2

    Nawashukuru Sana Kwa Kutazama Ujumbe Huu Kupitia Ukurasa Wangu Huu wa TH-cam,

  • @user-nt8yt4fn6n

    Juu wimbo unanikumbusha maali nimetoka.hadi natokwa na machozi nikiusikia

  • @judithserem3380

    Iam here because this song really touches my husband and siz......and its beginning to roll my tears down😢😢😢

  • @celestinenanjala206
    @celestinenanjala206 4 ปีที่แล้ว +396

    Kupigwa Vita ni kawaida isikusumbue, wewe Ni mti mwenye matunda zoea mawe. Am encouraged

  • @indivirabonnymatenje7290
    @indivirabonnymatenje7290 ปีที่แล้ว +10

    How many Kenya's are listing for this song July 24 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 wakurugenzi let us vote in peace we need peace this coming Election