CHIDI BENZ asimulia ALIKIBA alivyokuwa akiuza VITUMBUA ‘Ali K ni hustler, hakuna kama yeye - Part 2
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 19 ก.พ. 2024
- Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.com/store/apps/de... - บันเทิง
HIVI HUYU JAMAA ANA UBONGO WA KIASI GANI😮😮 DUHHHH ANA MEMORY SIJAWAHI PATA KUONA WALLAH, MASHA'ALLAH 😮😮
Sema hiyo glass ya maji hapo bwana sky ungeipiga brand yetu tu (SNS) ungetisha sana asee
CHIDI bro wangu kama wajua KUNA MUNGU jiandae na KESHO yakoo ,mrudi MUNGU.uanze KUFANYA IBADA kama aivyoamrisha MUNGU, MUNGU ni mkubwa WA KUSAMEHE
Kama umeelewa mafumbo alioongea chid✌️ weka like
😂😂😂
Kama una amini chid ana akili sana like apa
Hana hakili chid benz wwwe
Ache unga sasa.. akili bila mahalifa sawa sawa..
Sasa chidi yote wayajua kua kuna MUNGU kwanini isitubie ukaanza kufanya IBADA kama alivyoamrisha MUNGU???
Wanaungana ungana vp simba mara yanga dah naenjoy sn interview ya legend chid
Piga kelelee kwa chidbenziii❤❤❤❤❤❤
Brother sky nakusifu kwa kumsikiliza chidi😂
Noma sana nakubali child benz chuma
Kama isingekua tumekatazwa kua na Iman zakishirikina basi ningesema mwana Kuna wahuni wamemchezea,maaana ni mzima Sana zaid ya tunao waona wazima,akir nyingi
Acha tu mwamba ana IQ kubwa sana
Exactly! Chidy is a genius ndio maana watu hawamwelewi.. ni kama Kanye West vile ambavyo hatumwelew
Bro watu wanachezeana mambo ya nyota mzee so mchezo
Lil Wayne and chid Benz sauti Sawa Sawa 🤣🤣🤣🤣
Two Legends meets together.....mwandishi n Legend na Chid naye wa kitambo interview inakaa poa sana
I can I agree with Chid, Alikiba is the only guy I saw in Canada amejaza show na sehemu mbalimbali so far alafu atumii Nguvu.
Daa hujama kuna mdaa haipo sawa
Ila hapo kwa Ali alivyokuwa anauza vitumbua daah😅😅😅
CHID MIYEYUSHO SANA SOMETIMES😂😂😂
Nikiona chid anaongea nafurah sana😂😂😂😂😂
Daaah naona kama brother Sky alipata shida sana kwenye iyi intervew
😂😂😂
Dah mahikaji anaongea point
Love you Chi B no mara waa❤❤❤❤❤
nikiangalia macho yake inaonysha tu jamaa yuko vizur wala hana tatizo la madawa, sema alishajiwekea mfumo wake tu wakufany intervi, watu tuache kusema tusichokujua kbs, kisha hii ya matajiri kupenda toto ndogo , ndio kesi kwa sasa inawkabili viongozi na mastaa huko marekani
Unaongea sense sana👏
Nimekubali
Kama unaamini wanawake ni wachache wa shukrani gonga like apa.
Ww unamuona huyo ako mzima
Jamaa anahitaji msaada
Best interview
Alikiba Congo 🇨🇩 tunampenda
😂😂😂😂😂😂 fry Alikiba
Dah Sky we ni mvumilivu sana kaka 🤣✊🏾
Brother kwa ali kiba atamimi nakubal yupo vizur sana
That's true Alikiba mzee wa kusex anga
Nimependa chid benz saivi anapata hata raha ya kucheka ,, God is good 🙏🙏🙏 Ila chid bana yani Anatembea na ndala Tena Kagera Magomeni bila hata Bodi gadi 😅😅😅
😂😂😂😂 nani atamgusa😂😂
Huyu brother anakipaji kikubwa sana ila kuna sintofaham nyuma ya maisha yake, allah atunusuru arejee kwa level yak
Aaache madawa
Yanii we mahala umuombee dua arejee kwa Allah we unatabaki alikuwa muombee nusra ndugu yetu katika iiman
Sky unamskiliza Kweli
Big up broo
The Alikiba part 😅 🔥 Ali ni mnoma
😂😂😂😂nikikumbuka iyo kama alien😅
Inamana lady jide kaliwa kwa sisi tulio soma ulusi tushaelewa
Hahaha brother Sky anavyo mwangalia Chid kwa huruma.
He is paying attention
🔥🔥
Pamoja na Yote Chid ana uwezo mkubwa sana wa kukumbuka kila kitu mpaka small details
Iyo yakula nyama za watu ni kweli kabisa mwaka Jana ime lushwa clip means dada wa congo Ali kamatwa na watoto walio chinjwa na nyama ya watoto ilio andaliwa na alikua na mgahawa
Mwamba huyu hapa
MBAMIII ANATOTOAAAA🤣🤣
Ila haya maisha nyieee daaah
hatuna budi kukubali kua tushampoza mwamba for this time kweny swala zima la utimamu
𝐂𝐡𝐞𝐝𝐲 𝐧𝐚𝐦𝐩𝐚𝐭𝐚𝐠𝐚 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐲𝐚𝐧𝐢...
mhhh
Kweli matajir wanapenda watot
mwanangu chidi amepiga vitu kabla kuja interview naona ako vizuri
Katoka mtu Malini mno Ni chid Benz Ni mtu anaeigiza kua hajielewi Ila Ni mtu Makin mnoo chid benzi
Brother sky unauvumilivu sana aisee maana daah mwamb anaungruma2 mar anasinzia duuh sali liko hvi majib vile
😂😂😂
😅😅😅 Dah
Kama Watu Wa Sayari ya Mars
Dada ile mbami😂😂😂
God #benzino
Hii muhimu sana. God!
Chidy anajua uwepo wa MUNGU na anajua mpaka hapo alipo ni MUNGU sasa kwanini msimuelewe mpaka mseme bangi
Duuh kweli sky una uvumilivu. Mimi nisingeweza kumsikiliza kabisa
Ila akivua miwani mbn km macho yke km kashakula vitu ivu mbn macho ypo ivo
❤❤❤❤❤ 😅😅😅
Alikiba noum
Sikay mpaka anachoka kumsikia Chd😂
Fatilia hao matajiri bro kuhusu kula watoto
Chidi kichaaa 😂😂😂
This guy be looking high 24/7 haha 😂, can’t even tell if he’s high or not 😂.
Kwa mfano chidi anataka kuwa MSEJI wa timu hapa Tanzania anafaa kuajiliwa na Timu gani?
Bangi mby
Ushafeli mzee chid kuwasema madogo ovyo ovyo ni makasiliko
Jaama ni genius
Raha ya kumfanyia chid interview wew mpe swali moja alafu yeye anatiririka interview yote 😅
Chidi anaakili sana na anapenda kwenda na akili ya mtu alivyo
Akimuona kichwa anaongea pointi
Kama anayemfanyia intavyuu hujitambui utacheka na majibu yake
Et we kidevu sio chin beez😂😂😂😂
Hii issue ya nyama za watoto nimemsikia Mfalme Chidy Benz zaidi mara sita. Naanza kuamini Itakuwa na ukweli ndani yake
Chidi haongopagi
Ukiona akitaja jua kweli
Ila bora huyuu! Kuliko d.I.d
Anaongea kama anatafuna karanga😂😂😂😂
Mimi hupenda mschizii wote wakutoka magetoni 😂😂😂😂 yani hua hawafake maisha yani wanakupa makavuu au sio
Chumaaa chidbenz
Chid ana machokumchuzi Wala sio bangi
Kwenye suala la nyama za watoto wadogo kuliwa,nakubaliana na rashid,hiyo ni kweli kabisa hii dunia ni so wicked,kuna vitu ukiambiwa vinaendelea kwenye hii dunia HUTAAMINI HATA KIDOGO
Wa kwanz leo
Chidi anatakiwa kupata ucmamiz wa kazizake vizur atacmama vyema kabisa amini hvyo
gegius CHEEEEEEEDBENZ
Gegius??????
Sauti 😂😂😂
Kwani amelewa now?
Ila bangi bado anavuta
😂😂😂😂Mbami
Mbn anaongea kama Oni Sigala?? 😂😂
Chid ww umekuja umeshapa ugali
Media zinapromot bifu wadai
better chid than H baba
Kwa hiyo chidi ni kama alimla Jide maana kafichaficha
Huyu kashakula vitu huyu si bure kw hali hiyo 😳
Kwenye bongo flevar Ali kibaNi flai k.😅😅
Chumaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Ngada
Chid kumbe katomba Jide
tangu namjua ajawah kukosea mtoto wa ilala
CHIDI AITAJI MSAADA FOR REAL HAEZI KUWA AMESAIDIA KILA MSANI WA BONGO THIS GUY IS USELESS
Kwa enzi zile, wengi sana walipita mikononi mwake na kiuchumi alikuwa yuko vizuri nadhani familia ilikua inambeba financially
Apelekwe rihab huyu
Bongo music industry inaonyesha kuna uc....fu xana
Naona bwana sns umeogopa kumsikia matajir wanakula wototo
Brother Sky hapo umezingua😂.. Jay Dee hakumlenga Chidy bhana, acha kuchanganya madesa
Ni Kweli kabisa