UJENZI WA FLYOVER WAPAMBA MOTO ZANZIBAR

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 เม.ย. 2024

ความคิดเห็น • 41

  • @Ablahisaid
    @Ablahisaid หลายเดือนก่อน

    Badala ikajengwa barara ya mkowni kwnza haipitiki mashimo matupu lakini silaumu ss wapemba hatuna haki km wa unguja kwni kinachonishangaza tunalipa makodi lakini barara za pemba mtihani mtupu hata ukisikia kwjengwa nikwjili ya waekezaji sisi wnanchi tunateseka

  • @SuleimanSaleh-js5wh
    @SuleimanSaleh-js5wh 3 หลายเดือนก่อน +5

    Jekeni unguja Pemba hata njia ya kutoka mkoani mashimo tu mungu anajuwa kilio cha wapemba kwani tunalipa mapato kwa wote

    • @OmerSuley-gl7go
      @OmerSuley-gl7go 3 หลายเดือนก่อน

      Serikali ya CCM ni ovyo tu

    • @YussufJumaOmar-pe8yg
      @YussufJumaOmar-pe8yg 3 หลายเดือนก่อน

      Ni wajinga kwel nyinyi wenyenu hamujeng mnakuja kuja huku

    • @aishamuhammad7785
      @aishamuhammad7785 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@YussufJumaOmar-pe8ygwajenge kwani wao ndo serikali? Habithul a'mal wewe

    • @YussufJumaOmar-pe8yg
      @YussufJumaOmar-pe8yg 3 หลายเดือนก่อน

      Nawew hvy hvy

    • @wadhhasuleiman2621
      @wadhhasuleiman2621 3 หลายเดือนก่อน

      Cc bro pemba tusilalamike hao tumeshawakataaa milele hakuna shida

  • @user-gy5ii3ig1d
    @user-gy5ii3ig1d 2 หลายเดือนก่อน

    Hamna kitu hapo Mwinyi anawafanyia Wazanzibar usanii tu,Zanzibar yanuka njaa shida tupu,vijana ajira hawana yaana maisha yanazidi kuwa magumu kila kukicha😢.

  • @user-dz1gm4dh7e
    @user-dz1gm4dh7e 3 หลายเดือนก่อน +1

    Flyover wakati daraja jomany tunadanganywa saanaa Kwa tuloona Kwa macho ndo tunajua

  • @mohayussuf2057
    @mohayussuf2057 3 หลายเดือนก่อน

    Kweli Zanzibar inahita flyover

  • @JumaSaad
    @JumaSaad 3 หลายเดือนก่อน

    So good up to you Zanzibar

  • @RashidAbdallah-oo7cd
    @RashidAbdallah-oo7cd 3 หลายเดือนก่อน

    Mwandishi acha kutumia nebo Zanzibar ktk hili dema Unguja
    Yaani huko ndo kwenye serekali Huku Pemba ni kama kisiwa cha watoto wa kambu

  • @juma3473
    @juma3473 3 หลายเดือนก่อน

  • @official_masud
    @official_masud 3 หลายเดือนก่อน

    Kuweni serious watu tumesoma kila neno tutafsiriwe kama cha3 B

  • @abdulrahmanrajab4369
    @abdulrahmanrajab4369 3 หลายเดือนก่อน +1

    hamn mpang wwt tang siku izo njo kwaz nguzo ingelikua zina kwend mpk nungw je si mnge jeng mkp kiama

    • @KS-iw7qv
      @KS-iw7qv 3 หลายเดือนก่อน +2

      Setting ndio kazi kubwa kuliko kuendelea kumwaga hiyo zege.... wakimaliza hapo speed itakuwa kubwa.... foundation ni muhimili wakifeli hapo hamna kitu..... wacha tusubiri

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ukikua utajua

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 2 หลายเดือนก่อน

    YAKIJA MAFUTIKO NA MVUA KUBWA YOTE YATABANGUKA KISHA MLAUMIANE. ZANZIBAR SIO NCHI YA FLYOVER JAMANI!

  • @salyali7807
    @salyali7807 3 หลายเดือนก่อน +3

    Jamaa wa bara wanapewa kazi .. wazanzibari wanaangukia patupu

    • @Hussein-qq2uy
      @Hussein-qq2uy 3 หลายเดือนก่อน +1

      Duh sijapata kuona nyinyi watu ni wabaguzi mno ,,,mbona wazanzibar hawabaguliwi huku Tanganyika wako huru hivi hamuoni hicho mnachokifanya mtakuja Jutia baadae?kwani nini maana ya muungano?Na kwanini mtu wa bara awe hana haki ya kupata ajira zanzibar ?Nakuhakikishieni muungano ukivunjika nyinyi mtaumia na mtaathirika pakubwa kuliko watanganyika,,

    • @omarhababuu3159
      @omarhababuu3159 3 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@Hussein-qq2uyjaribuni muone tanganyika mutakapoangamia. Itakuwa hamuna bandar tena wala bahar yakupita meĺi yamakontena mpaka mutulipe ss wazanzibari ndoturuhusu. Meli zipite bahari yawazanzibari zije tanganyika kushusha mizigo

    • @OmerSuley-gl7go
      @OmerSuley-gl7go 3 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@Hussein-qq2uyTuathirike kwa kipi 😂😂 wakat ni sisi ndio tunawalisha mumezidi unyonyaji kima nyinyi achaneni na sisi

    • @noorbazaar9063
      @noorbazaar9063 3 หลายเดือนก่อน

      Huyo Ndugu Suleiman Cosmas aliwahi kuwa mbunge wa Bububu ni mtu na nusu na muungwana sana ila hizo siasa za hovyo ndizo zilizomtoa kwenye ubunge!

    • @Grataaaaa
      @Grataaaaa 3 หลายเดือนก่อน

      Kwa nini watanganyika mnangangania muungano mukixkiq uvunjike mnalia maisha ya kwenu hamna pesa halafu muko wengi hamna kazi mmejazana uku tumewachoka kwa ilo na zanzibar kitambo tuu hatutaki muungano​@@OmerSuley-gl7go

  • @htx1873
    @htx1873 2 หลายเดือนก่อน

    Mbona no wazeee tuuu , VIJANA WAKO WAPI ???? Vibabu bado havitaki kustaaf .. muwape vijana ajira huyo babu mnamuona jinsi alivyo MZEMBE he don’t look strong he seems tired hata kuongea haeleweki yani . Hii nchi inani kera sitaki hata kuisikia

  • @alirajab921
    @alirajab921 3 หลายเดือนก่อน

    sasa mwandishi wa habar hajui kingera yy kaz yak kukamata maic tu du zbc😅

  • @humoudseyd7310
    @humoudseyd7310 3 หลายเดือนก่อน

    Wizi mtu umeme unataka siku mara tatu barabara zote mbovu njaaa imezidi..mgefanya wana nchi wanapata mlo kwanza daraja na njaaa itasaidia nini ?

  • @binzubeirnasheed4088
    @binzubeirnasheed4088 3 หลายเดือนก่อน

    Ina maliza mwezi wa 10 Au wa 8 Raisi Mwinyi unaziingua viijana wa ki Zanzibar tupo. hatuna Kazi unaenda kuchukuwa watu bara wasio jielewa ,, kwanza sisi Zanzibar sio washamba hatuwezi kushangaa flyover

    • @tanzanite9944
      @tanzanite9944 3 หลายเดือนก่อน

      Acha Uchoyo na Ubaguuzi. Cha Zanzibar ni Chako na Bara ni Chako pia. Mbona Wazanzibari wako Bara wanajenga barabara husemi? Kwani Vujana wa Kitanganyika hawapo?

    • @hansclever334
      @hansclever334 2 หลายเดือนก่อน

      We kweli choko

  • @user-un3hr5kh6z
    @user-un3hr5kh6z 3 หลายเดือนก่อน

    Flai ova zipite chai maharage

  • @salyali7807
    @salyali7807 3 หลายเดือนก่อน

    Upumbavu mtupu... wanajengewa wageni .. wazanzibari wafa njaa ... nonsense

  • @user-un3hr5kh6z
    @user-un3hr5kh6z 3 หลายเดือนก่อน

    Flai ova mwera bububu kisauni hakuna barabara

  • @ommarallyhamad7435
    @ommarallyhamad7435 3 หลายเดือนก่อน

    Shida yetu sio ujenzi wa masjabu Bali ni ZNZ HURU YENYE MAMLAKA KAMILI

  • @ommarallyhamad7435
    @ommarallyhamad7435 3 หลายเดือนก่อน

    Hata mjenge "PEPO" ,bado waznz shida YETU KUBWA ni ZNZ HURU YENYEAMLAKA KAMILI NA KITI CHAKE KIREJESHWE UNO!!!