@@janatahmad7048 ila tumuangalie baada ya miaka miwili itakavyokuwa hakuna anayemuombea mabaya ila angejaribu kukaa na kufikiria kwa umakini kabla hajaamua
@@shammylove1525 yap kama bongo star search tu walimkataa harmonize yule vip huyo jembe ni jembe angempenda harmonize wakati huoo kabla diamond hajamfua vilivyooo😒😒😒
Zulfa Msham day alitoa aiyola kabla hajawa na Dai, na hapaswi kuwa mtumwa hata wewe na mimi tulinyonya maziwa ya mama tukaacha tukakua tukawaacha tukasaka maisha, kwa nini abaki chini y Wasafi? Unajua vitu vingapi mkataba ulimkataza kufanya? Wakati anatambaa kama amefika umri wa kutembea muache atembee. Maisha ni kusonga mbele
Chidbenz anakanusha maombi ya mashabiki sio kwa kupenda, ila inauma sana kufanya kitu kwa nguvu then mtu anajiita anaku "MANAGE" anakudhurumu jasho lako, najua kipindi yuko kwemye peak watu walimtumia sana Chidbenz na sidhani kama malipo aliyopewa yalikuwa na haki na ndio maana amelaani sana kwa Harmonize kuwaamini watu tofauti, huo ni mtazamo tu nadhani wapo wasanii wengi nikikumbuka enzi nakuwa miaka ya Sugu moto chini hadi sasa miaka ya Diamond, kuna wasanii wengi wamezimwa na watu fulani, wamezimwa na kupotea kwa kukosa elimu, najua haituumi kwasababu hawatugusi kidamu... Ila serikali kupitia vyama vya kutetea sanaa wangekaa chini na kuwalipa hawa watu au kusimamia malipo yao kwa hao waliojiita wanawabeba zaman kwa kuwapa mafao yao... Kwa wasanii wasomi kama F. A na A. Y walipambana maana walikuwa na msingi wa elimu na kazi za pembeni, tusiwaseme wasanii waliopotea kuwa walipenda starehe au madawa, kuna muda tunapaswa kujua kila mtu anatumia aina fulani ya "Kilevi" anapopata stress... Wao kuingia huko sio kwa kupenda ila ni maisha tu na mjini bhana ukifulia hata kutembea sometimes inakuwa shida
Sema chid kampenda huyu presenter: like for me wanaokubaliana na Mimi afuu njoo kwenye akaunti yangu uone video ya dully syskes akiwachana wasanii bongo search
Chidi ameongea point mashabiki zake tupo hatunawahi kuacha kumshabikia, mimi nimejita hamibenz since 2008 mpaka nw account zangu zote, fb, insta, hata wasap, shule, chuo, mtaani wananiita hamibenz na jina nimetoa kwake
chidy benz hana tofauti na mr nice walipata nafasi kubwa sana za juu wakaanguka iwe bahati mbaya au kusudi ila walianguka,chidy benz ndo msanii wa kwanza wa hip hop kuwa na hela kuliko yoyote,akupata washauri wakumuongoza kaishia kula bata mpaka bata kamla yeye,diamond ndo msanii anaeishi kwa mistake za hawa wote anajua walianguka wapi yeye apite wapi,chidy benz ashakuwa na show ya maisha yake ashalipwa pesa mingi sana,chidy anlikuwa mfukoni kwa siku anatembea na milion 10 mfukoni na wapambe kama 20 nyuma yake akidhani hapa tz ni america.
ASASA chuma umeongea kitu konk sana diamond abaki kama msanii na redio ibakie kama redio acheze nyimbo zote....... Ushauri nimeukubali sanaa aisee mondi pokea kaka
Chidi Benz inabidi uende na wakati ili usikike kwa mashabiki zako. Maisha yamebadilika tofauti na wakati ulipokuwa juu. Hata manager kupata utapata lakini jiongeze banaa fungua acc za TH-cam na Instagram ili watu wakufuatilie kama hujui kutumia watakufundisha. Tunakupenda jameni
@@rasvegas8991 Dah 😒 Itabidi aombe msaada kwa wasanii Najua wengi wanamkubali wamchangie na kumfungulia yaani wampe acc tuu na Sio hela. Lakini anaweza kufungua ya Instagram si ni bure? Pale aweze kuanzia kuwasiliana na mashabiki na ni rahisi kuwaomba wamuunge mkono
Chid benz fungua account ya you tube naiman utatengeneza mkwanja mwingi saaana sababu watanzania wengi wanapenda kuangalia interview zako zenye ukweli na vituko kidogo cjui niseme vichekesho kidogo ikiwemo pamoja na mm fans wako mkuuubwa saana ninapo ziona taalifa zako you tube cwezi nikaipita bila kuziangalia sababu zinanifurahisha sana na kunielimisha saana brother.
Wanaosema Presenter katisha sana kwenye interview ..gonga like hapa twene sawa.
Noma sana
Chid benzi ww n nomaaaaa,unaongea ukwel mpka unafurahisha,safi sn,Mungu akupe nguvu zaid.
This Guy has a lot of Wisdom, I can listen to his interviews all day....
Msg nzuri sana kwa harmonize kutoka kwachidi
Chidiiiiiiii.. namkubal hata akiimba qasweeda.. team CHIDI ndo mm..like yr songs brow
Daaah!! Hii interview ni nzuri sana aiseee.. Kuanzia presenter na ubunifu wake, pili chumaa ni mtu hakosei kwenye interview zakee🔥🔥🔥
Hiki ni chuma ni noma hpo kwa harmonize umeongea point tupu chid muongea kweli
Shaaban Ramadhan kumb huw unayumb hvy uyo Benz anaona bado yupo apaapa
Dah chid upande wa harmoniz umeongea point sana 🙏🙏🙏
Chid benz ni mkali Inafika wakati watu inabidi wakubali hali yake na wasapport mziki wake .
Kasapotiwa mala ngap anaenda kuiba vitu vya watu anaiba mpk simu unamsapot kitu gan sasa
We Faraji Ramadhani unakwama wapi ww, hebu angalia hyo interview yake usikie huo Utumbo anaongea huyo chidi Benz, aah Jamaa kaniboa asee
Point
Ume nena vema kaka
Nahisi nimemuelewa sana chid benz jamani kuhusu harmonize .kama umemuelewa kama mimi hebu tuonane hapa😌😌😌😌😌😌
nom.sana mwambiee mmakonde nabado
@@janatahmad7048 ila tumuangalie baada ya miaka miwili itakavyokuwa hakuna anayemuombea mabaya ila angejaribu kukaa na kufikiria kwa umakini kabla hajaamua
@@shammylove1525 yap kama bongo star search tu walimkataa harmonize yule vip huyo jembe ni jembe angempenda harmonize wakati huoo kabla diamond hajamfua vilivyooo😒😒😒
Zulfa Msham day alitoa aiyola kabla hajawa na Dai, na hapaswi kuwa mtumwa hata wewe na mimi tulinyonya maziwa ya mama tukaacha tukakua tukawaacha tukasaka maisha, kwa nini abaki chini y Wasafi? Unajua vitu vingapi mkataba ulimkataza kufanya? Wakati anatambaa kama amefika umri wa kutembea muache atembee. Maisha ni kusonga mbele
Hiyo Aiyola imetolewa under WCB na shooting imefanyika South Africa ww uliesema Aiyola iliyolewa before weka kumbukumbu zako sawa usikurupuke.....
Noma sanaaa 👊 👊 pindi la kjanja Zaid 🔥🔥
wana wcb naomben like jaman
King of the microphone El magnifico , King Kong, chuma love from🇷🇼
Wapo Ambao hawakutaman kumuona tena chidBenz akicmama,GOD is not good but he's the Goodest,I appreciates your much more CHIDBENZ ur machine.
Kama umesikia
Naomi unasema
ukitoa point anazoongea mwamba napenda sana energy ake muhuni ana ongea kwa energy sana io n kumaanisha ana uwakika n'a anacho ksema 💪..
ChidY unaongea point tupu
Wasanii wapo wengi wa zaman na ukitaka kujua chid ajachuja mpk sasa tazama tu media kwa nn wanamfuta...hapo ndio utajua bado anauza
Katika kitu nilicho prove chidi Benz ana akili sana
KAONGEA VITU VIKUBWA SANA CHIDI VIKUBWA SANA YANI 👊
Umu umeongea kitu support 🔥🔥🔥🔥🔥🔥👏👏👏
huyu jamaa ni kichwa sana aiseee he is a genius indeed..
Kabisa
Sana
tuliomiss interview za chid benz
Wallahi kaongea maneno yanasisimuwaa😭😤😤😤😤😤😤😤duh
More sanya mbona upo kimya sana tuletee kipindi mzee naipenda sana saut yako mzee yaani nikuona Mimi lazima ule bando langu
Chidi umeongea maneno mazito sana ama kweli ww nikichwa na unaona mbali big up brother
chid anajuaa atabaki anajua mpk day ya mwishoo
Mmh chid namkubali sanaaa
Chidbenz ukoo juu kama wcb
Mo town thats a nice interview my brother, gud set up, mixing it up with crowd comments alafu part ya kuimba mwishoni is just perfect
namkubali chidi huwaga anaongea point naomba sapport kwa kaka nasib amuinuwe kaka yetu chidi
Chid Mungu tu ndo yuwakuelewa,for mi utabaki kuwa on ju ju ju big big love from 254
Peace and love chidi Benz, umeongea cha maana chuma. From +1
Jamaa una Hii q kubwa Sana respect daaaaah ila mungu akuongoze naamin kwel dogo anapotea @harmonize_tz angalia hii interview
Chidbenz ur genius umeongea point nakupenda sana braza
Chidbenz anakanusha maombi ya mashabiki sio kwa kupenda, ila inauma sana kufanya kitu kwa nguvu then mtu anajiita anaku "MANAGE" anakudhurumu jasho lako, najua kipindi yuko kwemye peak watu walimtumia sana Chidbenz na sidhani kama malipo aliyopewa yalikuwa na haki na ndio maana amelaani sana kwa Harmonize kuwaamini watu tofauti, huo ni mtazamo tu nadhani wapo wasanii wengi nikikumbuka enzi nakuwa miaka ya Sugu moto chini hadi sasa miaka ya Diamond, kuna wasanii wengi wamezimwa na watu fulani, wamezimwa na kupotea kwa kukosa elimu, najua haituumi kwasababu hawatugusi kidamu... Ila serikali kupitia vyama vya kutetea sanaa wangekaa chini na kuwalipa hawa watu au kusimamia malipo yao kwa hao waliojiita wanawabeba zaman kwa kuwapa mafao yao... Kwa wasanii wasomi kama F. A na A. Y walipambana maana walikuwa na msingi wa elimu na kazi za pembeni, tusiwaseme wasanii waliopotea kuwa walipenda starehe au madawa, kuna muda tunapaswa kujua kila mtu anatumia aina fulani ya "Kilevi" anapopata stress... Wao kuingia huko sio kwa kupenda ila ni maisha tu na mjini bhana ukifulia hata kutembea sometimes inakuwa shida
Uko vzur man
Umeongea big fact sana bro
Sina neno wewe umemaliza kilakitu mkuu respect🙏
Kweri ndugu ang
Hansel umeshuka kinoma mzeee
Best interview ever chid Benz anaakili sana mmakonde chukua hiyo
Nikkimbishi na chidbenz hawa jamaa nouma kweli kwenye interview hawa nouma
Ila chidi ako na akili na hakuna bisho bro..maoni kichizi men.namkubali...big lov from kenya
CHIDI BENZI IS REAL, YANI ANAONGEA POINTS TUPU TU
dah hii interview imenoga kuanzia alipotajwa dudu baya 🤣🤣🤣🤣
Awo jamaa wanaoimba mwishoni dah😂😂😂😂
Nimeamin hao wanaomponda kweli sio mashabiki wa chid coz chid ni mtu mwenye akili sana..na ofcourse alianguka lakini sasa anarud..chid benz
Yan awa niwapumbavu saaana
Kenned John ni seem ya maisha ambayo tunatakiwa kujifunza
Hapo sawa chichichichi binz💥💥💥💥🤧🤧
Chidi soo chidi blow huyu jamaa hiphop iko ndani yake beat zote anaflow bila kuforce akipata support ya nguvu atafanya mapinduzi ya hali ya juu
Chidi wewe ni number 1 kwa interviews aki (a real definition of an original artist)
Chuma napend interview zk😂😂😂
Big chumba harmonize fans but your real chid👊🏻
Leo nimeenjor sana Daah chid Benz noma
Mpaka Kenya tunamkubali sana huyu jamaa Aliweza sana kwa ile nyimbo ya kadhaa remix
Safi ndugu zetu Kenya moja
Umeongea FACTS TUPU ChidiBenzinoooooo!!!!
Like kwa walio kuw wameishiw bundle nawkaweka vocha nawakaendelea na manrno child Benz
Chid akili nyingi sana blessed brother
2020 tupo p1 na chidbeenz gonga like
Mnatumia mda mref kutuletea sany nakubal swag zako bgp blo
Dah, huyu Jamaa, akili kubwa sana aisee bac tu......!
Chid benz hapo kwa Harmonizer umeongea point kubwa sana 👏
Sema chid kampenda huyu presenter: like for me wanaokubaliana na Mimi afuu njoo kwenye akaunti yangu uone video ya dully syskes akiwachana wasanii bongo search
Yani Chid anazingua Sana hajui tu mashabiki wake tunavyoteseka nakupenda chidi hivyo ulivyo una sauti yakipekee Duniani
Dahh huyu jamaa ni genius kw kuongea mm hua namkubali kw interview kuliko nyimbo
chenz Benz humenifurahisha Sana na maneno yako yanafurahisha funny😁😀🎉
Chidi ameongea point mashabiki zake tupo hatunawahi kuacha kumshabikia, mimi nimejita hamibenz since 2008 mpaka nw account zangu zote, fb, insta, hata wasap, shule, chuo, mtaani wananiita hamibenz na jina nimetoa kwake
chidy benz hana tofauti na mr nice walipata nafasi kubwa sana za juu wakaanguka iwe bahati mbaya au kusudi ila walianguka,chidy benz ndo msanii wa kwanza wa hip hop kuwa na hela kuliko yoyote,akupata washauri wakumuongoza kaishia kula bata mpaka bata kamla yeye,diamond ndo msanii anaeishi kwa mistake za hawa wote anajua walianguka wapi yeye apite wapi,chidy benz ashakuwa na show ya maisha yake ashalipwa pesa mingi sana,chidy anlikuwa mfukoni kwa siku anatembea na milion 10 mfukoni na wapambe kama 20 nyuma yake akidhani hapa tz ni america.
Hamonise ajiangalie sana Haya maneno ya chidi ukweli mtupu!!
💯💯
UKWELI NI MUNGU ANAE PANGA RIZIKI NA ANAE PEA MTU PUMZI NA ANAE JUA MTU KILAKITU CHA BINADAMU
Mungu, pekee anagawa ridhik sio binadam
na Mungu huyohuyo huongea kwa vinywa vya wanadamu
@@khadijakhadija6212 KABISA
Sema huyu jamaa mda mwingine anaongea point
Pamba Tz always
Daa nime enjoy Sana leo chid mpk mashabiki wake 😘🤗🤗
Sometimes kufika on top sio kazi ila kazi ni kumaintain kuwa on TOP.
Alisikia sio shabiki langu hilo like hapa
Nakubali mwanang shotout kwak mzee
This guy anatema true
Uwezi mzidi alie kufundisha kushika myk Chd og sana wew
Naipendaga sana kuangalia hii interview
Good sana chidy Benz mm nakuombea urud katika Hali yako na pia nazd kukubali sana mungu yu nawe
"asante kaka chid Benz!! truth iz truth!!!!
We In Kenya stand firm to Support you,we know your Worth and potential...KING KONG CHUMA.
Safi sna kka umeongea maneno mazuri. Ahsante
Maneno ya mtu mzima hayo huyu jamaa nilikuwa namwona kama zimepungua but Leo nimekuelewa kumbe unajitambua
ASASA chuma umeongea kitu konk sana diamond abaki kama msanii na redio ibakie kama redio acheze nyimbo zote....... Ushauri nimeukubali sanaa aisee mondi pokea kaka
Chidy anaongea point San anajua akipata mtuu akimshika bila kujali hasara atafika mblii
My role model in music🔥🇰🇪
Hivi nikweli
Kitu kime editiwa poa sana hongera zenu wasafi media
Chidi Benz inabidi uende na wakati ili usikike kwa mashabiki zako. Maisha yamebadilika tofauti na wakati ulipokuwa juu. Hata manager kupata utapata lakini jiongeze banaa fungua acc za TH-cam na Instagram ili watu wakufuatilie kama hujui kutumia watakufundisha. Tunakupenda jameni
Account youtube kufungua ni hela mzee 2ml ataitoa wap
@@rasvegas8991 Dah 😒
Itabidi aombe msaada kwa wasanii Najua wengi wanamkubali wamchangie na kumfungulia yaani wampe acc tuu na Sio hela. Lakini anaweza kufungua ya Instagram si ni bure? Pale aweze kuanzia kuwasiliana na mashabiki na ni rahisi kuwaomba wamuunge mkono
Kwa kwel mm hua nnafurahia Sana interview ya Chid Benz
We jamaa ni kichwa nakupenda sana unaakili sana
Chid wewe ni hatari sana akili yako unawaza mengi sana.
Cleofas ladislaus anawaza na kulamba unga
Chid Benz nakupenda San sauti yake from +257
Chid benz fungua account ya you tube naiman utatengeneza mkwanja mwingi saaana sababu watanzania wengi wanapenda kuangalia interview zako zenye ukweli na vituko kidogo cjui niseme vichekesho kidogo ikiwemo pamoja na mm fans wako mkuuubwa saana ninapo ziona taalifa zako you tube cwezi nikaipita bila kuziangalia sababu zinanifurahisha sana na kunielimisha saana brother.
LA FAMILIA dah kitambo xana manzee!
Sauti ya chidy jamanii
Yaani in nguvu sana
Nampenda anavyoimba
Dhaaaa CHUMA umeridhikaaaa jamaa ! Ila powa sana kwenye freeee stairisss wewe ni CHUMAAAAAA
Chidi Benz una Uswahili sana...una wivu wa maendeleo ya wenzako
King wa ilala chid makini sana
Best artist...Rashid.
Nakubali sana chidiiii...
Point za chid noma sana
Wasafi midia 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kweli chid muambie wa chitooli uyo.
Presenter Huna Adabu,wakati unaongea na Chid Kuwa na nidhamu,usipagawe na iko kipaza
Aaah chidi nakupa tano 👋
kauli thabiti kaka chid benz
Hata Mungu anatupandisha sana na tunamkosea itakuwa Harmo na Mondi!Harmo atapaa tu kama ndio majaliwa yake no one can do anything about it!!
Sekunda Mbilinyi harmonize hana jipya
@@goldtv5558 hakuna mwenye jipya yote ya zamani
Pole sana mtangazaji kijasho kimekutoka
Hongera kwa ukweli bro
Daah chid upo real sana,mzee