MFAHAMU MWANDISHI MKONGWE AMBAYE ZANZIBAR INAJIVUNIA 2

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 พ.ค. 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

ความคิดเห็น • 69

  • @user-lp1gh7im3f
    @user-lp1gh7im3f 2 หลายเดือนก่อน +12

    Zanzibar inajivunia lakini watawala wa siku hizi hawataki kusikia historia ya kweli ili wahalalishe mapinduzi ya kuwauwa Wazanzibar hasa Waarabu.

    • @nailamohd-wn6sb
      @nailamohd-wn6sb 2 หลายเดือนก่อน +3

      Sadakta maneno yko sawa na waidhimishe hayo mapinduzi lkn wasiidhalilishe nchi yetu imekua dhalili na Nuru haina inatia huruma

  • @thedon8467
    @thedon8467 2 หลายเดือนก่อน +7

    MZEE NI HODARI MASHAALLAH TABARAKALLAH

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m 2 หลายเดือนก่อน +4

    Hii ni tunu yetu ya Zanzibar mzee Salim msema kweli ❤niwachache mnoo wenye kusema ukweli kama huu hili nisomo kubwa kwa wenye uweledi mungu akulinde

  • @nailaomar4810
    @nailaomar4810 2 หลายเดือนก่อน +5

    EDUCATED MASHAALLAH MUNGU AKUWEKE❤

  • @nailaomar4810
    @nailaomar4810 2 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu muandishi nampenda yako yuko really supper nakupa mauwa yako mzanzibari mwenzangu ❤

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 2 หลายเดือนก่อน +3

    Asalam alkum warahmatullah wabaraqatu.
    Mashallah tabaraqah.
    Natamani hichi kipindi kizidi kuendelea he's the best historical. Congratulations ❤

  • @alijuma8009
    @alijuma8009 2 หลายเดือนก่อน +7

    Mzee yuko vizur

  • @allybin08
    @allybin08 2 หลายเดือนก่อน +4

    Watu waopigia debe mapinduzi wanasema watu weusi ilikuwa hawapati elimu 😢😢😢😢😢 uongo mtupu
    Wallah allah atawahukumu kwa dhulma hii

  • @user-ml5kn1sz3u
    @user-ml5kn1sz3u 2 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah" hii interview ni tunu ya wazanzibar hasa vijana ambao ni nguvu kazi ya taifa na jamii yote ya watanzania.
    Inapaswa kutunza na kuheshimu uwepo na thamani ya watambuzi wa historia na waandishi waliosimama imara na kuipenda nchi yao bila kujali "Siasa ,kabila wala utabaka wa jamii Fulani.
    Mungu amlinde na kumuenzi Mzee wetu na viongozi wa taifa letu pia nguvu kazi ya taifa letu " wanahabari " kwa juhudi zao na ombi kwa serekali kumpa tunzo ya heshima Mzee Salim kwani uwepo wake pia ni thamani ya taifa .

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 2 หลายเดือนก่อน +6

    Zamani tulidanganya sana watu wanasema uongo mpaka leo wala hawaogopi Mungu lakini sasa tushajua ukweli

    • @allybin08
      @allybin08 2 หลายเดือนก่อน

      😢😢😢😢😢

  • @user-jx7ot4ru7l
    @user-jx7ot4ru7l 2 หลายเดือนก่อน +5

    Ndio mzee mwaga mambo ayoo ccm hawayataki ayooo

    • @nailamohd-wn6sb
      @nailamohd-wn6sb 2 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂Khatari

  • @nadhifamohammed7749
    @nadhifamohammed7749 2 หลายเดือนก่อน

    Naam nilikua nafanyakazi kwa mzee mmoja Muscut anasema Omani imejengwa na warabu walitoka Zanzibar ❤❤❤

  • @user-yo8md2tc6f
    @user-yo8md2tc6f 2 หลายเดือนก่อน +3

    Maashallah ni mtu muhim mno znz

  • @allyvuai6203
    @allyvuai6203 2 หลายเดือนก่อน +5

    Huyu mzee nampa hongera yake

    • @solomonadams6337
      @solomonadams6337 2 หลายเดือนก่อน +1

      kasoma halafu amekifahamu alicho kisoma💯👌

  • @Dadydadonmiki-dg3nl
    @Dadydadonmiki-dg3nl 2 หลายเดือนก่อน +5

    Kwahakika huyu mzee ni hazina kubwa kwa Zanzibar.

  • @ablatuny5406
    @ablatuny5406 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mashallah tabaaraka rahman huchoki kumsikiliza

  • @faizanassor9400
    @faizanassor9400 2 หลายเดือนก่อน

    Mashallah tunuu ya zanzibar salim said

  • @ibrahim99abdulaziz3
    @ibrahim99abdulaziz3 2 หลายเดือนก่อน +1

    MashaAllah mzee huyu ni zahabu Allah ambarik na ampe afya njema Amiin.
    Na ndugu mtangazaji wa kipindi unastahiki sifa kwa vipindi vyako vizuri kabisa lakin muda hautoshi kabisa kwa hiyo tunaomba utuongezee muda please

  • @SaidSaid-ef8md
    @SaidSaid-ef8md 2 หลายเดือนก่อน

    Maashallah huyu mzee ni dhahabu yetu na tunatakiwa kumtunza kwa gharama kubwa sana.

  • @manallayusuf4951
    @manallayusuf4951 2 หลายเดือนก่อน +2

    Amii salim mashallah

  • @allybin08
    @allybin08 2 หลายเดือนก่อน +1

    History yetu Zanzibar imepotoshwa 😢😢😢😢 wallah inauma sana

  • @faizanassor9400
    @faizanassor9400 2 หลายเดือนก่อน

    Mashallh

  • @kassimjuma6151
    @kassimjuma6151 2 หลายเดือนก่อน

    Mzee unalingana na vitabu vilivo andikwa na wanavioni wa histori kwa jinsi unavo tiririka nakubali sana historia tunayo someshwa sukuli ni mitala iliyo andaliwa na wazungu tu mfano Oxford

  • @saidkhalfan8207
    @saidkhalfan8207 2 หลายเดือนก่อน +1

    Thanks

  • @hilmialiomar1983
    @hilmialiomar1983 2 หลายเดือนก่อน

    Trained,intelligent and brilliant dah

  • @hajraaliy3220
    @hajraaliy3220 2 หลายเดือนก่อน

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 2 หลายเดือนก่อน +1

    CCM WAMEIHARUBU ZANZIBAR, SASA IMEKUA DANGURO LA MACHANGUDOA KUTOKA TANGANYIKA NA BURUNDI!

  • @alhudhaify7810
    @alhudhaify7810 2 หลายเดือนก่อน

    Ninachokiona kwa alfatah tv ni kupokonywa leseni ya tv ya mtandao coz mumepost kitu kinachoenda kinyume na CCM

  • @nailamohd-wn6sb
    @nailamohd-wn6sb 2 หลายเดือนก่อน +2

    Sumun Bukmun Umyun 😂😂

  • @jarsjam8894
    @jarsjam8894 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wapee !!!

  • @ibrahimsheha215
    @ibrahimsheha215 2 หลายเดือนก่อน +1

    Saannaaa

  • @yunushaji5327
    @yunushaji5327 2 หลายเดือนก่อน

    Mitume wengi RA walikataliwa kwao. Sh Salim endelea tu. Allah ndio anajua zaidi.

  • @NassirMuhammad-en7wr
    @NassirMuhammad-en7wr 2 หลายเดือนก่อน

    Kweli kabisa Mzee huko sawa cna

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 2 หลายเดือนก่อน +1

    Inabezwa na nani?

  • @SaidSaid-ef8md
    @SaidSaid-ef8md 2 หลายเดือนก่อน

    Waandishi na Vijana wenzetu ukimkaribia huyu mzee utachuma mengi sana. Yani Nigekua interested kusomea uandishi basi huyu mzee angekua anankuta mlangoni kwake akiingia na akitoka

  • @masoudrashidmohammed4124
    @masoudrashidmohammed4124 2 หลายเดือนก่อน

    Inauma. Sana ktk visiwa vyetu hivi mtu mzalendo mkubwa lkn serikali haimthamini ni dhahabu kubwa kwa zanzibar ni Icon ya zanzibar

  • @issaal-busaidi4479
    @issaal-busaidi4479 2 หลายเดือนก่อน +1

    aendelee kutuelimishaa kweny vipindi hivi

  • @HusnaKhamis-bf9sm
    @HusnaKhamis-bf9sm 2 หลายเดือนก่อน

    Mpizani hanahaki zanzibar hatauwe naelimu gani wanafaidika inche lakn zanzibar hakunafaida

  • @user-xv4tl8iv4l
    @user-xv4tl8iv4l 2 หลายเดือนก่อน

    MBONA HUSEMI UKRISTO KUINGIA TANZANIA NA EAST AFRIKA ULIANZIA ZANZIBAR

  • @allyvuai6203
    @allyvuai6203 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mpeleke Mwanakwerekwe

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance6750 2 หลายเดือนก่อน +2

    "Uncensored" sheikh Rashid, kipindi kipo dakika 13 kati ya 40 unasema "tukiwa tunatamatisha", kweli!!!! Kwa sababu amegusa UHAMIAJI na nafasi zinazochukuliwa na 'wenzetu' wa KULE

    • @user-qe9ot4kl9u
      @user-qe9ot4kl9u 2 หลายเดือนก่อน

      Huyu mtangazaji sijui ni kada wa ccm au ujinga tu wa kazi yake au uoga, jamaa amepwaya sana kwenye hii interview

    • @Grataaaaa
      @Grataaaaa 2 หลายเดือนก่อน

      Naix ni ccm asaiv ​@@user-qe9ot4kl9u

  • @HusnaKhamis-bf9sm
    @HusnaKhamis-bf9sm 2 หลายเดือนก่อน

    Wanakuona mpizani ndio mana

  • @user-xv4tl8iv4l
    @user-xv4tl8iv4l 2 หลายเดือนก่อน

    TAREHE 164/1972 SIKU YA IJUMAPIL I NYUMBANI KWENU MKAMASINI WOLIKUJA WANAJESHI KUJA KUFANYA UPEKUZI BAADA KIFO CHA KARUME KWA NINI WASIIGIE KATIKA MAJUMBA MENGINE. DONGE KWA MAMA YAKO .NASABU INATOKA KWA BABA SIO KWA MAMA

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 2 หลายเดือนก่อน

    Wa zanzibar tuna penda mteleezo uwaziri Bara well for get we come from

  • @allybin08
    @allybin08 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee wetu hashoshi unatanani tu aongee

  • @omarymsusa8903
    @omarymsusa8903 2 หลายเดือนก่อน

    Nakukubali sana bw. Salim na hongera sana ufasaha wako juu Zanzibar.
    Kuna swali 1 hapa uliulizwa lkn hukulijibu ni kuhusu kwanini wanzabari wengi siku hizi wanakosa kuajiriwa ktk vyombo vya habari vya kimataifa siku hizi kama DW, BBC n.k....kama vile best wako al-marhum sheikh Mohammed mlamali adam na mke wake aish yahya, al-marhum nassor malik, zeana seif, ahmed rajab, suluma kassim, ali saleh, ali adnan, Suleiman Salim, Ramadani ali, mshangama, Othman miraji, ahmed mohamed na wengineo wetu.😂😂😂😢😢😢

    • @omarymsusa8903
      @omarymsusa8903 2 หลายเดือนก่อน

      Nilitamani kupata neno dogo kutoka bw. Salim kuhusu hawa watangazaji wa zamani niowataja hapa.

    • @omarymsusa8903
      @omarymsusa8903 2 หลายเดือนก่อน

      Aaah zama zimepita namkumbuka al marhum sheikh Mohammed mlamali na barua yake kutoka London pale bbc Swahili huyu mzaliwa wa mkamasini/baraste, Zanzibar
      Pia namkumbuka suluma kassim kipindi chake maarufu cha bbc maarifa club

  • @Grataaaaa
    @Grataaaaa 2 หลายเดือนก่อน

    Mwandishi now kada

  • @fatmamansour676
    @fatmamansour676 2 หลายเดือนก่อน

    Rashid anataka kucheka lkn anajibana

  • @user-xv4tl8iv4l
    @user-xv4tl8iv4l 2 หลายเดือนก่อน

    ANAPULIZA NA KUTAFUNA KTK MAELEZO YAKE.

  • @user-yx3ex4vy7o
    @user-yx3ex4vy7o 2 หลายเดือนก่อน

    Vizazi vya leo akili zao zinamafuta ya taa hawaelewi hayo mana wamelishwa pumba.

  • @abdallasheha4173
    @abdallasheha4173 2 หลายเดือนก่อน

    Leo ni uwongo tu ndio utawala

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu 2 หลายเดือนก่อน

    Kishtobe kapata nafasi wacha atapike 😂😂😂

  • @husseincabubaker
    @husseincabubaker 2 หลายเดือนก่อน

    Vchale

  • @othmanvuai9124
    @othmanvuai9124 2 หลายเดือนก่อน

    Basi haya kama kila kizuri kimeanza zanzibar

    • @mangofish9079
      @mangofish9079 2 หลายเดือนก่อน +4

      Haina mana hio ila ndio ukweli hio dar salama imetiwa sura ya kimji na sultan wa zanzibar ndio ukweli ilikua mbali ukilinganisha na nchi jirani africa mashariki na kati.

    • @abdulbastadam7985
      @abdulbastadam7985 2 หลายเดือนก่อน

      Kwaio ulitakaje wewe?

    • @IsmailJuma-zb5ni
      @IsmailJuma-zb5ni 2 หลายเดือนก่อน

      Na wewe Unataka kutuambia hata ukiwa kwenye chupa utajitokeza kidole?

  • @solomonadams6337
    @solomonadams6337 2 หลายเดือนก่อน +2

    Honest wise man,something need to be done to bring bc da Passport Zanzibar is Arkipelego da population need to be onda underconctrol 💯👌🫴