Kuna kitu watu wengi huwa hawajamuelewa Chidi japo wanamchukulia kama CHIZI. Hii kichwa ina akili sana (GENIUS) tatizo binadamu huwa tunapenda kuongopewa huyu jamaaa anangeaga ukweli mtupu. Natamani sana ningekuwa na uwezo kifedha ningekuwa hata mfadhili wake ila basi tu. Namuombea sana kwa MUNGU arudi tena juu zaidi kwny mziki Inshaallah
Hakuna kitu kibaya kama wewe kuwa sawa halafu kila mtu anakwambia hauko sawa au anafanya vitendo vya kuonesha hauko sawa.. inafika muda unakua completely hauko sawa, angekua mtu mwengine angegoma hata kuhojiwa maana daily anaulizwa same shit na kila anaekutana nae first impression kwake ni kumuona Hayuko sawa.. Mwenyezi Mungu amsaidie azidi kuwa bold💪🏾.
Naweza msikiza Chid siku nzima. Ana mambo, ana ushauri na ana mwanga rohoni mwake. Waja wasiskize mambo mabaya ya kumchafua mtu mzuri. Jamaa ana advices nzuri sana
Jamaa yuko Sawa Sana..! NAMWOMBEA KWA MWENYEZI MUNGU AMUONGOZE INSHAALLAH na Nchi Pia Pamoja Na Watanzania Watambue Huyu Jamaa Ana akili gan..!! Mwisho Niseme Tu.. MWENYE AKILI ANATAMBULIKA NA MWENYE AKILI MWENZIE same To Some One CRAYZ👋👋
Chidi 🎉🎉 ukweli unauma ila watu hubadilika i can feel he has changed but still watu bado tunamfatafita chidi yule aliyekuwa namajanga yake ya zamani tujifunze k appreciate the way he is now and try to support him mentally, emotional, financial big kwa roma hajaangalia his pastlife but his talent
Halafu nyie mnae muhoji chid benzi mnamuharibia sana aonekane ni mtu wa kulalamika yan mbna mna roho mbaya aisee mwana anajitafuta nyie mnamleta maswali ya kikuda aonekane analalamika yan
Chid akiwa katika hali hiyo still bado kawazidi uwezo wa kufikiri wasanii wengi sanaa... sijui kabla ya dawa alikua je.. ila chidi kwenye wasanii genius top three yangu yupo akiwa na hali hiyohiyo
We nae dharau nyingi ndo maana husaidiki sasa mtu hata akikupa laki moja ulikuwanayo? halafu chid wewe sio kwamba wasanii hawakupendi bali wewe ndo hutaki kubadilika 😢ila mungu akusaidie kwakweli
Dakika ya 12 umeongea point. Mtu akikutukana jitafakari... Hata na wewe ujitafakari uone ni kwanini watz wanakutusi.. chid punguza unga na pombe.. utafika mbali.
Chidi anathamini utu zaidi ya vitu hyu ni legendary god bless him
God*
Huyu Jamaa Dah! Mungu Ana Kitu Kikubwa Sana Amempa Kichwan Kwake Ila Mengine N Madhaifu Ya Kiubinadam Tu! This Man Is So Smart
Chid Benz
Ana Akili ya ajabu Sana 🎉🎉 proud of him 💪
Kuna kitu watu wengi huwa hawajamuelewa Chidi japo wanamchukulia kama CHIZI. Hii kichwa ina akili sana (GENIUS) tatizo binadamu huwa tunapenda kuongopewa huyu jamaaa anangeaga ukweli mtupu. Natamani sana ningekuwa na uwezo kifedha ningekuwa hata mfadhili wake ila basi tu. Namuombea sana kwa MUNGU arudi tena juu zaidi kwny mziki Inshaallah
Dah Ukiacha mengine chid ni mmoja tu
Respect bro
Mungu Akupiganie Ila Na ww Jitahid utoke Huko Tunakupenda Chid One Love..
Inahitaji utulivu wa akili sana kumuelewa Genius Chid
Hakuna kitu kibaya kama wewe kuwa sawa halafu kila mtu anakwambia hauko sawa au anafanya vitendo vya kuonesha hauko sawa.. inafika muda unakua completely hauko sawa, angekua mtu mwengine angegoma hata kuhojiwa maana daily anaulizwa same shit na kila anaekutana nae first impression kwake ni kumuona Hayuko sawa.. Mwenyezi Mungu amsaidie azidi kuwa bold💪🏾.
yes. hasa watanzania tunapenda saana kufanya wengine waonekane wehu. hata watu wa karibu huwa wana hii shida
Ujumbe mzuri sana
Chidi anauwezo mkubwa sana wakufikiri. Na #anautu_sana na ukiona humuelewi anachokiongea #chidi jua wewe ndo umechanganyikiwa ❤❤
Mungu akubariki sana chidi benz uwe kama zamani
Ukirudia hii interview mara 4 na hujaielewa ubongo wako ni mdogo saana chid ni genius
Don't say that I am the one who makes him on trending but I am happy because he trusting me to collaborate with him. This man is Genius.
President of Dar City
broken watch tells right time twice a day.
Kweli uyu Jamaa napenda jisi anavyoo kuwa mkweli ndomana watch Wanamaker zarau just bcz yupo open Sanaa
Well said
This dude is smart
chid Benz upo sahihi alienda Kumpa pole na hakufikiria atapewa pesa,, wakati anapewa hakuwa na furaha nazo
Daah the respect alotoa na akakiss the ground for ngweaaa daah chidiiiiiiiiiiiiii salute
Chidi for life
This guy sio crazy... ako tu sawa, na angekua chizi hangeweza kuimba kwa umakini kwenye hii ngoma
Uyo ndo chid benz ❤❤❤❤❤❤❤kaka yangu nakupenda sana yaan ss watu mliyo sema chid benz yupo na njaa ayo ndo majibu yen
This guy ni genius
Upholding humanity
Much love kwa chid i wish atakubali kuna tatizo na atafute msaada kweli.
Chidi Is so Impressive and Motivating Wallai May Allah Guide and Protect Him Daima.
M
Ayo Tv
Nawapenda sana from Burundi 🇧🇮 🎉❤ lakini an day interview na Bg Fizzo please 🙏🙏
Chid safi hiyo nimeikubali sana
Naweza msikiza Chid siku nzima. Ana mambo, ana ushauri na ana mwanga rohoni mwake. Waja wasiskize mambo mabaya ya kumchafua mtu mzuri. Jamaa ana advices nzuri sana
Legendary welcome back brother
Jamaa yuko Sawa Sana..!
NAMWOMBEA KWA MWENYEZI MUNGU AMUONGOZE INSHAALLAH na Nchi Pia Pamoja Na Watanzania Watambue Huyu Jamaa Ana akili gan..!! Mwisho Niseme Tu.. MWENYE AKILI ANATAMBULIKA NA MWENYE AKILI MWENZIE same To Some One CRAYZ👋👋
Chidi benz noma sanaa
Bonge la genius
He can do it,ni msani mzuri sana,and this guy is so smart more than you think 🤔
Nice chidbenze👍
Chini ni noma
Dah Huyu jamaaa ana AKILI sana sikiliza mpaka Mwisho
Chid ana real luv kutoka moyoni kabsaa
am from Japan but leme say Huyu msenge anaakili sana
Ira serikar ingekuwa inaangalia wasanii wetu kabla awajatoka katika uso wadunia uyu tumtizame kwajicho lakwanza kabisa mtu mhimu sana uyu katka taifa
P1 sana chidi, big up sana mzee
It is about love
Chidi 🎉🎉 ukweli unauma ila watu hubadilika i can feel he has changed but still watu bado tunamfatafita chidi yule aliyekuwa namajanga yake ya zamani tujifunze k appreciate the way he is now and try to support him mentally, emotional, financial big kwa roma hajaangalia his pastlife but his talent
Chidi benzi❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥🔥🔥🔥❤️❤️
Drugs are a bad thing to human
Jomba ni noma sana Benz
Mungu amsaidie.
You have a deep heart Chid Beenz, forever in my heart and praying hard for you.
Chid Benz mtu poa sana
Safi sana aiseh
Kwanini kila kitu ni madaawa..mnataka niongee kama nani tufanane.
Chidi ni wazokubwa sana🔥🔥
Bro kwel anaroho nzuri afu anakipaji
Chiz Benz big up bro
Kwani yeye tu Chidi ndio ataishi Aki complain hajasaidiwa Na kila Mtu 😊
Roma super but chiddy ni super since Long Time chiddy ni super msela
Chiz sio mbinafsi 100 💯
Kuna kipande kimekatwa 16:58
Nakosa kuelewa chidy ana tatizo gan...watu wanajaribu kumrudisha kwenye njia lakin Bado aelewi....ila chidy Ujui kama tunakukubali?
Ushakuwa wenge BCBG aisee
Bro we Roll❤❤
Kumuelewa chid inaomba akili 🧠👈 Sana 🙏😅🎉🎉🎉
King kong❤
Fact
Salute bro
Chidbenz jina kubwa mjini lakini mwenye jina walaaa hajali wala nini🎉
Ngoma ile kali sn kuanzia beat na lyrics,Chidi amemmeza Roma kbs.
Nyie chid hayupo sawa😕
Safi sana
STAMINA & ROMA WANAMPENDA CHIDY BENZ KI KWELI KWELI. “Wengine wanamcheka”
Aki chidi kumuelewa yataka uwe very keen anauliza kingine anajibu kingine 😂😂😂but we got love for him❤
Ubongo wako low IQ huwez muelewa
Halafu nyie mnae muhoji chid benzi mnamuharibia sana aonekane ni mtu wa kulalamika yan mbna mna roho mbaya aisee mwana anajitafuta nyie mnamleta maswali ya kikuda aonekane analalamika yan
King chidi
Problem with thought process
Chid akiwa katika hali hiyo still bado kawazidi uwezo wa kufikiri wasanii wengi sanaa... sijui kabla ya dawa alikua je.. ila chidi kwenye wasanii genius top three yangu yupo akiwa na hali hiyohiyo
Nipe top 2 yako walobakia
Unju na Fidii
jamaa yuko very concsious sana,akili kubwa sana
Nimecheka et oooh chidi sijui kaiba ooh sijui nini, wanaficha ndani
Hakika bro chidy
Unaongea vzur sana tatizo kila unapoongea point pia kuna nguvu ya dawa nayo inajitahid kuongea..Mungu akutangulie
Wewe shoga Sana...dawa za mamako
I love this 😅
@@ericmuthiani1676we ndo shoga sasa
CHIDI HAWAJAMMJULIA HUYU TAHIRA
Chidi mungu tu nfio atamsaidia aache vitu anatumia ako na kitu ndani yake talented 😅
I like this
We nae dharau nyingi ndo maana husaidiki sasa mtu hata akikupa laki moja ulikuwanayo? halafu chid wewe sio kwamba wasanii hawakupendi bali wewe ndo hutaki kubadilika 😢ila mungu akusaidie kwakweli
Tuseme tu ukweli huyu jamaaa ameeenda
Jamaa yuko really sn 🇶🇦
Nice
Chid anamaadui wasiotaka Aendelee kuwa Kwenye Nafasi yake, wengine wanajikosha kuwa karibu nae ila Makwilo Still yupo na kipaji kikubwa.
ChidKing🇹🇿
😂😂😂😂😂anakula kwa hasiraaa
Pale alikuwa Chod benz Leo ni Rashid 😂😂😂
Binafsi sina uwezo wa kufanya jambo lolote juu ya Chid ila Naamni maombi yangu yatamsaidia,huyo ni Azina kubwa sana kwa Muziki wa Bongo
Chidy akili nyingi sana
Hiyo nimeipenda pipa na mfuniko😂😂😂❤❤
Chid benz mtu hatari sana....Dsm bila chuma is not true 👊👊 #muda #chidbenz
King Kong 😮
Yani huyu jamaa madawa yashamuaribu ata awezi kujitambua
Bado ngoma imewaka
Anakula KWA hasira sana😂😂😂
Dakika ya 12 umeongea point. Mtu akikutukana jitafakari... Hata na wewe ujitafakari uone ni kwanini watz wanakutusi.. chid punguza unga na pombe.. utafika mbali.
Duh, dawa mbaya sana. Get well soon kong.
Daah kamtu kadogo mnadanganywaaaa
Chidy unasumbua sana broo.tishaaa
Mtu anaakil sana huyu
Uyu jamaa ana kitu bado kweny gem
Et pipa na mfuniko😂😂😂
Ila jamaa anaakili mingi,, ila pia inahitaj akili mingi kum understand
Anatia Sana huruma
Me kwangu chd ni msanii bora mara zote hayo mengine ambayo anayo ni mambo ya kibinadam tu