EXCLUSIVE NA CHID BENZ AFUNGUKA "ROMA HAJANILIPA, NILIKUWA NA HELA NYINGI ZAIDI ALIYONIPA GEORDAVIE"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ม.ค. 2024

ความคิดเห็น • 287

  • @mbarakkhalid117
    @mbarakkhalid117 5 หลายเดือนก่อน +36

    Chidi anathamini utu zaidi ya vitu hyu ni legendary god bless him

    • @mcnyota
      @mcnyota 5 หลายเดือนก่อน

      God*

  • @maufijose2294
    @maufijose2294 5 หลายเดือนก่อน +5

    Huyu Jamaa Dah! Mungu Ana Kitu Kikubwa Sana Amempa Kichwan Kwake Ila Mengine N Madhaifu Ya Kiubinadam Tu! This Man Is So Smart

  • @Gabonfreeman
    @Gabonfreeman 5 หลายเดือนก่อน +8

    Chid Benz
    Ana Akili ya ajabu Sana 🎉🎉 proud of him 💪

  • @fatumamfumia4507
    @fatumamfumia4507 5 หลายเดือนก่อน +9

    Kuna kitu watu wengi huwa hawajamuelewa Chidi japo wanamchukulia kama CHIZI. Hii kichwa ina akili sana (GENIUS) tatizo binadamu huwa tunapenda kuongopewa huyu jamaaa anangeaga ukweli mtupu. Natamani sana ningekuwa na uwezo kifedha ningekuwa hata mfadhili wake ila basi tu. Namuombea sana kwa MUNGU arudi tena juu zaidi kwny mziki Inshaallah

  • @whiteAfrican83
    @whiteAfrican83 4 หลายเดือนก่อน +1

    Dah Ukiacha mengine chid ni mmoja tu
    Respect bro

  • @user-hb7mq8lg9e
    @user-hb7mq8lg9e 5 หลายเดือนก่อน +9

    Mungu Akupiganie Ila Na ww Jitahid utoke Huko Tunakupenda Chid One Love..

  • @ngellamickyofficial
    @ngellamickyofficial 5 หลายเดือนก่อน +14

    Inahitaji utulivu wa akili sana kumuelewa Genius Chid

  • @thadeusmahendeka4466
    @thadeusmahendeka4466 5 หลายเดือนก่อน +11

    Hakuna kitu kibaya kama wewe kuwa sawa halafu kila mtu anakwambia hauko sawa au anafanya vitendo vya kuonesha hauko sawa.. inafika muda unakua completely hauko sawa, angekua mtu mwengine angegoma hata kuhojiwa maana daily anaulizwa same shit na kila anaekutana nae first impression kwake ni kumuona Hayuko sawa.. Mwenyezi Mungu amsaidie azidi kuwa bold💪🏾.

    • @modelka222
      @modelka222 5 หลายเดือนก่อน +1

      yes. hasa watanzania tunapenda saana kufanya wengine waonekane wehu. hata watu wa karibu huwa wana hii shida

    • @user-jc8el6je5e
      @user-jc8el6je5e 5 หลายเดือนก่อน

      Ujumbe mzuri sana

  • @sydneympiluka7959
    @sydneympiluka7959 5 หลายเดือนก่อน +2

    Chidi anauwezo mkubwa sana wakufikiri. Na #anautu_sana na ukiona humuelewi anachokiongea #chidi jua wewe ndo umechanganyikiwa ❤❤

  • @boscokikoti
    @boscokikoti 5 หลายเดือนก่อน +20

    Mungu akubariki sana chidi benz uwe kama zamani

  • @dj_jmoon_tz
    @dj_jmoon_tz 5 หลายเดือนก่อน +5

    Ukirudia hii interview mara 4 na hujaielewa ubongo wako ni mdogo saana chid ni genius

  • @venasalbert3930
    @venasalbert3930 5 หลายเดือนก่อน +34

    Don't say that I am the one who makes him on trending but I am happy because he trusting me to collaborate with him. This man is Genius.

    • @user-wt9nd8bh2h
      @user-wt9nd8bh2h 5 หลายเดือนก่อน

      President of Dar City

    • @Whoisthismantalking
      @Whoisthismantalking 5 หลายเดือนก่อน

      broken watch tells right time twice a day.

    • @user-qs8td6yt4x
      @user-qs8td6yt4x 5 หลายเดือนก่อน

      Kweli uyu Jamaa napenda jisi anavyoo kuwa mkweli ndomana watch Wanamaker zarau just bcz yupo open Sanaa

    • @jdanny497
      @jdanny497 5 หลายเดือนก่อน

      Well said

    • @uwezokinahi7870
      @uwezokinahi7870 5 หลายเดือนก่อน

      This dude is smart

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 5 หลายเดือนก่อน +17

    chid Benz upo sahihi alienda Kumpa pole na hakufikiria atapewa pesa,, wakati anapewa hakuwa na furaha nazo

  • @nabbeely5295
    @nabbeely5295 5 หลายเดือนก่อน +1

    Daah the respect alotoa na akakiss the ground for ngweaaa daah chidiiiiiiiiiiiiii salute

  • @ZabourahIthnain-cz5vm
    @ZabourahIthnain-cz5vm 4 หลายเดือนก่อน +1

    Chidi for life

  • @user-vo7zt3ph2g
    @user-vo7zt3ph2g 5 หลายเดือนก่อน +3

    This guy sio crazy... ako tu sawa, na angekua chizi hangeweza kuimba kwa umakini kwenye hii ngoma

  • @aishamohamedi362
    @aishamohamedi362 5 หลายเดือนก่อน +2

    Uyo ndo chid benz ❤❤❤❤❤❤❤kaka yangu nakupenda sana yaan ss watu mliyo sema chid benz yupo na njaa ayo ndo majibu yen

  • @goldenjunior_tz
    @goldenjunior_tz 5 หลายเดือนก่อน +4

    This guy ni genius

  • @michaelvincentmhagama337
    @michaelvincentmhagama337 4 หลายเดือนก่อน +1

    Upholding humanity

  • @devidjav3583
    @devidjav3583 5 หลายเดือนก่อน +2

    Much love kwa chid i wish atakubali kuna tatizo na atafute msaada kweli.

  • @Pathro_Cavosia
    @Pathro_Cavosia 5 หลายเดือนก่อน +6

    Chidi Is so Impressive and Motivating Wallai May Allah Guide and Protect Him Daima.

  • @levygasper7438
    @levygasper7438 5 หลายเดือนก่อน +5

    M
    Ayo Tv
    Nawapenda sana from Burundi 🇧🇮 🎉❤ lakini an day interview na Bg Fizzo please 🙏🙏

  • @erickdioniz8277
    @erickdioniz8277 5 หลายเดือนก่อน +7

    Chid safi hiyo nimeikubali sana

  • @stephenmwanzake
    @stephenmwanzake 5 หลายเดือนก่อน +3

    Naweza msikiza Chid siku nzima. Ana mambo, ana ushauri na ana mwanga rohoni mwake. Waja wasiskize mambo mabaya ya kumchafua mtu mzuri. Jamaa ana advices nzuri sana

  • @Sebastian-ul7wg
    @Sebastian-ul7wg 5 หลายเดือนก่อน +5

    Legendary welcome back brother

  • @waelewaclassic1824
    @waelewaclassic1824 5 หลายเดือนก่อน +2

    Jamaa yuko Sawa Sana..!
    NAMWOMBEA KWA MWENYEZI MUNGU AMUONGOZE INSHAALLAH na Nchi Pia Pamoja Na Watanzania Watambue Huyu Jamaa Ana akili gan..!! Mwisho Niseme Tu.. MWENYE AKILI ANATAMBULIKA NA MWENYE AKILI MWENZIE same To Some One CRAYZ👋👋

  • @MulababazOG
    @MulababazOG 5 หลายเดือนก่อน +2

    Chidi benz noma sanaa
    Bonge la genius

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 5 หลายเดือนก่อน +4

    He can do it,ni msani mzuri sana,and this guy is so smart more than you think 🤔

  • @user-qn1yq1pi7p
    @user-qn1yq1pi7p 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nice chidbenze👍

  • @JonathanNsweve
    @JonathanNsweve 5 หลายเดือนก่อน +1

    Chini ni noma

  • @Mwenyekiti1118
    @Mwenyekiti1118 5 หลายเดือนก่อน +3

    Dah Huyu jamaaa ana AKILI sana sikiliza mpaka Mwisho

  • @issasaad3403
    @issasaad3403 5 หลายเดือนก่อน +4

    Chid ana real luv kutoka moyoni kabsaa

  • @agustinealberty
    @agustinealberty 5 หลายเดือนก่อน +1

    am from Japan but leme say Huyu msenge anaakili sana

  • @user-hj6yd6jb6x
    @user-hj6yd6jb6x 5 หลายเดือนก่อน +3

    Ira serikar ingekuwa inaangalia wasanii wetu kabla awajatoka katika uso wadunia uyu tumtizame kwajicho lakwanza kabisa mtu mhimu sana uyu katka taifa

  • @MichaelJames-tp6co
    @MichaelJames-tp6co 5 หลายเดือนก่อน +4

    P1 sana chidi, big up sana mzee

  • @ramadhanomar8346
    @ramadhanomar8346 5 หลายเดือนก่อน +1

    It is about love

  • @zenawahindi2425
    @zenawahindi2425 5 หลายเดือนก่อน +2

    Chidi 🎉🎉 ukweli unauma ila watu hubadilika i can feel he has changed but still watu bado tunamfatafita chidi yule aliyekuwa namajanga yake ya zamani tujifunze k appreciate the way he is now and try to support him mentally, emotional, financial big kwa roma hajaangalia his pastlife but his talent

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 5 หลายเดือนก่อน +5

    Chidi benzi❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥🔥🔥🔥❤️❤️

  • @hari_meshi
    @hari_meshi 5 หลายเดือนก่อน +12

    Drugs are a bad thing to human

  • @user-kx1ou3ez7q
    @user-kx1ou3ez7q 5 หลายเดือนก่อน +1

    Jomba ni noma sana Benz

  • @ezekiambise2595
    @ezekiambise2595 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu amsaidie.

  • @Daladalamedia
    @Daladalamedia 5 หลายเดือนก่อน +1

    You have a deep heart Chid Beenz, forever in my heart and praying hard for you.

  • @Immahjr
    @Immahjr 5 หลายเดือนก่อน +9

    Chid Benz mtu poa sana

  • @dullahzebuffa
    @dullahzebuffa 5 หลายเดือนก่อน +2

    Safi sana aiseh

  • @officialchidibenz
    @officialchidibenz 5 หลายเดือนก่อน +6

    Kwanini kila kitu ni madaawa..mnataka niongee kama nani tufanane.

  • @kalmaarufuofficial74
    @kalmaarufuofficial74 5 หลายเดือนก่อน +1

    Chidi ni wazokubwa sana🔥🔥

  • @emmanueljackson5445
    @emmanueljackson5445 5 หลายเดือนก่อน +1

    Bro kwel anaroho nzuri afu anakipaji

  • @kinotasontravel2093
    @kinotasontravel2093 5 หลายเดือนก่อน +1

    Chiz Benz big up bro

  • @mikasiadventures6709
    @mikasiadventures6709 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani yeye tu Chidi ndio ataishi Aki complain hajasaidiwa Na kila Mtu 😊

  • @walinaziontime7300
    @walinaziontime7300 5 หลายเดือนก่อน +8

    Roma super but chiddy ni super since Long Time chiddy ni super msela

  • @kinotasontravel2093
    @kinotasontravel2093 5 หลายเดือนก่อน +1

    Chiz sio mbinafsi 100 💯

  • @salimaziz9858
    @salimaziz9858 5 หลายเดือนก่อน +3

    Kuna kipande kimekatwa 16:58

  • @VicentMillanzi-tw9qe
    @VicentMillanzi-tw9qe 5 หลายเดือนก่อน +3

    Nakosa kuelewa chidy ana tatizo gan...watu wanajaribu kumrudisha kwenye njia lakin Bado aelewi....ila chidy Ujui kama tunakukubali?

  • @noelkibere8208
    @noelkibere8208 5 หลายเดือนก่อน +3

    Ushakuwa wenge BCBG aisee

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats 5 หลายเดือนก่อน +8

    Bro we Roll❤❤

  • @Gabonfreeman
    @Gabonfreeman 5 หลายเดือนก่อน +3

    Kumuelewa chid inaomba akili 🧠👈 Sana 🙏😅🎉🎉🎉

  • @DanielMarwa-ep8qr
    @DanielMarwa-ep8qr 5 หลายเดือนก่อน +1

    King kong❤

  • @onesmolwambano9349
    @onesmolwambano9349 5 หลายเดือนก่อน +2

    Fact

  • @user-fc3og1eo3x
    @user-fc3og1eo3x 5 หลายเดือนก่อน +2

    Salute bro

  • @damianjeremia3821
    @damianjeremia3821 5 หลายเดือนก่อน +1

    Chidbenz jina kubwa mjini lakini mwenye jina walaaa hajali wala nini🎉

  • @saidilome-ue2df
    @saidilome-ue2df 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ngoma ile kali sn kuanzia beat na lyrics,Chidi amemmeza Roma kbs.

  • @Heal-with-Dodo
    @Heal-with-Dodo 5 หลายเดือนก่อน +2

    Nyie chid hayupo sawa😕

  • @chiefshonelyzbeth5844
    @chiefshonelyzbeth5844 5 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana

  • @zerochanneltanzania3797
    @zerochanneltanzania3797 5 หลายเดือนก่อน +1

    STAMINA & ROMA WANAMPENDA CHIDY BENZ KI KWELI KWELI. “Wengine wanamcheka”

  • @irenematari6218
    @irenematari6218 5 หลายเดือนก่อน +3

    Aki chidi kumuelewa yataka uwe very keen anauliza kingine anajibu kingine 😂😂😂but we got love for him❤

    • @butondodavid2105
      @butondodavid2105 5 หลายเดือนก่อน

      Ubongo wako low IQ huwez muelewa

  • @fischerkashaija3214
    @fischerkashaija3214 5 หลายเดือนก่อน +29

    Halafu nyie mnae muhoji chid benzi mnamuharibia sana aonekane ni mtu wa kulalamika yan mbna mna roho mbaya aisee mwana anajitafuta nyie mnamleta maswali ya kikuda aonekane analalamika yan

  • @ringicnation3722
    @ringicnation3722 5 หลายเดือนก่อน +1

    King chidi

  • @bikangala2448
    @bikangala2448 5 หลายเดือนก่อน +1

    Problem with thought process

  • @richie_Jk
    @richie_Jk 5 หลายเดือนก่อน +4

    Chid akiwa katika hali hiyo still bado kawazidi uwezo wa kufikiri wasanii wengi sanaa... sijui kabla ya dawa alikua je.. ila chidi kwenye wasanii genius top three yangu yupo akiwa na hali hiyohiyo

    • @koalaness8921
      @koalaness8921 4 หลายเดือนก่อน

      Nipe top 2 yako walobakia

    • @richie_Jk
      @richie_Jk 4 หลายเดือนก่อน

      Unju na Fidii

  • @roberttaigo9216
    @roberttaigo9216 5 หลายเดือนก่อน +11

    jamaa yuko very concsious sana,akili kubwa sana

  • @minhokid
    @minhokid 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nimecheka et oooh chidi sijui kaiba ooh sijui nini, wanaficha ndani

  • @hancykajanjathelimitmusic427
    @hancykajanjathelimitmusic427 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hakika bro chidy

  • @alexwatae3165
    @alexwatae3165 5 หลายเดือนก่อน +21

    Unaongea vzur sana tatizo kila unapoongea point pia kuna nguvu ya dawa nayo inajitahid kuongea..Mungu akutangulie

    • @ericmuthiani1676
      @ericmuthiani1676 5 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe shoga Sana...dawa za mamako

    • @Whoisthismantalking
      @Whoisthismantalking 5 หลายเดือนก่อน

      I love this 😅

    • @mfalmekaitaba2425
      @mfalmekaitaba2425 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@ericmuthiani1676we ndo shoga sasa

  • @amrozwhite1073
    @amrozwhite1073 5 หลายเดือนก่อน +2

    CHIDI HAWAJAMMJULIA HUYU TAHIRA

  • @catewahu6860
    @catewahu6860 5 หลายเดือนก่อน +1

    Chidi mungu tu nfio atamsaidia aache vitu anatumia ako na kitu ndani yake talented 😅

  • @bittersweet1683
    @bittersweet1683 5 หลายเดือนก่อน +2

    I like this

  • @RabiaIddi-ci2uz
    @RabiaIddi-ci2uz 5 หลายเดือนก่อน +2

    We nae dharau nyingi ndo maana husaidiki sasa mtu hata akikupa laki moja ulikuwanayo? halafu chid wewe sio kwamba wasanii hawakupendi bali wewe ndo hutaki kubadilika 😢ila mungu akusaidie kwakweli

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 5 หลายเดือนก่อน +4

    Tuseme tu ukweli huyu jamaaa ameeenda

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 5 หลายเดือนก่อน +3

    Jamaa yuko really sn 🇶🇦

  • @neviyuzzle3905
    @neviyuzzle3905 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nice

  • @chiefkissensi
    @chiefkissensi 5 หลายเดือนก่อน +5

    Chid anamaadui wasiotaka Aendelee kuwa Kwenye Nafasi yake, wengine wanajikosha kuwa karibu nae ila Makwilo Still yupo na kipaji kikubwa.
    ChidKing🇹🇿

  • @MakalaSimulizi
    @MakalaSimulizi 5 หลายเดือนก่อน +8

    😂😂😂😂😂anakula kwa hasiraaa

  • @d-manb-free3478
    @d-manb-free3478 5 หลายเดือนก่อน +4

    Pale alikuwa Chod benz Leo ni Rashid 😂😂😂

  • @nyamweririchard5945
    @nyamweririchard5945 5 หลายเดือนก่อน +5

    Binafsi sina uwezo wa kufanya jambo lolote juu ya Chid ila Naamni maombi yangu yatamsaidia,huyo ni Azina kubwa sana kwa Muziki wa Bongo

  • @pajokakasasa
    @pajokakasasa 5 หลายเดือนก่อน +4

    Chidy akili nyingi sana

  • @MalickMazikublood-gq2fs
    @MalickMazikublood-gq2fs 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hiyo nimeipenda pipa na mfuniko😂😂😂❤❤

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 5 หลายเดือนก่อน +5

    Chid benz mtu hatari sana....Dsm bila chuma is not true 👊👊 #muda #chidbenz

  • @officialmanji4438
    @officialmanji4438 5 หลายเดือนก่อน +5

    King Kong 😮

  • @linusjoseph8454
    @linusjoseph8454 5 หลายเดือนก่อน +1

    Yani huyu jamaa madawa yashamuaribu ata awezi kujitambua

  • @user-kd6qq3fh7w
    @user-kd6qq3fh7w 5 หลายเดือนก่อน +5

    Bado ngoma imewaka

  • @mackhanssa2484
    @mackhanssa2484 5 หลายเดือนก่อน +4

    Anakula KWA hasira sana😂😂😂

  • @demask3423
    @demask3423 5 หลายเดือนก่อน +4

    Dakika ya 12 umeongea point. Mtu akikutukana jitafakari... Hata na wewe ujitafakari uone ni kwanini watz wanakutusi.. chid punguza unga na pombe.. utafika mbali.

  • @ulimbombonaulindi5088
    @ulimbombonaulindi5088 5 หลายเดือนก่อน +2

    Duh, dawa mbaya sana. Get well soon kong.

  • @salummhina4857
    @salummhina4857 2 หลายเดือนก่อน

    Daah kamtu kadogo mnadanganywaaaa

  • @bedastusmichael7811
    @bedastusmichael7811 5 หลายเดือนก่อน +2

    Chidy unasumbua sana broo.tishaaa

  • @mdumashop7423
    @mdumashop7423 5 หลายเดือนก่อน +5

    Mtu anaakil sana huyu

  • @williamdungumaro6668
    @williamdungumaro6668 5 หลายเดือนก่อน +2

    Uyu jamaa ana kitu bado kweny gem

  • @hclever7731
    @hclever7731 5 หลายเดือนก่อน +3

    Et pipa na mfuniko😂😂😂
    Ila jamaa anaakili mingi,, ila pia inahitaj akili mingi kum understand

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 5 หลายเดือนก่อน +3

    Anatia Sana huruma

  • @frankmichael1968
    @frankmichael1968 5 หลายเดือนก่อน +1

    Me kwangu chd ni msanii bora mara zote hayo mengine ambayo anayo ni mambo ya kibinadam tu