DUH! MAGUFULI ASHTUKIA MCHEZO MCHAFU - AMBANA MEYA - "PESA ZIKO WAPI?"....

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2025
  • DUH! MAGUFULI ASHTUKIA MCHEZO MCHAFU - AMBANA MEYA - "PESA ZIKO WAPI?"....
    Rais Dkt John Magufuli, leo Oktoba 07, amewasili mkoani Sumbawanga akiendelea na ziara yake nchini ya kukagua na kuzindua miradi mbalimbali...
    Katika ziara yake ambayo ilianzia mkoani Songwe, Rais Magufuli, ameongozana na mawaziri mbalimbali akiwemo Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga, Waziri wa mambo ya nje, Profesa Kabudi pamoja na naibu waziri wa michezo, Juliana Shonza..
    #RAISMAGUFULI
    YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 739 750 910 au +255 784 888982)
    ---------------------------------------------------------------------------------------
    HABARI MPYA DAILY: www.youtube.co....
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    www.youtube.co....
    GLOBAL RADIO TV:
    www.youtube.co....
    EXCLUSIVE INTERVIEWS:
    www.youtube.co....

ความคิดเห็น • 512

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  10 หลายเดือนก่อน +13

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u6Dk3QxRsVCJ7kW2e

  • @HemedMnyambwa
    @HemedMnyambwa 29 วันที่ผ่านมา +8

    Leo tarehe 9 /1/2025 kama ndo namsikiliza live vilee
    Kama na ww unahisi ivooo gonga like yako mzalendo mwenzangu

  • @KelvyKessy-sy4dd
    @KelvyKessy-sy4dd 9 หลายเดือนก่อน +76

    Alieangalia mwaka huu gonga like

  • @saidntisi5994
    @saidntisi5994 5 ปีที่แล้ว +54

    Aliesikia kuwa kiongozi wa soko ni mnene anipe like zang.

  • @carlmax2221
    @carlmax2221 ปีที่แล้ว +49

    God bless Tanzania 🇹🇿🇹🇿 and rest in peace President Magufuli...much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪

  • @DottRoBroc
    @DottRoBroc 3 ปีที่แล้ว +54

    I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!

  • @goldgod9963
    @goldgod9963 5 ปีที่แล้ว +82

    E mwenyezi Mungu nipe namimi kipaji cha kua kiongozi bora kama cha Rais wetu kipenzi Magufuri

  • @rajabukhalfan3026
    @rajabukhalfan3026 5 ปีที่แล้ว +38

    President JPM to be honest I appreciate you very much for your strong leadership You are the Gift from God to Tanzanians.. CCM didn't do mistake to nominate you.

    • @viateurminani4863
      @viateurminani4863 3 ปีที่แล้ว +1

      He was one of the best African president

  • @NitoOresteLibaduke
    @NitoOresteLibaduke 10 วันที่ผ่านมา

    Kama nawe unankubali Magufuli, bassi gonga like apo!

  • @neemaalby5825
    @neemaalby5825 5 ปีที่แล้ว +69

    Mungu akuwezeshe
    Akupe umri
    Sijapata kuona kiongozi kama wewe MHESHIMIWA RAIS.
    MIMI NI MKENYA NA NATAMANI NINGEKUWA MTANZANIA NIKAJIONEA NA KUFAIDI KATIKA UONGOZI WAKO.

    • @kiswahilikitukuzwe2547
      @kiswahilikitukuzwe2547 5 ปีที่แล้ว +7

      Usijali kwani tutamchagua JPM kuwa raisi wa kwanza wa Jamhuri ya Shirikisho la Afrika Mashariki atakapomaliza awamu yake ya pili ya uraisi wa Tanzania.

    • @happymsaki1720
      @happymsaki1720 5 ปีที่แล้ว +4

      Njoo Tz ndgu yngu sie tunaraha kama zote na MAGUFULI wetu kipenzi changu wanyonge 2020 bila kupingwa

    • @yasingawaza3087
      @yasingawaza3087 5 ปีที่แล้ว

      Neema Alby

    • @lastborn6620
      @lastborn6620 3 ปีที่แล้ว

      @@kiswahilikitukuzwe2547 ndugu zangu kizuri hakidumu.

  • @davidmayenga48
    @davidmayenga48 3 ปีที่แล้ว +21

    Asante Mungu kwa maisha na uhai uliompa JPM!

  • @fabiankyando1189
    @fabiankyando1189 5 ปีที่แล้ว +42

    Mungu akulinde Rais wangu,Mungu akurehemu,Mungu akupe hekima uishi miaka mingi ili tuone nchi yetu itafika wapi,Viva Tanzania, Viva Rais Magufuli

  • @emmanuelbonifase1114
    @emmanuelbonifase1114 5 ปีที่แล้ว +21

    Nimegoma kuitisha uchaguzi 2020 namtaka MAGUFULI aendelee kuongoza

  • @yusraswalah4734
    @yusraswalah4734 3 ปีที่แล้ว +47

    Rest in peace Doctor John Pombe Magufuli no one will replace your party

  • @hadijaangura6572
    @hadijaangura6572 5 ปีที่แล้ว +42

    Makufuli i wish ww ungekuwa rahisi wa kenya jamani

    • @kelvinjohn6851
      @kelvinjohn6851 5 ปีที่แล้ว +5

      Karibu Tanzania. Tunaenjoy kuwa na Rais Magufuli.

    • @victorsudi2687
      @victorsudi2687 5 ปีที่แล้ว

      Kweli bro

    • @aliandrew3537
      @aliandrew3537 3 ปีที่แล้ว +4

      Ndo nuru ya magufuli isha enda ALLAH ATUREHEMU FROM KENYA... SITOKUSAHAU

    • @hamissuche6576
      @hamissuche6576 3 ปีที่แล้ว +1

      Mie 🇰🇪 ila nauliza wakenya wenzangu na waganda respectively,.. Je akifa uhuru na yoweri watu watauzunika kama alivyokufa jpm jmni naomba majibu yenu,. Rest in peace magu,.. Nalia sana

    • @nsanzetito1453
      @nsanzetito1453 3 ปีที่แล้ว

      Na Uganda si Kenya tu

  • @orgenessjasper7649
    @orgenessjasper7649 5 ปีที่แล้ว +9

    Hongera Rais wetu kwa kazi nzuri ya ufwatiliji unayofanya mungu akubariki

  • @wilisonastone660
    @wilisonastone660 5 ปีที่แล้ว +13

    For you to be leader you need to have wisdom from God.karibu Kenya uwe rais wetu hapa Kenya hakuna haki

  • @omarbunu3412
    @omarbunu3412 ปีที่แล้ว +16

    I am Kenyan but I miss magufuli BaBa wa wanyonge

  • @emmanuelraphael679
    @emmanuelraphael679 3 ปีที่แล้ว +21

    Tunakumiss sana rais wetu
    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @dismassabinus7031
    @dismassabinus7031 3 ปีที่แล้ว +12

    tutakukumbuka daima rais John pombe magufuli

  • @mbwanaomary7537
    @mbwanaomary7537 ปีที่แล้ว +7

    Allah ailaze roho yako mahali pema peponi amiin

  • @presidentzenith
    @presidentzenith ปีที่แล้ว +8

    Always a pleasure listening to you JPM ❤

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 5 ปีที่แล้ว +9

    Nakufuatilia vzr sanaaaaaaa baba. Na mm naomba kazi tuu ya kukusaidia. Maana upoooo vzr nkpnd presidaaaaa wanguu

  • @awiloligola7674
    @awiloligola7674 8 หลายเดือนก่อน +2

    KAMA UNAMUONA MAKONDA HAPAA!! NDANI YA MAGUFULI
    GONGA HAPA!!❤

  • @ernestonesmo405
    @ernestonesmo405 5 ปีที่แล้ว +27

    Kiongoz wa soko naye mnenee 😂😂😂😂 daaah magu ni shidaaa sijui maneno anayatolea wap

  • @Mariaclala536
    @Mariaclala536 5 ปีที่แล้ว +21

    Ila huyu mzee ni genius Sana ndo anasafisha njia hvyo 2020

  • @husseinomary4466
    @husseinomary4466 5 ปีที่แล้ว +31

    Sidhani Kama kunasababu yakufanya uchaguz labda wawabunge tu lakini kiapnde hiki aapishwe tu Mambo yaende

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 2 ปีที่แล้ว +7

    Nalia Sana kila nikitazama izi hotuba.JPM wetu jamani??😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿

  • @arthurochieng386
    @arthurochieng386 3 ปีที่แล้ว +16

    This man Magufli . It's only that we cannot question God , but we say 'let thy will be done'

  • @mcmwasha9668
    @mcmwasha9668 5 ปีที่แล้ว +11

    Kuna mtu anasema eti utawala wa kisheria umekufa ulitaka sheria gani sasa inayobembeleza mpk lijengwe ghorofa wakat wafanyabiashara hawana tena soko,tunga sheria yako weka ghetto kwako we need to move far now

    • @pendael02
      @pendael02 5 ปีที่แล้ว +1

      Ulituchelewesha, na watu huwa wanataka kupata mianya ya jato asilimia kumi. Tupilia kule

    • @pendael02
      @pendael02 5 ปีที่แล้ว +1

      Pia ni mifumo ya kizungu

    • @neemahalisi9302
      @neemahalisi9302 5 ปีที่แล้ว

      nice nice niceeee

  • @guleedadan3403
    @guleedadan3403 3 ปีที่แล้ว +12

    We want president uhuru to do exactly this kind of work and he should start it with Wajir county goverment.

  • @simbaboy9435
    @simbaboy9435 3 ปีที่แล้ว +14

    RIP Magufuri Rais wetu wa Africa Allah ailaze Roho yako mahari pema peponi Amiin

  • @leonardmrope9528
    @leonardmrope9528 5 ปีที่แล้ว +8

    Uyu ndio Rais wawatu banah,, acha mzee Magu awanyooshe

  • @ramamtetu2327
    @ramamtetu2327 5 ปีที่แล้ว +27

    Magufuli hoyeeeeeeeee
    "Uzeni nyanya Uzeni dagaaa"
    Hahhhhh Safiiiiii

  • @br.luckieafrica9233
    @br.luckieafrica9233 2 ปีที่แล้ว +8

    Africa needs more presidents like jp magufuli

  • @agesag.m2476
    @agesag.m2476 3 ปีที่แล้ว +21

    He was really a wise man I say, Rest in Peace Mr. President.

  • @biashaallyally3701
    @biashaallyally3701 5 ปีที่แล้ว +21

    Magu shikamoooo uko vzr 2020 kura yangu nakupa tu

  • @mansourmkanakuta6641
    @mansourmkanakuta6641 3 ปีที่แล้ว +5

    Tunakukumbuka Sana kwa ajili ya wanyonge unaenda peponi hayati magufuli

  • @samwelimoshi5614
    @samwelimoshi5614 5 ปีที่แล้ว +13

    Kibonge ameongea kweli

  • @emmanuelbonifas3517
    @emmanuelbonifas3517 3 ปีที่แล้ว +4

    Mungu akusamehe rais wetu upumzike kwa aman sipati picha kbs kwamba atujikukuona tena ukiongea na ss

  • @stanydizzy480
    @stanydizzy480 5 ปีที่แล้ว +11

    Daaah kwa Uncle Magu ukienda kichwaa kichwaa Unaumbukaa

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 11 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu angekuwepo mpaka saiv tungekua mbali😢😢

  • @alphoncenestorybishirangon1836
    @alphoncenestorybishirangon1836 5 ปีที่แล้ว +19

    2020 kura yangu na za familiya zangu zote kwa JPM 100%

    • @cassiusniyimpagaritse5347
      @cassiusniyimpagaritse5347 5 ปีที่แล้ว +2

      Nikikuwa mutanzania mwaka 2020 na familiya yangu yote nikwa JPM 100% arakini niko murundi

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 2 ปีที่แล้ว +6

    Lala Salama Nahoza wetu Jahazi umeliacha ila Manahoza wamekuwa wengi sasa na limeshazama 😭😭😭😭

  • @gesusgegangphray7689
    @gesusgegangphray7689 5 ปีที่แล้ว +23

    Wajinga ndio viongoz.watanzinia mjuwe magufuli ni nyota 5 star

  • @godfreylyimo4177
    @godfreylyimo4177 5 ปีที่แล้ว +9

    Taifa limepata Rais! Miaka inakimbia lkn Mungu hata sasa amtusaidia. Miaka 5 ijayo Mungu akupe afya njema umalize kazi njema uliyoianzisha

  • @munguaibarikitanzanianawat9254
    @munguaibarikitanzanianawat9254 5 ปีที่แล้ว +6

    Mungu akubariki sana kwa kazi zurii mashallah nakuombea sana hunatafauti nakabus wallah

  • @felixkanyimbu6862
    @felixkanyimbu6862 3 ปีที่แล้ว +11

    Long live magufuli. We truly shall miss you.

    • @onesmothimos2635
      @onesmothimos2635 2 ปีที่แล้ว

      Sema ndo mungu tu ame mchukua lakini ninge pata kuku tana nae ninge mshauli kwenye mikutano yake tuwe tuna Ingia Kwa kiingilio jamaa alikuwa ana tupa mzuka kwelikweli

  • @athumanyusuph1099
    @athumanyusuph1099 5 ปีที่แล้ว +13

    Raisi wangu unanigusa mpaka nashindwa kusema kitu....wanyonge tupo huru sasa..napenda twende wote pamoja mpaka mwisho MUNGU akulinde kwa kweli

    • @johanesbina1302
      @johanesbina1302 2 ปีที่แล้ว

      hii comment😢😢😢😢 naliaa tulivimba

  • @zahramunir8596
    @zahramunir8596 5 ปีที่แล้ว +10

    Raisi hawa viongozi wengi ni majanga tuu..usiwacheleweshee ktk taifa fagia tu..weka watu mwingine..

  • @nameless533
    @nameless533 5 ปีที่แล้ว +42

    Kwanin tuharibu mamilioni kwa ajili ya uchaguzi wa 2020?

    • @nelsonnmwaipaja6980
      @nelsonnmwaipaja6980 5 ปีที่แล้ว +2

      umenena mzee

    • @lazarosilayo6918
      @lazarosilayo6918 5 ปีที่แล้ว

      Elias Dioniz Katibu ndvyo inavyosema uchaguz n kila baada y miaka 5, sasa hayo mawazo yko tafuta sehemu sahihi y kuyasemeaa au kasome katiba vzur uielewe uache kuropokaropoka.

    • @issamaulidi8407
      @issamaulidi8407 5 ปีที่แล้ว +3

      Lazaro Silayo Acha useng mangu atabak kuwa juuu

    • @mbwanaomary7537
      @mbwanaomary7537 5 ปีที่แล้ว +3

      @@lazarosilayo6918 mbona kama unateseka unajibu kwa hasira na gazabu hayo ni mawazo yake tu kama yeye kwa mtazamo wake ameona hamna haja ya uchaguzi ni mtazamo wake yaheshim

    • @nameless533
      @nameless533 5 ปีที่แล้ว +1

      @@lazarosilayo6918 😊 nidhahiri unateseka nahii spidi ya JpM. Mbona Mr Freeman mmempa uenyekiti w kudumu nawala hatusemi.?

  • @mussasuleiman2287
    @mussasuleiman2287 5 ปีที่แล้ว +6

    Mungu akuzidishie Raisi wangu. wewe una roho ya peke yako. Mungu akusimamie akupe umri furaha na afya njema katika maisha yako

  • @chachamwita9987
    @chachamwita9987 3 ปีที่แล้ว +2

    Laa Rais wetu sijui tutakuja kupata mtumwingine kamawewe mungu atujalie

  • @SelemaniRingia
    @SelemaniRingia 11 หลายเดือนก่อน

    Mungu akuepushie na mateso ya kuzimu na akuvishe taji ya Mbinguni nankukupa Raha ya mile Amina.....❤❤️‍🔥💗💓💞💕♥️🤍❤️🧡💛💚💙💜🤎

  • @willywaire50
    @willywaire50 3 ปีที่แล้ว +3

    Mungu aiwekeroho yake mahali pema peponi,watanzania mlikua na ndume jasiri kweli Mungu alimpenda Zaidi..

  • @valentinemtei2927
    @valentinemtei2927 5 ปีที่แล้ว +5

    Sidhani kama Meya anastahiki kumjibia mkurugenzi

  • @evelynebwire7684
    @evelynebwire7684 3 ปีที่แล้ว +6

    Baba kweli ndio maana tulizimia na kukata tamaa baada ya msiba wako kutokea. Pumzika kwa Amani Rais wangu JPM

  • @mariammatitu6392
    @mariammatitu6392 4 ปีที่แล้ว +3

    Ahsante rais wa wanyonge mungu akupe uhai mrefu wenye mafanikio

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 5 ปีที่แล้ว +12

    Thks god for give us Good leader🙏😊.

    • @fatumamasudi2153
      @fatumamasudi2153 5 ปีที่แล้ว

      MashaAllah big up Mr prezzo for u're concerned

    • @adhanduale7466
      @adhanduale7466 5 ปีที่แล้ว

      U are blessed guys...

    • @abdullahrashid6297
      @abdullahrashid6297 3 ปีที่แล้ว

      Good leader passed away
      Dua kwa wingi
      Kwake

  • @samiraali5505
    @samiraali5505 4 ปีที่แล้ว +4

    Sijuti kura yangu Magu oyeeeee,2020 InshaAllah, utapita tu babalao!!

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 5 ปีที่แล้ว +11

    Hakuna uamuzi umenifurahisha Kama leo. In maana Hawa viongozi walikuwa hawayaoni mpk rais ajeeeeeeeee jamani. Tumbua woteee haoooo

    • @lazarosailepu5666
      @lazarosailepu5666 5 ปีที่แล้ว +1

      Kweli Tanzania mungu katupa kiongoz mungu akbariki ras wet

    • @khalidjohn6576
      @khalidjohn6576 4 ปีที่แล้ว +1

      Mungu akukinge na majanga ,

  • @stephenkilele5071
    @stephenkilele5071 2 ปีที่แล้ว +1

    Yaani uyu alikuwa kiongozi ...real president

  • @abuyabally5086
    @abuyabally5086 5 ปีที่แล้ว +3

    salute nakuukubali sana raisi wangu mpendwa jpm heshima yako mkuu

  • @edisonmaliva1719
    @edisonmaliva1719 5 ปีที่แล้ว +5

    Hahahaaa ngoja nimalize hili,mnababaisha tu,hahaaaa make some noise for the prezidaaaa.

  • @adinanipaulobogaadinanipau3665
    @adinanipaulobogaadinanipau3665 4 ปีที่แล้ว +2

    Mm nakupenda sana rais wangu mungu akubariki

  • @samwelmlingi7822
    @samwelmlingi7822 3 ปีที่แล้ว +2

    Eeemwenyezi mungu mpumzishe mahari pemapeponi raisi wetu, Amina

  • @rastalukumai
    @rastalukumai 2 ปีที่แล้ว +1

    Akiyamungu magufuli. Mungu aisamehe roho yako. Naukojuu akupeuongozi wowote. Tumekumiss sana

  • @abdulfatahjuma5355
    @abdulfatahjuma5355 5 ปีที่แล้ว +6

    kiongozi wa soko nae ni mnene ,anakula hela nini?

  • @francisgichuhi4337
    @francisgichuhi4337 3 ปีที่แล้ว +2

    Kwanini uhuru wa Kenya hawesi kufanya kama huyu raisi wa Tanzania?

  • @JumanneRashid-kr2nv
    @JumanneRashid-kr2nv ปีที่แล้ว

    Raisi wa wanyonge mungu akubaliki sana magufuri

  • @wanzambinya8501
    @wanzambinya8501 ปีที่แล้ว +2

    The best president in the world. i miss u Mr. Prezo. Continue to rest in peace.

  • @gharibislam1586
    @gharibislam1586 3 ปีที่แล้ว +1

    The best president of Africa,Watu watakukumbuka

  • @pastorrusagarajosephsolo8692
    @pastorrusagarajosephsolo8692 2 ปีที่แล้ว +2

    Mwenye haki akiwa na Amri watu hufurahi. Pumzika kwa amani Mhe.JPM

  • @akidanyanje9072
    @akidanyanje9072 2 ปีที่แล้ว +2

    Mungu ebu tufufulie Jpm ,tuko chini ya miguu yakoo

  • @allychambo9116
    @allychambo9116 ปีที่แล้ว

    Nimuenzi vp late Magufuli?huyu ni mzalendo kweli kweli.Mungu ww wajua yote! Rip inshallah

  • @kibajetihassan6218
    @kibajetihassan6218 4 ปีที่แล้ว +5

    Yani tundurisu na jamaa zake watasubiri sana

  • @chuwaloonlinetv6672
    @chuwaloonlinetv6672 5 ปีที่แล้ว +4

    Yan baba umepita kula yang 2020 we Chukua

  • @agnessjumanne1819
    @agnessjumanne1819 3 ปีที่แล้ว +4

    Pumzka kwa amani baba,,, tutakukumbuka sana

  • @msetikebwasi1469
    @msetikebwasi1469 3 ปีที่แล้ว +2

    Huyu mzee alitakiwa aendelee kuishi ,alikuwa anafurahisha sana .

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 2 ปีที่แล้ว +2

    Ndo maana watu walizimia baada ya kifo chako baba🙏🙏

  • @jamesakhabuhaya6194
    @jamesakhabuhaya6194 5 ปีที่แล้ว +10

    2020 kura yangu hiyooo

  • @lupamwakyusa1582
    @lupamwakyusa1582 11 หลายเดือนก่อน

    R I P realy leader Magufuli ❤, waliobaki wahuni

  • @josephmanyama435
    @josephmanyama435 3 ปีที่แล้ว +2

    Jamani jamani huyu Raisi daaa inauma sana mpendwa wetu

  • @delicateone9214
    @delicateone9214 3 ปีที่แล้ว +7

    Rest Easy President 😭😭we miss you alot

  • @annakisiga889
    @annakisiga889 4 ปีที่แล้ว +2

    Duhu mpka naumia Sana ka har hii tawala mpka mwenyez mungu akutwaee

  • @peterandrew2795
    @peterandrew2795 ปีที่แล้ว

    Punzika kwa amani baba naumia sana nikisikia sauti yako tuu jpm.....mungu umpunguzie adhabu huyo baba kwake uongo ni mdogo.

  • @mbwanaomary7537
    @mbwanaomary7537 5 ปีที่แล้ว +3

    Sioni sababu ya kuchezea fedha kwenye uchaguzi wa raisi maana hata huyo anaeshindana na magu anajua wazi atashindwa kwa kura zote lamsingi tuangalie fedha za uchaguzi wa raisi zipelekwe kwenye mambo ya maendeleo na huduma za afya wabaki kwenye uchaguzi wabunge na wadiwani basi

  • @polycarphildbrand851
    @polycarphildbrand851 3 ปีที่แล้ว +1

    Mama kasema bango moja mkuu wa mkoa/wilaya unatembea hizi kero zitawaondoa wengi.. baba alikuwa mpaka aje ndo kero zinasemwa dah 😔😔💔💔

  • @abuyabally5086
    @abuyabally5086 5 ปีที่แล้ว +4

    uchaguzi wa urais ufanyike 2025 tu 2020 ifanyike wabunge na madiwani tu urais no hatutaki

  • @amanijacquestwambaje696
    @amanijacquestwambaje696 10 หลายเดือนก่อน

    Magufuli was a Beacon of Hope for Africa, but our enemies did not want him to stay. However, let his exploits be our motivation we the upcoming African leaders. Let them be a guide to the incumbent African leaders if they desire to see a Continent free from chaos and divisions.

  • @siwemawillson9735
    @siwemawillson9735 5 ปีที่แล้ว +4

    Ni vile nakupendaga raisi wa wote chapa kazi mzee baba mungu akubariki sana.

  • @elijahm.muthini
    @elijahm.muthini 5 ปีที่แล้ว +7

    Anco magu hatari💥

  • @jumannerajabu1356
    @jumannerajabu1356 2 ปีที่แล้ว +1

    dah jamani roho inauma bado napitia hotuba za jpm mana nimejifunza mambo meng sana kama naww unaangaria 2022.6(29/gonga like kam zote wamachinga oyeeeeee

  • @anithagilibert6808
    @anithagilibert6808 5 ปีที่แล้ว +12

    Kiongozi Wa soko nimnene

  • @JM-eo3wo
    @JM-eo3wo 2 ปีที่แล้ว

    Mungu umurase mahali pema peponi africa hatuna rais ana huruma na maskini ka juyu rais ata hsps kenya twa mis yeye sana

  • @GiftMsono
    @GiftMsono 2 หลายเดือนก่อน

    Ila magufuli bsi tu mungu anajua saiv tuna viongozi wa ovyo Sana nakukumbuka sana magufuli

  • @abdulramanhemed3749
    @abdulramanhemed3749 4 ปีที่แล้ว +1

    Wakenya tuna lia na tunalia hatuna viongozi huku tupeni jpm tutawapa viongozi 50 na tutawaongezea raila odinga juu

  • @sammygichuki5664
    @sammygichuki5664 3 ปีที่แล้ว +2

    Fantastic article

  • @SammySammy-es4ug
    @SammySammy-es4ug 8 หลายเดือนก่อน

    Me namkubali makuvuli mungu naomba utuurumie utupe rais kama makuvuli jee kama mnaamini tutapata sema amen 🙏

  • @imaninjau9135
    @imaninjau9135 2 ปีที่แล้ว +8

    Rest in peace my hero father