Kazi nzuri mashallah wasiwasi wangu kwenye usafi mpaka vyooni usafi security ikuepo. Usafi nasisitiza zaidi soko zuri sana mashallah mwinyi mitano tena baba.
Kabisa ndugu hatuna utunzaji katika majengo husussan ya Serikali。 Maoni Serikali iajiri au wafunge mkataba na Kampuni tatu Kampuni ya Usafi Kampuni ya Security Na Kampuni ya Maintanace, NB:Vituo vya Afya,Skuli na Masoko
Mashaallah soko zuri sana usafi muhimu sana maana soko kama hilo likiwa chafu aibu iwe kila mara liwe linasafishwa hongera kwa soko letu kuwa la kwanza Tanzaniaa nzima kwa ukubwa
Misikiti ni mingi Sana znz na km tutagawanyiwa wazanzibar wote utagundua kila wtu 20 wanapata msikiti wao so tatzo lkn je tupo ktk Hali gani kiimani na kiitikad. Sasa kuna misikiti mingine sio tatzo kuvunjwa km patatengenezwa Jambo kubwa lenye manufaa makubwa ktk maendeleo y jamii. Il'imrad tu iwe walengwa na wanufaika ni jamii ya Sasa na baadae.
Soko ni zuri ,lakini ninavyo ijua Zanzabar shida yetu kubwa ni usimamizi mbaya juu ya mambo mengi sana ,soko hilo litakuwa chafu muda mfupi tu ,takataka zitazagaa kila mahala .
Inategemea na aina ya machinjio na pia aina ya utamaduni wa jamii, kwa mfano kuweka machinjio ya kuku ktk soko kama hilo ni jambo la kawaida na ndiyo masoko yote ya asili ya kitanzania yapo hivyo, wateja huwa wananunua kuku na kuchinjiwa papo hapo ila kwa kesi ya wanyama kama ng'ombe hilo ni swala jengine kwani wanyama wakubwa kama hao huwa na machinjio yao.
Nadhani pamoja na dhamira nzuri ya serikali katika kufanikisha biashara kwa soko la kwerekwe lakini kuweka Shemu ya machinjio sokoni naona kwa kuanzia inaweza ikaonekana ni sawa ila kadiri machinjio yanaendelea nahisi itakuwa mzigo kwa wananchi na wafanyabaishara sokoni
Mm mungekuja na uchambuzi ni namna gani na kwa kipindi gani fedha zilizojengewa soko zitarudi hp ningewasifu lkn pia siwalaumu kwa kua sisi pengine hatujawahi kuona vitu km hivi lkn pia nikumbushe tu kuwa vitu km hivi maranyingi hufanywa na makampuni na sio serikali, nakuombeni mutuletee na uchambuz wa hela iliyotumika na vp itarud
Tengeza viwanda vpi kuusu bandar hivi ND tunataka maana watu watapata ajira pasipo mfano na nd maana watanganyika wanajuwa ukijenga bandar na viwanda Zanzibar itakuwa kimaendeleo na sera ya ccm kuizamishaza Zanzibar kimaendeleo kwa iyo mtatubabaisha kwa vitu kama ivo xjuli masoko na Barbara ila mujuwe tuu viwanda vy samaki vy mwani vy matumbawe vya karafuu vya makonyo na pamoja na bandar ndio tunahitaji
Mashallah mashallah mashallah hongera sana muheshmiwa Rais kwa kutumia uzalendo wakuwaajiri wazawa kwenye ukandarasi kumbe tunaweza
Mashaallahu kwa kip kua muaz kujengewa soko au njaa
Kazi nzuri mashallah wasiwasi wangu kwenye usafi mpaka vyooni usafi security ikuepo. Usafi nasisitiza zaidi soko zuri sana mashallah mwinyi mitano tena baba.
🎉 Maashallah Inapendeza Sana, Allah ambariki Mr Rais na nawatakia utunzaji wa soko hilo.
Kazi nzuri tatizo utunzaji....ndio watz tunapofeli
Kabisa ndugu hatuna utunzaji katika majengo husussan ya Serikali。
Maoni
Serikali iajiri au wafunge mkataba na Kampuni tatu Kampuni ya Usafi
Kampuni ya Security
Na Kampuni ya Maintanace,
NB:Vituo vya Afya,Skuli na Masoko
Utunzaji kweli ni tatizo la uswahilin,lkn pia Tatizo jenqine ni ujenz wa viwango va chini.
Yote ni walafi wachache waliomo kwenye sirikali
Rais mwinyi fanya kazi ndugu yangu mungu atakubariki.
Ishaallah ❤❤❤
Uyu mungu atamueka pepon aswa kwa kuleta njaa znz
MashaaAllah Tabaraka Rahman, mwege toa na chumba cha kuswalia.
Mbona kipo
Wasiwasi wangu kwenye Usafi na maintenance 😢😢.... Soko zuri saaana... Viwepo vitengo maalum kwa usafi na maintenance... Pesa hizi Kodi hizi😔
Wnapewa sekta binafsi kuendesha
Na kama hili halikuonekana sasaivi litakuja kuonekana baadae inshaallah. Hongera sana raisi Mwinyi.
Mashaallah soko zuri sana usafi muhimu sana maana soko kama hilo likiwa chafu aibu iwe kila mara liwe linasafishwa hongera kwa soko letu kuwa la kwanza Tanzaniaa nzima kwa ukubwa
GOOD BLESS RAIS DOCTOR HUSSAIN ALI MWINYI NA RAIS SAMIYA SULUHU HASSAN NA VIONGOZI WEMA WOTE WANAONGOZA MEMA KATIKA NCHI ZAO" AMEEN🤲👍🤩😍😆👌"
Shukrani mweshimiwa raisi ila walokuwepo kibanda maiti na wanamizigo ya kutundika kwamfano ndizi pia na mozigo mengi
mashaallah ukhtiy umejitahid kuelezea
Mashallaah kazi nzuri sana.
Haya ndio maendeleo tunayo yataka tanzania 🇹🇿 yetuu.
Mnahitaji pongezi kwa kazi kubwa
Mskiti umeuvunja ujengwe soko sio muhimu zaidi kuliko ibada zetu
Akhy kuwa na shukrani kwani ineo Hilo msikiti ulikuwa Ni huo mmoja tu?
Ni Mara ngapi amejengesha miskiti unguja na Pemba
Misikiti ni mingi Sana znz na km tutagawanyiwa wazanzibar wote utagundua kila wtu 20 wanapata msikiti wao so tatzo lkn je tupo ktk Hali gani kiimani na kiitikad.
Sasa kuna misikiti mingine sio tatzo kuvunjwa km patatengenezwa Jambo kubwa lenye manufaa makubwa ktk maendeleo y jamii. Il'imrad tu iwe walengwa na wanufaika ni jamii ya Sasa na baadae.
Ninalolitamani ni siku moja na sisi wapemba aje atujengee kitu km hicho ili tuanze kuifungua pmba kiuchumi.
@@bakarhamad6810 In Sha Allah
Congratulation #Badrani # Hamis hollela🎉 good interview
❤❤❤❤❤❤ Hakika yajayo yanafurahisha😅.
Naomba na parking ijengwe ili Mambo yawe mazuri zaidi.
Soko ni zuri ,lakini ninavyo ijua Zanzabar shida yetu kubwa ni usimamizi mbaya juu ya mambo mengi sana ,soko hilo litakuwa chafu muda mfupi tu ,takataka zitazagaa kila mahala .
Hao wafanya biashara ndio wachafu zarau kuta zote zitawekwa misumari waweke mapolo pakacha
Masha Allah znz Dr. Hussein Mwinyi pongezi nyingi kwako Baba 👏👏
mwinyi sasa anafanya vitu vya standard sana
Potential area,,,,Masha Allah
I HOPE IT WILL STAY CLEAN N NIT AS IT IS" FROM NOW TO GO ON"👌"
Kumbe wamejenga wazawa wa Zanzibar...Ma Shaa Allah
NEAT "
Baada yakufunguliwa rudi baada yamwaka mmoja ujionee mizoga
Machinjio ulimwengu mzima takriban hayawi sokoni sehemu nyingi sana sana
Inategemea na aina ya machinjio na pia aina ya utamaduni wa jamii, kwa mfano kuweka machinjio ya kuku ktk soko kama hilo ni jambo la kawaida na ndiyo masoko yote ya asili ya kitanzania yapo hivyo, wateja huwa wananunua kuku na kuchinjiwa papo hapo ila kwa kesi ya wanyama kama ng'ombe hilo ni swala jengine kwani wanyama wakubwa kama hao huwa na machinjio yao.
Mashallah hakika 25 huna mpizani kiongozi
Ipambe nchi mwinyi tutoe tongo asoona hana macho tutakuombea dua nchi umeijenga wapigaji lazima wakuchukie
usiseme ndio soko kubwa tanzania nzima bali sema zanzibar
Anajua kusema znz ila kasema tz sasa unalifananisha na soko lipi jengine?
Looking good
Sema lile soko la chuini au mnaitaga kwa nyanya jamaa wameboronga xn
HONGERA MAMA SAMIA ♥
Nina 9:00 shauri machinjio yawe mbali na soko na hata kuwa mbali na mji na hiyo ndio utaratibu wa masoko mengi ya mji ili kudumisha usafi wa masoko
Safi Rais mwinyi
nakuomba mheshimiwa ukienda kukagua angalia kuna raba nyeupe kweny ukuta umezibwa hiyo ni nyufa imeanza kukatik ,wameziba ili kuficha,
Maeneo unayoona rubber nyeupe ni expansion joints, kitaalamu jengo kama ilo kubwa huwa linagawanywa .
Soko linahitaji usafi, soko ni zuri masha a Allah ila tutaweza kulitunza?
Nadhani pamoja na dhamira nzuri ya serikali katika kufanikisha biashara kwa soko la kwerekwe lakini kuweka Shemu ya machinjio sokoni naona kwa kuanzia inaweza ikaonekana ni sawa ila kadiri machinjio yanaendelea nahisi itakuwa mzigo kwa wananchi na wafanyabaishara sokoni
Mm mungekuja na uchambuzi ni namna gani na kwa kipindi gani fedha zilizojengewa soko zitarudi hp ningewasifu lkn pia siwalaumu kwa kua sisi pengine hatujawahi kuona vitu km hivi lkn pia nikumbushe tu kuwa vitu km hivi maranyingi hufanywa na makampuni na sio serikali, nakuombeni mutuletee na uchambuz wa hela iliyotumika na vp itarud
Mh mwinyi wewe ni mtu na nusu big up Mr president.
MashaAllah
Kwa hali hii hakika Mwinyi anastahiki kupewa tena mitano ❤
Mitano kidogo akae mpaka kiama.
@@ibrahimame9805 Duh! Sasa hiyo itakuwa chuki
@@ibrahimame9805 Allah amhifadhi dhidi ya maadui wa Aina zote, na ampe afya njema zaidi azidi kuijenga Zanzibar. Aaamin 🤲
Tanganika ziiiiiii 😂😂😂😂 Kadiba mmmaa 👍👍👍👍
Daa ingekuwa msikiti Ingependeza zaidi
Kuna msikiti mkubwa unajengwa hapo karibu na soko
Walisema mabati leo sijui watesemaje
Viazi mbatata vinakawaida ya kubeba tope,kwaivo vibaraza vyake viwe uko second floor,sio mbele ya mapokezi apo mwanzo
Mashallah 😍❤
Tengeza viwanda vpi kuusu bandar hivi ND tunataka maana watu watapata ajira pasipo mfano na nd maana watanganyika wanajuwa ukijenga bandar na viwanda Zanzibar itakuwa kimaendeleo na sera ya ccm kuizamishaza Zanzibar kimaendeleo kwa iyo mtatubabaisha kwa vitu kama ivo xjuli masoko na Barbara ila mujuwe tuu viwanda vy samaki vy mwani vy matumbawe vya karafuu vya makonyo na pamoja na bandar ndio tunahitaji
ule msikiti mliouvunja ujengeni jamaaniii apo kwerekwe
Jengo kuwa kama hili haliwezi kosa Sehem ya Kuswalia kaka
Jusa yuleeeee,kama namuona hivi
🤣🤣🤣🤣 kazi yake kukosoa tu
Naomba mtangazaj tumia kiswahili sababu wazaa wite hatuelewi lugha ya kiengerez na tuna hski ya kupata habar
Kwan anaongea English hapo😅
Msikitini vp jama kumbukeni hiyo ninyumba ya Allah na nyinyi mumeibomoa na mpaka sasa hamjafanya chochote
Mashaallah kama oman mwinyi anafanya mabadiliko makubwa sana
❤
Zuri
Tuko hapa hapa
Viongoz wanajtaid tuwape ongera za bure
Tunahitaji viwanda zaidi mwinyi usitumbaze sisi mitaji hatuna ila nguvu na akilin tunayo
Doky MWINYI vunja HOROFA hapo mbele ya SOKO
Kodi je itakuaje maana tulisikia ya dara jani?
Mwinyi mtu sana
Vp wanyonyoa kuku watapata maji yamoto. Au waje na majiko yao ?
Hio hela bilioni 35 hebu inane tena wasema tu hio mpesa soko hii no kwa pesa hio no
😂😂😂 so mchezo ila wao ndo walojemga kwaio cc wacha tukafanye kaz lakin cio pow ata kidogo.
Wewe nimpizani hata ukipauka Domo lako sisi kazii tunsiyoons
@@KhatibSalehKhatib Kazi yao kubwa ni kukosoaa
Jamn Pemba mbona Iko Hoi
Unguja ndio kitovu cha uchumi so wacha kuekezwe..
Lift hamna
Ila zuri lkn pesa hio no
Vipi kuhusu usafi maana hilo soko la kitaifa
Limghrimu Milion 30 au nimeskia vbya tu hebu rejea ndg sjaelwa hapo
Bilioni sio milioni
limepasuka wameziba raba nyeupe,mkifik jamani angalieni
Muongo 😊
Muwaweke watu watakaosafisha
Kwa vikuta hivyo ninavyoviona hahahahaha kazi ipo vitawashinda tu hao wafanya biashara
Sio kweli
😅😅😅
Uchawa tuu ubunifu aaah
😅😅😅