CLASSMATE WA MAGUFULI ALIA MBELE YA MAKONDA ATAJA MADUDU "MWAMBIE RAIS, KUNA MAJAMBAZI MAJIZI"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 พ.ย. 2023

ความคิดเห็น • 300

  • @pendomushi6351
    @pendomushi6351 7 หลายเดือนก่อน +16

    Mungu akulinde Sana makonda ! Tenda haki na kutetea wananchi wako kama Mungu alivyokuona unafaa

  • @mailisagaswe1544
    @mailisagaswe1544 7 หลายเดือนก่อน +9

    Makonda peke yake hawezi kutatua kero zote, anahitaji msaada toka kwa mwenyekiti wa chama kwa kuwawajibisha wazembe wote waliopo serikalini ambao hawataki kutatua kero za wananchi. Hakika Kila Kona ya Tanzania wananchi wanalalamika. Hongera Makonda kwa kazi nzuri Mungu akulinde

    • @petermarco8656
      @petermarco8656 7 หลายเดือนก่อน +2

      Na hapo ndipo kwenye kazi kubwa kuwawajibisha hao

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 5 หลายเดือนก่อน +2

      Undeni Tume kila mkoa. Kero zote zishughulikiwe bila huruma

  • @claudiayohana6576
    @claudiayohana6576 7 หลายเดือนก่อน +18

    Huyu baba kaongea kwa uchungu 😢😢😢😢lkn pia usalama wake unaweza kua hatarini😢😢😢

    • @MohamedMjenga-vq8vc
      @MohamedMjenga-vq8vc 7 หลายเดือนก่อน +4

      Ni kweli kbs ujakosea kila msema kweli ni sheeda

  • @modestarubunda4250
    @modestarubunda4250 7 หลายเดือนก่อน +6

    Me MAKONDA, Mungu aendelee kukulinda, na umsaidie Mama, wengine wanamharibia jina kwa wizi wao, wakidai ni Serikali, kumbe ni kwa manufaa yao wenyewe.

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 7 หลายเดือนก่อน +18

    Huyu mzee huwa haumi maneno.Alikiwasha mbele ya Amos Makala na leo mbele ya Makonda.Anafunguka kwa hisia na uchungu mno.Na hiyo mikono nyuma yake ni kwamba kuna ubovu mkubwa mno kwenye utendaji na uongozi.Maeneo ya huduma yamejaa madhalimu ya walafi.

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 7 หลายเดือนก่อน +47

    Huyu mzee ameongea kwa uchungu sana mpaka 😭😭😭😭

  • @AbasJeilan-ns8yp
    @AbasJeilan-ns8yp 7 หลายเดือนก่อน +14

    Panya rodi wamemwagika sana kufanya uwalifu ndio wawazibiti, huku kuna mto watu wanapata shida daraja awajengi

  • @stellamsokwa6785
    @stellamsokwa6785 7 หลายเดือนก่อน +43

    Makonda huu ni wakati wako wa kuteka baraka zako, tumia hii nafasi vema na usijiinue wala kumuonea mtu, simamia haki na Mungu akutie nguvu kazi si ndogo jukumu ulilonalo ni kubwa ila amini mkono wa Mungu Upo upande wako🙏

  • @revocatussebastian2427
    @revocatussebastian2427 7 หลายเดือนก่อน +17

    Mama mwenyewe hafanyi ziara zakustukiza kwenye mawizara kama magufuli anakaa ikulu kusubiri ripoti kwanini wasimdadanganye

    • @Hustlersec
      @Hustlersec 7 หลายเดือนก่อน

      Acha unafki wewe

    • @salimalaquimane3077
      @salimalaquimane3077 5 หลายเดือนก่อน

      Ana safari za nje

    • @BoisDonkoil-rk8lr
      @BoisDonkoil-rk8lr 4 วันที่ผ่านมา

      Mama amejifungua ila kamtuma kijana wake awakilishe kazi kwa niaba yake

  • @laurnyandwi-sb1gu
    @laurnyandwi-sb1gu 7 หลายเดือนก่อน +9

    Huyu mzee alindwe haraka iwezekanavyo mana anaukweli usiopingika hata doa.,😢😢

  • @user-od5si7ld6b
    @user-od5si7ld6b 28 วันที่ผ่านมา

    Mhuuuuu kaz ipo Tanzania Makonda Mungu akulinde kwa balaka za Mungu 🙏🙏

  • @Donrugi
    @Donrugi 7 หลายเดือนก่อน +13

    mzee anasauti nzuri inafaa sana kwenye kuongea

    • @MCNgakungaJunior
      @MCNgakungaJunior 7 หลายเดือนก่อน

      Kabisa ni sauti inayovuta usikivu

    • @rubondopharmacy
      @rubondopharmacy 7 หลายเดือนก่อน

      hahahaha anafaa kuongea, nimecheka sana utadhania mazuri

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 7 หลายเดือนก่อน +6

    Watakao mpinga makonda watatoka nyumbani mwake.yetu macho

  • @mconedimple5364
    @mconedimple5364 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akulinde masikini nia yako ni nzuri ya kutetea wanyonge kupitia chama chako cha mapinduzi lakini hao wa badhilifu wanao yafanya hayo watakuacha salama kweli uendelee kufukuwa maovu yao kwa nia ya kuwatetea wanyonge kupata haki zao zilizo dhulumiwaa ee Mungu umlide huyu kijana wako Makonda atumike kwahaki hata kama atatishwa asitishike . Masikini sijui kama utabaki salama kwa maovu haya yanayo letwa kwako pindi mtakapooanza kuyashughulikia na viongozi wenzako

  • @ashelgabriel1696
    @ashelgabriel1696 7 หลายเดือนก่อน +5

    Tutalalamika mpaka miaka 200 kwa sura hii mpaka mwenezi aje bado sana

  • @user-bj3sb6ml7b
    @user-bj3sb6ml7b 7 หลายเดือนก่อน +1

    Big up sana Makonda Huna wasidiz zaid yako mwnyw na mh. Rais

  • @MwigaKatumpula-mi3zt
    @MwigaKatumpula-mi3zt 7 หลายเดือนก่อน +3

    Sijui wana angalia sifa Gani ili uwe waziri mkuu maana kwa kipawa cha makonda anastahili kuwa mtendaji mkuu wa serikali maana ni next level kabisaa 👏👏😃

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 7 หลายเดือนก่อน +18

    Huyu mzee ni Mzalendo wa Taifa letu Tanzania natumai Chama cha Mapinduzi kitaendelea kutetea Haki na kutatua Kero za Wananchi. Kidumu Chama cha Mapinduzi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @jamilahjamilah4157
      @jamilahjamilah4157 7 หลายเดือนก่อน

      Nikweli lakini rais alijisaha sana hivi mm najiuliza kipindi cha magu umeme ulikuwa hakatiki wananchi walisaha kabisa sasa kila siku umeme hakuna inamaana raisi hajui tatizo anawakumbatia sana mawaziri wake angekuwa anatumbuwa km magu akili ange wakaa sawa yy anawechekea sasa 2025 imekaribia ndio tunashutuka yani ni mtihani 2019 paka 2020 nilikuwepo tanzania umeme ulikuwa haukatiki nikasema sasa na kwetu kumeendelea kufa magu na umeme umemfuta tatizo nn kama sio kuwatesa wananchi hivi kipindi cha magu husikii kero ya machinga wala nn sasa hivi paka bora boda nishida daa wanawakamata hovyo tuu kosa dogo faini kama yote

  • @lanlady2504
    @lanlady2504 7 หลายเดือนก่อน +6

    Huku kwetu tunamsubiri kwa hamu ndg muenezi

  • @WinifridaJonathan-cq2nw
    @WinifridaJonathan-cq2nw 7 หลายเดือนก่อน +3

    Makonda hajawahi kumuonea mtu aibu na Yesu hatamuonea haya mbele za baba yake good makonda goooo....

  • @anthonikabuye6819
    @anthonikabuye6819 7 หลายเดือนก่อน +2

    kwa nilikofika naona politicians wote ni wapigaji tu Ila wanatofautiana grade tu

  • @user-bx3kl4hn6j
    @user-bx3kl4hn6j 7 หลายเดือนก่อน +4

    Sasa jamani hao wanaotajwa hapo ni chama. gani

  • @JamesJuma-zy8cn
    @JamesJuma-zy8cn 7 หลายเดือนก่อน +9

    Huyo mzee anafaa kuwa mbunge

  • @Hasnspop
    @Hasnspop 7 หลายเดือนก่อน +8

    Alafu hawa wenye kaunda imekuwa tabia yao kusukuma wanaoleta kero daaa😂😂😂

  • @aminahkazumari8952
    @aminahkazumari8952 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mashallah moyo wangu una furaha tele

  • @bashobabaraka706
    @bashobabaraka706 7 หลายเดือนก่อน +2

    Safi Sana mzee

  • @annamwangomo7069
    @annamwangomo7069 7 หลายเดือนก่อน +3

    Ila nchi hii jamani! Kuna watu hawamwogopi hata Mungu hizo kero huyo mzee kaanza zamani kulalamika kumbe ilikuwa bado hazijatatuliwa? Iwe mwisho kwakweli

  • @erickmsigala138
    @erickmsigala138 7 หลายเดือนก่อน +4

    Hivi Wana mlalamikia Nani? Dawa ni kuiondoa ccm na siyo kuwapa kero watatue wakati wao ccm ndiyo wanao sababisha wananchi acheni ujinga ccm hawana uwezo wakutatua kero zenu hiyo ni Futuhi

    • @malianonicass7029
      @malianonicass7029 7 หลายเดือนก่อน

      Hii inchi Bado haiwezi kuongozwa na upinzani Ile ndo mijinga tutahama nchi hii

  • @happyfaniabatromeo8010
    @happyfaniabatromeo8010 7 หลายเดือนก่อน +2

    😄😄😄😄 Tanzania Nchi nzuri Sana 🔥🔥🔥🔥 sema bado haijapata viongozi wa ukweli kama Magufuli na Makondaaaa🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @pendomushi6351
      @pendomushi6351 7 หลายเดือนก่อน

      Kila mtu yupo Kwa maslahi yake na watoto wake 😢😢ni huzuni

  • @mwinshehenassib4853
    @mwinshehenassib4853 7 หลายเดือนก่อน +13

    Wizara ya ardhi mimi sina hamu nao.
    Hati yangu imenasia wizarani hadi leo.
    Ukienda mtumishi anakuuliza wewe raia "sasa hapo nafanyaje"
    Eti mimi nimefata huduma kwa mtu asiyejua nini cha kufanya.😢😢😢

  • @user-qz5xv5if2u
    @user-qz5xv5if2u 7 หลายเดือนก่อน +11

    Nakupenda makonda mungu akurinde

  • @asmahchongoe1117
    @asmahchongoe1117 7 หลายเดือนก่อน +3

    Naona msiba mwingine baada ya uchaguzi 2025 Mungu aisimamie roho hii ya mauti ishindwe kwa ajili ya nchi.😢

  • @johnsebastian-bx6qn
    @johnsebastian-bx6qn 7 หลายเดือนก่อน +4

    Inatia uchungu sana haki zinapokonywa inasikitisha sana

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds 7 หลายเดือนก่อน

    Yafanyie kazi mh Mzee analia

  • @RacherBakari-qh2gx
    @RacherBakari-qh2gx 7 หลายเดือนก่อน +1

    Rais Bora ni yupi mungu nipe macho nione

  • @paschaljoh5729
    @paschaljoh5729 7 หลายเดือนก่อน +10

    Huyu mzee Yuko smart sana kwenye maelezo yako

  • @Nyaburyaofficial217
    @Nyaburyaofficial217 7 หลายเดือนก่อน +4

    R.I.P Magufuli

  • @user-xz4mc4ec7x
    @user-xz4mc4ec7x 7 หลายเดือนก่อน +4

    Mzee apewe ulinzi

  • @nimrodsigulu6249
    @nimrodsigulu6249 7 หลายเดือนก่อน +3

    Hii nchi bado adui ujinga anatusumbua Sana..

  • @jamesmachiwa3679
    @jamesmachiwa3679 7 หลายเดือนก่อน +2

    Makonda Mungu Akutunze Ili Uwalinde Watu Hawa.

  • @mamapeace6730
    @mamapeace6730 7 หลายเดือนก่อน +2

    Tulikumic kaka yetu mungu awe nawe maisha yako yote

  • @MSOMBAAlon-gh3ps
    @MSOMBAAlon-gh3ps 7 หลายเดือนก่อน +4

    Ndio maana Mimi nasema Rais Samia suluhu Hassan ni mtu mwema sana watu anaofanya nao kazi asilimia 95% ni wanafiki utayaona mengi sana hayo ni machache ndio maana watu wanaichukia sana CCM . ( Kumbe yapo majitu kazi Yao ni kuharibu tu Ili Rais aonekane kama hafai . Mungu mulinde Rais Mungu akulinde na ww

  • @songeza
    @songeza 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera Sana school mate wa makonda huyo mtoto Yuko vizuri sana makonda hoyeee nami natamani nionanae nae nimpe mkono sana

  • @LoveWity
    @LoveWity 4 หลายเดือนก่อน

    Makondaa❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️💗💗💗tunakupendaaa sanaaa🥰🥰🥰🥰

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 7 หลายเดือนก่อน

    Makonda pole, kazi ipo karibu Arusha

  • @davidonelinetv4576
    @davidonelinetv4576 7 หลายเดือนก่อน +8

    Daaah inauma sana😢😢

  • @bwetungegodfrey4131
    @bwetungegodfrey4131 7 หลายเดือนก่อน +4

    Classmate wa JPM has got a point..asikilizwe na atatuliwe shida alizozianisha.

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 7 หลายเดือนก่อน +2

    Ardhi kuna shida kubwa sana, sijui itakuwaje maana hiyo ni sawa na Maliasili na Utalii. Inatisha sana.

  • @user-bx3kl4hn6j
    @user-bx3kl4hn6j 7 หลายเดือนก่อน +3

    Mimi bado cjaelewa nielewesheni hao waliotajwa hapo chama gani na anaejifanya kutatua izo kero ni chama gani

    • @stellamsokwa6785
      @stellamsokwa6785 7 หลายเดือนก่อน +1

      Kuzaliwa tumbo MOJA siyo kufanana tabia, HIVO kuwa chama kimoja si sababu ya kuamini kuwa wote ni waonevu🚶

    • @user-po5tm4we4b
      @user-po5tm4we4b 7 หลายเดือนก่อน

      Akamsikilize lisu Jana amesema yeye na mboe sio kila kitu watafanana kwenye mitazamo

    • @user-bx3kl4hn6j
      @user-bx3kl4hn6j 7 หลายเดือนก่อน

      @@stellamsokwa6785 sasa wanaposema ccm ndio chama pekee kinachotatua kero za wananch, je kero izo zinaletwa na chama gani

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 7 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda atarudisha heshima ya ccm mama samia kapatia kumchagua

  • @yohanantemi100
    @yohanantemi100 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ubarikiwe makonda

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mnoo. Mungu atupe viongozi wanaojali. Wema ni wachache

  • @user-kp3vc4rj9o
    @user-kp3vc4rj9o 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mama altakiwa wizara ya ardhi ibaki kwa lukuv

  • @nbanba7138
    @nbanba7138 7 หลายเดือนก่อน

    Hii sasa safi👍

  • @hojamathias9989
    @hojamathias9989 7 หลายเดือนก่อน +2

    Makonda naomba nikushauli wewe ni Magufuli ajae ila ukiwa Magufuli plz plz fanya zaidi ya magu

    • @yahayamboka9963
      @yahayamboka9963 7 หลายเดือนก่อน

      Unafilwa we kwa lipi ukisikia umasikini wa fikra ndio huo

  • @Mwajuma-hl2ot
    @Mwajuma-hl2ot 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu akurinde makonda

  • @jaymalebo2159
    @jaymalebo2159 7 หลายเดือนก่อน

    Makondaa Mungu akubariki

  • @user-un2fk7iz7s
    @user-un2fk7iz7s 7 หลายเดือนก่อน +2

    Sio mwanza TU haya hapa makao makuu dodoma ndo pameoza kabisa migogoro ya viwanja nahati feki

  • @jamtv1883
    @jamtv1883 7 หลายเดือนก่อน +4

    Hii nchi nzito 😅😅😅

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 7 หลายเดือนก่อน +2

    Baba yangu ameongea kwa uchungu mnooooo

  • @user-fb6dh6sz2g
    @user-fb6dh6sz2g 7 หลายเดือนก่อน +2

    Bila katiba mpya mpya haya yataemdelea kujirudia tu

  • @henryj3304
    @henryj3304 7 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda chapa kazi, wewe ndiye Magufuli Jr

  • @majigeedward955
    @majigeedward955 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hii nchi inamajitu mapumbavu kupitiliza hoi nchi tusomesheni watoto wetu kwa gharama yoyote ile waje wapambane na watoto wao

  • @jacklinakinabo6479
    @jacklinakinabo6479 7 หลายเดือนก่อน

    Hii nchi bora ujidai tu mjinga ,jidai huoninkitu maana ,hii nchi bhn Mungu atusaidie tu

  • @mwejstar5678
    @mwejstar5678 4 หลายเดือนก่อน

    Naamin magufuli alikua na maono na wewe ndo mziba pengo lake...na ninaamin kabisa utakuja kua rais wa hii nch...na kizazi changu kitakua kwenye nchi salama....mwenyez mungu akupe maisha marefu...

  • @ahz6907
    @ahz6907 7 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa kama ni classmate wa jpm na amedhulumiwa miaka 40 kilimzuia nini kuomba msaada wakati wa jpm yupo madarakani kwa miaka mitano 😂

  • @samwelipima3795
    @samwelipima3795 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kinana hakuwa na haja na kero za mwananchi makonda mungu akulinde

  • @user-os3yw8hy3w
    @user-os3yw8hy3w 7 หลายเดือนก่อน

    Makonda awe tu president 2030 baada Mama Samia Yuko vizuri

  • @eliamkongwa1450
    @eliamkongwa1450 7 หลายเดือนก่อน +2

    Next president of Tanzania 🇹🇿 p makonda

  • @user-kd3ey6ez5s
    @user-kd3ey6ez5s 3 หลายเดือนก่อน

    Nahitaji namba ya Baba Makonda nimefurahiya mambo unayo tenda huko kwenu sisi uku kwetu Congo nishida na matatizo.

  • @joakweyahighdigitaltechnol4169
    @joakweyahighdigitaltechnol4169 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ongera sana makonda fata nyayo za magu.Utetee wanyonge

  • @evampuya-mp9vf
    @evampuya-mp9vf 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ardhi ni tatizo hasa Ilemela tumeilipia hati mwaka wa nne hatujapata hati kila tukifuatilia tunaambiwa kiwanja kina mgogoro ilhali hakuna mlalamikaji

  • @violethbosha1666
    @violethbosha1666 5 หลายเดือนก่อน +1

    Njoo kigoma baba

  • @annaepmack7270
    @annaepmack7270 7 หลายเดือนก่อน +2

    sijuh kama unaulinzi we baba jmn baada ya mika mi2 sijuh 😭

  • @user-xe3fo1bh5s
    @user-xe3fo1bh5s 7 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda safi sana

  • @user-gu3ol1rv8g
    @user-gu3ol1rv8g 4 หลายเดือนก่อน

    Nmemskilza huyu baba mpaka nimejkuta nalia😭anaukwel ndan yake piah ulizi ufanyike juu yake ukweli unauma🙌

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 7 หลายเดือนก่อน

    Dah inauma sana raisi wetu ndo huyu sisi

  • @marthaswai1185
    @marthaswai1185 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nafasi ya Makonda ni ndogo sana.Apandishwe cheo zaidi.Anafaa kuwa CAG,sheria imruhusu kupeleka wahalifu Jela.

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 4 หลายเดือนก่อน

      Ni kubwa kwani hata cag anachaguliwa na rais kwahiyo makonda anauwezo wa kumuadibisha

    • @marthaswai1185
      @marthaswai1185 4 หลายเดือนก่อน

      @@tanzcanmediatv4473 Hii nafasi hajaapa.Apate u CAG

  • @user-io1et5ei6p
    @user-io1et5ei6p 7 หลายเดือนก่อน +2

    Makonda vaa viatu vya JPM, okoa jahazi liaenda mrama, mama kazingirwa na watu wasiotaka uongozi wake ila yeye mala hajui tu, lakini yanayosemwa ni ya kweli kweli kabisa, hivyo tunaamini uwepo wako makonda utarudisha heshima ya chama cha CCM na serikali yake,kiasi kwamba ilikuwa inapelekea kubaya kwasababu watu walisha hizo vitega uchumi vya nchi nakujinufaisha wao na familia zao.

  • @innocentludovick4724
    @innocentludovick4724 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ahadi ya chama cha mapinduzi haki nayo ipo. Kwa hivyo Mh. Paul Makonda atakuwa muumini wa haki husda za mwanadamu zishindwe.

  • @vickysteven1172
    @vickysteven1172 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu akutunze makonda wasikumalize

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 7 หลายเดือนก่อน +3

    Yani makonda mheshimiwa samia alichelewa sana mheshimiwa waziri mkuu majaliwa peke yake anachoka na hayo anayosema huyo baba ni kweli lakini samia aliyataka magufuli aliwatumbua wote yy kawarundisha sasa wananchi wanapata taabu enzi ya magufuli tulisahau hayo yote umeme ulikuwa haukatiki sasa hivi kuazia daa umeme kila kona umeme umekuwa wamgao wananchi wamechoka na tena samia kashutuka mapema yani 2025 ccm tungepata shida sana

    • @ibrahimally8073
      @ibrahimally8073 7 หลายเดือนก่อน

      Hapana mama hakuchelewa kumleta makonda.. mama alikuwa anasubiria muda sahihi wa kina lissu na mbowe waanze propaganda zao ndio amlete kiboko Yao .. yaani kura za wasukuma tu zitampeleka mama mpaka 2030..

    • @user-fb6dh6sz2g
      @user-fb6dh6sz2g 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@ibrahimally8073thubutu watu wa sikuhizi ni waelewa hakuna mjinga Tena nakuambia. Na watu wamechoka uonevu haswa

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 7 หลายเดือนก่อน +2

    Nchi inaongozwa na serikali ya chama gani na wezi wsnstoka chama gsni?

  • @mariethjohn3074
    @mariethjohn3074 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli watu wana nyanyasika duuuu mama aangaliee sana

  • @abdultandala6576
    @abdultandala6576 7 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda uishi sana, nakuomba upatapo kero uhakikishe unazitatua kama hautofanya hivyo itakua kazi bure kuwachosha watu kutoa kero zao yangu ni hayo.

  • @user-uk9vm5jn9d
    @user-uk9vm5jn9d 4 หลายเดือนก่อน

    Mheshimiwa makonda wanawake tumebeba mboga sanna tunanyeshewa na mvua jua letu mvua yetu tunaomba utusaidie tunaumia sanaaa

  • @nero7941
    @nero7941 4 หลายเดือนก่อน

    Awawatu ndio wanawaponza viongozi makonda awe makini tu😢

  • @azizalivingston1954
    @azizalivingston1954 5 หลายเดือนก่อน

    Hongela baba hii ujasir mkubwa

  • @barryrioba3934
    @barryrioba3934 7 หลายเดือนก่อน

    RAISI SAMIA Mjanja Sana, Ametumia Akili Kubwa Kumuweka MAKONDA Hiyo Nafasi Ya Uenezi CCM Taifa. MAKONDA Nae Ni Kichwa Sana Kwenye Kazi.

  • @finehotelzanzibar
    @finehotelzanzibar 7 หลายเดือนก่อน

    Hivi unajua huyu Makonda anaweza kuja kuwa Rais. The second Magufuli 😊

  • @scolasticakaduma5143
    @scolasticakaduma5143 7 หลายเดือนก่อน

    Kanda ya Ilala DSM tunakusubiri kwa hamu sana Mwenezi Makonda.

  • @AlexisAjwantos
    @AlexisAjwantos 2 หลายเดือนก่อน

    Uzuni chapa kazi bb

  • @user-gw8xt6gr4j
    @user-gw8xt6gr4j 7 หลายเดือนก่อน

    Naomba raisi watu amrudishe lukuvi wizara ya ardhi hapo ndo ataweza ardhi

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 7 หลายเดือนก่อน +1

    🔥

  • @mwitaagness455
    @mwitaagness455 7 หลายเดือนก่อน +4

    Yesu wangu Hosiana alipo itakuwa tumbo linamuuma....

  • @dinaalfani
    @dinaalfani 4 หลายเดือนก่อน

    Alhamdulilah❤❤ makomd

  • @user-gx7uk1qe6n
    @user-gx7uk1qe6n 4 หลายเดือนก่อน

    Daah inauma sana aise 😥😥😥

  • @user-bd1qi9lk9y
    @user-bd1qi9lk9y 5 หลายเดือนก่อน

    Tukipatikana Wana ccm kumi kama Hawa tutavuka bila shida

  • @user-dh7yg6dl5e
    @user-dh7yg6dl5e 4 หลายเดือนก่อน

    Nampenda huyu baba anaongea sana😂

  • @user-gw8xt6gr4j
    @user-gw8xt6gr4j 7 หลายเดือนก่อน

    Naomba mungu poul makonda uje na sumbawanga baba ,mirad yetu ni nishida