Badala ikajengwa barara ya mkowni kwnza haipitiki mashimo matupu lakini silaumu ss wapemba hatuna haki km wa unguja kwni kinachonishangaza tunalipa makodi lakini barara za pemba mtihani mtupu hata ukisikia kwjengwa nikwjili ya waekezaji sisi wnanchi tunateseka
Hamna kitu hapo Mwinyi anawafanyia Wazanzibar usanii tu,Zanzibar yanuka njaa shida tupu,vijana ajira hawana yaana maisha yanazidi kuwa magumu kila kukicha😢.
Setting ndio kazi kubwa kuliko kuendelea kumwaga hiyo zege.... wakimaliza hapo speed itakuwa kubwa.... foundation ni muhimili wakifeli hapo hamna kitu..... wacha tusubiri
Duh sijapata kuona nyinyi watu ni wabaguzi mno ,,,mbona wazanzibar hawabaguliwi huku Tanganyika wako huru hivi hamuoni hicho mnachokifanya mtakuja Jutia baadae?kwani nini maana ya muungano?Na kwanini mtu wa bara awe hana haki ya kupata ajira zanzibar ?Nakuhakikishieni muungano ukivunjika nyinyi mtaumia na mtaathirika pakubwa kuliko watanganyika,,
Kwa nini watanganyika mnangangania muungano mukixkiq uvunjike mnalia maisha ya kwenu hamna pesa halafu muko wengi hamna kazi mmejazana uku tumewachoka kwa ilo na zanzibar kitambo tuu hatutaki muungano@@OmerSuley-gl7go
Mbona no wazeee tuuu , VIJANA WAKO WAPI ???? Vibabu bado havitaki kustaaf .. muwape vijana ajira huyo babu mnamuona jinsi alivyo MZEMBE he don’t look strong he seems tired hata kuongea haeleweki yani . Hii nchi inani kera sitaki hata kuisikia
Ina maliza mwezi wa 10 Au wa 8 Raisi Mwinyi unaziingua viijana wa ki Zanzibar tupo. hatuna Kazi unaenda kuchukuwa watu bara wasio jielewa ,, kwanza sisi Zanzibar sio washamba hatuwezi kushangaa flyover
Acha Uchoyo na Ubaguuzi. Cha Zanzibar ni Chako na Bara ni Chako pia. Mbona Wazanzibari wako Bara wanajenga barabara husemi? Kwani Vujana wa Kitanganyika hawapo?
Badala ikajengwa barara ya mkowni kwnza haipitiki mashimo matupu lakini silaumu ss wapemba hatuna haki km wa unguja kwni kinachonishangaza tunalipa makodi lakini barara za pemba mtihani mtupu hata ukisikia kwjengwa nikwjili ya waekezaji sisi wnanchi tunateseka
Jekeni unguja Pemba hata njia ya kutoka mkoani mashimo tu mungu anajuwa kilio cha wapemba kwani tunalipa mapato kwa wote
Serikali ya CCM ni ovyo tu
Ni wajinga kwel nyinyi wenyenu hamujeng mnakuja kuja huku
@@YussufJumaOmar-pe8ygwajenge kwani wao ndo serikali? Habithul a'mal wewe
Nawew hvy hvy
Cc bro pemba tusilalamike hao tumeshawakataaa milele hakuna shida
Hamna kitu hapo Mwinyi anawafanyia Wazanzibar usanii tu,Zanzibar yanuka njaa shida tupu,vijana ajira hawana yaana maisha yanazidi kuwa magumu kila kukicha😢.
Flyover wakati daraja jomany tunadanganywa saanaa Kwa tuloona Kwa macho ndo tunajua
Kweli hilo ni daraja
Kweli Zanzibar inahita flyover
So good up to you Zanzibar
Mwandishi acha kutumia nebo Zanzibar ktk hili dema Unguja
Yaani huko ndo kwenye serekali Huku Pemba ni kama kisiwa cha watoto wa kambu
❤
Kuweni serious watu tumesoma kila neno tutafsiriwe kama cha3 B
hamn mpang wwt tang siku izo njo kwaz nguzo ingelikua zina kwend mpk nungw je si mnge jeng mkp kiama
Setting ndio kazi kubwa kuliko kuendelea kumwaga hiyo zege.... wakimaliza hapo speed itakuwa kubwa.... foundation ni muhimili wakifeli hapo hamna kitu..... wacha tusubiri
Ukikua utajua
YAKIJA MAFUTIKO NA MVUA KUBWA YOTE YATABANGUKA KISHA MLAUMIANE. ZANZIBAR SIO NCHI YA FLYOVER JAMANI!
Jamaa wa bara wanapewa kazi .. wazanzibari wanaangukia patupu
Duh sijapata kuona nyinyi watu ni wabaguzi mno ,,,mbona wazanzibar hawabaguliwi huku Tanganyika wako huru hivi hamuoni hicho mnachokifanya mtakuja Jutia baadae?kwani nini maana ya muungano?Na kwanini mtu wa bara awe hana haki ya kupata ajira zanzibar ?Nakuhakikishieni muungano ukivunjika nyinyi mtaumia na mtaathirika pakubwa kuliko watanganyika,,
@@Hussein-qq2uyjaribuni muone tanganyika mutakapoangamia. Itakuwa hamuna bandar tena wala bahar yakupita meĺi yamakontena mpaka mutulipe ss wazanzibari ndoturuhusu. Meli zipite bahari yawazanzibari zije tanganyika kushusha mizigo
@@Hussein-qq2uyTuathirike kwa kipi 😂😂 wakat ni sisi ndio tunawalisha mumezidi unyonyaji kima nyinyi achaneni na sisi
Huyo Ndugu Suleiman Cosmas aliwahi kuwa mbunge wa Bububu ni mtu na nusu na muungwana sana ila hizo siasa za hovyo ndizo zilizomtoa kwenye ubunge!
Kwa nini watanganyika mnangangania muungano mukixkiq uvunjike mnalia maisha ya kwenu hamna pesa halafu muko wengi hamna kazi mmejazana uku tumewachoka kwa ilo na zanzibar kitambo tuu hatutaki muungano@@OmerSuley-gl7go
Mbona no wazeee tuuu , VIJANA WAKO WAPI ???? Vibabu bado havitaki kustaaf .. muwape vijana ajira huyo babu mnamuona jinsi alivyo MZEMBE he don’t look strong he seems tired hata kuongea haeleweki yani . Hii nchi inani kera sitaki hata kuisikia
sasa mwandishi wa habar hajui kingera yy kaz yak kukamata maic tu du zbc😅
Wizi mtu umeme unataka siku mara tatu barabara zote mbovu njaaa imezidi..mgefanya wana nchi wanapata mlo kwanza daraja na njaaa itasaidia nini ?
Ina maliza mwezi wa 10 Au wa 8 Raisi Mwinyi unaziingua viijana wa ki Zanzibar tupo. hatuna Kazi unaenda kuchukuwa watu bara wasio jielewa ,, kwanza sisi Zanzibar sio washamba hatuwezi kushangaa flyover
Acha Uchoyo na Ubaguuzi. Cha Zanzibar ni Chako na Bara ni Chako pia. Mbona Wazanzibari wako Bara wanajenga barabara husemi? Kwani Vujana wa Kitanganyika hawapo?
We kweli choko
Flai ova zipite chai maharage
Upumbavu mtupu... wanajengewa wageni .. wazanzibari wafa njaa ... nonsense
Flai ova mwera bububu kisauni hakuna barabara
Shida yetu sio ujenzi wa masjabu Bali ni ZNZ HURU YENYE MAMLAKA KAMILI
Hata mjenge "PEPO" ,bado waznz shida YETU KUBWA ni ZNZ HURU YENYEAMLAKA KAMILI NA KITI CHAKE KIREJESHWE UNO!!!