Nimemskiliza kwa makiniiii Sanaa nimegunduwa kitu chidi kapata nafasi kashindwa kutumiya vizuriii waloitumiya vizuriii anaaaanza kuwapakaziyaaaaa eti hawamkumbukiiiii wakati kipindi kile alikuwa mkubwa kuliko hao alio wasaidiaaaa Mzee hilooo ni somo to sha kilaaa unopooo pitiya jaribu kujifunzaaa babaaaaa kupoteya njia ndio kujuwa njiaaa kazaa nafasi bado unayoooooo
Yawezekana kweli chid ni mlevi lakin anacholalamika ni haki yake kwakua wakati ule anafanya mziki hakua mlevi mbona kuna wasanii wamekufa na haiki zao zinaheshimiwa
Nimemskiliza kwa makiniiii Sanaa nimegunduwa kitu chidi kapata nafasi kashindwa kutumiya vizuriii waloitumiya vizuriii anaaaanza kuwapakaziyaaaaa eti hawamkumbukiiiii wakati kipindi kile alikuwa mkubwa kuliko hao alio wasaidiaaaa Mzee hilooo ni somo to sha kilaaa unopooo pitiya jaribu kujifunzaaa babaaaaa kupoteya njia ndio kujuwa njiaaa kazaa nafasi bado unayoooooo
Yawezekana kweli chid ni mlevi lakin anacholalamika ni haki yake kwakua wakati ule anafanya mziki hakua mlevi mbona kuna wasanii wamekufa na haiki zao zinaheshimiwa
Chidy mm namkubali sana wakimuhoji uyu jamaa nikichwa mno nauyu kweli wamemdhulumu
Benzino wamekudhulumu...nenda kawaroge
Chid kuna wkt anaongea vtu vya mcng ila kuna saa anazngua,ila kkubwa alchosema n pesa ganiiiii(maisha hubadilika)
Huyu muda mwingine ni criaz na muda mwingine ni comedy elewaaa
Hahaha point lkn anasema
Noma sana kaka Chid ume ua sana
Huyu jamaa hana akili ! Wakina AY na mwana Fa walipiga hela Tigo hivyo hivyo ! Nashangaa yeye amekaa🤦🏽♂️
Chid kichwani zipo sana,namkubali
Kichwa uyu jamaa
Chid benz amtafute kibatala mbobezi..kama ni kwel anachosema bas chid ni billionaire next to mh mwana FA na AY
Mwishoni amesema swala very sensitive… which mtu ukisikiliza unaona something
Nenda vyombo vya Shelia nenda basata mtfte mwana F A mana ushalalamika saana
Nampendaga huyu hana unafki kanyooka
😮 huyu jamaa kuna kitu kichwan anacho
Mwana FA anatakiwa asikie hii 😓
Kufanyaa kaz na huyu jamaa nikaz Sana Yan dah 😂😂
Tatizo lake haelewekii...aongee point nn tatizo yeye analopoka tuu Yan haelewekii
Wajuaji huwaga hamuishi🤬🤬🤬🤬
Chuma